HILI APA SWALI LA DK SULE LILILOZUA GUMZO KWA PASTA NDACHA KUSHINDWA KUJIBU.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 12. 2023
  • Kwa mahitaji ya Qaswida Mpya, Tenzi, Mawaidha, Nasheed, na matukio mbali mbali ya kijamii, usisahau ku SUBSCRIBE, LIKE, COMEENT, SHARE ili uwe wa mwanzo kupata matukio hayo kila yanapotoka kwa wakati sahihi.
    Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana nasi kupitia simu No.
    Whatsapp. +255772285543
    Call. +255772285543
    ASANTENI NA KARIBUNI.
  • Hudba

Komentáře • 765

  • @shyneafya2468
    @shyneafya2468 Před 2 měsíci +6

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Ndacha MUNGU akupe umri mrefu

  • @Jin-fl1hq
    @Jin-fl1hq Před 2 měsíci +8

    Mungu awe nawe daima mchungaji mkristo

  • @user-ru4wm6bc4l
    @user-ru4wm6bc4l Před 4 měsíci +30

    Ndacha Mungu akulinde akuongezee maisha marefu unajua sana

  • @user-gp7sd9kg4t
    @user-gp7sd9kg4t Před 4 měsíci +17

    Congratulations ndacha mashaalah Mungu kakujalia wewe akueke miaka mingi urndelee kufunza wengi

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 Před 2 měsíci +13

    Mtumishi wa Mungu Ndacha.Mungu Akutunze na akupe Afya njema.

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před 4 měsíci +48

    Bwana YESU krisito asifiwe Sana damu ya Yesu inanena mema

    • @Ciciczi
      @Ciciczi Před 2 měsíci +2

      Huyu ndacha mpaka kiama hawezi kujibu maswali

  • @user-ny1ut7zy3m
    @user-ny1ut7zy3m Před 4 měsíci +8

    Kunawatu wariebarikiaw ndacha mungu akubarikik❤❤❤❤❤

  • @evarlneambiyo881
    @evarlneambiyo881 Před 2 měsíci +5

    Ndacha Mungu akuinuwa sana tena sana ❤❤❤❤❤

  • @NiyonkuruVianey-pl9jn
    @NiyonkuruVianey-pl9jn Před 2 měsíci +9

    Yesu ni mwokozi wangu tena nikiongozi wangu nampenda sana

    • @RinoMajembe
      @RinoMajembe Před měsícem

      Mbona yesu ajaoa wewe unampenda atakuganyia nn

    • @NiyonkuruVianey-pl9jn
      @NiyonkuruVianey-pl9jn Před měsícem

      @@RinoMajembe ndio hajaoa kwa sababu sio kitu kilikuwa kinamuletaga hapa kwa dunia

  • @sumenokisupai8171
    @sumenokisupai8171 Před 19 dny +2

    Munjungaji mkrsito hongera sana mungu akubariki sana

  • @user-iq1pl8nw2y
    @user-iq1pl8nw2y Před 3 měsíci +3

    Sifa nautukufu zamwenyezi mungu ziwe pamoja Nawe mtumishi wamungu yesu Cristo akupe nguvu pasta

  • @donatienbest6043
    @donatienbest6043 Před 5 měsíci +45

    Ata nibaki pekeyangu nitabaki kuhamini yesu Christ nibwana namokozi wamaisha yangu amen

    • @ihuriroGroup
      @ihuriroGroup Před 4 měsíci +2

      Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen

    • @IsnailMudi
      @IsnailMudi Před 3 měsíci +1

      Mbona bado nimasikini kama kakuokolea maisha yako

    • @jamesnjoroge8627
      @jamesnjoroge8627 Před 2 měsíci

      Ameeeeeeeeeeeeeen

    • @user-it8pu9od2w
      @user-it8pu9od2w Před 2 měsíci

      WW una akiri

    • @user-pf3gm9sy7k
      @user-pf3gm9sy7k Před 2 měsíci

      هل تؤمن بأن لديك اب ثاني فإذا قلت لا، كذلك نحن الإسلام لا نؤمن إلا بالله وحده والمسيح عيسى لبن مريم ليس إلا رسول الله وخلقه الله من طين كمثل ادم عليه السلام

