MASOUD MASOUD: BONGO FLEVA SI MUZIKI WA TANZANIA/ AWACHANA MASTAA/ ''HAWANA ELIMU''/GRAMMY

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 01. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #diamond #alikiba #grammys

Komentáře • 79

  • @Wachuoni
    @Wachuoni Před 5 měsíci +4

    Huyu brother huchoki kusikilizana, deep sea of knowledge , God bless you brother

  • @titongholo6261
    @titongholo6261 Před 5 měsíci +7

    Masoud Masoud anastahili sana kuwa Manju wa Muziki Tanzania. Huwa sipendi kukikosa kipindii chake cha alfajiri jumamosi TBC. Hongera sana Masoud Masoud. Mungu azidi kukubariki.

    • @mackamehassani201
      @mackamehassani201 Před 5 měsíci +3

      Tumeshindwa kbs kbs kumtumia huyu mtu kaka, anaujua kwl muziki.

    • @noahb2009
      @noahb2009 Před 5 měsíci +2

      Kumbe Bado yupo tbc, kesho nitatega kumsikiliza huyu gwiji

    • @jacksonmsendo3478
      @jacksonmsendo3478 Před 2 měsíci

      Uyu jamaa ukipata kumsikiliza kipindi chake hutakaa uache tbc fm

  • @hassanb.chaula4248
    @hassanb.chaula4248 Před 5 měsíci +5

    Mtangazaji amepata bahati sana kumhojo Masoud, ni kitu kigumu sana kumhoji mtu aliyekuzidi kil kitu. Pia nimefurahi sana Shule aliyotoa Masoud.

  • @pellestianomasai1220
    @pellestianomasai1220 Před 5 měsíci +4

    One of the Greatest Presenters Of All Times… Masoud Masoud made me know and gradually fall in love with Country Music as well as Rock an Roll back in the late 90’s and Early 2000’s while he was with Radio One Stereo! Such an Informed and very articulate individual. His Autobiography and Skills need to be documented for generations to learn, emulate and/ or get inspired by, he is truly one of Tanzania’s Treasures as far as Music knowledge and presentation is concerned…💪🏾

  • @mcdericktv7298
    @mcdericktv7298 Před 5 měsíci +2

    Mtangazaji mpaka anajiona kapwaya…Legend aishi saaana

  • @MightyLumber
    @MightyLumber Před 4 měsíci +1

    Nakiri bila unafiki, hapa Tanzania hatuna watangazaji hata kidogo, wote ni useless tu. Huyu Manju ni dhana pekee kwa taifa letu, aenziwe na serikali👏🏽

  • @ahmedghoth2996
    @ahmedghoth2996 Před 5 měsíci +3

    Legendary masoud masoud

  • @MightyLumber
    @MightyLumber Před 4 měsíci +1

    Bongo fleva ni muziki wa kisenge sana

  • @matukimerchant5170
    @matukimerchant5170 Před 5 měsíci +1

    Mtangazaji Asante sana kwa uwasilishaji huu wa pekee. Swali langu kwa manju Masoud Masoud je ameandika kitabu cho chote kinachozungumzia muziki? Kwa mfano muziki ni nini chimbuko lake n.k. Kama hajaandika, je anampango huo?
    Natamani aache utaalamu wake kwenye vitabu kwa kizazi hiki na kijacho.

  • @MalewaKapala-qi8ij
    @MalewaKapala-qi8ij Před 5 měsíci +2

    Yaani Masoud Masoud Leo amegusa pale panaponiumaga sana Mimi. Mtangazaji kushindwa kutofautisha LA na RA , au Sa na Tha....nakerekaga sana aisee

    • @stanleykatare8314
      @stanleykatare8314 Před měsícem

      Masoud anajua anachokifanya kwa ufupi ni mtaalam wa tasnia yake.

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 Před 4 měsíci +1

    Kumbe kuna watu. Hawa hawaonekani Tanzania yangu eti waziri wa michezo nape hapa hafiki ngooooo!!!!

  • @ayk20
    @ayk20 Před 5 měsíci +2

    Afu kule kwenye bss wanawapeleka wakina shilole waka judge music daah hatari sana hahahhaha

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 Před 5 měsíci +2

    Mimi Shabiki wa masoud masoud no moja

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633 Před 5 měsíci +2

    Huyu Jamaa anajua sana sanaaa

  • @JacksonNovatM
    @JacksonNovatM Před 5 měsíci +2

    Tumuendeleze Saida Karoli.

  • @user-xl4uc5px9j
    @user-xl4uc5px9j Před 5 měsíci +3

    Wakat majizo anapambana na singeli tulikua hatumuelewi mimi pia sikumuelewa ila leo hiii nauona mbali mnooo

  • @ngido255
    @ngido255 Před 5 měsíci +4

    Ukisikia gwiji ndio hili sasa😊

  • @allykigatta7564
    @allykigatta7564 Před 5 měsíci

    ..kabla ya kuuhoji MWAMBA HUU MKUBWA ni vizuri kwanza ukajiandaa....MASOUD NI MWAMBA MKUNWA SANA....

