JOHN MREMA APANGUA MASWALI YA SALIM KIKEKE AFAFANUA HOJA YA TUNDU LISSU KUSEMA CHADEMA SIO MAMA YAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Akijibu maswali ya Mwandisho wa habari kutoka Crown Media Salim Kikeke Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Uenezi Mhe John Mrema ameeleza kuwa Kikao cha Kamati Kuu ni kikao cha kawaida cha kikatiba na kujadili hali ya kisiasa nchini na wala hakijadili swala la aliyekuwa mwanachama Mchungaji Peter Msigwa

Komentáře • 175

  • @ephraimkalanje7105
    @ephraimkalanje7105 Před měsícem +14

    Smart and eloquent Mrema! Hongera sana!

  • @albinusmkono5887
    @albinusmkono5887 Před měsícem +6

    Hongela sana Mrema kwa ukomavu wa kujibu maswali.ya mwandishi maarufu na nguli wa kimataifa.chadema Ina viongozi makini na inajua kuwapika viongozi.na mbowe ni mhimiri wa Chama.hongela zake

  • @barnabasmsagamasi611
    @barnabasmsagamasi611 Před měsícem +12

    Safi sana Mr Mrema. Wewe unafaa kuwa kiongozi.

  • @KanutiKinunda
    @KanutiKinunda Před měsícem +9

    Hongera sana mrema kuanzia leo asilimia zote nakupa kweli chadema ina hazina ya viongozi

  • @user-ry8nx6zm9e
    @user-ry8nx6zm9e Před měsícem +16

    Chadema ina viongozi bora sana mungu awalinde vyema!!umejibu vyema sna

    • @HatibuSozi
      @HatibuSozi Před měsícem

      Kwenye kikao cha kamat kui agenda kui iwe tume huru kama hakuna time huru kinacho fuata ni kushindwa

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Před měsícem

      Yaliyosemwa na Nape ni majanga kwa chaguzi zetu na demokrasia kwa ujumla

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Před měsícem +5

    Hongera mtema uko vizur sana hata ccm walitoka usichoshwe na maswal mrema mhe. Lisu ni mwamba wa chadema wanaofurahia CHADEMA kuanguka sii rahis .CHADEMA IKO JUU JUU ZAIDI.

  • @NGOMELE1976
    @NGOMELE1976 Před měsícem +11

    Hongera Kikeke, maswali yako yanathibitisha umahiri wako katika tasnia yako.
    HONGERA Mr. Mrema, majibu yako yanathihirisha ukomavu wako na uimara wa CHADEMA na viongozi wake.

    • @rwakyenderajulius3861
      @rwakyenderajulius3861 Před měsícem +1

      Mrema ametulia na anajiamini,aidha Chikeke alijipanga na amekubali kwa ishara.

  • @kichungatv
    @kichungatv Před měsícem +17

    BIG UP CHADEMA TANZANIA 🇹🇿♥️💪✌️✌️✌️✌️✌️✌️

  • @erickselei3426
    @erickselei3426 Před měsícem +7

    Imani kubwa na chama tunayo sanaa na tunawaombea sana viongozi wetu wa juu msichoke na msidhubutu kuchoka coz tunakuwa tumemuachia shetani nafasi na tunamtenga mungu wa kweli

  • @mohoniajoseph9067
    @mohoniajoseph9067 Před měsícem +7

    Hongera sana Mrema, umejibu maswali kwa utulivu mkubwa sana

  • @reginamwendwa6709
    @reginamwendwa6709 Před měsícem +4

    Big brain sikutegemea huyu msemaji wa Chadema yuko bright kiasi hiki Big up big up

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Před měsícem +6

    Mrema kwangu,,umekuwa chakula cha ubongo safi sana

  • @samwelndaro-tb2fq
    @samwelndaro-tb2fq Před měsícem +7

    Well well,Mh John Mrema... utulivu wa kutosha.

  • @sadicksanga6034
    @sadicksanga6034 Před měsícem +13

    Hongera Sana mwanachadema mwenzangu unajua kujibu maswli ,hongeraaaa hongeraaaa saaaaana

  • @abubakariramadhani1372
    @abubakariramadhani1372 Před měsícem +5

    John mrema uko vizuri sana

  • @MawazoMofu
    @MawazoMofu Před měsícem +2

    Big up John Mrema
    Umemtuliza Kikeke
    Kama mweshimiwa
    Msomi bi Fatuma Karume.
    ✌️✌️

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před měsícem +8

    Majibu Kuntu Mr Mrema.

