THE STORY BOOK : MFALME SULEIMAN, NABII ALIYEPENDELEWA KILA KITU NA MUNGU
Vloลพit
- ฤas pลidรกn 24. 12. 2020
- ๐๐ธ๐โโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐๐ ๐บ
๐๐ญ๐๐ -๐ฐ๐ญ๐ญ | ๐๐ฆ๐ง๐ฉ ๐ฎ๐ต๐ฒ | ๐ญ๐จ๐๐จ-๐ฌ๐ฎ๐ด
๐ฆ๐ง๐๐ฅ๐ง๐๐ ๐๐ฆ-๐ฐ๐ฐ๐ฐ & ๐ฏ๐ฏ๐ฏ | ๐๐ข๐๐ข๐ก๐จ๐ง ๐ง๐ฉ-๐ฎ๐ฌ |๐๐ผ๐ฑ๐ผ๐บ๐ฎ๐๐ฎ๐ฏ๐น๐ฒ-๐ญ๐ญ๐ฏ
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐๐๐๐๐ผโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐ฝ๐ ๐ป
๐ด๐ด.๐ต ๐๐๐ฅ ๐๐ฆ ๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐ป | ๐ญ๐ฌ๐ฐ.๐ญ ๐๐ข๐๐ข๐ ๐ ๐ป | ๐ต๐ฐ.๐ฑ ๐๐ฅ๐จ๐ฆ๐๐ ๐ป
๐ฝ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐โ:
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ
๐ช๐๐๐๐๐๐๐๐ ยฉ2020 ๐พ๐๐๐๐๐ ๐ด๐๐ ๐๐. ๐จ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zรกbava
Mwaga like kama zote. Jamal unatisha kaka tunapata elimu bora kabisa
Jamal, historia za biblia ni nzuri sana. Na kizazi hichi watu wengi hawasomi biblia na kupata hekima hizi. Naomba uendelee kuleta story za kutoka kwenye vitabu vya Mungu. Be blessed brother!
czcams.com/video/npcwCL1zTz0/video.html๐ฅ๐
Asante
Kabisaaa
.
Mh
Neema ya Mwenyezi Mungu iwe nawe daima my Brother Jamal, Amin.
Rafiki katika Bwana Mungu wa Mbinguni, nashukuru sana kwa hii stori. Aise Mungu akubariki sana.
Waooooo kwamara yakwanza nafunguwa ukurasa wa comment. Jamani naomba like zangu๐๐ช
chukua
Umeona hii?
๐๐ค๐
czcams.com/video/xRuuX0u64Cc/video.html
Umekua ugari uo
Simchenzo
We chawa
Maneno yenye busara jamal profesa lazima tumshukuru Allah kwa uzima Alhamdulillah๐คฒ๐คฒ๐คฒ
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.๐
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
czcams.com/video/TANus7_Uasg/video.html
waaaah๐
Yuko vizuri
@@crypto7-t1y m
@@crypto7-t1y o
Wow asante kipenzi nilikua sijui yote hayo ๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช๐๐
Jamal April you are the best. I like your way of narrating these ancient stories and in good voice and Swahili. Pongezi sana
Alichokifanya Mungu kwa familia hii nijema YeYe anauwezo kwa kuchagua mwema au mubaya kwa mapenzi yake .Amen
King SULEIMAN....Inshaallah for your good story
Nimependa sana alivyomalizia . Mungu azidi kukujaza hikima na maarifa ndugu jamal
Jamal April, The Professor, you have already definitely said and defined the word Wisdom!!!,,, You already have it with you.let it be God's power Amen
Hatimaye Mfalme Suleiman mwana wa Daudi..... Big up Profesa
The king ๐ of story's, murch respect ๐๐ from Kenya ๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.๐
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
czcams.com/video/TANus7_Uasg/video.html
Ubarikiwe san ndgu yetu, mungu akuongezee maarifa na akufunulie vingi vilivyo vyema na vyenye kheri ili Jamii izid kunufaika kupitia ww. โAaminโ
Naomba pitia hapa pia kuangalia simulizi zangu tafadhali.๐
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB....
czcams.com/video/TANus7_Uasg/video.html
Kaka tunaomba uendelee na story izi.. japo kwa mwezi mara 3... maana utapata baraka kwa mungu pia..