  • @MarysianaMalekanana
    @MarysianaMalekanana Před 2 měsíci +4

    Ndacha mungu aendelee kukutumia

  • @user-nt6ug7nb1e
    @user-nt6ug7nb1e Před 5 měsíci +23

    Docta Allah akupe umri mrefu ili uelimishe watu dini Ya Mungu.

  • @user-ez2ef6ip2f
    @user-ez2ef6ip2f Před měsícem +8

    Tazama Ndacha anavyo jibu swala. Yaan unaona kabisaa huyu Kuna roho mtakatifu anamuongiza kujibu maswala yoyote alafu watuu wako wengii anao wajibuu mungu akubalikii
    Waislam mpka wa elewe ni kazi kwanza Wana vurugu maana jibu likitika wanataka kulipinga wakati ukweli tazameni wenyewe mnaona hapoo hao ni walimu wakubwa wa dini katika mdaahalo wanachokifanyaa 😢😢😢

    • @sportstoall9394
      @sportstoall9394 Před 16 dny +1

      Ndacha hajibu swali directly kiufupi alichohitaji sule hapo naona Kaama vile kwenye Quran Allah subhana wataala ameidhinisha kua Quran ni kitabu chake na hata Mtume as well ameliongea hilo, Sasa nadhan sule alitaka Ndacha ajibu kua Bwana yesu kristo wap amesema kua Biblia ni kitabu cha mungu? Kiufupi hakuna mahali Yesu aliposema hivyo bali Biblia ni kama ndacha alivyosema ni mchanganyiko wa vitabu, Ila kwa maarifa yangu naona watu wa hekima wa enzi hizo ndio walifanya zoez la kuunda kitabu hicho Yani kukusanya mafundisho muhimu ndani ya kitu kimoja kimoja ndio ikatoka Biblia inamaana kipindi Yesu kristo yupo huo mkusanyiko wa vitabu(Bible) haukua una exist bali pale yesu kristo alipoondoka watu wenye hekima wa enzi na wenye kuamini ndio walio fanya shughuli hiyo, na ndio maana tunaona tuna agano jipya na la kale hili jipya ni marekebisho ya la kale, Kwa kuongozea Quran tukuf ilishushwa na alishushiwa Mtume Mohammed S.A.W na Mungu baba mlezi kupitia malaika wake Jibreal(Gabriel) wakat wa ramadhan pia hio hio Quran ni muendelezo na mkusanyiko wa vitabu vilivyo pita kama vile Injil, Zaburi, Taurat nk. Kwa Imani ya Islamic inasema Yesu kristo ambae ni Nabii Issa alahi Salam alikua na Injil ndio kitabu chake kwa wakati alio hudumia. Kiufupi haya mambo ya dini ukileta udini sana basi huwezi pata jibu kamili na huzua mzozo sana ambao haujawahi kuisha na wakati mwengine unaleta chuki sana kwenye jamii yetu, Binafsi Mimi Nina maswali ambayo hakuna sheikh Wala mchungaji yotote ameweza ni jibu maana ikumbukwe kua nyuma ya hizi dini Kuna Siri kubwa sana. Tuendelee kumuabudu Mungu baba yetu mlezi maana ya dunia ya sasa yanafurahisha.