  • @fasalimwenzegule3599
    @fasalimwenzegule3599 Před měsícem +2

    Very well spoken Mrema. Keep up the Good work.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před měsícem +3

    Hongera investigative journalist. Waandishi wachunguzi hata ukisililiza unapata ladha ya mahojiano.

  • @ThadeiMwacha
    @ThadeiMwacha Před měsícem +3

    Kaka Mrema nimekukubali so strong and stay strong

  • @erickselei3426
    @erickselei3426 Před měsícem +8

    Akili kubwa sana watu M4C people's

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Před měsícem +2

    Safi tunawapenda wote wana chadema sisi uku tunawategemea sanaa

  • @ofreyking5975
    @ofreyking5975 Před měsícem +2

    Akili nyingi sana hongera katibu mwenez umejibu vzr sana

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Před měsícem

    NIMEKUBALI MREMA NI SIMBA KAMA MBOWE❤❤❤❤❤❤ NYIE NDIO MMATUFANYA SISI WANANCHI TUONE CHADEMA NI CHAMA CHENYE MISIMAMO.❤❤

  • @madenge731
    @madenge731 Před měsícem +4

    Huyu Jamaa yuko smart sana kichwani na anajua kujibu vzr. Ndo maana naipenda chadema maisha yangu yote M4C daimaaaaaaaa ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Před měsícem +1

    Mhe. Mrema uko vizuri kwenye majibu CHADEMA hongereni sana mna akili nyingi san mmew ekewa mpaka nyongeza.CHADEMA Hakuna aliyedhaif.aliyetoka na maneno ya mkosaji hayoo na akirudi msimpokee

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari Před měsícem

    Daaaah chadema ina watu makini sana. Yaani interview tu darasa tosha. Salute Mr mrema

  • @dreamdream9973
    @dreamdream9973 Před měsícem +3

    Ila lissu hakutangaza kugombea alisema2 Yuko sawasawa Kama atapewa Hilo jukum

  • @raphaelkorio2435
    @raphaelkorio2435 Před měsícem +5

    Watu wa Chadema wako competences san

  • @legacytrainingservices

    Detailed stated, well done champ👏

  • @user-kt6gr7tz4k
    @user-kt6gr7tz4k Před měsícem +1

    Nimekukubali Mrema big up

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni Před měsícem +1

    Safi sana mzee mrema pia kikeke unafanya mahojiano unaonyesha ukomavu kuwa ww ni mtangazaji kinara nguli kabisa mahojiano mengine ni kama vufugu safi chadem mana sa iv wabunge wa upande ule wakienda kwenye majimbo yao hawasikilizw wanabakia piga piga piga uyoo

  • @TomasiklistophaMwinuka

    Mungu kibarik chama chadema kinawatu wered sana wanaopenda haki sana, kama kunawatu wanapenda kuturudisha nyuma mungu aingilie kati wachomwe moto tunaianini chadema inawatu makin ,naniwatu wengi wapo chadema wanapenda sana mslai yao

  • @MwanjaliBukuku
    @MwanjaliBukuku Před měsícem

    Hongera sana kwa kumwelewesha Kikeke Wengi wanapenda sana kudharau viongozi wa Chadema bila kujua kuwa Chadema Ina viongozi weledi sana

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Před měsícem +3

    Viongozi msituangushe,,chadema kimbilio letu,,mrema umenitoa shaka

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem +2

    ASANTE SANA BWANA KIKEKE KWA MASWALI YAKO MURUA KABISA. NA HEKO MJIBU MASWALI HAKIKA CHADEMA INA VIONGOZI WALIOSHIBA SHERIA KISAWASAWA

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Před měsícem

    UZURI CHADEMA MNA AKILI NYINGI SANA❤❤❤❤❤❤

  • @user-ec5hw3kh4m
    @user-ec5hw3kh4m Před měsícem +5

    Waandishi wa Habari wa Tanzania ni uchwara sana na wengi wametumwa na ccm. Alichoongea Lissu ni kitu kingine kabisa, sasa wanakuza mambo na kuleta tafsiri mbovu. Kikeke naye anaiga waaandishi wa habari wa Tanzania wasio na weredi. Yaani ni waandishi uchwara makanjanja tu. Mwandishi aliuliza swali na Lisu akajibu kwa ufasaha KABISA sasa wanaruka na habari nyingine kabisa.

