TUTAZUNGUMZA LUGHA NGUMU HAIJAWAHI KUTOKEA''MWABUKUSI AENDELEA KUSHIKIA BANGO BANDARI NA DP WORLD..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 02. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 243

  • @JesuinaBabili
    @JesuinaBabili Před 4 měsíci +16

    hakika Taifa tupo msibani na hiyo lugha ngumu uliyonena umetutendea haki wana wa Nchi hii …Baba wa Mbinguni akutunze na kukupa ulinzi daima Wakili Mwabukuzi… Barikiwa sana …

  • @user-zj4ii6uf7t
    @user-zj4ii6uf7t Před 4 měsíci +11

    Hongera sn Kaka yangu mwabukusi kwa kulipigania hili Taifa bila hivyo Taifa letu tutalipoteza,tunamshukru sn kwa kutuamsha watanganyika na watanzania kwa ujumla!!!Mungu wa mbinguni azidi kukubariki na kukukingia kwa Kila hatali,, MUNGU mbariki mwabukusi Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki Tz yetu tusonge mbele kwa ajili ya nchi yetu tuko pamoja

    • @robbymzee3423
      @robbymzee3423 Před 3 měsíci

      Mungu ibaliki Tanzania iendelee kutuletea wasema kweli

  • @seifmohd5357
    @seifmohd5357 Před 4 měsíci +8

    Asante sana mkuu tunakuelewa sana Mungu azidi kukupa nguvu ili uweze kututetea wanyonge cc

  • @justice607
    @justice607 Před 4 měsíci +25

    Mimi ni mwenyekiti wa Ccm, mkoa flani lakini nakubali nondo zako Advocate

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 Před 4 měsíci +13

    Asate mkuu
    Nakuelewa sana pamoja sana

  • @user-py9jj5yr9l
    @user-py9jj5yr9l Před 4 měsíci +6

    Mungu azidi kukupa maisha marefu najifunzaga mengi sana kwako

  • @dominiclyamchai9561
    @dominiclyamchai9561 Před 4 měsíci +13

    Mwabukusi WAPE VIDONGE VYAOOOO,TEMA MADINI MWANANGU.NCHI HII IMEKWISHA KABISA.

  • @danielmpanguko759
    @danielmpanguko759 Před 4 měsíci +5

    Umeongea sahihi sana Kaka Mwabukusi, kutembea na bahasha za kuomba ajira kila siku haina tofauti na maandamano.

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 Před 4 měsíci +13

    Uyo ndo mwambukusi msomi makini

  • @davidtuya9586
    @davidtuya9586 Před 4 měsíci +5

    Asante Sana mwabukusi mungu akubariki

  • @user-rr1ds9jm1q
    @user-rr1ds9jm1q Před 4 měsíci +11

    Safi sana ongea ukweli

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 4 měsíci +9

    MWABUKUSI NAKUKUBARI SANA WEWE MZARENDO WA UKWELI C MNAFIKI

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 Před 4 měsíci +4

    Amen and this is true. We need seriously Reform

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před 5 měsíci +9

    Mwabukusi nakuelewa sana CCM kwasasa ni mwenda wazim na uyo mmamma wao

  • @yussuph-lx7cu
    @yussuph-lx7cu Před 4 měsíci +5

    Mwabukusi ni Martin Luther king wa TANZANIA ,HONGERA MWABUKUZI ,,WEWE NI MKOMBOZI WA TANZANIA YETU ,CCM WAMEGEUKA KUWA WAKOLONI WEUSI

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před 5 měsíci +8

    Napenda hoja zako mungu akulinde wakili Mwambukusi

  • @pidiusDominick-qi7nl
    @pidiusDominick-qi7nl Před 4 měsíci +3

    Mungu akupe maisha marefu

  • @jesaminzo
    @jesaminzo Před 4 měsíci +2

    Huwa sijutii kupoteza bando langu kukusikiliza Hon Advocate Mwabukusi❤

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Před 4 měsíci +3

    Asante MUNGU akubariki mwabukusi

  • @giztony2009
    @giztony2009 Před 4 měsíci +3

    Aisee Tanzania ina watu hadimu sana😊😢😢😢

  • @amosjoseph7241
    @amosjoseph7241 Před 4 měsíci +5

    Akili kubwa sana

  • @user-cl5yq6ne3q
    @user-cl5yq6ne3q Před 4 měsíci +1

    Amina sifa kwa Mungu alie waimba watu kama hawa majasiri wa kukemea maccm haya. Mungu ongeza wengine zaidi the name of Jessus

