POLISI LAWAMANI TENA! WADAIWA KUMKATA MGUU OSTADH na KUCHUKUA MILIONI 7 -YULE ALIYESOTA JELA MIAKA10
Vložit
- čas přidán 4. 01. 2024
- POLISI LAWAMANI TENA! WADAIWA KUMKATA MGUU OSTADH na KUCHUKUA MILIONI 7 -YULE ALIYESOTA JELA MIAKA10...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Waislam tujitowe kwa huyu mtu inauma sana zaidi ya sana
Usiseme huyu wote ni binadamu tusaidoane tuinue sauti zetu apewe pesa zake basi
Watuwatweswa sana tanzaniya hakinyigi hazitendeki polisi wanachukuwa shariya vibaya
Pole sana ustadhi Allah Yuko pamojanawe hao mapolisi niwashenzi sana hao tumewachoka hasa hatunalakufanya ila Allah anacho chakuwafanya umbwa hao
Kwel kabisaaa Allah atawalipizia kama walivo mfanyia shehee inshallah
Usipoipata haki duniani inshaalah utapata mbele ya haki mungu ndio mwenye kuhesabu
18:26
Hakika
Dhuluma kubwa Allah yuko pamoja na wewe
UPUUZI huo wa kikoloni eti tutaenda paradise tukipata shida duniani, bullshit
Kuaeni na subra sote tutaenda kuhukumiwa waacheni watunyanyase ila mwenye nguvu Allah,,,, Allahu-akbar ☝️
Yaani mpaka natokwa na machozi daaah!!!
Pole sana bro ALLAH yupo pamoja na wewe atakulipia tu hapahapa Duniani kwa ulivyoonelewa
Swali sana na inua mikono yako mbinguni Mungu ataitikia Dua zako
IN SHA'ALLAH
Tunamuomba. Allah. Akuvue kwa. Hili. Na. Jengine. Pia. Allah. Ni. Muadilifu anajua yaliofichikana. Atahukumu kwa. Mahakama. Ya. Mbinguni kwa kila. Aliye. Stahiki. Ameen
Hamza alikua sahihi tu kuwauwa polisi kama mambo ndo hivi 😢 bora jeshi la polisi lifutwe kitengo hicho kitokee jwtz
Amza akuwa mjinga aliwalipua kudadadeki walimdhulumu pesa na dhahabu za mamilion akaona dawa yak ni kuwaua tu
Kabisa me siwqpendi viongoz matapel
Na jwtz ni wazuri kwasababu hawafungamani sana na raia lkn huenda nao wakawa wabaya zaidi pale tu watapokabidhiwa majukumu ya polisi
Pole sana imani yako imekuponza Mungu atakutetea na Mama atakusaidia utalipwa haki zako zote na fidia ilipwe kubwa sana umekatwa mguu pole sana Serikali ilipe fidia kubwa Taifa linakujali na litakusaidia Kaka tunakupenda woe Watanzania
Imani haijamponza alikuwa anatetea haki yake kwani angekubali ndo angeachiwa ukikubali ukikataa watakuuwa tu km wamekuamlia ila hawamshindi mungu ndo mana yupo hai hadi leo
Nimeumia sana sana😢
Watu wanateseka sana kwenye hii nchi.
Mungu atakulip kaka angu hao polis hawatoishi kwa amani maishani mwao
Kwel kabisa Amiin
Duuh inauma sana. Pole sana Mkuu. Mungu anajua la kufanya...
