IGP SIRRO Alivyompa Makavu MAMBOSASA - ''HUO NI USHAMBA''
Vložit
- čas přidán 23. 09. 2019
- IGP SIRRO Alivyompa Makavu MAMBOSASA - ''HUO NI USHAMBA''
MKUU wa jeshi la polisi nchini, IGP Simon Sirro, amefanya mkutano na makamanda wa polisi wa mikoa na wilaya nchini wenye lengo la kupanga mikakati ya namna ya kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kuanza hivi karibuni pamoja na usalama wa raia na mali zake nchini.
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App
JE, una habari ungependa wana You Tube waijue? Tutumie au tupigie WhatsApp No: +255 657 955825 au +255 784 888982 - GLOBAL TV ONLINE.
Safi sanaaa hii iko poa
Mmmmh vzr vzr vzr good good umeleweka kamanda huu mwaka kweli umebadilika siro ni hiyo hasa ndo Kaz yako udumu kamanda jesh lilipotea xana kushabikia wanasiasa komesha siro tunakwamini umeonesha uzalendo wa nchi yako than k u
Some military values can be seen from this Man..., one clap for him 👏🏿
Ur the best father
INDEED !!!!
For sure
Nothing!!!!
Una practice Usomi wako ...Graduated Commander big up
Misajawai kuona ushamba kama huo kama nawewe umesikia hilo mwaga like yako hapo
king Kazeba
Aisee huyu kamanda anajielewa Sana sna sna na anajua maadili na mipaka ya kazi yake Kuna wale makamanda wachache wanao lichafua jeshi kma kushabikia vyama na kulazimishwa watu washabikie chama flani wakat ni kinyume cha maadili ya jeshi hao pia angepita nao hv. Wapo na wanafahamika na hawaachi
Asante
This is a statement of commander ...big up..IGP Siro...tumepita National Service Mujibu wa sheria huwa tunawashangaa Sana. Lakini sasa uko super Big up
Mstaafu, Wanaojua Jeshi wanawashangaa Polisi
Dafi
Sasa Mujibu wa sheria na wewe umecomment🤣🤣🤣🤣
Kumbe huyu jamaa Ana akili kiasi hiki.👏👏👏👏👏👏👏
Uko sahii boss
Uko sahihi boss
Ssfi sana siro
Daniel James hawana lolote hawa wanatuchora
Show off sir kweli God bless u. Wakumbuke Tanzania 🇹🇿 inatazamwa na dunia sio local.
Hamna siku kaongea point kama hapa yani 👏👏 everybody is innocent till proven guilty🙌
Absolutely
Very true
Safiii sana mkuu igp ilove you.
Hata ulipokuwa mwanza ulituongoza vzr kwenye uchaguz mshindi alitangazzwa bila kutumia nguvu siro ni mwamba sana
Trafic zako mzee wamekuwa wezi deleva wa tanzania ana uhulu wa kuendesha gari nchi yenye siyo yake kuliko kwake
@@sadicktony9725 nadi
IGP you have spoken sense to these dudes
Kamanda Mimi Ni local people Ila Leo umeongea ukweli kelikweli. Umesoma ukaelimika. Safi sanaaaaa.
Mkuu mm tangu nimepata akil ya kujua majukumu ya IGP ilkuwa kipind cha rais Mkapa ila wewe umewazid wotee aisee heshima yako mkuu Sirro
Ukweli ni ukweli na siku zote ukweli unauma na msema kweli hapendwi. IGP uko vizuri JPM hakukosea big up tuko pamoja na wewe tunakuombea sana huku kwetu MWITONGO -MUSOMA
Mura amang'ana
Waambie na mahakama iangalie haki si kuingiza siasa kwenye kazi wananchi wanawatizama waooo
Uyu ndio una msifu
Umeongea point sana Siro, big up
Queen Sadick msigqa
Ll
Msiigwa
Big up commender
IGP Siro, you are a leader & Manager , thanks for enlightening your juniors on how they should conduct themselves as professional police officers love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Siku zote madini haya ya speech uliyafichaga wapi kamanda wangu???
kweli madini asee
Dah SIRRO mungu akuongoze na akulinde...very inteligent Officer...unajua ubinadamu baba...
I like you IGP Sirro....keep it up....very honourable man....you deserve to be IGP.....love and respect you.
E bwanaaeee Leo umeongea fact kabsa,tushaelewa
Skujua siro unajua kiasi hiki., nimependa sana hii, and am very much proud of you soldier.
