MDAHALO WASLAMU WASHINDWA KUTETE IJUMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 12. 2017

Komentáře • 1,1K

  • @user-em6bg9ue2d
    @user-em6bg9ue2d Před 4 lety +9

    Amen nabarikiwa sana Sisi wa Kristu tumushukur Mungi

  • @massiasinkala3478
    @massiasinkala3478 Před 2 lety +3

    Mwalimu Ndacha MUNGU akubariki sanaaaaaa,hakuna jina jingine tupaswalo kuokolewa kwalo ispokua jina la YESU,injili itahubiriwa kwa mataifa yotee

  • @ianmaiyo7029
    @ianmaiyo7029 Před 4 lety +22

    God bless you mtumishi!! Mungu anakutumia kama chombo chake ubarikiwe Sana.

  • @harunyusuf4229
    @harunyusuf4229 Před 4 lety +30

    Asante YESU kwa kumpa mtumishi wako ujasiri,Amen na penda wokovu wa YESU ulio niweka huru.

  • @triciamwango7342
    @triciamwango7342 Před 2 lety +6

    God has now filled men with His Holy spirit to fearlessly come out and call sin a sin,,,,and among them is pr.Ndacha ...continue with this powerful Gospel pr,because we have no time,Jesus is coming soon.God bless you.

  • @enockndale2629
    @enockndale2629 Před 5 lety +22

    YES PASTOR WAAMBIE WAMJUE MUNGU WA KWELI YEHOVA ELOHIM

    • @hanifaabdalla2096
      @hanifaabdalla2096 Před 4 lety

      Twambie ni yupi Mungu wa kweli?

    • @magdalenajuma6229
      @magdalenajuma6229 Před 4 lety +1

      Enock Ndale ubarikiwe wamjue Yesu alie Bwana na mwokozi wetu

    • @hanifaabdalla2096
      @hanifaabdalla2096 Před 4 lety

      @@magdalenajuma6229 Nakusikitikia apo bado hujamjua Mungu wa kweli.

    • @godisgreat1845
      @godisgreat1845 Před 4 lety

      Hakuna mkristo anamjua na kumumini na kumuabudu Mungu wa kweli kama yupo ajitokeze nimuulize masiali kama atajibu

    • @kwizerathesantos3310
      @kwizerathesantos3310 Před 3 lety

      @@godisgreat1845
      Ask me
      Am here

  • @gm7045
    @gm7045 Před 5 lety +14

    Muislam..ujue kwanza utofauti ya amri za Mungu na amri za watu,umeleta amri za watu tu

  • @Iam_Nash.
    @Iam_Nash. Před 7 měsíci +1

    This sermon really amazing it's confusing who doesn't know who is God.. but all in all..we believe Jesus christ as our sevior and Saturday is the day to rest ❤❤❤❤

  • @shirikaniyonkuru6560
    @shirikaniyonkuru6560 Před 4 lety +17

    Basi pastor unaweza kunipa numba yako yasimu ili uje kuhubiri kwetu Rwanda ili kila mtu ajuwe ukweli wa Biblia?

  • @maxjofrey70
    @maxjofrey70 Před 2 lety +22

    Akuna mtu anaetoka salama akikutana na mwalimu NDACHA 🙌 yani nafrahi sana kuzaliwa katika kristo 💪
    From 🇹🇿

  • @jokepenis2016
    @jokepenis2016 Před 2 lety +5

    Lilian Achieng juma I am warching from Germany 🇩🇪 🇰🇪 this is love GOD bless you 🙏🕎✝️

  • @helenpaul6514
    @helenpaul6514 Před 2 lety +5

    😂😂😂Ndacha you made my day!!
    Umeweza

  • @christinewomanoffaith5479

    Yesu akirudi,hata angalia ulikuwa msabato,mkatoliki,muislam,bila kuokoka unaenda kuzimu!Yesu ndie njia!