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 Před 4 měsíci +7

    Kweli limebemendwaa aiseee😂😂😂😂

  • @athuman7480
    @athuman7480 Před 4 měsíci +4

    Ila mwabukusi akigombea uraisi chadema inapita vizuri tu

  • @StephenLetta
    @StephenLetta Před 4 měsíci +2

    Nakukubali. Akili yako na uzalendo siyo vya kutiliwa shaka

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 4 měsíci +3

    Unatosha kuwa mwalimu wangu.... Napenda kujifunza kwako

  • @amanicarloschissanga4811
    @amanicarloschissanga4811 Před 4 měsíci +3

    Heshima nyingi kwako kamanda mwabukusi, tupo pamoja mkitangaza lugha ngumu kiongozi tutaizungumza wote mpk hawa manyang'au wajue kwmb hatutanii

  • @user-ky3eu3zt8o
    @user-ky3eu3zt8o Před 4 měsíci +1

    Kaka Mungu kakuweka hapo kwa kusudi lake hakika sisi tunakuelewa sana Mungu akulinde

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa7365 Před 5 měsíci +8

    UPO SAHIHI KABISA MWAMBUKUSI.

  • @samhadas788
    @samhadas788 Před 4 měsíci +2

    Asante Kaka ❤❤

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Před 4 měsíci +3

    MUNGU wa Mbinguni akulinde Mwabukusi🎉🎉

  • @juliusryoba3142
    @juliusryoba3142 Před dnem

    Hakika kila magumu yana mlango wa kutokea, Kaka mwabukusi tunakuombea Afya njema utuongoze ktk kulikomboa Taifa hili. UKWELI ni kwamba tusipotambua Siasa ni maisha tukaachia watu wachache viongoz mithili ya NAPE watatuchezea sana na nchi hii haitakaa iweke mifumo Bora ya utawala wa sheria sambamba na kuinua uchumi wetu kama nchi.

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Před 4 měsíci +1

    Uko sasa kabisa kiongozi ✊🏽

  • @danielaudax6755
    @danielaudax6755 Před 4 měsíci +1

    uko sawa bro yaani sawaa kabisa

  • @hamphumichael7194
    @hamphumichael7194 Před měsícem

    Tanganyika ❤Mungu azidi kutubariki tuna vichwa Sanaa

  • @siamollel6051
    @siamollel6051 Před 4 měsíci +1

    Mungu Akutunze kwajili Ya Tanzania

  • @user-ok6lv3je4b
    @user-ok6lv3je4b Před 4 měsíci

    Mungu akulinde bila mungu huwezi

  • @nicholasakeya6790
    @nicholasakeya6790 Před 4 měsíci

    Iam from kenya i like on how u express ur self

  • @user-jx5ze9wz8e
    @user-jx5ze9wz8e Před 4 měsíci +1

    Nakukubali sana kamanda uko vizuri san ccm na wabunge wao hawana maana yoyote

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 Před 4 měsíci

    Respect kiongozi Mungu akulinde ipo siku wakati itafika tu

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 Před 4 měsíci +1

    Uko sawa kaka

  • @festokastory5282
    @festokastory5282 Před 4 měsíci +2

    Mwabukusi aungwe mkono na kila mtanzania mwenye akili timamu

  • @user-fh1wg4jv9i
    @user-fh1wg4jv9i Před 4 měsíci +1

    Kichwa kimeshiba maarifa ndani ya kichwa nakubali sana

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 Před měsícem +1

    CCM ni HATARI sana kwa uhai wa Taifa letu la Tanzania 🇹🇿 kwa sasa
    Ukweli Wananchi tusipo amsha hakili zetu, basi Raslimali na vitegauchumi muhimu, CCM watauza vyote

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi Před 4 měsíci +3

    Ccm wasipotuelewa, tutawelewesha kwa njia ambayo wataijua. Jamani tupambane machawa wamechachamaa wanapinga mazurI wamepewa kitu na ccm

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g Před 4 měsíci +1

    Chai moto kikombe moto salam ziwafikie ccm

  • @asanterabikimaro9081
    @asanterabikimaro9081 Před 4 měsíci

    Uko sawa mkuu.❤

  • @faustinemangula8424
    @faustinemangula8424 Před 4 měsíci +2

    Mwambusi umekaribia kuwa mtumishi wa Mungu.

  • @rahimhassan6722
    @rahimhassan6722 Před 4 měsíci +2

    Nakufaham sana kwa lugha hi yaleo..ccm ni mizimu majambazi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 4 měsíci +2

    👊✌️✊

  • @peterkasanga-fw7th
    @peterkasanga-fw7th Před 4 měsíci +1

    Sisi watanzania tumezidi uoga, uwanja wa mpira wanaujaza lkn kwenye masilai ya taifa watu tupo mbali kama hayatuhusu MUNGU awabaliki kemeeni hawa uwauwa nchi niyawote.

