MAUAJI MISITU YA CONGO: TANZANIA INAHUSIKA NA M23?/ KAGAME ATOA USHAHIDI/SAMIA, KIKWETE WATAJWA/JWTZ

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 03. 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Congodrc #kagame #mamasamia

Komentáře • 386

  • @simonbir3835
    @simonbir3835 Před 4 měsíci +8

    Unadanganya mukubwa m23 siyo wa nyamulenge wa nyamulenge wanayishi [south] M23 wana ishi North DRC M23 wanaitwa Banyamasisi. Tena niwa Congomana wa tusi.

    • @kilungahamis1270
      @kilungahamis1270 Před 4 měsíci

      Congo ni wabantu watupu, ukisikia mtusi basi sio Mkongo.

    • @Caroline.1727
      @Caroline.1727 Před 3 měsíci

      Toka uko amedanganya kwa nini iyo ni uhaki ,njo mahanq watu hawasikiya ,

    • @Caroline.1727
      @Caroline.1727 Před 3 měsíci

      ​@@kilungahamis1270wapatiye wengine anani ao wapatiye kwaho wahachunge peke yaho

  • @HusseinKagesho
    @HusseinKagesho Před 4 měsíci +1

    ❤❤❤❤we were umesema ukweli kabisa..... Iakinihalitawezekani ikiwa kicks niAmerika.... Asante kaka Hussein kagesho kutoka 😮😮😮😮😮😮😮KENYA

  • @KhalfanHabibu
    @KhalfanHabibu Před 10 měsíci +4

    Kamanda umetoa tarifa nzuri sana kuhusu congo

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Před 4 měsíci +6

    Huo jama anataka ajulikane nayeye muongo sna

  • @reisedyy4910
    @reisedyy4910 Před rokem +6

    M 23 haijawai kua waasi Rwanda, M 23 wao wamezaliwa ndani ya Kivu, mchambuzi amechanganya FDLR na M 23.

    • @saidilupango3989
      @saidilupango3989 Před rokem +1

      Huyu jama muongo kbsa.

    • @irorerotv2910
      @irorerotv2910 Před 4 měsíci +1

      Huyu jamaa amajaribu kufafanua ingawa amechanganya haswa FDLR na M 23, Tena hakuna hata siku moja Rwanda inategemea FDLR kiuchumi, M23 angeifafanua kwa ile ya ukoloni

  • @Habarizacongo
    @Habarizacongo Před 4 měsíci +2

    SIO KWELI, HUYU JAMA HAJUI LOLOTE, HUYU YUKO NA TAARIFA ZA BBC SWAHILI RADIO YA WANGEREZA, NDO KOSA LENU WA TZ, TUULIZE SISI WACONGO TUWAAMBIENI UKWELI.

  • @kingj9346
    @kingj9346 Před rokem +4

    Ila wabongo kwa kujifagilia hamjambo! eti "ikumbukwe kuwa 2013 jeshi letu(JWT) liliwapiga m23 chini ya Brigadier Gen. Mwakibolwa" kwa wasio jua historia kidogo huyu jenerali aliongoza jeshi la umoja wa mataifa yakiwemo majeshi ya South Africa, Malawi, Namibia, etc kupigana na m23 so mtanzania kuchaguliwa kuongoza jeshi hilo hakuwa fanyi kuhodhi mafanikio yote. you were just a small part of the mission. DRC wenyewe wanamtambua Col. Mamadou Ndala kama shujaa wao alie washinda m23.

    • @user-gr7jk4vc7f
      @user-gr7jk4vc7f Před 5 měsíci

      Mjue kwamba 2013 m23 ilikua kundi ndogosaana, wakaamia kujutoa vitani, sasa wame recruit vijana kutoka camps za wakimbizi ya wenyewe huko Rwanda na Ouganda nawana silaha za kisasa, hivi subiri mda kitambotuu majeshi ya TZ yatarudi wakiwa maiti na casualties, south Africa 97 wamepigwa kabisa, na raisi Suluhu ametambuwa kama m23 ya Leo ni Kali sana naameanza juta, ameanza kupanga mbinu zakuwarejesha.walionusulika, jeshi la Burundi karibu waishe, mfuatilie namna m23 yaendelea.kukamata eneo zilizo acwa na Sadac ,TZ, Burundi, Wagners etc..😂