Safi kamanda huo ndio uzalenda wa kijeshi ,"waz,wazi mkuu.
Surely your good enough to be you SAIMON SIRO
Big up kamanda sirro
Dapnd
Joyrz
Siro yuko Smart sana!
Big up!!
Amina baba
Jambo Afande!!! Naelewa sana kitu,, CHAIN OF COMMAND,, Mm nilijua mnawatuma kumbe ni maamuzi yao binafsi,,😎😎
Kweli tunawaona tofaiti sana u a true Mr siro fika pale Hai kunakijana anasumbua sana na kuzalilisha jeshi la pls kisa mkuu wa w
Wewe upo vzr sna IGP yni umesema ukweli mtupu MUNGU akulinde na akupe Moyo wakusema kweli daima.
Cheo cha uwaziri wa Mambo ya Ndani kingekufaa sana IGP Siro you've Great vision on how to be a Leader.....!!!
Hongera IGP umewapa ya ukweli wakinuna wawe na sababu!!
Daah RPC anaitisha waandishi kumtangaza mwizi wakati hata mkuu wa kituo anaweza!! Lakini kiupelelezi wenzie si watakwenda mbali
Safiiiiiiiii Sana waambie Mana Baadhi ya MARPC wameingia kwenye siasa
Unaakili Sana Namba yangu iyo +255-744-191-671 unafaa kuwa rafiki yangu.
@@Missionary_work ahsante
@@stukiaally4690 so can you find Me on Whatsap for that my number. Have a good evening. My sister stukia Ally
This man is very clever, Katika watu wazuri rais wetu aliochagua This Igp alicheza sana ,,hongera mkuu nimeipenda speech yako.
Yani kaniosha sana kiongozi wetu IGP sirro kuanzia leo nadumisha kukupenda zaidi na zaidi kukufatilia kazi zako
Nimekuelewa sana Mkuu, WORK ETHICS is very important for any organisation
Lakini huyo wa dodoma mhhhhh hapana bora umeongea ukweli mh igp
Mh. Magufuli ameonesha kila mtu/kiongozi na jukumu/wajibu wake. Asante Mh.Magu na Siro.
Hadi Mimi nimekuelewa
Daar umeongea point
Mambosasa alikua amezidi
Kiherehere
Mbona kamanda wa dodoma umemsahau.
Namuroto wadodoma hanakiherekihere saaana
I Understand you very clear, let see what will be the next move comes from reactions
Siku zote ukweli haufichwi kwakupaka rangi, Hongera sana IGP Sirro kwautendaji wako mzuri wa kazi pia nakupongeza kwakuwakumbusha makamanda wako taratibu na mipaka ya kazi yao. Kiukweli kuna baadhi ya Makamanda wanapenda saana showoff ili aonekane anachapakazi, Nimefurahi sana kama umeliona hilo!
Nchi hii inatakiwa tuu watu wanye. HOFU ya MUNGU KAMA HUYU UBARIKIWE KAMANDA MUKUU BARIKIWA SANA
Nimekuelewa sana kiongozi mkuu.....! (BIG POINT BRO)
Nakukubari sana MKUU SIRO.MUNGU AKULINDE MKUU WETU.
One of the best Tanzania IGP speech of all time. Big up Police Team. Sema tu tatzo la intelenjensia ya wapinzani life basi, walindwe na wafanye siasa safi. Mkizua watu kuongea, mnatengeneza matatzo. But all the best, siku hizi tunalala bila ata kelele za mbwa.
I G P nimemwelewa Sana big up Mzee kwa kusema ukweli
kweli hii ni tanzania mpya hata sifa pia hazitakiwi hahahahah safi I.G.P wetu
Mmmmmmmh hatari , Makavu s hayo. Hadi shida, msingi Police nikufuata maadili kutoka uvaaji Hadi utendaji wake.
Hapana binadamu tuko tofauti pls viongozi wa Tz cheo ni dhamana hata wewe Naona huna makosa km alikua hana uwezo kwanini ulimpa hiyo nafasi na wewe uliyoyaaongea sio ustaharabu hiki kitu ni very sensitive baba ukupaswa kuyaweka wazi tunachekwa sana hapo pengine huko sawa lkn hilikua sio sehemu yake ungeyachikulia kiheshima kwa kulinda hathi ya nchi yetu kumbuka vidole ktk viganja havilingani lakini uadahidiana mimi hilo sikuu GI mkono umemudhahilisha nafikiri kafanya mambo mengi mazuri na yeye ni binadamu km wewe piga moyo kond
Piga moyo konde u jitafakari hongera kwa kz nzuri lkn mimi sipendi maonevu mimi ni maskini jeuri wote tuko pamoja tusaidia e kwa mapungufu yetu
IGP hii spech ya leo ndio nimejua kumbe ilo jesh liko na standard km ya europe.