  • @davidnyerere2016
    @davidnyerere2016 Před měsícem +6

    Mwenyezi mungu alitoa mwanawe msalabani kwa watu wenye dini tofauti

  • @EllenStephano-pg9hj
    @EllenStephano-pg9hj Před 2 měsíci +4

    Safi sana ndacha mungu akulinde

  • @user-vb4ek9jd7x
    @user-vb4ek9jd7x Před 2 měsíci +27

    Yesu ndiye njia ya pekee ya kwenda mbinguni

    • @whitetigerprincy5882
      @whitetigerprincy5882 Před 2 měsíci +2

      Waislam ni wapinga kristo 😢😢😢😢😢

    • @lulkul7784
      @lulkul7784 Před 2 měsíci

      Yesu c mungu yesu ni mtume wa mwenyezi Mungu njia ya pekee ni njia ya Allah subhanallahu wataalaa......na njia ya haki ni usilamu

    • @muhamedbashir2661
      @muhamedbashir2661 Před 2 měsíci

      Baba soma yohana yesu alikuwa maskini ndo maana kashindwa kuhiji

    • @lucasmisati6086
      @lucasmisati6086 Před měsícem

      Amina

    • @maulidsuleh4924
      @maulidsuleh4924 Před 10 dny

      Jasho linamtoka pastor

  • @gediontumaini1285
    @gediontumaini1285 Před 4 měsíci +19

    Ndacha Mungu akuongezee hekima zaindi kwa Jina la Yesu.

    • @OmyGizo
      @OmyGizo Před 2 měsíci

      Csasa ivi mna silkilizaa au unajbu swali la kitabuvinginau mmekwama

  • @JeanbaptisteMwenyemali
    @JeanbaptisteMwenyemali Před měsícem +2

    Kiukweli nimechanganyikiwa jibu yenu nyinyi wote ni kwamba .
    Kwaimani yangu Mungu na dini yangu wako Rohoni mwangu .
    Imaniangu ndo kilakitu

  • @ashakijaji5869
    @ashakijaji5869 Před dnem

    MUNGU ni mmoja tu,wakristo makanisani mnamuongeleaga sana Yesu,mmesahau nguvu zote na MIUJIZA kapewa na MUNGU,Tumsujudie ALLAH.

  • @barakafondo8090
    @barakafondo8090 Před 4 měsíci +5

    Waslaimu kwisha , Ndacha be blessed

  • @pauluyagirwe6189
    @pauluyagirwe6189 Před 4 měsíci +5

    Ubarikiwe sana Mch Ndacha

  • @NeemaMashiku
    @NeemaMashiku Před 2 měsíci +3

    Hakuna Dini kama uko safi ndani ya moyo wako, mujueni mungu kwa kufaata sheria zake ... Sio kutambiana Dini..Ndacha hongera, majibu yako, kumbuka hata yesu alijaribiwa na shetani but nae yesu hakujibu tofauti na bible

  • @kabarezephanie3573
    @kabarezephanie3573 Před 2 měsíci +5

    Ndacha wewe nimwalimu kbsa ❤❤❤

  • @islamninja8306
    @islamninja8306 Před 5 měsíci +13

    Ndacha anakwepa ukweli hali ya kua unajua sababu ya maslahi ya kidunia, Mwenyezi Mungu atuongoze tusiwe ni wenye kupotea 🤲

  • @user-ws6kn8tp3x
    @user-ws6kn8tp3x Před 4 měsíci +5

    Ndacha you are a blessing to christians

  • @rizikikasangandjo6018
    @rizikikasangandjo6018 Před měsícem +1

    Ubarikiwe pasteur ndasha.

  • @user-os5yq3pg2e
    @user-os5yq3pg2e Před 3 měsíci +2

    Ndacha uko sawa big up mwalim , wacharase🎉

  • @kassimmwandoro4092
    @kassimmwandoro4092 Před 2 měsíci +1

    DR Sule mungu akupe afya na hekima zaidi na kuraani haijabakisha kitu ila ni ubishi tu kwa wasio na elimu.

