KIJANA ALIYEAMBIWA ATAONDOKA NA MKUU WA MKOA ASIMAMA BILA UOGA NA KUTOA HOJA KWA CHALAMILA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 508

  • @Daudifm5800
    @Daudifm5800 Před měsícem +182

    UYU KIJANA NDIO ANGEKUWA MKUU WA MKOA ,KWA SABABU ANA HEKIMA NA BUSARA TUNAOKUBALI GONGA LIKE❤❤

  • @msafirihaule9921
    @msafirihaule9921 Před měsícem +122

    Tunahitaji kuwa na vijana wenye jeuri ya kujenga hoja, mithili ya huyu. Kudos...

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 Před měsícem +4

      Siyo jeuri ni muelewa

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před měsícem

      Si jeuri huyo bali anajiamini, ujeuri maanayake ni ujinga ? mkemevu wa vitisho

    • @user-fx1er4rq3f
      @user-fx1er4rq3f Před měsícem +1

      Tatizo haujui biashara chalamila alichokise Yule bwana ndio biashara sio ww huo ni ubabe

    • @AgnesEphraim-jw6dv
      @AgnesEphraim-jw6dv Před měsícem +3

      ​Chalamia anajua kujibu jeuri tu lakini kakutana na kamanda mzoefu nayejua kuzungumza uyo kasoma lakini Tanzania yetu aina ajira kaamua ajiajiri mwenyewe

    • @justardzelphine6526
      @justardzelphine6526 Před měsícem

      Waliharibu ule utaratibu JPM

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Před měsícem +100

    Huyo kijana ni tajiri wa kesho anajitambua sana

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr Před měsícem +19

    Huyu kijana ni zaidi ya mkuu wa mkoa.
    Hongera kwa hoja zenye mashiko na ujazo wakutosha🎉

  • @mwangosikennedy9643
    @mwangosikennedy9643 Před měsícem +75

    Dah jamaa kaongea kijasiri sana japo Chalamila anamuuliza kwa hali ya utisho, safi sana kamanada umewakilisha jamaa

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 Před měsícem +1

      Lipumbavu hilo sijui lina jambo gan na rais hadi kulipa nafas kama hio kama ni uproffesor wapo wengi sana wenye PHD + hekima. Na uongozi sio elimu. Ni hekima chunguza makonda anavyoongoza kwa akil na busara. Sio hii takakata hapa. Especially kwa mkoa mkubwa kama dar

    • @BabaFarzan-ml4er
      @BabaFarzan-ml4er Před 29 dny +2

      Si ndio zao Kenge hao
      Mawazo yao ni WTZ wa Nyerere bado wapo
      This GenZ

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 Před měsícem +28

    One love Brother ulicho nifurahisha mpaka kikao kimekwisha sija sikia majibu yako
    Hiyo nondo umepiga kwenye kipanda uso Kaka ww ni Machinga number one💪🏽🙏🏼😜

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před měsícem +20

    BRAVO KIJANA....UMEZUNGUMZA KWA WELEDI NA HESHIMA KUBWA....MH. MKUU WA MKOA UNATAKIWA UTAFAKARI SANA MANENO YA HAWA WAJASIRIAMALI....MH. RAIS SAMIA PELEKENI HIZO KARAKANA NJE KIDOGO YA KATIKATI YA JIJI....KWA MFANO NJIA YA KBAHA....NJIA YA KILWA....NJIA YA BAGAMOYO!

  • @emazjassam2452
    @emazjassam2452 Před měsícem +57

    Jamaa ni smart sana

  • @nelsonngemera9832
    @nelsonngemera9832 Před měsícem +13

    Mungu ambariki huyu mfanyabiashara kaongea vizuri sana..

  • @raphaelnambombi3709
    @raphaelnambombi3709 Před měsícem +43

    Huyu kijana anaakili sana kusimama mbele ya watu wengi hivi tena mbele ya uongozi wa mkoa na kwenye mgogoro na kuweza kuongea pointi zilizonyooka siyo kazi ndogo

  • @mossessimon2493
    @mossessimon2493 Před měsícem +16

    Kijana yupo very composed and calm kwa kweli.. smart guy!