  • @janekwahada580
    @janekwahada580 Před 5 lety +22

    GOD bless you for giving people a light of heaven the truth of God thank you so much

    • @apolomarko4083
      @apolomarko4083 Před 4 lety +2

      Jane Kwahada , ubarikiwe Sana kondoo wa BWANA

    • @sulehassanshall6140
      @sulehassanshall6140 Před 4 lety

      Ewee kafri ulie laaniwa namungu katika injili nataurat nazabur naquraan...Bblia insma kanisnai kuna kiti cha enzi chashetan. Iksma tena munapo kusanyika kanisani sikwafaida Bali nikwahasara.iksma walio lala katika kiristo wamepotea...kwann mupotee najua iko kwa uislam .nabii yesu hakuenda kanisani wala hakuwatuma Muende huko kanisani kwa shettan. Munafanya nn huko kwenye shetan??mabishop napamsta makuhani wote hao niwanachama washetani..wao wanwpoteza ninyi wafuaci ili Riziki yao itokao kwahetan waikose...bc njoon kwenye njia ya uzima kwuislam...

    • @faithfultoyeshua4576
      @faithfultoyeshua4576 Před 2 lety

      @@sulehassanshall6140 hujui kitu unasema

    • @peterjoseph1152
      @peterjoseph1152 Před 2 lety

      Hi my sister

  • @carolinendasala935
    @carolinendasala935 Před 5 lety +30

    Waislamu bandia plus bonoko😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆hamuwezi kutupoteza sisi Wakristo Injili ya YESU KRISTO IKO louder and clear kabisa 🙏🙏🙌🙌🙌💃💃

    • @hanifaabdalla2096
      @hanifaabdalla2096 Před 4 lety

      Uyo Yesu ndio nani?

    • @hanifaabdalla2096
      @hanifaabdalla2096 Před 4 lety

      Nani waliopotea nakupotezwa kama si nyinyi makafiri wakiristo? Tunamuomba Allah atuepushe na upotovu wenu huo. Hivi hata huoni ni kwa kiasi gani wakiristo wenzako wanavyosilimu wanapoiona haki inayotoka kwa Mola wao? Na miongoni mwao ni hao wakubwa wenu katika mapadri na wengineo basi hivi hutafakari? Hebu jiulize iyo dini yako ya ukiristo imetokea wapi kama si uzushi.

    • @erastusscharo6645
      @erastusscharo6645 Před 3 lety

      Kwani uusulanu umetoka wapi

    • @kwizerathesantos3310
      @kwizerathesantos3310 Před 3 lety

      @@hanifaabdalla2096
      Satani anakudanganya Sana
      Yesu alisema ndie njia ya ukweli na uzima hakuna mwenye atakae ingia mbinguni bila kupitia kwake.sasa wewe unamufuata Nani????

    • @jpmanotaofficial639
      @jpmanotaofficial639 Před 2 lety

      @@hanifaabdalla2096 huwezi kumjuwa hadi Ufunuliwe na Roho mtakatifu

  • @natyvan4071
    @natyvan4071 Před 5 lety +8

    Aminaaaaaa YESU NAKUPENDA MUNGU MKUUUU😘😍

    • @kevinngetich3224
      @kevinngetich3224 Před 4 lety +1

      Sotw twampenda Yesu Christu....au sio?

    • @godisgreat1845
      @godisgreat1845 Před 4 lety

      Shindwa una andiko Yessu anasema mimi ni Mungu wacha kuamini upotovu wa wachungaji Hawa wanajali mambo ya Dunia wala hawajali jinsi gani Mungu atawaadhibu kwa kuwa fuata Hawa wapotoshaji nyie mnadhani Ndacha anawaongoza kumjua Mungu hapana sivyo alivyo fuatilieni mijadala vizuri Kisha wekeni kumbukumbu kwa maneno yake kila siku huwa anabadilisha na kusema vyengine kwa sababu huyo ni mchungaji biblia imewatahadharisha juu ya Hawa wachungaji lakini hataki kuamini hata biblia inapofikia kuwajadili na kuwajua someni wenyewe maandiko mumjue Mungu msiwategemee Hawa

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal4520 Před 6 lety +19

    Amen Amen bwana yesu anastahili sifa nimeamini yesu ndjye njia ya uzima

    • @abdiyowodowa4124
      @abdiyowodowa4124 Před 5 lety

      If you were achristian well but if you were amuslim don't be deceived the gay is lying read the complete verse surah 7:163 and understand that was acertain israil community and also 16:124 which talks to the prophet not to follow those who refused to follow Abraham.and he is lying by saying ati siku ya sabato ndiyo siku ya ibada wala siyo ijuma please check well iwill put the full ayah here

  • @yesunibwana7263
    @yesunibwana7263 Před 5 lety +23

    Mungu ni mkuu hakika, injili lazima ihubiriwe kwa kila kiumbe.

