KESI YA KUPINGA TAMISEMI KUSIMAMIA UCHAGUZI, WAKILI MADELEKA AFUNGUKA, JAJI ASOGEZA MBELE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 211

  • @hoseakayinga2090
    @hoseakayinga2090 Před 21 dnem +11

    Mlindwe na damu ya Yesu. Nawaombea kwa Mungu msipatwe na baya lolote

  • @ndimuelias6183
    @ndimuelias6183 Před 21 dnem +8

    Mtaingia kwenye rekodi ya utetezi wa nchi hii Asante sana

  • @abdimohamed9625
    @abdimohamed9625 Před 21 dnem +11

    Alipo fariki Rev. Christopher Mtikila nikahisi yakuwa hakuna tena uhai, lakini watu wapo, wasikilizwe dharau haifai.

  • @CharlesMulaki-j8h
    @CharlesMulaki-j8h Před 21 dnem +16

    Mama Nkya mpambanaji mzalendo mtanganyika tutakukumbuka mama ni wachache kama wewe wakina Mama wamesahau Taifa wamekuwa machawa

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před 21 dnem +17

    Mama Nkya mungu akuzidizhie nguvu hekima na busara.kulienda taifa lako na watu wake.

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Před 21 dnem +4

    Tuko pamoja mma mwenza gu Mungu akubariki akupe afya njema uendelee kupambani haki

  • @nmatuja2191
    @nmatuja2191 Před 21 dnem +2

    Hongereni sana mawakili wasomi tupo nyuma yenu.

  • @naomigodwin1001
    @naomigodwin1001 Před 21 dnem +8

    Tunaelekea kuanza kuimba wimbo mmoja sasa 💪💪💪💪

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o Před 21 dnem +5

    Kakamkubwa Bob Asante sana kwa mapambano Yako katika taifa letu Utaifikia rekodi ya mchungaji mtikila 😊😊

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d Před 21 dnem +7

    Mungu awafunike kwa damu yake

  • @SetephaJery
    @SetephaJery Před 21 dnem +4

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿viongozi wetu piganieni haki sisi wananchihawa maccm wame tunyima elimu ili watu tawale tuko pamoja tuko tayari na mungu🙏🙏

  • @bmdele5816
    @bmdele5816 Před 21 dnem +1

    Heko heko kwenu Bobu Wangwe, na wenzako,
    Mungu awajalie mafanikio katika hilo❤

  • @gabybulba9574
    @gabybulba9574 Před 21 dnem

    Amina sana kwa kazi nzuri serikali imejisahau sana imesahau kuwa mwajiri wao mkuu ni Raia (mtanzania mwenyewe) badala yake wanaanza kuwaburuza MABOSI WAO MBAYA SANA

  • @samwelmohonge4573
    @samwelmohonge4573 Před 21 dnem

    Asante sana wawakulishi wetu, hii pia ni hatua kubwa kuiendea demokrasia ya kweli. KUDOS🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lindajohansen9220
    @lindajohansen9220 Před 20 dny

    Madeleka, mama Ananilea ninawapenda sana! Ninawaombea kwa Mungu msitekwe na kuuwawa. Damu ya Yesu ikawafunike. Maadui zetu mchengerwa na mama mkwe wake wanataka wasimamie uchaguzi, wao kama nani sasa? Uliona wapi hii? Demokrasia ya wapi?washindwe na walegee kwa jina la Yesu! Nchi hii ni yetu Watanzania wote na siyo mali ya mtu mmoja na familia yake.

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před 20 dny +1

    nakubali sana madeleka ✅✊🫂

  • @janeshija6638
    @janeshija6638 Před 21 dnem +2

    Tunawategemea ninyi mtuokoe. Hii CCM imekalia wizi tu. Mapadre,zMaaskofu , Masheikh na wenye moyo safi tunaomba mpate sauti zenu kwenye hizo Taasisi zenu wasije kuichagua CCM. Ilipotufikisha INATOSHA. Wananchi AMKENI. TUNAMKUMBUKA MCH. MTIKILA kwa sasa. TANGANYIKA YETU IRUDI.