  • @Topcentclassic
    @Topcentclassic Před měsícem +9

    nikimsikiliza jamaa ni kama fred vunjabei kwa sauti hata mpangilio wa maongezi yake .....safi sanaaa

  • @AmanNdalu-m7q
    @AmanNdalu-m7q Před měsícem +8

    Kuna muda viongozi huwa wanaongea kama maisha ya chini ni Jadi yetu but Mungu awape maisha marefu

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Před měsícem +13

    Huyu mwamba ameongea kitu kikubwa sana big up

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +23

    Kijana hongera sana.kwa pamoja tujenge Tanzania yetu kwa uzalendo mkuu.

  • @user-ph8ln3vd6n
    @user-ph8ln3vd6n Před měsícem +19

    Hongera ssaana kijana ,umeongea kimantiki sana, tathimin ifanyike kila mmoja apate stahiki zake za kufanya biashara na serikali ipate kodi yake

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před měsícem +62

    Hongera sana kijana umeongea kwa busara. Kiukweli mkuu wa mkoa chalamila umekosea sana kuwatusi Wanabchi

  • @EliaoniTerry
    @EliaoniTerry Před měsícem +84

    Huyu kijana kama ukimtizama na kusoma body language unaona aliumia sana kwa jeuri na vitisho vya mkuu wa mkoa, lakini mungu akamuwezesha kushusha hasira yake na kutoa maelezo ya kimantiki, kama serikali haitajifunza kuanzia mipango yake kwa kushirikisha watu wa ngazi za chini itakuwa inazusha tafrani isiyo na msingi na pengine kuhatarisha amani. Sikia maelezo ya kijana yalivyoonyoka. Serikali iache kutumia mabavu kila mara. Inaonekana eneo hilo viongozi wake na wengi wa wanao fanyia biashara hapo wameelimika vizuri sana anzia mwenye kiti wao.

    • @geofreychitamu366
      @geofreychitamu366 Před měsícem +10

      Huyu kijana ndiye alipaswa kuwa mkuu wa mkoa na mkuu wa mkoa kwa jinsi alivyojaa jazba alipaswa kuwa huyu kijana.ila walio madarakani hujisahau kwa kuwa wanajivunia mamlaka,polisi,tss nk.

    • @gasperymisungwi960
      @gasperymisungwi960 Před měsícem +5

      Kijana kavaa busara ya kiwango cha juu sana, hata hivyo IQ yake ipo juu pia, utulivu ni kitu cha msingi sana. Viongozi wengi hawapend kuwa challenged wakiamini kwamba wao tu ndio wanauwezo, busara na hekima nyingi! The opposite is true

    • @KarumeKindamba-lk1px
      @KarumeKindamba-lk1px Před měsícem +2

      Ongela kijana maelezoyako yametulia na umeonyesha wamachinga ni jamii inayoweza kutoa Kodi.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před měsícem +3

      Kweli Mkuu wa Mkoa anapayuka kama kachanganyikiwa, sidhani kama mtoto wake anaweza kuongea nae kwa style hiyo.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před měsícem +3

      ​@@gasperymisungwi960Mtu yeyote Mpumbavu huwa hapendi kuambiwa ukweli

  • @SarapiaMfoi
    @SarapiaMfoi Před měsícem +29

    Hongera sana kijana wangu una ujasiri uliopitiliza sikuamini kama ungeweza kuongea point kwa ujasir hivyo ubarikiwe sana mond

  • @boazikibuyu7457
    @boazikibuyu7457 Před měsícem +14

    Chalamila afai kua kiongozi wa wananchi labda kiongozi wajeshi Tena wakati wa vita 😂😮😮😮

  • @yapukahassan
    @yapukahassan Před měsícem +28

    Huyu chalamila hata akipewa ualimu wa shule ya msingi anaweza ua watoto wetu kwani anahasira sana hvyo hafai kabsa kuongoza hata kuku

  • @johnmaganga44
    @johnmaganga44 Před 29 dny +5

    Jama yupo vizuri kwenye kujenga hoja na ana hekima kwa sabubu ana taarifa za kutosha kuhusu eneo husika na anaonekana amesoma na pia Anajua kujielezea na ameongea kwa Tone Nzuri Sana
    Big up sana Bro👊👊👊👊👊

