Waziri Mkuu: Kamanda ondoka naye huyu | Wanachoma moto ofisi za serikali | mtulie tunyooshane vizuri

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 12. 2022
  • Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
  • Zábava

Komentáře • 225

  • @hidayausanga382
    @hidayausanga382 Před rokem +32

    Nakuhurumia sana PM. Hawa watu sijui utawatokomezaje maana wametapakaa nchi nzima. Nchi ilivyokua kubwa hivi.
    Nakuombea Mungu akupe wepesi katika hili.

  • @lucasmlowezi9214
    @lucasmlowezi9214 Před rokem +11

    Mama Samia Rais wetu, jembe unalo. Kazi iendelee mheshimiwa Waziri Mkuu, Mungu akupe maisha marefu tunakutegemea boss wetu

  • @shafiiomarali6984
    @shafiiomarali6984 Před rokem +15

    Asante sana Waziri mkuu kassimu majaliwa MWENYENZI MUNGU akupe afya NJEMA. ✍🇹🇿

  • @stevembaigwa7078
    @stevembaigwa7078 Před rokem +6

    Mungu akubariki kwa kazi njema nakuombea kwa Mungu uwe rais wetu

  • @saadyahaya5896
    @saadyahaya5896 Před rokem +14

    Safi sana mheshimiwa wazir mkuu kwa kazi kubwa unayofanya kwenye taifa hili,mungu akusimamie popote unapopita inshaallah

  • @Frolianagabito3000
    @Frolianagabito3000 Před rokem +6

    Uyu mwamba namkubali sana mungu akupe maisha marefu waziri

  • @user-hp8oi2or8e
    @user-hp8oi2or8e Před 7 měsíci +1

    Unyamaa mwingi waziri

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Před rokem +1

    Majaaliwa Baba etu Waziri wetu mungu akulinde, ukiwa Rais ao mafisadi watanyooka

  • @jonathanmwakabuku4714
    @jonathanmwakabuku4714 Před rokem +1

    Waziri mkuu wewe ndio kiongozi. Mungu akubariki ufike mbali

  • @user-ju5ee1gx2w
    @user-ju5ee1gx2w Před 4 měsíci

    Mhe waziri mkuu akika ni mchapa kzi sana mungu akurinde mhe waziri mkuu wtuu akika tunaona kzi zako na matunda yako na ni mfano tosha wa kuigwa na viongizi wengine lakin mmebaki wachache sana wazarondo, wtu awna uhruma,

  • @ejidemaswalikinoja5643
    @ejidemaswalikinoja5643 Před rokem +2

    Asante sana Mungu kwa kutupa huyu mtu, hakika hii ndiyo maana ya Waziri Mkuu naamini Kuna baraka zote Toka kwa Mungu na kwa Rais

  • @hasani565
    @hasani565 Před rokem

    Da haki ya mungu kunawatu sijui vipi hao takukuru ..mapolisi wote wamekula hela...da mungu akuongoze mkuu ..miss pombe magufuli

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter6126 Před rokem +2

    Hongera kwa utendaji Mhe. Waziri Mkuu.

  • @alfredlucas972
    @alfredlucas972 Před rokem +1

    Waziri mkuu Mungu yupo pamoja na wewe fanya kazi kwaajili ya watanzania Mungu atakusimamia hongera kwa kusimalia lasilimali na pesa za nchi

  • @kulengwamabula9508
    @kulengwamabula9508 Před rokem +9

    majaliwa ndo magufuli watakiona moto

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Před rokem +1

    Ee Mungu cjui niseme nini kuhusu huyu PM Mungu ambariki

  • @williamjamanda8892
    @williamjamanda8892 Před rokem +1

    Mungu ameingiza roho ya Dr. Magufuli kwake

  • @rafaelpaschal2245
    @rafaelpaschal2245 Před rokem

    Mhw.waziri mkuu saluuti kwako

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 Před rokem

    Ww ni msaidizi sahihi wa raisi nakupenda sana mkuu wangu

  • @karloladislaus45
    @karloladislaus45 Před rokem +5

    Nchi imeoza hii.... Karibu kila halmashauri imeoza kwa ufisadi

  • @majaliwaharuna4064
    @majaliwaharuna4064 Před rokem +1

    Fanya kazi mh waziri mkuu, tupo nyuma yake

  • @kabwikaibrahim-up3vg
    @kabwikaibrahim-up3vg Před rokem

    You are doing very well Hon. Prime Minister. God bless you!!

