God has now filled men with His Holy spirit to fearlessly come out and call sin a sin,,,,and among them is pr.Ndacha ...continue with this powerful Gospel pr,because we have no time,Jesus is coming soon.God bless you.
This sermon really amazing it's confusing who doesn't know who is God.. but all in all..we believe Jesus christ as our sevior and Saturday is the day to rest ❤❤❤❤
Ewee kafri ulie laaniwa namungu katika injili nataurat nazabur naquraan...Bblia insma kanisnai kuna kiti cha enzi chashetan. Iksma tena munapo kusanyika kanisani sikwafaida Bali nikwahasara.iksma walio lala katika kiristo wamepotea...kwann mupotee najua iko kwa uislam .nabii yesu hakuenda kanisani wala hakuwatuma Muende huko kanisani kwa shettan. Munafanya nn huko kwenye shetan??mabishop napamsta makuhani wote hao niwanachama washetani..wao wanwpoteza ninyi wafuaci ili Riziki yao itokao kwahetan waikose...bc njoon kwenye njia ya uzima kwuislam...
Nani waliopotea nakupotezwa kama si nyinyi makafiri wakiristo? Tunamuomba Allah atuepushe na upotovu wenu huo. Hivi hata huoni ni kwa kiasi gani wakiristo wenzako wanavyosilimu wanapoiona haki inayotoka kwa Mola wao? Na miongoni mwao ni hao wakubwa wenu katika mapadri na wengineo basi hivi hutafakari? Hebu jiulize iyo dini yako ya ukiristo imetokea wapi kama si uzushi.
@@hanifaabdalla2096 Satani anakudanganya Sana Yesu alisema ndie njia ya ukweli na uzima hakuna mwenye atakae ingia mbinguni bila kupitia kwake.sasa wewe unamufuata Nani????
Shindwa una andiko Yessu anasema mimi ni Mungu wacha kuamini upotovu wa wachungaji Hawa wanajali mambo ya Dunia wala hawajali jinsi gani Mungu atawaadhibu kwa kuwa fuata Hawa wapotoshaji nyie mnadhani Ndacha anawaongoza kumjua Mungu hapana sivyo alivyo fuatilieni mijadala vizuri Kisha wekeni kumbukumbu kwa maneno yake kila siku huwa anabadilisha na kusema vyengine kwa sababu huyo ni mchungaji biblia imewatahadharisha juu ya Hawa wachungaji lakini hataki kuamini hata biblia inapofikia kuwajadili na kuwajua someni wenyewe maandiko mumjue Mungu msiwategemee Hawa
If you were achristian well but if you were amuslim don't be deceived the gay is lying read the complete verse surah 7:163 and understand that was acertain israil community and also 16:124 which talks to the prophet not to follow those who refused to follow Abraham.and he is lying by saying ati siku ya sabato ndiyo siku ya ibada wala siyo ijuma please check well iwill put the full ayah here
Eee bwana wee,Wacha roho ya mungu ikuelekese kwa kila unenapo.Nimefurai jinzi unanenea hao wa islaamu.niko kwao huku SAUTI ARABIA mtu wamungu.be blessed.
Hana ukweli ila shetan wakanisani wamjaa kwakichwa yake..saut yake imkua kama yashetan..ata sura zake zimebadilka kaa zashezan wakanisni..bblia ilisma kanisni kuna kiti cha cha enzi chashetan..ndio hao mashetan wamejaa kwa ndacha..nayeye anatumia nguvu zashetan wakanisa...