  • @PhalecyMagembe
    @PhalecyMagembe Před 21 dnem +2

    Hongereni jamani, mko sawa na kwa pamoja tutashinda

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l Před 21 dnem +2

    Kweli tuamke hawa viongozi wachumia tumbo hatuwataki tupotayari kushilikiana na nyinyi wapambanaji wetu,mama nakukubari sana.

  • @KuzenzaSangija
    @KuzenzaSangija Před 21 dnem +2

    Sahihi, nchi Bado ina matatizo Kila Kona viongozi wanafikira za kimalaika na kujiona wazalendo wa kweli hawana uchungu na wananchi wa daraja la chini!

  • @ChristinaKilianNyoni-xb7lk
    @ChristinaKilianNyoni-xb7lk Před 21 dnem +12

    Wangwe Wangwe Wangwe 👏👏👏👏👏

  • @CharlesMulaki-j8h
    @CharlesMulaki-j8h Před 21 dnem +6

    Nemo judex in kausasua kweli safi sana wangwe huko vizuru kaka

  • @YonahMwamwaja
    @YonahMwamwaja Před 21 dnem +3

    MADEREKA na mama yetunkya nawakubali saana pia tunawaombea kwa MUNGU awatanguliye katika kuwapigania wanainchi.

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j Před 21 dnem +4

    Kwa jinsi tunaseka nchi hii nimestaafu 2022 cjui nauli ya mizigo,arreas nadai tangu 2021 kweli .nitaipenda serikali hii,Mungu fanya njia pasipo njia

  • @twahapeter3517
    @twahapeter3517 Před 21 dnem +1

    Tunahitaji viongozi bora na democracia ya kweli sio watu tu

  • @Gilbertnyanda
    @Gilbertnyanda Před 21 dnem +11

    MChengelwa ameshaambiwa na mamamkwe wake kuwa anakifua ataÿamduhayo sasa ndiyo hayo

  • @johnbundala7596
    @johnbundala7596 Před 21 dnem

    Naona taifa la Tanzania likikpmbolewa kuipitia mawakili wetu Hawa tuwasapotini na tuwaombeeni usiku na mchana na Mungu awasimamie mnooo Tena awasimamie sana Mungu afanye jambo hapo.

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwale Před 17 dny

    Kwakwel ni jambo la kizalendo na kujitoa mchanga, tunamshukuru kwa kutuwakilisha na kuthamin haki zetu tuu pamoja!

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 Před 20 dny

    Mungu awabariki sana, kwa niaba yetu sisi wananchi tunawashukuru kutusimamia ila tunawaahidi ttajua nanyi pamoja. Mungu awasimamie katika kila hatua 🙏

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Před 21 dnem +5

    Freedom is coming

  • @tadeishayo-uj8nv
    @tadeishayo-uj8nv Před 21 dnem

    Ee MUNGU uwatangulie Hawa viongozi wetuwanaopigania hakimsingi ya Tanzania Amina.

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 Před 21 dnem +1

    Hongera maukoo viziri,tuelomishe mama❤❤🎉🎉🎉🎉🎉😊

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 21 dnem +1

    Kwenekatiba mpya kiongezwe kipengele ambacho kitazuia Bunge kutunga sheria kama chama kimoja kitazidi asilimia60 peke yake

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw Před 21 dnem +2

    Sasa ndo nimeamin kwamba ccm inakaachin maana wanasheria wetu wameamua kusimama tupo nanyinyi na tunaomba mtuwekee namba tuwachangie ili nsiludinyuma au kushawishika na lushwa wananchi tupo tyar kuwachangia kias chochote ili muendelee kusimama nawapendasana kwa uzarendo mloonyesha

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 Před 21 dnem

    Amkeni. Kumekuchaaa. Asante binti ananilea. You have been consistence

  • @AbdulhaamidSoud
    @AbdulhaamidSoud Před 21 dnem

    Kuna sura ya uyo mmama apo ni mwanaharakati sana mwenye kutaka mabadiliko mungu amuweke sana

