UPDATES: Sirro aongea kuhusu Askari aliyefyatua risasi mbele ya Waziri wa zamani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024
  • May 15, 2017 kwenye mitandao ya kijamii kulisambaa video iliyokuwa inamuonyesha Askari Polisi akijibizana kwa maneno na Naibu Waziri wa zamani wa Fedha Adam Malima kabla ya Askari huyo kufyatua risasi hewani.
    Sasa leo May 16, 2017 Kamishna wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam Simon Sirro ameelezea kuhusu tukio zima na aliko mwanasiasa huyo kwa sasa.

Komentáře • 317

  • @twahirmikidad6739
    @twahirmikidad6739 Před 7 lety +8

    Hongera sana kamanda Siro kwa kuwasimamia vijana wako ni muhim tuka waheshim askar wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao ya kazi kwan wao ndio wasimamizi wa kuu wa aman wa taifa, big up kamanda Siro.

    • @mgimwaprince4302
      @mgimwaprince4302 Před 7 lety +3

      Kwa askari kutumia silaha kumtoa mtu ka Maalima kafanya kazi nzuri na silaha yake kaitumia vizuri viongozi wengi wakivunja sheria akitokea askari polis huwa wanawadharau sana askari fanyeni kazi nzuri hiyooo kila mtu atii sheria

  • @bazilimikoma7208
    @bazilimikoma7208 Před 5 lety +1

    Safi sana kamanda siro.Nimefrahi sana porisi kueshimika siku moja natamanii na mm nijiunge na jeshi la porisi%salute kwako kamanda wetu%%

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 7 lety +3

    safi Sana ,,,sheria ni msumeno lazima yeyote awajibishwe,,,angekua mwananchi wa kawaida apo wala bunduki isingetolewa ,angebebwa tu jujuu ,,gari linge sombwa sombwa na breakdown kaz imeisha,,,ila uyu mueshimiwa isingewezekana kubebwa Kama mbuz ,,ndio mana risas imepigwa juu,,,,sijaona kitu cha ajabu kabisa,,,,,,,mnaosena siraa imetumika vibaya ,wooote amjielewi. ,,,sheeennzzy

  • @mikebright6692
    @mikebright6692 Před 7 lety +2

    kamanda Siro unafanya kazi nzuri asante mkuu

  • @braysonmajani8129
    @braysonmajani8129 Před 5 lety +2

    Umenifurahisha Sana mkuu

  • @mteulemayeu
    @mteulemayeu Před měsícem

    Hongela sana

  • @barikiarastus8770
    @barikiarastus8770 Před 7 lety +1

    Asante Sana sirro umetenda haki mimi nilikuepo mwanzo mwisho wa tukio, waziri alikuja baada ya tukio dreva akiwa tayari anabishana nao

  • @mushxwaggz5258
    @mushxwaggz5258 Před 7 lety +1

    apo safiiii

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 Před 2 lety +1

    "Yadogosheni Mambo
    ya Viongozi Wenu "
    Haya ni Maneno ya hekima yaliyosema
    Na Mtume Muhammad SAW

  • @jodeinjmj7843
    @jodeinjmj7843 Před 7 lety +2

    👏👏👏👏👏👏 pongezi kwa police na hongera kubwa kwa kamanda Sirro kwakumlaza mahabusu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti unanijua mimi ni nani haihusu kujulikana kwako

  • @francisbuya8357
    @francisbuya8357 Před 5 lety

    Ahsante sana afande IGP good job hapana MTU kuchezea jeshi

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 Před 5 lety +1

    ongera sana jeshi la polisi

  • @wesakaphilimon9578
    @wesakaphilimon9578 Před 7 lety

    Kazi nzuri

  • @alhajjibeysal1662
    @alhajjibeysal1662 Před 5 lety

    tii sheria bila shuruti. kazi nzuri afande

  • @simonequintine9355
    @simonequintine9355 Před 4 lety +1

    Nakusikiliza Mara nyingi kamanda sirro upo vizuri saaana kama wangu

  • @omaredhasaidal.obthani4775

    basi wapeni na traffic silaha pia

  • @habibafeithal4014
    @habibafeithal4014 Před 7 lety

    safi sana

  • @ibrahimusalome102
    @ibrahimusalome102 Před 5 lety

    safi sana siro

  • @chacha-255
    @chacha-255 Před 7 lety +11

    Ndivyo inavyotakiwa, Unamtisha polisi eti najuana na viongozi wa juu unategemea nini??, Alichofanya polisi ni kutekeleza jukumu la kumfanya mheshimiwa na dereva wake waende polisi