    • @maishacenter-eastafricatv3976
      @maishacenter-eastafricatv3976 Před 3 měsíci

      ​@@user-gr7jk4vc7fm23 haina ukali wowote ni America inawasaidia wakiwa vitani kuona wanaopigana wanajipanga vipi

  • @JohnclaudiLutuna
    @JohnclaudiLutuna Před 4 měsíci +2

    Umeanza vzr kbsa.Makovu ya ukoloni,rasili mali,ukabila.

  • @munyakayanzaazarie1133
    @munyakayanzaazarie1133 Před 4 měsíci +4

    Hauna habari kabisa, haujuwi historia ya congo, unajidanganya kama unafikiri kwamba shida za Africa zitaturiwa na wa zungu

  • @musalaben9080
    @musalaben9080 Před 3 měsíci +4

    Mimi ni mukaaji wa Rwanda nataka niseme hapa yakwamba huyu jama hajui cocote kuhusu Congo , Rwanda , hâta Burundi wewe ni mgeni kabisa hakuna unaco kijua , kujifamya tu unaerewa lakini wewe mgeni

  • @maryamtan682
    @maryamtan682 Před rokem +9

    Congo imekua chaka la magaidi

  • @thulanijohn620
    @thulanijohn620 Před 4 měsíci +6

    Samahani kidogo bwana news maker, your program is quite interesting, however the banyamulenge tribes or some sort of Rwandan speaking language in Congo been there for centuries, {kivu} and its territories was once Rwanda until 1910,these war zone areas where banyarwanda lives in Eastern Congo was part of Rwanda until the borders got cut on them.
    Mwalimu Julius Nyerere spoke about this topic in one of his messages.
    Thanks

  • @anacledondayizeye7857

    93% I agreed what you said

  • @grevelworship2687
    @grevelworship2687 Před 3 měsíci

    Hauelewe Congo vizuri,
    Mimi Niko mukaaji wa Congo mashariki, Goma

  • @Caroline.1727
    @Caroline.1727 Před 3 měsíci +1

    Jamani Wengine sikwaho M23 ni kwaho jamani soma history vizuri ,waho kukama bunduki ni kwaju FDRL iliwaanza kuwahuwa wakakimbiya,ndio watafuta uwaki waho

  • @user-hg5vv4yz3n
    @user-hg5vv4yz3n Před 4 měsíci +3

    Wewe muongo %hujyuwi ata istoria

  • @Caroline.1727
    @Caroline.1727 Před 3 měsíci +1

    Naweye kuko kwenye umedaganya.,wauwaji ni FDRL. Njo walikimbiya

  • @user-hh7zz1bg1p
    @user-hh7zz1bg1p Před 3 měsíci +1

    Sikweri kbx mutangazaji

  • @MeshackSindano
    @MeshackSindano Před 3 měsíci +1

    Banyamurenge awajatokea Rwanda Bali wanyamurenge niwatusi wa kivu kusini ndio wanajiita hivo...waliotoka Rwanda nakukimbilia Congo wanaitwa interahamwe

  • @Caroline.1727
    @Caroline.1727 Před 3 měsíci

    Asante baba ule raisi wa burundi amesema kama inatoka Rwanda niho nuwongo mutupu ile haseme kama inatoka congo 🇨🇩 M23 inapiganiya ukwelo apo ninkwaho ,FDRL inakimbiliya kwao ikimaliza wa tusi wa Rwanda inaensa congo inatafuta fanya iyo amefanya Rwanda 🇷🇼

  • @nizamarakassongo3940
    @nizamarakassongo3940 Před rokem +4

    Tatizo la congo ni kagame na wazungu

    • @NepporSabith
      @NepporSabith Před 4 měsíci +1

      Tatizo la congo hulijui kabisa ungelijua zaidi ungetupa evidence na namna yaktatua hilo tatizo bali wewe umekalilishwa tu

