MAPYA YAIBULIWA "MSIGWA HAFAI CCM, SGR TUMEPIGWA BILIONI 700, TUNADANGANYANA TANZANIA SIO SALAMA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 164

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem +15

    Tukiondoa tofauti ya vyama, sisi sote ni watanzania, Serikali itoe tamko tusitekane kwa itikadi tukajenga visasi vya kiitikadi kati yetu. Kwa kuwa watekaji ni watumishi wa serikali ya ccm, Na watekwaji ni watu wa vyama vya upinzani, Serikali iliondoe hili kwa kauli thabiti ilihutubie taifa na kupiga marufuku vyombo vya usalama kuteka wananchi,ili raia tuamini kwamba hakuna mkono wa serikali katika utekaji. Serikali ikiendelea kukaa kimya na kugeuza utekaji kama mambo ya kisiasa kuna hatari kubwa ya kuwafanya wananchi kutekana kati ya wanaoteka,na wanaotekwa.

  • @user-kd3mk4to2h
    @user-kd3mk4to2h Před měsícem +4

    Kiukweli anachokieleza kiongozi huyu wa chadema nakiona kuna mantiki na Mungu anajambo la muhimu na nchi hii .Mungu tunusuru na ukatili unaofanywa na watu wasio na hofu ya Mungu . Inusuru nchi hii katika wimbi la siasa ya uhasama tuwe pamoja na viongozi watende haki. Kuwe na hofu ya Mungu waache uovu

  • @gracefoya4609
    @gracefoya4609 Před měsícem +12

    Kweli unafaa sana kuwa msaidizi wa Tundu Lisu. Hongera sana . Nami naitamanj hiyo Tanzania unayoelezea . Mungu akupe maisha marefu uioe hiyo Tanzania "mpya"

  • @brightergermanus2163
    @brightergermanus2163 Před měsícem +3

    MUNGU TU NDIYE MLIPA KISASI WA KWELI NA ANAYESIHILI. MLILIENI MUNGU NA KUMUOMBA AWALIPIYE KISASI AMINNI. KABISA MUNGU ATASHUKA NA KUWAPIGANIA ANASUBIRI MUMUOMBE TUUUKWA JINA LA YESU KRISTO AMIN AMIN

  • @waziradam2794
    @waziradam2794 Před měsícem +5

    Asante sana David. What goes around comes around. Watch your back pl’se. You have entered enemy territory!

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem +7

    😢😢😢HIVII HUYU ALIYEIPITISHA KATIBA HII MBOVU ALITUTAKIA NINI SISI WATANGANYIKAA😢😢

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 Před měsícem

      Nyerere na wakina piusi msekwa na jaji warioba ingawa toka zamani sasa warioba anaipinga anaiona sio katiba ya kwendana na maisha yasasa ukizingatia tuko mfumo wa vyama vingi ila majambazi wachache wenye uroho wa madaraka ili waendelee kuneemeka na familia zao

    • @solomtz7049
      @solomtz7049 Před měsícem

      Brother tumeingizwa cha kike, halafu huyu mtanazaji ni ccm kabisa

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l Před měsícem +3

    Raisi ndiyo anaye asisi hayo mambo huyo jamaa anaongea nini???
    Punguzeni ujinga watanzania tuchukue hatua

  • @user-kd3mk4to2h
    @user-kd3mk4to2h Před měsícem +1

    Hongera sana David Jumbe mungu akulinde fumbua watanzania akili na mawazo.amina

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Před měsícem +2

    Mchakato wa kuchukua form Mwaka 2020 ulikuwa wa hatari sana. Ule mshike mshike haukua wakitoto

  • @paull8659
    @paull8659 Před měsícem +18

    Kuna haja ya kutumia nguvu kuindoa CCM milele.