  • @othumantabai
    @othumantabai Před rokem

    Weka ndani wote mkuu

  • @abelshaursshauris9810
    @abelshaursshauris9810 Před rokem +2

    Mungu akulinde mzee wangu

  • @adirhoregilitu6507
    @adirhoregilitu6507 Před rokem

    Hongera waziri mkuu

  • @JAIROSMLIMILA-cl1wp
    @JAIROSMLIMILA-cl1wp Před rokem

    Vizuri sana mh waziri mkuu.

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před rokem

    Sikuizi wana zarau wanajuwa makufuli hayopo allah amrehm president wetu kazi kaz I love u Kasim 💖😢😢👏👏👏👏👏

  • @lawrencechacha7863
    @lawrencechacha7863 Před rokem

    Mh.waziri mkuu wewe ni wapekee.hata mungu anavutiwa na utumishi wako.futa wapuuzi hao.

  • @eliashibundabalinze2217
    @eliashibundabalinze2217 Před rokem +4

    Jamaa ameingia kwenye mkutano akiwa mheshimiwa...ndani ya dakika chache anarudi akiwa mtuhumiwa,duuuh maisha haya jamani hayana formula

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před rokem

    Uyo kamanda Sura nzuri sana

  • @mrsferuzi7443
    @mrsferuzi7443 Před rokem

    Mungu akulinde sana mh waziri mkuu

  • @williamjamanda8892
    @williamjamanda8892 Před rokem

    Kazi nzuri sana Mr Kassim Mungu akuzidishie utendaji kazi huo

  • @mwajumabakari3730
    @mwajumabakari3730 Před rokem +1

    Safi sana mkuu tunakipenda mnooo

  • @ayoublamesi6347
    @ayoublamesi6347 Před 8 měsíci

    Wazili mungu akulinde kwa kazi unazofanya

  • @WinifledyMbugi-ur1hq
    @WinifledyMbugi-ur1hq Před 8 měsíci

    Unaeleweka waziri mkuu

  • @idrissaissa5607
    @idrissaissa5607 Před 8 měsíci

    Sawa big kazi iendeleeeee

  • @Lizzleboy
    @Lizzleboy Před rokem

    Asante Mkuuuuuu

  • @ramambaga5561
    @ramambaga5561 Před rokem +1

    Hapa tunarudi nyuma tena kaulimbiu yetu hapa kazi tu😋🙏

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Před rokem

    Mh Majariwa Hongera sana kwa kazi kubwa tunaombwa mchi nzima. Wafutwe kazi na kurudisha pesa. Mkuu wa Mkoa na Mkurungeze wote walipe

  • @jofreymsigwa85
    @jofreymsigwa85 Před rokem

    Safi mkuu wetu

  • @hassann4209
    @hassann4209 Před rokem

    Wanyoshe sana. Namukumbuka JPM🇧🇮

  • @priscabonifas7037
    @priscabonifas7037 Před rokem +1

    Tunashukuru mheshimiwa Ila Mimi Kama mzalendo napendekeza pia huyo mkuu wa chuo Kama mwenyekiti wa kamati za ujenzi awajibishwe vikali maana anajua Kila kitu kilichokuwa kinaendelea katika chuo chake

  • @kyambarungwe6960
    @kyambarungwe6960 Před rokem

    Nakupnd Sana kipenzi Cha roho yangu majaliwa ♥️♥️♥️♥️♥️

  • @manning979
    @manning979 Před rokem +2

    Tumechelewa sana kuendelea kwasababu kama hizi nchi ni maskini kila siku kumbe watu wanapiga tu

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před rokem

    ILA hii nchi ukiwa mkweli unakuwa mbaya. Majaliwa mungu akupe nguvu usimame kwenye haki tu na mungu karim atakunyanyua inshallah utashika uraia nambari moja utetee nchi yako.

