RC CHAMILA AKASIRIKA, WAFANYABIASHARA WA SIMU 2000 WAMKERA “NITAWAVURUGA, NITAONDOKA NA NINYI”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 07. 2024

Komentáře • 151

  • @charlesrimiru9301
    @charlesrimiru9301 Před měsícem +7

    Kenya my country, si mtupee huyu siku moja tu ? anaongelesha nani hivyo ? mshahara anapewa ni kodi yenu.

  • @IsmailKidongo
    @IsmailKidongo Před 25 dny +3

    Watanzania wasenge sana wanatishwa Kama watoto

    • @valenakomba9218
      @valenakomba9218 Před 25 dny

      Wewe ni mpumbavu Sanaa. Vijana Watanzania hakuna mnachokijuwa zaidi ya matusi na kuvuta bangi.

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 Před měsícem +11

    Chalamila safi sana
    angekua anagombezwa mtumishi wa umma mngeshangilia sana
    sasa kwenu mnatia huruma

  • @isackmosha4283
    @isackmosha4283 Před měsícem +2

    Punguza ukali wa maneno mkuu. Omba hekima kwa Mwenyezi Mungu

  • @AndrewBakari
    @AndrewBakari Před měsícem +7

    Eti eneo la serikali serikali ilinunua wapi ilo eneo mwenye ardhi ulimwengu mzma ni MUNGU pekee serikali mnatumia elimu yenu na vyeo vyenu vibaya mara ya mwisho nakumbuka interview ya shujaa wetu magufuri alimuita alie kua makamu wake ikulu pamoja na waziri wa Tami semi akiwasisitiza kuhusu wa machinga na kipindi hicho MTU mwenye wazfa wa uongozi region commissioner makonda mwamba alikua hapa Dar ila sasa😢😢😢😢

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza327 Před měsícem +6

    Naona unaongeanao kama wanao, kwel ma TZ nimasenge na yametuliiia 😂😂😂

    • @JackKanyigo
      @JackKanyigo Před 21 dnem

      🤣🤣🤣🤣 WTz ni kama myumbu Simba mmoja anatawanya nyumbu 100000

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Před měsícem +4

    Chalamila unadharau weee kijana daaah,

  • @japhetaverin-ou9rp
    @japhetaverin-ou9rp Před 29 dny +2

    Etii nimeacha kaz zangu kaz yako si ndio hiyo ,😔tumia busara hiko cheo kisikupe jeuri

  • @user13375
    @user13375 Před měsícem +3

    Mtanikumbuka RIP magufuli

  • @user-od8tg1yt3g
    @user-od8tg1yt3g Před měsícem +2

    tanzania wananchi wake ni maiti

  • @naldclever
    @naldclever Před měsícem +3

    Daah nmekosa cha kucoment..... Ivi hii Nchi ni ya Watanzania au niya viongozi ambao watanzania tumewapa hayo mamlaka ??

  • @Eliasmarwaturuka
    @Eliasmarwaturuka Před měsícem +4

    Hakuna kiongozi hapa umbwa mbona ushonga umeshidwa kukemea,,walikuwepo zaidi yako umbwa ww

  • @msafirimhagama6445
    @msafirimhagama6445 Před měsícem +4

    Hata sisi hatukuogopi bhana

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 Před měsícem +2

    Hajui kujicontrol nilimuona kariakoo .... Kiingereza cha nn sasa hapo makonda atakumbukwa

  • @BetySanga
    @BetySanga Před 25 dny +1

    Wewe chalamila wakawaida sana hata elimu uliyonayo kunawatu wamekuzidi hao unao wafokea hao kafoke malangali kwenu

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m Před 25 dny +1

    Huyo ni kichaaaa

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před měsícem +4

    Maneno makali mno sjawahi ona daah 😢

    • @user-yl5ol4ke9n
      @user-yl5ol4ke9n Před 29 dny

      APA pana shida ningekua na weza samia ninge mwambie APA afanye uteuzi upya

  • @johnsenzighe4086
    @johnsenzighe4086 Před 18 dny

    Mungu amenionesha utawala wako unakaribia kufika mwisho.

