Eti eneo la serikali serikali ilinunua wapi ilo eneo mwenye ardhi ulimwengu mzma ni MUNGU pekee serikali mnatumia elimu yenu na vyeo vyenu vibaya mara ya mwisho nakumbuka interview ya shujaa wetu magufuri alimuita alie kua makamu wake ikulu pamoja na waziri wa Tami semi akiwasisitiza kuhusu wa machinga na kipindi hicho MTU mwenye wazfa wa uongozi region commissioner makonda mwamba alikua hapa Dar ila sasa😢😢😢😢
Fuatilia vizuri historia zipo Serikali nyingi sana Duniani ziliondolewa na wananchi kwa njia ya maandamano na migomo. CHA-LAMI-LA aache kiburi hakuna Kiongozi aliyewahi kuwa na kiburi hapa Duniani na akawa na mwisho mwema.
Mama kama ww nirais wwtu kweli huyu hafai kabisa weka kulee 😮😮 kiongozi hafai hana busara hana kauli nzuri kwaraia hata kwawakubwa waliomzidi. Hafaii kabisa kiongozi namna hiii hana sifa zakuwa kiongozi huyu
Ni kweli hapo pana soko na wafanyabiashara walitolewa ubungo mataa wakaletwa hapo . Walianza hapo hapakuwa na watu mpaka pamechangamka. Chalamila na hao wafanyabiashara ni wako pia
Tanzania ni nchi ya viongozi si nchi ya wananchi kiongozi kama uyu Chalamila afai kuwa kio gozi vitisho hekima,busara hana mama Samia uyu afai mtoe uyu anachafua chama cha CCM
Acha ubabe wa kulitumia jeshi la polisi kwa vitisho, kuna kuchoka kwa lolote kutoweka kwa amani kuna chanzo.na uenda chanzo zinaweza zikawa kauli za viongozi kama hawa wanaolewa madaraka
Huyu anahitaji apimwe suti maaaana hana sifaa yauongozi. Kwaraiya tu nihivi huko kwake mkewe hampigi kweli huyu sifa sana mama ww niraisi wetu tuondoleee huyu mtuu hana utu hata kudogo hawa ndio wanaokuchafua ww
Hivi wa Tanganika aliyeturoga ni nani ni Wazanzibari, wazanzibara au kamwene 😮 nyambafu zetu CCM oyyeee nyambafu zetu tihamie Zanzibar labda titatosha 😂😂 😂😂😂
Hawa ndio viongozi wa tanzania , imagine we chalamila hujua wananchi ndio mabos wako? Yaani huna hekima wapa busara kabisa katika kuongea kwako , kifupi huna sifa za kiongozi kabisa , unatoaje lugha mbaya kwa wafanyabiashara tena wanaokupa ulaji
Inakuwaje karakana kuwa ktkt ya taasisi za serikali? Kuna TCRA, Law School, Hali ya Hewa n.k. Kwanini isitafutwe eneo Kibaha yenye maeneo ya wazi mengi? Hio karaķana ya DART itasababisha traffic jam no doubt.
Mhe mkuu wa mkoa kuwa makini saana unaongea na wananchi, huo unaongea nayo ndio wapiga kura usijisahau unapongea na wananchi, kenya walivumilia hivyohivyo tumia diplomasia kuongea na wananchi lugha mbaya ambayo siyo ya kiongozi
Mkuu wa Mkoa Upo vizuri pia Fuatilieni Simu Kwa nini walishawishi Nchi Kuingia ktk Migomo ?? Mimi ni Raia Kwa nini Haraka Sana Migomo ilisambaa Nchini ? Mkuu Lazima uwe Mkali maana Nchi ikichafuka Mimi sina pa kuendea😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Rc chalamila acha kutukana watu, kuna wengine wanakuzidi umri, k8ongozi unatumiaje maneno machafu ya kibabe, kiongozi unayeongoza watu hupaswi kuongea maneno ya pumba kwa kutisha watu
Kenya my country, si mtupee huyu siku moja tu ? anaongelesha nani hivyo ? mshahara anapewa ni kodi yenu.