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d Před měsícem +23

    Uyu siyo mkuu wa mkoa hafai kuwa kiongozi unawakalipia kama watoto tumia hekima

  • @JumaAbdallah-gn5qu
    @JumaAbdallah-gn5qu Před měsícem +19

    Mpe cheo huyu kijana Anakitu kichwani ila kukio😢na ni Fulsaa mpe kitengo 👍👍

  • @stevensoso7506
    @stevensoso7506 Před měsícem +7

    Vijana wangesikilizwa Tanzania ingesonga kijana kaongea pointi tena kwa hekima tatua changamoto nchi yetu wote tuijenge kwa amani

  • @user-xb6mb1by5l
    @user-xb6mb1by5l Před měsícem +24

    Chalamila mkuu wa mkoa wa hovyo kutoa

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před měsícem +46

    Kijana anautulivu wa akili kuliko Mkuu wa Mkoa 😅

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Před měsícem

      Mkuu was mkoa no comedy😂

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de Před měsícem

      Mku wa mkoa huyu angepelekwa Arusha😂 Makonda wetu mpole arud Dar😂😂😂

    • @DennisFandi
      @DennisFandi Před měsícem

      Kabisa huyu mkuu mi namwonaga chenga anategemea vitisho

    • @eliathomas8446
      @eliathomas8446 Před měsícem

      ​@@PaulinaSemindu-ob3de Arusha hatutaki vichaa coz tayar Arusha enyew Ina vichaa ni wengi...makonda wetu is the best...bakini na lichalamila lenu hatulitaki huku😂😂😂😂

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de Před měsícem

      @@eliathomas8446 khaa 😂😂

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před měsícem +20

    Kijana kaongea busara mno.

  • @liutapro
    @liutapro Před měsícem +6

    Huyu mkuu sio moja kwa moja anamaneno flani ya kibabe pia anadharau wananchi sana kiufupi Hata akiomba kura kuwa kiongozi wa nchi aisee yangu hapati..

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 Před měsícem +30

    Kiukweli Chalamila kuna namna hajui namna ya kuongea na hadhira kama Kiongozi.

    • @KattKangu
      @KattKangu Před měsícem +1

      Mkoa waarusha tumebarikiwa poul makonda weuweeeee❤

    • @rabsonmichael9720
      @rabsonmichael9720 Před měsícem +3

      Hii ndio wanaita madaraka ya kulevya,ni kiongozi wavitisho vitisho kila siku.

  • @mbachoclassic7818
    @mbachoclassic7818 Před měsícem +9

    Excellent hapo mkuu umenyooka! Nimekuelewa sana

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před 2 dny

    ONGERA SANA IDDI .M. RAMADHANI KWA UJASILI NA KUONGEA VITU VYA MSINGI NA VYA MAANA KWA HEKIMA NA WELEDI MZURI👏👏👏🏆💯👑, MUNGU HATA WABARIKI NA KUTATUA CHANGAMOTO ZENU🙏

  • @user-my5nb9jn2d
    @user-my5nb9jn2d Před měsícem +4

    Charamila alitaka kumtoa kwenye reli mwanzoni, Jamaa kameza mate kakaza shingo hajateteleka.. Good Job, Chalamila ikabidi akae kimya kijana akawa Anang'ata na kupuliza 😅Ilimradi Dawa Ingie Tanzania Tukiwa na vijana kama hawa 10000 tu.. Tanzania itaamka Hatutaki Machawa.😅😅

  • @user-yq1qy5mx4y
    @user-yq1qy5mx4y Před měsícem +1

    Kweli kijana taifa la kesho 💪💪💪

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před měsícem +3

    Mkuu wa mkoa anatufokea mwambieni atulie tumdikilize kijana aongee😂😂

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven Před měsícem +5

    Dah! Inahitaji kuvumilia sana kumsikiliza CHA-LAMI-LA

  • @Topcentclassic
    @Topcentclassic Před měsícem +3

    kila muda nayarudia maneno ya huyo jamaa ...yaani hachoshi kusikilizwa .......dah mwamba apewe maua yake

  • @neamusic2601
    @neamusic2601 Před 4 dny

    Huyu kijana ana busara na sina shaka malezi yake mungu ambariki sana inshaallah.