  • @umranim5854
    @umranim5854 Před 7 lety +1

    hiyo sio haki

  • @blaqtz8946
    @blaqtz8946 Před 7 lety +2

    safi sana siro pigeni kazi😊

  • @lugayilajohn6269
    @lugayilajohn6269 Před 5 lety

    Siro salute kwako baba

  • @jamilaismail5227
    @jamilaismail5227 Před 7 lety +3

    kwani hao wrongparking awana zile cheni za kuzuia gari isiondoke? mm ninavyoelewa ukikutwa uko wrong parking wanafunga tairi na ile cheni inakuwa uwezi ondoa gari mpaka ulipe faini yao, haya yote yasingetokea hao wrong parking pia wanamakosa ,umekuta gari sehemu airuhusiwi weka cheni Alf mambo mengine badae,hata mambo ya risasi yasingetokea..

    • @ABC_Da_Holly
      @ABC_Da_Holly Před 7 lety

      Jamila Ismail kwajinsi unavyo elewa wewe lakini sio kwa mujibu wa sheria

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 7 lety

    Safi sana siro

  • @eliyanyamaruri9893
    @eliyanyamaruri9893 Před 7 lety

    Saaaaafiiii🙇🙇🙇🙇🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Yaani ni Jambo jema Sana Ahsante polisi kumuonyesha kuwa Hii Tanzania sio ya Kwamba unanijua Me ni Nani khaaaaaaaa hiyo ishapita Acha askari afanye kazi yake

  • @saladaniel907
    @saladaniel907 Před 7 lety +3

    Safi sana jeshi la police, kamanda tumekuelewa vzr sana

  • @Mkrist
    @Mkrist Před 7 lety

    Yaani hawa polisi sijuwi niwape nini!! Hongereni sana tena sana. Pengekuwa hapa Marekani hakika huyo jama leo angekuwa chumba cha maiti au hospitalini.
    Kumbe Africa baado ndipo kuna polisi wazalendo.
    Hivi mnajuwa wangapi wanauwawa na polisi bila hata kufanya ubishi wowote?

  • @fafi9092
    @fafi9092 Před 7 lety +1

    Movie znaendelea

  • @irenbrown1868
    @irenbrown1868 Před 7 lety +5

    ndo ivo sasa hamtaki mkajambe mlalee😂😂😂😂😂mnaleta ulimbukeni Wa vyeo mi mwnyw nlikuwa kilanja...... TII sheria bila shuruti nyooooo

  • @masharubundevu3765
    @masharubundevu3765 Před 5 lety

    Hmn lolote kazi yenu kuuwa tu hulai maisha hapo walikuwepo wangapi

  • @ayubupapi2649
    @ayubupapi2649 Před 5 lety

    umeeleza vizuri kamanda“

  • @omarysilimu4176
    @omarysilimu4176 Před 7 lety +1

    SAFII KABISA MAELEZO AFANDE SIRRO

  • @morefireministrychurch177

    Sukuma ndani wataacha ujinga nchi Ni yetu wote c kwa vile alikua waziri asarau asikari

  • @hassanmganyizi586
    @hassanmganyizi586 Před 7 lety

    Duh!!!!!