  • @kalengashoppingcenter1108

    Safi sana Mdupange

  • @user-kd1fb8jz4h
    @user-kd1fb8jz4h Před 3 měsíci +2

    Jamaniiii jamaniiii,askari wa TZ,M23 inawamaliza bure jamani

    • @HornoldKas
      @HornoldKas Před 3 měsíci

      Asante washabuzi wa abari mungu awabariki

    • @HornoldKas
      @HornoldKas Před 3 měsíci

      Nimimi kijana mukongomani ni muniji uvira jinalangu kangeta

  • @djumadjumbe6907
    @djumadjumbe6907 Před 4 měsíci +1

    wagner wapo Goma Congo n'a wanalinda kwenye mpaka wa Gisenyi n'a Goma ila sio wengi wako kwenye mission maalum pâle n'a bila ile wagner kua pâle kama leo tunaongea mengine kuhusu Goma . Yerico uwe nafanya utafiti vizuri kaka nafataga sana mahojiano yako huwa apakosi kasoro nyingi hasa ukiongelea investigation . Mimi niliwaona wagner kwa macho yangu Goma mwezi 5 2023 . Yapo madudu mengi kwenye iyi interview ila ili ndo ninao usibitisho

  • @user-yc4ui2kn8c
    @user-yc4ui2kn8c Před 4 měsíci +2

    Kwani Samia kutwambia jeshi letu limekwenda kutatua mgogolo wa Congo tukifuatilia M23 ni uongo??

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Před rokem +4

    Kariakooo ndio dubai ya ista Africa

  • @nassoromalengo5143
    @nassoromalengo5143 Před 3 měsíci

    Nice story

  • @JerubaalXerxes
    @JerubaalXerxes Před rokem +16

    Hizi ni stori zina chumvi nyingi hivyo hazina afya kwenye Taifa na maendeleo ya ukanda wetu.

    • @chancekambale3498
      @chancekambale3498 Před rokem +3

      Niwajinga sana hawaongei uhakiki ya Mambo😅

    • @emmaemma6114
      @emmaemma6114 Před rokem

      Saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaah jama niliongo

    • @vince_vinson.2083
      @vince_vinson.2083 Před rokem

      Huyo jamaa anachanganya changaya mambo, story za kijiweni. Nadhani anafanya promo ya kitabu chake anachouza.

    • @cosmasmwaitete5004
      @cosmasmwaitete5004 Před 8 měsíci +1

      Leteni story zenu Basi ili nanyi tuwasikilize

  • @zamybukene
    @zamybukene Před 4 měsíci +2

    Ingelikuwa zingine inchi za africa zina akili zingejifunza politics ya tanzania kama africa nzima ipo salama,tanzania ongera sana siasa yenu juu ya wana inchi,vita kuvianza ni rahisi sana ila kuvimaliza ni tabu sana kwa hiyo Mungu awabariki sana

  • @higirovedaste1898
    @higirovedaste1898 Před 4 měsíci +1

    Wanyamurenge siyo wakimbizi
    Kutoka Rwanda niwa congo kutoka myaka 800 inayopita lakini kincasa hakuitika niwa congole njomana congo inawaua wakajigombania peke wasimalizike 🙏

    • @benedictsumaili
      @benedictsumaili Před 4 měsíci

      Acha ujinga wewe wanyamulenge walikuja Congo mu 1957 kutoka Rwanda acha ufała kabisa

  • @TAYALITV
    @TAYALITV Před 3 měsíci

    Hauna habari kbs !!!

  • @DanyLukambo
    @DanyLukambo Před 4 měsíci +1

    Tunakufurahiya sana wakongomani nikweli red Tabara yaburundi n'a m23 yarwanda ,n'a ADF ya Uganda zina tesa wa congomani

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee Před 9 měsíci +1

    Hii Stori haina Relevant yoyote , huwezi kuhamisha radar kutoka nje ya nchi kama burundi bujumbura mpaka Tanzania tena DSM ukiwa na makomando sita tu radar is very huge piece of machine . radar sio fimbo ya bunge useme kwamba wali ibeba mgongon aisee . pia taarifa kama hizi huwa ni highly classified huwezi kuzijua kirahisi na hata ukizijua huwezi kuzisema wazi hivi youtube.