Watanzania wasenge sana wanatishwa Kama watoto
Wewe ni mpumbavu Sanaa. Vijana Watanzania hakuna mnachokijuwa zaidi ya matusi na kuvuta bangi.
Chalamila safi sana
angekua anagombezwa mtumishi wa umma mngeshangilia sana
sasa kwenu mnatia huruma
Punguza ukali wa maneno mkuu. Omba hekima kwa Mwenyezi Mungu
Eti eneo la serikali serikali ilinunua wapi ilo eneo mwenye ardhi ulimwengu mzma ni MUNGU pekee serikali mnatumia elimu yenu na vyeo vyenu vibaya mara ya mwisho nakumbuka interview ya shujaa wetu magufuri alimuita alie kua makamu wake ikulu pamoja na waziri wa Tami semi akiwasisitiza kuhusu wa machinga na kipindi hicho MTU mwenye wazfa wa uongozi region commissioner makonda mwamba alikua hapa Dar ila sasa😢😢😢😢
Naona unaongeanao kama wanao, kwel ma TZ nimasenge na yametuliiia 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 WTz ni kama myumbu Simba mmoja anatawanya nyumbu 100000
Chalamila unadharau weee kijana daaah,
Etii nimeacha kaz zangu kaz yako si ndio hiyo ,😔tumia busara hiko cheo kisikupe jeuri
Mtanikumbuka RIP magufuli
tanzania wananchi wake ni maiti
Daah nmekosa cha kucoment..... Ivi hii Nchi ni ya Watanzania au niya viongozi ambao watanzania tumewapa hayo mamlaka ??
Hakuna kiongozi hapa umbwa mbona ushonga umeshidwa kukemea,,walikuwepo zaidi yako umbwa ww
Hata sisi hatukuogopi bhana
Hajui kujicontrol nilimuona kariakoo .... Kiingereza cha nn sasa hapo makonda atakumbukwa
Wewe chalamila wakawaida sana hata elimu uliyonayo kunawatu wamekuzidi hao unao wafokea hao kafoke malangali kwenu
Huyo ni kichaaaa
Maneno makali mno sjawahi ona daah 😢
APA pana shida ningekua na weza samia ninge mwambie APA afanye uteuzi upya
Mungu amenionesha utawala wako unakaribia kufika mwisho.
Tumeipenda wenyewe
Ungekua Kenya wewe ungekua kazi hauna kwa kuwadharau wananchi😂😂😂
Kenya hakuna hakuna Askari eti
Hapa kiongozi hatuna 😢
Ndiyo maana kaletwa Dar ili akutane na wenzake wanaelewana wanatuchanganya
Hata Wananchi ni viraza
Ndyo utishie watu wamejisahau sana ongea na watu wa kuelewe
Kiufupi huwezi kushindana au kupigana na serikali ukashinda. Njia pekee ya kupigana na serikali ni kwenye uchaguzi na kupiga kura basi.
😂😂😂😂
Umepiga kura mara ngp
Kura ambazo wanaiba wapendavyo?
Fuatilia vizuri historia zipo Serikali nyingi sana Duniani ziliondolewa na wananchi kwa njia ya maandamano na migomo. CHA-LAMI-LA aache kiburi hakuna Kiongozi aliyewahi kuwa na kiburi hapa Duniani na akawa na mwisho mwema.
Mama kama ww nirais wwtu kweli huyu hafai kabisa weka kulee 😮😮 kiongozi hafai hana busara hana kauli nzuri kwaraia hata kwawakubwa waliomzidi. Hafaii kabisa kiongozi namna hiii hana sifa zakuwa kiongozi huyu
Wanaume wa Dar Kama kawaida yao😂😂😂
😂😂
Wew ni mbwa
Ongea kwa nidhamu nzuri kiongozi hao ni binadamu.
Acha udicteta wa madaraka.
