Amina sana kwa kazi nzuri serikali imejisahau sana imesahau kuwa mwajiri wao mkuu ni Raia (mtanzania mwenyewe) badala yake wanaanza kuwaburuza MABOSI WAO MBAYA SANA
Madeleka, mama Ananilea ninawapenda sana! Ninawaombea kwa Mungu msitekwe na kuuwawa. Damu ya Yesu ikawafunike. Maadui zetu mchengerwa na mama mkwe wake wanataka wasimamie uchaguzi, wao kama nani sasa? Uliona wapi hii? Demokrasia ya wapi?washindwe na walegee kwa jina la Yesu! Nchi hii ni yetu Watanzania wote na siyo mali ya mtu mmoja na familia yake.
Naona taifa la Tanzania likikpmbolewa kuipitia mawakili wetu Hawa tuwasapotini na tuwaombeeni usiku na mchana na Mungu awasimamie mnooo Tena awasimamie sana Mungu afanye jambo hapo.
Sasa ndo nimeamin kwamba ccm inakaachin maana wanasheria wetu wameamua kusimama tupo nanyinyi na tunaomba mtuwekee namba tuwachangie ili nsiludinyuma au kushawishika na lushwa wananchi tupo tyar kuwachangia kias chochote ili muendelee kusimama nawapendasana kwa uzarendo mloonyesha
Yaaani mimi kwa ninavyojua mimi siku tume ikiwa huru na tamisemi wasihusike kwenye usimamizi ndipo hapo utakapoona mauaji ya mchana kweupe,maana ccm watatoka hazalani mchana kuwakaba au kuwaua wasimamizi ili ichukue kura kwa nguvu ili iendelee tu kukaa madarakani.
SERIKALI YA CCM IMEPOTEZA KABISA MADILI KIASI KWAMBA HAWANA HATA AIBU!!! MWENYE MADILI YEYOTE KAMWE HAWEZI KUFANYA HAYA YANAYO FANYWA NA CCM. NATHANI HAKUNA NCHI DUNIANI YENYE TUME ZA UCHAGUZI ZA NAMNA HII!!!
CCM ni mdudu hatali sana, CCM ni janga kubwa sana la kitaifa, adui namba moja wa watanzania woote ni chama chakavu cha CCM na family zao, bola ukimwi kuliko CCM.
Changamoto ni!ayoiona ni aina ya mahakama tuliyonayo. Ikumbukwe Bob Chacha Wangwe alishawahi kupinga wakurugenzi kuwa wasimamizi wa uchaguzi,mahakama kuu ikabariki maombi yake,Mahakama ya Rufani ikatupilia mbali maombi yake,kwa hoja zisizokuwa na mashiko wala msingi wowote. Sasa sina imani kama haya maombi yanaweza kapata nguvu kwa aina ya mahakama tulionazo. Changamoto ni mahakama tulizo nazo!!
Tunawashukuru wote mawakili mnao tetea haki zawatanzania mungu awalinde sana naadui wabaya tunajua maadui wanaonufaika nahayo mambo niwengi lakin mungu awasimamie mawakili wetu mnaotutetea wananchi tunao nyimwa hakizetu.
Nimemuona wakil wangu madeleka na mama hapo nyuma yako mungu awabarik sanaaaa sanaaa sanaaa hongereni kwa kulipambania taifa nyie ni watu wa maana sanaa kwenye hili taifa
Ubovu wa wazi unaofanywa na serikali hii, kukosa usikuvu, kunyayasa raia na kuwadhalau kama hawana akili hivi vitu vimeendelea kutengeneza umoja kwa watanzania ambao kama viongoz hawatajitekebisaha na kutafta namna nzuri ya kuongoza kwa haki na ukweli, bac hali hii inaweza kuja kuleta historia nyingine kabisa ndan ya nchi yetu
Basi Tanzania bado iko nyuma sana kama Wizara ya TAMISEMI ndio kila wakati inasimamia Uchaguzi na hali hiyo iko kwa Serikali ya CCM. Hiyo haijaonekana kamwe duniani. Basi wenzetu jirani Tanzania hamna Tume Huru Ya Uchaguzi. Hiyo ni hatari kubwa sana na CCM kwa nini wanasema waliruhusu kuwe na Demokrasia ya Vyama Vingi? Watching from Saudi Arabia
Nimeenda serikali za mtaa kuchukua barua ya kwenda immigration, nimeambiwa karatasi zimeisha, kwan hakuna bajet ya serikali za mtaa?,please tukifanya mzaha na hiki kitu maana yake baada ya tr27 nov, kwenye hizi ofis watarudi watu wale wale tulowachoka!,mchengerwa tuhurumie basi!!!