  • @SafaryValentiney
    @SafaryValentiney Před měsícem +2

    Tumeipenda wenyewe

  • @sheehamadnganzi8317
    @sheehamadnganzi8317 Před měsícem +6

    Ungekua Kenya wewe ungekua kazi hauna kwa kuwadharau wananchi😂😂😂

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Před měsícem +6

    Hapa kiongozi hatuna 😢

    • @BeniJohn-xd3cn
      @BeniJohn-xd3cn Před měsícem

      Ndiyo maana kaletwa Dar ili akutane na wenzake wanaelewana wanatuchanganya

    • @JackKanyigo
      @JackKanyigo Před 21 dnem

      Hata Wananchi ni viraza

  • @user-jd5mn9sm9n
    @user-jd5mn9sm9n Před měsícem +2

    Ndyo utishie watu wamejisahau sana ongea na watu wa kuelewe

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 Před měsícem +5

    Kiufupi huwezi kushindana au kupigana na serikali ukashinda. Njia pekee ya kupigana na serikali ni kwenye uchaguzi na kupiga kura basi.

    • @Hasnspop
      @Hasnspop Před měsícem +1

      😂😂😂😂

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 Před měsícem +1

      Umepiga kura mara ngp

    • @user-to6cg8uf3f
      @user-to6cg8uf3f Před měsícem

      Kura ambazo wanaiba wapendavyo?

    • @LumolaSteven
      @LumolaSteven Před měsícem +2

      Fuatilia vizuri historia zipo Serikali nyingi sana Duniani ziliondolewa na wananchi kwa njia ya maandamano na migomo. CHA-LAMI-LA aache kiburi hakuna Kiongozi aliyewahi kuwa na kiburi hapa Duniani na akawa na mwisho mwema.

  • @user-nk9jt7qo1j
    @user-nk9jt7qo1j Před 21 dnem +1

    Mama kama ww nirais wwtu kweli huyu hafai kabisa weka kulee 😮😮 kiongozi hafai hana busara hana kauli nzuri kwaraia hata kwawakubwa waliomzidi. Hafaii kabisa kiongozi namna hiii hana sifa zakuwa kiongozi huyu

  • @noahemanuel7015
    @noahemanuel7015 Před měsícem +4

    Wanaume wa Dar Kama kawaida yao😂😂😂

  • @AwazAwaz-n7h
    @AwazAwaz-n7h Před 19 dny +1

    Wew ni mbwa

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr Před 18 dny +1

    Ongea kwa nidhamu nzuri kiongozi hao ni binadamu.
    Acha udicteta wa madaraka.

  • @ShafiiTanzilu
    @ShafiiTanzilu Před měsícem +2

    Yaana Hadi uruma jaman nawaonea huru duh wafa yabiashara jaman

  • @NgunoSangano
    @NgunoSangano Před 19 dny

    Jamen muogope mungu hiyo ni dhamana tu ulaniwe

  • @rashidsaid6015
    @rashidsaid6015 Před měsícem +2

    Mkuu wa mkoa unalindwa na aliekuteua tu vinginevyo hatukutaki na hutufai mungu skia kilio chetu

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 11 dny

    Ni kweli hapo pana soko na wafanyabiashara walitolewa ubungo mataa wakaletwa hapo . Walianza hapo hapakuwa na watu mpaka pamechangamka.
    Chalamila na hao wafanyabiashara ni wako pia

  • @Rwambo-wn7sh
    @Rwambo-wn7sh Před 14 dny

    Mbwa kabisa uyu chalamila

  • @dancerboy2686
    @dancerboy2686 Před 29 dny +1

    kavuluge matako yko, unalipwa mxhahara kwa kodi za hao unaowafokea kama watoto

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q Před 21 dnem

    Matanzania ni manoyaaaaa sanaaaaa

  • @almarwazyahaythamy4905
    @almarwazyahaythamy4905 Před měsícem +6

    Sauti ya kimamlaka!!