  • @ShadrikSikaonga-ru2ip
    @ShadrikSikaonga-ru2ip Před 18 dny

    Mungu awatangulie tuko nyuma yenu

  • @user-yi3jk5vd8l
    @user-yi3jk5vd8l Před 20 dny

    Mubarikiwe sanaaaaaa sana sana

  • @vicentbunzal7342
    @vicentbunzal7342 Před 21 dnem +2

    Yaaani mimi kwa ninavyojua mimi siku tume ikiwa huru na tamisemi wasihusike kwenye usimamizi ndipo hapo utakapoona mauaji ya mchana kweupe,maana ccm watatoka hazalani mchana kuwakaba au kuwaua wasimamizi ili ichukue kura kwa nguvu ili iendelee tu kukaa madarakani.

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před 18 dny

    Serikali ni ya wananchi , wananchi wanahaki ya kuchaguwa viongozi wanaowataka , sio ccm iwachagulie wananchi viongozi wao.

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g Před 20 dny

    Kweli kabisa kaka sema wamejisahau sana ccm mwaka huu wanalo

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g Před 20 dny

    Safi sana mama sema maana .samia hayaoni eti tuna lais tanzaninia

  • @ChristinaKilianNyoni-xb7lk
    @ChristinaKilianNyoni-xb7lk Před 21 dnem +4

    Safari hii wamekamatika 😂😂😂😂......shetani naye kachoka 😂😂😂😂 Viva Wangwe Viva Wangwe Viva Wangwe

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd Před 21 dnem +2

    SERIKALI YA CCM IMEPOTEZA KABISA MADILI KIASI KWAMBA HAWANA HATA AIBU!!! MWENYE MADILI YEYOTE KAMWE HAWEZI KUFANYA HAYA YANAYO FANYWA NA CCM. NATHANI HAKUNA NCHI DUNIANI YENYE TUME ZA UCHAGUZI ZA NAMNA HII!!!

  • @healingclinic698
    @healingclinic698 Před 21 dnem

    Safi sanaaaaa mawakili tutafika wasipotuelewaaa Kuna siku tutakwenda kula nao kwenye majumba Yao na hapo hapatatosha

  • @AllenKilewella
    @AllenKilewella Před 21 dnem

    Asanteni Kwa kuongoza mapambano hayo.

  • @hajimaftaha3272
    @hajimaftaha3272 Před 21 dnem +5

    Duuh! Ndo maana mnaitwa "WAKILI MSOMI"

  • @Didaskamili
    @Didaskamili Před 21 dnem

    Asante sana wenzetu tuko pamoja nasi

  • @ndimuelias6183
    @ndimuelias6183 Před 21 dnem +1

    Safari hii kitaeleweka tu hongeleni sana

  • @VictaDaudi
    @VictaDaudi Před 21 dnem

    Mamaangu ananilea nkya shkamoo, nakukubali Sana mamaangu

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Před 21 dnem +1

    Ahsante mama😮😮😮

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 Před 21 dnem +7

    Katiba mpya lazima ipatikane

  • @JonathanMatembo
    @JonathanMatembo Před 21 dnem +1

    CCM ni mdudu hatali sana, CCM ni janga kubwa sana la kitaifa, adui namba moja wa watanzania woote ni chama chakavu cha CCM na family zao, bola ukimwi kuliko CCM.

  • @abubakaribinaisa9812
    @abubakaribinaisa9812 Před 21 dnem +2

    Changamoto ni!ayoiona ni aina ya mahakama tuliyonayo.
    Ikumbukwe Bob Chacha Wangwe alishawahi kupinga wakurugenzi kuwa wasimamizi wa uchaguzi,mahakama kuu ikabariki maombi yake,Mahakama ya Rufani ikatupilia mbali maombi yake,kwa hoja zisizokuwa na mashiko wala msingi wowote.
    Sasa sina imani kama haya maombi yanaweza kapata nguvu kwa aina ya mahakama tulionazo.
    Changamoto ni mahakama tulizo nazo!!