Kwani hauna habari muhammad ndie alimdilimisha shetani akawa muislam? Toa ata shetani ni mkristo Mimi nitakutolea ata shetani na majini wore ni waislam na kitabu chao ni quran s
This encouraging and I support Ndacha for what he is doing let's join him so that we may fasten the second coming of Christ so that the word may be witness on the judgment day
😂😂😂😂😂😂 Kubalini kuwa hakuna dini ila uislam tu angalieni katika hii dunia watu wanavyoingia dini ya kiislamu bado tu mme lala na kitabu cha mwingereza na sasa katika Makanisa wanamfundisha LGBT Hamjuwi kama BIBILIA wamebadilisha mambo mengi
Kwa kweli nafuatilia midaharo hii ni nzuri mch Ndacha Mungu akubariki sana jinsi ambavyo Roho wa Mungu anavyokufunulia maandiko unatisha na wahadhiri wengine Wote Mungu awabariki
Ukweli wa Mwenyez Mungu utabaki balebale Sabato ndio Ukweli wa Mwenyenz Mungu utabaki palepale Sabato ilifanyika kwaajili ya Mwanadam yani shehe anaonyeshatu kua anajua ukweli ulipo naipo ck atabatizw
Hii injili inachoma. Vitu vyote vitapita lakini neno litasimama. Pastor Ndacha umejenga Imani yangu na Nina kila sababu ya kuwa Mkristo imara. Mfuasi wa Yesu Kristo
Huyu shekh anapotosha watu...yesu alisema yafaa kutenda kazi njema siku ya Sabato. ..je ng'ombe wako akitumbukia shimoni siku ya Sabato hutamtoa? Someni bana msipoteze muda kulumbana
Huyo jamaa ni chizi. Mapepo yanamsumbua kichwa yake..Ana mapepo elf moja..Atakua wapi na Akili kujua Dini yakiislam. .mwanzo mapepo wamtoke. .kisha ndio ata faham dini yakiislam..Na mukifuata huyo hamutajua ukweli mutakua kwenye giza leusi sana..
@@claudiamartins3504 hahahaa, hakuna andiko lisemalo Yesu ni sabato, BT kuna andiko Yesu ndiye bwana wa sabato na Hiyo sabato iko kwa ajili ya wanadamu
Warumi 14: 5 - 6: Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku, mwingine aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe. Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; tena asiyekula, hali kwa Bwana, naye pia amshukuru Mungu.
Thanks a lot Pastor.these islam have been fighting christianity in all major towns in Kenya.they rebuke the Holy Bible and use it as a novel.since God have used you to reveal to them the truth,what they need,is only Prayers in order for them to know that its only The Bible that has the Truth,Only the Truth and nothing but the Truth.God bless you man of GOD.may God increase you knowledge to spread the good news.I have been blessed by your words.Thank you.
Kama kuna watu waislamu hamtawaweza ni Wasabato....hao watu wanasoma sana.....hamtawaweza waislamu wamesoma mpaka kuruani.....hamuwawezi ile kusema kweli....ndo maana waislamu wengi wanakuwa wasabato.....
Acha oungo taja muislamu mmoja amekua msabato..na kusoma kila mtu anasoma labda wewe hatutishwi na wasabato wala watu w Juma pili..tunaamini mumepotea na mnahitaji msaada
The sabbath was only appointed for those who differed over it. And indeed, your Lord will judge between them on the Day of Resurrection concerning that over which they used to differ. That is what Quran 16: 124 says..
Wahalambu wanafukaka Manduka wana henda kusaali waalambu wana juuwa dini awata funguw manduka mupaka watoke kusaali kuko kalimbu aliwahi kumusuhaniya mtoto wake tena akatomboka sana juu akufunga duka akasema akasema funga tukahenda tuka muchukulu mwenyenzi mungu kwakuwa yeye jo anatupa Barak
Asalam aleykum ndugu zangu naomba niwakumbushe kitu muhim Sana hivi unajua kama tuko safarini tuliianza safari kupitia maji madhaifu ya baba tena yenye kutoa harufu isiopendeza wala kuvutia yakaungana na maji ya mama hii ikawa ndio mwanzo wa safari kisha tukaanza maisha mpya tukiwa tumboni mwa mama tukala kupitia kitovu wala sio mdomo tukaishi kwa miezi kadhaa tulipo toka tumboni tukaja Duniani baada ya kuja Duniani alietuumba akatupa jukum muhim nalo si lingine ni jukum la kumuabudu Allah kwa bahati mbaya watu wengi wamesahau jukum hili wakidhani wamefika wanapo kwenda wanashughulika na mambo yao tu ndugu zangu nawakumbusha safari inaendelea kaburi Lina tungoja vyote tunavyo vitafuta tutaviacha isipokuwa amali zetu ndio tutakazo ondoka nazo (Yani matendo yetu ndio tutakayo ondoka nayao hivyo Basi niwakumbushe pamoja na kukumbusha nafsi yangu kumuabudu Allah haswa ibada ya swala wengi tumeisahau namuomba Allah atupe mwisho mwema
Yesu ndiye sadaka ya kuteketezwa. Hatuitaji tena kutoa kafara ya kuteketeza maana damu ya Yesu imetuosha na kutufanya watakatifu. Nyote waislamu na hawa wasabato mnawapotoza wanaowasikiliza. Mungu awasamehe.
