JOHN MREMA APANGUA MASWALI YA SALIM KIKEKE AFAFANUA HOJA YA TUNDU LISSU KUSEMA CHADEMA SIO MAMA YAKE
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Akijibu maswali ya Mwandisho wa habari kutoka Crown Media Salim Kikeke Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Uenezi Mhe John Mrema ameeleza kuwa Kikao cha Kamati Kuu ni kikao cha kawaida cha kikatiba na kujadili hali ya kisiasa nchini na wala hakijadili swala la aliyekuwa mwanachama Mchungaji Peter Msigwa
Smart and eloquent Mrema! Hongera sana!
Saaaana, huyu jamaa anatoa majibu Yaloshiba
Hongela sana Mrema kwa ukomavu wa kujibu maswali.ya mwandishi maarufu na nguli wa kimataifa.chadema Ina viongozi makini na inajua kuwapika viongozi.na mbowe ni mhimiri wa Chama.hongela zake
Safi sana Mr Mrema. Wewe unafaa kuwa kiongozi.
Hongera sana mrema kuanzia leo asilimia zote nakupa kweli chadema ina hazina ya viongozi
Chadema ina viongozi bora sana mungu awalinde vyema!!umejibu vyema sna
Kwenye kikao cha kamat kui agenda kui iwe tume huru kama hakuna time huru kinacho fuata ni kushindwa
Yaliyosemwa na Nape ni majanga kwa chaguzi zetu na demokrasia kwa ujumla
Hongera mtema uko vizur sana hata ccm walitoka usichoshwe na maswal mrema mhe. Lisu ni mwamba wa chadema wanaofurahia CHADEMA kuanguka sii rahis .CHADEMA IKO JUU JUU ZAIDI.
Hongera Kikeke, maswali yako yanathibitisha umahiri wako katika tasnia yako.
HONGERA Mr. Mrema, majibu yako yanathihirisha ukomavu wako na uimara wa CHADEMA na viongozi wake.
Mrema ametulia na anajiamini,aidha Chikeke alijipanga na amekubali kwa ishara.
BIG UP CHADEMA TANZANIA 🇹🇿♥️💪✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Imani kubwa na chama tunayo sanaa na tunawaombea sana viongozi wetu wa juu msichoke na msidhubutu kuchoka coz tunakuwa tumemuachia shetani nafasi na tunamtenga mungu wa kweli
Hongera sana Mrema, umejibu maswali kwa utulivu mkubwa sana
Big brain sikutegemea huyu msemaji wa Chadema yuko bright kiasi hiki Big up big up
Mrema kwangu,,umekuwa chakula cha ubongo safi sana
Well well,Mh John Mrema... utulivu wa kutosha.
Hongera Sana mwanachadema mwenzangu unajua kujibu maswli ,hongeraaaa hongeraaaa saaaaana
John mrema uko vizuri sana
Big up John Mrema
Umemtuliza Kikeke
Kama mweshimiwa
Msomi bi Fatuma Karume.
✌️✌️
Majibu Kuntu Mr Mrema.
Very well spoken Mrema. Keep up the Good work.
Hongera investigative journalist. Waandishi wachunguzi hata ukisililiza unapata ladha ya mahojiano.
Kaka Mrema nimekukubali so strong and stay strong
Akili kubwa sana watu M4C people's
Ni tishio
Safi tunawapenda wote wana chadema sisi uku tunawategemea sanaa
Akili nyingi sana hongera katibu mwenez umejibu vzr sana
NIMEKUBALI MREMA NI SIMBA KAMA MBOWE❤❤❤❤❤❤ NYIE NDIO MMATUFANYA SISI WANANCHI TUONE CHADEMA NI CHAMA CHENYE MISIMAMO.❤❤
Huyu Jamaa yuko smart sana kichwani na anajua kujibu vzr. Ndo maana naipenda chadema maisha yangu yote M4C daimaaaaaaaa ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Mhe. Mrema uko vizuri kwenye majibu CHADEMA hongereni sana mna akili nyingi san mmew ekewa mpaka nyongeza.CHADEMA Hakuna aliyedhaif.aliyetoka na maneno ya mkosaji hayoo na akirudi msimpokee
Daaaah chadema ina watu makini sana. Yaani interview tu darasa tosha. Salute Mr mrema
Ila lissu hakutangaza kugombea alisema2 Yuko sawasawa Kama atapewa Hilo jukum
Watu wa Chadema wako competences san
Detailed stated, well done champ👏
Nimekukubali Mrema big up
Safi sana mzee mrema pia kikeke unafanya mahojiano unaonyesha ukomavu kuwa ww ni mtangazaji kinara nguli kabisa mahojiano mengine ni kama vufugu safi chadem mana sa iv wabunge wa upande ule wakienda kwenye majimbo yao hawasikilizw wanabakia piga piga piga uyoo
Mungu kibarik chama chadema kinawatu wered sana wanaopenda haki sana, kama kunawatu wanapenda kuturudisha nyuma mungu aingilie kati wachomwe moto tunaianini chadema inawatu makin ,naniwatu wengi wapo chadema wanapenda sana mslai yao
Hongera sana kwa kumwelewesha Kikeke Wengi wanapenda sana kudharau viongozi wa Chadema bila kujua kuwa Chadema Ina viongozi weledi sana
Viongozi msituangushe,,chadema kimbilio letu,,mrema umenitoa shaka
ASANTE SANA BWANA KIKEKE KWA MASWALI YAKO MURUA KABISA. NA HEKO MJIBU MASWALI HAKIKA CHADEMA INA VIONGOZI WALIOSHIBA SHERIA KISAWASAWA
UZURI CHADEMA MNA AKILI NYINGI SANA❤❤❤❤❤❤
Waandishi wa Habari wa Tanzania ni uchwara sana na wengi wametumwa na ccm. Alichoongea Lissu ni kitu kingine kabisa, sasa wanakuza mambo na kuleta tafsiri mbovu. Kikeke naye anaiga waaandishi wa habari wa Tanzania wasio na weredi. Yaani ni waandishi uchwara makanjanja tu. Mwandishi aliuliza swali na Lisu akajibu kwa ufasaha KABISA sasa wanaruka na habari nyingine kabisa.