  • @pamelambayisi4423
    @pamelambayisi4423 Před 2 lety +1

    Eee bwana wee,Wacha roho ya mungu ikuelekese kwa kila unenapo.Nimefurai jinzi unanenea hao wa islaamu.niko kwao huku SAUTI ARABIA mtu wamungu.be blessed.

  • @leticiahjepchirchir856
    @leticiahjepchirchir856 Před 5 lety +13

    Amen... pastor My God bless u continue like that...... wengi wana uchungu kwa kuskia ukweli waambie ata wale wa sundayw wajue ukweli wa mambo.

    • @sulehassanshall6140
      @sulehassanshall6140 Před 4 lety

      Hana ukweli ila shetan wakanisani wamjaa kwakichwa yake..saut yake imkua kama yashetan..ata sura zake zimebadilka kaa zashezan wakanisni..bblia ilisma kanisni kuna kiti cha cha enzi chashetan..ndio hao mashetan wamejaa kwa ndacha..nayeye anatumia nguvu zashetan wakanisa...

    • @sulehassanshall6140
      @sulehassanshall6140 Před 4 lety

      Ewe kafri ulie laaniwa katika injili na zabur nataurat naquraan..somen vzr bblia mujue ukweli musife mukiwa nimkfri .jahannam inawsubiri makafri namshetan..Hao viongozi wenu wao niwanachama wamshetan..hawatki kuambia ukweli watakosa rzki

    • @denniswasai2668
      @denniswasai2668 Před 3 lety +1

      Kwani hauna habari muhammad ndie alimdilimisha shetani akawa muislam? Toa ata shetani ni mkristo Mimi nitakutolea ata shetani na majini wore ni waislam na kitabu chao ni quran s

  • @innocentabae1118
    @innocentabae1118 Před rokem +3

    Amen. Remember the Sabbath day (Saturday) to keep it Holy.

  • @mariamnamwa188
    @mariamnamwa188 Před 3 lety +5

    Ndacha May God bless you.uko soo clear

  • @nanimkenya1015
    @nanimkenya1015 Před 5 lety +5

    napenda sana kipindi hiki, Yesu kristu ashifiwe sana

  • @edsononyango8785
    @edsononyango8785 Před 4 lety +9

    This encouraging and I support Ndacha for what he is doing let's join him so that we may fasten the second coming of Christ so that the word may be witness on the judgment day

  • @deodatusrweyongeza6747
    @deodatusrweyongeza6747 Před 4 lety +4

    We, sheh, kubali, kuwa, umeambiwa ukweli, ooh Jesus fanya miujiza,🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

    • @hamidaalhabsi8568
      @hamidaalhabsi8568 Před 5 měsíci

      😂😂😂😂😂😂 Kubalini kuwa hakuna dini ila uislam tu angalieni katika hii dunia watu wanavyoingia dini ya kiislamu bado tu mme lala na kitabu cha mwingereza na sasa katika Makanisa wanamfundisha LGBT Hamjuwi kama BIBILIA wamebadilisha mambo mengi

  • @makombearnold3335
    @makombearnold3335 Před 2 lety +6

    Kwa kweli nafuatilia midaharo hii ni nzuri mch Ndacha Mungu akubariki sana jinsi ambavyo Roho wa Mungu anavyokufunulia maandiko unatisha na wahadhiri wengine Wote Mungu awabariki

  • @directorgeneral9503
    @directorgeneral9503 Před 4 lety +2

    Huyo pastor Ni shujaa Sana wa mungu..

  • @mawazomwamba7503
    @mawazomwamba7503 Před 3 lety +1

    Alfa na Omenga mwanzo na mwisho ni YESU pekee.
    Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU kuwa shushiya hao Injili ya kweli

  • @adriandanford208
    @adriandanford208 Před 4 lety +8

    No name that can heal and rescue than jesus name. ..i didnt healed by calling Muhammad ....I love you jesus

    • @111dudi
      @111dudi Před 2 lety

      But still suffer .