Kuna kuomba na kuabudu waislamu wana'abudu kwa siku mara tano kama vile manibi wote ebu nijulishe ibada gani wakiristo wanafanya kanisani na yesu kafanya
Kile kimenifurahisha ni ya kwamba paster amevaa kanzu . Asante Najivunia kuwa mwislamu. Alafu huyu paster anasoma verses nusunusu kwalaghai wakristo juu hawajui maandiko. Pole umewika iyo yote bado watu wataendelea kuislimu na kanisa kupunguka.
Amen nabarikiwa sana Sisi wa Kristu tumushukur Mungi
Mwalimu Ndacha MUNGU akubariki sanaaaaaa,hakuna jina jingine tupaswalo kuokolewa kwalo ispokua jina la YESU,injili itahubiriwa kwa mataifa yotee
Amen 🙏🙏🙏 glory to Jesus
God bless you mtumishi!! Mungu anakutumia kama chombo chake ubarikiwe Sana.
Asante YESU kwa kumpa mtumishi wako ujasiri,Amen na penda wokovu wa YESU ulio niweka huru.
Good sana uko vzr
Wow, be blessed broh
Ameeeeeeen
Na YESU atashinda , na wafuasi wake kushinda wengine hadi mwisho wa dunia . sio wakristo walio potoshwa bali ni waislamu .
@@abdulhakimhasan7673 puuuuuuuuh
God has now filled men with His Holy spirit to fearlessly come out and call sin a sin,,,,and among them is pr.Ndacha ...continue with this powerful Gospel pr,because we have no time,Jesus is coming soon.God bless you.
YES PASTOR WAAMBIE WAMJUE MUNGU WA KWELI YEHOVA ELOHIM
Twambie ni yupi Mungu wa kweli?
Enock Ndale ubarikiwe wamjue Yesu alie Bwana na mwokozi wetu
@@magdalenajuma6229 Nakusikitikia apo bado hujamjua Mungu wa kweli.
Hakuna mkristo anamjua na kumumini na kumuabudu Mungu wa kweli kama yupo ajitokeze nimuulize masiali kama atajibu
@@godisgreat1845
Ask me
Am here
Muislam..ujue kwanza utofauti ya amri za Mungu na amri za watu,umeleta amri za watu tu
This sermon really amazing it's confusing who doesn't know who is God.. but all in all..we believe Jesus christ as our sevior and Saturday is the day to rest ❤❤❤❤
Basi pastor unaweza kunipa numba yako yasimu ili uje kuhubiri kwetu Rwanda ili kila mtu ajuwe ukweli wa Biblia?
Akuna mtu anaetoka salama akikutana na mwalimu NDACHA 🙌 yani nafrahi sana kuzaliwa katika kristo 💪
From 🇹🇿
True huyu ni Mwalimu Mkuu wa Enjili
amen
Lilian Achieng juma I am warching from Germany 🇩🇪 🇰🇪 this is love GOD bless you 🙏🕎✝️
Hi my dear I'm from tanzania
@@peterjoseph1152 thanks GOD bless you in higher Level 🙏
Thanks to you my
Thanks to you
😂😂😂Ndacha you made my day!!
Umeweza
Yesu akirudi,hata angalia ulikuwa msabato,mkatoliki,muislam,bila kuokoka unaenda kuzimu!Yesu ndie njia!
Kama yesu ndiye njia mbona usimfate.
amen
GOD bless you for giving people a light of heaven the truth of God thank you so much
Jane Kwahada , ubarikiwe Sana kondoo wa BWANA
Ewee kafri ulie laaniwa namungu katika injili nataurat nazabur naquraan...Bblia insma kanisnai kuna kiti cha enzi chashetan. Iksma tena munapo kusanyika kanisani sikwafaida Bali nikwahasara.iksma walio lala katika kiristo wamepotea...kwann mupotee najua iko kwa uislam .nabii yesu hakuenda kanisani wala hakuwatuma Muende huko kanisani kwa shettan. Munafanya nn huko kwenye shetan??mabishop napamsta makuhani wote hao niwanachama washetani..wao wanwpoteza ninyi wafuaci ili Riziki yao itokao kwahetan waikose...bc njoon kwenye njia ya uzima kwuislam...