Yaana Hadi uruma jaman nawaonea huru duh wafa yabiashara jaman
Jamen muogope mungu hiyo ni dhamana tu ulaniwe
Mkuu wa mkoa unalindwa na aliekuteua tu vinginevyo hatukutaki na hutufai mungu skia kilio chetu
Ni kweli hapo pana soko na wafanyabiashara walitolewa ubungo mataa wakaletwa hapo . Walianza hapo hapakuwa na watu mpaka pamechangamka.
Chalamila na hao wafanyabiashara ni wako pia
Mbwa kabisa uyu chalamila
kavuluge matako yko, unalipwa mxhahara kwa kodi za hao unaowafokea kama watoto
Matanzania ni manoyaaaaa sanaaaaa
Sauti ya kimamlaka!!
Boss pekee anayeweza kuwafokea wajili wake ni mwalimu TU nyii wengine aaah
Lakini maeneo yote si ya serikali? Lakini kuna namna yakuongea na wafanyabiashara kwa sababu na wao ni sehemu ya serikali
Binafsi ningekuwa nipo na ofisi hapo ningejiondoa mapema si kwaukali huu..
🍁🍁
Pumbavu sana hawa watu unajua kuna watu wanawake nyumban na watoto ila wakifikaga mjini wanakua kama mazuzu hv
Apa kiongozi Amna ubabe sio kuongoza na siku zako chache apo dar
Acheni ubabe kwa wananchi tanzania ni ya wote na wewe kiongozi paspo wananchi utamuongoza nani acheni ubabe!
Mkuu umechemsha hizi no Mali zetu via hiko cheo unkua mwananchi wakawaida Sana tu
Hao siyo watoto wako wanahak na nchi yao ach ubabe wakijinga
We close tuu usitutishe
Tanzania ni nchi ya viongozi si nchi ya wananchi kiongozi kama uyu Chalamila afai kuwa kio gozi vitisho hekima,busara hana mama Samia uyu afai mtoe uyu anachafua chama cha CCM
Acha ubabe wa kulitumia jeshi la polisi kwa vitisho, kuna kuchoka kwa lolote kutoweka kwa amani kuna chanzo.na uenda chanzo zinaweza zikawa kauli za viongozi kama hawa wanaolewa madaraka
Huyu anahitaji apimwe suti maaaana hana sifaa yauongozi. Kwaraiya tu nihivi huko kwake mkewe hampigi kweli huyu sifa sana mama ww niraisi wetu tuondoleee huyu mtuu hana utu hata kudogo hawa ndio wanaokuchafua ww
Huo sio utawala Bora viongozinwa CCM acheni umungu watu
HATUTAKI UDIKITETA TANZANIA.
Hivi wa Tanganika aliyeturoga ni nani ni Wazanzibari, wazanzibara au kamwene 😮 nyambafu zetu CCM oyyeee nyambafu zetu tihamie Zanzibar labda titatosha 😂😂 😂😂😂
Matusi sio mazur kwa MTU mzima na familia zao
Kumbuka cheo ni dhamana
WAKOMESHE HAO .
KWANZA amenivuragah kisaikolojia....😂😂😂.wabongo bAdo ..
Hawa ndio viongozi wa tanzania , imagine we chalamila hujua wananchi ndio mabos wako? Yaani huna hekima wapa busara kabisa katika kuongea kwako , kifupi huna sifa za kiongozi kabisa , unatoaje lugha mbaya kwa wafanyabiashara tena wanaokupa ulaji
Heshima ndio kitu muhimu sana
Ndio Mana mnalogwaga ao niwatu wazima wanafamilia zao waskilize wape utalatibu mzuli waishi
Huyu so kiogoz wakuogoza watu jamaniiiiii duuuh mkuu wamkoaa unaogea iv kwel
Safi san mkuu WA mkoa Kwa ujinga tulipnao ngoja tuburuzwe ili tuwe na akili
Nashindwa kukoment, ila dah
eti ameacha ubabe....!
Daah poleni wafanyabiashara, kwa changamoto
Migomo sio solution ya tatizo
Ila hapo si soko. Na kuna watu au ni wapi hapo?