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před měsícem

      Haya tangulia tukuone

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před měsícem

      ​@@walidmgonja3644Bila shaka wewe unafurahia sana yanayofanyika

  • @user-fw8bk3bc2p
    @user-fw8bk3bc2p Před měsícem +8

    Itakuwaje Kama mahojiano haya yapewe nafasi kwa vyombo vyetu vya habari Kama TBC,ITV nk

    • @ayoubmtumishi50
      @ayoubmtumishi50 Před měsícem +1

      😂😂😂 haaa haaa hatari

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk Před měsícem

      TBC tv ya CCMO waweke hayo madini thubutu hasirani haito wezekana b !

  • @Hemedmikole-r9e
    @Hemedmikole-r9e Před 19 dny +1

    Mi nashangaa sana selikali ya ccm wanaona wao wapo juu ya shelia watambue yana mwisho haya

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před měsícem +2

    Pelekrni.umoja.wa.mataifa.utekaji.watu.tanzania.ikome.hili.jambo

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Před měsícem +4

    Kweli kaka nchi yetu imekuwa siyo seemu salama ya kuishi

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem +4

    WELL SAID KIONGOZI

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s Před 21 dnem +1

    Ni kweli majambazi hayo. Na ndio maana yanang'ang'ana ni ktuibia tu. Na mafisadi kweli

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před měsícem +5

    Upo vizuri sana ndugu hata tukae IPO siku watanzania watakuja kujitambua

  • @user-kd3mk4to2h
    @user-kd3mk4to2h Před měsícem +3

    Huyu kiongozi ana uwezo mkubwa sanasana wa kujieleza na ana uwezo wa uongozi Mungu ampe uzima,afya na waendelee kutujenga wananchi kwa imani kubwa bila kuteteteshwa na kuyumbishwa

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d Před měsícem +2

    Msigwa roho fisi tu yule mwendawazimu.

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru Před měsícem +3

    Mwandishi huyu safi sana anafaa kuwa CNN BBC

  • @meiruzibwe9145
    @meiruzibwe9145 Před měsícem

    Waaooh
    Ahsante kwa kufikisha ujumbe.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před měsícem +2

    Wadau acheni huu msemo wa kusema Tz ina amani, hakuna mwenye amani, Tz kuna uvumilivu tu na sio amani , elewa amani inatoka moyoni, tofautisha amani na utulivu ndio mseme tz ina amani, tunahitaji katiba mpya mchana kweupe.

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Před měsícem +6

    Upo sahihi kabisa jino kwa jino

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Před měsícem +5

    Ccm mnasikia hata nyinyi mnauzwa .hasara inayo patikana wote mtalia tena sana tena watekaji ni watanzania tumejisahau mfano munyampara akiwa jera anajiona yeye siyo mfungwa.anapiga wenzake anapewa buti mkanda sare anajiita mimi munyampala. Hivohivo mnatuteka mnasahau kuwa tunapigania haki zetu sote kuna siku mtakumbuka

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 Před měsícem +3

    Kwa taarifa yako juma huyo unaye msema tutamkumbuka kwa kuuza aridhi na mali zetu kwa waarabu hilo tu ndo tutamkumbuka nje na hapo hatokumbukwa kwa lolote hivyo usimfariji

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 Před měsícem

    Safi sana kiongozi alafu ndg mwandishi umeshindwa kweli kuweka picha yetu ya treni umeweka treni ya kenya inamana umekosa picha kweli

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o Před měsícem +7

    Kaka kweli unaongea Kwa hisia kali.unachoongea ni ukweli kabisa watanganyika tutasafa sana.

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 Před měsícem +1

    Yetu macho, karibu nahamia Zanzibar jamani. Kwani Kumenoga sana, Bara mhmm!!!

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 Před měsícem +1

    Tanganyika na Zanzibar ziliungana na kutengeneza jamhuri ya Muungano wa TANZANIA badala ya kutengeneza kitu inaitwa Muungano wa Jamhuri ya Tanganyika na Zanzibar

  • @hadrianmlelwa9599
    @hadrianmlelwa9599 Před 17 dny

    Anafaa sana.