@@sulehassanshall6140 hujui kitu unasema
Hi my sister
Waislamu bandia plus bonoko😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆hamuwezi kutupoteza sisi Wakristo Injili ya YESU KRISTO IKO louder and clear kabisa 🙏🙏🙌🙌🙌💃💃
Uyo Yesu ndio nani?
Nani waliopotea nakupotezwa kama si nyinyi makafiri wakiristo? Tunamuomba Allah atuepushe na upotovu wenu huo. Hivi hata huoni ni kwa kiasi gani wakiristo wenzako wanavyosilimu wanapoiona haki inayotoka kwa Mola wao? Na miongoni mwao ni hao wakubwa wenu katika mapadri na wengineo basi hivi hutafakari? Hebu jiulize iyo dini yako ya ukiristo imetokea wapi kama si uzushi.
Kwani uusulanu umetoka wapi
@@hanifaabdalla2096
Satani anakudanganya Sana
Yesu alisema ndie njia ya ukweli na uzima hakuna mwenye atakae ingia mbinguni bila kupitia kwake.sasa wewe unamufuata Nani????
@@hanifaabdalla2096 huwezi kumjuwa hadi Ufunuliwe na Roho mtakatifu
Aminaaaaaa YESU NAKUPENDA MUNGU MKUUUU😘😍
Sotw twampenda Yesu Christu....au sio?
Shindwa una andiko Yessu anasema mimi ni Mungu wacha kuamini upotovu wa wachungaji Hawa wanajali mambo ya Dunia wala hawajali jinsi gani Mungu atawaadhibu kwa kuwa fuata Hawa wapotoshaji nyie mnadhani Ndacha anawaongoza kumjua Mungu hapana sivyo alivyo fuatilieni mijadala vizuri Kisha wekeni kumbukumbu kwa maneno yake kila siku huwa anabadilisha na kusema vyengine kwa sababu huyo ni mchungaji biblia imewatahadharisha juu ya Hawa wachungaji lakini hataki kuamini hata biblia inapofikia kuwajadili na kuwajua someni wenyewe maandiko mumjue Mungu msiwategemee Hawa
Amen Amen bwana yesu anastahili sifa nimeamini yesu ndjye njia ya uzima
If you were achristian well but if you were amuslim don't be deceived the gay is lying read the complete verse surah 7:163 and understand that was acertain israil community and also 16:124 which talks to the prophet not to follow those who refused to follow Abraham.and he is lying by saying ati siku ya sabato ndiyo siku ya ibada wala siyo ijuma please check well iwill put the full ayah here
Mungu ni mkuu hakika, injili lazima ihubiriwe kwa kila kiumbe.
Eee bwana wee,Wacha roho ya mungu ikuelekese kwa kila unenapo.Nimefurai jinzi unanenea hao wa islaamu.niko kwao huku SAUTI ARABIA mtu wamungu.be blessed.
Amen... pastor My God bless u continue like that...... wengi wana uchungu kwa kuskia ukweli waambie ata wale wa sundayw wajue ukweli wa mambo.
Hana ukweli ila shetan wakanisani wamjaa kwakichwa yake..saut yake imkua kama yashetan..ata sura zake zimebadilka kaa zashezan wakanisni..bblia ilisma kanisni kuna kiti cha cha enzi chashetan..ndio hao mashetan wamejaa kwa ndacha..nayeye anatumia nguvu zashetan wakanisa...
Ewe kafri ulie laaniwa katika injili na zabur nataurat naquraan..somen vzr bblia mujue ukweli musife mukiwa nimkfri .jahannam inawsubiri makafri namshetan..Hao viongozi wenu wao niwanachama wamshetan..hawatki kuambia ukweli watakosa rzki
Kwani hauna habari muhammad ndie alimdilimisha shetani akawa muislam? Toa ata shetani ni mkristo Mimi nitakutolea ata shetani na majini wore ni waislam na kitabu chao ni quran s
Amen. Remember the Sabbath day (Saturday) to keep it Holy.