    • @sylvanusfelix6998
      @sylvanusfelix6998 Před 7 lety

      Xaf xana

    • @zossynguya5898
      @zossynguya5898 Před 7 lety

      uyu akari mchunguzen vizuri ayko sawa

    • @idrissaramadhani2872
      @idrissaramadhani2872 Před 7 lety +1

      unajua lazima tuamke mwanzo ilianza clouds, ikaja nape, ikafuatia mtu wa bodaboda kuuawa na askari, na sasa malima halafu unasema yule askari alikuwa sahihi. mnajenga mahusiano mabaya na wananchi and people are watching. watanzania tuna tabia hatukemei jambo mpaka likukute wewe mwenyewe au ndugu yako. siro amkamate na yule askari aliyekuwa anamsihi mwenzake asifyatue risasi. nilidhani pengine hatu hitaji askari wa aina hii, ni kweli achunguzwe. malima angeenda wapi ? bado angeweza kukumatwa wakati wowote bila ku-attract attention ya watu. ama kuhusu kumatwa, ana haki ya kuhoji, hebu jiulize, ukishaondoa gari sehemu uliyopaki na kwenda kwenye yard yao-utawezaje kudhibitisha kwamba hukuwa wrong packing. tutumie akili ya kawaida mbona ajali huondoi gari mpaka traffic aje apime na wewe uone mchoro na usaini. sisi ni raia tunajua traffic wanavyobambikia watu makosa (anakuomba leseni anakuandia), kadhalika na hawa wa packing system. lakini kibaya hawataki kutoa vitambulisho wanaombwa kufanya hivyo ilihali wamevaa kiraia. ni kweli askari wana haki zao lakini nilazima wafuate sheria za ukamataji. busara ilihitajika, ile ni gari ungechulikua namba ingeweza kukamtwa sehemu yoyote, kama alivyo malima.

  • @shagembemarco4298
    @shagembemarco4298 Před 7 lety +4

    haiwezekaniii tukawa tunateteana kwa mambo ya ajabu kama haya

  • @tanzaniakwanza9564
    @tanzaniakwanza9564 Před 7 lety +1

    hii sio serikali ya kuleana eti kisa ulikuwa Mh. fulani ndo uvunje sheria wakati na ww umewai kuwa mtunga sheria, na pia ulihamasisha wananchi kutii sheria bila shuruti leo hii una kataa kutii unategemea nini kama si shuruti maana sheria ni msumeno
    pongezi kwa wale polisi

  • @youngmeku5159
    @youngmeku5159 Před 7 lety

    safi sana.. askari waheshimiwe bana!! Malima hajatumia busara, awekwe ndani kwanza ashike adabu.

  • @salimmalundila7032
    @salimmalundila7032 Před 7 lety +1

    Sawasawa baada ya miez 3 hii nchi itageuka korea

  • @mohamedjuma423
    @mohamedjuma423 Před 5 lety

    Safi kamanda

  • @mlokozimpesha1448
    @mlokozimpesha1448 Před 7 lety

    sio kweli mkuu

  • @mosesmashishanga285
    @mosesmashishanga285 Před 5 lety +1

    hongera police hawajangalia yeye ninani wa nchi hongera dogo uko vizur tena nimeipenda dogo

  • @humphreybilly3258
    @humphreybilly3258 Před 5 lety

    lakini jua Mungu anawaona.

  • @beatusmtui507
    @beatusmtui507 Před 2 lety

    Sawasawa kabisaaa

  • @gracemalema6377
    @gracemalema6377 Před 7 lety +1

    kweli kibisa kamanda umeongea vizuri sana malima hakutakiwa kutumia cheo chake ni makosa askari walitakiwa kumuelewesha tu vizuri, kibaya zaidi kinachotutishia ni askari wako kutumia mamlaka zaidi ya kutumia chombo cha moto kusema ukweli hata kama alikuwa anajiprotect sio kwa kupiga risasai namna hiyo haipendezi jamani kumbuka kuwa mnawapa kiburi askari wetu na ndio maana wanamajibu mabaya sana kwa raia tafadhali isijirudie tena kama kamanda tunakuomba hekima zaidi itumike na mungu akusaidie katika uongozi