  • @annastaziakibole5603
    @annastaziakibole5603 Před 5 lety +22

    barikiwa sana kwa kuitambuwa sabato

    • @issakhalid1098
      @issakhalid1098 Před 5 lety

      annastazia kibole

    • @dorismgeni6146
      @dorismgeni6146 Před 4 lety

      Ukweli wa Mwenyez Mungu utabaki balebale Sabato ndio
      Ukweli wa Mwenyenz Mungu utabaki palepale Sabato ilifanyika kwaajili ya Mwanadam yani shehe anaonyeshatu kua anajua ukweli ulipo naipo ck atabatizw

  • @erickangima970
    @erickangima970 Před rokem +1

    Hii injili inachoma. Vitu vyote vitapita lakini neno litasimama. Pastor Ndacha umejenga Imani yangu na Nina kila sababu ya kuwa Mkristo imara. Mfuasi wa Yesu Kristo

    • @hamidaalhabsi8568
      @hamidaalhabsi8568 Před 5 měsíci

      Kama kweli inachoma kilakitu mbona yanatokea tena LGBT YA NINI

  • @richardboaz-mashagospel2346

    Huyu shekh anapotosha watu...yesu alisema yafaa kutenda kazi njema siku ya Sabato. ..je ng'ombe wako akitumbukia shimoni siku ya Sabato hutamtoa? Someni bana msipoteze muda kulumbana

  • @nelsonsalumuclovis753
    @nelsonsalumuclovis753 Před 3 lety +5

    Biblia nikitabu kitakatifu,yesu aSifiwe milele

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 Před 5 lety +13

    Ningekua mimi ndo muislam ata nisingebishana na uyu jamaa maana uyu jamaa ni noma alafu anataja haya zotee kama auna imani unaweza lia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 Před 4 lety +1

      Hakuna hata aya moja hapo kutoka Qur'an.

    • @sulehassanshall6140
      @sulehassanshall6140 Před 4 lety +1

      Huyo jamaa ni chizi. Mapepo yanamsumbua kichwa yake..Ana mapepo elf moja..Atakua wapi na Akili kujua Dini yakiislam. .mwanzo mapepo wamtoke. .kisha ndio ata faham dini yakiislam..Na mukifuata huyo hamutajua ukweli mutakua kwenye giza leusi sana..

    • @festusobeni9562
      @festusobeni9562 Před měsícem

      Hizo Aya anazo nukuu mwalimu Ndacha ziko katika Quran ama

  • @majoralistingo641
    @majoralistingo641 Před 5 lety +59

    Saturday is the holy day of worship set aside by God,no question about that!!!.

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 Před 4 lety

      Yes but when the Victory happened?

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 Před 4 lety +2

      Sabato ni siku ya mapumziko sio siku ya ibada

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 Před 4 lety

      @@mhogomchungu7168 ni kifungu gani cha Qurani kinachowaambia Waislamu wapumzike jumamosi Tafadhali nataka kujifunza

    • @claudiamartins3504
      @claudiamartins3504 Před 4 lety

      Yesu ni sabato

    • @joyceluvanga8923
      @joyceluvanga8923 Před 4 lety +2

      @@claudiamartins3504 hahahaa, hakuna andiko lisemalo Yesu ni sabato, BT kuna andiko Yesu ndiye bwana wa sabato na Hiyo sabato iko kwa ajili ya wanadamu

  • @eddycosmeticseddycosmetics5664

    YESU Kristo ndio bwana na mwokozi wa ulimwengu mlele AMINA 🙏

  • @saviotv1665
    @saviotv1665 Před 6 lety +7

    Barikiwe Sana rafiki kwa kazi nzuri unayoifanya

  • @itugn
    @itugn Před 5 lety +3

    Warumi 14: 5 - 6:
    Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku, mwingine aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe.
    Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; tena asiyekula, hali kwa Bwana, naye pia amshukuru Mungu.

  • @stevenmalubi143
    @stevenmalubi143 Před 5 lety +1

    Amina Sana wapeukweli hao wamuludie Mungu Yesu kristo ndo jibu

  • @shirikaniyonkuru6560
    @shirikaniyonkuru6560 Před 4 lety +4

    Mungu akubaliki mzee!