Ndacha May God bless you.uko soo clear
napenda sana kipindi hiki, Yesu kristu ashifiwe sana
This encouraging and I support Ndacha for what he is doing let's join him so that we may fasten the second coming of Christ so that the word may be witness on the judgment day
We, sheh, kubali, kuwa, umeambiwa ukweli, ooh Jesus fanya miujiza,🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
😂😂😂😂😂😂 Kubalini kuwa hakuna dini ila uislam tu angalieni katika hii dunia watu wanavyoingia dini ya kiislamu bado tu mme lala na kitabu cha mwingereza na sasa katika Makanisa wanamfundisha LGBT Hamjuwi kama BIBILIA wamebadilisha mambo mengi
Kwa kweli nafuatilia midaharo hii ni nzuri mch Ndacha Mungu akubariki sana jinsi ambavyo Roho wa Mungu anavyokufunulia maandiko unatisha na wahadhiri wengine Wote Mungu awabariki
Huyo pastor Ni shujaa Sana wa mungu..
Alfa na Omenga mwanzo na mwisho ni YESU pekee.
Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU kuwa shushiya hao Injili ya kweli
No name that can heal and rescue than jesus name. ..i didnt healed by calling Muhammad ....I love you jesus
But still suffer .
barikiwa sana kwa kuitambuwa sabato
annastazia kibole
Ukweli wa Mwenyez Mungu utabaki balebale Sabato ndio
Ukweli wa Mwenyenz Mungu utabaki palepale Sabato ilifanyika kwaajili ya Mwanadam yani shehe anaonyeshatu kua anajua ukweli ulipo naipo ck atabatizw
Hii injili inachoma. Vitu vyote vitapita lakini neno litasimama. Pastor Ndacha umejenga Imani yangu na Nina kila sababu ya kuwa Mkristo imara. Mfuasi wa Yesu Kristo
Kama kweli inachoma kilakitu mbona yanatokea tena LGBT YA NINI
Huyu shekh anapotosha watu...yesu alisema yafaa kutenda kazi njema siku ya Sabato. ..je ng'ombe wako akitumbukia shimoni siku ya Sabato hutamtoa? Someni bana msipoteze muda kulumbana
Biblia nikitabu kitakatifu,yesu aSifiwe milele
Ningekua mimi ndo muislam ata nisingebishana na uyu jamaa maana uyu jamaa ni noma alafu anataja haya zotee kama auna imani unaweza lia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna hata aya moja hapo kutoka Qur'an.
Huyo jamaa ni chizi. Mapepo yanamsumbua kichwa yake..Ana mapepo elf moja..Atakua wapi na Akili kujua Dini yakiislam. .mwanzo mapepo wamtoke. .kisha ndio ata faham dini yakiislam..Na mukifuata huyo hamutajua ukweli mutakua kwenye giza leusi sana..
Hizo Aya anazo nukuu mwalimu Ndacha ziko katika Quran ama
Saturday is the holy day of worship set aside by God,no question about that!!!.
Yes but when the Victory happened?
Sabato ni siku ya mapumziko sio siku ya ibada
@@mhogomchungu7168 ni kifungu gani cha Qurani kinachowaambia Waislamu wapumzike jumamosi Tafadhali nataka kujifunza
Yesu ni sabato
@@claudiamartins3504 hahahaa, hakuna andiko lisemalo Yesu ni sabato, BT kuna andiko Yesu ndiye bwana wa sabato na Hiyo sabato iko kwa ajili ya wanadamu
YESU Kristo ndio bwana na mwokozi wa ulimwengu mlele AMINA 🙏
Barikiwe Sana rafiki kwa kazi nzuri unayoifanya
Waisalam jamani mmeumbuka
Kazi ya unafiki kumsema uwongo huo
Savio Tv kwer baba sema kwer y mung
Warumi 14: 5 - 6:
Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku, mwingine aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe.
Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; tena asiyekula, hali kwa Bwana, naye pia amshukuru Mungu.
Amina Sana wapeukweli hao wamuludie Mungu Yesu kristo ndo jibu
Mungu akubaliki mzee!
