WAKILI PETER MADELEKA ni POLISI! AFUNGUKA KUHOJIWA UTORO KAZINI - ASEMA YEYE ni ZAIDI ya IGP...
Vložit
- čas přidán 13. 11. 2023
- WAKILI PETER MADELEKA ni POLISI! AFUNGUKA KUHOJIWA UTORO KAZINI - ASEMA YEYE ni ZAIDI ya IGP...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Hongerababa
Ukiwa umesoma na kuelewa vitu unakuwa na full confidence, Lowasa hakukosea kusema elimu elimu elimu.Congratulation wakili msomi Peter Madeleka
Uyo bangi zinamzumbua
Ama kweli ukimuamsha aliyelala utalala wewe...
Very inspiration, natamani nikasome sheria, kwa manufaa yangu na jamii yangu. Huyu ndiyo maana halisi ya wakili msomi.
Hongera kwa spirit ya kuwapambania watu wengine ! Mungu anawapenda watu kama wewe Doctor peter
Unaweza kuta ni usalama wa taifa
Hongera kaka! Hiyo ndiyo raha ya kuelewa mambo!!! Hadi rahaa!! Kaka unajua mambo mkuu!!!
Kichwa kizuri sana hiki. Safi sana. Madeleka akili nyingi.
Wale wote tuliosoma Luka 3:14 mikono juu!
nilikua sieleag mtu akiijita wakili msomi sasa huyu ni wakili msomi pasipo kujiita hayo maneno HUYU NDO THE REAL WAKIL MSOMI
Mh madeleka nakuku bali Sana mungu akubaliki
Huyu ni jasusi.Serikali ina siri kubwa sana.
Upo sahihi
Nikachukua mkoba wangu nikaondoka zangu,hii kauli imekaa ki mamlaka sana
Dah cc tunatafuta ajira kwa nguvu lakini kumbe kuna watu wameajiriwa na hawataki ajira zao dunia round about bhan tutafute hela vijana
Huyo mwamba huwa namkubali saaana kwakujiamin kwake kajb kwa jeur saaana kamanda wa police wa mkoa nivitu vidogo saaana salute mwamba madeleka
Jamaaaa linajua hadi raha respect madeleka
Upo sahihi wakili.mungu amewaandalia makao mazuri pamoja na mh. Mwabukusi
Yupo na kazi maalumu
Yaa inaleta raha sana kuwa na watu waelewa kama hawa katika nchi yetu, safi sana wakili madeleka mungu awe nawe daima
INCHI TAMU IKIWA NA WATU KAMA HAWA❤❤❤❤❤❤
Wakili mahiri zawadi kutoka kwa Mungu hongera sana mtoto wetu na wakili wetu. Mungu akubariki sana na akuongoze daima maana uko vema kabisa mbele za Mungu na walimwengu. Binadamu hawakuelewi isipokuwa wale Mungu atakaowafunulia. Ni mtu wa pekee mwenye karama ya pekee. Ni mkweli na muwazi ndiyo maana upo shujaa. Mungu azidi kukulinda akupe baraka nyinginyingi sana Madereka unaaminika hata anayekutazama TU anakuamini kabla hujaongea naye. Tuanazidi kukuombea kila la kheri katika maisha Yako.
Smart sana
Jamaa anajikubali Kwa fact sana, bigup msomi
Unafaa hata kuwa mbunge ukatetee wananchi jimboni mwako. Hongera.
Huyu kapitiliza vyeo vyote Ana akili ya kizidi cheo cha Rais na sio lazima uwe mbunge kutetea wananchi
Inachekesha kwa kweli, hasa hizi behavior za polisi wetu
Madeleka na Mwabukusi wanafaa wajiunge na Chadema kisha wagombee ubunge, ndipo wapate jukwaa safi la kupambana na wabadhilifu serikalini.
Ni kwl, lkn si hadi wachaguliwe? Ama Chadema ndiyo wameunda/wataunda serekali? 🏃🏃
Knowing the law is a part of protection.✌️
Thats why they don't teach from childhood
Coz they will not rule us
Brilliant discussion learned counsel.
Salute kwako Wakili
Wewe mpaka sasa wee ni jasusi ilo halipingiki
Madereka ni mtu mwenye akili nje na Elimu ya shule
Akili.kubwa.huyu.sio.bashite.nape.mwigulu..na.vilaza.wegine.big.up
Huyu br yuko vizuri sana zaidi ya sana tanzania tunahitaji vichwa kama hvi
Excellent Advocate.