  • @AbrahBuraheze
    @AbrahBuraheze Před měsícem +1

    hi ni nzuri inatufanya tusijisahau na hivi ndivyo tutakuwa kiuchumi sis wafanya biashara wadogo tunajisahau snaaaaaaaana

  • @JumaRamadhani-q6e
    @JumaRamadhani-q6e Před měsícem +1

    Jamaa ameongea pwent sana na kwa hisia kali sana! 😂🎉🎉

  • @mustaphajuma2292
    @mustaphajuma2292 Před měsícem +5

    Sijaelewa alicho ongea naona ni pointless hanasifa za uongozi kwa ni hio kalakana nilazima ikae hapo mbona kibaha maeneo yapo mengi...hii NI TANZANIA ila huenda hii nchi ni ya Watu flani flani Sisi wengine tunaonekana ni wakimbizi. yani machinga astaaf baada ya miaka miwili!!!!

  • @Gamba177
    @Gamba177 Před měsícem +8

    Serikali hamna plani ikiwa ni hivyo ya miaka 3 hapo umechemsha hamjui mnachofanya.

  • @shebbyelphonce8514
    @shebbyelphonce8514 Před měsícem +1

    Kijana mwenzangu kwel unajua kujieleza mi mwenyewe nimekuelewa ase yan uko vizur sanaaaaa

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf Před měsícem

    Safi sana hakuna kumwogopa binadamu kwan yy ni mungu .na kwani ww ni mwalifu tunatakiwa tuwe na uhuru na confidence ya kujiekeza ukisha kuwa na hivyo vitu kuburuzwa ni uongo

  • @mcgabby
    @mcgabby Před měsícem +5

    He sound like Fred Vunja bei😅

  • @majaliwasanga1741
    @majaliwasanga1741 Před měsícem +7

    Suala la machinga KUPEWA miaka halafu anapisha wengine,iwe Kwa viongozi na watumishi wote serekali kuwa ukikaa Ofisin miaka mitatu wapishe wengine nao waajiliwe ili kupungua uhaba wa ajira Nchini

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před měsícem

      Wazo zuri sana umetoa. Tatizo bingwa hujibu kulingana na matazamo wake na anapitisha bila hata kusema kusema watafanyia kazi wataalamu kutatua kero hizo.

    • @othmanjumaa2480
      @othmanjumaa2480 Před měsícem

      Amesahau Kama rizki anatoa M/ mungu.....Asimalize maneno ajue kwamba utafutaji ni mgumu Sana,mtu umpangie miaka ya utafutaji kweli!!? Amakweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa.

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 Před měsícem

      Mkinga unaona mbali sana

  • @simeonmazigo5918
    @simeonmazigo5918 Před měsícem +3

    Hakuna mtu ambae hapendi kupanda kiuchumi machinga wengi mitaji cyo yao bht mby Hawa Viongoz wanaishi Kwa mishara huwa hawajui maumifu ya kukua kiuchumi 😢😢😢😢

  • @KihozaAthuman
    @KihozaAthuman Před měsícem +1

    Umetisha kijana

  • @JudicaMboye
    @JudicaMboye Před 8 dny

    Kamanda kijana yupo safi tena ar chuga maneno kidogo kazi kwa wingi

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před měsícem +1

    Kijana yupo vizuri,nikumsikiliza,anaijua ramani na mazingira ya biashara.

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 Před měsícem +2

    😂😂ndio maana Mbeya ilimshinda huyu.. mgomo wa watu wa bajaji na dala dala tuu akaja kujibu shit za hivi hivi

  • @gililwise
    @gililwise Před měsícem +1

    UnA hekima sana kijana kuliko huyo mkuu wa mkoa Mungu azidi kukuinua.

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 Před 25 dny

    Hongera sana mwanangu. Una hekima sana kijana.

