HILI APA SWALI LA DK SULE LILILOZUA GUMZO KWA PASTA NDACHA KUSHINDWA KUJIBU.
Vložit
- čas přidán 16. 12. 2023
- Kwa mahitaji ya Qaswida Mpya, Tenzi, Mawaidha, Nasheed, na matukio mbali mbali ya kijamii, usisahau ku SUBSCRIBE, LIKE, COMEENT, SHARE ili uwe wa mwanzo kupata matukio hayo kila yanapotoka kwa wakati sahihi.
Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana nasi kupitia simu No.
Whatsapp. +255772285543
Call. +255772285543
ASANTENI NA KARIBUNI. - Hudba
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Ndacha MUNGU akupe umri mrefu
Mungu awe nawe daima mchungaji mkristo
Ndacha Mungu akulinde akuongezee maisha marefu unajua sana
Congratulations ndacha mashaalah Mungu kakujalia wewe akueke miaka mingi urndelee kufunza wengi
asante
Mtumishi wa Mungu Ndacha.Mungu Akutunze na akupe Afya njema.
Anae juu huu mchungaji aniunganishe nimpe hâta kidogo jamani
Allah wafahamishe wote wahaziri wadini ufaham mzur..
1:03 @@desirendikuriyo7557
Bwana YESU krisito asifiwe Sana damu ya Yesu inanena mema
Huyu ndacha mpaka kiama hawezi kujibu maswali
Kunawatu wariebarikiaw ndacha mungu akubarikik❤❤❤❤❤
Ndacha Mungu akuinuwa sana tena sana ❤❤❤❤❤
Yesu ni mwokozi wangu tena nikiongozi wangu nampenda sana
Mbona yesu ajaoa wewe unampenda atakuganyia nn
@@RinoMajembe ndio hajaoa kwa sababu sio kitu kilikuwa kinamuletaga hapa kwa dunia
Munjungaji mkrsito hongera sana mungu akubariki sana
Sifa nautukufu zamwenyezi mungu ziwe pamoja Nawe mtumishi wamungu yesu Cristo akupe nguvu pasta
Ata nibaki pekeyangu nitabaki kuhamini yesu Christ nibwana namokozi wamaisha yangu amen
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Mbona bado nimasikini kama kakuokolea maisha yako
Ameeeeeeeeeeeeeen
WW una akiri
هل تؤمن بأن لديك اب ثاني فإذا قلت لا، كذلك نحن الإسلام لا نؤمن إلا بالله وحده والمسيح عيسى لبن مريم ليس إلا رسول الله وخلقه الله من طين كمثل ادم عليه السلام
Ndacha mungu aendelee kukutumia
Docta Allah akupe umri mrefu ili uelimishe watu dini Ya Mungu.
Tazama Ndacha anavyo jibu swala. Yaan unaona kabisaa huyu Kuna roho mtakatifu anamuongiza kujibu maswala yoyote alafu watuu wako wengii anao wajibuu mungu akubalikii
Waislam mpka wa elewe ni kazi kwanza Wana vurugu maana jibu likitika wanataka kulipinga wakati ukweli tazameni wenyewe mnaona hapoo hao ni walimu wakubwa wa dini katika mdaahalo wanachokifanyaa 😢😢😢
Ndacha hajibu swali directly kiufupi alichohitaji sule hapo naona Kaama vile kwenye Quran Allah subhana wataala ameidhinisha kua Quran ni kitabu chake na hata Mtume as well ameliongea hilo, Sasa nadhan sule alitaka Ndacha ajibu kua Bwana yesu kristo wap amesema kua Biblia ni kitabu cha mungu? Kiufupi hakuna mahali Yesu aliposema hivyo bali Biblia ni kama ndacha alivyosema ni mchanganyiko wa vitabu, Ila kwa maarifa yangu naona watu wa hekima wa enzi hizo ndio walifanya zoez la kuunda kitabu hicho Yani kukusanya mafundisho muhimu ndani ya kitu kimoja kimoja ndio ikatoka Biblia inamaana kipindi Yesu kristo yupo huo mkusanyiko wa vitabu(Bible) haukua una exist bali pale yesu kristo alipoondoka watu wenye hekima wa enzi na wenye kuamini ndio walio fanya shughuli hiyo, na ndio maana tunaona tuna agano jipya na la kale hili jipya ni marekebisho ya la kale, Kwa kuongozea Quran tukuf ilishushwa na alishushiwa Mtume Mohammed S.A.W na Mungu baba mlezi kupitia malaika wake Jibreal(Gabriel) wakat wa ramadhan pia hio hio Quran ni muendelezo na mkusanyiko wa vitabu vilivyo pita kama vile Injil, Zaburi, Taurat nk. Kwa Imani ya Islamic inasema Yesu kristo ambae ni Nabii Issa alahi Salam alikua na Injil ndio kitabu chake kwa wakati alio hudumia. Kiufupi haya mambo ya dini ukileta udini sana basi huwezi pata jibu kamili na huzua mzozo sana ambao haujawahi kuisha na wakati mwengine unaleta chuki sana kwenye jamii yetu, Binafsi Mimi Nina maswali ambayo hakuna sheikh Wala mchungaji yotote ameweza ni jibu maana ikumbukwe kua nyuma ya hizi dini Kuna Siri kubwa sana. Tuendelee kumuabudu Mungu baba yetu mlezi maana ya dunia ya sasa yanafurahisha.
