LIVE SCENE, NAPE akitolewa Bastora Hadharani. KITENGE AAMULIA

Sdílet
Vložit

Komentáře • 178

  • @florameza9529
    @florameza9529 Před 7 lety +47

    kumbe ni kitenge? ana ujasiri wa ajabu hongera kitenge

    • @ziakaitala2221
      @ziakaitala2221 Před 5 lety +1

      Kweli nimemuona Maulid mtoto wa mzee kitenge ndo aliemtoa yule jamaa mwenye mguu wa kuku

    • @jumaazitto2767
      @jumaazitto2767 Před 5 lety

      @@ziakaitala2221 Grwksezxvbmktey

    • @ziakaitala2221
      @ziakaitala2221 Před 5 lety

      @@jumaazitto2767 Juma mbona umeandika maneno yasiyojulikana? Au yanatoka kwa mtu asiejulikana?

    • @Kimbururu
      @Kimbururu Před 5 lety +12

      Kitenge ni huyu nae atakua Usalama huyu

    • @dullabritish3277
      @dullabritish3277 Před 4 lety +9

      Kitenge ni Usalama wa Taifa muda mrefu tu licha ya kuwa mwandishi bora wa habari Tanzania

  • @Daudi-pg8bw
    @Daudi-pg8bw Před 6 dny +4

    Kama umemuona harmorapa wakat video inaanza gonga like😂😂

  • @mosesjackson_tz
    @mosesjackson_tz Před 3 lety +4

    Daaah hiki kitendo cha nape kufanyiwa ivo kimeniuma sana aisee.

  • @eliyamahenge9382
    @eliyamahenge9382 Před 5 lety +4

    Inaniuma sana kwa matukio haya Tanzania. I love my Country Tanzania... Mungu tusaidie

  • @emmanuelgwaay4773
    @emmanuelgwaay4773 Před 2 lety +3

    Nape Waziri tena ktk wizara ile ile...........ya Mungu mengi!

  • @dismaskamanzi2365
    @dismaskamanzi2365 Před 4 lety +10

    Kea pembeniii kam umemuonAaa hamorAp gonGa Like twenDe saWaaaa.....hahahahha

  • @mwalimu1520
    @mwalimu1520 Před 3 lety +9

    Nimerudi baadaya ya Msiba ya JPM,

  • @ziakaitala2221
    @ziakaitala2221 Před 5 lety +8

    Jaman mnapokuwa madalakan fanyen huku mkijua kuwa cheo ni mapito na si dhamana

  • @eliudmkumbwa5681
    @eliudmkumbwa5681 Před rokem +4

    Tuliorud kumchunguza maulid tujuane

  • @jackzest4really145
    @jackzest4really145 Před 2 lety +2

    Mkichunguza huyo jamaa anayetaka kumpiga risasi nape msikilizen kwa Makin mwishon anavyomambia kitenge mkuu nimekuelewa nisamehe Sana hao jamaa wa mwisho walivaa sare wamekaa na kitenge ni Wazeee🤣🤣🤣🤣wa uswalamani

  • @ibrahimalisharif275
    @ibrahimalisharif275 Před 4 lety +4

    Usafini tuna watu,hongela kitenge wetu

  • @shishismile1973
    @shishismile1973 Před 4 lety +3

    Ingelikuwa ni kenya uoneshe mtu mbuduki bila sababu angeshtakiwa, waulize judge aliye jiona mkubwa akaonesha mlizi wa supermarket gun alishtakiwa na judge akapoteza job na akalipa mlizi faini ya nusu million

  • @AbdulRahman-wx6iv
    @AbdulRahman-wx6iv Před 5 lety +5

    Huyu ndie mtu asiyejulikana mpaka bunge tukufu linamjadili hi serikali yetu ya usanii.

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga2380 Před 5 lety +1

    uonevu ni jambo baya sana,ahsante Maulidi Kitenge kwa hili,mtu huyu alietoa bastola hadharani eti hajulikani.MUNGU IBARIKI TANZANIA.

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 Před 2 lety +1

      Kitenge ni TISS hahaaaa,MTU na nusu hyoo

  • @yusuphsaid6300
    @yusuphsaid6300 Před 5 lety +2

    pole nape..ninapopitia hii,sijui huwa nawaza nini....nchi yetu hii.!

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 Před 2 lety +1

    Kwa Mungu kuna Kaz kubwa mno..
    Hivi kweli alf tunasema tulikua mahali pazur , naamini tungeshuhudia Vifo vingne vingi zaid ya vile vya viroba.
    Kwa Mungu kuna kujibu huko

  • @saidindaro7758
    @saidindaro7758 Před 5 lety +8

    Huyu kitenge ni nani? Nyuma ya pazia.