Uyu siku tumzibue wananchi adi aone maruelue ngurue wew
Wanyonga hoyee 😂 wanyongwe ziiiii 😂😂 twendeni Zanzibar 😂😂
Mshije huku, kushajaa
Inakuwaje karakana kuwa ktkt ya taasisi za serikali? Kuna TCRA, Law School, Hali ya Hewa n.k. Kwanini isitafutwe eneo Kibaha yenye maeneo ya wazi mengi? Hio karaķana ya DART itasababisha traffic jam no doubt.
Uongozi ni Kipaji ila kwa huyu Chalamila kauli zake sio za kiungwana kabisa
Ni suala la elimu kwa wananchi! Ardhi yote ni mali ya serikali, wewe mwananchi ni mpangaji tu! Huwezi kumgomea mwenye mali yake.
Uyu siku zake zinahesabika
Hata sisi hatuna woga acha kututisha ipo siku mtakimbia spidi kama majirani
Tundu lisu akisema kuna viongozi wa hovyo amuelewi pigeni chini ma CCM yote. Magufuli mwenyewe alisema changua Magufuli, kafa majambazi yapo kazini kazi kuiba.awajali wananchi wala nini.
Ww Fara tu uongozi ni temporary job tuuuuu ushamba mwingi nchi hii cio ya mamako ww
Matumizi mabaya ya mamlaka
Mhe mkuu wa mkoa kuwa makini saana unaongea na wananchi, huo unaongea nayo ndio wapiga kura usijisahau unapongea na wananchi, kenya walivumilia hivyohivyo tumia diplomasia kuongea na wananchi lugha mbaya ambayo siyo ya kiongozi
Amaniii yetu tuilindeee jamanii
Huna hekima
Kapime uongozi waachie wengine
Matunda ya amani.
Kumbuka hiyo kauri au hiyo pumzi kunasiku itakata
😂😂huyu jamaa jau
Watanzani bwana yani kama dog kaona chatu wote kmya 😅
Acha ujinga wako huo hao ni wnanch walioichagua iyo serekali ilioyopo madakaran kwa kuwa wew unatmbelea v8 au vipi
Wanapita maji kwa kutupa jiwe au kupima kwa mti na wameona maji Yana kasi kubwa wametulia kama nyauu😂😂😂
Watafutieni wafanya biashara wadogo njia kabla ya kuwanyang'anya , acheni ubabe wa madaraka wakati utafika na nyie mtakuwa mtaani .😊
Magufuli siyo kwamba alimuonea kumtoa kwenye uongozi ana akili ya uongozi
Mtu hawezi kuanza hivyo akaongea vya mbolea
Hakyamungu viongozi tunao
Unatumia mda mwingi kuongea mambo yako
Hawa ni walipakodi eeeh na unawatusi namna hii na jasho lao ndo lina kulipa mungu anakuona ,round hii ccm must go.
😂😂😂Daaah aisee iv bi mkubwa awa viongozi anawatoa wap au ndugu zake???
Mimi sio Mtanzania anzia leo....
Mkuu wa Mkoa Upo vizuri pia Fuatilieni Simu Kwa nini walishawishi Nchi Kuingia ktk Migomo ??
Mimi ni Raia Kwa nini Haraka Sana Migomo ilisambaa Nchini ?
Mkuu Lazima uwe Mkali maana Nchi ikichafuka Mimi sina pa kuendea😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Kura zenu ndio jibu lenu
tayar tumechachua tuko wa moto😂😂
Rc chalamila acha kutukana watu, kuna wengine wanakuzidi umri, k8ongozi unatumiaje maneno machafu ya kibabe, kiongozi unayeongoza watu hupaswi kuongea maneno ya pumba kwa kutisha watu
Sasa mbona una fika kuwa na hekima Kuna wazee hapo nchi yetu sote kama umetumwa ila mwakan tuta kutana na tulio Wacha gua ww si ume teuliwa sawa
H
mkuu wa mkoa ni mtu mwenye data zote za ki usalama... hawezi ongea hvi kwa kujiamini bila kua na data kamili
Haaaaa
Hamna mkuu wa mkoa hapo ila ni ubabe tu piga nao viboko tuone