POLISI LAWAMANI TENA! WADAIWA KUMKATA MGUU OSTADH na KUCHUKUA MILIONI 7 -YULE ALIYESOTA JELA MIAKA10

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 01. 2024
  • POLISI LAWAMANI TENA! WADAIWA KUMKATA MGUU OSTADH na KUCHUKUA MILIONI 7 -YULE ALIYESOTA JELA MIAKA10...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 283

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 6 měsíci +3

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 Před 6 měsíci +22

    Waislam tujitowe kwa huyu mtu inauma sana zaidi ya sana

    • @user-cf7rk6co7e
      @user-cf7rk6co7e Před 5 měsíci +1

      Usiseme huyu wote ni binadamu tusaidoane tuinue sauti zetu apewe pesa zake basi

    • @zulekhasaeed6046
      @zulekhasaeed6046 Před 2 měsíci

      Watuwatweswa sana tanzaniya hakinyigi hazitendeki polisi wanachukuwa shariya vibaya

  • @user-zs4xz1vv4o
    @user-zs4xz1vv4o Před 6 měsíci +11

    Pole sana ustadhi Allah Yuko pamojanawe hao mapolisi niwashenzi sana hao tumewachoka hasa hatunalakufanya ila Allah anacho chakuwafanya umbwa hao

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 Před 6 měsíci +2

      Kwel kabisaaa Allah atawalipizia kama walivo mfanyia shehee inshallah

  • @user-gn8zs4qx2y
    @user-gn8zs4qx2y Před 6 měsíci +28

    Usipoipata haki duniani inshaalah utapata mbele ya haki mungu ndio mwenye kuhesabu

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo Před 6 měsíci +12

    Kuaeni na subra sote tutaenda kuhukumiwa waacheni watunyanyase ila mwenye nguvu Allah,,,, Allahu-akbar ☝️

  • @user-su7np6sn7s
    @user-su7np6sn7s Před 6 měsíci +7

    Yaani mpaka natokwa na machozi daaah!!!
    Pole sana bro ALLAH yupo pamoja na wewe atakulipia tu hapahapa Duniani kwa ulivyoonelewa
    Swali sana na inua mikono yako mbinguni Mungu ataitikia Dua zako
    IN SHA'ALLAH

    • @abdulsaid1721
      @abdulsaid1721 Před 5 měsíci

      Tunamuomba. Allah. Akuvue kwa. Hili. Na. Jengine. Pia. Allah. Ni. Muadilifu anajua yaliofichikana. Atahukumu kwa. Mahakama. Ya. Mbinguni kwa kila. Aliye. Stahiki. Ameen

  • @melkiorykweka438
    @melkiorykweka438 Před 6 měsíci +15

    Hamza alikua sahihi tu kuwauwa polisi kama mambo ndo hivi 😢 bora jeshi la polisi lifutwe kitengo hicho kitokee jwtz

    • @user-uc8ei8kn3l
      @user-uc8ei8kn3l Před 6 měsíci +3

      Amza akuwa mjinga aliwalipua kudadadeki walimdhulumu pesa na dhahabu za mamilion akaona dawa yak ni kuwaua tu

    • @user-df6ui9ro8s
      @user-df6ui9ro8s Před 6 měsíci

      Kabisa me siwqpendi viongoz matapel

    • @SALEHSALEH-lk5jr
      @SALEHSALEH-lk5jr Před 5 měsíci

      Na jwtz ni wazuri kwasababu hawafungamani sana na raia lkn huenda nao wakawa wabaya zaidi pale tu watapokabidhiwa majukumu ya polisi

  • @user-gw4vv5uh9z
    @user-gw4vv5uh9z Před 6 měsíci +7

    Pole sana imani yako imekuponza Mungu atakutetea na Mama atakusaidia utalipwa haki zako zote na fidia ilipwe kubwa sana umekatwa mguu pole sana Serikali ilipe fidia kubwa Taifa linakujali na litakusaidia Kaka tunakupenda woe Watanzania

    • @user-jv1ch4tr8q
      @user-jv1ch4tr8q Před 2 měsíci

      Imani haijamponza alikuwa anatetea haki yake kwani angekubali ndo angeachiwa ukikubali ukikataa watakuuwa tu km wamekuamlia ila hawamshindi mungu ndo mana yupo hai hadi leo

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima2684 Před 6 měsíci +12

    Nimeumia sana sana😢
    Watu wanateseka sana kwenye hii nchi.