Marehemu kweli alikuwa kiboko!!! wakati wa utawala wake uchaguzi wa serikali ya mitaa ulikuwa wa chama kimoja na hawa otevwalijifungia chumbani hatukuwaona!
Mlindwe na damu ya Yesu. Nawaombea kwa Mungu msipatwe na baya lolote
Amina
Mtaingia kwenye rekodi ya utetezi wa nchi hii Asante sana
Alipo fariki Rev. Christopher Mtikila nikahisi yakuwa hakuna tena uhai, lakini watu wapo, wasikilizwe dharau haifai.
Mama Nkya mpambanaji mzalendo mtanganyika tutakukumbuka mama ni wachache kama wewe wakina Mama wamesahau Taifa wamekuwa machawa
Mama Nkya mungu akuzidizhie nguvu hekima na busara.kulienda taifa lako na watu wake.
Tuko pamoja mma mwenza gu Mungu akubariki akupe afya njema uendelee kupambani haki
Hongereni sana mawakili wasomi tupo nyuma yenu.
Tunaelekea kuanza kuimba wimbo mmoja sasa 💪💪💪💪
Kakamkubwa Bob Asante sana kwa mapambano Yako katika taifa letu Utaifikia rekodi ya mchungaji mtikila 😊😊
Mungu awafunike kwa damu yake
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿viongozi wetu piganieni haki sisi wananchihawa maccm wame tunyima elimu ili watu tawale tuko pamoja tuko tayari na mungu🙏🙏
Heko heko kwenu Bobu Wangwe, na wenzako,
Mungu awajalie mafanikio katika hilo❤
Amina sana kwa kazi nzuri serikali imejisahau sana imesahau kuwa mwajiri wao mkuu ni Raia (mtanzania mwenyewe) badala yake wanaanza kuwaburuza MABOSI WAO MBAYA SANA
Asante sana wawakulishi wetu, hii pia ni hatua kubwa kuiendea demokrasia ya kweli. KUDOS🎉🎉🎉🎉🎉
Madeleka, mama Ananilea ninawapenda sana! Ninawaombea kwa Mungu msitekwe na kuuwawa. Damu ya Yesu ikawafunike. Maadui zetu mchengerwa na mama mkwe wake wanataka wasimamie uchaguzi, wao kama nani sasa? Uliona wapi hii? Demokrasia ya wapi?washindwe na walegee kwa jina la Yesu! Nchi hii ni yetu Watanzania wote na siyo mali ya mtu mmoja na familia yake.
nakubali sana madeleka ✅✊🫂
Tunawategemea ninyi mtuokoe. Hii CCM imekalia wizi tu. Mapadre,zMaaskofu , Masheikh na wenye moyo safi tunaomba mpate sauti zenu kwenye hizo Taasisi zenu wasije kuichagua CCM. Ilipotufikisha INATOSHA. Wananchi AMKENI. TUNAMKUMBUKA MCH. MTIKILA kwa sasa. TANGANYIKA YETU IRUDI.
Hongereni jamani, mko sawa na kwa pamoja tutashinda
Kweli tuamke hawa viongozi wachumia tumbo hatuwataki tupotayari kushilikiana na nyinyi wapambanaji wetu,mama nakukubari sana.
Sahihi, nchi Bado ina matatizo Kila Kona viongozi wanafikira za kimalaika na kujiona wazalendo wa kweli hawana uchungu na wananchi wa daraja la chini!
Wangwe Wangwe Wangwe 👏👏👏👏👏
Engwe kemoramba wi totangate mula
Nemo judex in kausasua kweli safi sana wangwe huko vizuru kaka
No one can be a judge of his/her own case(principle of justice)
Safi Sana Mawakili wetu,mpaka wanyooke.
There is no true democracy in Tanzania.
MADEREKA na mama yetunkya nawakubali saana pia tunawaombea kwa MUNGU awatanguliye katika kuwapigania wanainchi.
Kwa jinsi tunaseka nchi hii nimestaafu 2022 cjui nauli ya mizigo,arreas nadai tangu 2021 kweli .nitaipenda serikali hii,Mungu fanya njia pasipo njia
Tunahitaji viongozi bora na democracia ya kweli sio watu tu
MChengelwa ameshaambiwa na mamamkwe wake kuwa anakifua ataÿamduhayo sasa ndiyo hayo
Naona taifa la Tanzania likikpmbolewa kuipitia mawakili wetu Hawa tuwasapotini na tuwaombeeni usiku na mchana na Mungu awasimamie mnooo Tena awasimamie sana Mungu afanye jambo hapo.
