MWABUKUSI AMUWAKIA VIKALI MAKONDA, AIBUA UPYA SAKATA LA BANDARI"..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 148

  • @geofreysimpepo9945
    @geofreysimpepo9945 Před 6 měsíci +20

    ❤ mwabukusi ni hadhina yenye thamani kubwa Sana katika nchi hii,..👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿

    • @hamisijuma8124
      @hamisijuma8124 Před 5 měsíci +2

      Huyu kichaa tu anatafuta ugali wake

    • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
      @SmilingFlowerBouquet-hs2hv Před 22 dny

      Wewe ni hewa ukapimwe akili anacho kisema ni sahihi mbwa ww nenda shule​@@hamisijuma8124

    • @edwinamos9734
      @edwinamos9734 Před 2 dny +1

      ​Kuma wewe hauna unacho jua elimu hata cheti cha form four hauna msenge slave mkubwa wewe.​@@hamisijuma8124

    • @fedianfredy2631
      @fedianfredy2631 Před dnem

      ​@@hamisijuma8124 na ww nenda katafute ugali mjinga ww

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 Před 5 měsíci +11

    Tungepata watu 100, kama Mwapukusi nchi ingenyoka,, big up bro,, tupo nyuma yko,

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Před 5 měsíci +1

      KUWA WA PILI BAADA YA MWABUKUSI, TATIZO LA WATANZANIA WEEENGI WANAFIKIRI HAWEZI KUWA YEYE ILA WENGINE 99 NA MH. MWABUKUSI WATAKUWA 100. NI KOSA KUFIKIRI HIVYO!!!

    • @JaneJennifer-zk7bk
      @JaneJennifer-zk7bk Před 4 měsíci +1

      Bila katiba mpya tutakuwa tunapiga kelele tu ndugu yangu ,na ndiyo maana hawajali

  • @jamesmassamakeri2418
    @jamesmassamakeri2418 Před 6 měsíci +13

    Mwanahabari soma kwanza ndo upate content za kuwahoji watu wenye uwezo Kama hao , hongera advocate

  • @EbenezerMagari
    @EbenezerMagari Před 5 měsíci +8

    Asante Mungu kwakutupa vichwa kama hawa

  • @veronicanabina3380
    @veronicanabina3380 Před 5 měsíci +11

    Mwabukusi, ukigombea uraisi kupitia Chama chochote kura yangu nakupatia asubuhi na mapema

  • @hanscmakerdm9943
    @hanscmakerdm9943 Před 6 měsíci +15

    Muandishi hana anachokijua😅

  • @user-zk9fz2xi9z
    @user-zk9fz2xi9z Před 5 měsíci +6

    Ubarikiwe Sana sana mungu akulinde kwa kukosoa nakuelimisha ccm yenye uelewa wa f darasan

  • @user-zr1jf1gb4m
    @user-zr1jf1gb4m Před 6 měsíci +15

    Mh Mwambukusi kweli ni mwalimu mvumilivu. Anavumilia kuwafundisha mazuzu

    • @hamisijuma8124
      @hamisijuma8124 Před 5 měsíci +1

      Anatafuta Kiki

    • @DicksonIgnas-pq1rj
      @DicksonIgnas-pq1rj Před 5 měsíci

      ​@@hamisijuma8124ndivyo Machawa ndivyo mnavyo sema

    • @samsonkatigiri2344
      @samsonkatigiri2344 Před 23 dny +1

      Hamis Juma gani wewe mpuuzi,tafuta jina lingine la kipuuzi kama wewe ulivyo,achana na hilo jina zuri

    • @fedianfredy2631
      @fedianfredy2631 Před dnem

      ​@@hamisijuma8124 Nenda katafute na ww afu Umetumwa et mavi ww

  • @sixberthcostantini9290
    @sixberthcostantini9290 Před 5 měsíci +5

    Kweli kiongoz ongea ukweli Mungu akulinde

  • @chedijohn2270
    @chedijohn2270 Před 5 měsíci +3

    Mwabukusi safiii Mungu akuongezee hekima na,busara Amen.