  • @marrypius576
    @marrypius576 Před 6 měsíci +11

    Mungu atakulip kaka angu hao polis hawatoishi kwa amani maishani mwao

  • @johnnnko5814
    @johnnnko5814 Před 6 měsíci +5

    Duuh inauma sana. Pole sana Mkuu. Mungu anajua la kufanya...

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 Před 6 měsíci +5

    Adui wa muisilam ni muisilam mwenziwe pole sana sheikh walio kuchoma ni viongozi mamluki wa kiisilamu ambao hawana nia njema na uisilamu yawezekana ulikua mlinzi mzuri wa mali za uisilamu ikawakera wapigaji wakakuundia zengwe

  • @abdulshakuru3992
    @abdulshakuru3992 Před 6 měsíci +7

    Pole sana shekh wangu Allah utakulipia

  • @saidially1573
    @saidially1573 Před 6 měsíci +5

    Daa ndugu yangu katika imani kwanza pore sana piri tatizo sio pesa tatizo ni hicho kiungo urichopewa na mungu wao watakirudishaje

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 Před 6 měsíci +2

    Nafikiri ,unatakiwa kulipwa fidia ya kusingiziwa kesi ya uongo , huyu baba arudishiwe haki yake na fidia za kukatwa mguu. Pole sana ndugu

    • @jasmintanga2474
      @jasmintanga2474 Před 5 měsíci

      Yan hapo ndo atakua kalipwa haki yke yan km anawajua hao police vzur sura na majina serikali ifuatilie hao wote walotoa ushahid sio wote wachukuliwa hatua yan mtu katumikia miaka yote hyo alafu anakuja kuambiwa kirahic tu umeachiwa kwa sabab ushahid haujawa na mashiko kweli asaa,!? Serikali ikiamua kufuatilia jambo haishindwi lazma huyu kaka apate haki yake km kweli hii nchi ya amani, inasikitisha sana Allah aendelee kukupa subra uipate haki yko

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Před 6 měsíci +12

    Police wa Tanzania waonevu sana iyo ndo Tabia yao ya kubambikia watu kesi asilimia 80 waliokua Gerezani kesi co zao,ndo maana Police wengi wanakufa Maskini kwa dhulma

    • @Serenawilson11
      @Serenawilson11 Před 5 měsíci +1

      Walai dear yan nikikumbuka mm yaliyonikutaga 😢ni mungu tu

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 Před 5 měsíci

      @@Serenawilson11 wanafanya dhulma sana pole walah

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 Před 6 měsíci +8

    Mwenyezi mungu asimame nawe upate haki yako inshallah

  • @misomisomisoji7722
    @misomisomisoji7722 Před 6 měsíci +6

    Hili jeshi la Polisi ni lakihuni, hii yote inatokana na uongozi mbaya wa inchi.

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před 6 měsíci +6

    Police mungu anawaona msifikili mtaishi milele

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před 6 měsíci +6

    Jamani Number zake zina pita hapo tumchangie kila atakayejaaliwa

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 Před 6 měsíci +4

    Mama samia.apige simu moja tu. Kwa kamanda masejo tunamuamini masejo hela zako zitapatikana....hata kama amestaafu huyo askari aliekupekua atafuatwa Mali zake ziuzwe upewe haki.zako
    ...pole sana kaka

  • @AliAbdalla-lb8su
    @AliAbdalla-lb8su Před 5 měsíci +3

    Hii nchi ina wahuni sana wanaolalamikia serikali ni wengi sasa kuna haja gani kua na sheria bora tuishi tu na uongozi wa kifalme mtu mmoja ndio mwenye maamuzi

  • @al-mamarial-mamari5457
    @al-mamarial-mamari5457 Před 6 měsíci +8

    حسبي الله ونعم الوكيل

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před 6 měsíci +6

    Hao ni Polisi wa madikteta kazi zao kutesa wananchi.