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 Před 2 lety

      Ni usalma wa taifa hyo ndgu mbona toka zamani tuu

  • @peterkisanga8089
    @peterkisanga8089 Před 5 lety +10

    Hii ndo faida ya bao la mkono

  • @Movic5806
    @Movic5806 Před rokem +1

    Kama umemwona Harmorapa Gonga like

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael Před rokem

    Mtangazaji wangu Bora wa muda wote maulid kitengee nampenda Sanaa maana huyu jamaaa n mnafkii sanaa

  • @haliimomar1692
    @haliimomar1692 Před 5 lety +4

    Hahahhaha Hermorapa Ameenda ndukii😷🤪

  • @ibrahimally6455
    @ibrahimally6455 Před 7 lety +6

    DAaaaaaaaaaahhh TZ cjui tunaelekea wap

  • @piusmnanka2755
    @piusmnanka2755 Před 5 lety +4

    Hivi harmorapa alikuwa hajui kama nape siyo waziri tena....!

  • @josphatoyondi3376
    @josphatoyondi3376 Před 5 lety +2

    huyo jamaa wa bunduki anabaswa kuwajishwa kazi kwa hafundishwa jinsi ya kutumia bunduki ,iweje watolea mwananchi bunduki ihali hajajihami ,? jamani mbona police wanakosa kumakinika, sisi twaunga mkono kwa kugemea hicho kitendo.

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 Před 5 lety +1

    Asiyejulikana anaoenekana HADHARANI 😀😀😀i'la serikali hawamuoni

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před 5 dny

    2024 KUMBU KUMBU ZA SOGA ZA MWENDA ZAKE😔🚶

  • @mwalimukashashadarant9676

    Kwa maoni tu kitenge sio mtu mdogo maan sio kwa kumtuliza hvy jamaa

    • @farealapple7962
      @farealapple7962 Před 3 lety

      Uyu mwamba uwa ni usalama sema alivyokaa si rahisi kumjuwa

  • @jandaboytzz2755
    @jandaboytzz2755 Před 2 lety

    Huyu Gilbert Kalanje Alifaa Kufanywa Kitu Ambacho Kitabaki Kama Kumbukumbu Na Vizazi Vijavyo Wajue Kama Ni Kosa Kutoa Siraha Kama Alivo Fanywa Yeye

  • @iam_lasco
    @iam_lasco Před 2 lety +1

    Yan camera kushuka chin tu na kurud juu tena harmorapa hayupo😂😂🙌

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 Před 5 lety +4

    Huyo mbwa ana bahati kama ningekuwepo huyo mshamba asie jua hata kutumia bastola ningemng'oa pumbu!! Angemleta alie mtuma!!!

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya4519 Před 2 měsíci

    Kitenge pia ako na bunduki hapo kwa nyonga

  • @youngramajrtz2215
    @youngramajrtz2215 Před 5 lety +1

    Big up kitengeee

  • @johnkikene8906
    @johnkikene8906 Před 5 lety +1

    Kitenge hapo nlikukubali sana

  • @IssaMohamed-mp4hj
    @IssaMohamed-mp4hj Před 28 dny +1

    Wefisadi sikupendi

  • @MsatiOne
    @MsatiOne Před 6 dny

    ivi naomba niulize huyu jamaa alietoa bastola hazalani yupo wapi

  • @roi2554
    @roi2554 Před 2 lety +1

    2021 harmorapa alivyochomokaaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 20 hodinami

    Sasa haonwanaume wote na hao wenye video walikuwa na kazi gani hapo ,au ishu ilikuwa nini

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 6 dny +1

    Enzi za ubabe

  • @user-ug9nl8lo1o
    @user-ug9nl8lo1o Před 4 měsíci +1

    Askari wa Magufuli

  • @raphaelrespichius8508
    @raphaelrespichius8508 Před 5 lety +1

    Utaaribu mambo ni kauli ya mpango ulikuwepo

  • @richardmassawe8416
    @richardmassawe8416 Před rokem +1

    Kitenge

  • @allyhamissi5835
    @allyhamissi5835 Před rokem

    Utaharibu mambo bhwana

  • @tumlakimwaitumule
    @tumlakimwaitumule Před 3 lety

    Nilikua naangalia sports arena..ikabid nije kumchek kitenge huku 😀

  • @hammybrown6313
    @hammybrown6313 Před 7 lety +2

    huyo jamaa mzima kweli

  • @Freedom_fighters898
    @Freedom_fighters898 Před rokem

    ‼️‼️SASA HUYO NAPE NA KITENGE WAKE WANAUZA NCHI MCHANA KWEUPE‼️ MAGU ALIKUWA KAISHA WASOMA HAWA MAGANG. Hawa si watu wazuri ni maadui wa Taifa letu‼️‼️‼️‼️