  • @abeidhamdan5990
    @abeidhamdan5990 Před 7 lety +7

    hivi mie nashangaa watu wanaobishana humu mpaka kufikia kutukanana mbona trafik polisi hawana siraha wanakamata magari yenye makosa na wenye magari wanalipa faini ukichelewa kulipa faini inaongezeka ukipita kwenye camera maalum za trafik wanakukamata hata kama mwaka umepita kwani ile GARI haina namba na Dereva alikuwa hana leseni.ilikuwa kazi ndogo tuchukua namba za GARI na leseni ya Dereva kwisha .sasa kupoteza risasi ambazo zinalipwa na kodi ya mwananc hi na kushtua ubalozi wa nje Canada ingekua karibu na ubalozi wa USA Leo tungeongea mengine

    • @winnievesso116
      @winnievesso116 Před 7 lety

      Abeid Hamdan bora useme wewe

    • @abdulrahmansalim1809
      @abdulrahmansalim1809 Před 5 lety

      Police kutumia nguvu sio kwa silaha na sababu haina msingi kutowa silaha .Hujuwi kuzungumza umefeli ukiwa ndio kiongozi .

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 Před 7 lety +17

    Lkn Sasa Hivi siraha zinatumika vibaya mno,lzm mkubali hilo,Watu wengi wanatishiwa bastola hicho Siyo kitu kizuri,mtu hana siraha bastola inatumika ya nn,mm sielewi bado

    • @nelsonedward4377
      @nelsonedward4377 Před 7 lety +1

      Diana Petzold tii sheria gari iyende mahali usika nayeye alitakiwa kufikishwa kituoni angetakiwa akubali aseme sawatwende sasa anabisha nini akati nimkosaji so nguvu imetumika kutawanya raiya wenye ushabiki na police kama kazi in yake lazim mtuhumiawa afikishwe kituoni

    • @ksmally1985
      @ksmally1985 Před 7 lety

      Diana Petzold .silaha ya nini

    • @ksmally1985
      @ksmally1985 Před 7 lety

      Diana Petzold .mimi naina nchi imefika sehemu mbaya ya kutishia usalama wa raia.kweli.ndio maana na mafuriko yanatukumba,hii ni adhabu kwa dhulma zinazofanywa kwa raia

    • @andrewnyambega5590
      @andrewnyambega5590 Před 7 lety +2

      serikali lzm ieshimiwe...kua uyaone

    • @casmirmsofu6106
      @casmirmsofu6106 Před 7 lety +2

      najua kama unataka kumkamata mhalifu waweza kutumia nguvu endapo mtuhumiwa anagoma ,sasa kwanini polisi atumie silaha kwa kuarest mtu ambaye kwa maelezo ya kamanda hana kosa huyo mtuhumiwa ukichukulia alikuwa ndani ya ubalozi ambayo ni sehemu aliyopo mie ningeona busara kama angeambiwa apaki hilo ari lake vema na sio kufyatua risasi hewani ambayo kama mimi nijuavyo wengi hapa tz wanamiliki siraha nisinge shanfaa sana endapo angetokea mwingine wenye siraha na wakaweza uana pale busara ambayo angetumia huyo polis nikuchukua namba ya gari na kumpeleka mahakamani na sio kushitua kwa risasi sijaona mantiki huyo askari kwa kitendo hicho afukuzwe kazi pamoja na siro aliye mxapoti ccm haitaki matisho nichama cha amani hakika huyo askari na siro kazi wameshindwa.

  • @TheTemba1
    @TheTemba1 Před 7 lety +1

    ufafanuzi na tukio vitu tofauti cjaelwa

    • @josephmagele2861
      @josephmagele2861 Před 5 lety

      Novatus Tanzania mwalimu wako alikuwa na kaz kichwa chako kigumu

  • @shakilasaid5473
    @shakilasaid5473 Před 7 lety

    hatari sana

  • @yusuphumohammed5833
    @yusuphumohammed5833 Před 5 lety

    asikari kafanya vizuri kawajibika safi sana

  • @ZTownisland
    @ZTownisland Před 25 dny

    Wew ni kamanda ila sheria ya silaha huijui bdo unatakiwa kusoma sheria vizur

  • @djkidoxl8060
    @djkidoxl8060 Před 7 lety

    makosa hapo yamefanywa na Mh Malima na Polisi pia wamefanya makosa. .Kosa la Mheshimiwa Malima ni kujibizana na watumishi waserikali yeye asingepaswa kutumia wadhifa wake angetii sheria wala pasingetokea haya yote. . Kosa la Polisi ni kufyatua risasi ovyo na aliefyatuliwa hakuwa na silaha wala hakua tishio kwa Chombo cha dora..huu ni mtazamo wangu