Mwenyezi mungu alitoa mwanawe msalabani kwa watu wenye dini tofauti
Safi sana ndacha mungu akulinde
Yesu ndiye njia ya pekee ya kwenda mbinguni
Waislam ni wapinga kristo 😢😢😢😢😢
Yesu c mungu yesu ni mtume wa mwenyezi Mungu njia ya pekee ni njia ya Allah subhanallahu wataalaa......na njia ya haki ni usilamu
Baba soma yohana yesu alikuwa maskini ndo maana kashindwa kuhiji
Amina
Jasho linamtoka pastor
Ndacha Mungu akuongezee hekima zaindi kwa Jina la Yesu.
Csasa ivi mna silkilizaa au unajbu swali la kitabuvinginau mmekwama
Kiukweli nimechanganyikiwa jibu yenu nyinyi wote ni kwamba .
Kwaimani yangu Mungu na dini yangu wako Rohoni mwangu .
Imaniangu ndo kilakitu
MUNGU ni mmoja tu,wakristo makanisani mnamuongeleaga sana Yesu,mmesahau nguvu zote na MIUJIZA kapewa na MUNGU,Tumsujudie ALLAH.
Waslaimu kwisha , Ndacha be blessed
Ubarikiwe sana Mch Ndacha
Hakuna Dini kama uko safi ndani ya moyo wako, mujueni mungu kwa kufaata sheria zake ... Sio kutambiana Dini..Ndacha hongera, majibu yako, kumbuka hata yesu alijaribiwa na shetani but nae yesu hakujibu tofauti na bible
Ndacha wewe nimwalimu kbsa ❤❤❤
Ndacha anakwepa ukweli hali ya kua unajua sababu ya maslahi ya kidunia, Mwenyezi Mungu atuongoze tusiwe ni wenye kupotea 🤲
Ndacha you are a blessing to christians
Ubarikiwe pasteur ndasha.
Ndacha uko sawa big up mwalim , wacharase🎉
DR Sule mungu akupe afya na hekima zaidi na kuraani haijabakisha kitu ila ni ubishi tu kwa wasio na elimu.
