Abdallah Mssika Aeleza namna alivyomkamata Jasusi wa kwanza Mtanzania Juma Thomas Zangira

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 05. 2023
  • Abdallah Mssika
    Aeleza namna alivyomkamata Jasusi wa kwanza Mtanzania Juma Thomas Zangira

Komentáře • 112

  • @andrew29468
    @andrew29468 Před 3 měsíci +10

    Huyu mzee ni mzalendo,ingekuwa watoto wa sasa wangeingia kolabo,asante sana nimependa uzalendo wako hii ndio inatakiwa.

  • @mc-omoro2366
    @mc-omoro2366 Před 4 měsíci +20

    Namkumbuka Kamanda Msika alipokuwa mkuu wa kituo cha polisi Osterbay alikuwa mtu wa msaada sana asiyependa watu kuwekwa kituoni bila sababu ya msingi. Mweledi na mtu wa kuielewa kazi yake. Mungu ampe umri zaidi.

  • @USACAUDIOVISUALMATERIALS
    @USACAUDIOVISUALMATERIALS Před 4 měsíci +14

    Mzee Msika ulinitendea haki nilipotupwa lumande pale Central, nikiwa Chuo Kikuu DSM. Nakukumbuka sana sana Mzee. Mungu akubariki sana.

  • @mwasakafyukasamson
    @mwasakafyukasamson Před 2 dny +1

    ISHI sana kamanda Mssika, tunajivuniakazi zako

  • @viatorymkama8925
    @viatorymkama8925 Před 5 dny +4

    Kwa operation yenye mafanikio nakufananisha na Rafi Eitan aliyeongoza mossad katika operation ya kumkamata Ricardo Clement. Hongera sana kwa utumishi uliotukuka.

  • @didimeandrewngowi
    @didimeandrewngowi Před 5 měsíci +14

    Namkumbuka sana kamanda msika, aliwahi kuwa hapa moshi akiwa Inpector wa polisi, nakumbuka alikuwa mwendesha mashtaka katika mahakama hapa moshi alikuwa tinashari aliyekuwa anajipenda na smart,nashukuru sana mpaka sasa yuko vizuri.Hongera sana afande mstaafu, uko vizuri😂😅🎉Didime Andrew Ngowi, Moshi Tanzania.

  • @user-py4kv5gk5y
    @user-py4kv5gk5y Před 4 měsíci +8

    Huu ndo uzalendo wa nchi👏👏👏

  • @suzanambatta1126
    @suzanambatta1126 Před 4 měsíci +6

    Kwa kweli nimejifunza kitu👏

  • @angelinamwakilufi8881
    @angelinamwakilufi8881 Před 4 měsíci +11

    Miaka 74 anonekana .muhandsome bado mwili mzur sana. Hongera pia kamanda Msika! Kwa kazi nzur

    • @akonaayako7185
      @akonaayako7185 Před 4 měsíci

      Huyu ni Mwongo. Thomas Zangira alipigwa risasi.

    • @angelinamwakilufi8881
      @angelinamwakilufi8881 Před 4 měsíci

      Eti enheee ahajahahha

    • @user-km1do5lq7c
      @user-km1do5lq7c Před 13 dny

      Mwaka 74 anaka awa 45

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Před 8 dny

      ​@@akonaayako7185wee mtoto wa juzi hujui kitu aliepigwa risasi ni jeneral kombe mkuu wa usalama wa taifa siyo zangira, na mwingine ni yule komando alierukia gari la bia aluoiwatoroka mapolisi na usalama wa taifa pale kinondoni nimemsahau jina na hii ilikua kesi ya kumoindua nyerere kesi ya zanngira ilikua nyingine

  • @mohammedsaqry3036
    @mohammedsaqry3036 Před 4 měsíci +8

    Abdallah Msika Allah akuhifadhi sikujuwa kama upo Dar es Salaam Insha Allah nitakutafuta

  • @justinmichael768
    @justinmichael768 Před 3 měsíci +6

    Kwanza pongezi nyingi kwa huyu Mzalendo. Jeshi la police linapaswa kujifunza mengi kupitia kwa huyu bwana

  • @soplisjoachim5884
    @soplisjoachim5884 Před 5 měsíci +9

    Huyo jamaa is a real champion

  • @kibundapesamadimba6352
    @kibundapesamadimba6352 Před 3 měsíci +5

    Safi Sana wazalendo ndio hawa,sasa sio hawa wanajitapa majukwaaani.

  • @kibundapesamadimba6352
    @kibundapesamadimba6352 Před 3 měsíci +3

    Well trained Police Officer with ethics and integrity, respect hero!!!!!!