  • @davido8089
    @davido8089 Před 7 lety

    Mmmmh

  • @user-tt8ew7tf8e
    @user-tt8ew7tf8e Před měsícem

    Mhhhhhhh

  • @abdulshija3715
    @abdulshija3715 Před 7 lety +2

    safi mkuu askari yupo sahihi mh hakutumia busara

  • @peternansio5305
    @peternansio5305 Před 7 lety

    Safi kamanda sirro maelezo yako mazuri kabia, tunataka Asakri jasiri kama hao safi..malima anatakiwa kutii sheria bila shuruti....NALIPONGEZA JESHI LA POLISI.

  • @adamkawili6913
    @adamkawili6913 Před 2 lety

    Kwani alikuwa anakata kwenda polisi Mheshimiwa?au mnajitetea

  • @hhmanyamba2871
    @hhmanyamba2871 Před 7 lety +1

    nyinyi mnaong'angania malima wazili niwazili wawizalagani?

  • @omarykatunzi645
    @omarykatunzi645 Před 7 lety +2

    inchi inaelekea wap?

  • @kimenyakimario5047
    @kimenyakimario5047 Před 5 lety

    upo sawa mkuu kama unaongea nahakuna mtu wakuku pinga utaisi upo sahihi nakupenda sana mueshimiwa

  • @petermando917
    @petermando917 Před 2 lety

    Hamn kitu hapo

  • @ezramhegele9460
    @ezramhegele9460 Před 7 lety +1

    nawaunga mkono askari kwa kutimiza majukumu yao ya kazi bila kupindisha sheria kwa kuangalia nani ni nani

  • @j_gh812
    @j_gh812 Před 5 lety

    Je gari lilipaki bila kua na dereva au dereva alikwemo???maana matukio ya kunyanyasa ni mengi kwa wakusanya kodi za parking..hata mtu ukiwa umeegesha kidogo na dereva hajashuka lakini unalazimishwa kulipa fine....

  • @erasmusnzibonela5151
    @erasmusnzibonela5151 Před 5 lety

    Kama mabishano2 ya pkn unaruhusu kufyatua lisas kweli ni awamu ya 5

  • @paulemmanuel9512
    @paulemmanuel9512 Před 7 lety +7

    ata mm nawaunga mkono kwan atuishi kwakujionesha ww n nani usialibu sheria kisa ww n MTU mkubwa akika nchi ndo inaitaja kuwa

  • @unclesamtz6048
    @unclesamtz6048 Před 5 lety

    Achen ushamba bhana, kupiga piga risasi hovyo c sawa

  • @kamanda007
    @kamanda007 Před 3 lety

    Hili kuu la police zero tupu, yaani linaona sawa police kufyatua risasi kea huu ujinga, ukiangalia vizuri police mwingine alikuwa anamzuia mwenzake asilete fujo, Sirro ningekuwa mkuu ningekutumbua vibaya sana

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 Před 7 lety

    alafu tunashangaa kwanini wazungu wanatuita nyani, yani in any way shape and form hauwezi kuita huu ujinga ni ujasiri hapa tunasifia upuuzi tu siku mtu atapigwa risasi na polisi na watachekelea wakiita ujasiri.

  • @petermahoiga1641
    @petermahoiga1641 Před 7 lety

    Hapa ndo naanza kuona kumbe hakuna aliejuu ya Sheria.