Ndacha Mungu kakupa hiyo kazi kwa makusudi,mtumikie yeye
Ukweli
Pastor Ndacha Mungu akulinde wapukutishe waislamu kwa maandiko
Ndacha mungu akupe uhai mzuri naulinzi baba 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Yaaaani huyoooo ndachaaaa hajibuuu swaliiii anatoa maelezooo anakeraaaaalooooh bt i am proud to be muslim i love muhammad❤❤❤❤ sws
Amen god teaher work sewing
Congratulations Ndacha
🎉❤❤❤ndacha nimekukubali,yesu ni bwana
Hamna dini nyie anachukua aya azitakazo kwenye kitabu hicho nyengine anazikataa Hamna dini wakristo mnayumbishwa tu
Okay honger very now god
Mim nafurahi sana kweli zinapo Julikana kama hivi neno linaongea Bwana Yesu asifiwe
Nakupenda xana ndaacha mjasiri❤
Mdahalo wa Elimu jamani😂d'alibi za Ndacha ziinaonekana kama hana éliminer ya kutosha Allah Akulinde Sheih Dr sule❤
Shekhe nakupenda kwaajili ya Allha yan Allha awajalie afya njema
Mbona kashindwa Sule 😂
Mungu akubariki paster ndacha
Jamn ulizi wa binadam kwny mamb ya mungu yajay yanafuraisha kweli kweli
Nafurahia mafundisho,i learned and i grew up knowing that the Bible was written by inspired men of God
Pastor upo vizuri sana
Kiukweli namkubali dr suley ila ndacha hana mpinzani hapo
Hawamiezi hawa wakosa hoja
Amen kwa mwalimu wa bibilia
Ndacha elimu ndogo, doctor Sulley uko juu sn MashALLAHu
Ndacha Mungu akuzidishie hekima
Mashaallah dk swule
Endeleeni kutukuza maiti, Muhammad
saana ti
Ubarikiwe sana kabisa mtumishi wa Mungu
Yesu ni Bwana na mwokozi wa maisha yangu EFATHA
Dr. Sule hao unawaweza mungu akulinde shekhe wangu
Nakubali ukristo
Mtumishi WA mungu mungu akulinde na azidi kukubaliki bwana yesu asifiwe Milele Im from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Jaman hzo nkama vta kilaamt aamin kiviake me nampenda yesu aamina mtumishi yesu kasema wawili au watatu na yeye atakuwepo
Yes hajielezi mwenyewe kwamba bibiliya ni kitabu cya mungu, baali manabi ndo humtambulisha. Anasema hivi:
Maandiko na unabi wote unanitambulisha mimi. Kwa hiyo swali lenyewe ni ukorofi.
Doctor sule Allah akubarik ukupenguvu uweze kuwabana wabaya wadini akuingize peponi
Amiyn ya Rabin
Aaaamin
Ndacha nakupenda saana hadi kifo kunichukue
Kuele ama pasta wanawadanganya anaulizwa swali anaruka swali kwani hamna maskio ama😮😅 namuoni ama
@@AdeshMoha-ir4beSoma bibilia
Dr sulle 🔥mungu akulinde sheikh masha allah
Bibilia ni mkusanyiko wa vitabu hapo Ndacha nakubaliana na wewe🙏🙏
Ndacha hadanganye
Mimi wakati nilikuwa Kenya tuliongea na Muislam mmoja huko Muranga na wakati tuliachana aliniambia neno langu kuhusu Mungu ni nzuri na angetaka siku fulani niende kwake tuongee na akaniambia mahali tutakurana. Nilifurahi sana na nikaambia Mungu anipe neno lile nitaenda kumwambia huyo muislamu. Nilipofika nyumbani kwangu nikaomba na nikalala lakini kwenye vision nikasikia sauti ya Mungu ikiniambia nisiende kwa huyo muislam sababu ana jama ya kuniua. Kwa hivyo sikwenda kwake. Pia Mungu aliniambia Allah ( mungu wa waislamu ni sanamu yani an idol god who cannot talk or hear and thats why they fight for him to the point of even killing somebody who opposes their god. For me nobody told me that Allah is an idol god but God himself spoke to me that day. Its a day l will never forget.
Mungu akubarik ndacha
Amen,mukusanyiko wa vitabu.
Amina amina umenena baba yesu akuongeze
Ubarikiwe Mwalimu Ndacha
Waislamu wa huko Kenya mkitaka kujua neno la Mungu na mambo ya Holy Spirit of God mtafute mtu kutoka church of God wale tunavaa nguo ndefu kama ninyi lakini hatuvai kofia kama vile mnafanya. Yule muislamu ataenda huko atafundishwa ukweli wote na vile Mungu hutaka watu wake wakae wakijitaarisha kwa kurudi kwa Yesu mara ya pili kuchukuwa walio wake. Waislamu wote hawajaokoka pamoja na wale wanajiita wakristo na hawajaokoka wote wataenda motoni milele na milele.