  • @frankkidenya
    @frankkidenya Před měsícem +1

    Boss pekee anayeweza kuwafokea wajili wake ni mwalimu TU nyii wengine aaah

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 11 dny

    Lakini maeneo yote si ya serikali? Lakini kuna namna yakuongea na wafanyabiashara kwa sababu na wao ni sehemu ya serikali

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Před 24 dny

    Binafsi ningekuwa nipo na ofisi hapo ningejiondoa mapema si kwaukali huu..

  • @chacha-255
    @chacha-255 Před měsícem

    🍁🍁

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před 13 dny

    Pumbavu sana hawa watu unajua kuna watu wanawake nyumban na watoto ila wakifikaga mjini wanakua kama mazuzu hv

  • @antonjohn134
    @antonjohn134 Před měsícem +1

    Apa kiongozi Amna ubabe sio kuongoza na siku zako chache apo dar

  • @user-fk8yp7ow7n
    @user-fk8yp7ow7n Před 20 dny

    Acheni ubabe kwa wananchi tanzania ni ya wote na wewe kiongozi paspo wananchi utamuongoza nani acheni ubabe!

  • @michaelnehemia4932
    @michaelnehemia4932 Před měsícem +1

    Mkuu umechemsha hizi no Mali zetu via hiko cheo unkua mwananchi wakawaida Sana tu

  • @VeronicaEstar
    @VeronicaEstar Před měsícem +5

    Hao siyo watoto wako wanahak na nchi yao ach ubabe wakijinga

  • @massaweibrahim4346
    @massaweibrahim4346 Před měsícem +1

    We close tuu usitutishe

  • @hakeemwamahoro5144
    @hakeemwamahoro5144 Před 19 dny

    Tanzania ni nchi ya viongozi si nchi ya wananchi kiongozi kama uyu Chalamila afai kuwa kio gozi vitisho hekima,busara hana mama Samia uyu afai mtoe uyu anachafua chama cha CCM

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa1085 Před 25 dny

    Acha ubabe wa kulitumia jeshi la polisi kwa vitisho, kuna kuchoka kwa lolote kutoweka kwa amani kuna chanzo.na uenda chanzo zinaweza zikawa kauli za viongozi kama hawa wanaolewa madaraka

  • @user-nk9jt7qo1j
    @user-nk9jt7qo1j Před 21 dnem

    Huyu anahitaji apimwe suti maaaana hana sifaa yauongozi. Kwaraiya tu nihivi huko kwake mkewe hampigi kweli huyu sifa sana mama ww niraisi wetu tuondoleee huyu mtuu hana utu hata kudogo hawa ndio wanaokuchafua ww

  • @AbdulhaamidSoud
    @AbdulhaamidSoud Před měsícem +1

    Huo sio utawala Bora viongozinwa CCM acheni umungu watu

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před 25 dny

    HATUTAKI UDIKITETA TANZANIA.

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 Před měsícem +1

    Hivi wa Tanganika aliyeturoga ni nani ni Wazanzibari, wazanzibara au kamwene 😮 nyambafu zetu CCM oyyeee nyambafu zetu tihamie Zanzibar labda titatosha 😂😂 😂😂😂

  • @leonardbarber9778
    @leonardbarber9778 Před měsícem +1

    Matusi sio mazur kwa MTU mzima na familia zao

  • @johnsenzighe4086
    @johnsenzighe4086 Před 18 dny

    Kumbuka cheo ni dhamana

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před 25 dny

    WAKOMESHE HAO .

  • @chembejohn9605
    @chembejohn9605 Před měsícem +1

    KWANZA amenivuragah kisaikolojia....😂😂😂.wabongo bAdo ..