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před měsícem

    Sirro nakukubali sana Hawa wengine wanafikiria wako juu ya sheria anafikiri silaha za polisi hazina risasi

  • @albertosanga7744
    @albertosanga7744 Před 5 lety

    Mnatutisha jamani

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 Před 4 měsíci

    Hv hapa Sirro anapongezwa kwaajili ya nn?Duh!!hii nchi ,Mrema aliiona wengi ni bendera fuata upepo

  • @eliahiluka830
    @eliahiluka830 Před 2 lety

    Si kweli siro hapakuwepo Na urazima wakufyatua risasi

  • @nikky4757
    @nikky4757 Před 7 lety

    na pia hakukuwa na zogo wala fujo za kufyatua risasi kama mtu kagoma tia pingu weka kwenye gari ya polisi the hiyo gari ya mtuhumiwa ambayo nikielelzo inavutwa inapelekwa kituoni sasa kama mkuu unatetea bila hata kutoa exeption yeyote maana unawaahamsisha wafanye hivyo kesho uwezi jua watafanya nini .hasa hawa askari vijana wapya yaani wakipewaga ile SMG naonaga hatari sana maana si wote wanabusara

  • @Nkaranga3
    @Nkaranga3 Před 7 lety

    ishu hapa kumbe ni kukusanya kodi

  • @rolandmwasomola4516
    @rolandmwasomola4516 Před 2 lety

    Sure hapo kamanda kanena ukweli mtupu huyo waziri mstafu alitaka kutumia biography Kama weapon ya kuwazaririsha Askari , kiukweli Askari walikuwa sahihi

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 Před 5 měsíci

    Maswal ya dada yalikuwa mazuri sana ila IGP SIRRO aliyakwepa...

  • @georgebarongo4174
    @georgebarongo4174 Před 5 lety

    Watu wasome sheria na kuzielewa.long parking unapiga risasi hovyo .gharama ya risasi na mambo yasiyofaa mini busara.

  • @oceantv5382
    @oceantv5382 Před 7 lety

    watanzania wanazarau sana sheria haswaaaa waliokuwepo kwenye sheria wao ndowalitakiwa kuwa fundisho lkn sio kuchochea

  • @halimahalid252
    @halimahalid252 Před 7 lety +1

    Kweli kabsa ifike kipindi kazi za watu ziheshimiwe siyo kulete dharau sababu ww ulikua nani sijui serikalin....nmeipenda sana hii sheria lazima ifuatwe kwa kila mtu anayevunja sheria na sio kuangalia wafidha

    • @juliuskingstephen8161
      @juliuskingstephen8161 Před 5 lety

      Mmmmh! Tusitetee makosa! Tatizo polisi Tanzania hawataki kutumia hekima, hasa kutoa elimu! Kutumia nguvu kupitia kiasi pasipo na uhatarishi wa usalama ni kukosa ueledi kuhusu maana halisi ya upolisi, kwani walipoamua kuondoka kingetokea nini! Tujiulize kadri polisi yule alivo panda mori angemfyatulia risasi Mh Malima na kumua, Kananda Sirro angesema nini? Tusiwe wepesi wa kutetea maovu.... Kwanza dereva alikua ndani ya gari. ... tujifunze kwa utendaji kazi polisi walioko nchi zingine. .. polisi yule hakua na hekima pia..... ushahidi ni pale alipomsukuma Mh. Malima.... that was total indiscipline.... alimdhalilusha.... kama kufuata sheria angemrekodi iwapo alitukanwa au kudhalilishwa na yule askari. ..

  • @user-mz4ry1sl8l
    @user-mz4ry1sl8l Před 11 měsíci

    Sirro alkuwa mtu wa hvyo sna.

  • @michaelmtono9360
    @michaelmtono9360 Před 7 lety +2

    du tanzagiza

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Před 7 lety +4

      Watanzania hivi amjifunzi kupia malema jinsi anavyo mkejeli zuma kwa kuvunja sheria siro kafanya kitu kinacho takiwa kimataifa sasa hapa ndio naiona Tanzania inayokwenda kufanana kisheria na nchi zilizo endelea

  • @dastanimsosa5150
    @dastanimsosa5150 Před 7 lety +5

    jmn saa nyngne tuangalie coz saa nyngne kulaumu askari wkt inaonekna kabisa huyu malima anaonekana hana hekima na askari anafnya kazi ingekua yy yko kazni angekubali ila kutii sheria ni kwa kila mtu na sio kwa makapuku tu