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 Před 5 měsíci +24

    Ndacha Mungu kakupa hiyo kazi kwa makusudi,mtumikie yeye

  • @user-sh9mn1ir5q
    @user-sh9mn1ir5q Před 4 měsíci +3

    Pastor Ndacha Mungu akulinde wapukutishe waislamu kwa maandiko

  • @mjombawallace4966
    @mjombawallace4966 Před 38 minutami

    Ndacha mungu akupe uhai mzuri naulinzi baba 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @user-qj3mq4nk4c
    @user-qj3mq4nk4c Před 2 měsíci +1

    Yaaaani huyoooo ndachaaaa hajibuuu swaliiii anatoa maelezooo anakeraaaaalooooh bt i am proud to be muslim i love muhammad❤❤❤❤ sws

  • @CatherineGodfrey-dx2uo
    @CatherineGodfrey-dx2uo Před měsícem +2

    Amen god teaher work sewing

  • @ShabanKiringi
    @ShabanKiringi Před 14 dny +1

    Congratulations Ndacha

  • @mambilemembe8892
    @mambilemembe8892 Před 2 měsíci +7

    🎉❤❤❤ndacha nimekukubali,yesu ni bwana

    • @adnanel-islam3291
      @adnanel-islam3291 Před měsícem

      Hamna dini nyie anachukua aya azitakazo kwenye kitabu hicho nyengine anazikataa Hamna dini wakristo mnayumbishwa tu

    • @CatherineGodfrey-dx2uo
      @CatherineGodfrey-dx2uo Před měsícem

      Okay honger very now god

  • @egidideule7285
    @egidideule7285 Před 4 měsíci +4

    Mim nafurahi sana kweli zinapo Julikana kama hivi neno linaongea Bwana Yesu asifiwe

  • @LovelyAntenna-eq9fv
    @LovelyAntenna-eq9fv Před 4 měsíci +4

    Nakupenda xana ndaacha mjasiri❤

  • @aminanekesa3718
    @aminanekesa3718 Před měsícem +1

    Mdahalo wa Elimu jamani😂d'alibi za Ndacha ziinaonekana kama hana éliminer ya kutosha Allah Akulinde Sheih Dr sule❤

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k Před 5 měsíci +10

    Shekhe nakupenda kwaajili ya Allha yan Allha awajalie afya njema

  • @francessimilanzi4545
    @francessimilanzi4545 Před 5 měsíci +5

    Mungu akubariki paster ndacha

  • @Official_Sunday_Mjeda
    @Official_Sunday_Mjeda Před měsícem +1

    Jamn ulizi wa binadam kwny mamb ya mungu yajay yanafuraisha kweli kweli

  • @geofreykosgei202
    @geofreykosgei202 Před 3 měsíci +2

    Nafurahia mafundisho,i learned and i grew up knowing that the Bible was written by inspired men of God

  • @jacksonmwamkinga8729
    @jacksonmwamkinga8729 Před 3 měsíci +2

    Pastor upo vizuri sana

  • @wideman8362
    @wideman8362 Před 5 měsíci +10

    Kiukweli namkubali dr suley ila ndacha hana mpinzani hapo

  • @petermwelesa1749
    @petermwelesa1749 Před 2 měsíci +2

    Amen kwa mwalimu wa bibilia

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Před 9 dny

    Ndacha elimu ndogo, doctor Sulley uko juu sn MashALLAHu

  • @dominickyalo5517
    @dominickyalo5517 Před 2 měsíci +2

    Ndacha Mungu akuzidishie hekima

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Před 5 měsíci +11

    Mashaallah dk swule

  • @threebrothers..
    @threebrothers.. Před 3 měsíci +5

    Endeleeni kutukuza maiti, Muhammad

  • @BonnyKandada
    @BonnyKandada Před 21 dnem

    Ubarikiwe sana kabisa mtumishi wa Mungu

  • @PriscillaThadeo
    @PriscillaThadeo Před 3 měsíci +4

    Yesu ni Bwana na mwokozi wa maisha yangu EFATHA

  • @RinoMajembe
    @RinoMajembe Před měsícem

    Dr. Sule hao unawaweza mungu akulinde shekhe wangu

  • @user-lq6fd4tv4m
    @user-lq6fd4tv4m Před 2 měsíci +2

    Nakubali ukristo

  • @JoaomarcelinoRumba-io8wk
    @JoaomarcelinoRumba-io8wk Před měsícem

    Mtumishi WA mungu mungu akulinde na azidi kukubaliki bwana yesu asifiwe Milele Im from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @JofreyAbdala
    @JofreyAbdala Před 2 měsíci +1