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Před rokem +4

    This interview itakufanya utusuwe au ujutee watuu wakubwa dunia hiyii watakupenda au watakuchukia

  • @richardboaz-mashagospel2346

    Congo wala sio Tanzania in hayo mazungu mnayoyakumbatia ambayo Jpm aliyapiga vita, ambayo Putin anayapiga vita. Congo in shamba la wazungu wezi... lakini kama tz inatumika basi ni hayo mazungu mahuni yamepenyeza kupitia hapa.

  • @user-tx5pf1bm6b
    @user-tx5pf1bm6b Před 5 měsíci +1

    Tatizo nimataifa yanayo shikiza Kongo kupigana iri wazidi kuiba mafuta na marizao😢

  • @lubungaetienealmasi1059
    @lubungaetienealmasi1059 Před rokem +11

    Mimi nitakujibu swali lako: kama
    Congo ahito pata suluisho basi tambuwenu pia na Tanzania itakua kwenye mfumo wa Rwanda mfano leo Ouganda 🇺🇬 ipo chini ya Rwanda , pia Burundi 🇧🇮 ipo chini y’a Rwanda Kenya pia bref watu watakula nchini y’a utawala wa kitusi mfumo uho upo na sio kwa kongo tu ndo mkataba wa Rwanda kwa mabebro.

    • @nyembomajid1262
      @nyembomajid1262 Před rokem +2

      kidogo umeongea points,kaka congo hakuna ukabila Wala kidini

    • @islachristabinastaravista8104
      @islachristabinastaravista8104 Před rokem +3

      Ujinga Ni kwamba Kagame akianguka tu Rwanda your itavurugika arafu Tz uwez fananisha na hizo nchi zote ulizozitaja hapo ameweza huko lakin Tz kachelewa hatuwez kwasababu historia yet na hizo nchi Ni tofaut Sana rwanda Congo na Uganda hao Kuna vitu wanashare ndyo maana unaona wapo katka Hal hyo

    • @matabarosiradji2473
      @matabarosiradji2473 Před rokem +3

      Historia huyo jama anachanganya mambo wanyamulenge hawajawahi kua waasi wa Rwanda waasi wa Rwanda ni FDLR na hilo ndo linashirikiana na jeshi la congo kupigana na M23

    • @elizabertkabadi3090
      @elizabertkabadi3090 Před 9 měsíci

      Nyie watu wa mataifa ebu muogopeni mungu mkumbuke mliumbw nayeye mnapouana kinyama kisa pesa mtakufa mtaviacha hapahapa duniani mnakoenda napo mtaenda kuchomwa moto jehanam inawasubili mnadhambi kubwamno .

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x Před 6 měsíci

      Inawezekana

  • @DanyLukambo
    @DanyLukambo Před 4 měsíci +1

    Alakini wana dini hapa kongo wanaelewana sana hamuna tatizo

  • @halimahamis3742
    @halimahamis3742 Před rokem +3

    Nilicho jiffunza hapo tuu ni tundu lisu raia wa ubeligiji pia ni Jesusi😢wa Tz tuwe making na huyu mtu asipewe Kura

  • @user-vd2hg3jf9o
    @user-vd2hg3jf9o Před 3 měsíci

    Semeni Bwana ...! Changanua habari hizo nivizuri tuelewe mzozo wa congo ume anzaje...?

  • @Pamella.Muhorakeye76
    @Pamella.Muhorakeye76 Před 4 měsíci +2

    Hivi mtu anapata wapi ujasiri wa kuitazama camera na kuongea uongo namna hii bila soni.. I am very disappointed in you Yericko, nilikuwa nakuona mtu msomi na muelewa.. dah haya sio matango pori tu yaani umeboronga vibaya mno..shame

    • @williamm.hamuli1695
      @williamm.hamuli1695 Před 4 měsíci +1

      Umesema kweli.., Amezungumza kuhsu makomando 6 wa Tz kuchukua rada ya kijesh ya Burundi jambo ambalo kidiplomasia sio sawa kuliweka public. Lakn pia M23 hawajawah kuwa waasi wa Rwanda, uongo mkubwa. Amechanganya FDRL-Interahamwe na M23-Banyamulenge. Banyamulenge ni wakongo wenye asili ya Rwanda..!