  • @ghatichomete74
    @ghatichomete74 Před 4 měsíci +4

    Mungu akulinde mzee

  • @Marjeby
    @Marjeby Před 10 dny +3

    Kamanda Msika mtu mwema sana kuwahi kutokea kati jeshi la polisi bila shaka now anaishi kwa furaha sana

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 Před 6 dny +2

    Namjuwa vizuri uyo msika akiwa Kagera na shinyanga ,nimtata kweri kweri

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před 9 měsíci +7

    Huyu jamaa ni mtu muhimu sana ktk hili taifa

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 Před měsícem +2

    Hongera zako kamanda Msika

  • @soplisjoachim5884
    @soplisjoachim5884 Před 5 měsíci +7

    Kwa kipindi kile technology ilikuwa ndogo lakini mwamba uliweza kufanya upelelezi....... Ulijitahidi sana

  • @halemmmbarak16
    @halemmmbarak16 Před 4 měsíci +6

    Very intelligent officer.

  • @abubakarimburu9096
    @abubakarimburu9096 Před 4 měsíci +6

    Kila aliyewahi kufanyanaye KaziI hawezi kumsahau msika

  • @user-vp8vc3ko7d
    @user-vp8vc3ko7d Před 9 dny +3

    Anaongea pole pole sana atia uvuvi

  • @michaelmatonange630
    @michaelmatonange630 Před 3 měsíci +2

    Nimefurahi sana kusikia story hii

  • @hajjsuleiman3317
    @hajjsuleiman3317 Před 5 měsíci +3

    Namkumbuka kamanda msika alikuwa kamanda anayefanya kazi yake vizuri saana na kwa uhakika kabisa na uweledi wa hali ya juu

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 Před 4 měsíci +7

    Kasaidia wengi sana pale shinyanga

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 Před rokem +9

    Mzee yuko vizuri. Jargon zinamtoka pasi na shaka.

  • @user-jj7mw7fi4q
    @user-jj7mw7fi4q Před 4 měsíci +6

    Hili tukio nalikumbuka la helicopter kuanguka lilitokea tukiwa darasan tulisikia kishindo tulikimbilia kwenda kuangalia uwanja wa polis 1996 nikiwa darasa la sita.

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 Před 4 měsíci +8

    CHEZEA NCHI ZOTE DUNIANI LAKINI USIICHEZEE TANZANIA KATIKA ULINZI NA USALAMA.

    • @israelmkaka2807
      @israelmkaka2807 Před 4 měsíci +1

      Enzi zile....Sikuhizi Siri za Nchi zinavuja hovyo,,Wanaoajiriwa hawana nadhani Vigezo ni Undugu

  • @user-qt1bi3rr5h
    @user-qt1bi3rr5h Před 4 měsíci +3

    KAMANDA UMETISHA SANA HONGERA SANA

  • @barnabasmwingira7063
    @barnabasmwingira7063 Před 4 dny +1

    You are the best one of the best 🫡

  • @jamestaifa3461
    @jamestaifa3461 Před 4 měsíci +5

    Hii ndo maana ya utumishi uliotukuka

  • @georgelugwisha8798
    @georgelugwisha8798 Před 25 dny +1

    Angetunga kitabu ingekuwa poa sana

  • @mwabuselectors
    @mwabuselectors Před 6 dny

    Aisee hizi hazina za story zinahitajika sana kwa taifa,

  • @selemanshineni7809
    @selemanshineni7809 Před rokem +5

    Salute Kamanda

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před 4 měsíci +2

    Mashaallah

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 Před 4 měsíci +2

    ❤❤❤🤝🤝🤝madini kabisa.

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 Před 4 měsíci +2

    muhim mngetuambia yu wapi Thomas Zangila je kama alifungwa gereza gani na yuko wapi sasa! kama alikufa ni mwaka gani na alifia gereza gani na lini!

  • @simbilomwakipamba6970
    @simbilomwakipamba6970 Před 7 dny +1

    MALANGALI💥

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před 4 dny +1

    Juma thomas zangira yuko wapi kwa sasa? Je bado yuko jela? Au alifariki?

  • @johndominic7754
    @johndominic7754 Před 4 měsíci +4

    Hongera sana abdala sasa ndio wajue CCM ni baba wa waafrika wanasiasa msichezee ccm imetoka mbali

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Před 5 dny +1

    Tunaomba Diet yako mzee,mana bado uko fit.Mimi nina 50yrs tu,lkn niko hoi.