    Jaman hzo nkama vta kilaamt aamin kiviake me nampenda yesu aamina mtumishi yesu kasema wawili au watatu na yeye atakuwepo

  • @user-yc4ui2kn8c
    @user-yc4ui2kn8c Před měsícem +1

    Yes hajielezi mwenyewe kwamba bibiliya ni kitabu cya mungu, baali manabi ndo humtambulisha. Anasema hivi:
    Maandiko na unabi wote unanitambulisha mimi. Kwa hiyo swali lenyewe ni ukorofi.

  • @ZakariaAlly-vq2rd
    @ZakariaAlly-vq2rd Před 5 měsíci +9

    Doctor sule Allah akubarik ukupenguvu uweze kuwabana wabaya wadini akuingize peponi

  • @whitetigerprincy5882
    @whitetigerprincy5882 Před 2 měsíci +10

    Ndacha nakupenda saana hadi kifo kunichukue

    • @AdeshMoha-ir4be
      @AdeshMoha-ir4be Před měsícem

      Kuele ama pasta wanawadanganya anaulizwa swali anaruka swali kwani hamna maskio ama😮😅 namuoni ama

    • @whitetigerprincy5882
      @whitetigerprincy5882 Před 13 dny

      ​@@AdeshMoha-ir4beSoma bibilia

  • @lulkul7784
    @lulkul7784 Před 2 měsíci +3

    Dr sulle 🔥mungu akulinde sheikh masha allah

  • @user-cq5pt8zy7t
    @user-cq5pt8zy7t Před 4 měsíci +27

    Bibilia ni mkusanyiko wa vitabu hapo Ndacha nakubaliana na wewe🙏🙏

  • @charleskamau645
    @charleskamau645 Před 2 měsíci +2

    Mimi wakati nilikuwa Kenya tuliongea na Muislam mmoja huko Muranga na wakati tuliachana aliniambia neno langu kuhusu Mungu ni nzuri na angetaka siku fulani niende kwake tuongee na akaniambia mahali tutakurana. Nilifurahi sana na nikaambia Mungu anipe neno lile nitaenda kumwambia huyo muislamu. Nilipofika nyumbani kwangu nikaomba na nikalala lakini kwenye vision nikasikia sauti ya Mungu ikiniambia nisiende kwa huyo muislam sababu ana jama ya kuniua. Kwa hivyo sikwenda kwake. Pia Mungu aliniambia Allah ( mungu wa waislamu ni sanamu yani an idol god who cannot talk or hear and thats why they fight for him to the point of even killing somebody who opposes their god. For me nobody told me that Allah is an idol god but God himself spoke to me that day. Its a day l will never forget.

  • @deogratiusarkadmrosso3924
    @deogratiusarkadmrosso3924 Před 3 měsíci +8

    Mungu akubarik ndacha

  • @JosephNyabero
    @JosephNyabero Před 4 měsíci +2

    Amen,mukusanyiko wa vitabu.

  • @user-nz2sk8tk1o
    @user-nz2sk8tk1o Před 2 měsíci +1

    Amina amina umenena baba yesu akuongeze

  • @mathewhabyarimana4271
    @mathewhabyarimana4271 Před 2 měsíci +1

    Ubarikiwe Mwalimu Ndacha

  • @charleskamau645
    @charleskamau645 Před 2 měsíci +2

    Waislamu wa huko Kenya mkitaka kujua neno la Mungu na mambo ya Holy Spirit of God mtafute mtu kutoka church of God wale tunavaa nguo ndefu kama ninyi lakini hatuvai kofia kama vile mnafanya. Yule muislamu ataenda huko atafundishwa ukweli wote na vile Mungu hutaka watu wake wakae wakijitaarisha kwa kurudi kwa Yesu mara ya pili kuchukuwa walio wake. Waislamu wote hawajaokoka pamoja na wale wanajiita wakristo na hawajaokoka wote wataenda motoni milele na milele.