Mungu akulinde peter
Kweli wanaotuongoza Hawana uwezo wa kufikiri,na wenye uwezo wa fikra wako nje ya madaraka
Tatizo wananchi Na ccm yao
Nakukubali
Bright man,mungu akubaliki
Brilliant man
Mwenyezimungu akuzidishie
Subirini akifa na kuanza kusomwa risala yake ndio mutaijua Tanzania 🇹🇿 vizuri
Safi sana kaka
Hao police wa Arusha hawana uwezo wa kumhoji Wakili Msomi madeleka ,sawa na Waziri mkuu amhoji Rais
siyo kila kitu lazima ucoment bro
Yani mkuu ukitaja police dam mpaka inanisisimka mana walisha nipiga bilakosa walidai Mimi nimzururaji nikawaonyesha kilakitu nanilpo Toka lakn nilpgwa huyo askari police mpaka Leo nikimuangalia mh! ila Haina shida
Pole mzee
Hongela Sana
Boss nimekukubali sana natamani niwe karibu nawe nijue mengi
Uko vizur sana hongera
Ok sawa
Madeleka oyeeee
Nakukubali sana wengi wanakosa haki zao kwa kutokujua sheria , Mungu akutangulie ktk huduma yako
Madeleka mungu akulinde
I'm on
..
Daa nilikuwa siyajui haya
Raha ya kujua sheria ndiyo hiyo
Yap !! Ila mwamb naona yy na polisi mbalimbali kabixa ha apendi kabix dhuluma zinazofanywa na polisi Mungu kakupitisha uko ili ufanye amendment na eatu ajue kama usingekaa uko usingejue haya
Wow so good 💪🏻💪🏻
Asante Wakili
Hongera kaka
Kama unajua ni raha sana hongera zako
Huyu jamaa kweli msomi
Madeleka na Jeshi la polisi hawana tatizo wala ugomvi wowote kati yao, wanaolipamba jambo hili lionekane kama kuuuuubwa ni waandishi wa habari
Wana sheria bwana
Kweli kabisa
Namkubali saaaan huyu,Anatakiwa kuwa Rais
Nisaidiee namba ya cm tyu
Sheria ya kweli ni ya Mungu t
Sasa masaa 24 ndani ya PGO jumlisha miaka sita ya bila maulizo na walimweka ndani kwa sababu ambazo hazikutajwa na mlengwa madeleka hii sikama walimpa go ahead bila kelele wana sababu zao hawa hawapo serius na pia hatakama jeshi ni moja lakini mwenye mamlaka ya kuita huyu jamaa ni mkuu wake kule Zanzibar maana alipotelewa na mtu ambaye naye pengine alijua aliridhia upotevu wake
Mmmh
Huyu jamaa angestahili kuwa mkufunzi mkuu wa chuo cha maofisa wa polisi Tanzania anauwezo mkubwa sizani kama yupo mkubwa wa.polisi a.mbae anaweza kupiga nae michi
Kwa mifumo yetu ya kumsujudia watawala wala msingemjua,kuna wanasheria wengi sana nchi ungejaribu kujiuliza kwanini hawasikiki wala kujulikana
Mwanangu kua usomee sheria
Ure so smart nakutafuta
safi nakutunukia degree nyingine.
Big up bro
Hawa mapolise wamekuwa kanakwamba hawakuzaliwa na wanadam hawana roo ya kibinadam
nimependa apo kwenye neno la Mungu
Hii dunia ni ngumu sana
Congrats
I like this man 😅
Elimu ina mhimu sana katika maisha ya sasa
Nadhani Sheria ina umuhimu sana katika maisha ya sasa kwa kuwa bado watu wengi wenye Elimu wanateseka
Naomba.namba yako kakangu.muhim
Safi
Jamani mwenye namba ya huyu wakili naomba anipatie
😅😅😅 nahapa ipoo😅😅 14:56
Peter na mimi nimeonewa sana pls can you help me?
Siyomtoro wanataka kumsumbua
SHULE imebakia silaha ambayo wakati Fulani watu wameitumia kwa manufaa mapana binafsi ya jamii na kinyume chake pia
Acha inyeshe tuone wapi panapovuja!
Kaka nimekukubali sana kwa majibu yako
Madereka unafaa uwe katibu mkuu chadema
This is fact
Akili mingi
Fact ✌️
Namimi mdogo wako ezekieli nakupa bigup pambana
Uliletwa kwa ajili ya mashekhe wetu
Nimekuelewa
Chumaaaa hikoooo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kaka nimekupenda mno mno , ila sasa watu wana woga kukuunga mkono kukomesha uovu uliopo, yaani Tz ingekuwa paradiso kama haki ingetendeka kisawasawa
He could be a sword
We mtuu sanaa
Kama umeona Genius Gonga like
Kweli wangu.
Hongera kaka madeleka
Siasa tu hizo
Madeleka huwa hakurupuki,kwakua si mvivu wa kusoma
Hahaha amani itawale