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo Před 8 měsíci +2

    01:30 nimecheka huyu baba mtu mzuri

  • @salumjabir813
    @salumjabir813 Před 4 měsíci +1

    😂😂😂😂...intelligence ya tanzania imekuwa sana..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kinanaomar
    @kinanaomar Před 7 dny +1

    Samahani wakati huo kikwete hakuwa raisi bali mkapa ndiye aliye kuwa raisi

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 4 měsíci +3

    Hapo 19:00 usimwamini mtu aliyemsaliti rafiki yake

  • @athumanizinga-wi3ze
    @athumanizinga-wi3ze Před 11 měsíci +3

    Akufungwa.maisha.iliukumiwa.miaka.²⁰.akakata.rufaa.akapunguziwa.akafugwa.miaka.¹2

  • @saidimwishehekienda933
    @saidimwishehekienda933 Před 4 měsíci +4

    Hiki ndio kizazi cha mwisho cha jeshi la polisi kilichojenga heshima ya taasisi ya usalama na jeshi kwa ujumla.Baada ya kizazi hiki kilichofuata kilikua ni fungu la kukosa........mpaka sasa hivi.

  • @meckcassius3983
    @meckcassius3983 Před 4 měsíci +4

    Iringa boy

  • @cbegram6161
    @cbegram6161 Před 4 měsíci +24

    Sasa bongo movie Mbona movie Ndiyo hizi au waandika story ndiyo wanazingua? Maana watu wanaponda sana😂😂 ushauri wa bure

  • @hon.fahadijumalikwena1012

    Kama movie vile

    • @SHEIKHMWAIPOPOTV
      @SHEIKHMWAIPOPOTV Před 6 měsíci

      Kamanda msika nakupata sana kama wangu nilikuwa na wewe mwanza ongela sana

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Před 7 dny

    Asante ila kuna story iliendelea kuhusu hukumu ya Zangira kuna sehemu tuliambiwa alihukumiwa miaka 23 akakata rufaa kapunguziwa mpaka miaka 12 nadhani atakua kisha toka, la pili huyu mtu yupo vizuri kiuongozi alifaa kuwa IGP maana mwanafunzi siro kaja kuwa IGP 😅hongera kwa uvumilivu kamanda Msika

  • @user-db6gr1gn2d
    @user-db6gr1gn2d Před 5 měsíci +2

    Andika Kitabu

  • @shedyjr3227
    @shedyjr3227 Před 4 měsíci +1

    Hyo nyimbo kwa background inaitwajwe!?

  • @jacksonsilaa415
    @jacksonsilaa415 Před 4 měsíci +1

    Jet Ranger mliiacha Nachingwea Bwana

  • @simonnyangusi9973
    @simonnyangusi9973 Před 4 měsíci +1

    Mzee yuko fit,kweli kustaafu sio mwisho wa maisha.Tutafutie na kamanda mstaafu zpaul chagonja

  • @mussakingazi8875
    @mussakingazi8875 Před 4 měsíci +1

    Alitapeliwa na deo mgasa kwamba angempa ua igp,

  • @hajjsuleiman3317
    @hajjsuleiman3317 Před 5 měsíci +1

    Hongera saaana mkuu kamanda Abdallah ulikuwa jasiri mno na wewe ni mtu muungwana saana

  • @vayeen
    @vayeen Před 4 měsíci +1

    Huyu mwandishi anatakiwa kuwa controlled

  • @user-rs3zg1wj6q
    @user-rs3zg1wj6q Před 4 měsíci +1

    Kama kamanda ulifikia rank gani ktk karate??

  • @victoriamazula5592
    @victoriamazula5592 Před 4 měsíci +1

    Nilimfahamu Zangira. Alikuwa karibu sana na Ikulu. Kwa kweli alikuwa ni mtu muongo sanaaa

  • @AbdulGermany210
    @AbdulGermany210 Před 4 měsíci +4

    Çha kujiuliza sasa hivi je bado yupo ndani au kashatoka maàna mmmh

  • @user-xf6pg4vf2t
    @user-xf6pg4vf2t Před 4 měsíci +1

    Je mna undugu na Abdalah Waziri Msika au ndio we mwenyewe , mwaka 1973 alikuwa CCP Moshi akiwa na lank ya Cpl

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Před 4 měsíci +1

    Mzee Abdalah namtafuta mwanao mmoja alisema wwe babake mdogo kama sikosei...anaitwa Mohamed Msika...aliend south Africa...mwenye taarifa zske pls..nilikutana naye Mbeya miaka ya 2000's

    • @princematumbo
      @princematumbo Před 4 měsíci +2

      Mohammed msika ni mwanae haswa,Sio babake mdogo,na hayupo Africa kusini.

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Před 4 měsíci +1

      @@princematumbo duh...yuko wapi?? nisaidie namba zake...

    • @user-ct4vj9gg6w
      @user-ct4vj9gg6w Před 4 měsíci +1

      Mohamed msika ni mwanae wa kumzaa

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Před 4 měsíci

      @@user-ct4vj9gg6w yuko wap?