Asante mchungaji nitamwambia dadaangu atoke kwenye kanisa yakisiramu akimbie 💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃haraka aripotea kweri 😹😹😹😹😹😹😹
Francis Ndacha, asante mwalimu wangu
Hana lolote, huyo anawapotosha, uisilamu ndio dini ya haki
Waislamu murudieni Mungu
Ukirito ni dini ya makafiri waliolaaniwa na mwenyezimungu Islam ndio dini ya haki ni Islam kama hamujuwi
sisi tayari tunaabudu mungu mmoja wewe unasema mungu yupi
Sisi Tuko kwa Allah kilasiku
Kwani nyinyi mko na Mungu?
We utarudi lini
Let the truth be truth good work God be praised
Amina mcugaji YesuKristo akulinde udeleye kuwaubiri
Truly YHWH cannot be compared to allah. Bible and Qur'an also
Very different
Thanks a lot Pastor.these islam have been fighting christianity in all major towns in Kenya.they rebuke the Holy Bible and use it as a novel.since God have used you to reveal to them the truth,what they need,is only Prayers in order for them to know that its only The Bible that has the Truth,Only the Truth and nothing but the Truth.God bless you man of GOD.may God increase you knowledge to spread the good news.I have been blessed by your words.Thank you.
Hahaha waislamu hawajielewi kabisa mkubali kuzaliwa mara ya pili hapo inakubalika🙏🙏🙏💃💃💃💃💃
Amen love ur neighbour's as love urself
I watch and recognize the truth in secret.
Yesu ndiye njia kweli na uzima
James Demunga xx yesu ni dini au nabii..
Acha wehu wewe mohammed
Ya kwenda town au Eastleigh?
Yesu sio jina lake jina lake ni issa
@@jamesm.darnes640 wewe unamtukana mtume wa Allah mtume wetu Muhammad
Huyu pastor ameweza kabisa nashukuru mungu sna....huyu pastor ako wpi ?????
Nampenda ndasha sana...tena sana...tuletee muhadhara latest mko sawa sda....nakubuliana na nyinyi 100%
mungu atunusuru bibilia imejieleza
Kama kuna watu waislamu hamtawaweza ni Wasabato....hao watu wanasoma sana.....hamtawaweza waislamu wamesoma mpaka kuruani.....hamuwawezi ile kusema kweli....ndo maana waislamu wengi wanakuwa wasabato.....
nikweli hujakosea
Sio kweli na hawajui hata sheria moja ya sabato yaani hawawezi hatakuwafikia mashahidi wa Yehova.
Acha oungo taja muislamu mmoja amekua msabato..na kusoma kila mtu anasoma labda wewe hatutishwi na wasabato wala watu w Juma pili..tunaamini mumepotea na mnahitaji msaada
@@madrasaturahmasec3496kweli wamepotea hawa
wambie mtumishi wa bwana
Mungu akubariki pastor ndacha
BWANA YESU akubarki mtumishi wa
MUNGU
si ljumaa wala jumamosi sabato ya kweli ni ku mwamini bwana Yesu kwa kuacha dhambi kwani siku hizi hatutegemei wanyama kwa ondoleo la dhambi
Biblia gani inasema sabato nikuaja dhambi ama ni maneno yako? Brother chunga Sana.
Chunga sana brother, shetani sio rika yetu
Mungu akubariki unasema kweli umewakomicha wambiye wapi kindongo
I like this guy..trust me he is genius
Subhanaallah huyu anajiamini sana hajuwi kesho yake bro wacheni upumbavu wa kizungu aliomidanganya.
Shehe simwelewi kabisa kachemka
The sabbath was only appointed for those who differed over it. And indeed, your Lord will judge between them on the Day of Resurrection concerning that over which they used to differ. That is what Quran 16: 124 says..
That's why i always say allah is not YHWH
Yesu aliondoa Hayo ya Kukaa kwenye kizingiti cha mlango
Amen Amen Amen pastor glory be to God hallelujah 😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏😅😅
pastor ndacha Mungu akubariki.
Na sadaka?
😅😅😅😅
isaiah fema nipe aya ya kuzaliwa kwa Muhammad ndani ya Quran....