Adui wa muisilam ni muisilam mwenziwe pole sana sheikh walio kuchoma ni viongozi mamluki wa kiisilamu ambao hawana nia njema na uisilamu yawezekana ulikua mlinzi mzuri wa mali za uisilamu ikawakera wapigaji wakakuundia zengwe
Pole sana shekh wangu Allah utakulipia
Daa ndugu yangu katika imani kwanza pore sana piri tatizo sio pesa tatizo ni hicho kiungo urichopewa na mungu wao watakirudishaje
Nafikiri ,unatakiwa kulipwa fidia ya kusingiziwa kesi ya uongo , huyu baba arudishiwe haki yake na fidia za kukatwa mguu. Pole sana ndugu
Yan hapo ndo atakua kalipwa haki yke yan km anawajua hao police vzur sura na majina serikali ifuatilie hao wote walotoa ushahid sio wote wachukuliwa hatua yan mtu katumikia miaka yote hyo alafu anakuja kuambiwa kirahic tu umeachiwa kwa sabab ushahid haujawa na mashiko kweli asaa,!? Serikali ikiamua kufuatilia jambo haishindwi lazma huyu kaka apate haki yake km kweli hii nchi ya amani, inasikitisha sana Allah aendelee kukupa subra uipate haki yko
Police wa Tanzania waonevu sana iyo ndo Tabia yao ya kubambikia watu kesi asilimia 80 waliokua Gerezani kesi co zao,ndo maana Police wengi wanakufa Maskini kwa dhulma
Walai dear yan nikikumbuka mm yaliyonikutaga 😢ni mungu tu
@@Serenawilson11 wanafanya dhulma sana pole walah
Mwenyezi mungu asimame nawe upate haki yako inshallah
Hili jeshi la Polisi ni lakihuni, hii yote inatokana na uongozi mbaya wa inchi.
Kwel kabisaa
Police mungu anawaona msifikili mtaishi milele
Jamani Number zake zina pita hapo tumchangie kila atakayejaaliwa
Mama samia.apige simu moja tu. Kwa kamanda masejo tunamuamini masejo hela zako zitapatikana....hata kama amestaafu huyo askari aliekupekua atafuatwa Mali zake ziuzwe upewe haki.zako
...pole sana kaka
Hii nchi ina wahuni sana wanaolalamikia serikali ni wengi sasa kuna haja gani kua na sheria bora tuishi tu na uongozi wa kifalme mtu mmoja ndio mwenye maamuzi
حسبي الله ونعم الوكيل
Hao ni Polisi wa madikteta kazi zao kutesa wananchi.
Pole shehe mungu wa mbinguni atawahukumu
Kwakweli ni uonevu inahudhunisha, Serikali imhurumie kwa ulemavu alioupata, na kumpatia haki yake.
Dah ,,roho yangu imeniuma sana tena sana
Allah atakulipia haki yako hapa hapa duniani kabla ya keshoakhera inshaallah
Hapana police wazirudishe pesa zake.
Na magaid ni waislam jmn vbaya ivyo msiwapake watu ugaid loooh Laana za Allah ziwqfikie 😢
Nitumieni namba zake nikipata hela Ntamtumia pesa huyu kaka Mungu Amsaidie dunia inavituko.
Pole sana sheikh tatitzo la serikali yetu mfumo wa polisi mahakama magereza wanaendelea na mfumo ule ule aliotiachia mkoloni
Mungu atakulipia hapahapa duniani mungu yupo na wewe
Polis siwapendi maana rushwa wanayopokea wanabadili ukweli uwe uongo na uongo uwe ukweli tena na maneno ya dhihaka
Mungu atawalaani ape kila aina ya maradhi
Innalillah wainnah lillah lajuun,daaaa pole sana ustadhi umeongea kwa uchungu mnoooo wallah wamekuludisha nyuma mno
Pole sana shekhe allha atakulipa nahao walio fanya ivo malipo niapaapa dunian kwa mungu ni esabu
Allah atakulipia haki yako hapa hapa duniani kabla ya akhera inshaallah
Aamin yarabbil'alamin
Columba hebu omba kazi itv au azam bwana,we ni mkubwa inatosha hufai kuwa global,unahitajika uende media kubwa
jamaa kweli anajua aende media kubwa
Dunia tu hii tunapita Kuna maisha baada ya hapa enyi wenye kudhulumu watu
Chalamila yuko wapi mwamba namkubali atakusahidia Tanzania iko wapi haki za kinadamu zitendeke police nao wakihukaji wakamatwe
Ndo maana siwapendi polisi yaani 😢baadhi Yao Siyo watu wazuri
pole sana, Mungu akulipe ktk maisha yako, ikiwa ww umesingiziwa kwa jambo hilo unalotuhumiwa nacho
Pole Sana kaka yangu mungu atakuona
Sema polisi wanamalalamiko ya watu wengi sana
Imeniuma sana Mimi hii ni Tanzania kweli
Tanzania mnawadhalilisha sana viongoz wa kiislam 😢
Sana
Acheni Udini.