  • @nanuno9346
    @nanuno9346 Před 3 měsíci

    Umejidanganya kundi lilohusika na Genocide Rwanda 1994 ni FDRL sio M23 kama msemaji alivyojidanganya

  • @sadickrichard7849
    @sadickrichard7849 Před rokem +3

    27:54 😂 apo tunapigwa matango pori antananarivo ni mji mkuu wa madagascar

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Před rokem +4

    Pili Switzerland ansmskundi ya watu pale Congo kusafisha dhahabu hadi Uganda hakupakiwa na ndege za Emirate hadi Switzerland na kusema dhahabu ya Switzerland

  • @owenjuniorkravecki7874
    @owenjuniorkravecki7874 Před rokem +1

    History nzuri, lakini mwambiye awe makini sana nama jina za watu, mfano: apo kwa FNL gen nyamwasa niwa rwanda, Angesema Rwasa

  • @KevinVicent-xq6jz
    @KevinVicent-xq6jz Před rokem +1

    Uyojamaa nimchambuzi mzuri katika vitavya mchiyangu Congo

  • @Caroline.1727
    @Caroline.1727 Před 3 měsíci

    Jamani ile makundi yote aliyakamata akayaingiza katika jensi RDC akakamata M23 peke yake nikusema iko na ubaguzi ,njo mana M23 inawapiga sana ata watanzaniya wiko nakufa,aa rwanda inawasaidiya na moto na mayi ni rwanda inawakisha njo mana habawezi funga.ata ivi M23 ilifunga pote kwenye chakula inafika Goma ivi ni rwanda inawapa chalula

  • @user-bj7hc4pj5t
    @user-bj7hc4pj5t Před 3 měsíci

    Neema usiongee usichokijuwa wanyamulenge warikimbia nini kumbuka kaburaya nterahamwe kukimbilia Congo ndoakaanza kuwauwa wanyamulenge wanadaikuwaniwatutsi

  • @user-nz6uq1fy5z
    @user-nz6uq1fy5z Před 3 měsíci

    Je, watanzania kama serikali ya DRC wajiunga na wauwaji wa FDRL(Interahamwe) kuendelea na Genocide zidi ya Watutsi, kimakusudi ao hawaelewi chanzo cha mgogoro inchini DRC?

  • @user-ue9yh1gk8k
    @user-ue9yh1gk8k Před 5 měsíci +1

    😮jameni mtanzaniya vita siku hizo siyaleo tafautisha myaka iliyo pita na siku hizo natena kumbuvsikuzilizo pita hamujya washinda wa hasi hawo Leo mtapata kicapo hamujyaona mwa maisha yenu

    • @SanyengeAlex
      @SanyengeAlex Před 4 měsíci

      Ndugu yangu Tanzania sio nchi ndogo kivita sema tu Vita sio nzuri

  • @KennySolll-jk9vq
    @KennySolll-jk9vq Před 2 měsíci

    M23 wanapiganiya haki yawo Hawa wanafukuzwa Kongo kuhusu niwatusi wanawuriwa kirasiku nakunyanyaswa sababu yawukabira ndio mana yakushika bunduki

  • @sylvesternkuliye7715
    @sylvesternkuliye7715 Před rokem +2

    muache uongo jamani et wanajeshi 6 wachukue rada ilivyo nzito jama huyo muongo

  • @ngwabijejames288
    @ngwabijejames288 Před 4 měsíci +1

    Sasa mbone hamusemi FDRL imeuwa watu 1994 ikakimbila Congo nando chanzo cha shida ya M23

    • @songamberetv2219
      @songamberetv2219 Před 4 měsíci

      Hakuna FDRL aca uongo ilo kundi unasema wameja katika GV ya Rwanda vita ya congo ni zahabu coltan na ilinium

  • @levimukwiza1582
    @levimukwiza1582 Před 4 měsíci +1

    Ndugu mtangazaji ungetoa number ya simu yako ili upate habari kamili hapo ndipo utafanya uchambuzi wa kweli.