Kwakwel ni jambo la kizalendo na kujitoa mchanga, tunamshukuru kwa kutuwakilisha na kuthamin haki zetu tuu pamoja!
Mungu awabariki sana, kwa niaba yetu sisi wananchi tunawashukuru kutusimamia ila tunawaahidi ttajua nanyi pamoja. Mungu awasimamie katika kila hatua 🙏
Freedom is coming
Ee MUNGU uwatangulie Hawa viongozi wetuwanaopigania hakimsingi ya Tanzania Amina.
Hongera maukoo viziri,tuelomishe mama❤❤🎉🎉🎉🎉🎉😊
Kwenekatiba mpya kiongezwe kipengele ambacho kitazuia Bunge kutunga sheria kama chama kimoja kitazidi asilimia60 peke yake
Sasa ndo nimeamin kwamba ccm inakaachin maana wanasheria wetu wameamua kusimama tupo nanyinyi na tunaomba mtuwekee namba tuwachangie ili nsiludinyuma au kushawishika na lushwa wananchi tupo tyar kuwachangia kias chochote ili muendelee kusimama nawapendasana kwa uzarendo mloonyesha
Amkeni. Kumekuchaaa. Asante binti ananilea. You have been consistence
Kuna sura ya uyo mmama apo ni mwanaharakati sana mwenye kutaka mabadiliko mungu amuweke sana
Mungu awatangulie tuko nyuma yenu
Mubarikiwe sanaaaaaa sana sana
Yaaani mimi kwa ninavyojua mimi siku tume ikiwa huru na tamisemi wasihusike kwenye usimamizi ndipo hapo utakapoona mauaji ya mchana kweupe,maana ccm watatoka hazalani mchana kuwakaba au kuwaua wasimamizi ili ichukue kura kwa nguvu ili iendelee tu kukaa madarakani.
Serikali ni ya wananchi , wananchi wanahaki ya kuchaguwa viongozi wanaowataka , sio ccm iwachagulie wananchi viongozi wao.
Kweli kabisa kaka sema wamejisahau sana ccm mwaka huu wanalo
Safi sana mama sema maana .samia hayaoni eti tuna lais tanzaninia
Safari hii wamekamatika 😂😂😂😂......shetani naye kachoka 😂😂😂😂 Viva Wangwe Viva Wangwe Viva Wangwe
SERIKALI YA CCM IMEPOTEZA KABISA MADILI KIASI KWAMBA HAWANA HATA AIBU!!! MWENYE MADILI YEYOTE KAMWE HAWEZI KUFANYA HAYA YANAYO FANYWA NA CCM. NATHANI HAKUNA NCHI DUNIANI YENYE TUME ZA UCHAGUZI ZA NAMNA HII!!!
Kweli hakuna
Safi sanaaaaa mawakili tutafika wasipotuelewaaa Kuna siku tutakwenda kula nao kwenye majumba Yao na hapo hapatatosha
Asanteni Kwa kuongoza mapambano hayo.
Duuh! Ndo maana mnaitwa "WAKILI MSOMI"
Asante sana wenzetu tuko pamoja nasi
Safari hii kitaeleweka tu hongeleni sana
Mamaangu ananilea nkya shkamoo, nakukubali Sana mamaangu
Ahsante mama😮😮😮
Katiba mpya lazima ipatikane
CCM ni mdudu hatali sana, CCM ni janga kubwa sana la kitaifa, adui namba moja wa watanzania woote ni chama chakavu cha CCM na family zao, bola ukimwi kuliko CCM.
Changamoto ni!ayoiona ni aina ya mahakama tuliyonayo.
Ikumbukwe Bob Chacha Wangwe alishawahi kupinga wakurugenzi kuwa wasimamizi wa uchaguzi,mahakama kuu ikabariki maombi yake,Mahakama ya Rufani ikatupilia mbali maombi yake,kwa hoja zisizokuwa na mashiko wala msingi wowote.
Sasa sina imani kama haya maombi yanaweza kapata nguvu kwa aina ya mahakama tulionazo.
Changamoto ni mahakama tulizo nazo!!
Wasiwasi wangu kesi ya ngedere unampelekea nyani
Safi sana
Pamojaaaaaa tunawezaaaaa
Tunawashukuru wote mawakili mnao tetea haki zawatanzania mungu awalinde sana naadui wabaya tunajua maadui wanaonufaika nahayo mambo niwengi lakin mungu awasimamie mawakili wetu mnaotutetea wananchi tunao nyimwa hakizetu.