  • @user-ow3km3xy8k
    @user-ow3km3xy8k Před 4 měsíci

    unatupgania baba lakn wengin wanakuona kama mpuuz tu mungu akulinde baba

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172 Před 4 měsíci +5

    Alafu yanaibuka majitu hata A.E.I.O.U hayajui inaandikwaje alafu yanakwambia mitano tena yani hata broo makonda akifufua mautumbo yanayoliza watu waliopo na wasiohusika ila wanalia kwa kuona wenzao wanapita kwenye upuzi gani ndani ya nchi yenye watalam kila anayekuja anakuja nalake mtu anakaa mahali miaka 60+ kanakuja kajinga kamoja eti ondoka hapa umevamia yani uzaliwe usomeshwe alafu uwarudie watu mlivamia hivi mpo serious makonda anachofanya nikizuri maana anafufua kaburi ambazo zimezikwa mpaka watu saba ndani sasa subirini mda wa fidia tuone mtalipa ngapi maana uhuni huu sijui

  • @herielimushi
    @herielimushi Před 4 měsíci +1

    Kweli kaka yangu

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 Před 4 měsíci +1

    Mwamba nakukubali sana

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 4 měsíci +5

    WEWE MWANA SIASA WA MAENDEREO WA UKWELI ASIEKUJUA AKUJUI

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 Před 4 měsíci

    Wame mdhohofisha tundulisu Mungu katuletea msemaji mwingine na Mungu ataibua wakina mwabukusi wengine. Chadema Ni chama makini

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 Před 4 měsíci

    Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki viongozi wa CHADEMA

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 Před 4 měsíci

    😮asate kaka erim nzali sana

  • @user-kp4zp1lr4u
    @user-kp4zp1lr4u Před 4 měsíci

    Mungu akuongezeee nguvu imeongea point kwenye swala wafugaji

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 Před 4 měsíci +2

    Sema hii nchi inaliwa na watu wachache

  • @richardsalim1042
    @richardsalim1042 Před 4 měsíci +1

    Yupo thabiti ni hatar,let say ndio Rais patanoga sana

  • @user-hl9xu4vo1q
    @user-hl9xu4vo1q Před 2 měsíci

    Yaani mpaka nimejikuta nadondosha michozi, kwann watu wenye usubutu kama hawa wasipewe nchi!!

  • @PaullKapagala
    @PaullKapagala Před 4 měsíci +1

    Mboe ungekuwa kama huyu mean bukusi tungekuelewa ondoa upole

  • @victorgerryson2695
    @victorgerryson2695 Před 8 dny

    President

  • @user-ye3xp1lf7i
    @user-ye3xp1lf7i Před 4 měsíci +1

    Kakanakukubari sana

  • @user-ux8ms6ky9i
    @user-ux8ms6ky9i Před 4 měsíci

    Kweli kaka sisi wakulima wa kahawa miseny tunapangiwa bei na watu ndo maana kahawa zote zinakwenda 10:40 uganda zote zinatoka tz

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 Před 4 měsíci +4

    Uko sahihi kbs Ila ukisoma comments za watu wengi wetu ni wajinga wa kutupwa hawaelewi kitu na hata ukimuuliza akupe hoja hata moja Hana na hajui Ama kweli tulinyimwa elimu maksudi ili ujinga uendelee

    • @user-dp1ch6vv6z
      @user-dp1ch6vv6z Před 4 měsíci +1

      Kweli kabisa na isitoshe mabwege wengi wasio helewa ni wale wanao ishi kwa shemeji zao na kulala sebleni kama baiskeli wakijuwa maisha wameyamaliza.

    • @joycejoel1633
      @joycejoel1633 Před 4 měsíci +1

      Sospeter hao wanao comment ujinga sio kwamba ni wajinga ila ndo wale ambao Genge la wahuni wa chache ni ndugu zao .

  • @skylevelmedia7581
    @skylevelmedia7581 Před 4 měsíci

    Speek speek 💪

  • @SimonLimuruti
    @SimonLimuruti Před 4 měsíci +1

    Wakili wetu mungu tu ndio atake kukuilipa,kweli naomba tukipata dola kuongoza nchi wewe upewe uraisi au umakamu kabisa unnafaa

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga Před 4 měsíci +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 Před 4 měsíci +3

    Rais ajae ni mwambukusi sio samia na hatukutaki kabisa samia achia tanganyika yetu hatukutaki

    • @denismnubi7001
      @denismnubi7001 Před 4 měsíci

      Tumuchagie ela za kuchukua fomu ya urais huyu mwamba anatufaa kabisa

  • @jaberalyafei274
    @jaberalyafei274 Před 4 měsíci +2

    Si kweli bwaaaaana sema kweeeeeliii> weweeeeee

  • @richardsalim1042
    @richardsalim1042 Před 4 měsíci +1

    Huyu mwamba ni pafect kinoma mpaka raha kumsikiliza

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga Před 4 měsíci +2

    Machozi yananitoka meneno mazito!!