  • @pendorichard2986
    @pendorichard2986 Před měsícem +1

    Hawa ndio viongozi wa tanzania , imagine we chalamila hujua wananchi ndio mabos wako? Yaani huna hekima wapa busara kabisa katika kuongea kwako , kifupi huna sifa za kiongozi kabisa , unatoaje lugha mbaya kwa wafanyabiashara tena wanaokupa ulaji

  • @bakarimwanjano730
    @bakarimwanjano730 Před měsícem

    Heshima ndio kitu muhimu sana

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před měsícem +3

    Ndio Mana mnalogwaga ao niwatu wazima wanafamilia zao waskilize wape utalatibu mzuli waishi

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 Před 22 dny

    Huyu so kiogoz wakuogoza watu jamaniiiiii duuuh mkuu wamkoaa unaogea iv kwel

  • @KhamisBoss
    @KhamisBoss Před měsícem +1

    Safi san mkuu WA mkoa Kwa ujinga tulipnao ngoja tuburuzwe ili tuwe na akili

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Před měsícem

    Nashindwa kukoment, ila dah

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 Před měsícem +1

    eti ameacha ubabe....!

  • @tumvisiagekonga2142
    @tumvisiagekonga2142 Před měsícem

    Daah poleni wafanyabiashara, kwa changamoto

  • @bakarimwanjano730
    @bakarimwanjano730 Před měsícem

    Migomo sio solution ya tatizo

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 11 dny

    Ila hapo si soko. Na kuna watu au ni wapi hapo?

  • @janethferous
    @janethferous Před měsícem

    Uyu siku tumzibue wananchi adi aone maruelue ngurue wew

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 Před měsícem +1

    Wanyonga hoyee 😂 wanyongwe ziiiii 😂😂 twendeni Zanzibar 😂😂

  • @Ba63828
    @Ba63828 Před měsícem

    Inakuwaje karakana kuwa ktkt ya taasisi za serikali? Kuna TCRA, Law School, Hali ya Hewa n.k. Kwanini isitafutwe eneo Kibaha yenye maeneo ya wazi mengi? Hio karaķana ya DART itasababisha traffic jam no doubt.

  • @stephenwakunyala4004
    @stephenwakunyala4004 Před 21 dnem

    Uongozi ni Kipaji ila kwa huyu Chalamila kauli zake sio za kiungwana kabisa

  • @williamsunday-yg2bz
    @williamsunday-yg2bz Před měsícem +1

    Ni suala la elimu kwa wananchi! Ardhi yote ni mali ya serikali, wewe mwananchi ni mpangaji tu! Huwezi kumgomea mwenye mali yake.

  • @user-rz1bj1yj3z
    @user-rz1bj1yj3z Před měsícem +1

    Uyu siku zake zinahesabika

    • @msafirimhagama6445
      @msafirimhagama6445 Před měsícem

      Hata sisi hatuna woga acha kututisha ipo siku mtakimbia spidi kama majirani

  • @SuzanGabriel-tp2cx
    @SuzanGabriel-tp2cx Před 28 dny

    Tundu lisu akisema kuna viongozi wa hovyo amuelewi pigeni chini ma CCM yote. Magufuli mwenyewe alisema changua Magufuli, kafa majambazi yapo kazini kazi kuiba.awajali wananchi wala nini.

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q Před 21 dnem

    Ww Fara tu uongozi ni temporary job tuuuuu ushamba mwingi nchi hii cio ya mamako ww

  • @sirmungureombeni4218
    @sirmungureombeni4218 Před 29 dny

    Matumizi mabaya ya mamlaka

  • @gasperswai6963
    @gasperswai6963 Před 29 dny

    Mhe mkuu wa mkoa kuwa makini saana unaongea na wananchi, huo unaongea nayo ndio wapiga kura usijisahau unapongea na wananchi, kenya walivumilia hivyohivyo tumia diplomasia kuongea na wananchi lugha mbaya ambayo siyo ya kiongozi

  • @abdullramadhanii626
    @abdullramadhanii626 Před měsícem

    Amaniii yetu tuilindeee jamanii

  • @MajidMajid-ll8mf
    @MajidMajid-ll8mf Před měsícem

    Huna hekima

  • @Nasibuhelemani
    @Nasibuhelemani Před 21 dnem

    Kapime uongozi waachie wengine

  • @DaudLucas-qj3mp
    @DaudLucas-qj3mp Před měsícem

    Matunda ya amani.