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad4682 Před rokem +1

    Tia ndanii,,,, soma iyooo... tutajuwa mbelee

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před rokem

    Majaliwa my lovely PM nakupenda mnooooo

  • @Christopher-ns6cq
    @Christopher-ns6cq Před rokem +2

    Ee mungu mlinde huyu baba ndiye aliebaki tumaini la watanzania

  • @ahmedhamad2410
    @ahmedhamad2410 Před rokem +5

    Nchi haiongozwi na mwanamke ikawa salama

    • @hubimogela9167
      @hubimogela9167 Před rokem +1

      Anaongoza sahivi ni nani ,na umeskia wapi kumevamiwa,acha ushamba

    • @uwembatvonline
      @uwembatvonline Před rokem

      @@hubimogela9167 Sasa hivi anaongoza baba ako au

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 Před rokem

      Dini zote zinajua hilo,lakini mapadre na masheikh kwa ajili ya njaa zao,wanafumbia macho vitabu vya Mungu,kwa mwenendo huu,nchi haitakuwa salama.

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před rokem

      @@aminimushi6945 ww mwnyw haupo salama 😆😆😆😆

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Bravo muheshiwa majaliwa🙏🙏🙏

  • @MmadiJuma-is2kz
    @MmadiJuma-is2kz Před rokem

    Honngela munguakubaliki akupeuwepesi afya njema amin

  • @Solace577
    @Solace577 Před 7 měsíci

    Yaan wazir mkuu nakuonea huruma sana pole sana ndgu, hawa watu ni hovyo sana, yaan wakikuta barabarani na migari yao mikubwa wewe na ki passo chako weweee utapigiwa hon 😂

  • @yustahyera4288
    @yustahyera4288 Před rokem

    Duuuuh we baba nakuombea maisha mengi mbali ufike pia uje uwe rais wa nchi yetyu

  • @rizionesegeza9742
    @rizionesegeza9742 Před rokem

    Asntee wazirii mkuu bt naona kama unawachelewesha hao duuh sisi tnasumbuka na kodi jaman kwa jpm hao walikuwa na kipengele jamaaaaa jpm 🙏🙏🙏👈

  • @wiltonexon6003
    @wiltonexon6003 Před rokem

    Nakubali muheshimiwa 👏🏽

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Před rokem +4

    Ukiwa kiongozi Tanzania ni pasua kichwa ofisi imeungua nyaraka tu hii ndiyo bongo

    • @ndayishimiyeelias9692
      @ndayishimiyeelias9692 Před rokem

      Amini usiamini akiwa kiongozi atakua busy na yangine, hata Suluh alkua hivo

  • @MajaliwaAssenga-ev9jg
    @MajaliwaAssenga-ev9jg Před rokem +1

    Magufuli si huyu hapa

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Před rokem +1

    Bilioni 7? Kweli nchi ina mambo mengi kwakweli!
    Ila PM MAJALIWA ulitakiwa wewe ndio uwe rais wa nchi hii, lkn chakushangaza 2025 hutokua Waziri mkuu tena,

  • @shinemakenzi8101
    @shinemakenzi8101 Před rokem

    Hii nchi watu wajipigia pesa za walipa kodi wa nchi hii kama za familia zao tu. Tatizo mfumo mbovu wa uongozi kuanzia ngazi za juu vigogo wanachota pesa bila hata soni tuoneeni huruma jamani ss walipa kodi wenu tumechoka ipo siku tutakinukisha bora mtuue tu wote mbaki na nchi yenu mtumbue vizuri

  • @Petro.John.
    @Petro.John. Před měsícem

    Ase nchi hii ngumu sana,usikute huyu jamaa hawamtaki halafu wakamazunguka.