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k Před 4 měsíci +1

    Kweli wamasai wanaonewa

  • @BartolomeuHenrique-mx1fn
    @BartolomeuHenrique-mx1fn Před 4 měsíci

    Unaendelea vizuri kutetea nchi

  • @user-jf7rg1ux9l
    @user-jf7rg1ux9l Před 4 měsíci +1

    Safar ya matumain inaonekana.

  • @fikirially7875
    @fikirially7875 Před 4 měsíci +1

    Mmemkuta Rais mwenye ustahamilivu 2020 mngejarabu kutanua hiyo midomo kwa yule mwamba mngejua serikali ipo kazini acha ubaguzi wa nchi kipindi cha magu ulikuwa wapi nenda kasimamie familia yako kwanza umalize migogoro kule kwenye familia yako.

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola Před 4 měsíci +1

    Natamani achukue fomu nchi itakaa sawa

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi Před 4 měsíci +1

    Huyu jamaa mbabe haogopi dah maneno yako mazima lakini kelele hazifiki pahala wamezuia mpini ww umezuia shoka itakuchinja tu

  • @user-jk6we5qu2x
    @user-jk6we5qu2x Před 4 měsíci

    Pamoja mkuu unaipenda nchi yako

  • @user-ub6nh5zq4f
    @user-ub6nh5zq4f Před 4 měsíci +1

    Tumekuelewa baba

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n Před měsícem

    😢Duuh basi kwa sauti hii unayo itumia ni ya kikoloni kabisa, Zungumza kiswahili ili nguo yake iliyochaka akuelewe vizuri, Aa

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před měsícem

      Kwaani wewe umesoma kwa lugha gani mpaka unamhukumu mwabukisi

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i Před dnem

    Unaongea ukweli sana ila hawapo watu wasikivu kwa sasa wanebaki mabepari tu wakiafrika

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t Před 4 měsíci +1

    Wewe ni mwamba mtu na nusu nakuunga mkono brother

  • @user-no6sg5vc5z
    @user-no6sg5vc5z Před 3 měsíci

    Natamani niwanunulie simu wananchi niwawekee bando pia wakusikilize jamani akili kubwa kama hiii inateketea kwenye kizaungu tusaidie

  • @ZenaMwakalambile
    @ZenaMwakalambile Před 4 měsíci +1

    Kama sio maigizo kwani bandari ziko studio,kafanye fujo kwenye hiyobandari.

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 Před 4 měsíci

      hivi ww unamaanisha ww upo salam?? au unapepo lina kusumbua ccm imekuwa jini linalo nyonya wana nchi wake ipo siku utajua hujui mungu yupo acha azungumze ss tunamuelewa

  • @prudencemushi6948
    @prudencemushi6948 Před 4 měsíci

    Nimerudi kusikiliza tena leo kujitia hasira...😊

  • @willymdeka6034
    @willymdeka6034 Před 4 měsíci +2

    Na mfumo wa chadema umebemendwa na mwenyekiti wa kudumu

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Před 4 měsíci +1

    Ni wenye akili tu watakuelewa ila watanganyika wamepofushwa na ccm wasione mbele Kuna nini

  • @user-yj9un6iz9c
    @user-yj9un6iz9c Před 4 měsíci +1

    Mbona unafoka ndugu yangu na wewe bado sana kwenye siasa naona kama unalala Mika sema sera zako wewe

  • @user-ii7yn2sd3i
    @user-ii7yn2sd3i Před 4 měsíci

    Dini ndo zinazotutafuna achilia mbali hili swala ni la kitaifa na kisisasa lakin uamuzi wa swala hili limekaa kiimani zaidi

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 Před 4 měsíci +1

    NOT A WALK IN THE PARK!

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 Před 4 měsíci

    Chadema mpeni mwabukusi agombee urais Atabeba mpaka ya vipofu bila ushabiki mwabukusi anatosha

  • @MathiasNzungu
    @MathiasNzungu Před 4 měsíci +1

    Wachungaji tunakuombea

  • @denismnubi7001
    @denismnubi7001 Před 4 měsíci

    Aisee tumuchagie ela ya fomu ya urais huyu mwamba anatufaa ksbisa

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Před 4 měsíci

    Kazi ya maskio ni kuskia

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Před 2 měsíci

    Kweli mwambukusi musomi unaitendea haki elimu Yako wakati wasomi wengi wamegeuka machawa wewe umekataa Kwa kupigania kizazi kijacho

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho Před 4 měsíci +1

    Ww ni mzaredo wetu