  • @mukeragabilodiana9391
    @mukeragabilodiana9391 Před 4 lety +8

    Asante mchungaji nitamwambia dadaangu atoke kwenye kanisa yakisiramu akimbie 💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃haraka aripotea kweri 😹😹😹😹😹😹😹

  • @dhakomodherooherokoko6037

    Francis Ndacha, asante mwalimu wangu

    • @albanybashir7636
      @albanybashir7636 Před 2 lety

      Hana lolote, huyo anawapotosha, uisilamu ndio dini ya haki

  • @josephmatinde5051
    @josephmatinde5051 Před 5 lety +7

    Waislamu murudieni Mungu

  • @ruthchepkoech561
    @ruthchepkoech561 Před 5 lety +10

    Let the truth be truth good work God be praised

  • @alinefeyi6731
    @alinefeyi6731 Před 4 lety +6

    Amina mcugaji YesuKristo akulinde udeleye kuwaubiri

  • @faithfultoyeshua4576
    @faithfultoyeshua4576 Před 2 lety +3

    Truly YHWH cannot be compared to allah. Bible and Qur'an also
    Very different

  • @lorimarmanagement3330
    @lorimarmanagement3330 Před 5 lety +2

    Thanks a lot Pastor.these islam have been fighting christianity in all major towns in Kenya.they rebuke the Holy Bible and use it as a novel.since God have used you to reveal to them the truth,what they need,is only Prayers in order for them to know that its only The Bible that has the Truth,Only the Truth and nothing but the Truth.God bless you man of GOD.may God increase you knowledge to spread the good news.I have been blessed by your words.Thank you.

  • @carolinendasala935
    @carolinendasala935 Před 5 lety +9

    Hahaha waislamu hawajielewi kabisa mkubali kuzaliwa mara ya pili hapo inakubalika🙏🙏🙏💃💃💃💃💃

  • @wendyawino5887
    @wendyawino5887 Před 5 lety +6

    Amen love ur neighbour's as love urself

  • @jamesm.darnes640
    @jamesm.darnes640 Před 5 lety +23

    Yesu ndiye njia kweli na uzima

  • @carolinemiss993
    @carolinemiss993 Před 2 lety +1

    Huyu pastor ameweza kabisa nashukuru mungu sna....huyu pastor ako wpi ?????

  • @samuelmuiruri4405
    @samuelmuiruri4405 Před 6 lety +13

    Nampenda ndasha sana...tena sana...tuletee muhadhara latest mko sawa sda....nakubuliana na nyinyi 100%

  • @helenamasinjisa8470
    @helenamasinjisa8470 Před 6 lety +5

    mungu atunusuru bibilia imejieleza

  • @habelkalume9011
    @habelkalume9011 Před 5 lety +8

    Kama kuna watu waislamu hamtawaweza ni Wasabato....hao watu wanasoma sana.....hamtawaweza waislamu wamesoma mpaka kuruani.....hamuwawezi ile kusema kweli....ndo maana waislamu wengi wanakuwa wasabato.....

    • @barakajuma9840
      @barakajuma9840 Před 5 lety +3

      nikweli hujakosea

    • @gfrhajji5233
      @gfrhajji5233 Před 5 lety

      Sio kweli na hawajui hata sheria moja ya sabato yaani hawawezi hatakuwafikia mashahidi wa Yehova.

    • @madrasaturahmasec3496
      @madrasaturahmasec3496 Před 5 lety +1

      Acha oungo taja muislamu mmoja amekua msabato..na kusoma kila mtu anasoma labda wewe hatutishwi na wasabato wala watu w Juma pili..tunaamini mumepotea na mnahitaji msaada

    • @sadickmkakile8476
      @sadickmkakile8476 Před 5 lety

      @@madrasaturahmasec3496kweli wamepotea hawa

    • @jacobpaul949
      @jacobpaul949 Před 4 lety

      wambie mtumishi wa bwana

  • @kelvinsakey2540
    @kelvinsakey2540 Před 4 lety +1

    Mungu akubariki pastor ndacha

  • @BarakaptzPtzprad-qx9ip
    @BarakaptzPtzprad-qx9ip Před 9 měsíci

    BWANA YESU akubarki mtumishi wa
    MUNGU

  • @manasebakunda8218
    @manasebakunda8218 Před 5 lety +3

    si ljumaa wala jumamosi sabato ya kweli ni ku mwamini bwana Yesu kwa kuacha dhambi kwani siku hizi hatutegemei wanyama kwa ondoleo la dhambi

    • @BIBLIANURUYADUNIA
      @BIBLIANURUYADUNIA  Před 5 lety

      Biblia gani inasema sabato nikuaja dhambi ama ni maneno yako? Brother chunga Sana.