  • @fabianmnyenyelwa8752
    @fabianmnyenyelwa8752 Před 5 měsíci +1

    Mwabukusi umesheheni madini, uko vizuri hakuna mwana-ccm anayeweza kupinga nondo zako. bigup bro nakukubali sana

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz Před 6 měsíci +6

    Bro uko poa sana chadema mnawatoa wapi hawa watu wasomi hivi sio vilaza akili zao hazijalala

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s Před 6 měsíci +4

    Mimi nakukubali Sana mzalendo wa kweli

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b Před 5 měsíci +3

    Amkeni watanganyika msidanganywe na wajanja CCM iwe mwisho wake kutawala Tanganyika asante sana mdogo wa mwabukusi

  • @CollinceFrances
    @CollinceFrances Před 5 měsíci +1

    Tunakuombea kaka Mwambukusi Mungu hakubari Ila Kua makini na hawa watu sio wazuri

  • @RutinikiGosbert
    @RutinikiGosbert Před 5 měsíci +4

    Mr. Mwambukusi huyo naye achana naye hana jipya kama hajui ata tamko la maaskofu ni wapi uyo

  • @evansdecaprio8196
    @evansdecaprio8196 Před 6 měsíci +6

    Tanganyika inawatu wa maana sana

  • @user-gu1fu2ud9j
    @user-gu1fu2ud9j Před 5 měsíci +3

    Honger sana mwambukusi kutaja ngorongor

  • @christinangondi4212
    @christinangondi4212 Před 5 měsíci +1

    HAKUNA kipande cha Ardhi na Rasilimali za Watanganyika zitakazouzwa kwa watu weupe, milele Amina

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc Před 6 měsíci +8

    Mwabukusi Hongera kuitetea Tanganyika,

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni Před 5 měsíci +3

    Waziri ajae mwambukusi huyu ni azina ya nchi

  • @tegoswadakta8996
    @tegoswadakta8996 Před 5 měsíci +1

    Asante kwa shule Mwabukusi, asante baba

  • @reginas1832
    @reginas1832 Před 6 měsíci +4

    Bandari haiuzwiiii
    Asante sana Mh. Mwabukusi

  • @ezronhussen5401
    @ezronhussen5401 Před 6 měsíci +7

    Ccm mbona wana jinufaisha wao tyu

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t Před 20 dny

    Thank you Jesus for this guy (Mr Mwabukusi)

  • @siwaleshadrick41
    @siwaleshadrick41 Před dnem

    We Mungu mwenye haki mlinde mtumishi wako huyu.

  • @ukululegeorge9309
    @ukululegeorge9309 Před 5 měsíci +1

    mwabukus yuko sahihi,na Mungu amzidishie uhai kwa faida ya watanzaia.

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před 6 měsíci +5

    Mwabukusi nakuheshimu kwa kut upatia elimu

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před 2 měsíci

    Mhesimiwa mungu akubariki yeyote atakayeinuka kinyume yako awe adui wa mungu na hao wanaonguka Raisi wetu na kumfanya chukizo kwa wanamchi mu ngu awaaibishe watahayarishwe. Wafedheheshwe

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i Před 6 měsíci +3

    NDIO MAANA TUNAJIUNGA KTK MAANDAMANO KUIKOMBOA TANGANYIKA

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Před 6 měsíci +2

    JAMBO TV hapa mmeingia sehemu siyo 😂😂 huyu siyo Tundu Lissu ambaye mnajitahidi kumtoa kwenye point zake kwa makelele yenu. Huyu mwamba akishimika kashimika kweli😂

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i Před 6 měsíci +2

    YAANI HATA SIS TUTAKUFA KAMA WIMBO USEMAO TAZAMA RAMANI UTAONA NCHI NZURI NA MWISHO UNASEMA TANZANIA UNILINDE HATA KUFA😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯

  • @fabianmainchanyangachika5017

    Hata mkutano mkuu havijawahi kufanya😅😅😅😅

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 6 měsíci +2

    Wakili msomi Mwabukusi umetisha,kina Lisu mnazaliwa kila siku,safari hii lazima waaibike kwa kukataa kuchutama badala yake wanaamua kukaa kimya nchi ccm ifie mikononi mwao!

  • @JumaMbaga-sd5yi
    @JumaMbaga-sd5yi Před 2 měsíci

    Huyu jamaa anaakili nyingi sanaaaasas na anakuja kwelikweli sio mxaha

  • @Sehewa_Edward_Mohamed
    @Sehewa_Edward_Mohamed Před 5 měsíci +1

    Kuelewa ni ngumu Sana. Watu wanataka kanga na chakula tu. Ila huyu mtu ni mwamba

  • @1961nungwi
    @1961nungwi Před 6 měsíci +2

    Hawa waandishi wa habari wa siku hizi kaazi kweli kweli!!