  • @MussaSelemane-yz1cj
    @MussaSelemane-yz1cj Před 19 dny

    Ukristo ni dini ambae mungu anatumpenda

  • @abasingaruka1872
    @abasingaruka1872 Před 4 měsíci +20

    Mimi ni mwislamu, Nakubali majibu ya ndacha, Sule acha uoga kuleta ukorofi

  • @thomasshuhulichimbeja7441
    @thomasshuhulichimbeja7441 Před 3 měsíci +3

    ndacha be blessed

  • @apostlepeter2411
    @apostlepeter2411 Před 19 dny

    Ameeeen Yesu wetu asifiwe walimu nguvu za Yesu ziwe nanyi

  • @user-su5jq6zl4o
    @user-su5jq6zl4o Před 4 měsíci +1

    Sheik dr sule mungu akupe maisha malefu

  • @MichaelNyobange-ss5pp
    @MichaelNyobange-ss5pp Před 3 měsíci +5

    Pastor Ndache you are a true pastor

  • @user-ty8ci5oi9m
    @user-ty8ci5oi9m Před 2 měsíci +2

    Kwani wa Isilamu mtaendelea lini kujiweka vitambaa kwa macho wacha nikwambie ukifuatilia bibilia ukaona agano lakale na agano lipya kama Yesu agekataa kukuja kuwaokoa musingeishi vizurii maana zamani ukifanya dhambii ulikua ukiwuliwa na Mungu au uwekwe msalabani. Na kila mtu wa kawaida alikua hana Uezo wakumuongelesha Mungu. Lakini kwa sasa juu ya JESUS unaishi na sio waminifu wako nyie wa ililamu nawapia hukuna kufika Mbinguni Bira gupitia Yesu Kristo labda ukitubu.🙏🙏

  • @jamuhurialiwazir4685
    @jamuhurialiwazir4685 Před 5 měsíci +7

    Yaa Alha
    Msirimishe ndacha
    ii ni Atari sana .

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 Před 5 měsíci

      Aameen, but hadi Allaah amuongoze, sababu ndacha hajali kuenda motoni kwasababu ukweli wote ndacha anaujua, ya kwamba uislamu ndio dini ya hakki, na kama sio ya ukweli ndacha atoe aya yake

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 Před 5 dny

      Kwa sababu ana washinda 😂

  • @RogerJulius-le3xs
    @RogerJulius-le3xs Před 29 dny

    Hawakuwezi hao mungu akutie nguvu kamand ipo siku na sisi tunapigania din yetu tupo pamoja

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 Před 2 měsíci +2

    Huyu jamaa Mbona kanyosha jibu fresh tu

  • @UddymanThegreat
    @UddymanThegreat Před 2 měsíci +5

    Namshukuru allah kwakunipa dini ya haki islam ndio dini yangu

    • @DrUno-kp8go
      @DrUno-kp8go Před 2 měsíci

      😂😂😂

    • @lulkul7784
      @lulkul7784 Před 2 měsíci

      Alhamduliliah proud to be a Muslim ❤

    • @Raymtumishi
      @Raymtumishi Před 2 měsíci

      Mjinga wee mbinguni hatuend kwa dini

  • @peteremanuel8022
    @peteremanuel8022 Před 5 měsíci +3

    Wewe dr sule huna elimu ya kutushawishi kuingia uislamu. Ndacha ni mwalimu wenu. Na yesu ndiye njia kweli na uzima hakuna mwingine

  • @MichaelNyobange-ss5pp
    @MichaelNyobange-ss5pp Před 3 měsíci +7

    I love pastor Ndache you are a true pastor of God

    • @hafidhmohd8696
      @hafidhmohd8696 Před 3 měsíci

      mwambie ajibu swali sio kutofautisha baina ya sule na wanavuoni
      swali andiko la kusema bibliya ni kitabu chake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @daniellourencojaime
    @daniellourencojaime Před 4 měsíci +2