  • @flkaka855
    @flkaka855 Před 3 měsíci

    Beans, haufahamu historia ya wale wamejiita "wanyamulenge".

  • @jacksonnsabimana3920
    @jacksonnsabimana3920 Před 4 měsíci

    Ndugu hujuwi hisoria ya m 23 ,baba wataifa ya Tanzania alisema ukweli WA M23 hamna ukweli jifunzeni vizuri Makena ni mkongo halisi eneo LA mashariki mwa Kongo ni LA watu WA masisi

  • @KennySolll-jk9vq
    @KennySolll-jk9vq Před 2 měsíci

    Ebwane mufafanuziwako anasema wongo kuhusu mambo yakongo hajuwi kayumba nyamwasa ni munyarwanda nawanyamurenge sio wanyarwanda niwakongomani na M23 wanapiganiya uhaki wawo kwakunyanyaswa kuhusu niwatusi

  • @user-gr7jk4vc7f
    @user-gr7jk4vc7f Před 4 měsíci +3

    Hiyu ni mchanga kwa.mambo ya geopolitics anacamganyaambo

  • @habimanajeanclaude6482
    @habimanajeanclaude6482 Před 4 měsíci

    they can resolve problems peacefully

  • @hassansaul7098
    @hassansaul7098 Před rokem +1

    Nakubaliana na wewe baadhi ya mambo ila yangine napiga, kweli ukitazama ukabila na rasilimali hayo mambo ndio anaharibu Congo, vile vile huwez kumaliza vita kwa kuizima M23 tu, nisichokubaliana na wewe ni kua katika makundi mabaya mno uliotangaza hukutaja makundi ya kina Mai Mai.... Hujataja matatizo yaliyopo baina ya Congo na Angola, ukitaka kujua mgogoro wa Congo anzia historia kuanzia karne ya15,,
    Mzee Mai Mai ndio kundi ambalo hatari mno, vile vile marekani yaijawahi kufunga misaada ya kijeshi kwa Rwanda wala Burundi Bali walipunguza bajeti tu ili kufunga watu macho

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před rokem +3

    Kagame hawezi kuwatafuta wanyamurenge kongo ye mwenyewe ni mnyamurenge ye anatafuta intera hamwe ambao ni wahutu (wabantu)

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před rokem +1

      Nilivyosukia na mtu WA Rwanda ambaye alikuwa serikalini, Kagame anajua kuna wahutu wako Goma, anahisi wanataka au wanaweza kuji organise kuja kumpindua, anacho fanya, ana wafadhili hao M23 ambao ni watusi Kwa manufaa yake I mean hao watusi wasije ji organise. Nahisi ni kweli au .......

    • @georgembise7234
      @georgembise7234 Před rokem

      Kagame hana uezo wakupigana nchi kwa nchi anauezo wa kupigana vita yakuvizia!!

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před rokem +3

    Wenzao wanakufaa, wao wako nje wanakula kuku.

  • @user-vd2hg3jf9o
    @user-vd2hg3jf9o Před 3 měsíci

    Rwanda Ina utajiri zaidi ya EST African yote...utauliza vipi ? Kwanza ni kabila Moja lugha Moja usalama Hali ya juu,,, namwisho kabisa Wana elimu yakuweza kuilinda inshi Yao...

  • @reisedyy4910
    @reisedyy4910 Před rokem +2

    Huyu mchambuzi mmemtoa wapi?😂😂 hauwezi kuongelea mgogoro wa Congo DRC bila kuwataja waasi wa Maimai, na hili ndio kundi kubwa la waasi ndani ya Congo. Burundi hana ushawishi wowote wala hao Red Tabara hawana nguvu yoyote ndani ya Congo, hawa wako based na shughuli za burundi.

  • @Leodukuze
    @Leodukuze Před 4 měsíci

    Nimefuata uchambuzi wenu ila kuna mahali pengi mmekosea sana mnapochambua hitoria ya Rwanda.