  • @shabanadam4476
    @shabanadam4476 Před měsícem

    Excellent conversation congratulations and big respect 🙏

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l Před měsícem +1

    Nyie viongozi fanyeni kazi ya kuunganisha wananchi wataingia barabarani bila kuwahitaji nyie wakipata elimu vizuri.

  • @jarnskorelly464
    @jarnskorelly464 Před měsícem

    Kweli uko vizuri unacho sema ni kweli😢

  • @user-kd3mk4to2h
    @user-kd3mk4to2h Před měsícem +1

    Duuuu viongozi wa chadema wana akili kubwa mungu wanasuru na mabaya eawafumbue wwnanchi mawazo waweze kudai haki zao jmn kuna ukweli nausikia hapa unaogopesha

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 Před měsícem +1

    Viongozi wabaya wataziponza familia zao vizazi vijavyo vitapata taabu mno wafurahie tu ujinga wawazazi wao ila watalipa tu aminini ipo siku

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 Před měsícem +3

    Kwili ni usalama bandia

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 Před měsícem +2

    Msigwa amesha toboa madudu yenu ya Chadema ni Saccos tuuu mbona Mbowe anawaibia munamuacha tuu😂😂

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před měsícem +2

      Kaiba nini,unaacha kupinga ufisadi unaosababisha kukosa huduma muhimu kama maji na barabara unahangaika na visenti vya upinzani

    • @user-pp1cq9op5y
      @user-pp1cq9op5y Před 10 dny

      Madudu gani msigwa anomba huruma ccm chadema haijawahi shika dora tunaishi kwa michango yetu

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Před 19 dny

    Acheni kuikosowa serikari takatifu ni watu wazuri sana nyinyi mnatukana viongozi.

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 Před měsícem

    MASAOUNI ,Dr.MMWINYI ,NCHIMBI, LUGOLA,hayo yakuppewaa,Sierro, waliopewa posti hizo ,nichai kwao na CCM ,HONGERA YA Mwinyi kwa kazi Nzuri za kuwalpua WAUWA MSHO ,salipewa URAISI ZNZIBA ....
    CCM OYEEEEEEEE

  • @efremmwalongo828
    @efremmwalongo828 Před měsícem

    Safi sana bro

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Před měsícem +2

    Wacha ubwege ccm hawana inchi wewe bwege bandali hukumbuki masai wanapata shida wewe unaona vema. Tozo za umeme zimeongozeka ccm mnabariki

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem +3

    HATUKO SALAMA

  • @PietroPescatore-b3g
    @PietroPescatore-b3g Před 29 dny

    Je, wawekezaji wa kisasa wanaweza kuteua serikali waitakayo wao 2025?

  • @ezekielmadindula2679
    @ezekielmadindula2679 Před 26 dny

    Wenyeviti wa mitaa ni tatizo sana

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před měsícem

    Upigaji mkubwa sanaaaa yaani mnavyotuammbia sisi wananchi tunaumia Sanaa.

  • @TeamKRX
    @TeamKRX Před měsícem

    Nina asili ya Kiarabu Ila daah hawa watu Naona samia anajiona muarabu Sijui Hawajui Nash’angaa

  • @IssaJohn-kk8pb
    @IssaJohn-kk8pb Před měsícem

    Kweli mwenzako akimwaga mboga wewe mwaga ugali uko vizuri sana

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n Před měsícem +1

    Hiyo Ndio Dawa Ya Kuiondoa Ccm Atakae Usika Kumuengewa Mgombea Yoyote Wa Chadema Asibakishwe Tumechoka Kufanywa Wajinga

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u Před měsícem

    KuiondoaCCM kama mtajiwenu eti Lisu nikupigwa risasi.. hiyomtafute kazinyingine ikulu wanaingia kwamtaji wakuiteka nguvya umma mujitafakari napropoganda zakufikirika itawachukua hatakarne moja bilskuchukua dola Houston utani.