@@calvinmchopa2222 لقد جاءكم رسول من انفسكم عزيز ما عنتم حريس عليكم بالمؤنين رؤوف رحيم. Nawe nipe aya katika bibilia Yesu alizaliwa tarehe 25 December
Q-9: 128
Kwa Mungu hakuna Mkikuyu we are all brothers and sisters no matter tribe nor country
Neno la mungu lina majibu yote jaman
Huyu pastor sijuwi naweza pata wpi waaah 😂😂😂😂🙏🙏
Mandiko ya Mungu yajitetea kweli Amen 🙏
Aman ya kristo iwe nawe
Wahalambu wanafukaka Manduka wana henda kusaali waalambu wana juuwa dini awata funguw manduka mupaka watoke kusaali kuko kalimbu aliwahi kumusuhaniya mtoto wake tena akatomboka sana juu akufunga duka akasema akasema funga tukahenda tuka muchukulu mwenyenzi mungu kwakuwa yeye jo anatupa Barak
Rudi shule wewe ujue kuandika,lugha gani hii umeandika?
😂😂😂😂😂💪🙏🙏 kumbe hawo c waisilamu Exactly 👏👏👏👏👏👏👏
sivizuri kucheka dhini yeyote bari waelekeze, lakini hapo mnawapia ukweli but wataumwa
hapo ndipo yesu ndiye naye muabudu mimi....walishwe mahubiri kabisa
Asalam aleykum ndugu zangu naomba niwakumbushe kitu muhim Sana hivi unajua kama tuko safarini tuliianza safari kupitia maji madhaifu ya baba tena yenye kutoa harufu isiopendeza wala kuvutia yakaungana na maji ya mama hii ikawa ndio mwanzo wa safari kisha tukaanza maisha mpya tukiwa tumboni mwa mama tukala kupitia kitovu wala sio mdomo tukaishi kwa miezi kadhaa tulipo toka tumboni tukaja Duniani baada ya kuja Duniani alietuumba akatupa jukum muhim nalo si lingine ni jukum la kumuabudu Allah kwa bahati mbaya watu wengi wamesahau jukum hili wakidhani wamefika wanapo kwenda wanashughulika na mambo yao tu ndugu zangu nawakumbusha safari inaendelea kaburi Lina tungoja vyote tunavyo vitafuta tutaviacha isipokuwa amali zetu ndio tutakazo ondoka nazo (Yani matendo yetu ndio tutakayo ondoka nayao hivyo Basi niwakumbushe pamoja na kukumbusha nafsi yangu kumuabudu Allah haswa ibada ya swala wengi tumeisahau namuomba Allah atupe mwisho mwema
Huyu Shekhe anaongea points za Ndacha hajaleta anything new..... he can't defend his religion
Upload recently mjandala. Following from Abu Dhabi
Twasifu Mungu ndugu Ndacha kwa mada mzuri.
Amen pastor ndacha 🙏🙏
Yesu ndiye sadaka ya kuteketezwa. Hatuitaji tena kutoa kafara ya kuteketeza maana damu ya Yesu imetuosha na kutufanya watakatifu. Nyote waislamu na hawa wasabato mnawapotoza wanaowasikiliza. Mungu awasamehe.
ata sina lakucomment.
Kumbe midaharo hipo hadi Kenya...
na huyu jamaa ni kiboko amewabana waislam kila kona.
wambie hao waasi walioas sabato ya mungu.
huku Kwanzaa n balaa
Katubana wapi naye kavaa kanzu? Ovyoo, Mnaweza kumteteaje na hali, usishangae ukisikia kaolewa huyu. Mambo mengine hata yanawashusha toka ulingoni, fuata hapa⤵️
www.thetaskforce.org/first-openly-gay-minister-to-be-ordained-by-presbyterian-church-usa-tomorrow/
Kafiri ata akichukuliwa Mke na mchungaji bado ataendelea kumuabudu mchungaji,ww unajua maana ya kubanwa?