  • @jeanpaul9800
    @jeanpaul9800 Před 4 měsíci

    Nyinyi watanzania munajifanya walimu wa kivita munapigania fdrl ambao wanauwa wa mama na watoto sasa musubiri M23 itawapa mafunzo ya kivita tunaitaji kikwete afike kiwanjani tumupe mafunzo

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před rokem +5

    Matango pori yanaendelea

  • @dukuzumuremyifrancois9627
    @dukuzumuremyifrancois9627 Před 4 měsíci

    Tafadhali,kundi lilikimbilia congo siyo ya Wanyamulenge ni la wahutu waliofanya genocide Rwanda(FDLR).Inaonekana kama uko upande wa Kikwete, lakini Kikwete ataletea Tanzania shida kubwa,kuona Tanzania inaenda saidia watu walimwanga damu(genocide).M23 inagombania haki yake kuwa wakongomani kama wengine wakongomani.

  • @stateofart1089
    @stateofart1089 Před 3 měsíci

    Hizo kampuni za upelelezi za Tz ni zipi? Upana and IPS?

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Před 4 měsíci +1

    Waende Somalia bac

  • @mbinonyoso7501
    @mbinonyoso7501 Před 4 měsíci

    Kengevwewe hawuna hakiri timamu unasema maneno ya kishenzi sana soma kabra yakuja kubwabwa maneno yakishenzi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 5 měsíci

    👍👊✌️。

  • @KarambiziMartin-xv8op
    @KarambiziMartin-xv8op Před 4 měsíci

    Kumbukendi hili kundi la fdrl nilile lirifanya genocide 1994 na nia yao nikumaliza kabila la wa tusi. Na ideology tayali wame peleka kure congo

  • @grevelworship2687
    @grevelworship2687 Před 3 měsíci

    Mambo fulani hivi hauielewi vema, ila unasema ukweli

  • @baranderekanestor2014
    @baranderekanestor2014 Před 4 měsíci

    Nyiye waongo

  • @NiyonkuruPapy-fv1sq
    @NiyonkuruPapy-fv1sq Před 4 měsíci

    Amekosea sio kivu kwarwanda wasi M23 nitafauti waasi warwanda ni FDRR

  • @kumbukainnocent5444
    @kumbukainnocent5444 Před rokem +3

    Brother rudi shule ninavyo kuona bado uneweza ukasoma historia naamini hata huyo huyo alie kualika naye bado zakwake mbovu sana

    • @rosamuhimpundo4516
      @rosamuhimpundo4516 Před rokem

      Kusema kweri hana byakuogeya huyu jama hajuwi kitu kbs afuge hajuwe M 23 niya Congo ni WA kogomani toka

  • @joshuanyonyi3313
    @joshuanyonyi3313 Před 4 měsíci

    Kwa Mtu muelewaa...
    Huyu Jamaa anapotesha kwanza sio Mtanzania...
    Ukisikia rafuzi yake...Ni Mnyarwanda Pia....achunguzwe....

  • @user-un2iv2zv3j
    @user-un2iv2zv3j Před 4 měsíci

    Uwongo warudi Hawana Rada

  • @salumkagame509
    @salumkagame509 Před 4 měsíci

    Wewe mwongo kenya haipo drc

    • @muhirefiston83
      @muhirefiston83 Před 4 měsíci

      Irikua sai ishatoka

    • @user-zl7ez5bd3e
      @user-zl7ez5bd3e Před 4 měsíci

      sasa wewe kabisha nini?...mulikuwa Congo,...na nyinyi wakenya watapeli sana...tuli wafukuza.

  • @user-fg7ze9gr9z
    @user-fg7ze9gr9z Před 4 měsíci

    Faida yarayisi wenyu bana kuwa unasema ukweri

  • @eddiemay547
    @eddiemay547 Před 3 měsíci

    Lakini mbona watawala wa zamani walizibiti nchi zao zaire ilikuwa imara sana ila baada ya mapinduzi na kubadilisha jina toka zaire kuwa congo machafuko yalianza

  • @kevintimothy7333
    @kevintimothy7333 Před 4 měsíci

    Nch jirani za Congo ndio adui mkubwa wakwanza wa Congo

  • @WillfraniKubwayezu-ub8tp
    @WillfraniKubwayezu-ub8tp Před 4 měsíci

    Channel Rusakaza TV iko pamoja nanyi

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před rokem +1

    Sio Banyamurenge ni Interahamwe ... Unajua ukitaka kumanisha hivyo. Hayo ni makosa ya kawaida .. Banyamurenge ni WATUTSI wa CONGO.