  • @Eliya-vv1jp
    @Eliya-vv1jp Před 8 měsíci

    Siasa ni mchezo mgum sana kuuelewa

  • @AbdulRahman-wx6iv
    @AbdulRahman-wx6iv Před 5 lety +1

    Huyu naye jeshi la polisi limekosa kumtambua wakati nape mwenyewe anawajua

  • @ramadhanijohoiddi2899
    @ramadhanijohoiddi2899 Před 5 lety

    Sawasawa tu ametengeza mwenyewe mfumo wa watu wasiojulikana pumbavu Zake

  • @vivianlenard3618
    @vivianlenard3618 Před 5 lety +2

    Maulid mbabe sana aisee, hiv sasa ni kweli angempiga risasi adharani vile au? hawa watu wanatambua kweli ka uongozi unapita tuu na baadae anaweza akatawala huyo huyo nape labda hivi wataweka wapi nyuso zao au ndio mtahama nchi?

    • @issaabdi9129
      @issaabdi9129 Před 2 lety

      Kwani ni mbali si sasa hv yuko ktk mashakani ya mauwaji.

    • @hassanbukambu931
      @hassanbukambu931 Před 5 dny

      Unatii order ya mamlaka ya wakati huo akija kuwa kiongozi nae atahitaji watu ka wewe ambao wakigaiwa amri hawalembi.kila mtu na nafasi yake maisha mzunguko.

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 Před 2 lety

    Kuna mambo mengine xio haki unataka kumdhuru mtu ambae yuko huru wala hana nia mbya na Nchi yake. Hapa Serekali ilichemka! Wengi wametangulia lakini hayakutokea haya.

  • @jchuwatv1890
    @jchuwatv1890 Před 5 lety +2

    Mzeee wa bao la mkono

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv Před 4 měsíci

    Bora muuwane nyinyi Kwa nyinyi CCM Kwa CCM maana hiyo ndio sera zenu

  • @redmondmulilo4852
    @redmondmulilo4852 Před 5 lety +2

    Ahe Nape wasijulikana ao wameonekana peupe alakini hawakamatwi wala hawakamatiki inchi sio salama kabisa bastora hazarani ni hatari tupu

  • @robertmwangomale
    @robertmwangomale Před 6 dny

    Tukio lilitenezwa ili kuchafua uongozi uliopo madarakan

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 Před 6 dny

    Huyo wa bastola bado yupooo

  • @charlesabednego9424
    @charlesabednego9424 Před 3 lety

    Kitenge anastahili ukuuu

  • @husseisalimumaula3867
    @husseisalimumaula3867 Před 2 lety

    Wanamsubiri jela huyo kabla hujamfanyia ubaya mwenzio fikiria ubaya unageuka .

  • @mwaitukamwallah1300
    @mwaitukamwallah1300 Před 5 lety +1

    Hiii dharau kweliii.

  • @alijumes3580
    @alijumes3580 Před 5 dny

    Utukufu wa makufuli

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu6249 Před měsícem

    Hii nchi ilikuwa inaelekea kubaya sana

  • @yasinitwalika1565
    @yasinitwalika1565 Před rokem

    kitenge kitenge kitenge mh....

  • @ezekieljolam4276
    @ezekieljolam4276 Před 2 lety

    Wangap wamerudi kuangali hii kwasasa je umejifunza nn baada ya kuangalia mwaka huu?

  • @bahatimalundi3593
    @bahatimalundi3593 Před 2 lety

    Kawa waziri toa bastola na saizi

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Před 9 dny

    Wewe ulivosema mtashinda kwa koli la mkono ilikuwa sawa ww wamekunyosha unalalamika we vp tulia wakunyoshe.

  • @deomdolo5049
    @deomdolo5049 Před 2 lety

    Hivi huyu jamaa aliyemtishiaga ataacha kazi au

  • @MohdRashid-cu9qb
    @MohdRashid-cu9qb Před 5 lety

    Kwenye nchi za watu huyu Jamaa hana kazi ila nimefurahi maana huyu ni wa goli LA mkono

  • @yakoboaizack1473
    @yakoboaizack1473 Před 2 lety

    Yule mbwa wa kutoa bastola afungwe kifungo cha maisha

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 Před 2 lety

    Nape kwa hili alionewa lakini pamoja na hilo nape samehee tu wala asifungue kesi na pia nakumbuka hayo waliya maliza na magufuri adhalani kama sijasahau

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 Před 5 lety +7

    Sasa Ikiwa huyu jamaa alie mtishia nape bastola hajulikani huwa nawaza mambo mengi sana kwamba ni Nani sasa atakae julikana?

  • @nassororamadhan8756
    @nassororamadhan8756 Před 5 lety

    hamorap nae yupo

  • @kennedymwangala8385
    @kennedymwangala8385 Před 5 lety

    Kuna tatizo gani Kwan?