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d Před měsícem

    Watekaji wanafahamika ni wale waliotajwa na Mh. Benson

  • @meyasadavid9801
    @meyasadavid9801 Před měsícem +1

    Atugombei urais kwa hisia ndugu

  • @user-us4tk2tk3c
    @user-us4tk2tk3c Před 29 dny

    Hana jipya huyo kiongozi, ana akili ya kitoto sana. Matope mtu. Hana suluhu ya tatizo bali ni mkuzaji wa tatizo na uchochezi. Kazi kuponda wenzie tuu, Suala la utekaji ni siri kubwa na hilo halina vyama maana hata CHADEMA kunamafia watekaji rejea maelezo ya Dr. Slaa aliyekuwa Katibu mkuu CDM ya ukili kuwa kulikuwa na Utekaji ndani ya CDM.

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 Před měsícem

    Sema Ukweli Wote.Nchi Inauzwa Tukiwa Tunaona.SGR Akili Za JPM.

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru Před měsícem

    Na mjibu maswali yuko vizuri mnooo

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Před měsícem

    Ndugae alishasema Mama anauza Tanganyika japo hata yeye alikuwa shetani nusu malaika na sasa yanatimia Mama kizimkazi anatuza tukiwa na Mgovi yetu ya bara!

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před měsícem +1

    Maneno mengi hayasaidii kitu.

  • @user-mo3ik6go6r
    @user-mo3ik6go6r Před měsícem

    Rooo yangu hinauma sana

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m Před měsícem

    Hii ni akili kubwa kiukweli nchi miaka 70 tunajadili ujenzi wa kiwango cha lami ambayo inaangusha magari hovyo mno... ni hatari sana

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Před měsícem

    jino kwa jino😂😂 eti wakimuengua wa chadema nao wana muangua wa ccm😂

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b Před měsícem

    Unamuigizia Salim kikeke , hapo ndio mnafeli

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda Před měsícem

    Akili kubwa

  • @johnfani9380
    @johnfani9380 Před měsícem

    Bora kupigwa Kuriko visionekane kabisa

  • @mtewelemtewele0260
    @mtewelemtewele0260 Před měsícem +2

    Nimetokea kumpenda huyu mwamba anajuwa kujenga hoja ila bila kumsahau mtangazaj yuko vidhur

  • @patricklameck2425
    @patricklameck2425 Před 29 dny

    Unaongea bila ushahidi unaropoka tu. Wewe hata baiskeli ya miti umekwisha wapa wanachi. Watu wanafurahia SGR wewe unapenda. Ufai hata ubalozi wa nyumba 10.

  • @gracefoya4609
    @gracefoya4609 Před měsícem

    Nimekuaminia Mwanachadema imara. Usije kutuangusha kama Msigwa, amejiaibisha mwenyewe. Mungu akuimarishe na kukulinda kijana wetu. Hawapendi kusikia maneno kama yako.

  • @bonifacekalima5273
    @bonifacekalima5273 Před měsícem

    Huyu bwana ana faa kuwa mwalimu wa jukwaa la siasa,,hata majibu yaake yanatunzinka akilini

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Před měsícem +1

    Huyo mtangazaji ni chawa

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 Před měsícem +1

    Lissu ndiye kiongozi aliyetupotezea viti vya ubunge awamu yake akiwa mgombea wa Urais chadema tulianguka kwa 100% hatumtaki 2025

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před měsícem

      Kwa wizi kura ilikuwepo? Acha mnafiki.

    • @waziradam2794
      @waziradam2794 Před měsícem

      Nadhani weye ni fala upinde au both!

    • @floraashery224
      @floraashery224 Před měsícem

      Wewe boya

    • @erestizacharia4758
      @erestizacharia4758 Před měsícem

      Viti vilivyopotea Ni vya mamako, ulikuwa hujui kilichotokea?

