🅻🅸🆅🅴 : MWABUKUSI ANAZUNGUMZA MUDA HUU SAKATA LA KUKATWA NA TLS KUGOMBEA URAIS CHAMA CHA MAWAKILI...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 299

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 9 dny +6

    UBARIKIWE SANA WAKILI SHUJAA NA JASIRI MSOMI BONIFACE MWABUKUSI 👏🏼👏🏼👏🏼

  • @mickgeofreyjoachim1580
    @mickgeofreyjoachim1580 Před 9 dny +19

    The man's voice in the jungle....powerful voice that brings hope to all members of TLS who are in the side of right....keep going brother u deserve to be leader indeed

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před 9 dny +10

    Brother Mwabukusi wewe ni mkweli na ni mzalendo. Waambi e💪🏻💪🏻💪🏻

    • @hildandumbalo5827
      @hildandumbalo5827 Před 9 dny

      Wamejinyanyasa wenyewe una Yesu brother

    • @hildandumbalo5827
      @hildandumbalo5827 Před 9 dny

      Powerful, tuko pamoja kaka

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 Před 9 dny

      Mwabukusi, Mpina na Katiba Mpya mbona hapendwi???

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 5 dny

      Kwa kweli Kwa Mwabukusi kuwa Rais wa TLS ni tatizo maana Chama hichi ni cha Watu wote wasio na vyama na wenye vyama tofauti!sasa yeye ana Marengo wa kisiasa ulio wazi,sasa Kwa hivyo anaikosesha heshima taasisi hii muhimu ya watu ni vyema hao waliomuengua kufanya hivyo!yeye aungsne na Mbowe na wanasiasa wengine watuelimishe wananchi mambo muhimu ya inchi yetu!❤🎉

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 Před 9 dny +9

    Kwa kweli TLS haipo kwa ajili ya kusimamia haki Hatusikii sauti yao pale wananchi wa nchi hii wanaonewa TLS inataka akili kubwa ya watu kama huyu Mwabukusu kuinyoosha Big up Mwabukusi

  • @Lubango-gj3ud
    @Lubango-gj3ud Před 9 dny +9

    Viva viva Mabukusi, unaitendea haki fani yako ya sheria. Mungu akulinde uendelee kutetea rasilimali za umma wa Taz.

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 Před 9 dny +3

    Yes. Hawa ndio wanasheria tunaowataka hapa Tanganyika. Jamaa anasema, "tutazungumza kwa lugha wanayoielewa hata kwa mkono!!". This is bold and strong statement

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 Před 9 dny +9

    Au mchakato unaendeshwa na mamluki wa serikali ndani ya tls? Huyu Mwabukusi anavyoongea hakuna kifungu alichovunja cha Sheria ya chama.

  • @ceciliamagalabajimmy4391

    Mwabukusi ❤ you. You seem to be working as teachers!! We use our eyes, hands, legs , mouth and the whole body that's why our pupils understand better. No teacher agrees without questioning Why, when, what, which who....Am proud of you 👏 .

  • @GabrielMwampulo-ys4nl
    @GabrielMwampulo-ys4nl Před 9 dny +8

    Ndg Mwabukusi endelea na ujasiri huo huo sisi wenye akili hatuoni kosa lako.wewe unatetea maslahi ya nchi.

    • @SarahAlphonce-q4e
      @SarahAlphonce-q4e Před 9 dny

      Kaka kaza buti kweli tumechoka haki inafunikwa kwa wenye madaraka.

  • @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to

    Hongera sana sana Mwanasheria mzalendo wa kweli.

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před 9 dny +12

    Nyie mtu anaposimamia haki mnakimbilia ukibaraka acheni tabia hiyo kabisa

  • @dennisrwelamira1259
    @dennisrwelamira1259 Před 9 dny +7

    Upewe nafasi yako. Wewe ni mpambanaji. Mara nyingi viongozi hawataki watu walionyooka.

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 Před 9 dny +6

    Tuko pamoja Sana kamanda wetu

  • @paull8659
    @paull8659 Před 9 dny +5

    TLS imebanwa koo ni maccmm. Pole brother Boni

    • @edsonkahesi8603
      @edsonkahesi8603 Před 9 dny

      Kabisa, na hawa ndo wanaoiharibu nchi kwa kuleta viongozi wabovu, wasiojiamini, nakuacha viongozi bora eti ni wachochezi, mara wanamkosoa rais yani kiufupi maciciem hayapendi kiongozi wakuwafumbua watanganyika macho, wanataka raia wengi waendelee kuwa mazuzu, wajinga wajinga ili watawalike vizuri..wakiona kiongozi mwenye vision wanampiga vita, kwa njia zote, kama siyo kumbakizia kesi watampa skendo mbaya ilimradi asipate nafasi ya kuongoza ili waendee kufanya yao.
      Mfano mzuri tuliona walivyokuwa washambambikizia tuhuma za uhaini huyu wakili, mara amevunja sheria kwa kumkosoa rais hadharani, mara unaweza sikia mhujumu uchumi, mara mkwepa kodi, yani ciciem wana uhuni mwingi kwa mwenye kuwakosoa.