Ukristo ni dini ambae mungu anatumpenda
Mimi ni mwislamu, Nakubali majibu ya ndacha, Sule acha uoga kuleta ukorofi
Wewe ni muislam kweli au unataka kuuchafua tu uislam
😂😂😂
Ww si mwislamu ni mnafiki tu
@@farhiaabdii8279hipo siku utajua yesu ndio njia maanake Sasa hupo kwenye giza
Halaf usituone sisi waislam watoto eenh
ndacha be blessed
Ameeeen Yesu wetu asifiwe walimu nguvu za Yesu ziwe nanyi
Sheik dr sule mungu akupe maisha malefu
Pastor Ndache you are a true pastor
Kwani wa Isilamu mtaendelea lini kujiweka vitambaa kwa macho wacha nikwambie ukifuatilia bibilia ukaona agano lakale na agano lipya kama Yesu agekataa kukuja kuwaokoa musingeishi vizurii maana zamani ukifanya dhambii ulikua ukiwuliwa na Mungu au uwekwe msalabani. Na kila mtu wa kawaida alikua hana Uezo wakumuongelesha Mungu. Lakini kwa sasa juu ya JESUS unaishi na sio waminifu wako nyie wa ililamu nawapia hukuna kufika Mbinguni Bira gupitia Yesu Kristo labda ukitubu.🙏🙏
Yaa Alha
Msirimishe ndacha
ii ni Atari sana .
Aameen, but hadi Allaah amuongoze, sababu ndacha hajali kuenda motoni kwasababu ukweli wote ndacha anaujua, ya kwamba uislamu ndio dini ya hakki, na kama sio ya ukweli ndacha atoe aya yake
Kwa sababu ana washinda 😂
Hawakuwezi hao mungu akutie nguvu kamand ipo siku na sisi tunapigania din yetu tupo pamoja
Huyu jamaa Mbona kanyosha jibu fresh tu
Hawezi akaelewa kama Hana d mbili
Namshukuru allah kwakunipa dini ya haki islam ndio dini yangu
😂😂😂
Alhamduliliah proud to be a Muslim ❤
Mjinga wee mbinguni hatuend kwa dini
Wewe dr sule huna elimu ya kutushawishi kuingia uislamu. Ndacha ni mwalimu wenu. Na yesu ndiye njia kweli na uzima hakuna mwingine
I love pastor Ndache you are a true pastor of God
mwambie ajibu swali sio kutofautisha baina ya sule na wanavuoni
swali andiko la kusema bibliya ni kitabu chake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
BWANA YESU KRISTO ATUKUZWE,ATA MUKAFANHAJE AMUWEZI KUPOTOSHA YESU KRISTO.MIMI BADO NIPO KWA YESU KRISTO MILELE,ATA IWEJE.🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Mashaallah mashaallah Allah akbar Allah akbar ndacha jubu swali acha kukwepa
Dr Nsule ana marifa.
Pastor ndacha GOD guide and give you more power and strength
God works with hearts not heads! All these these people do not know either God or His word
Wakorofi nyote
Pawagani hadi ja jibu suali anaruka swali masikio ama ona ama
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉 Ubarikiwe mchungaji
Ndacha you are great
Ndacha mungu akubariki
Huyu ndacha badala ya kujibu maswali moja kwa moja anajifanya mjanja kwa kuleta topic tofauti ili kuchanganya watu. Hana mwelekeo hutu ndacha mnao wasikiliza bali ni mbishi anae piga ma kelele ili kuichanganya na kupotosha fikra za watu. Hii ni Aibu kubwa mno.
Wewe unamwelekeo jibu
I love how people in the great nation of Tanzania co-relate together, both Muslims n Christians live together in peace n love
Kutamka si hoja! KAZI aliyoifanya Yesu yadhihirisha Biblia ni neno la Mungu.
Love Dr sulle you are true Dr sulle.🎉❤
Nashukuru Mwenyezi Mungu kwaku nitowa kwenye ukritu nakuni fanya Muisilamu
sio ukristu bwege ww
😅😅😅😅ubarikiwe sana pastor
You good to go pastor ndacha may God bless you tell them the truth
God bless you pst Ndacha.
Although the venue was biased, you always beat the odds
Ni pastor wakuru karuka kuliko wajibu swali anaitwa pasta ndacha endelea tu kuwadanganya wapange mzuri panga wao mzuri😂😂😅😅
namuona mazinge Allah awafurahishe nyote
Ni komedi huyu jamaa huwa ajibi swali gumu bali kuleta vichekesho
Congratulations ndacha
Ndacha acha Kona Kona jibu swali
Ndacha ubalikiwe sana