    • @charlesmbaga6088
      @charlesmbaga6088 Před měsícem

      Kikeke ameshatiwa ndimu Tanzania kuna lana Bruh nipo California inasikitisha sana

  • @jeremiahnzomuvula8419
    @jeremiahnzomuvula8419 Před měsícem

    Well done Mlema nimesikiliza kwa makini sana sijakuatana na mapungufu yoyote labda wenzangu!

  • @boaztimoth6044
    @boaztimoth6044 Před měsícem

    Oyeee safi sana mchungaji apate kipande

  • @PeterKajana
    @PeterKajana Před měsícem

    Asante sana mrema upo vzur sana!

  • @user-hf9kp7ys2h
    @user-hf9kp7ys2h Před měsícem +1

    Kikeke usijiingize kwenye uchawa au kutumika mbona huchokonoi yanayojili ndani ya ccm unajitoa ufahamu !

  • @user-id3kb3xo1d
    @user-id3kb3xo1d Před měsícem

    Smart Mrema, big up!

  • @BonaventureJohn-mk6xh
    @BonaventureJohn-mk6xh Před měsícem +1

    One of the big bràins I dare to say

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem +2

    Lisu alilizwa swali akajibu swali kwamba ndio niko tayari kugombania uraisi

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain Před měsícem

    Ufafanuzi mzuri sana toka kwa Mrema, Afisa habari wa CHADEMA

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9x Před měsícem +2

    Matumaini makubwa Kwa sasa ni Kwa Chadema

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před měsícem +1

    Mwananchi kajiandikishe ktk daftari la kudumu ili uwe na uwezo wa kumchagua kiongozi unaemtaka.

  • @renatusmutabuzi7233
    @renatusmutabuzi7233 Před 27 dny

    Kazi nzuri kikeke

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 Před měsícem +1

    Tegemeo letu tz ni chadema kututoa kwenye shida za mikodi mingi sana tunateseka jamaniiiii

  • @godwintenesi3307
    @godwintenesi3307 Před měsícem

    Good Interview Kikeke na Mrema😂😂😂

  • @melch3097
    @melch3097 Před měsícem +2

    Kweli Salim na wewe, bado kabisa. Kipi kibaya alichosema lisu

  • @user-hf9kp7ys2h
    @user-hf9kp7ys2h Před měsícem +1

    Msigwa kama Mwambe ni wachumia tumbo na ccm mnahangaika sana kuibomoa cdm kwa kuwatumia hao vibaraka . Madudu mangapi yanayotokea ndani ya ccm mbona Makamba Nape na Kinana hujawafatilia !?

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o Před měsícem +3

    Mbowe wenyekiti Apumzike kwa maslahi ya chama Tundulisu kanyoka sana

  • @giztony2009
    @giztony2009 Před měsícem +1

    Hadi huwa nashangaa chadema wanatumia nn kuwapata watu wao just imagine huyu hana jina kivile ila ana akili nyingi zaidi ya ccm wengii sana ametulia hana mihemuko

  • @abelmghana2843
    @abelmghana2843 Před měsícem

    mungu ampe guvu mbowe ili chama kiwe na nguvu

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před měsícem +2

    Yaani agenda za waandishi ni kudadavua ya huko CHADEMA tuuu! Mbona sio CUF au NCCR??
    Mti wenye embe ndio unatupiliwa mawe!!!

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 Před měsícem

      Yaani uache kuhoji chama kilichobeba matarajio ya watanzania ,ukahoji vyama vinavyohongwa ubwabwa!?Wewe vipi?!

  • @pyeledensele1988
    @pyeledensele1988 Před měsícem

    Brilliant

  • @AlexMkwama
    @AlexMkwama Před měsícem

    Chadema chama kikubwa na ndio maana kinafatiliwa kuliko vyama vingine, kama cuf nccr nk.
    Maswali pia niya kuwaondolea matumaini wanachadema ,ila Mh mrema Yuko full majibu.
    Good Brain mrema🙏🙏🙏

  • @EmmanuelMwakisu-uu5gu
    @EmmanuelMwakisu-uu5gu Před 27 dny

    Mrema ni smart

  • @ThadeiMwacha
    @ThadeiMwacha Před měsícem

    Kikeke uko vizuri

  • @emmanuelmshana2217
    @emmanuelmshana2217 Před 5 dny

    Mpaka mtakapo Chagua Mwenyekiti mpya chadema Ndio mtaweza kunishawish

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před měsícem +1

    Sema mrema umekaa kwenye kiti mda mrefuuu😎

    • @jeremiahngoka4980
      @jeremiahngoka4980 Před měsícem

      Njoo ukae wewe fala mkubwa

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk Před měsícem

      Mbona wewe umekaa muda mrefu hugombei nenda Katie Nia ugombee ukishinda na wewe utakaa muda mrefu!