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 Před 9 dny +6

    Hayo ni maagizo kutoka juu.

  • @chuguletheodos3342
    @chuguletheodos3342 Před 9 dny +14

    Tuko pamoja mwabukusi ,wewe ni big brain brother

  • @chuguletheodos3342
    @chuguletheodos3342 Před 9 dny +20

    Kwa lissu alivokuwa rais wa tls hakuwa mwanasiasa wa chadema ,acheni ujinga nyinyi mnaopinga hii akili kubwa ya mwabukisi ,

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Před 9 dny

      Hata Lissu alikwamishwa sana Hadi alipotumia mbinu mbadala na kuwahishwa Kwa helicopter mkutanoni!!

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Před 8 dny

      Tena Alikuwa na Kesi kibao, Hawa wamemuondoa huyu Kwa malengo yao

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l Před 9 dny +3

    Nakukubali sana mwambukusi tutafika tu haki huwa haipotei ila inachelewa tu.

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 Před 9 dny +4

    Kwa Sisi watu wa chini tunaamini unabii wa kweli unasimama kwenye ukweli na msema kweli siku zote huchukiwa na ndiyo gharama ya Nabii. Mhe Wakili Mabukuzi Mungu atakulinda kwa kuwa unasimama kwenye haki.

  • @user-gv3bv5cu2z
    @user-gv3bv5cu2z Před 5 dny +1

    Hi. Ni. Kweli. Unasema. Vizuri. Asante. Wambie. Wajijue

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d Před 9 dny +2

    Omba kugombea uraisi chadema mwabukusi unakubarika na watanzania aijapata kutokea. Tunakuomba gombea uraisi chadema

  • @eliyagikaro6426
    @eliyagikaro6426 Před 9 dny +2

    Uko sahihi!asante.

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Před 9 dny +4

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola Před 9 dny

    Mwambukusi napenda honest Yako. Wewe ni Moja ya viongizi "Strong" katika nchi yetu. Huwa una nimotivate sana Mimi katika kusimamia uwazi na haki. Mungu akupe maisha marefu.

  • @fabianmahenge301
    @fabianmahenge301 Před 9 dny +6

    Big up to you brother Mwabukusi........

  • @floraashery224
    @floraashery224 Před 9 dny +1

    Big up sana brother,even though ukweli utasimama hata wakipinga na kukuondoa

  • @georgewambura7695
    @georgewambura7695 Před 9 dny +2

    I am not fear of an army of lions led by sheep, I fear of the army of sheep led by lions

  • @alexlazoro3530
    @alexlazoro3530 Před 5 dny

    Kaka mungu akusimamie tuko pamoja wewe ni mwanasheria wa haki kabisa

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před 9 dny +2

    Mwabukusu mm nakukubal sana wanakuogopa ila mm nina wazo hata kama ww huna naomba lichukue kagombee ubunge mwaka kesho nilijuta sana cku nimekuona green hurt arusha unakunywa chai nikaogopa kuja japo kukulipia kikombe cha chai nakukubal sanaaaaa

  • @ThomasEkama
    @ThomasEkama Před 9 dny +2

    saw saww mwambukusi

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Před 9 dny +3

    Maagizo toka juu, nuru na giza havichangamani kaka# bandari

  • @Siha01TV
    @Siha01TV Před 5 dny

    Hii nchii kila mtu ni mnafkiii mpaka mawakiliii ...mnashimdwa ku saport huyuu jamaa kweli

  • @ThobiasMasabire
    @ThobiasMasabire Před 9 dny +1

    Mungubakuongoze kaka yangu

  • @user-jz1or4mb7q
    @user-jz1or4mb7q Před 9 dny +1

    Mungu iokoe Tanzania!