    BWANA YESU KRISTO ATUKUZWE,ATA MUKAFANHAJE AMUWEZI KUPOTOSHA YESU KRISTO.MIMI BADO NIPO KWA YESU KRISTO MILELE,ATA IWEJE.🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Před 4 měsíci +1

    Mashaallah mashaallah Allah akbar Allah akbar ndacha jubu swali acha kukwepa

  • @HenryAmongo
    @HenryAmongo Před 2 měsíci +1

    Dr Nsule ana marifa.

  • @pettybrown2655
    @pettybrown2655 Před 5 měsíci +5

    Pastor ndacha GOD guide and give you more power and strength

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před 4 měsíci +1

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉 Ubarikiwe mchungaji

  • @kennethjunior6071
    @kennethjunior6071 Před 4 měsíci +9

    Ndacha you are great

  • @methodkakoni2712
    @methodkakoni2712 Před 3 měsíci +1

    Ndacha mungu akubariki

  • @mohamedmohamud9691
    @mohamedmohamud9691 Před 4 měsíci +4

    Huyu ndacha badala ya kujibu maswali moja kwa moja anajifanya mjanja kwa kuleta topic tofauti ili kuchanganya watu. Hana mwelekeo hutu ndacha mnao wasikiliza bali ni mbishi anae piga ma kelele ili kuichanganya na kupotosha fikra za watu. Hii ni Aibu kubwa mno.

    • @SuleshKE
      @SuleshKE Před měsícem +1

      Wewe unamwelekeo jibu

  • @nahashongichine4877
    @nahashongichine4877 Před 4 měsíci +8

    I love how people in the great nation of Tanzania co-relate together, both Muslims n Christians live together in peace n love

  • @nicholasonsomuoyaro9549
    @nicholasonsomuoyaro9549 Před 2 měsíci +1

    Kutamka si hoja! KAZI aliyoifanya Yesu yadhihirisha Biblia ni neno la Mungu.

  • @issackmohamed9429
    @issackmohamed9429 Před 3 měsíci +1

    Love Dr sulle you are true Dr sulle.🎉❤

  • @user-ln5lt4pl7m
    @user-ln5lt4pl7m Před 3 měsíci

    Nashukuru Mwenyezi Mungu kwaku nitowa kwenye ukritu nakuni fanya Muisilamu

  • @user-tx1zr3kb1j
    @user-tx1zr3kb1j Před 2 měsíci +1

    😅😅😅😅ubarikiwe sana pastor

  • @Kanyabobothefirstborn
    @Kanyabobothefirstborn Před 3 měsíci +1

    You good to go pastor ndacha may God bless you tell them the truth

  • @princejsong73170
    @princejsong73170 Před 3 měsíci +2

    God bless you pst Ndacha.
    Although the venue was biased, you always beat the odds

    • @AdeshMoha-ir4be
      @AdeshMoha-ir4be Před měsícem

      Ni pastor wakuru karuka kuliko wajibu swali anaitwa pasta ndacha endelea tu kuwadanganya wapange mzuri panga wao mzuri😂😂😅😅

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 Před 5 měsíci +7

    namuona mazinge Allah awafurahishe nyote

    • @ritchiemuta1092
      @ritchiemuta1092 Před 3 měsíci

      Ni komedi huyu jamaa huwa ajibi swali gumu bali kuleta vichekesho

  • @reaganpatrick3323
    @reaganpatrick3323 Před 4 měsíci +1

    Congratulations ndacha

  • @user-dr4oh5xk1j
    @user-dr4oh5xk1j Před 5 měsíci +6

    Ndacha acha Kona Kona jibu swali

  • @user-uz8rx9ft1z
    @user-uz8rx9ft1z Před 3 měsíci +1

    Ndacha ubalikiwe sana