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.๐
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB.
czcams.com/video/TANus7_Uasg/video.html
Hizi story zinanifanya kujua biblia sana nakuisoma kila mara
Jamani mi nimwana familia mpya wa #the stor book. Na nimebahatik kuw wakwanza ku comment so naomb mnikalibish kwa like. P1 jamal april
Ivi mnao omba like mnazipekaga wapi
Kama like zina hela tuambie nasi tuanze kuziomba,,au unafrah tu kuona umepata like nying huo ni umama
Great ๐ much respect from Kenya ๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช
Suleiman alhamdulillah inshallah mwenyezi Mungu awe nawewe popote ulio pepon
Bro uko vizuri safi sana nimesikiliza kwa umakini mno
Mungu azidi kukuongezea hiki kipawa
Naomba pitia hapa pia kuangalia simulizi zangu tafadhali.๐
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB....
czcams.com/video/TANus7_Uasg/video.html
Mungu akubariki professor nazidii jifunza mengi kila cku kupitia ww๐๐๐
THE STORY BOOK ON #TRENDING tuifikishe top 10 wapendwa wa Jamal
Nakubali brother Jamal Mustapha Jamal April Professor. Mm hupendelea kurejea ile ya dan cooper.
"Upo mkasa maaruf sana, mkasa ambao gaidi mmoja aliyefahamika kwa jina la Dan cooper aliyeiteka ndege ilyo na abiria 36 ndani yake ....."
LIKE kama unaamini Professor anatufundisha mengi mazuri tusio yajua
Unetisha
Simpendi ni muongo af ana masifa nafuu mtiga
@@dannyeliya9010 utakuwa una matatizo ya ubongo sifa gan sasa alizo nazo usiwe una sikiliza sasa
Weee Dani unafirwa kweli humpendi jamal cc tnampnda wewe kampnde mamaako
Ningekua na mtoto ningekuozesha bure professor
Astaghfirullah... Haikuwa kwa mitume wa mungu kufanya dhambi munazowsingizia.... Doh... Eti daud alizini... Subhanallah.... Mimi kama muislamu namtetea mtume wa Allah..
Ametakasika alllah
Daudi alizizini kubali yaishe๐ ๐
Mungu nipe Hekima kama za Solomon Ameen
Alishasema Hatatokea mwingine kama Suleiman. Fanya kazi, Tafuta pesa ๐
โ@@reganmrema๐๐๐
@@reganmrema duuu nimecheka kwa sauti jamanii
nakubali jomba nakubali wasaf TV wasaf fb so nilipenda omba story ya nabii enoki simulia dunia ijue ukweli lik2 me
Jamal mungu akupe khery za dunia na akulinde na maadui ajae kwa ubaya asikufikie uishi kwa aman tukumbushe mungu atakulipa khery # nakubali kazi yko# Omar
Naaam kweli mambo mengi sasahivi nimaludio duh......... Professor jamar saluuti mungu azidi kukupa nguvu juu ya kazi yako
You are the king of story makers.....
Real love to you broo.
czcams.com/video/G-Gyz_cDU58/video.html
Sijawahi kukoment lakini leo nimeshindwa kuacha. Aksante sana Prof.
Naomba pitia hapa pia kuangalia simulizi zangu tafadhali.๐
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB....
czcams.com/video/TANus7_Uasg/video.html
What a captivating and salivating story telling skills Jamal!
Keep it up bro.
Nakukubari sana jamar unafundisha vizur sana professor uko vizur kama nawew unamkubar professor gonga Like twende sawa๐๐๐๐๐
Jamali always you Do good meen, we appreciate your efforts in Kenya ๐ฐ๐ช...........
Uko vizuri sana bro nimekukubali sana kwa Leo, kuna aya moja kwenye Biblia takatifu inasema ombeni chochote kwa jina langu na mtapewa manake kwenye maombi yako be specific and accuracy!
vyema kabisa
Huwa napenda sana kukufatiliya
Ur true professional jamali
Hatimaye kile nilichokisubiri kimekuwa๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐๐๐
Jamali, i really admire your ability of narrating and researching about these ancient stories... Much love from Kenya ๐ฐ๐ช
Pia Mimi 254
Mi pia ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Ata mimi nampenda sana niufuatilia research yake sana
Especially where without wishing to state the facts zenye ye ameziomba kwa vitabu na viombo vinginevyo anatutuma sana kujitu juu ya kuutafuta ukwelu kibinafsi. A genuine guru guru gives the disciple tools to be free and not dependant on him/her. โค
De proffesor jamal big up mwamb nakubal nakubal๐
I love you guys,you are doing a Big good job.may God bless you.i'm a french speaker and i love so much the story book
French huh?