Hii nchi uonevu umejaa kila kona na tunapaswa kwa pamoja kulaani matendo maovu dhidi ya raia wema
Mbona mlikuwa mnashangilia pale mchungaji mbarikiwa mwakipesile alipofungwa
@@FridayMwassa huna haya ww hakuna kitu km icho
@@MdNasr-jm8pj walahi mko na udine sana sana waislamu mko roho mbaya
Hinaskitisha sana
Pole sana
Pole sana kaka mungu yupo pamoja na wewe
Inauma sna kwli rais wetu tunakuomba usaidie hii hali inauma sna
Daaaaah nchiiii kuna watu wanateseka sana😢😢😢😢😢
Police walaaniwe kabisa kwan wanatesa sana raia
Walahy hii inauma mno.Ila haki pekee iko kwa ALLAH.
Allah wasaidie waja wako hawa uwasaidie kila hatua Dua Ugaidi ni anayeuwa au anayeuliwa Allah ndiye mlipaji
Jamani nyie police acheni unyanyazaji kuwanyanyaza wananchi
Mungu mkubwa mungu mkubwa
Police ndio maaana wanakufa masikini sana
Hao mapolisi wanfaa washtzkiwe, na kama hawashtakiwi hapo hakuna segikali inayofuata sheria.
Hao polisi wapo waliochukua hizo pesa wapo na pesa zipo wazitoe wampe mwenyewe. Dhuluma hazifai na mguu mliokata mnunulie wabandia Ili na yeye apate hata kusogea na mumpe bajaji muogopeni mungu muumba
Maaskari ni fuel of hellfire ,,,maisha mafupi yaduniani yanawapa kiburi
Polis ni wauaji wenye kibali cha kikazi ndo maana nawaogopa kuliko hata majambazi ''langa''
Pole SANA Jamani. Mapolisi SIJUI wamekula Nini kwetu. TANZANIA. WOTE NI njaaa ya magendooo. WALUDISHE PESA ZA BABA WA WATU ZAMBIIII. WALANIWEEE. ILA NI KAMA SIASA HIIIOOOOO WALAI. WATESAJI HAO WALUDISHE PESA ZA BABA HUYOOO ZAMBIIII SANA. KAZI GANIII HIIII WANA NYANYASA WATU.😢😰😭😭😭😭😭🥳😭
Haki itatendeka Mungu hapendi kuona machozi mtu anayedhurumiwa watalipa
Pole.sana.nshallah.alla.yupo
Ostadhi pole tulikua pamoja nilikamatwa na mchicha nikapewa uhujumu kipindi kile Lulu kajala mimi sero no 5 lulu no 1 mungu hatakuacha
Masikin mungu afanye wepes upate usaidizi inshaallah
Pole sana ustadh hakika mungu atakulipia polisi ni washenzi sana
Mimi mtoto wangu akiniambia anataka awe polisi nitamlaani mpaka kifo changu.
Tatizo lingine LA kuhusishwa na ughaidi ni kule kuamini dini pamoja na kuamini saana mila desturi na tamaduni za kigeni kupitiliza!!!