Kikeke ameshatiwa ndimu Tanzania kuna lana Bruh nipo California inasikitisha sana
Well done Mlema nimesikiliza kwa makini sana sijakuatana na mapungufu yoyote labda wenzangu!
Oyeee safi sana mchungaji apate kipande
Asante sana mrema upo vzur sana!
Kikeke usijiingize kwenye uchawa au kutumika mbona huchokonoi yanayojili ndani ya ccm unajitoa ufahamu !
Smart Mrema, big up!
One of the big bràins I dare to say
Lisu alilizwa swali akajibu swali kwamba ndio niko tayari kugombania uraisi
Ufafanuzi mzuri sana toka kwa Mrema, Afisa habari wa CHADEMA
Matumaini makubwa Kwa sasa ni Kwa Chadema
Mwananchi kajiandikishe ktk daftari la kudumu ili uwe na uwezo wa kumchagua kiongozi unaemtaka.
Kazi nzuri kikeke
Tegemeo letu tz ni chadema kututoa kwenye shida za mikodi mingi sana tunateseka jamaniiiii
Good Interview Kikeke na Mrema😂😂😂
Kweli Salim na wewe, bado kabisa. Kipi kibaya alichosema lisu
Msigwa kama Mwambe ni wachumia tumbo na ccm mnahangaika sana kuibomoa cdm kwa kuwatumia hao vibaraka . Madudu mangapi yanayotokea ndani ya ccm mbona Makamba Nape na Kinana hujawafatilia !?
Mbowe wenyekiti Apumzike kwa maslahi ya chama Tundulisu kanyoka sana
Hadi huwa nashangaa chadema wanatumia nn kuwapata watu wao just imagine huyu hana jina kivile ila ana akili nyingi zaidi ya ccm wengii sana ametulia hana mihemuko
mungu ampe guvu mbowe ili chama kiwe na nguvu
Yaani agenda za waandishi ni kudadavua ya huko CHADEMA tuuu! Mbona sio CUF au NCCR??
Mti wenye embe ndio unatupiliwa mawe!!!
Yaani uache kuhoji chama kilichobeba matarajio ya watanzania ,ukahoji vyama vinavyohongwa ubwabwa!?Wewe vipi?!
Brilliant
Chadema chama kikubwa na ndio maana kinafatiliwa kuliko vyama vingine, kama cuf nccr nk.
Maswali pia niya kuwaondolea matumaini wanachadema ,ila Mh mrema Yuko full majibu.
Good Brain mrema🙏🙏🙏
Mrema ni smart
Kikeke uko vizuri
Mpaka mtakapo Chagua Mwenyekiti mpya chadema Ndio mtaweza kunishawish
Sema mrema umekaa kwenye kiti mda mrefuuu😎
Njoo ukae wewe fala mkubwa
Mbona wewe umekaa muda mrefu hugombei nenda Katie Nia ugombee ukishinda na wewe utakaa muda mrefu!
@@jeremiahngoka4980Anatakiwa akagomber ili na yeye akakae muda mrefu Kuna watu hawataki kugombea utafikiri wamekatazwa Kazi yao ni majungu ti!
@@IsayaSosolo-nx8zk majina yenu tu kaa vile mashoga sibishanagi na nyie watu
Hapo hujabishana na sisi mashoga? Kumbe na wewe umo kwenye kubishana na mashoga wenzako!@@PrinceHendry-hp8vv
CDM tegemeo letu tz, Leo nalipia Kadi ya CDM online❤
Kikeke umefeli Kama umetumwa kawambie
Kiongozi Kasema Apa Kwamba Mtu Yeyote Akishindwa Kwenye Uchaguzi Akosi Cha Kusingizia Kwaivo Chadema Uchaguzi Ujao Ikiwa Mtashindwa Basi Msitafute Vya Kisingizio Itabidi Mkubali Matokeo Mana Chaguzi Aziwezi Kuwa Na Mwisho Mpaka Dunia Ikumbwe Na Kihama Cha Dunia
Nimemuelewa sana huyu mwamba yani kuanzia sasa profile yangu ya whattsap ni chadema only
MREMA UNANISHAWISHI SANA KUPIGA KURA TENA IJAPOKUA TUME YA UCHAGUZI NI ILE ILE WASIMAMIZI NI WALEWALE MTEUA TUME NI YULEYULE TUNATEGEMEA YATAKAYOTOKEA NI YALEYALE HII INAKATISHA TAMAA SANA KWAKWELI.