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 Před 6 měsíci +4

    Pole shehe mungu wa mbinguni atawahukumu

  • @user-pb4en4te7m
    @user-pb4en4te7m Před 6 měsíci +4

    Kwakweli ni uonevu inahudhunisha, Serikali imhurumie kwa ulemavu alioupata, na kumpatia haki yake.

  • @user-uc8ei8kn3l
    @user-uc8ei8kn3l Před 6 měsíci +4

    Dah ,,roho yangu imeniuma sana tena sana

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 Před 6 měsíci +7

    Allah atakulipia haki yako hapa hapa duniani kabla ya keshoakhera inshaallah

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu Před 6 měsíci

      Hapana police wazirudishe pesa zake.

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Před 6 měsíci +4

    Na magaid ni waislam jmn vbaya ivyo msiwapake watu ugaid loooh Laana za Allah ziwqfikie 😢

  • @user-zk1ho5ig2c
    @user-zk1ho5ig2c Před 6 měsíci +2

    Nitumieni namba zake nikipata hela Ntamtumia pesa huyu kaka Mungu Amsaidie dunia inavituko.

  • @MauBonde
    @MauBonde Před 14 dny

    Pole sana sheikh tatitzo la serikali yetu mfumo wa polisi mahakama magereza wanaendelea na mfumo ule ule aliotiachia mkoloni

  • @abdallahkassim8600
    @abdallahkassim8600 Před 6 měsíci +4

    Mungu atakulipia hapahapa duniani mungu yupo na wewe

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 Před 6 měsíci +3

    Polis siwapendi maana rushwa wanayopokea wanabadili ukweli uwe uongo na uongo uwe ukweli tena na maneno ya dhihaka

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před 6 měsíci +5

    Mungu atawalaani ape kila aina ya maradhi

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 6 měsíci +3

    Innalillah wainnah lillah lajuun,daaaa pole sana ustadhi umeongea kwa uchungu mnoooo wallah wamekuludisha nyuma mno

  • @HabibuKiyondo
    @HabibuKiyondo Před 6 měsíci +1

    Pole sana shekhe allha atakulipa nahao walio fanya ivo malipo niapaapa dunian kwa mungu ni esabu

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 Před 6 měsíci +9

    Allah atakulipia haki yako hapa hapa duniani kabla ya akhera inshaallah

  • @jacobmwalituke8981
    @jacobmwalituke8981 Před 6 měsíci +4

    Columba hebu omba kazi itv au azam bwana,we ni mkubwa inatosha hufai kuwa global,unahitajika uende media kubwa

  • @abdunasiriathumani9011
    @abdunasiriathumani9011 Před 6 měsíci +2

    Dunia tu hii tunapita Kuna maisha baada ya hapa enyi wenye kudhulumu watu

  • @carolinannhaule8187
    @carolinannhaule8187 Před 6 měsíci +4

    Chalamila yuko wapi mwamba namkubali atakusahidia Tanzania iko wapi haki za kinadamu zitendeke police nao wakihukaji wakamatwe

  • @charlesbutera897
    @charlesbutera897 Před 6 měsíci +3

    Ndo maana siwapendi polisi yaani 😢baadhi Yao Siyo watu wazuri

  • @ThomasErro
    @ThomasErro Před 19 dny

    pole sana, Mungu akulipe ktk maisha yako, ikiwa ww umesingiziwa kwa jambo hilo unalotuhumiwa nacho