Ila usipiqe kelele sana mkuu askari wenu wenqi mnaajiri kw kujuana na sio kw viqezo va elimu
IGP SIMON SIRRO NAMKUBALI SANA HUYU KAMANDA 🙌🏻🙌🏻 YAANI ANAENDA SAMBAMBA NA UONGOZI WA MH.RAISI HAPINDISHI MANENO .. HALAFU SIKU ZOTE ANAONGEA POINT TU 🇹🇿 🙌🏻🔥
Professional Police Officer. Nakubali ....
Safi hapa kidogo unaturudishiya moyo kuwa tuna IGP mwelewa vizuri lkn shida ya jeshi liko linaendeshwa na wanasiaasa
Ila alipelekwa Dar Mara zote watenda haki wanaandamwa na wasiopenda haki❤❤❤❤❤bigup Sirro
Safi sana makamanda ichi ni kubwa kuliko chama
Some Dudes wataona kama you hate them but truth never die. Moja kati ya watu makini sana hapa TZ.
Yaani kaka yangu, umeongea ukweli mtupu. Big-up sanaa. Watu walifikia hatua ya kuwachukia mapolisi na magwanda yao ya jango!! Afadhali umeliona hilo, nadhani umeeleweka. Hotuba yako iliyojaa busara imenifanya mwili mzima usisimke kwa furaha. Mungu akubariki IGP wangu.
Dodoma,dar,arusha umewapta apo salute kwa IGP
I appreciate your wisdom Mr IGP
Your the really IGP the Republic including myself will have a pleasant night.
May God bless your and protect your position.
Big up
Tell them Sir, I suspect is innocent till proven guilty by the law. This habit of show off it's only in Tanzania. Mostly by the police .it's a big shame shame shame.
Nimekuelewa sana IGP,nadhani nimekuelewa kuliko mtu yeyote aliyekusikiliza.
Binasfi tangu nikufahamu ukiwa Mwanza sijawahi kuwa na shaka juu ya utendaji wako. You are very very smart, umesema RPC wanapotumia jukwaa la jeshi la Polisi kufanya siasa hunufaika wao binafsi lakini hapohapo jeshi hubaki limechafuka na kuzalilika kwa kiasi kikubwa sana! Uko sawa kabisa.
Tangu kuanza kwa utawala huu ndiyo kuliibuka haka katabia ka ma RPC kufanya siasa za wazi mbele ya camera saaa mimi nikazani labda na hiyo nayo ni moja ya ajenda za utawala wa kipindi hiki na labda na wewe kama IGP labda unaridhia huo ujinga kumbe ulikuwa unakeleka kiasi hicho! Hongera sana mzee wangu IGP Siro natamani katiba ya nchi kama ingekupa nguvu zaidi ya hizo ulizonazo.
Rock City Native unadhn tatzo liko wapi mpaka wameamua kupiga siasa?
hamis mnyaya Mimi sielewi lakini huo ujinga ambao IGP Siro anaupiga vita ulianza baada ya 2015 labda hapo tusaidiane kuumiza kichwa kujua nani ni chanzo Ila mimi tangu mwanzo nilikuwa simuhusishi kabisa mzee wangu kamanda Siro na huo ujinga na leo kadhirisha wazi hayuko pamoja na ujinga huo.
Rock City Native Ndugu short and clear kwenye maisha ukiona mtu ana kiburi, majivuno, dharau, kujiona na mengne meng ambayo sio mazuri jua nyuma ya pazia ana vitu vinavyomsukuma au anawatu fulani wanaompa nguvu ya kutenda na kufanya lolote. Mfano anaweza akawa na pesa, elimu, mafanikio, madaraka na n. k, Tafakar hii kauli sijaongea then naamin utakua umenielewa.