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Před 9 dny +3

    Kuna kitu kizto kinakuja kutoka mbinguni🎉🎉

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up Před 9 dny +10

    TLS inaelekea kuwa Organization ya kichawa....!!! TLS becoming USELESS 😢

  • @HassanSaburi-ge6ej
    @HassanSaburi-ge6ej Před 9 dny +2

    Shida inaanzia hapo kwanini tuwe na vyama viwili kwenye nchi Moja ? Mali zinazo zungumziwa ni za Tanganyika kweli umuhimu wa katiba mpya unahitajika wanasheria wetu mlitetee hili TAIFA

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Před 9 dny +2

    Uko sahihi sana bro

  • @samsonrusagira5168
    @samsonrusagira5168 Před 8 dny

    Ubarikiwe Wakili Mwabukusi.Kwa kweli TLS wametuangusha Wa tanzania. Panahitajika mageuzi katika chombo hiki Cha Wanasheria

  • @daudigabriel9860
    @daudigabriel9860 Před 9 dny +3

    Haki huinua Taifa 🇹🇿🇹🇿

  • @bonifasmashingia
    @bonifasmashingia Před 9 dny +1

    Ivi Kinjekitile ngwale!.mtemi isike. Mkwawa and other freedom fighters wa Tz wakafufuka leo wakaona hii Tz ilivyo now na maovu yake !Unafikirii watawafanyia nini rulers?? Im not the fool and i cant rejoin with watu wa matumbo yao !! Instead i can work with people who have vision and volunteers and sio watu wakuagalia nini watapata kwa matumbo yao !! NATIONAL INTEREST FIRST THEN OPTIMISTIC PERSON INTERESTE LAKIN SERKALI YA SASA NI PERSONAL INTEREST FIRST THEN NDO INAKUJA LEAST BIASED IMPLEMENTATIONS OF GROUPED NATIONAL INTEREST NA SOMETIMES. NO IMPLEMENTATION ON IT !!OUR LATE FREEDOMS FIGHTER HAWAKUWA NA HII SPIRIT NA HII BAD SOUL AMBAYO MKO NAYO CCM RULERS !!THUS TUKAWA INDEPENDENT UNTIL NOW BUT CCM MNATURUDISHA *10 YA MKOLONI FEW MNATUKANDAMIZA MAJORITY WHY THIS CCM LEADERS??WE AWAITING TO DIE NOW !!PREACH AND practice right !! Tanzania ni mali ya umma na sio ya watu flani flanii!! NO QUITE AGAIN WE WILL SPEAK AND FIGHT FOR NEO CCM COLONISATION UNTIL MY LAST BREATH AND IM RAEDY FOR THAT !!IM WAITING FOR MY DUTIES AND TIME BY NOW!! TANZANIANS DONT SLEEP AGAIN BECAUSE OUR TERRITORY IS NOW BARGAINED AS BRIDE PRICE TO THE FEW FOOL NON ELITES WHILE ELITE WE ARE SEEING IT AND WE STILL SILENT !!,WE NEED HEAVILY PATRIOTIC SUPPORT AGAINST THIS SESSION OF INTERNAL LIBERATION OF OUR COUNTRY FROM FEW DECENT AND MONSTER LEADERS WHO WOUND OUR PROSPERITY AND BROKE THEM WE NEED READNESS OF ALL TANZANIAN WITHOUT ANY REGARDING CRITEA TANZANIAN ELITE AND NON ELITE TO RECONCILIATE AND START OUR EFFORTS OF OUR SECOND nationalization with our common slogan for our future better ness!!mtu msomi ambaye hasaidiii kupushi ustaw na maendeleo ya Taifa lake huyo kwangu ni foool na hafai kuitwa kiongozi wala kusimamia hata usafi wa chooni!!Watanzania wote bila kujali tofauti zetu ni time ya kulikomboa tena taifa letu kwa njia yeyote ile hata ya umwagikaji wa damu kama inawezekana!! Naona sana uchungu pale ninapooona ................hayaendi sawa pamoja na utajiri wa rasilimali tulionao alafu nikiangalia naona maisha ya watu flani hivi waliopo SERIKALIN JINSI MAISHA YAO YANAVYO NAWIRI KWA KUJIPAKULIA WENYEWE HII NATIONAL CAKE YA WATANZANIA WOTE!!!IM REGRET TO BORN IN TANZANIA BUT I WILL FIGHT FOR REEL TANZANIA I WANT

  • @innocent91044
    @innocent91044 Před 9 dny +1

    Bro Achana na hii TLS, Gombea uraisi TLS watakutafuta wenyewe baadae.

  • @dillonfoya
    @dillonfoya Před 9 dny +1

    Wa Tanganyika tunahitaji watu wenye udhubutu kama Huyu Wakili.msomi tatizo la kujipendekeza na uoga kuwafurahisha wateuzi hii dhambi Sasa imefika mpaka kwenye Sheria tutaponea wapi kwa mtindo huu TLS mambo mengi wanayanyamazia hawapigi kelele

  • @renatusikanoni4203
    @renatusikanoni4203 Před 9 dny

    Brother wewe nakuelewa sana. Nakuombeaga sana kwa Baba katika jina la Yesu azidi kukulinda juu ya MAADUI.