  • @vicentbunzal7342
    @vicentbunzal7342 Před 2 dny

    Kwa hizi nondo zinazotolewa hapa aje na mh lisu,ccm wakisikia hizi nondo hawawezi kuiachia dora iende na upinzani hata kwa mawe.ila ipo siku ccm itakuja kuaibika vibaya sana

  • @jesaminzo
    @jesaminzo Před 6 měsíci +3

    Kweli kabisa. Yeyote anayeamini kuwa statement ya Bashite ni ndogo, lazima tuwe na wasiwasi na IQ yake

  • @AsasAllykwasalafivitavyamasaha

    Watu kama hawa wangetakiwa kuwa hazina ya nchi.Lakini hawaeleweki wakianza kueneza chuki za kisisa,kidini na kimajimbo.Anaangalia vipi anaweza kunyanyua hisia za wana nchi na kupandikiza chuki dhidi ya serikali yao.Watanzania tujue hawa wanajitengezea mazingira kuishi ulaya wakati wamesha chafua nchi.Sisi hatuna pakwenda.Tutaingia katika mkumbo wa kutafuta ukimbizi kwa nguvu ulaya.

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf Před 5 měsíci +1

    Kaka mwambukusi ila makonda ndo umechemka sana tena pakubwa Kuna mahakama ya haki Tanzania hio nisiasa sasa mahakama ya Tanzania niyakihuni sana

  • @rahabufilangali-cp6br
    @rahabufilangali-cp6br Před 6 měsíci +3

    Shetani hawezi kufukuza pepo

  • @JaneJennifer-zk7bk
    @JaneJennifer-zk7bk Před 4 měsíci

    Wakati mnapambana bandar zetu zirudi, msisahau kupambana pia ili kupata katiba mpya ambayo italinda raslimali za taifa letu,tusikubaliane kabisa na huu usanii wa hawa wanasiasa wanasema watanzania wanataka katiba mpya mdomoni huku wakijua hawawezi kukubali kwa vitendo maana wanajua uhalifu wanaofanya kinachowalinda ni katiba

  • @JosephHaule-yg1cf
    @JosephHaule-yg1cf Před 23 dny

    Mwenyekiti kavaayeboyebo

  • @success-only
    @success-only Před 6 měsíci +3

    😂😂😂
    IQ ya makonda ni ndogo
    Uko sawa wakili mwabukusi

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn Před 6 měsíci +2

    Shida ni kwamba nchi hii inamazuzu

  • @bahatibatho2393
    @bahatibatho2393 Před 16 dny

    Sema baba tusaidie tinanyongwa

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 5 měsíci +1

    Mitandaoni Kuna raha Kweli

  • @Ally-ts5gk
    @Ally-ts5gk Před 4 měsíci

    Hamna lolote hapo hajapewa mkwanja tu huyo mpeni chase huyo anyamaze wabongo kwa pesa ni noma mikwara tu hiyo jamani tutaona mwisho wake tuombe uhai na uzima tu kwa muumba wetu

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 Před 4 měsíci

    Nchi hii ni inataka watu kama hawa Vivaaa Mwabukusi

  • @AmaniLukumay-wk6zm
    @AmaniLukumay-wk6zm Před měsícem

    Jitahidi baba juu ya bandari zetu na vawanja vya ndege

  • @KINASAITALABASH-pc8ld
    @KINASAITALABASH-pc8ld Před 21 dnem

    Kuhusu makonda anacho fana mm sikipngi kwakua wote anao watetea wote tayar wameptia mahakaman lakn hawajafanikiwa kutatuliwa shida zao.

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 Před 6 měsíci +2

    Mwandishi hatoshi kumhoji huyoo Baba

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 Před 5 měsíci +1

    Tanzania kumbe imejaa mapumba kweli ! Hamna nchi yeyote ulimwenguni eti mkuu wa mkoa ndie hakimu na wakili kwa masuala ya kisheria ! Upuzi mtupu.

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 Před 6 měsíci +2

    Bungeni yupo msukuma na lusinde msiba mkubwa

  • @josephandrea
    @josephandrea Před 4 měsíci

    Mwambukusi usiache kugombea ngazi ya Rais mambo yanyooke unaitetea sana rasilimali za Tanzania

  • @bmdele5816
    @bmdele5816 Před 5 měsíci

    Mwandishi huyo kiazi kabisa,
    Ajibu kwanza kwa sauti Dubai ni nchi!😊

  • @user-vv4wo5fu9t
    @user-vv4wo5fu9t Před 16 dny

    NDIO BABA MABUKUSSI UNAYOSEMA NI UKWELI MTUPU SELEKALI YA CCM MAJIZI MNOO NA MAFISADI WANAJINUFAISHA WAO NA WATULETEA UTAWALA WA KIFALUME ....