  • @BON357
    @BON357 Před rokem

    Kwanni Askari mwingine alikua anamzuwia mwezake,siraha kapewa chiz ngoja awwe ndiyo mtajua

  • @amedemasumbuko9276
    @amedemasumbuko9276 Před 7 lety +1

    Diana petzold sorry nyie mumelevya na amani yatanzania hebu ingekuwa niburundi au rwanda au Uganda Adam Malima wangemushuulikiya vibaya chumusingi muheshimu polisi

  • @qaboossaid2259
    @qaboossaid2259 Před 7 lety +1

    kamanda siro tunakuheshimu sana na kukupenda pia ila kwa maelezo uliyotoa leo umeniacha hoi.

    • @tinopascal4903
      @tinopascal4903 Před 7 lety

      jazba hasira na siraha noma sana......risasi zanini juu...sibora virungu au pingu tu......kwani jambazi uyo

  • @omaredhasaidal.obthani4775

    sawa anakataa kwajili dakika 60 hazijafika

  • @mandelashayo2416
    @mandelashayo2416 Před 7 lety

    hatari sana Polisi wanafanya kazi kumbee

  • @venture_rafael
    @venture_rafael Před 7 lety

    ni tar 15-05-2016??

  • @DmpandujiDmpanduji-tp7np

    Hakuna kitu hapo unatetea mambo ya hovyo kabisa. Busara ingetumika huyo ni kiongozi polisi mara nyingi mnateteana sana hata kwa mambo ya hovyo.

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 Před 5 lety

    KWA STAHILI HIZI WENGI WAMEBAMBIKIWA MAKOSA WASIYOYAJUA WALA KUWAHUSU. MBAYA ZAIDI WANANCHI WAMESHAKOSA IMANI NA JESHI LA POLISI NI VYEMA MKALREJESHA IMANI KWANZA ILI WATU WATOE USHIRIKIANO

  • @osianjaphet9861
    @osianjaphet9861 Před 7 lety +2

    acha upuuz siro yupo sahh mnaweka mazoea na askar bas hakuna haja ya kuitwa yu askar

  • @shagembemarco4298
    @shagembemarco4298 Před 7 lety +5

    kabisa kamanda siro kwanza hata hivyo walimstahi tu mimi ninavyoona

  • @george27103
    @george27103 Před 7 lety

    dah

    • @raheelally8131
      @raheelally8131 Před 7 lety +1

      Hasira na matumizi mabaya ya silaha sio mazuri kwa vyombo vya dola

  • @ibrahimshaban4126
    @ibrahimshaban4126 Před 5 lety

    huko mahakamani umeambulia nn mbona ameachiwa bila kulipa hata 10 hebu jiangalieni Mara 1000

  • @zzzzzzzz2350
    @zzzzzzzz2350 Před 7 lety

    Discipline inahtajka popote, haijalx ulkua kiongoz mkuu.
    Kwann hawaeshimu Serikali.
    hapa kazi tu...

  • @salimuomary4501
    @salimuomary4501 Před 7 lety +1

    hivi mfano ile risasi ingempata MTU angesemaje mbona tunateteana tu

    • @rashidmsenga651
      @rashidmsenga651 Před 5 lety

      Kwani alilengwa mtu au nawe ni wale wale umewageuza kuwa adui huku wanakulinda

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 Před 7 lety

    Amesema tarehe 15/5/16.?

  • @franknyamiamba1160
    @franknyamiamba1160 Před 5 lety

    Kamanda siro yupo vizur kama ni mtihani nigefaulu mtihani 100%

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 Před 7 lety

    Hivi mshahara wa police shs ngapi?

  • @festomushi940
    @festomushi940 Před 7 lety

    tatizo watazania wengi niwabishi Sana awajui kueshim sheria inamana apo mwenye kosa niraia c police make angetii wala isingetokea yote ayo kwn police wetu wanazaraulika Sana wakati ndiyo wanao tulinda kwnn amjui ilo