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk Před měsícem

      ​@@jeremiahngoka4980Anatakiwa akagomber ili na yeye akakae muda mrefu Kuna watu hawataki kugombea utafikiri wamekatazwa Kazi yao ni majungu ti!

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv Před měsícem

      @@IsayaSosolo-nx8zk majina yenu tu kaa vile mashoga sibishanagi na nyie watu

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk Před 29 dny

      Hapo hujabishana na sisi mashoga? Kumbe na wewe umo kwenye kubishana na mashoga wenzako!​@@PrinceHendry-hp8vv

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 Před měsícem

    CDM tegemeo letu tz, Leo nalipia Kadi ya CDM online❤

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 Před měsícem +1

    Kikeke umefeli Kama umetumwa kawambie

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 26 dny

    Kiongozi Kasema Apa Kwamba Mtu Yeyote Akishindwa Kwenye Uchaguzi Akosi Cha Kusingizia Kwaivo Chadema Uchaguzi Ujao Ikiwa Mtashindwa Basi Msitafute Vya Kisingizio Itabidi Mkubali Matokeo Mana Chaguzi Aziwezi Kuwa Na Mwisho Mpaka Dunia Ikumbwe Na Kihama Cha Dunia

  • @aliharoun8659
    @aliharoun8659 Před měsícem

    Nimemuelewa sana huyu mwamba yani kuanzia sasa profile yangu ya whattsap ni chadema only

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Před měsícem

    MREMA UNANISHAWISHI SANA KUPIGA KURA TENA IJAPOKUA TUME YA UCHAGUZI NI ILE ILE WASIMAMIZI NI WALEWALE MTEUA TUME NI YULEYULE TUNATEGEMEA YATAKAYOTOKEA NI YALEYALE HII INAKATISHA TAMAA SANA KWAKWELI.

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před měsícem

    Mtu yoyote akishindwa uchaguzi hakosi wa kumsingizia kwaiyo na chadema mnamsingiziaga ccm😉

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před měsícem

    Shughulika na mchungaji kondoo watatawanyika. Kondoo Tanzania tulinde wachungaji wetu hasa mchungaji Mkuu.

  • @ebenezermushi957
    @ebenezermushi957 Před měsícem

    Kikeke BBC ulifanya vizuri hapa sijui upo mlengo gani!

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před měsícem

    Tuwe wakweli Chadema mnayumba sana,ni muda na wakati mzuri kukijenga chama.Huku chini ambako ndo wanachama walipo mmepasahau.

  • @RevocatusKitambi
    @RevocatusKitambi Před měsícem

    Kwani Nyerere alivyosema alitoka ccm?

  • @warrenmgode1837
    @warrenmgode1837 Před měsícem

    Tunakupata kikeke mahijiano ni mazuli sana majibu mazuli maswali mazuli

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c Před měsícem

    JAMAA Nilikuwa Namchukulia POA. Kumbe yupo Makini Ivi

  • @mrmadebwesanga4971
    @mrmadebwesanga4971 Před měsícem

    Sahihi kabisa

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Před měsícem

    Chadema naipenda kwa7bu ina viongozi ambao wanaweza kujibu na kutoa hoja, John Mrema nimekusikia na nimekuelewa una hekima na busara, wewe unaweza uongozi.