  • @mbungemilanzi8149
    @mbungemilanzi8149 Před 5 měsíci +1

    Wambieni ukweli hao makafili waache wizi watende haki dunia niya munngu hii wala siyao

  • @GABRIELGAVU-vf7cn
    @GABRIELGAVU-vf7cn Před 19 dny

    Huyu mwanahabari hajaiva kuhoji mazungumzo mgumu bado

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik Před 5 měsíci

    Mwamba nakukubali kujitoa muhanga......lazima tu wakunyamazize...hatujui njia ipi itatumika ...😢

  • @user-yk2ey6xu9g
    @user-yk2ey6xu9g Před 5 měsíci

    Mwambukusi anahekima saana anaongea hata nawatu wasio na akiri levo zake dr slaa lisu sami mbowe lema labda

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola Před 21 dnem

    Kwa kweli kama wanasheria white mungeungana kabisa kwa dhati kutoka pande zote za nchi yetu mukaongoza wananchi katika haya mapambano nchi yetu serikali ya CCM ingeshika adabu na isingekua madarakani

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official Před 4 měsíci

    Ndugu mtangazaji huwe inajiaandaa kabla hujaenda kumuoji mtu kwanza fanya utafiti soma vitabu fukunua ndo saaa ujue kuuliza maswali, saaa wewe unaendatu kila swali ukiuliza huna utafiti,

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 Před 5 měsíci +1

    Duh safari bado kumbe mbichi hii

  • @christinangondi4212
    @christinangondi4212 Před 5 měsíci

    Wenye Hekima na Busara kama hawa wanaishi mtaani, ILA wenye kichwa cha mwendawazimu ndo wamekalia VITI, very SAD

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 Před 5 měsíci

    Mungu akuweke

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga Před 6 měsíci +1

    Mwabukusi❤❤❤

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před 25 dny

    Una hakili nyingi

  • @user-mu9uf5le6j
    @user-mu9uf5le6j Před 21 dnem

    Makonda nizaidi ya mwabukusi

  • @Zanijasy-hy7vm
    @Zanijasy-hy7vm Před 4 měsíci

    Mwabukusi Nyerere II WA Tanganyika

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Před 6 měsíci +2

    UKITAFUTA UMARUFU MTAJE KIONGOZI MKUBWA, NDIO ANALOLIFANYA (MWAMBUKUSI)

  • @GABRIELGAVU-vf7cn
    @GABRIELGAVU-vf7cn Před 19 dny

    AIBU KUBWA KWA SELIKARI Katika Hali ya kawaida nchi yetu inaongozwa na selikari iliyowekwa na chama cha mapinduzi. Selikari ina mifumo na taratibu za kuongoza nchi kuanzia tarifa Hadi ngazi ya kitongiji na idara zake. Katika mifumo hiyo, kero za wananchi huwasilishwa na kazi za kiutawala hufanyika. Ziara ya katibu mwenezi kuzunguka na kukusanya shida za raia wake ni kuianika selikari yake na kuiambia Dunia kuwa selikari iliyowekwa na chama chake imeshindwa kutimiza haki na kushindwa kutatua kero za raia. Pia katibu anajulisha kuwa chama chake kimeshindwa kwa sababu kimeiweka selikari legelege ambayo haiwezi kazi AIBU Hapo ni nani anaye Anika hadhari udhaifu wa selikari Kama siyo chama kilichoiweka hiyo selikari? Dunia inaisoma selikari yetu vipi?'BADO TUNA SAFARI NDEFU.!!

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 Před 6 měsíci +1

    Wacheni urongo wenu, huo ni mtazamo wako...alisema kutokana na hali ya mwananchi wa kawaida hawezi kupambana mahakamani ukiwa huna pesa kwhy ni bora tatizo litatuliwe live 😊

    • @salummohamed2689
      @salummohamed2689 Před 6 měsíci +1

      Mjinga hujui na Wala husikilizi ukaelewa!

    • @bravofundikila965
      @bravofundikila965 Před 6 měsíci +1

      Rafiki yangu huna uelewa mbona mwambukusi yuko wazi sana.

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 Před 6 měsíci +1

      Zwaxwa mmoja hujielewi Bora ukae kimya

    • @maryamabdallah3140
      @maryamabdallah3140 Před 6 měsíci

      @@salummohamed2689 wao kipi wanafanyia wananchi...wananchi wako ktk madhila makubwa ya matatizo... Unadhani huyo mwanasheria yuko tayari kasimamia kesi za walalahoi??? Use yr brain sio mnafanya ushabiki usio na maana.