@@bedechorray5482 .ll
Nabii Suleiman ana historia kubwa. Alikuwa Nabii Tajiri na Mwenye Uwezo Wa Kuamrisha Upepo.. Aliyopewa na mwenyezi Mungu. Alikuwa anaogopewa na majini
Sawa Jamal Asante kwa story nzuriii zenye mafundisho mazuri
Mashallah kaka una kipaji hongera kwa kusimulia vzr
Kwa Hakika neno, lako lakufungia kipindi hua na liskiza kwa umakini mno hasa huku nikiwa nime tune ktk Bluetooth ya subwofer nakua Nakupata Bara bara, #UBARIKIWE ๐
Naangalia na mimi tuliyoandikiwa lakini hatukusoma hiii ni sawa behind the scene kwenye movie funua yaliyojificha ....... Respect Brother kunywa soda ntalipa
Asante MIE nakufatilia Hapa CONGO ๐จ๐ฉ๐จ๐ฉ๐ฅ๐๐พ๐nice videos keep it up my brother bless you we need more
Hallelujah hallelujah I praise you Father Lord no one Like you Father
well fed with ancient stories.....well done job....from kenya.
The great professor of all time
Quran inailezea vizyri sana hadithi ya Suleiman
Professor king of the story in the world
@@brotherh-elite1825 ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Mtiga abdalah ndio great and king wa yii mamboo bana huyu anaiga tu na kuifikia ni ndotoo yule jmaa fundi
@@dannyeliya9010 shtuka ww Kama mtiga ndo Bora mbona hana ishu now
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.๐
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
czcams.com/video/TANus7_Uasg/video.html
@@brotherh-elite1825 Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.๐
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
czcams.com/video/TANus7_Uasg/video.html
Ninapenda sana stry zako na mm n mshabk no 1 ..Mwenyezmungu kakupa kipaji cha kuhadithia ... lkn n vyema usiongelee story za kuusu ma nabii au vitu vinavyojihusisha na dini......ukiongelea kuuhu ivyo vitu utawapotosha watu na siku ya mwisho utaulizwa kutokana na kipaj chako ulikitumiaje ... @jamaliapril
Allah akulipe kher jamal
Umerudia kuangalia zaid ya Mara mbili hii story book gonga like twende sawa๐
Mara ya nne narudia
Jamal April, professor.You mentors me when it comes to story telling.Thanks for the way I take it from you
Uko vizuri professor ila mitume ya mungu wakikosea hukosea kwa mambo mema rekebisha apo
Jamal you're an inspiration to many,God bless you boss.
Dah bro mi naamini hii nd story teller kali one hour tyr 1.5k views salute you Blazah
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.๐
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB..
czcams.com/video/TANus7_Uasg/video.html
ubarikiwe Kaka napenda sana unavyo tupa historia
tamu na za ukweli kabisaaa,eeh Mungu utuepushe
na maovu tukiwa diniani kwasababu malipo ni hapa hapa duniani.
Iko pow kabisa allah akuongoze
Jamal kama Jamal the Genius ๐๐๐๐๐
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.๐
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
czcams.com/video/TANus7_Uasg/video.html
We are listening
jamaa ni na kukubali kwa kutuletea story book na voice ๐๐ tupe na nyingine
Bibilia imefika mbali sana kwa kuwazulia nabii wa mungu uongo. Eti mtume aliyeletwa kuwaongoza watu kwa mungu ni mzinzi Mara mlevi, Mara mshirikina kweli binaadamu sio perfect lkn mungu anapochagua mitume huchagua wenye nguvu katika ilimu, hekima, na mwili. Waandishi wapotofu wa bibilia.
Umesema kwel
Usiache kusimulia story book, tunahitaji kila Mara uwe unatupatia, nakukubali sana Prof
Hata ww mtangazaji mungu Amekupa Hekima ya hal ya juu
Wa kwnza mwnyewe kuskliza professor jamal unajuaโจ๏ธโจ๏ธโจ๏ธโจ๏ธ
Hadithi nzuri xana br
Congratulation Jamal for best teaching of people in the world through blessed ancient stories of King Solomon life. Wisdom and good governance is power of beloved God. Let's respect and recognize the power of true God.
Ahsante Sana Kaka we ni zaid ya shule
Ningekua na dada ningekupa bure jamal nakukubali sana nakupenda kuliko kula cmba from zanzbr
Sasa dada huna tunafanyaje, we jitoe tu km kweli wamkubali
Hahahaaaaa nimeipenda iyo
Soma sana Biblia pia itakufundisha lakinia zaidi muombe Roho mtakatifu atakufundisha nakukufunulia.....nikupe hongera kwakusoma jinsi alivyo patikana Solomoni
Historia hizi zina vito vya maadili ya ajabu. Usuli wake ni asili ya ujio wa waja.