  • @ndilibangokaruhawe9335
    @ndilibangokaruhawe9335 Před 9 dny +2

    Ukiwa na utimamu wa akiri huwezi kuiamini TLS

  • @DiscowKajojo-no2up
    @DiscowKajojo-no2up Před 9 dny +2

    Be blessed

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před 9 dny +2

    Ipo siku yote yataisha mambo ya ukandamizaji Kuna watu wanajiona wao tanzania ni yakwao peke yao

  • @ndaskoi8769
    @ndaskoi8769 Před 9 dny +4

    Mkuu tuko pamoja na wewe mpaka waseme

  • @manyarangemgendi4958
    @manyarangemgendi4958 Před 7 dny

    U doing a good job brother

  • @Alute-son2003
    @Alute-son2003 Před 9 dny +1

    Mungu akutunze zaidi kaka

  • @alexlazoro3530
    @alexlazoro3530 Před 5 dny

    Mungu akubariki

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho Před 8 dny +1

    Nenda jimbon ungane chadema ili ungane na jeshi kubwa la chadema

  • @robertsulus7947
    @robertsulus7947 Před 9 dny

    Mwabukusi for president..you have my vote of confidence bro.

  • @user-il8wn9ko9y
    @user-il8wn9ko9y Před 9 dny +6

    sema kaka

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 9 dny +1

    TLS ni kichochoro cha baadhi ya mawakili kunyanyasi wananchi kwa kuuza haki zao. Wanashawishi wananchi kupeleka kesi mahakamani ikifika huko wanakula upande wa pili. Hivyo mwananchi kutumika kama daraja la kuwatafutia ulaji. Mkiona meseji hii waambieni wapunguze njaa wanachafua TLS.

  • @user-gv3bv5cu2z
    @user-gv3bv5cu2z Před 5 dny +1

    ❤❤❤❤🎉

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya Před 4 dny

    Nchi yetu imeoza Kila mahali. Sijui tukimbilie wapi! Haki haki imepotea.

  • @user-gw1df8cf2t
    @user-gw1df8cf2t Před 9 dny +2

    Chama Cha kuwafukuza wamasai

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Před 9 dny +1

    Tunakuunga mkono ❤

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 Před 9 dny +1

    Issue: We, as Africans, must acknowledge that our failure stems from our leaders, who view their positions as hunting grounds rather than opportunities to serve their people.

  • @camilmlay3088
    @camilmlay3088 Před 9 dny +2

    Yuko na we rafiki yetu mpenda haki

  • @ChristianMkumbo-ix2ke

    The Power of God shetani hawezi kushinda

  • @OscarBethel
    @OscarBethel Před 4 dny

    Msema kweli hao mafisadi hawata kuachia kwasaba wanajua wewe ni mwiba kwao ukiingia TLS utwabana wanataka watu wao ndio wakae hapo

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 8 dny

    Mipango ya ccm. Tangu Rugemeleza ameachia ngazi hii TLS imebakia uchi,haina nguvu ipo ki serikali ya mapinduzi zaidi

  • @user-gw1df8cf2t
    @user-gw1df8cf2t Před 9 dny +2

    Wapo wasio penda haki Kama hao wanao kubeza no ma mbwa tu

  • @linogodson6478
    @linogodson6478 Před 9 dny +2

    Tupo pamoja mkuu

  • @EstherMushi-d7v
    @EstherMushi-d7v Před 9 dny

    Thank you role model🫡

  • @RobertMachenga-tz3re
    @RobertMachenga-tz3re Před 8 dny

    Mwabukusi mimi binafsi ninavyoona wewe achana na huo uongozi wa hiki chama kwani ni chama cha kisheria na kinasimamia sheria kwa hiyo wewe hutakiwi tu hata kama utafanya nini. Marehemu spika mstaafu Samwel Sita aliondolewa kungombea uspika kwa nguvu kwa hiyo na wewe umeondolewa kwa nguvu basi.