    • @maryamabdallah3140
      @maryamabdallah3140 Před 6 měsíci

      @@bravofundikila965 bravo, hujafikwa na shida... Ngoja upatikane na shida utajua hakunaga mwabukus wa Bure kuja kukutetea Bora ya huyo mtatuzi wa shida za watu live, japo mnahisi ni maigizo

  • @shmohd11
    @shmohd11 Před 6 měsíci +1

    Meabukusi usipotoshe. Weee unajua nchi mbali mbali duniani zilizo ktk Famme kama Uingereza, Dubai, Kuwa a sovereign State siyo jambo pekee linalongatiwa ktk kuingia mikataba kati ya sehemu ya Dola na nchi ya nje. Does Ireland, as part of United Kingdom, forbidden to enter into agreements with other nations? Je katiba ya UAE haona vifungu, Exclusivity Clauses, zinazoruhusu Emirates kuingia mikataba na nchi za nje? ACHA KUDANGANYA WATU

    • @lazaromshamu3521
      @lazaromshamu3521 Před 5 měsíci +1

      ndugu ulifuatilia hukumu ta mahakamani lakini..? kasikilize majaji walitamka nn kuhusu hao dubai

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu Před 5 měsíci

    Ww rofa mjinga bwege unamsema makonda unakili kweli ww

  • @mussamuna900
    @mussamuna900 Před 5 měsíci

    huyu mwandishi hajui amekutana na mtu wa namna gani

  • @AsteriaMasika-st5pk
    @AsteriaMasika-st5pk Před 5 měsíci

    Jamaa naakili za ajabu, duuh

  • @user-fz3bk6vw2b
    @user-fz3bk6vw2b Před 6 měsíci +1

    Nakukunal asant

  • @christinangondi4212
    @christinangondi4212 Před 5 měsíci

    Weweee, kwani hujui kwamba vyombo vya dola vyooote viko mikononi mwa mkulima wa mboga mboga?

  • @user-mu9uf5le6j
    @user-mu9uf5le6j Před 21 dnem

    Sheria aileti haki ona fukinafaso ibrahim traole atumii sheria kuleta haki

  • @IddiAbdi
    @IddiAbdi Před 5 měsíci

    Usimshutumu makonda yupo saw nikichwa

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i Před 6 měsíci +1

    TUAITETETEA NCHI YETU KWA GHARAMA YOYOTE HATA KUFA KATIBA INATUTAKA

  • @ellyburton6862
    @ellyburton6862 Před 5 měsíci

    Mwandishi na wew kiwango chako ni kidogo mno hujui nn hapo

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Před 5 měsíci

    Mwandishi weeeeeee😂😂😂

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Před 23 dny

    Huyu Rais amesoma shule gan? Tuwapeleke wasomi wote bungeni wajue Sheria za kuwatetea wananchi wao ili waache kugonga meza. Ovyo ovyo bila sababu ya maana

  • @juliusmsangi6849
    @juliusmsangi6849 Před 5 měsíci

    Mwandishi anahoji ujinga! Ukizoea kulala kwenye kitanda chenye kunguni utapata usingizi ingawaje kunguni anaendelea kukutafuna!

  • @imanimakiyu5146
    @imanimakiyu5146 Před 5 měsíci

    Mwandishi hana data ana maswali alosoma chuoni kwao haelewi yanayoendelea

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před 5 měsíci

    Watanzania tufunguke vichwa ccm majambazi mafisadi😅mwaandishi wa ovyo

  • @wilisonmikate1652
    @wilisonmikate1652 Před 5 měsíci +1

    Mwambukus apewe maua yake

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i Před 5 měsíci

    UFISADI NI MATOKEO YA UTAWALA WA CCM

  • @HamisiNguku
    @HamisiNguku Před 2 měsíci

    Rahidhani ulishasepa mashujaa fm

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b Před 5 měsíci

    Watanganyika tumekwisha serekali imebewa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache

  • @user-lw3tg3yg5b
    @user-lw3tg3yg5b Před 5 měsíci

    Huyo mwandishi wa Habari naye hajui kitu na siyo mzalendo

  • @CaftyLema
    @CaftyLema Před 5 měsíci

    Hàpo umesema kamanda

  • @Mwinjilisti966
    @Mwinjilisti966 Před 5 měsíci

    Huyu jamaa Ana njaa ya madaraka Wala siyo uzalendo

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i Před 6 měsíci +1

    UNILINDE NAMI NIKULINDE HATA KUFA

  • @veronicanabina3380
    @veronicanabina3380 Před 5 měsíci

    Jamani mwandishi ulijua unakuja kumhoji nani, au umepewa taarifa ya kushtukiza?

  • @alexmbeyanje4022
    @alexmbeyanje4022 Před 6 měsíci +1

    Baba edeleya nakupiga

  • @PatrickKalinga-yw6kl
    @PatrickKalinga-yw6kl Před 5 měsíci

    🙏🙏🙏