  • @aimewilliams1
    @aimewilliams1 Před rokem +1

    Wewe upo unapotosha watu hujuwi kabisa historia ya Congo, na M23. Uko muongo kabisa, ata radio Nafikiri uwa usikilize, naomba mtangazaji ufate watu wengine ili usiendelee kopoteza watu. Huyo jamaa hajuwi kabisa. FDRL ni wale walie fanya mauwaji ya kimbali ya wa Tutsi, M23 ni wazaliwa wa Congo, walio zaliwa huko, kivu hiyo ilikuwa Rwanda zamani. Jamaa huyo muongo saana. Hafai.

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x Před 6 měsíci

      Kwani waliokufa Rwanda ni watusi tu wahutu hawakufa. Usipotoshe watu.

  • @Chishimba-bq6ln
    @Chishimba-bq6ln Před 4 měsíci

    Hiyoswali unaliongea ikosawa sasakwakulindamipaka wafwate mufumowalumumba waweke rahisiwatatu njowalindemipakayao viletu unaongea congo aitakuwanahamani 🇿🇲aponakusikiasana🙏

  • @yuyuiyungu7696
    @yuyuiyungu7696 Před rokem

    Wa Tanzania wote weze hao

  • @joshuanyonyi3313
    @joshuanyonyi3313 Před 4 měsíci

    CjAfurai na huyu..
    Jamaa mbona anajua Mambo mengi ya Siri za nchi...
    Na usalama wa Taifa mpo...kamtafuteni mumuoji...

  • @MisagoFrancis
    @MisagoFrancis Před 4 měsíci

    Jambo mutangajaji cakwanza ujuwe sio congo wenyewe kwawenyewe ni Rwanda na uganda wamevamia congo

  • @christopherkanyalakc8941

    Sijuwi

  • @Leminelimited
    @Leminelimited Před 4 měsíci

    Wakowapi Congo.

  • @salumkagame509
    @salumkagame509 Před 4 měsíci

    Mayimayi ni wanyarwanda si wa congo roka kwa Mobutu

  • @user-pb7qp2yu4x
    @user-pb7qp2yu4x Před 4 měsíci

    Aiko wanyamulenge, ni Fdlr

  • @lucykawala5174
    @lucykawala5174 Před rokem

    Waongo

  • @michaeldoroleo4864
    @michaeldoroleo4864 Před rokem

    Kuna chai sana humu😅😅

  • @caramamttv
    @caramamttv Před rokem +1

    Muongo ww opération y’a Burundi wapi n’a wapi wee

  • @ericbishonda7755
    @ericbishonda7755 Před 4 měsíci

    Jameni, uchambuzi wenu si wakweli. Kuna mambo kazaha mu mekoseya.
    # Wanyamulenge ni moja ya makabila ya wa congomani. Ila siyo kundi lawapiganaji kama vile ulivyo zungumuziya. Apana. Iyo ni uwongo mutupu.

  • @johnndugu4851
    @johnndugu4851 Před 4 měsíci

    Habari yaleo wachambuzi wetu naomba hapo muwe makini kwanza muifahamu historia ya wabanyamurenge kisha mje tena kwenye huu uchambuzi kwani mnachanganya historia ya mashariki ya DRC kwanza ujuwe nani kawafundisha wacongoman kuuwana kinyama
    Jamaa basi huifaham history ya wa banyamurenge wacha kupoteza kizazi cha kitanzania

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas8506 Před 4 měsíci

    Matatizo ya Congo , mhusika mkubwa na shida ya Congo cyanzo na mhusika mkubwa ni Kikwete! Alichochea Kisekedi, Ndayushimie, na SADC, lengo lake eti chuki mbaya alionao zidi ya Mtutsi na zidi ya HE Kagame!

    • @BenardZephaniah
      @BenardZephaniah Před 4 měsíci

      Acha uongo ngoja JWTZ imeshaingia northern Kivu sindano itawaingia tu wait and watch it!