    • @zacharyayaga6661
      @zacharyayaga6661 Před 4 lety

      Chunga sana brother, shetani sio rika yetu

  • @luckyprincejabinho9986
    @luckyprincejabinho9986 Před 5 lety +3

    Mungu akubariki unasema kweli umewakomicha wambiye wapi kindongo

  • @warriorfromthenorth1734
    @warriorfromthenorth1734 Před 2 lety +1

    I like this guy..trust me he is genius

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před 5 měsíci

    Subhanaallah huyu anajiamini sana hajuwi kesho yake bro wacheni upumbavu wa kizungu aliomidanganya.

  • @paschalmakondo3163
    @paschalmakondo3163 Před 5 lety +6

    Shehe simwelewi kabisa kachemka

  • @hassanmzera1178
    @hassanmzera1178 Před 5 lety +6

    The sabbath was only appointed for those who differed over it. And indeed, your Lord will judge between them on the Day of Resurrection concerning that over which they used to differ. That is what Quran 16: 124 says..

  • @trophainamagogwa7966
    @trophainamagogwa7966 Před 4 lety +2

    Yesu aliondoa Hayo ya Kukaa kwenye kizingiti cha mlango

  • @carolinemiss993
    @carolinemiss993 Před 2 lety +1

    Amen Amen Amen pastor glory be to God hallelujah 😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏😅😅

  • @yesunibwana7263
    @yesunibwana7263 Před 5 lety +13

    pastor ndacha Mungu akubariki.

  • @agneskhakali2069
    @agneskhakali2069 Před 6 lety +9

    Kwa Mungu hakuna Mkikuyu we are all brothers and sisters no matter tribe nor country

  • @patrickamos4006
    @patrickamos4006 Před 2 lety +1

    Neno la mungu lina majibu yote jaman

  • @carolinemiss993
    @carolinemiss993 Před 2 lety +1

    Huyu pastor sijuwi naweza pata wpi waaah 😂😂😂😂🙏🙏

  • @judithmoturi3402
    @judithmoturi3402 Před 2 lety +6

    Mandiko ya Mungu yajitetea kweli Amen 🙏

  • @bujiiclassic1964
    @bujiiclassic1964 Před 5 lety +5

    Aman ya kristo iwe nawe

  • @luckyprincejabinho9986

    Wahalambu wanafukaka Manduka wana henda kusaali waalambu wana juuwa dini awata funguw manduka mupaka watoke kusaali kuko kalimbu aliwahi kumusuhaniya mtoto wake tena akatomboka sana juu akufunga duka akasema akasema funga tukahenda tuka muchukulu mwenyenzi mungu kwakuwa yeye jo anatupa Barak

  • @carolinemiss993
    @carolinemiss993 Před 2 lety +1

    😂😂😂😂😂💪🙏🙏 kumbe hawo c waisilamu Exactly 👏👏👏👏👏👏👏

  • @nanimkenya1015
    @nanimkenya1015 Před 5 lety +6

    sivizuri kucheka dhini yeyote bari waelekeze, lakini hapo mnawapia ukweli but wataumwa

  • @peterchomba4340
    @peterchomba4340 Před 5 lety +3

    hapo ndipo yesu ndiye naye muabudu mimi....walishwe mahubiri kabisa

  • @haskeshhassan3222
    @haskeshhassan3222 Před 4 lety +1

    Asalam aleykum ndugu zangu naomba niwakumbushe kitu muhim Sana hivi unajua kama tuko safarini tuliianza safari kupitia maji madhaifu ya baba tena yenye kutoa harufu isiopendeza wala kuvutia yakaungana na maji ya mama hii ikawa ndio mwanzo wa safari kisha tukaanza maisha mpya tukiwa tumboni mwa mama tukala kupitia kitovu wala sio mdomo tukaishi kwa miezi kadhaa tulipo toka tumboni tukaja Duniani baada ya kuja Duniani alietuumba akatupa jukum muhim nalo si lingine ni jukum la kumuabudu Allah kwa bahati mbaya watu wengi wamesahau jukum hili wakidhani wamefika wanapo kwenda wanashughulika na mambo yao tu ndugu zangu nawakumbusha safari inaendelea kaburi Lina tungoja vyote tunavyo vitafuta tutaviacha isipokuwa amali zetu ndio tutakazo ondoka nazo (Yani matendo yetu ndio tutakayo ondoka nayao hivyo Basi niwakumbushe pamoja na kukumbusha nafsi yangu kumuabudu Allah haswa ibada ya swala wengi tumeisahau namuomba Allah atupe mwisho mwema

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 2 lety +1

    Huyu Shekhe anaongea points za Ndacha hajaleta anything new..... he can't defend his religion

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 Před 5 lety +6

    Upload recently mjandala. Following from Abu Dhabi

  • @ellyouma3256
    @ellyouma3256 Před 5 lety +6

    Twasifu Mungu ndugu Ndacha kwa mada mzuri.