Laahaula walaa kuwwata illaa Billa!.Mungu amemuwekea mwanadam njia mbili:- immaa shakiran waimmaa kafuura, njia ya kushukuru na njia ya kukufuru.hukulazimishwa kufuata njia sahihi ya M/Mungu Kila mtu ana uhuru WA kuabudu,fata unachokiamini na kukiabudu hutamuona muislam anakuja kukubughudhi ila usiumie unapoona wenzako wakiabudu njia sahihi. "Lakum diinukum waliadiin". Nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu.
Mwenyezi Mungu,ndie,atakae wahukum,wanaiona kuwa dunia yote wameikamata wao,inawapasa kujuwa kuwa kuna kufa na,watajibu nini siku ya mwisho,mshukuru Mungu kwa,kila jambo
Pole sana kakangu nimelia kwa uchungu 😢😢😢mungu halali na haki yako utaipata inshallah...hasibu Allah wali mli hakimu ☝️
DAH BINAADAMU ANAMTESAJE MWENZIE HIVII JAMANII 😢😢😢😢😢😢NI TANZANIA KWELI AU 😮😮😮😮😮😮😮😮
Yaani acha tu
Eeeh mwenyezi mungu mtukufu muumba mbingu na ardhi nakuomba utoe hukumu ya yakitendo hiki cha huyu mja alichofanyiwa inshallah.
Ila inauma sana tena sana yaani hiki kitendo cha kupoteza kiungo mi ndio kilichoniuma sana yaaani inshallah mwenyezi mungu yu pamoja nasi
😂😂😂😂 matako bar aise pole sana
Nchi imekuwa ya dhuluma sana kwa kweli. RIP MAGU 😭😭😭😭😭😭 sikuhizi kwa kubandika watu kesi na kuuwawa imekuwa rahisi sana. Yaani sasaivi ukiwa na matatizo kitu cha polisi unakiogopa kabisa.
Hiyo ni toka 2014 siyo karibuni
Waislam wameanza kufyekwa tokea kipindi cha Mkapa , Tena kipindi cha Magu siwezi Sema apumzike tu kwa Amani, hata wale Uhamso walikuwa wanaliwa timing tu wafyekwe ila Mungu ndio mpangaji wa yote
Hayo yalitokea wakati wa utawala wa Jakaya
Innalillah wainna ilayhi rajiun, hasbna llah waniimal wakil
Waislam sana wanaonewa
Ugaidi Ni mbaya Sana unaleta athari kubwa Sana .tunaweza tukawalaumu policy lakini yakitokea matendo kama hayo tunaanza tena kuitaji Masada wa vyombo vya usalama
Mungu yupo na tunamuamini San na atawalipa hao police kwa walichokufanyia mungu hapendi mtu kuonewa
Mama Tz kisiwa cha amani,
Shuhudia mateso haya, wayapatayo wanao, bila ushahidi masikini !
uko wapi, ukatili, unyanyasaji, na dhuruma kama hizi, hata huko kusikokua visiwa vya amani.
Badala ya Polisi kumlinda Mwanadamu huiba Vitu vyao na kuwatesa pole sana waliharibu maisha yako yote hari hii ifikishwe mbele ya Umoja wa Mataifa adhabu kama hili hairuhusiwa katika Dunia nzima haya yote ni Machozi tu Mungu ni mkubwa
Nadhani polisi wao wamejitoa kabisa kwenye ubinadam wameamua kujipa kazi ya israel mtoa roho na pamoja naaelezo haya ndugu zanguni hakuna hatua zitachukuliwa watasikia lakini wataziba masikio tumushukuru mwenyezì Mungu kwa magumu haya ambayo yanafanywa na hawa tunaowaita walinzi wetu
Eti hujakoma tutakurudisha huko huko 😭😭😭nyie kwa mungu kuna adhabu 😪
Pole saana inauma Allah hatakulipia
hawa magaidi sio kwamba walishinda kesi bali mama samia katika vitu aliombwa ktk maridhiano ni pamoja na kuwaachia magaidi kwa kuwa wamekaa muda mrefu na hayo MA CD bila shaka ni mafunzo ya ugaidi aliokuwa nayo ndani
Ukiambiwa uthibitishe hayo unayoyasema una uthibitisho??