    • @simonsadala2386
      @simonsadala2386 Před měsícem

      @@erestizacharia4758 🤣🤣🤣🤣🤣 umejaaa kwenye 18 nachokijua ni kwamba 2015 Mzee Lowassa alikisaidia Chama kupata viti vingi vya wabunge na madiwani lkn 2020 Lissu akatupotezea majimbo yoteee

  • @efremmwalongo828
    @efremmwalongo828 Před měsícem

    Endelea sana kutupatia elimu watanzania

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před měsícem

    Watu wanatekwa, mkuu wa dola kimya, alafu uzur kashatuambia atakuwa chura, ndio maana kila janga abakaa kimya, arusha na mapikipiki yaliotokea , yeye kimya, eti mnasema tuna amani, wenye amani ni wanaokula nchi kwa kufuru ,

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před měsícem

      Acha umalaya na kudanga,fanya kazi uachane na kulalamika mitandaoni

    • @mayrfrimi4759
      @mayrfrimi4759 Před měsícem

      @@walidmgonja3644 kakojoe ukalale

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d Před měsícem +1

    Acheni uongo nyie kila siku tumeibiwa kila siku tumeibiwa elezeni bac namba tulivyoibiwa hamna maelezo

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru Před měsícem

      @@user-vl4rz6lf6d yaani kama hujui tumeibiwa tembelea migodini nani wamiliki nenda Loliondo na kifaa utambuzi kitakuambia uko katika ardhi ya Emirates nenda bandarini utamkuta DPW misitu si yetu ni ya wageni nyumba za serikali ziliuzwa kwa bei ya bure waliozinunua wameziuza kwa billions gas si yetu ingawa iko nchini yote aliyoacha Nyerere tumeuza au kugawa bank kubwa ya NBC iliyokuwa mpaka vitongojini tuliiza kwa billion moja upo Tanzania na huyajui haya tuko mbioni kuuza mwendokasi subiri nawe uuzwe ndiyo utavuta shuka kumbe kumekucha

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 Před měsícem

      Wewe unajua jiinsi gani wizi unavyo fanyika halafu unataka kusema watu wakwambie!!!!!

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 Před 17 dny

      Ukiwa kwenye mfumo wa huo wizi na ubadhirifu wa pesa za wananchi na kuuza rasilimali za Tanganyika, huwezi jua wizi unafanyikaje! Lazima ujitoe akili tu! Ila siku za Mungu zinakuja hao mafisadi, majambazi, majangiri, majizi ya rasilimali za Tanganyika yatalia na kusaga meno! Ngoja wananchi waendelee kupata Elimu kama hii vizuri.

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před měsícem

    huyu mtangazaji waajabu kweli..anakaa na kutoa interview lakini yuko anachat na watu. kwann lakini?

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 Před měsícem

    Lakini hao mnao wasema polisi wako busy kukamata wadangaji.

  • @SeveriniPeterMkini
    @SeveriniPeterMkini Před 28 dny

    Hesabu ya umbali kutoka DSM kwenda kokote nchini, umbali huanzia CLOCK TOWER jirani na Railways-Police-Station

  • @brightergermanus2163
    @brightergermanus2163 Před měsícem

    TATIZO LENU NI KUWEKA WAZI MBINU ZENU NA MIKAKATI YENU YA SIRI . MSITANGAZE HADHARANI MIKAKATI YENU. BALI IWE SIRI YENU ILI WASIJUWE NA KUPATA MBINU YA KUWADHIBITI

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 Před měsícem

    Usifiche family yako ccm haina hofu kama cdm njoo tz sio kenya.

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s Před 21 dnem

    Au utekwe

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem +1

    Wananchi hilo tunalijua kwamba Lissu alipita lakini mwenendo wa ccm na serikali yake 2020 ulikua mbaya sana wa kuvunja katiba na sheria za uchaguzi ikatwaa ushindi nchi nzima kwa nguvu ya dola! Na sasa bado aliyeingia kwa hisani ya kikatiba nayeye amekataa maridhiano ya kuundwa upya kwa tume huru ya uchaguzi,na kuzuia katiba mpya ya wananchi. Lengo la serikali hii kwa watanganyika ninini?!