  • @petermwijage9882
    @petermwijage9882 Před měsícem +2

    very standard speech ,yani jamaa kaweka hoja kwa hoja hadi ukimya ukatawala.big up

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 Před měsícem +2

    Dogo hongera sana

  • @Damian-tt8fv
    @Damian-tt8fv Před 27 dny

    Hongera kijana mwenzetu kutuwakilisha vzr

  • @Topcentclassic
    @Topcentclassic Před měsícem +2

    huyo mkuu wa wilaya asiejitambua anafanya nn hapo pembeni ....anaulizwaga maswali anatujibu kama nchi ya babaake

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před měsícem +3

    Tatizo la sisi watanzania hatujielewi leo tunaumizwa kesho tunawapa kula wanarudi tena kutuumiza huu ujinga ndo unaotumaliza tuamue kuwakataa wote kwa pamoja tusiwape kula kbs tuwape kula wapinzani wakizingua na wao tunawapa nafasi wengine

    • @abumuhammad9615
      @abumuhammad9615 Před měsícem

      Kwa kauli za kina NAPE ni ngumu kuiondoa ccm katika box za kura

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 Před měsícem

      Umesema kweli

  • @akilihabibu5326
    @akilihabibu5326 Před 27 dny

    Kijana ❤ unaweza sana na unaakili sana uwezo ulionao ni zaidi ya ---

  • @nwntz
    @nwntz Před 21 dnem

    X uliemkataa hyu kijana umekataa madini mwenyewe😂😂

  • @johnhery-wh4lq
    @johnhery-wh4lq Před měsícem +1

    Huyu kijana ameongea vizuri sana kuliko kiongozi wake.....tena ameongea kwa hekima za hali ya juu kuliko huyoooooo

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 Před 9 dny

    Ivi chalamila umewahi kufikiria ety miaka mitatu mfumo ukutene ebu wekeni sheria na uongozi ni miaka mitatu tu ila hiii selikal 🙌

  • @cisselamerverille5286
    @cisselamerverille5286 Před měsícem

    Ukweli unauma ...ila huo ndio ukweli anaosema muheshimiwa ....leo hivi kesho vile sera zinabadilika ..ingawa inatuumiza ila huo ndio ukweli 😢😢😢....

  • @hansmedia9767
    @hansmedia9767 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂Et Miaka 2 unaondoka Khaaaa....!!! Badili ya kuwaza Watu walipe Kodi Unaweza kutoa Na kuingiza wapya

  • @JacksonJohn.
    @JacksonJohn. Před měsícem

    😂😂 maisha ni bahat anae faakua mkuu wa mkoa ni machinga na machinga ndo mkuu wa mkoa kama huna D mbili hunielew

  • @sifawayesu7079
    @sifawayesu7079 Před 20 dny

    Viongozi wetu jamani
    Na sisi ni watu msituone kama NYANI TUUUU

  • @KulwaMkomba
    @KulwaMkomba Před 7 dny

    Dah! Ni udhuni sana yule aliepewa nafasi ya kuwa kiongozi kumbe alipaswa kuwa mfuasi

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d Před měsícem

    Hongera msomi

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 Před měsícem

    Hongera kijana ,Mungu akulinde.

  • @officialgrace1844
    @officialgrace1844 Před 19 dny

    Ndo mana Paul makonda alimchukua Yuko vizuri kijanaaa

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 Před měsícem +1

    Well spoken kijana wakipatkana mia kama huyu kijana we chala watakungoa apo ulipo you are a disgrace to our presdent and Tz

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 Před 16 dny

    Safi sna kijana

  • @jimmyhabarugira4232
    @jimmyhabarugira4232 Před měsícem +4

    Huy jamaa hastaili kuwa hata mjumbe wa nyumba 10

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Před měsícem +3

    Uyu kijana agekuwa mkuu wa mkoa mambo yagekuwa safi❤❤

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Před měsícem +2

    Samahani mkuu wewe mbona ukuu wa mkoa hujaacha na wengine wakae wale

  • @user-ek6on1rh9x
    @user-ek6on1rh9x Před 22 dny

    Bia hujawaizasahau mnyalukoli 🎉 hatari mno but kama vijana weneed to open our mouth

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga8869 Před měsícem

    Mhehe ni MHEHE TU. NAMI NI MHEHE 🙏🙏🙏🙏 Huyu Mwachalamila ni NOUMAH😂😂

  • @MaluguZegu
    @MaluguZegu Před měsícem

    Mama tunakupenda sana chalamila hafai

  • @catherinemoses8775
    @catherinemoses8775 Před 18 dny

    Kudos!!!