  • @jumamchungu2326
    @jumamchungu2326 Před měsícem +1

    Mrema yupo vzr sana, fafanua la mwisho kuhusu mnyika kutofanyia kazi zake ofisi ya chama na makundi yaliyopo ndani ya chama km alivyosema huyo msigwa

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem

    USIPOMSIKILIZA KWA UMAKINI NA KWA BUSARA HUTAMWEELEWA LISSU MAANA YEYE LISSU ANAONGEAGA KISHERIA NA KIMUNGU YAANI ""HAKI"

  • @andreahongole9332
    @andreahongole9332 Před měsícem

    Mrema unajua broo..... But toen migongano kama kweli ipo na mfanye siasa zenye tija Kwa taifa. Vurgu na hama hama cyo hitaji letu wananchi. Hivyo mshikamane n mpige siasa za matokeo Kwa wananch. Kwa kifupi mpo vzuri

  • @abelmghana2843
    @abelmghana2843 Před měsícem

    mrema uko vzr wanaoleta haya maneno ya kwamba mbowe hafai kuwa mwenyekiti wana ccm ili waweka mtu zaifu chama kife ili washangilie kwa hiyo mbowe ndio nwamba hakuna mwamba kama mbowe

  • @mohamedkashindi7689
    @mohamedkashindi7689 Před měsícem

    Chadema kama kweli mnapenda democrasia ipate uzito nchini nibora waususie uchaguzi kwakuwa chama tawala hakipo tayari kuona democrasia ikichukuwa nafasi nchini tanzania ni udanganifu mtupu

  • @TomasiklistophaMwinuka

    Ila tunaomba makamanda tunamamluki wengi ndowanao tuludisha nyuma tunazid kupiga maktaim

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 Před měsícem

    Yani chadema iko kwenye moyo walaa hatuwezi kukata tama kwa sababu ya msigwa tuko imala

  • @philimonndinadyo2120
    @philimonndinadyo2120 Před měsícem

    Nataka nimshauri Tundu kwamba pamoja umarufu wake akitoka Chadema hatakuwa na umarufu ulele

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 Před měsícem

    Huyu ataondoka Chadema mara tu Mbowe akiondoka

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před měsícem

    Mnyika yuko wapi?

  • @thaddeojude7511
    @thaddeojude7511 Před měsícem

    Bado maji na mafuta yatajitenga tu....haya mambo yapoo...mnatetea tuu...😂😂😂😂

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Před měsícem

    Nimependa majibu ya mrema

  • @mwitawambura2548
    @mwitawambura2548 Před měsícem

    Moja ya viongozi waliopo chadema na wenye utulivu ni huyu jamaa
    John mrema
    Hakika huyu jamaa anastahili kuwa katibu mkuu wa chama

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Před měsícem

    Nikweli kodi ya jengo tunalipa wenye umemetu sisi tunajuama uku mitaani

  • @fadhilimsafiri216
    @fadhilimsafiri216 Před měsícem

    ✌️

  • @hamzasadik7675
    @hamzasadik7675 Před měsícem

    Hivi doctor mashinji alifia wapi.simsikiagi tena

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před měsícem

    Ni suala la muda. CCM mkimtaka Msigwa mpeni cheo Cha Kinana kama mtabaki salama.

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 Před 28 dny

    Wa kaskazini pia kama kawaida?

  • @antonykpatricj2864
    @antonykpatricj2864 Před měsícem

    Akitoka chadema kwenda ccm shelehe akitoka ccm kwenda chadema anakua mstakiwa na kupigwa kila media hii tz

  • @1961nungwi
    @1961nungwi Před měsícem

    Hii Chadema wanaikweza sana! Hebu wapeni nafasi TLP na UDP pia, pamoja na wale wa Ubwabwa! Na ACT na NCCR Mageuzi !

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před měsícem

      Unaweza kututajia safu ya uongozi wa juu wa TLP au UDP? CHADEMA hakijikwezi bali kinathaminiwa, kinapendwa na kuaminiwa!

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Před měsícem

      Ivi humo Kichwani Kuna Akili kweli? Unavizungumzia vyama vilishajifia nakuwa sehem ya Ccm? Apo vitafufuka tu Kwenye Uchaguzi basi

    • @user-id3kb3xo1d
      @user-id3kb3xo1d Před měsícem

      akili mfu hii

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Před měsícem

      @@sylvestercameo6263 nimesema waandishi wa habari ndio wanaikweza. Kwamba wangetusaidia sana kama wangewaita viongozi wa Vyama hivyo vingine pia!

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Před měsícem

    Chadema tunaipenda sana

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 Před měsícem

    Chadema Ni Mpango Wa MUNGU.

  • @yaredamos7664
    @yaredamos7664 Před měsícem

    Mrema ni mtaalam wa kujibu maswali.