  • @user-bw8lt8wy1i
    @user-bw8lt8wy1i Před 6 měsíci +3

    Pole Sana kaka yangu mungu atakuona

  • @christiancalvin2183
    @christiancalvin2183 Před 6 měsíci +5

    Sema polisi wanamalalamiko ya watu wengi sana

  • @lupefiascojr.1896
    @lupefiascojr.1896 Před 6 měsíci +3

    Imeniuma sana Mimi hii ni Tanzania kweli

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Před 6 měsíci +14

    Tanzania mnawadhalilisha sana viongoz wa kiislam 😢

    • @hawakiza6067
      @hawakiza6067 Před 6 měsíci

      Sana

    • @gilbertshirima2684
      @gilbertshirima2684 Před 6 měsíci +3

      Acheni Udini.
      Hii nchi uonevu umejaa kila kona na tunapaswa kwa pamoja kulaani matendo maovu dhidi ya raia wema

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 6 měsíci

      Mbona mlikuwa mnashangilia pale mchungaji mbarikiwa mwakipesile alipofungwa

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj Před 6 měsíci +1

      @@FridayMwassa huna haya ww hakuna kitu km icho

    • @Ernestlaiza
      @Ernestlaiza Před 6 měsíci

      ​@@MdNasr-jm8pj walahi mko na udine sana sana waislamu mko roho mbaya

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k Před 6 měsíci +4

    Hinaskitisha sana

  • @MellanieKay
    @MellanieKay Před 6 měsíci +4

    Pole sana

  • @FrolFrol-qq4vk
    @FrolFrol-qq4vk Před 6 měsíci +1

    Pole sana kaka mungu yupo pamoja na wewe

  • @abdallahkassim8600
    @abdallahkassim8600 Před 6 měsíci +4

    Inauma sna kwli rais wetu tunakuomba usaidie hii hali inauma sna

  • @saidibanda8347
    @saidibanda8347 Před 5 měsíci +1

    Daaaaah nchiiii kuna watu wanateseka sana😢😢😢😢😢

  • @KassimuTitu-nu6jn
    @KassimuTitu-nu6jn Před 6 měsíci +2

    Police walaaniwe kabisa kwan wanatesa sana raia

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 Před 6 měsíci +3

    Walahy hii inauma mno.Ila haki pekee iko kwa ALLAH.

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv Před 6 měsíci +3

    Allah wasaidie waja wako hawa uwasaidie kila hatua Dua Ugaidi ni anayeuwa au anayeuliwa Allah ndiye mlipaji

  • @LoshilaaMollel-qh5pb
    @LoshilaaMollel-qh5pb Před 6 měsíci +3

    Jamani nyie police acheni unyanyazaji kuwanyanyaza wananchi

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 6 měsíci +5

    Mungu mkubwa mungu mkubwa

  • @issamatola2031
    @issamatola2031 Před 6 měsíci +2

    Police ndio maaana wanakufa masikini sana

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před 6 měsíci +2

    Hao mapolisi wanfaa washtzkiwe, na kama hawashtakiwi hapo hakuna segikali inayofuata sheria.

  • @MussaSuleiman-ui9fy
    @MussaSuleiman-ui9fy Před 6 měsíci +2

    Hao polisi wapo waliochukua hizo pesa wapo na pesa zipo wazitoe wampe mwenyewe. Dhuluma hazifai na mguu mliokata mnunulie wabandia Ili na yeye apate hata kusogea na mumpe bajaji muogopeni mungu muumba

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Před 6 měsíci +4

    Maaskari ni fuel of hellfire ,,,maisha mafupi yaduniani yanawapa kiburi

  • @khalidmdimu4177
    @khalidmdimu4177 Před 6 měsíci +2

    Polis ni wauaji wenye kibali cha kikazi ndo maana nawaogopa kuliko hata majambazi ''langa''

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 6 měsíci +1

    Pole SANA Jamani. Mapolisi SIJUI wamekula Nini kwetu. TANZANIA. WOTE NI njaaa ya magendooo. WALUDISHE PESA ZA BABA WA WATU ZAMBIIII. WALANIWEEE. ILA NI KAMA SIASA HIIIOOOOO WALAI. WATESAJI HAO WALUDISHE PESA ZA BABA HUYOOO ZAMBIIII SANA. KAZI GANIII HIIII WANA NYANYASA WATU.😢😰😭😭😭😭😭🥳😭