  • @user-wg2ht8uo5y
    @user-wg2ht8uo5y Před 5 měsíci

    Amen pastor ndacha 🙏🙏

  • @anitagathoni
    @anitagathoni Před 5 lety

    Yesu ndiye sadaka ya kuteketezwa. Hatuitaji tena kutoa kafara ya kuteketeza maana damu ya Yesu imetuosha na kutufanya watakatifu. Nyote waislamu na hawa wasabato mnawapotoza wanaowasikiliza. Mungu awasamehe.

  • @leonardkigutu7716
    @leonardkigutu7716 Před 5 lety +35

    Kumbe midaharo hipo hadi Kenya...
    na huyu jamaa ni kiboko amewabana waislam kila kona.

    • @charsewambura7868
      @charsewambura7868 Před 4 lety

      wambie hao waasi walioas sabato ya mungu.

    • @antoooa8664
      @antoooa8664 Před 4 lety

      huku Kwanzaa n balaa

    • @omarkhamis9514
      @omarkhamis9514 Před 4 lety +4

      Katubana wapi naye kavaa kanzu? Ovyoo, Mnaweza kumteteaje na hali, usishangae ukisikia kaolewa huyu. Mambo mengine hata yanawashusha toka ulingoni, fuata hapa⤵️
      www.thetaskforce.org/first-openly-gay-minister-to-be-ordained-by-presbyterian-church-usa-tomorrow/

    • @kijanahodari2080
      @kijanahodari2080 Před 4 lety +3

      Kafiri ata akichukuliwa Mke na mchungaji bado ataendelea kumuabudu mchungaji,ww unajua maana ya kubanwa?

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Před 4 lety

      Chaka ni noma

  • @janek9103
    @janek9103 Před 6 lety +13

    Heaven is real en hell as well.choose your destiny wisely. Jesus is coming soon

  • @FatimaFatima-wk1jk
    @FatimaFatima-wk1jk Před 2 lety

    Unahangaika wewe 😂😂😂 yaani mishipa inakutoka Kwa kuutetea ukafiri 🙌🙌

    • @user13375
      @user13375 Před měsícem

      Makafir ni ndugu za majini

  • @trophainamagogwa7966
    @trophainamagogwa7966 Před 4 lety +1

    Amri waislamu wamepoteza maana wanawachukia saana Wakristo na kusema wauawe ni makafiri pole saana kwa uislamu hata Amri ya Mungu mmepoteza

  • @enockndale2629
    @enockndale2629 Před 5 lety +8

    MUNGU ANAFAA KUOMBWA KILA WAKATI SIO MARA TANO PEKE YAKE

    • @user-rf5tz5ft2y
      @user-rf5tz5ft2y Před 5 lety

      Tell them again

    • @muradomer684
      @muradomer684 Před 4 lety

      Kuna kuomba na kuabudu waislamu wana'abudu kwa siku mara tano kama vile manibi wote ebu nijulishe ibada gani wakiristo wanafanya kanisani na yesu kafanya

  • @katundakiliza5894
    @katundakiliza5894 Před 6 lety +10

    We ndio umepotea acha kuwapotosha wenzio

    • @barakajuma9840
      @barakajuma9840 Před 5 lety +1

      wendio umechanga nyikiwa unashindana na kitabu chako

    • @esthernyabuto3845
      @esthernyabuto3845 Před 5 lety

      Nenda uka some poa hujui ulisemalo wachieni waomi wa wafundie vyenye iko kama una swali kamulize dasha hakosi jibu sahii ndani ya bibilia au qriani

  • @ashurantunzwenimana5975

    Barikiwa sana mucungaji wa Bwana

  • @mbularose1525
    @mbularose1525 Před 6 lety +9

    Wengi wataangamia kwa ajili ya amri ya nne

  • @abcdg1995
    @abcdg1995 Před 3 lety +3

    Congratulations Teacher Francis Ndasha I love your dressing code. .Ah ha ha,

  • @chanokhchannel2590
    @chanokhchannel2590 Před 3 lety

    Kazi nzuri mwinjilisti Ndacha

  • @AmosObanda23Thursday16Nov8am

    Nashangaa na waislamu, mwapinga ukweli na UKOMBOZI wa Yesu Kristo,
    Biblia imeandikwa na watu waliongozwa na Mungu kwa nguvu za roho Mtakatifu,