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 Před měsícem

    Kumbuka hiyo kauri au hiyo pumzi kunasiku itakata

  • @yohanamugini3882
    @yohanamugini3882 Před 25 dny

    😂😂huyu jamaa jau

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa Před 29 dny

    Watanzani bwana yani kama dog kaona chatu wote kmya 😅

  • @AbuubakarKibela
    @AbuubakarKibela Před měsícem

    Acha ujinga wako huo hao ni wnanch walioichagua iyo serekali ilioyopo madakaran kwa kuwa wew unatmbelea v8 au vipi

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před měsícem

    Wanapita maji kwa kutupa jiwe au kupima kwa mti na wameona maji Yana kasi kubwa wametulia kama nyauu😂😂😂

  • @shaabanabdulrahman9458
    @shaabanabdulrahman9458 Před měsícem

    Watafutieni wafanya biashara wadogo njia kabla ya kuwanyang'anya , acheni ubabe wa madaraka wakati utafika na nyie mtakuwa mtaani .😊

  • @ValentiniAvelini
    @ValentiniAvelini Před dnem

    Magufuli siyo kwamba alimuonea kumtoa kwenye uongozi ana akili ya uongozi

  • @alexsimon5576
    @alexsimon5576 Před 17 dny

    Mtu hawezi kuanza hivyo akaongea vya mbolea

  • @fanuelkatoto8913
    @fanuelkatoto8913 Před měsícem

    Hakyamungu viongozi tunao

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk Před měsícem +1

    Unatumia mda mwingi kuongea mambo yako

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Před měsícem

    Hawa ni walipakodi eeeh na unawatusi namna hii na jasho lao ndo lina kulipa mungu anakuona ,round hii ccm must go.

  • @user-cd2np5by6g
    @user-cd2np5by6g Před měsícem

    😂😂😂Daaah aisee iv bi mkubwa awa viongozi anawatoa wap au ndugu zake???

  • @RahmaAlly-rk4xs
    @RahmaAlly-rk4xs Před měsícem

    Mimi sio Mtanzania anzia leo....

    • @AleiHadji-js3ed
      @AleiHadji-js3ed Před měsícem

      Mkuu wa Mkoa Upo vizuri pia Fuatilieni Simu Kwa nini walishawishi Nchi Kuingia ktk Migomo ??
      Mimi ni Raia Kwa nini Haraka Sana Migomo ilisambaa Nchini ?
      Mkuu Lazima uwe Mkali maana Nchi ikichafuka Mimi sina pa kuendea😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Před měsícem

    Kura zenu ndio jibu lenu

  • @kingxule6562
    @kingxule6562 Před měsícem

    tayar tumechachua tuko wa moto😂😂

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před měsícem

    Rc chalamila acha kutukana watu, kuna wengine wanakuzidi umri, k8ongozi unatumiaje maneno machafu ya kibabe, kiongozi unayeongoza watu hupaswi kuongea maneno ya pumba kwa kutisha watu

  • @YohanaMwakaje
    @YohanaMwakaje Před měsícem

    Sasa mbona una fika kuwa na hekima Kuna wazee hapo nchi yetu sote kama umetumwa ila mwakan tuta kutana na tulio Wacha gua ww si ume teuliwa sawa

  • @yayanews6870
    @yayanews6870 Před 29 dny

    H

  • @barakagashaza8516
    @barakagashaza8516 Před měsícem

    mkuu wa mkoa ni mtu mwenye data zote za ki usalama... hawezi ongea hvi kwa kujiamini bila kua na data kamili

  • @user-pp7ug2bc1y
    @user-pp7ug2bc1y Před měsícem

    Haaaaa

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před měsícem

    Hamna mkuu wa mkoa hapo ila ni ubabe tu piga nao viboko tuone