  • @tabithaeppyness3867
    @tabithaeppyness3867 Před 6 měsíci +2

    Haki itatendeka Mungu hapendi kuona machozi mtu anayedhurumiwa watalipa

  • @user-zq9jc5sw7t
    @user-zq9jc5sw7t Před 6 měsíci +2

    Pole.sana.nshallah.alla.yupo

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 Před 2 měsíci

    Ostadhi pole tulikua pamoja nilikamatwa na mchicha nikapewa uhujumu kipindi kile Lulu kajala mimi sero no 5 lulu no 1 mungu hatakuacha

  • @user-zk1ho5ig2c
    @user-zk1ho5ig2c Před 6 měsíci +1

    Masikin mungu afanye wepes upate usaidizi inshaallah

  • @user-rs7cf9lb5w
    @user-rs7cf9lb5w Před 5 měsíci

    Pole sana ustadh hakika mungu atakulipia polisi ni washenzi sana

  • @austridhaule8747
    @austridhaule8747 Před 6 měsíci +1

    Mimi mtoto wangu akiniambia anataka awe polisi nitamlaani mpaka kifo changu.

  • @josephmasanja8584
    @josephmasanja8584 Před 5 měsíci +1

    Tatizo lingine LA kuhusishwa na ughaidi ni kule kuamini dini pamoja na kuamini saana mila desturi na tamaduni za kigeni kupitiliza!!!

    • @user-ij9te1ck9p
      @user-ij9te1ck9p Před 2 měsíci +1

      Laahaula walaa kuwwata illaa Billa!.Mungu amemuwekea mwanadam njia mbili:- immaa shakiran waimmaa kafuura, njia ya kushukuru na njia ya kukufuru.hukulazimishwa kufuata njia sahihi ya M/Mungu Kila mtu ana uhuru WA kuabudu,fata unachokiamini na kukiabudu hutamuona muislam anakuja kukubughudhi ila usiumie unapoona wenzako wakiabudu njia sahihi. "Lakum diinukum waliadiin". Nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu.

  • @AyoubNehemia
    @AyoubNehemia Před 5 měsíci

    Mwenyezi Mungu,ndie,atakae wahukum,wanaiona kuwa dunia yote wameikamata wao,inawapasa kujuwa kuwa kuna kufa na,watajibu nini siku ya mwisho,mshukuru Mungu kwa,kila jambo

  • @user-vq5ut3rx7m
    @user-vq5ut3rx7m Před 6 měsíci

    Pole sana kakangu nimelia kwa uchungu 😢😢😢mungu halali na haki yako utaipata inshallah...hasibu Allah wali mli hakimu ☝️

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 6 měsíci +2

    DAH BINAADAMU ANAMTESAJE MWENZIE HIVII JAMANII 😢😢😢😢😢😢NI TANZANIA KWELI AU 😮😮😮😮😮😮😮😮

  • @acrambilqees8638
    @acrambilqees8638 Před 5 měsíci

    Eeeh mwenyezi mungu mtukufu muumba mbingu na ardhi nakuomba utoe hukumu ya yakitendo hiki cha huyu mja alichofanyiwa inshallah.
    Ila inauma sana tena sana yaani hiki kitendo cha kupoteza kiungo mi ndio kilichoniuma sana yaaani inshallah mwenyezi mungu yu pamoja nasi

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Před 6 měsíci +2

    😂😂😂😂 matako bar aise pole sana

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 Před 6 měsíci +6

    Nchi imekuwa ya dhuluma sana kwa kweli. RIP MAGU 😭😭😭😭😭😭 sikuhizi kwa kubandika watu kesi na kuuwawa imekuwa rahisi sana. Yaani sasaivi ukiwa na matatizo kitu cha polisi unakiogopa kabisa.