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal4520 Před 6 lety +7

    Yesu ndiye njia ya uzima

    • @isackbaton9759
      @isackbaton9759 Před 6 lety

      Zahal Jamal ubarikiwe kwa kujua ukweli sio kwa ubishani

    • @mordally
      @mordally Před 5 lety

      Kabla ya Yesu nani alikuwa njia, na baada ya kufa nani alikuwa njia, alipokuwa tumboni kwa mama yake nani alikuwa njia ondoa hizi ambiguity

    • @ahmedkhelef1559
      @ahmedkhelef1559 Před 4 lety

      Wewe ci muislam

  • @dannygroening3547
    @dannygroening3547 Před 6 lety +6

    Nakwamini kweli wa eslamu wasilie tu tuwazomeye

    • @sulehassanshall6140
      @sulehassanshall6140 Před 4 lety

      Eeee nyi makafiri waovu mulio laaniwa namungu katika injili nataurat nazabur na quraan. Nabii yesu Hakuwatuma Muende kanisni wala yeye hakuenda knsani.nawala hakua nadini iitwao ukirsto. .Bali ukirsto nipaulo pamoja nashetan wakanisni ...bblia insma walio lala katika ukrsto wamepotea bblia iksma tena kanisnai kuna kiti cha enzi chashtan. Iksma tena munapo kusanyikana kwakanisa sikwafaida Bali nikwahasara...bc munafanya nni huko au munamshangalia shetan...ninyi munazomewa nashetan kanisani ..Kila siku mukienda kanisani shetan Anawsubiri Awazomee. Mutuzomee siais kwako gn..kazi yakuzomea niyashetan kanisani...nenda kanisani ukamtafute shetan muzomeane...Tafuta ukweli Acheni kumpa shetan nguvu kanisani machen pekeake Ajizomee kanisani....jahannam niyamakfri pamoja namshetan wanao kaa kanisani. .

  • @magesajnr296
    @magesajnr296 Před rokem

    Barikiwa sana mtu wa Mungu akika Sabato ni muhuli wa Mungu

  • @davidwainaina3899
    @davidwainaina3899 Před rokem

    Huezi pinga bible, ndacha ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @saidhassan382
    @saidhassan382 Před 5 lety +3

    Kile kimenifurahisha ni ya kwamba paster amevaa kanzu . Asante Najivunia kuwa mwislamu. Alafu huyu paster anasoma verses nusunusu kwalaghai wakristo juu hawajui maandiko. Pole umewika iyo yote bado watu wataendelea kuislimu na kanisa kupunguka.

  • @andrungure4689
    @andrungure4689 Před 5 lety +10

    Sabbath is forever.!

  • @ramadhanmahongore7277
    @ramadhanmahongore7277 Před 5 lety +1

    paster uje na TZ maana nako huku kuna maamuma wengi

  • @DanielyKimoko
    @DanielyKimoko Před 5 měsíci

    Balikiwa sana mtumishi,unamungu

  • @joycedarabe6312
    @joycedarabe6312 Před 5 lety +3

    Exactly Waislamu bado hawasemi tuabudu lini sasa, maana yake wanakiri kuwa kweli Sabato

    • @minaminaa1669
      @minaminaa1669 Před 5 lety +1

      hayawausu fuateni krsto yenu waislamu waacheni kama walivyo. ........ ..

    • @rajabmshengeli1624
      @rajabmshengeli1624 Před 5 lety

      Unatakiwa kuabudu kila siku

    • @ramzanqarim4977
      @ramzanqarim4977 Před 5 lety

      Kwan mungu alipanga siku ngapi za kuabudu

    • @zacharyayaga6661
      @zacharyayaga6661 Před 4 lety

      @@rajabmshengeli1624 ukizitunza siku zote kama sabato inavyostahili kutunzwa basi wewe ni mzembe kwa sababu hustahili kufanya kazi siku ya sabato

    • @rajabmshengeli1624
      @rajabmshengeli1624 Před 4 lety

      @@zacharyayaga6661 ibada ni nini?