Stand up with justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Quran 4:135)
Safi ndugu zetu
Ingependeza zaidi kama gharama zo zote zz uchaaguzi zisitumike na Tamisemi kuanzia sasa
Asaiv watanzania kwa sasa wanaamka mungu tusaidie
Tunashuku kwakujitoa kwakwer mungu awalinde kwakutusemea sisi ambao hatunasauti tunashukuru kwakutuwakilisha
mahakama isipo kubali kuzuia,tamko litoke nchi nzima tuingie bara barani kabla ya uchaguzi maana kivyama wata singizia vingi...!
Good
Kwa swala la UCHAGUZI, Chura asituchezee
Waziri Nchengelwa afunguliwe kesi mahakani
Mama unaeongea shikamoo!,itika basiii
Mama Abdul alimwambia MCHENGERWA kaa mguu sawa wakati anamwaoisha, Lengo mama MKWE wake abaki kuwa RAIS miaka 5 Tena.
Kazi nzuri sana
Ni nchi ya familia na koo, hivi ccm hamjitafakar kweli? Siamini kama mzani wa tanganyika na zanzibar uko sawa
Nimemuona wakil wangu madeleka na mama hapo nyuma yako mungu awabarik sanaaaa sanaaa sanaaa hongereni kwa kulipambania taifa nyie ni watu wa maana sanaa kwenye hili taifa
Mwaka huu watanzania mpaka kieleweke nchi yetu nitajili. Tena tuamuke watanzania tusimamie haki
Mungu atatusaidia inshaallah
Wangwe unanifanya njihisi mtanzania wa kweli
Ubovu wa wazi unaofanywa na serikali hii, kukosa usikuvu, kunyayasa raia na kuwadhalau kama hawana akili hivi vitu vimeendelea kutengeneza umoja kwa watanzania ambao kama viongoz hawatajitekebisaha na kutafta namna nzuri ya kuongoza kwa haki na ukweli, bac hali hii inaweza kuja kuleta historia nyingine kabisa ndan ya nchi yetu
👍👊✌️.
Basi Tanzania bado iko nyuma sana kama Wizara ya TAMISEMI ndio kila wakati inasimamia Uchaguzi na hali hiyo iko kwa Serikali ya CCM. Hiyo haijaonekana kamwe duniani. Basi wenzetu jirani Tanzania hamna Tume Huru Ya Uchaguzi. Hiyo ni hatari kubwa sana na CCM kwa nini wanasema waliruhusu kuwe na Demokrasia ya Vyama Vingi? Watching from Saudi Arabia
Uchaguzi ni wa wananchi serikali haitakiwi kuingilia.
mungu awabarjki sana...... 12:29
Daaaamu ya Yesu itende haki milele
Toeni namba tuchangie
Weruweru og!
Watanganyika tuamke awa majambazi wa uchaguzi wanatuharibia nchi tudai uchaguzi huru na haki bweha hawa
Tumeanza kuelewana
Nimeenda serikali za mtaa kuchukua barua ya kwenda immigration, nimeambiwa karatasi zimeisha, kwan hakuna bajet ya serikali za mtaa?,please tukifanya mzaha na hiki kitu maana yake baada ya tr27 nov, kwenye hizi ofis watarudi watu wale wale tulowachoka!,mchengerwa tuhurumie basi!!!
Safi sana watapiga kula wenyewe
Chama cha kijani ni chama cha kishetani kabisa.
Uyu madeleka namkubar sana ajawai kufer kwenye alakati zake😂😂😂
Mbarikiwe tuna hitaji na katiba mpya. na tume huru ya uchaguzi.
MCHENGERWA KATAFUTE KAZI NYINGINE.
Watanzania tuamke
Namuona., Buberwa Kaiza wa Kishanje
Hii nchi mm naamini itakombolewa na mawakili. Mawakili tumieni taaluma yenu kuikomboa hii nchi
Ni tabia Ile Ile kupita bila kupingwa ,
Muogopeni Mungu inakuwaje wewe unaishi raha wengine wanateseka
Tanzania pameaza kukuchasasa,wasomi huru ndaniyageleza,safi mtupiganie watanzania dhid yahawawaonez.
Gooood
Mungu atutie nguvu
Mora wangwe otoghambele na zingatia ukwimerera isheria tolatuna kumunya obhotomwa
Marehemu kweli alikuwa kiboko!!! wakati wa utawala wake uchaguzi wa serikali ya mitaa ulikuwa wa chama kimoja na hawa otevwalijifungia chumbani hatukuwaona!