Dah nimejisikia vibaya mngeweka namba tumchangie we mama samia angalia haya mabo police sio haki
Ina lilah waina ilah rajiun
Dah hii ndo Tanzania yetu nchin ambayo tunaaminii inaamani lakin wananchi wa Hali ya chini tunateseka tunachagua watu tukiamin wametuzidi ilii watuongoze lakini wanatukandamiza ni kherii tungebakii kwa mkolon tupigwe fimbo tuuwawee kuliko kinyanyasana wenyewe ..Tunasema hatuna ukabila lakini nchii hii Ina matajir na maskini,..maskin tunateseka sanaaa
Yarabi mola kila dhalimu mnakamishe na kila dhalimu mshushie maradhi yalokosa dawa wao na vizazi viyao
Pole sana mungu atlifanyia kazi
Naanza kuelewa kwanini wazazi walikua wanalazimisha mtoto lazima wazazi wakutafutie mke au wakupe mume kutoka wanapopajua hivi haikua kwa matendo haya kweli na mengineyo ambayo wao kwa vipimo walijua kijana nisawa nakipofu anaweza tamani umbo alafu akaja na laana ambayo wazi wa muhusika alikua pengine muuaji kwa kumuadhibu mtu asiyehatia au mpaka akatwe kiungo na unajua mnafanya hayo.sio.kwakua ni mtuhumiwa but just for your own goods aloo hivi hizo familia mnazozaa siku mkifa mzigo ambao hawaujui mnadhani nani atakua msaada wao naninyi pengine ni marehem wa miaka 70 nyuma nani wa kutoa hiyo historia damu zawatu zinadai hazilali mnazaa uzao wa mateso baada yenu bila kujua mliwatenda nini wenzenu ogopeni sana laana na damu za watu kila jambo lina malipo niswala la muda tuu lakini mtapokea iwe mmekufa au mpo hai hakika mtapokea kadiri ya matendo jaribuni kuwa wema walau kidogo dunia itapita na kila kitu kitabaki mtaenda wenyewe mbele za Mungu na hesabu yenu mtaikuta jaribuni kuwa wema ili hata siku hampo duniani waliobaki watapeleka hata mkate kwenye familia zenu kwa kukumbuka walau kwamba mama yao au baba yao hawa watoto alishatufanyia jambo jema mara nyingi watu wema hufa maskini ila uzao wao huwa wenye heri mara dufu kwa watu na kwa Mungu
Inauma Sana, lakini kama uliteswa kiasi hiking bila kosa ni makusudi ya hao polisi ni Mungu pekee atakulipa hapa duniani tunapita tu. Yupo atakayetoa haki.
Kwan broo ulikuwa na viashiria gani had yakafikia huko????
Allah ndo atajibu maombi yako pambania haki yako mtafute makonda atakussidia au atafikisha kwa mama yetu samia ana baya mama yetu😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Yani inauma sana wengi wameumizwa sana na jeshi hili la polisi
Nimetokwa na machoz kiukweli sheh pole sana hawa mapolisi kiukweli wanatunyanyasa sana sisi laia hataa haki hakuna ni ushenzi tu namuomba allah alipe hili hakiamungu nitawalaani leo mbaka kesho kiama mbwa hawa
😢😢😢wanataka watolewe mabusha walahi
Mtu hana hata siraha lakini mnatumia nguvu nyiiingi wakati mwingine tumieni akili kama hamna hekima
Pole kaka pole sana
Majizi polic asilimia75 wezi tena hawana haya hata kuuwa wakijua unapesa dakika tuu hamuoni kutwa barabarani wanawaibia madereva