Chaka ni noma
Heaven is real en hell as well.choose your destiny wisely. Jesus is coming soon
Absolute true. Jane
Hajui chochote huyu yuafupisha maandiko kwa manufaa yake wenye wako hapo hawajui kitu nkucheka tu
O
Unahangaika wewe 😂😂😂 yaani mishipa inakutoka Kwa kuutetea ukafiri 🙌🙌
Makafir ni ndugu za majini
Amri waislamu wamepoteza maana wanawachukia saana Wakristo na kusema wauawe ni makafiri pole saana kwa uislamu hata Amri ya Mungu mmepoteza
MUNGU ANAFAA KUOMBWA KILA WAKATI SIO MARA TANO PEKE YAKE
Tell them again
Kuna kuomba na kuabudu waislamu wana'abudu kwa siku mara tano kama vile manibi wote ebu nijulishe ibada gani wakiristo wanafanya kanisani na yesu kafanya
We ndio umepotea acha kuwapotosha wenzio
wendio umechanga nyikiwa unashindana na kitabu chako
Nenda uka some poa hujui ulisemalo wachieni waomi wa wafundie vyenye iko kama una swali kamulize dasha hakosi jibu sahii ndani ya bibilia au qriani
Barikiwa sana mucungaji wa Bwana
Wengi wataangamia kwa ajili ya amri ya nne
Congratulations Teacher Francis Ndasha I love your dressing code. .Ah ha ha,
Kazi nzuri mwinjilisti Ndacha
Nashangaa na waislamu, mwapinga ukweli na UKOMBOZI wa Yesu Kristo,
Biblia imeandikwa na watu waliongozwa na Mungu kwa nguvu za roho Mtakatifu,
Yesu ndiye njia ya uzima
Zahal Jamal ubarikiwe kwa kujua ukweli sio kwa ubishani
Kabla ya Yesu nani alikuwa njia, na baada ya kufa nani alikuwa njia, alipokuwa tumboni kwa mama yake nani alikuwa njia ondoa hizi ambiguity
Wewe ci muislam
Nakwamini kweli wa eslamu wasilie tu tuwazomeye
Eeee nyi makafiri waovu mulio laaniwa namungu katika injili nataurat nazabur na quraan. Nabii yesu Hakuwatuma Muende kanisni wala yeye hakuenda knsani.nawala hakua nadini iitwao ukirsto. .Bali ukirsto nipaulo pamoja nashetan wakanisni ...bblia insma walio lala katika ukrsto wamepotea bblia iksma tena kanisnai kuna kiti cha enzi chashtan. Iksma tena munapo kusanyikana kwakanisa sikwafaida Bali nikwahasara...bc munafanya nni huko au munamshangalia shetan...ninyi munazomewa nashetan kanisani ..Kila siku mukienda kanisani shetan Anawsubiri Awazomee. Mutuzomee siais kwako gn..kazi yakuzomea niyashetan kanisani...nenda kanisani ukamtafute shetan muzomeane...Tafuta ukweli Acheni kumpa shetan nguvu kanisani machen pekeake Ajizomee kanisani....jahannam niyamakfri pamoja namshetan wanao kaa kanisani. .
Barikiwa sana mtu wa Mungu akika Sabato ni muhuli wa Mungu
Huezi pinga bible, ndacha ❤❤❤❤❤❤❤❤
Kile kimenifurahisha ni ya kwamba paster amevaa kanzu . Asante Najivunia kuwa mwislamu. Alafu huyu paster anasoma verses nusunusu kwalaghai wakristo juu hawajui maandiko. Pole umewika iyo yote bado watu wataendelea kuislimu na kanisa kupunguka.
😂😂nguo ni uisilamu ad naeza enda nayo shamba
😂😂😂😂 kwani unajua nn maana ya kanzu
Sabbath is forever.!
Amen
Hawa waislam hawana lolote batizweni muwe wakristo acheni ubishi
paster uje na TZ maana nako huku kuna maamuma wengi
Balikiwa sana mtumishi,unamungu
Exactly Waislamu bado hawasemi tuabudu lini sasa, maana yake wanakiri kuwa kweli Sabato
hayawausu fuateni krsto yenu waislamu waacheni kama walivyo. ........ ..
Unatakiwa kuabudu kila siku
Kwan mungu alipanga siku ngapi za kuabudu
@@rajabmshengeli1624 ukizitunza siku zote kama sabato inavyostahili kutunzwa basi wewe ni mzembe kwa sababu hustahili kufanya kazi siku ya sabato
@@zacharyayaga6661 ibada ni nini?