  • @leecode6135
    @leecode6135 Před 5 měsíci +2

    Hii machine

  • @Marjeby
    @Marjeby Před 5 měsíci +2

    Masoud Masoud Mwamba sana huyu jamaa.
    Masoud Masoud nna ujamaa naye kwenye ukoo wetu lakini pia kwetu hapo Kariakoo mtaa wa Udoe tupo jirani kabisa na kulipokuwa ukweni kwake for the first time kama sikosei ilikuwa mwaka 1996 au 1997 nilimuona live Tabora kwenye msiba wa mama yake mzazi nakumbuka marehemu baba yangu alinipigia simu yeye akiwa kikazi Misri kipindi hicho akanambia nenda kamzike bi Zuwena na akanielekeza ujamaa wao ulivyo na family ya kina Masoud but hata sikumbuki na kipindi hicho Tabora nilikuwa kikazi tu katika ofisi ya mkuu wa mkoa so nilikwenda kama mara mbili hivi kwenye msiba wa mama yake kwa kutii amri ya marehemu mzee wangu na ndipo nilipo muona live huyu Mwamba.

  • @user-we9ut9ih6m
    @user-we9ut9ih6m Před 5 měsíci +1

    Kweli watangazaji wa sasa hivi hawazitamki ipasavyo hizi herufi za L na R

  • @zikankubasijali1251
    @zikankubasijali1251 Před 5 měsíci

    Mwamba mkuu sana huyu the best of the best

  • @user-tf2bz8ou1c
    @user-tf2bz8ou1c Před 5 měsíci +2

    Dogo fundi sana kwenye maswali

  • @hashymomy6256
    @hashymomy6256 Před 5 měsíci +1

    Dah muulizaji anajibuwa mpaka swali la baadae 😂😂 legendary anapaswa kuulizwa na legendary 🎉

  • @titongholo6261
    @titongholo6261 Před 5 měsíci +1

    Usiseme Manju tu sema Manju wa Muziki

  • @frumencejoseph5539
    @frumencejoseph5539 Před 5 měsíci

    Huyu bwana ni nguli sana,yawezekana akawa nguli hata Afrika nzima, tatizo hatudhamini watu wetu na kuwatumia vizuri.

  • @uwezokinahi7870
    @uwezokinahi7870 Před 5 měsíci

    I like this dude... Ni Manju Haswa

  • @mohamedkassim5524
    @mohamedkassim5524 Před 5 měsíci +3

    Natamani kumsikia tena na tena.

  • @AbuuKakai
    @AbuuKakai Před 5 měsíci

    Lovely

  • @godlistenmuro9313
    @godlistenmuro9313 Před 20 dny

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Mwl_Sanga
    @Mwl_Sanga Před 4 měsíci

    Bado yupo TBC, vipindi Gani na siku zipi yupo ni TBC FM au Taifa

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633 Před 5 měsíci +1

    Masoud Masoud Gwiji Hyu.

  • @songombingo108
    @songombingo108 Před 5 měsíci +1

    Bingwa wa Mabingwa Masoud Masoud.

  • @MomadeMudimoz70-cs2ud
    @MomadeMudimoz70-cs2ud Před 2 měsíci

    🙏🙏🙏🙏

  • @saluuhans
    @saluuhans Před 5 měsíci +1

    King Manju

  • @AliKhamis-sm5yp
    @AliKhamis-sm5yp Před 3 měsíci

    Hakika umesema kweli

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před 5 měsíci

    Kwa kweli ya kale ni dhahabu. Umenikumbusha Anko J "Julius Nyaisanga". Wako wapi hao watu jamani.

  • @lamekkauka9056
    @lamekkauka9056 Před 5 měsíci

    Daa huyu mzee noma anazutia kwanini asepewe kipindi

  • @webstersinje7712
    @webstersinje7712 Před 5 měsíci +1

    Mzee huwa anamwaga maarifa popote akikutana na kipaza sauti,elimu ya bure,hii ni hazina ya taifa....Kunta...Kinte.

  • @IbrahimMkwawa
    @IbrahimMkwawa Před měsícem

    😢

  • @matukimerchant5170
    @matukimerchant5170 Před 5 měsíci

    Swali langu kuhusu kitabu kimeandikwa nimejibu baada ya kusikiliza mwanzo hadi mwisho. Nimegundua anakaribisha mtu kuandika kitabu cha historia yake Manju Masoud Masoud. Sasa ninakuomba Manju andika kitabu cha muziki tu kinachofundisha muziki. Siku moja serekali ikirudisha somo la.muziki ahuleni, tujivunie kusoma kitabu kilichoandikwa na mtanzania mswahili mwenzetu.