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar Před 8 dny

    MUNGU ALIUMBA PEPO KWA WATU WEMA TUU🙏

  • @godfreykahabi1964
    @godfreykahabi1964 Před 9 dny +3

    Pambana wakili msomi

  • @JamesFrelimo-rz8ub
    @JamesFrelimo-rz8ub Před 5 dny

    Nakukubari mkuu nipo nyuma yako

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 Před 9 dny

    🔥🔥

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Před 9 dny +2

    Tls branch ya kijani

  • @virendavictoria5174
    @virendavictoria5174 Před 9 dny +1

    Yaan huyu ndio raisi wangu kama hayupo hakuna uchaguzi hatutaki ukanjanja kwenye haki za watu lazima tusimamie haki

  • @ChristianMkumbo-ix2ke

    God bless MWABUKUSI

  • @bmdele5816
    @bmdele5816 Před 9 dny +1

    Mwabuksi,
    You are a big brain brother,
    Keep hiting hard!.. 🔥🔥

  • @bensonjoseph8845
    @bensonjoseph8845 Před 9 dny

    I stand with MWABUKUSI....

  • @rweumbizalugaimukamu4905

    Well done

  • @noellema9109
    @noellema9109 Před 9 dny

    Mungu akulinde ndugu

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9x Před 9 dny

    Kwa kazi unazozifanya wewe huna mpinzani katika uchaguzi huu.
    Ila kiukweli namshukuru sana Mungu kutupa Mtanganyika mhimu kama wewe.
    Itoshe tu kusema Asante sana Mungu kutupa mtu kama wewe.
    Ila Serikali na taasisi nyingine za kimaamzi zijifunze mandamano ya Kenya. IPO SIKU na sisi WATANGANYIKA tutakujafanya maamzi magumu Kwa udhalimu huu unaofanywa siku Hadi siku. WATANGANYIKA wa siku hizi siyo mambumbumbu kama ilivyokuwa zamani. We know white and black.

  • @elickchaula858
    @elickchaula858 Před 5 dny

    NAKUKUBALI SANA MWAMBA IPO SIKU KILA MTU ATAKUELEWA

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni Před 8 dny

    Kwelii kabisa

  • @user-wl5np6sv3i
    @user-wl5np6sv3i Před 9 dny

    Inauma kwa kweli pambana Mungu yu pamoja nawe

  • @RabihuHussein
    @RabihuHussein Před 8 dny

    Nimeamini TLS ni ma mbwa wanaong'ata bila kupuliza. yani wapo kwaajili ya maslahi ya baadhi ya watu.

  • @leajangmwaana8027
    @leajangmwaana8027 Před 9 dny

  • @AlexChawe
    @AlexChawe Před 9 dny

    💪💪👍

  • @user-gz1jy4cf6s
    @user-gz1jy4cf6s Před 9 dny

    Uko sawa comando

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o Před 9 dny +1

    Kaka wamekuona wewe unakubalika na ungechukua kiti asubuhi na mapema.

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 Před 9 dny

    Hahahaaa..kosa la maadili au tishio kwa maslahi ya waweka pingamizi?
    TLS iachwe iwe huru..kwa maslahi ya wananchi!
    Rufaa ni tata..ni kwa nia mbaya, kumlenga mwanasheria Mwabukusi!
    Hakuna maslahi ya umma kumkwamisha Mwabukusi!
    Hakuna mwananchi mzalendo yeyote asiyekuunga mkono...ushindi wako ni wa uhakika!

  • @innocentmbunda736
    @innocentmbunda736 Před 9 dny +1

    Tupo pamoja counsel

  • @user-sp2pp9yl8g
    @user-sp2pp9yl8g Před 9 dny +1

    Hutakiwi Kahubili Dini ya Kuokoa watu

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 Před 9 dny +1

    Hawa tls tuseme wote wapo kwenye serikali? Wanasimamia Sheria au serikali na viongozi wake.

  • @husseynzooh1979
    @husseynzooh1979 Před 9 dny

    ✌️🔥

  • @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to

    Hongera sana.

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni Před 8 dny

    Hoyeeeee sema kweli mwanashelia

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 Před 9 dny +1

    Nyie ndo mnajiita learned brother and sisters ovyoooo, bringback Fatuma and Lissu..

  • @bonifasmashingia
    @bonifasmashingia Před 9 dny

    ❤❤

  • @ambokileasheengai1140

    Chombo kimoja tu kilichobaki vcha Watanganyika vingine vyote vimeporwa na Tanzania

  • @ramsomnanka8688
    @ramsomnanka8688 Před 9 dny

    Mwambukusi umeongea vitu muhimu sana ambavyonimekua najiuliza TLS Iko likizo au imetekwa na watawala, na genge la watu wachache,

  • @emmanueltillya2017
    @emmanueltillya2017 Před 8 dny

    TLS Mjibuni wakili mwezenu.Taifa letu lina changamoto sana.shida ni ndio mzee nyingi.simameni .Tunaitaka TLS ya kina Fatma Karume na LISU .