  • @philimonndinadyo2120
    @philimonndinadyo2120 Před měsícem

    Kunawatetezi wawa Rabu hivi wemwislaam unaweza kupewa hata mita moja ya ardhi huko arabuni mbona mnakuwa wajinga ooh ubaguzi wa kidini Samia akawape shamba lake si ardhi yetu

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 Před měsícem

    Hakika Hilo nani naliunga mkono wamezidi wahuyo hão wa ccm

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Před měsícem

    Acha tupigwa gawa kwa wtz miion 67 vijisent

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 Před měsícem +1

    Sio kweli nakufuatilia maongezi yako. Endelea
    Tukusie roho inauma nakutani CDM hoyeee

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 Před měsícem +2

    Djumbe ni Mwamba wa CDM Singida kzkazn tunajivunia

  • @AlphaBarageti-ru5xj
    @AlphaBarageti-ru5xj Před měsícem

    Msigwa ambaye ni mchungaji falsafa yake ya kusema waamini wake wakitenda dhambi zinazotendwa na wafuasi wa shetani , atamkubali shetani na ataamua kuwa mfuasi wa shetani . Hakika limenishangaza . Sasa anasubiru apewe kazi ya kumtakasa shetani aliyempinga. Yetu macho na masikio tuuone huo utakaso wa kumtakasa shetani

  • @fidelnkurunziza
    @fidelnkurunziza Před měsícem

    du nihatari kwakwel bora mngu ajetu hikikizazi kifutwe kije kingine mana inauma mutu uriye mpa madaraka anarudi kukuuwa

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 Před měsícem

    Wee mwandishi acha ujinga wako unaotaka Miami isha waTanganyika. Uchumi ukishanyang' anywa utasafiri na nini esse?

  • @DamaryMkindi
    @DamaryMkindi Před měsícem

    WAELEZENI WATANZANIA SGR TUMEPIGWA JE BILION 700

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n Před měsícem

    NIKIFANIKIWA KUFUNGUA KITUO CHA REDIO HUYU MTANGAZAJI HATAKUA WA KWANZA KUPATA KAZI YANI JAMAA KM SIO MTANGANYIKA BONGE LA MTANGAZAJI MAOJIANO HAYA AYAWEZI KUFANYIKA TBC ITV AU KITUO CHOCHOTE TANGANYIKA MIDIA ZOTE. TANGANYIKA ZIMENUNULIWA NA CCM WATANGANYIKA WOTE TUNAJUA

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před měsícem +2

    Hata kama mngefanya jpm alikuwa hashikiki,mtu wa haki yule mabwege nyie acheni angalieni Sasa iiiiiiiiiii nchi imeenelea ngoringoro wanyama wanastarehe,na bandari inaingiza trilioni kumi Kwa wiki ,mama anafanya kazi,samia oyeeeeee

  • @feruzyjuma
    @feruzyjuma Před měsícem +1

    Ujinga Tu,,,mbona hamuiangushi serikari mbovu

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před měsícem

    Watekaju ni CCM. U must forme young TZ..

  • @djumakonki1964
    @djumakonki1964 Před měsícem +2

    😮😮😮Hatari !!!
    Ukisikia mtu anawataja waarabu ujuwe hapo kuna ubaguzi wa kidini !
    wazungu na nchi zao wanaitwa kwa jina la wawekezaji !
    Hakuna kitu kibaya kama ubaguzi wa kidini.
    wakati uliopita Hakuna mtu alieruhusiwa kuongea.
    kaja kiongozi mwingine na kuruhusu haki ya kujieleza sasa maelezo yenyewe ndiyo kama haya tunayoyasikia.
    Wananchi wa Libya hivi sasa wanakumbuka Rais Gaddafi.
    watanzania au Watanganyika epukeni sana maneno ya kueneza chuki na ukabila! mtakuja kujuta na kumkumbuka huyu mama Rais samia suluhu Hassan.