  • @davidjoackim2216
    @davidjoackim2216 Před 21 dnem +2

    Safi sana

  • @gililwise
    @gililwise Před 21 dnem +7

    Pamojaaaaaa tunawezaaaaa

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka Před 21 dnem

    Tunawashukuru wote mawakili mnao tetea haki zawatanzania mungu awalinde sana naadui wabaya tunajua maadui wanaonufaika nahayo mambo niwengi lakin mungu awasimamie mawakili wetu mnaotutetea wananchi tunao nyimwa hakizetu.

  • @PaulRPaul-z1q
    @PaulRPaul-z1q Před 21 dnem +1

    Stand up with justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Quran 4:135)

  • @mpendamema3694
    @mpendamema3694 Před 21 dnem +1

    Safi ndugu zetu

  • @duniakidogo8516
    @duniakidogo8516 Před 21 dnem +1

    Ingependeza zaidi kama gharama zo zote zz uchaaguzi zisitumike na Tamisemi kuanzia sasa

  • @MustaphaSeleman-z7c
    @MustaphaSeleman-z7c Před 21 dnem +3

    Asaiv watanzania kwa sasa wanaamka mungu tusaidie

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka Před 21 dnem

    Tunashuku kwakujitoa kwakwer mungu awalinde kwakutusemea sisi ambao hatunasauti tunashukuru kwakutuwakilisha

  • @SebastianCharles-f6s
    @SebastianCharles-f6s Před 9 dny

    mahakama isipo kubali kuzuia,tamko litoke nchi nzima tuingie bara barani kabla ya uchaguzi maana kivyama wata singizia vingi...!

  • @GABRIELGAVU-vf7cn
    @GABRIELGAVU-vf7cn Před 21 dnem

    Good

  • @fabby1181
    @fabby1181 Před 21 dnem +1

    Kwa swala la UCHAGUZI, Chura asituchezee

  • @cityonahillstudio2107
    @cityonahillstudio2107 Před 21 dnem

    Waziri Nchengelwa afunguliwe kesi mahakani

  • @mozesamizi931
    @mozesamizi931 Před 18 dny

    Mama unaeongea shikamoo!,itika basiii

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc Před 21 dnem +1

    Mama Abdul alimwambia MCHENGERWA kaa mguu sawa wakati anamwaoisha, Lengo mama MKWE wake abaki kuwa RAIS miaka 5 Tena.

  • @peterjosephat6685
    @peterjosephat6685 Před 21 dnem

    Kazi nzuri sana

  • @PhalecyMagembe
    @PhalecyMagembe Před 21 dnem +1

    Ni nchi ya familia na koo, hivi ccm hamjitafakar kweli? Siamini kama mzani wa tanganyika na zanzibar uko sawa

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni Před 21 dnem +1

    Nimemuona wakil wangu madeleka na mama hapo nyuma yako mungu awabarik sanaaaa sanaaa sanaaa hongereni kwa kulipambania taifa nyie ni watu wa maana sanaa kwenye hili taifa

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g Před 20 dny

    Mwaka huu watanzania mpaka kieleweke nchi yetu nitajili. Tena tuamuke watanzania tusimamie haki

  • @salama1113
    @salama1113 Před 21 dnem

    Mungu atatusaidia inshaallah

  • @faustinedeogratias4337

    Wangwe unanifanya njihisi mtanzania wa kweli

  • @Mosmwampa
    @Mosmwampa Před 21 dnem

    Ubovu wa wazi unaofanywa na serikali hii, kukosa usikuvu, kunyayasa raia na kuwadhalau kama hawana akili hivi vitu vimeendelea kutengeneza umoja kwa watanzania ambao kama viongoz hawatajitekebisaha na kutafta namna nzuri ya kuongoza kwa haki na ukweli, bac hali hii inaweza kuja kuleta historia nyingine kabisa ndan ya nchi yetu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 21 dnem

    👍👊✌️.