Mtu yoyote akishindwa uchaguzi hakosi wa kumsingizia kwaiyo na chadema mnamsingiziaga ccm😉
Shughulika na mchungaji kondoo watatawanyika. Kondoo Tanzania tulinde wachungaji wetu hasa mchungaji Mkuu.
Kikeke BBC ulifanya vizuri hapa sijui upo mlengo gani!
Tuwe wakweli Chadema mnayumba sana,ni muda na wakati mzuri kukijenga chama.Huku chini ambako ndo wanachama walipo mmepasahau.
Kwani Nyerere alivyosema alitoka ccm?
Tunakupata kikeke mahijiano ni mazuli sana majibu mazuli maswali mazuli
JAMAA Nilikuwa Namchukulia POA. Kumbe yupo Makini Ivi
Sahihi kabisa
Chadema naipenda kwa7bu ina viongozi ambao wanaweza kujibu na kutoa hoja, John Mrema nimekusikia na nimekuelewa una hekima na busara, wewe unaweza uongozi.
Mrema yupo vzr sana, fafanua la mwisho kuhusu mnyika kutofanyia kazi zake ofisi ya chama na makundi yaliyopo ndani ya chama km alivyosema huyo msigwa
USIPOMSIKILIZA KWA UMAKINI NA KWA BUSARA HUTAMWEELEWA LISSU MAANA YEYE LISSU ANAONGEAGA KISHERIA NA KIMUNGU YAANI ""HAKI"
Mrema unajua broo..... But toen migongano kama kweli ipo na mfanye siasa zenye tija Kwa taifa. Vurgu na hama hama cyo hitaji letu wananchi. Hivyo mshikamane n mpige siasa za matokeo Kwa wananch. Kwa kifupi mpo vzuri
mrema uko vzr wanaoleta haya maneno ya kwamba mbowe hafai kuwa mwenyekiti wana ccm ili waweka mtu zaifu chama kife ili washangilie kwa hiyo mbowe ndio nwamba hakuna mwamba kama mbowe
Chadema kama kweli mnapenda democrasia ipate uzito nchini nibora waususie uchaguzi kwakuwa chama tawala hakipo tayari kuona democrasia ikichukuwa nafasi nchini tanzania ni udanganifu mtupu
Ila tunaomba makamanda tunamamluki wengi ndowanao tuludisha nyuma tunazid kupiga maktaim
Yani chadema iko kwenye moyo walaa hatuwezi kukata tama kwa sababu ya msigwa tuko imala
Nataka nimshauri Tundu kwamba pamoja umarufu wake akitoka Chadema hatakuwa na umarufu ulele
Huyu ataondoka Chadema mara tu Mbowe akiondoka
Mnyika yuko wapi?
Bado maji na mafuta yatajitenga tu....haya mambo yapoo...mnatetea tuu...😂😂😂😂
Nimependa majibu ya mrema
Moja ya viongozi waliopo chadema na wenye utulivu ni huyu jamaa
John mrema
Hakika huyu jamaa anastahili kuwa katibu mkuu wa chama
Nikweli kodi ya jengo tunalipa wenye umemetu sisi tunajuama uku mitaani
✌️
Hivi doctor mashinji alifia wapi.simsikiagi tena
Ni suala la muda. CCM mkimtaka Msigwa mpeni cheo Cha Kinana kama mtabaki salama.
Wa kaskazini pia kama kawaida?
Akitoka chadema kwenda ccm shelehe akitoka ccm kwenda chadema anakua mstakiwa na kupigwa kila media hii tz
Hii Chadema wanaikweza sana! Hebu wapeni nafasi TLP na UDP pia, pamoja na wale wa Ubwabwa! Na ACT na NCCR Mageuzi !
Unaweza kututajia safu ya uongozi wa juu wa TLP au UDP? CHADEMA hakijikwezi bali kinathaminiwa, kinapendwa na kuaminiwa!
Ivi humo Kichwani Kuna Akili kweli? Unavizungumzia vyama vilishajifia nakuwa sehem ya Ccm? Apo vitafufuka tu Kwenye Uchaguzi basi
akili mfu hii
@@sylvestercameo6263 nimesema waandishi wa habari ndio wanaikweza. Kwamba wangetusaidia sana kama wangewaita viongozi wa Vyama hivyo vingine pia!
Chadema tunaipenda sana
Chadema Ni Mpango Wa MUNGU.
Mrema ni mtaalam wa kujibu maswali.