God bless you Brother.
Allah aendelee kukupa afya uzima na uhai hakika tunayajua ambayo hatukuyakuta si Wala wazazi wetu walio tangulia mbele ya haqi shukran sana kwa kazi nzuri
Big Up My Brother Professor โ Ujawai Kosea Hapo Mwisho Nimekukubali
Jamaal katika la baraka hakika umenena kweli. Tumshukuru Mungu kwa kuwa tulivyo na tuone katubariki kuwa tulivyo turidhike nae.
Wi nuh man a king inna di earth dan Solomon ๐คด๐ฝ
Jamali mustfa shukran my brother kwa story ya mfalme ๐ suleman ๐๐๐
Maaana ulikua umetuonjesha kweny sehemu nyigine ila kwa hii hasante tuketee nyengine na nyengine tupo pamoja my brother
Sana
Hongera unajua kuadisia vizuri mpaka unanishangaza
Asante nimejifunza mengi kuhusu Suleiman
Mimi sihitaji like, mimi nahitaji hekima na busara kama ya mfalme huyu Sulemani.
Wewe badae utakuwa yuda
Au utatukana mara tatu
Thanks for sharing this Great story. GOD Bless u Always.๐๐๐๐ค๐๐๐๐๐ฝ๐๐๐
Kakangu jamal mungu alikupanga wisdom kwa wingi zaidi
Naitazama tena kwa mpya (01/01/2021)
Nani anataka kuwa kama solomon dondosha like ๐
mimi hapa
Nimekubaliii kaka uko vizur sanaa
Jamali thank you so much for program for story book
Thanks san Jamal. Elimu nzuri san
I have been learning alot of issues kupitia @The story book. Keep up kaka....
Japo nimechelewa lkn naombeni like hata 10 zinatosha wadau wa story book
Thanks wadau wa story book
Kile cha dk7 kilivuja kumbe Maana kilituchanganya mpaka basi tuliyumba ALAFU TUMEAMBIWA UNAYO OFFICIAL ACCOUNT JAMAL .. ni kweli au Tunaibiwa kule ๐ถ๐ถ๐ถ KAMA ULIONA KIPAMDE CHA DK7 GONGA LIKE NYINGI ILI JAMAL ATUJIBU .๐
Hahaahhaahha we acha
Vipande viwili,,mwanzon anaongea Jamal halfu anamalizia mtiga
@@williammyemba7791 hahahah ndio
Professional #Jamal
Historia nzr sanaa, ubarikiwe, hio beat nimeipenda naipataje
Ahsante kwa somo zuri Prof.
leo umefanya vizuri sana nimejifunza mengi bro
Be blessed blessed jamal april
One of the best story
Jamani like za jamali hata 20 tyu๐ค
czcams.com/video/G-Gyz_cDU58/video.html
Amonaiz
Like haina maana best.
@@micamathew2595 ๐
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.๐
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
czcams.com/video/TANus7_Uasg/video.html
Nabii sleiman alikuwa ni Mtume wa Allah kama Issa, Mussa, Muhammad, Ibrahim na n.k.
Issa ni nan
Mnavyo muita nyiyi yesu na wazungu jesus warabu isa bin maryam alahy salam,
Habari ya Yesu unaijua lakini vile inatawanya hadi sisimizi wa pepo
Na kwenye historia cjawah ckia kuna nabii kazini au kazaliwa kwa zinaa cjui vitabu vya dini nyingine lkn QUR'AN tukufu NO
Nabii au mtume hawezi kuzini we sijui unayeitwa jamali mbona unahadithia vitu vya ajabu ilo balaa unalolitafuta litakushukia mtume WA mwenyezi mungu azini na mtume azaliwe kwa zinaa
Hakika Mungu akubariki kwa story nzuri
nakubali sana jamal huj ushauri wako mwisho baada ya story book
dakika 10 za mwisho๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ...... it's something priceless keep it up jamal๐๐ฝ
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.๐
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
czcams.com/video/TANus7_Uasg/video.html
Watu wanaomba likes tuuu,kwan zina maajabu gan jaman
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.๐
CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB
czcams.com/video/TANus7_Uasg/video.html
Itakuwa zinasibisha....,
Safi wewe ni noma sana