  • @JhonsonCharo
    @JhonsonCharo Před 21 dnem

    Basi Tanzania bado iko nyuma sana kama Wizara ya TAMISEMI ndio kila wakati inasimamia Uchaguzi na hali hiyo iko kwa Serikali ya CCM. Hiyo haijaonekana kamwe duniani. Basi wenzetu jirani Tanzania hamna Tume Huru Ya Uchaguzi. Hiyo ni hatari kubwa sana na CCM kwa nini wanasema waliruhusu kuwe na Demokrasia ya Vyama Vingi? Watching from Saudi Arabia

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před 18 dny

    Uchaguzi ni wa wananchi serikali haitakiwi kuingilia.

  • @IbrahimKasambala-ts8re
    @IbrahimKasambala-ts8re Před 21 dnem

    mungu awabarjki sana...... 12:29

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga Před 21 dnem

    Daaaamu ya Yesu itende haki milele

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Před 21 dnem +1

    Toeni namba tuchangie

  • @safarimashimba5080
    @safarimashimba5080 Před 19 dny

    Weruweru og!

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Před 21 dnem +1

    Watanganyika tuamke awa majambazi wa uchaguzi wanatuharibia nchi tudai uchaguzi huru na haki bweha hawa

  • @SelemanChande-bv5ne
    @SelemanChande-bv5ne Před 21 dnem +1

    Tumeanza kuelewana

  • @mozesamizi931
    @mozesamizi931 Před 18 dny

    Nimeenda serikali za mtaa kuchukua barua ya kwenda immigration, nimeambiwa karatasi zimeisha, kwan hakuna bajet ya serikali za mtaa?,please tukifanya mzaha na hiki kitu maana yake baada ya tr27 nov, kwenye hizi ofis watarudi watu wale wale tulowachoka!,mchengerwa tuhurumie basi!!!

  • @brownjvmtakimwa5586
    @brownjvmtakimwa5586 Před 21 dnem

    Safi sana watapiga kula wenyewe

  • @MickyMgeri
    @MickyMgeri Před 21 dnem

    Chama cha kijani ni chama cha kishetani kabisa.

  • @MustaphaSeleman-z7c
    @MustaphaSeleman-z7c Před 21 dnem +3

    Uyu madeleka namkubar sana ajawai kufer kwenye alakati zake😂😂😂

  • @ZabronJonathan-b5s
    @ZabronJonathan-b5s Před 21 dnem

    Mbarikiwe tuna hitaji na katiba mpya. na tume huru ya uchaguzi.

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa7365 Před 21 dnem +1

    MCHENGERWA KATAFUTE KAZI NYINGINE.

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter Před 21 dnem +1

    Watanzania tuamke

  • @rumanyikajoe7038
    @rumanyikajoe7038 Před 21 dnem

    Namuona., Buberwa Kaiza wa Kishanje

  • @fikiaupeo
    @fikiaupeo Před 21 dnem

    Hii nchi mm naamini itakombolewa na mawakili. Mawakili tumieni taaluma yenu kuikomboa hii nchi

  • @sadicksingogo260
    @sadicksingogo260 Před 18 dny

    Ni tabia Ile Ile kupita bila kupingwa ,

  • @shadiapeter
    @shadiapeter Před 20 dny

    Muogopeni Mungu inakuwaje wewe unaishi raha wengine wanateseka

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 Před 21 dnem

    Tanzania pameaza kukuchasasa,wasomi huru ndaniyageleza,safi mtupiganie watanzania dhid yahawawaonez.

  • @IgulusiloPrimaryschool

    Gooood

  • @brownjvmtakimwa5586
    @brownjvmtakimwa5586 Před 21 dnem

    Mungu atutie nguvu

  • @fedlob4
    @fedlob4 Před 21 dnem +1

    Mora wangwe otoghambele na zingatia ukwimerera isheria tolatuna kumunya obhotomwa

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před 21 dnem

    Marehemu kweli alikuwa kiboko!!! wakati wa utawala wake uchaguzi wa serikali ya mitaa ulikuwa wa chama kimoja na hawa otevwalijifungia chumbani hatukuwaona!