    • @GodfreyShayo-ix5be
      @GodfreyShayo-ix5be Před 6 měsíci +1

      Hiyo ni toka 2014 siyo karibuni

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ Před 6 měsíci +2

      Waislam wameanza kufyekwa tokea kipindi cha Mkapa , Tena kipindi cha Magu siwezi Sema apumzike tu kwa Amani, hata wale Uhamso walikuwa wanaliwa timing tu wafyekwe ila Mungu ndio mpangaji wa yote

    • @peterjengela1770
      @peterjengela1770 Před 6 měsíci

      Hayo yalitokea wakati wa utawala wa Jakaya

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 Před 6 měsíci +2

    Innalillah wainna ilayhi rajiun, hasbna llah waniimal wakil

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 6 měsíci +3

    Waislam sana wanaonewa

  • @ApostleEmmanuelLyimo
    @ApostleEmmanuelLyimo Před 5 měsíci

    Ugaidi Ni mbaya Sana unaleta athari kubwa Sana .tunaweza tukawalaumu policy lakini yakitokea matendo kama hayo tunaanza tena kuitaji Masada wa vyombo vya usalama

  • @user-zl4ch7kz3b
    @user-zl4ch7kz3b Před 5 měsíci

    Mungu yupo na tunamuamini San na atawalipa hao police kwa walichokufanyia mungu hapendi mtu kuonewa

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 Před 3 měsíci

    Mama Tz kisiwa cha amani,
    Shuhudia mateso haya, wayapatayo wanao, bila ushahidi masikini !
    uko wapi, ukatili, unyanyasaji, na dhuruma kama hizi, hata huko kusikokua visiwa vya amani.

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Před 4 měsíci

    Badala ya Polisi kumlinda Mwanadamu huiba Vitu vyao na kuwatesa pole sana waliharibu maisha yako yote hari hii ifikishwe mbele ya Umoja wa Mataifa adhabu kama hili hairuhusiwa katika Dunia nzima haya yote ni Machozi tu Mungu ni mkubwa

  • @ColinMhema-ne3lz
    @ColinMhema-ne3lz Před 6 měsíci +1

    Nadhani polisi wao wamejitoa kabisa kwenye ubinadam wameamua kujipa kazi ya israel mtoa roho na pamoja naaelezo haya ndugu zanguni hakuna hatua zitachukuliwa watasikia lakini wataziba masikio tumushukuru mwenyezì Mungu kwa magumu haya ambayo yanafanywa na hawa tunaowaita walinzi wetu

  • @samirazuberi186
    @samirazuberi186 Před 3 měsíci

    Eti hujakoma tutakurudisha huko huko 😭😭😭nyie kwa mungu kuna adhabu 😪

  • @hayunahabibu4951
    @hayunahabibu4951 Před 6 měsíci +1

    Pole saana inauma Allah hatakulipia

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 Před 6 měsíci +1

    hawa magaidi sio kwamba walishinda kesi bali mama samia katika vitu aliombwa ktk maridhiano ni pamoja na kuwaachia magaidi kwa kuwa wamekaa muda mrefu na hayo MA CD bila shaka ni mafunzo ya ugaidi aliokuwa nayo ndani

    • @Mentorship_clips
      @Mentorship_clips Před 6 měsíci

      Ukiambiwa uthibitishe hayo unayoyasema una uthibitisho??

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 Před 6 měsíci +1

    Dah nimejisikia vibaya mngeweka namba tumchangie we mama samia angalia haya mabo police sio haki

  • @AmisseSulemane-sb4re
    @AmisseSulemane-sb4re Před 6 měsíci +1

    Ina lilah waina ilah rajiun

  • @user-yy1rf1de5u
    @user-yy1rf1de5u Před 5 měsíci

    Dah hii ndo Tanzania yetu nchin ambayo tunaaminii inaamani lakin wananchi wa Hali ya chini tunateseka tunachagua watu tukiamin wametuzidi ilii watuongoze lakini wanatukandamiza ni kherii tungebakii kwa mkolon tupigwe fimbo tuuwawee kuliko kinyanyasana wenyewe ..Tunasema hatuna ukabila lakini nchii hii Ina matajir na maskini,..maskin tunateseka sanaaa