  • @fredmashauri210
    @fredmashauri210 Před rokem +6

    Rais wetu ndio huyuu

    • @yassinshamte4172
      @yassinshamte4172 Před rokem

      We unadhani anafanya kwa maelekezo ya nani....

    • @jessegodson8575
      @jessegodson8575 Před rokem

      @@yassinshamte4172 wewe pimbi unadhani huyo Samia kazi hio anaweza yaani ni mtu wa kukaa ofisi na kusubiria mshahara mwisho wa mwezi na ndizo Kodi zetu😂😂 ila mwaka 2025 wajipigie wenyewe kura ila wananchi wa Tz hawatopiga kura labda akigombea majaliwa hapo sawa

    • @nsanyarasheeed8693
      @nsanyarasheeed8693 Před rokem

      Inamaana hujui kuwa huyu ni Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania .

    • @fredmashauri210
      @fredmashauri210 Před rokem

      Wampe kijiti 20225 anatufaa kabisaa

  • @kilalaurio9922
    @kilalaurio9922 Před rokem

    Hawezi kuwamaliza kwani wanawekwa na watu ambao hana mamlaka ya kuwafukuza. Njia pekee ya kutokomeza hao ni kufukuza viongozi wao. Kwa kifupi kuwajibisha kuanzia na mawaziri, wakuu wa mikoa nk. Kuwafukuza hawa ni sawa . MUNGU AZIDI KUKUBARIKI MH. MAJALIWA

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Před rokem

    Waziri Mkuu✅

  • @beatriceisack5317
    @beatriceisack5317 Před rokem +1

    Ameni ameni

  • @saidimgawe6548
    @saidimgawe6548 Před rokem

    Ndio👏

  • @benjaminemiku8200
    @benjaminemiku8200 Před rokem +3

    inawezekana nao ni washiriki wa hilo kosa ndio maana hawajaona kosa

  • @nikodemmwahangila3334

    Wazili piga kazi wametapakaa sana hao

  • @rahabuahimas7410
    @rahabuahimas7410 Před rokem

    Baba Asante kwakututia moyo

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 Před rokem +1

    Piga chini Rc Rs Dc na vikolombeezo vyote hawafai wote

  • @yunislemnhe9560
    @yunislemnhe9560 Před rokem

    Waziri mkuu wetu namkumbuka baba jamani enzi zake

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 Před rokem +1

    Tatizo kubwa tena liko Kwa hao takukuru

  • @jumamasoud1188
    @jumamasoud1188 Před rokem

    Wew nijembe safi sana.

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 Před rokem

    Ashkuru Sana maana ingekuwa ni raisi mwenyewe basi angemfukuza kazi hapo hapo na pesa angezitoa

  • @huseinikhamiskibwa2545

    Powa

  • @abhambomihambo6754
    @abhambomihambo6754 Před rokem

    Imefika wakati Takukuru nayo ichunguzwe na ifumuliwe upya na kuangalia mwenendo mzima wa utendaji wake na uwezo au uweledi wa watendaji wake!Cheo ni dhamana na inaonesha elimu zao hazitusaidii tena,tunahitaji"people of integrated,Responsible,seriously and willingness to do the job"I started to doubt even their religion faith isn't an issue anymore....we should think differently now

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před rokem

    Kosa lipo lakini ni kinyume na utaratibu kiongozi yoyote kuipa amri Polisi kumkamata mhalifu,

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před rokem +3

    Mama samia ikikupendeza nenda navmajaliwa miaka5 tena

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 Před rokem +1

      Samia anatoka katiba ya ccm Rais anatoka bara samia alipata zari la mentaly tu, majariwa ndo Rais wa 25