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 Před měsícem

      Afadhali wao wanaitwa waarabu wazungu wanaitwa mabeberu.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před měsícem +1

      Kwani warabu ni dini? mbona kana hujitambui wewe mwarabu anaitwa mwarabu kwa uarabuni wake mzungu anaitwa mzungu kwa uzungu wake usiingie dini hapo kama ni dini hata wazungu wana dini lkn wanatajwa wao kama wao na si dini yao, hivyo acha uchochezi

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 Před měsícem

      Aah hovyoo. Wewe jumakadege umefanya utafiti gani kuhusu ubaguzi wa kidini? Uarabu sio Uislamu,na uislamu sio dini ya waarabu bali uislamu unatumia lugha ya kiarabu kufundisha! Je,tumewekeza uarabuni kama waarabu wanavyowekeza kwetu kwa mikataba isiyo wazi? Tafakari

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před měsícem

      Warabu wenyewe sikuiz huko uarabuni wanabadili dini kwa kasi wanaingia kwenye ukiristo wewe bado umebong'aa na uislam tu, kalaga bao

    • @ritchiemuta1092
      @ritchiemuta1092 Před měsícem

      Maandishi ni yako yamejaa udini hakuna jipya hapo mwl nyerere alijikinga na ulanguzi WOWOTE lkn maamuzi yanayayofanywa bila kufuata katiba ni kwa kujinufaisha hivyo waarabu wamekuwa bora kuliko wamaasai ni kwa ajili ya dini

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před měsícem

    Lisu hatafanikiwa kabisa asipoteze

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před měsícem

    Tunakurisha.mm.kwetu.mi.ma.mkanana..milimami

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před měsícem +1

    Endelea na uchawa wa ccm IPO siku

  • @knight6757
    @knight6757 Před měsícem

    🤑....

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 Před měsícem

    MBONA MLISEMA HUYU MAMA ANAUTAWALA BORA?

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Před měsícem +1

    CHADEMA tafuteni kazi ya kufanya hii nchi hatuwezi na wala hatutakubali muiongoze tena hatutakubali.. CCM oyeee

    • @albinusmkono5887
      @albinusmkono5887 Před měsícem +1

      Chawa mkubwa hujitambui Kibaraka mkubwa. Ondokana na mambo yakukariri wewe said ally

    • @user-ih1pk1vs4q
      @user-ih1pk1vs4q Před měsícem +1

      Wwpumbavu😊

    • @user-ih1pk1vs4q
      @user-ih1pk1vs4q Před měsícem

      Tatizo la nchi yetu uongozi itatuchukua muda mrefu sn kujikomboa mpk tupate kiongozi mwenye hofu ya Mungu toka uhuru hatujapata hivyo bado safari ya watanzania ni ndefu sn

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před měsícem

      Shida uchawa. Wezi wa magoti mkono. Huoni aibu?

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před měsícem

      Magoli si magoti

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 Před měsícem

    Kwani waarabu ninani kwenye nchi yetu wewe juma hao waarabu wananchi zao sisi hatuwahitaji hapa kwetu Tanzania wao sana nchi wana rasilimali zao hivyo kuwa taka waarabu sio udini bali ni kwa ivamizi wao na kutuibia rasilimali zetu wakishirikiana na viongozi wetu wadio na uzarendo wala utu juu ya taifa hili hivyo kuwataja waarabu sio udini kwanza toka hapojuma nanda uarabuni

  • @eliewardeneliewarden4069
    @eliewardeneliewarden4069 Před měsícem

    Nyinyi wachaga hamtapewa nchi munamipango ya kuharibu nchi endeleeni kuwa watoa taarifa.