hamis mnyaya Exactly
Mungu akulinde kiongozi siro nasikia raha Sana. Napo onaga viongozi wenye maono naupeo mkubwa Kama huu kizuri zaidi tena hupatikani Kanda yaziwa japo watu kuambiwa ukweri huchukia Ila Acha wambiwe ukweri magufuli mungu akulinde nakukupa maisha malefu mungu ibariki Tanzania nawatu wake wote
Safiiii I.G.P.Ww ndyo boss wao watakuelewa sisi hawawezi kutuelewa,point kamanda unatakiwa uwe smart na ujue kufaa unform kulingana na wakati. safiiii sana
For sure Mr nyakoro u deserve this position bro,enokwi agwitabhiri kaka
Mimi sijaona ushamba kama huo jeshini.🤣🤣🤣
Nimekuelewa sana mheshimiwa Ongera sana Mungu awe nawe katika kazi yako
Siro sawa! Lakini kama viongozi ni vyema kuitana na kukosoana vikao vya ndani, is shame for soldiers to coflict or contempt between them before public, it is mistake! Hakuna aso kasoro! > fr. Paje S.Ung. Z'bar
Ofcourse sio sawa saana maana hawa watu wote muhimu sana., Sema uckute washaambiana mara kadhaa ndani bila mabadiliko.
Your Totally fit for that Position
NELSON ROGERS perfect
Hiyo ndio Title ya kuwa IGP nimependa uwezo wako wa kufundisha. ..
Kama RPC unapozunguza unatakiwa kujipanga. .
Upo sawa 100%.
Siro uwaga nakuku bari sanaaaaaaaaaaaaaaa safiiiisana father ake
Kama viongozi wote watafanya kazi wanayoijua nchi itaenda. IGP nakukubali sana, kazi hii inatakiwa kufanywa kwa weledi mtuhumiwa hajahukumiwa lakini mara nyingi mtuhumiwa anakua treated kama ameshakuhumiwa lazima protocol zifuatwe. Nasihi makamanda wengine wazingatie haya waliofanya kwa kufuata taratibu big up lakini waliofanya kwa kurupuka tu kwakua ni nguvu ya dola basi hapa tujifunze kua nguvu ya dola inaendeshwa kwa kanuni na taratibu zilizowekwa. Hizi ni post zenye akilli, yafaa vyombo vya dola wanapoita press wote tuwe attention lakini kama kila siku wana trend hata kwa mambo mepesi watazoeleka na heshima itapungua.
Nimeanza kukuelewa sasa IGP, ulikua mkimya sana mzee machafu mengi yametokea na wao wapo tu wanashabikia siasa... 👏👏👏
IGP umeongea fact sana leo ila umeonesha udhaifu mmoja hawa ungewashughulikia siku ile ile waliyofanya kile unachoita USHAMBA maana kweli ni ushamba ila kukaa na jambo moyoni usubiri hadi kwenye press ndo useme huo ni udhaifu....vp kama ungetolewa hapo kabla ya hii press? nani angejua kama na ww hukuridhishwa na haya mambo. Fanya maamuzi kila unapoona ushamba unafanyika. BIG UP IGP
Umeongea maneno kuntu kbs hongera mkuu kazi njema
Babaa ulikuwa wapiii mudaa woteeee.....Mbona unaongea vituuu Konkiiiii afandee DA aah....Salute mkuu
kwakweli kamanda Siro upo vizuri nimekuelewa sana polisi wengi wamekuwa wakiwaonyesha watuhumiwa kabla ya upelelezi na pengine siyo mwizi mungu akupe miaka mingi
Mungu akuzidishie hekima kiongoz..Simon Sirro our IGP
👏👏👏👏dady umeongea hata kupigapiga raia wanapiga hao, na ndio maana wanageuka maadui kwa raia ahsante dady kwa kutusemea.
Mashaalah kamanda ww ni really police officer na unajua wajibu wa police na kazi yake ongera mkuu
Zubeir Khamis Abdallah ,Ongea kamanda wetu,hao wanaojidai ni miungu watu,Makamanda watendahaki waliopita Omar Mahita,Seleman Kova,Rashid Hemed,hoyeee!!!
safi sana mkuu proud of Mara regions proud of tanzania
IGP hongera sana kwa kuwafunda makamanda wenzako!
That is very important Mr Simon siro they should be looking differ as a mirror of a society
Hongera kwa Rais JPM kwa kumteua huyu IGP.
Ni kwel lkn hata kusema hapo mapungufu yake NI kumdhalilisha yeye na wewe uliye mteua! Muite ofisin mwambie!