  • @user-in6ml5zg6b
    @user-in6ml5zg6b Před 8 měsíci

    Waziri mkuu mafia 0:59

  • @user-tt8bz5zs6b
    @user-tt8bz5zs6b Před 8 měsíci

    MH. WAZIRI MKUU WW. ALIE KUA WAZIRI MKUU. AMBA SASA NI MREHEMU NI BABA MMOJA KATIKA. KUCHAPA. KAZI

  • @edosichilengwe3150
    @edosichilengwe3150 Před rokem

    Eeeeeeh, hapo sawa chuma

  • @chemstry409
    @chemstry409 Před rokem

    Tatizo kizuri hakidumu....😢😢😢

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 Před rokem

    Inatia uchungu watu wanavyopiga hela,wako kitu kimoja hao mkuuu

  • @swalehembich2247
    @swalehembich2247 Před rokem

    Mheshimiwa waziri mkuu wote hao ni wahusika hata hao takukuru kwa nini hawaku chukua hatua na wao ndio chombo cha sheria

  • @yekoniakusiluka469
    @yekoniakusiluka469 Před rokem

    Raisi Hana pesa waziri mkuu pesa niza wanachii walipa Kodi zimeibwa pesa za wananchi zinaibwa Kodi zetu

  • @user-ut3gf1tg2n
    @user-ut3gf1tg2n Před 4 měsíci

    Hawa n wahuni wamechoma makusudi ili kuzipoteza nyaraka ili serikali ikidai hakuna kitu hii nchi bila ujanja kwan haiwezekani tukijenga nchi zetu kama wachina tukiwa wazalendo tuifikishe nchi sehemu ya uchumi wa juu mbona inawezekana tu kuliko ujanjaujanja mwingi embu tubadilike

  • @allynditi3492
    @allynditi3492 Před rokem

    Tengeneza Hiyooo!!!!!!

  • @mwimbeatilio707
    @mwimbeatilio707 Před rokem

    Majaliwa wew ni mfano jaman ifike hatua tumuogope Mungu tukienda tukimuona tutamjibu majibu gani?Ikiwa shetani anamuogooa Mungu sisi ni akina nani wizi umejaa watu hawana huruma Mungu anawaona

  • @alexsambia3046
    @alexsambia3046 Před rokem

    Wwe ndo tegemez la wa Tanzania tunakuombea Mkuu

  • @gotfriedmwesiga4234
    @gotfriedmwesiga4234 Před rokem

    Mmm! Hiyo takukuru hiyo daaah! Hizo kazi si mgetupa sisi vijana ? Hao wezi piga chini hawapendi nchi yao

  • @Kenyan_Duke
    @Kenyan_Duke Před rokem

    Upebari wa Hali ya juu kwa Bw.Majaliwa...Udiktetaa

  • @yasinomary2147
    @yasinomary2147 Před rokem

    Majaliwa Qassim majaliwa mwenyez MUNGU akujaalie Baba uje kuwa mkuu wa nchi yetu ifikapo 2030

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper403 Před rokem

    Kwani Waziri Mkuu Haluhusiwi Kugombea Uraisi?
    Maana........

  • @emmanuelqaday6949
    @emmanuelqaday6949 Před rokem

    Piga kazi comrade

  • @huseinikhamiskibwa2545

    Wakalimejeera mpaka magodaun watujazie wananchi

  • @gabumremi4876
    @gabumremi4876 Před rokem

    sweka ndani

  • @mauricempinga935
    @mauricempinga935 Před rokem

    Njoo korogwe mkuu

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Před rokem

    JPM part 2 kazi nzuri

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Před rokem

    Waliohusika wote MUNGU AWANYOSHEE HUKU URAIANI KUGIMU SANA WENYEWE HUKO MWALA HELA NA KUFICHA HELA AAAA MUNGU. AWAFICHUE WOTE

  • @amehassanrehanirehani7906

    Safi san mkuu madudu yote na majipu usaha mafisadi waso uchungu na uzalendo na wenye tamaa wanaorudusha nyuma maendeleo yetu na kuwakosesha haki wengn wote wapasue mh. Majaliwa bila hurum maan wao wenyew hawana imani

  • @mzalendowaasili1727
    @mzalendowaasili1727 Před rokem

    Mazito