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 Před 10 měsíci +1

    Usaliti haujaanza leo

  • @akonaayako7185
    @akonaayako7185 Před 4 měsíci +1

    Tukio la Thomas Zangira ilikuwa wakati wa Utawala wa Nyerere. Nashangaa huyu Msika abazungumza kwamba Bosi wake alikuwa Adadi Rajabu na Tibaigana. Hawa ni watu wa juzi. Zangira alipigwa risasi wakati wa jaribio la kupindua serikali mwaka 1982. Mhusika Mkuu alikuwa Mabere Marando

    • @akonaayako7185
      @akonaayako7185 Před 4 měsíci +2

      Huyuni Mwongo

    • @victortemba
      @victortemba Před 3 měsíci +1

      Nilivyomuelewa mimi Adadi Rajabu na Tibaigana walienda kupekua nyumbani kwa Zangira hivyo walikua askari wa chini kivyeo,kama huyu alikua Sajenti.Walikua vijana wadogo wa jeshi la polisi wapelelezi.

    • @halfanitambu525
      @halfanitambu525 Před 3 měsíci +3

      Msikilize vzr utamuelewa

    • @jee9473
      @jee9473 Před 3 měsíci +1

      @akonaayako7185
      Jaribio la mapinduzi la mwaka 1982, halikumuhusisha Thomas Zangira. Hivyo basi, hakuuliwa katika sakata hilo la 1982.
      1982 iliwahusisha kina Pius Lugangira, Hatibu Gandhi (McGhee), na wengine 17.

  • @AbdalahDudu
    @AbdalahDudu Před 6 dny +1

    Nakumbuka sana tukio ili la ajali ya ndege nachingwea

  • @akonaayako7185
    @akonaayako7185 Před 4 měsíci +1

    Mbona inafahamika Zangira alifariki kwa kupigwa Risasi?

    • @jee9473
      @jee9473 Před 3 měsíci +1

      Utakuwa umechanganya na taarifa ya mtu mwingine.

  • @edwingideon3606
    @edwingideon3606 Před 4 měsíci +1

    Mbona shati imeloa na jasho, alikuwa anatembea kuja kwenye kipindi?

    • @mssikan9223
      @mssikan9223 Před 3 měsíci

      Hilo ni shati la light blur, na hapo ni nyumbani kwake, sebleni kwake na ni full AC... kwahiyo ni aina ya shati na sio jasho 😊

  • @thelistener8357
    @thelistener8357 Před 2 měsíci +1

    Jeshi la polisi ?? Polisi ni polisi jeshi ni jeshi mbona mna-confuse watu

    • @allymoshi2053
      @allymoshi2053 Před 3 dny +1

      Hakuna kuconfuse labda kama unachanganya majeshi yako mbalimbali watu wengi wamekalili tu jeshi la wananchi lakini ni zaidi mfano= kuna jeshi la polisi,jeshi la magereza, jeshi la zimamoto na uokoaji

  • @cbegram6161
    @cbegram6161 Před 4 měsíci +2

    Sasa hapo inabidi na Zangira mwenyewe ahojiwe

    • @ramsojimmykelly3379
      @ramsojimmykelly3379 Před 4 měsíci +1

      ahojiwe akiwa jela au

    • @israelmkaka2807
      @israelmkaka2807 Před 4 měsíci

      Tena atafutwe, aelezee..Wenzetu kule Nchi zilizoendelea, Siri za namna hiyo baada ya miaka kadhaa, inakuwa sio siri

    • @cbegram6161
      @cbegram6161 Před 4 měsíci

      @@ramsojimmykelly3379 waandishi wanajua namna ya kufanya na sharia zinasemaje

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Před rokem +6

    Day, miaka hiyo kumpeleleza/kumfatilia mtu hulali, hunywi, huendi, hurudi. Eeh bwana wee, si Mark Zuckerberg kaja na Facebook, iPhone na Samsung wakaja na spy cam 📷. Upo kitandani mwako na jamaa wanajua maua ya shuka na rangi ya chumba. NSA, FBI, CIA, GCHQ, MI5, MI6 ... shikamooni.
    Edward Snowden shikamoo.

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 Před 4 měsíci +10

    Mzee anaonekana ni msafi na yuko well coordinated kwenye mavazi. White shirt, blue suit, soksi, and watch. Black kofia and shoe.
    Kwenye lugha ya kiswahili and kiingereza na lafudhi zake nzuri. Huwezi kujua ni mzaliwa wa wapi.
    Anajua kujenga hoja pia.
    Afya yake kwa nje inaonekana nzuri. Anaonekana ni kijana kuliko mtangazaji. Ambako mtangazaji bila shaka ni mdogo sana kiumri

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 Před 4 měsíci +1

    ITUMIKE MARA NYENGINE HELIKOPTER IKIENDA KUTUA UWANJA WA VUMBI WAMWAGE MAJI YA KUTOSHA UWANJA ULOWE NA KUZIPA TABAKA LA VUMBI.
    HONGERA KAMANDA, KWA UWELEDI