  • @aliimwasiri2764
    @aliimwasiri2764 Před 5 lety

    Ndugu watanzania kwa hii tabia ya kutaka kuoneshana mamlaka pasi na kutomheshimu mwenzako ni kitu kibaya

  • @dominicclassic8089
    @dominicclassic8089 Před 5 lety +4

    Nan kamwna Harmorapa akitoka nduki kam vil katolewa 🔫 yeye 😂😂😂😂😂😂

  • @RooblesJourney
    @RooblesJourney Před 5 lety

    What's going on? Could someone translate pls?

    • @jawadyrasheed6880
      @jawadyrasheed6880 Před 5 lety

      That person who wearing a cap was try to attack our former minister the one who wearing a white shirt

  • @stephenhebron9838
    @stephenhebron9838 Před 5 lety

    Watanzania bana kwa kusahau hatujambo! Sinema hizi bana naona ni Kama hazitufundishi kitu maana tunaludia yaleyale

  • @yonamwaweya8517
    @yonamwaweya8517 Před 5 lety

    watu wasiojulikana, NINGEKUWA mm nape ningemmwaga ubongo hapohapo huyo JAMAA,

  • @stn4873
    @stn4873 Před 2 lety

    Huyo nape angeingia humo kwny hilo gari pembeni hapo ingekua ndio bye bye....

  • @leonardemmanuel9249
    @leonardemmanuel9249 Před 5 lety

    Tunaipenda ccm ,msioipenda pambaneni na hali yenu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 2 lety

    Kikwapi sasa hii dunia ya kupita bwana

  • @majaliwamsigwa3974
    @majaliwamsigwa3974 Před 5 lety

    Kazi ipo

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 Před 2 lety

    Sa itakuaje???

  • @sadicckdasilvatz5279
    @sadicckdasilvatz5279 Před 2 lety

    Tuliokuja baada ya post ya kigogo leo rujuanee

  • @user-gd2xj3xd1b
    @user-gd2xj3xd1b Před 4 měsíci

    Wangemuuwa tu jasusi mpelelezi

  • @amonamiri4487
    @amonamiri4487 Před 3 lety

    Ungepiga risasi mbwa huyoo

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. Před 5 lety +5

    Polisi tanzania wajinga wanatumia kama tissue chooni

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja8609 Před 2 lety

    Huyu askari jambazi ndio limeua huku kwetu mtwara

  • @erastomwakalinga7079
    @erastomwakalinga7079 Před 5 lety

    hahaaa hii nchi huyu ndo hafamik na vyombo vya usalama dyuu wamuulize kitenge kamuona usoni kabisa ,,,,,naipend nchi yng ila Hays mmmmh

  • @rali8825
    @rali8825 Před 5 lety

    Bastora ndo nini?????

  • @shabanaman8556
    @shabanaman8556 Před 5 lety

    Sasa kuonyesha mguu wa kuku wa nn?

  • @azzaali7780
    @azzaali7780 Před 6 lety

    Sasa huyu anatoa bastora mpaka leo hawamjui huyo alitakiwa aonyeshwe adabu

  • @shazilchymwager9496
    @shazilchymwager9496 Před 3 lety

    Nimejifunz kitu

  • @kassimmohammed4949
    @kassimmohammed4949 Před 5 lety +1

    Goli la mkono Hilo

  • @Fefetubes
    @Fefetubes Před 2 měsíci

    Nchi iliingia uhuni hii

  • @johnassey8544
    @johnassey8544 Před 2 lety

    Waziri nape tunamuomba huyu jamaa

  • @abdallahsalum7301
    @abdallahsalum7301 Před 2 lety

    Inakuwaje Sasa niwaziriwako

  • @petromwinyi4955
    @petromwinyi4955 Před 5 lety

    Eti bado kuna mijituuuu tz.kuna amani

  • @richardngendakumana2871

    Huyo police karudishwe shuleni

  • @abisaiamos8740
    @abisaiamos8740 Před 5 lety

    Mchana kweupe 😀alafu unaambiwa ajulikani huyu mtu,😂😅 watu bwana, huu ujinga uliotangilia,na hekima imekaa nyuma itaigarimu sana tZ🤔

  • @IdrisaAbdallah-pf4mw
    @IdrisaAbdallah-pf4mw Před 7 dny +1

    Hakunaga polis mwenye akili timamu ukitaka uamin polis hawanaga akili utakuta wanatumia nguvu kubwa kwmy vitu visivyo hitji nguvu sasa hapo jiulize kwnn umtolee bastola mtu kama nape tena nape alimhurumia sana yn ningekua mm sasa hv hana kaz

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 18 hodinami

      Unawaonea police kwasababu hawaji hapa kubishana, huyo siyo police acheni kuwalaumu police kwa kila jambo

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 Před 5 lety

    Alikuwa anatekwa nini?.