SAFI SANA MKUU,NATAMANI HAYO ULIYOYAZUNGUMZA,UYATEKELEZE KWA VITENDO,TAIFA LINAHITAJIA USIMAMIZI WAKO WAKIUNGWANA NA WAKISHERIA,HASA WAKATI HUU TUNAPOELEKEA KWENYE UCHAGUZI MKUU,BUSARA KAMA HIZI ZINAHITAJIKA KULIKO WAKATI WOWOTE ILI KULINUSURU TAIFA LETU LIBAKIE LENYE AMANI.
Nimekuelewa uko vzr uani nimesikiriza mpakamwisho ukojuu mkuu
Ni kweli speach nzuri ila mimi sizani kama tulipaswa kujua habari za hicho kikao maana sio vikao vyote ni vya kutuonyesha sisi
Yaap hat mm nldhani hvyo
Kamanda wako hakikosea Mwandikie Barua Au Muite Ofisini ili kulinda Nidhamu kwa Jeshi Letu Nakukubali ila hapo Sijaipenda hiyo Afandeeeee wangu
IGP upo sawa hongera kila cku umekuwa ukioñgea point
mzeee nakupenda sana ....you are perfect
ILa kamanda sirro ni moto 😀😂😂
Asante boss. Ni vzr kumwamsha alie lala. Akilala sana atakoroma atachafua na hali ya hewa. Asante Magu raisi muona mbari.
This is a real policeman officer very intelligence keep it up.
Kweri kamanda cheo ni dhamana mungu akuongozeee simamia kwenye ukweri
Yes SIR...big up
IGP siro Mungu akulinde big IP sans👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Thanx kamanda naamini wamesikia na kwenye clip wanaonekana imewaingia kweli.
Lkn pia tuwakemee waandishi wa habari wanaogeuza ofc za ma Rpc sebule zao ,wakiamka wako huko.
Tena wanarusha.kila kitu bila kuzin gatia maadili ya uandishi. Yaani wao na vyombo vyao na hao makamanda wachache wapenda kiki wamekuwa mahakama,kila mtuhumiwa kwao tayari wanamhukumu bila ya kuckilizwa.
Pia JAJI mkuu akemee tabia hii ya kuingilia uhuru wa mahakama ,kwani ni mahakama tu inauwezo wa kuhukumu cyo chombo kingine ,mahakama zetu zisikae kimya uhuru wake unapoingiliwa.
IGP sasa malaika wa mungu wameanza kukutembelea safi wapesomo kamanda PGO waijui vizuri
Kuna huyo muroto akikukamata hata una mihangaiko yako ya starehe usiku ataita press over amekamata jambazi sugu😂😂😂😂😂
Hongera sana mkuu. Jeshi ni taasisi yenye muundo na sheria za kimataifa. Mbwembwe jeshini hazitakiwi!!!
Kwa Mara ya kwanza nimeikubali polisi na ni kwa Ajiri ya speech yako Sirro...maana wanatunyanyasa sana mtaani na kutudhalilisha bila ushahidi
Well said IGP👏
Nakupenda saana silo mungu wa mbinguni akubariki naakufishe mbali
Leo umeacha uccm ivo ndio jeshi la police linavo takiwa umeharibu jambo moja tu kuwataja majina awo washamba ulikua useme ki ujumla jumla tu lakini nakupongeza sana sana kila mtanzania atakae kusikia uliyo yasema atala vizuri sana leo uzi uwo uwo camander mkuu
Jeshi la polisi huwa linakurupuka kama wameambiwa wakakamata mtu huenda na kukamata bila ya kuchunguza kwanza mashitaka waliyopelekewa, na kinachotekea ni usumbufu na hasara sana kwa wananchi sababu baadhi watu wanaacha kazi na kutumia gharama sisizo na maana kwenda kumtoa mwenzao polisi. Nachohitaji hili swala waliliangalie sana na kuliwekea mikakati ya kulitatua.
Ndio yale aliyoongea Rais mama Suluhu kwamba ma waziri hawawaheshimu Manaibu waziri huyu IGP Ziro anajiona yeye ni mkweli wakati ni mnafiki anaongea uharo mtupu.
Unazungumza manyanga manyanga ni Zaid ya kuongea pumba yani tahira nimekuelewa kamanda siro
Haaa,wagonge!!
Yeye mwenyewe amekosea sana kutoa siri za jesh ktk media. Hizo ilifaa awagombeze ktk kikao cha siri...sio mbele ya camera za waandish namna hio. Aibu sana. Unawagombeza askali wako mbele ya public kesho utegemee wawe na heshima...ameiga kwa magu udhalilishaji. Nchi hii inahitaji maombi...kila kitu ovyo ovyo ovyo...it's a big shame.