  • @trillionthamani
    @trillionthamani Před 5 měsíci +1

    Huyu faza ndo kanifanfa nipende muziki wa zamani

  • @matukimerchant5170
    @matukimerchant5170 Před 5 měsíci

    Nimependa kwa origin of music 🎶 is God. Because music is sound and God created by music.

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton8911 Před 5 měsíci +3

    Masoud masoud piga makofi

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 Před 5 měsíci

    Hii ni hazina kubwa sana

  • @athumanmfangavu7320
    @athumanmfangavu7320 Před 4 měsíci

    😅😅🎉❤mashine hii

  • @thetas08
    @thetas08 Před 5 měsíci

    Leo ktk kusikiza mtu alieojiwa akaelezea deepth kitu anachoulizwa akakijibu perfect ni huyu bro na kama upo in music rudia kumsikiza huyo bro

  • @JacksonNovatM
    @JacksonNovatM Před 5 měsíci +1

    If you know you know. Masoud tisha sana.

  • @ruu6592
    @ruu6592 Před 5 měsíci

    Ao wanamziki tunawaonamwisho wao

  • @deekendi191
    @deekendi191 Před 5 měsíci

    Nampataje uyu, teacher pliz. Contacts zake

  • @abelkilumbu9205
    @abelkilumbu9205 Před 5 měsíci +1

    ✍✍✍

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 5 měsíci +1

      Kijana huyo mtu ni lulu jaribu kuendelea kuwahoji hao wataalam ambao kuna kila dalili wakiondoka hakuna ataewarithi maana yake journalism sasa imekua kituko ukiona watu wengi waliomo humo.

    • @abelkilumbu9205
      @abelkilumbu9205 Před 5 měsíci

      Kabisa Mkuu 🤝🏼

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 5 měsíci

      @@abelkilumbu9205 hebu tafuta hata time ujue mengi zaidi kuhusu watu kama hao hata siku wakiondoka basi tutabaki na stori zao

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 5 měsíci

      @@abelkilumbu9205 kwa umri wako na ulivyomjua huyo nakutabiria bright future maana 98% ya waandishi wa age yako ni weupe mnoo content of brightness hawana ndio maana wamejazana kwenye mpira kuhoji washabiki kwenye vibanda vya kahawa na maswali yao ya changamoto gani unaiona so sad

  • @mustafakingwande9459
    @mustafakingwande9459 Před 5 měsíci

    Naomba upate muda wa ziada umrudie huyu jmaa

  • @athumanmfangavu7320
    @athumanmfangavu7320 Před 4 měsíci

    😅

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 Před 5 měsíci

    Mwanao Jamaal nae amevaa viatu vyako

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Před 5 měsíci +2

    Masoud makes a great point ila bado ana umarekani mwingi. Anaona vitu vya nje tu ndo Bora Grammy's, Jimmy Kimmel, Dave letterman etc. Sio lazima utoboe Marekani ili uwe Bora hiyo ni backward thinking.

    • @MightyLumber
      @MightyLumber Před 4 měsíci

      Katoa elimu safi sana kitu ambacho watanzania wengi hawajuwi, umarekani wake ni upi hapo?

    • @MightyLumber
      @MightyLumber Před 4 měsíci

      Hapa Tanzania kuna mwanamuziki wa maana kweli? Vijana wa bongo fleva ni miyeyusho tu, sema tu wanakubaliwa na watu wasiojuwa lolote kimuziki na huko tuendako watagundulika tu kuwa wako fake na kususwa.

  • @aliyissa9857
    @aliyissa9857 Před měsícem

    Khaini mkubwa. Chotara wa kimanga

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Před 5 měsíci +1

    Mwamba huyu

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 Před 5 měsíci +1

    Malegend wasio successful huwa wapo soo bitter 😅 msikilize juma nature na chidi benz 😂 mwenzao prof j nae anategemea misaada tu saivi

    • @ley107
      @ley107 Před 5 měsíci

      Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake, haijalishi yuko successful au la, na Success ya mtu ni tafsiri yake, nyakati nyengine mpaka uwe nae karibu mno kujua hatua gani amepiga, si kana kwamba wewe hufahamu ana miliki nini basi iwe hamiliki kitu. Haipo hivyo

    • @Anuaryomary-su9cd
      @Anuaryomary-su9cd Před 5 měsíci +1

      Lakini ukiangalia pia wanakuzidi kimaisha fala wew

    • @cuthbertmaro9131
      @cuthbertmaro9131 Před 5 měsíci

      You have done a very wrong judgement, my friend,How do you now know is not successful?Do you know him at the first place?

    • @clementiddi5708
      @clementiddi5708 Před 5 měsíci

      You definitely hurts. Don't know sh.t about music.

    • @melki-kabalu759
      @melki-kabalu759 Před 5 měsíci

      "Success" kwako inapimwa kwa vigezo vipi?

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Před 5 měsíci

    Na bange je!? 😂😊