  • @josephatmushi1140
    @josephatmushi1140 Před 10 dny

    Excellent 👍👍👍👍

  • @buberwajohn1312
    @buberwajohn1312 Před 2 dny

    He confidence ni salamu tosha ujumbe tosha kwamba watanzania wa sasa hatupelekwi pelekwi.

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Před měsícem

    Kijana mungu akuzidishie hekima umewakilisha kilio cha wengi nimeamini hekima haikai kwa wakuu au kwa wataalamu pekee hata kwa maskini kuna hekima

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 Před měsícem +1

    Huyu jamaa hana akili hata kidogob

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Před měsícem

    Safu sana elimu ndio kila.kitu tusomeshe watt wenu ni machinga lakin msomi anaongea kwa kujiqmini ¹elimu ndio kila kitu kichwa kimeshiba elimu anongea kwa.I vielelezo inatamanisha kuendelea kumsikiliza kweli elimu utoa ujinga si.lazima usome uwe biss ukisima ww ni boss pale ilipo aijalishi ❤

  • @bibibomba9799
    @bibibomba9799 Před 21 dnem

    Chalamila wewehufai kuwa kiongozi kabisa una majibu ya kijeurijeuri sana hufai hufai hufai

  • @FrankMashoto
    @FrankMashoto Před 19 dny

    Ujasili huwa ni kipawa toka tumboni mwa mama yako, hivyo huyo kijana ni jasili. Upo sawa kijana.

  • @josephngassa7073
    @josephngassa7073 Před měsícem

    Uko vizuri kijana kusimamia hoja ya msingi Kwa maslahi mapana ya wafanyabiashara sio kubabaishwa na viongozi waliovimbewa mamlaka yao

  • @deoluma1706
    @deoluma1706 Před měsícem +1

    Saf sana mwamba ...ww ni jasili

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 Před 14 hodinami

    Kwani huyu mkuu wa mkoa anafanya nin 😡🤬🤬

  • @husseinmlimati
    @husseinmlimati Před měsícem

    Kweli huyu kichaaa ingekua biashara inakua Kwa miaka 3au4 SI watanzania wengi tungekua matajiri

  • @DM_15
    @DM_15 Před měsícem

    Majibu ya chalamila kwa kijana nimazuri sana sana kunawatu nimatajiri ukufukuzia biasharazao unakuta nimachinga sehemu tofauti tofauti. Wanahaki michongo yavijana wanao anza kujitafuta

  • @ManyotaManyota-t8k
    @ManyotaManyota-t8k Před 24 dny

    Hii ndio changamoto ya serikali yetu ya Tz haiwafikilii wananchi wala kufikili jambo kabla ya kulitenda

  • @yoramkaroli8377
    @yoramkaroli8377 Před měsícem +3

    Chalamila hana sifa ya uongozi

  • @hawahussein137
    @hawahussein137 Před měsícem

    Hongera kaka umeongea vizuri sana

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 Před měsícem +6

    Miaka mitatu una graduate, Kafie mbele du!

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před měsícem

      Imeponza midomo yetu kujitanganza miaka ya kuwepo kwenye eneo, ohh Niko hapa toka Elfu mbili na mbili ohh Nina miaka nane hapa, tujifunze kuacha kuropoka Siri zetu mbele ya viongozi

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Před měsícem +2

    Kijana huko pouw sana anastahili kupewa maua yake

  • @binkhalifa6956
    @binkhalifa6956 Před měsícem

    Hongera bro umeonyesha mfano kwa viongozi wawe kama wewe

  • @user-ch8it5jr8m
    @user-ch8it5jr8m Před měsícem

    Safi upo vizuri kaka sana

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Před měsícem +1

    Ushawi kufanya biashara? Acha zarau dah! Aise kuna watu wengine hawakua na sifa ya kupewa uongozi kabisa.

  • @elenzianjk5543
    @elenzianjk5543 Před 27 dny

    He is humble and yet smarter than the Haracee!😅