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před 6 měsíci +1

    Yarabi mola kila dhalimu mnakamishe na kila dhalimu mshushie maradhi yalokosa dawa wao na vizazi viyao

  • @user-ny2fu8bu2u
    @user-ny2fu8bu2u Před 3 měsíci

    Pole sana mungu atlifanyia kazi

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172 Před 5 měsíci

    Naanza kuelewa kwanini wazazi walikua wanalazimisha mtoto lazima wazazi wakutafutie mke au wakupe mume kutoka wanapopajua hivi haikua kwa matendo haya kweli na mengineyo ambayo wao kwa vipimo walijua kijana nisawa nakipofu anaweza tamani umbo alafu akaja na laana ambayo wazi wa muhusika alikua pengine muuaji kwa kumuadhibu mtu asiyehatia au mpaka akatwe kiungo na unajua mnafanya hayo.sio.kwakua ni mtuhumiwa but just for your own goods aloo hivi hizo familia mnazozaa siku mkifa mzigo ambao hawaujui mnadhani nani atakua msaada wao naninyi pengine ni marehem wa miaka 70 nyuma nani wa kutoa hiyo historia damu zawatu zinadai hazilali mnazaa uzao wa mateso baada yenu bila kujua mliwatenda nini wenzenu ogopeni sana laana na damu za watu kila jambo lina malipo niswala la muda tuu lakini mtapokea iwe mmekufa au mpo hai hakika mtapokea kadiri ya matendo jaribuni kuwa wema walau kidogo dunia itapita na kila kitu kitabaki mtaenda wenyewe mbele za Mungu na hesabu yenu mtaikuta jaribuni kuwa wema ili hata siku hampo duniani waliobaki watapeleka hata mkate kwenye familia zenu kwa kukumbuka walau kwamba mama yao au baba yao hawa watoto alishatufanyia jambo jema mara nyingi watu wema hufa maskini ila uzao wao huwa wenye heri mara dufu kwa watu na kwa Mungu

  • @austridhaule8747
    @austridhaule8747 Před 6 měsíci

    Inauma Sana, lakini kama uliteswa kiasi hiking bila kosa ni makusudi ya hao polisi ni Mungu pekee atakulipa hapa duniani tunapita tu. Yupo atakayetoa haki.

  • @officialtinnyaltezza9878
    @officialtinnyaltezza9878 Před 6 měsíci +1

    Kwan broo ulikuwa na viashiria gani had yakafikia huko????

  • @user-qr7jp9jw4c
    @user-qr7jp9jw4c Před 5 měsíci

    Allah ndo atajibu maombi yako pambania haki yako mtafute makonda atakussidia au atafikisha kwa mama yetu samia ana baya mama yetu😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-yv3jk5bl2p
    @user-yv3jk5bl2p Před 5 měsíci

    Yani inauma sana wengi wameumizwa sana na jeshi hili la polisi

  • @CastrbBizzo
    @CastrbBizzo Před 16 dny

    Nimetokwa na machoz kiukweli sheh pole sana hawa mapolisi kiukweli wanatunyanyasa sana sisi laia hataa haki hakuna ni ushenzi tu namuomba allah alipe hili hakiamungu nitawalaani leo mbaka kesho kiama mbwa hawa

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 Před 6 měsíci +1

    😢😢😢wanataka watolewe mabusha walahi

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 Před 6 měsíci +1

    Mtu hana hata siraha lakini mnatumia nguvu nyiiingi wakati mwingine tumieni akili kama hamna hekima

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Před 6 měsíci +1

    Pole kaka pole sana

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před 5 měsíci

    Majizi polic asilimia75 wezi tena hawana haya hata kuuwa wakijua unapesa dakika tuu hamuoni kutwa barabarani wanawaibia madereva