BAHARIA ALIYEJITOSA PAKISTAN!/ AFICHUA MASHAMBA YA UNGA/NIMECHEZEA MAISHA/ MILION 200/ WATU WANAUAWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 02. 2024
  • MAISHA NI SAFARI ISIYO NA MWISHO, UNAWEZA UKALALA MASIKINI NA UKAAMKA UKIWA TAJIRI. KAMA HUIJUI KESHO YAKO UNAPASWA KUMUOMBA SANA MUNGU ANAYEFAHAMU NINI UTAKACHOKIPATA KWA NAMNA ALIVYOKUPANGIA.
    DAR24 MEDIA TUMEPIGA STORI NA BAHARIA CHAD AMBAYE AMETUMIA MKASA WAKE KAMA FUNDISHO KWA VIJANA WANAOTAMANI KUPITIA NJIA FUPI ILI KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAO YA KILA SIKU.
    INAFURAHISHA KWA UPANDE MMOJA LAKINI KWA UPANDE MWINGINE INAHUZUNISHA SANA KWA SABABU HUENDA LEO ANGEKUWA ANA KAMPUNI KUBWA AMBAYO INGEWEZA KUWAAJIRI VIJANA WENGI, LAKINI HUENDA NJIA HARAMU ALIZOTUMIA NI KAMA MUNGU AMEMUADHIBU NA KUAMUA KUMRUDISHA KATIKA HATUA YA SAHIHI ILI APATE RIZKI YAKE KIHALALI.
    KARIBU UFUATILIE KISA HIKI CHA KUSISIMUA.
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #mbanga #dupamdupange #dar24

Komentáře • 29

  • @dar24media
    @dar24media  Před 5 měsíci +4

    Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
    kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante

  • @xongejayasini5656
    @xongejayasini5656 Před 4 měsíci +5

    Kazi nzuri sana mzee baba ila jaribu kuweka Playlist kwenye Chanel yenu yan iwe rahisi mtu akiingia tu anaziona story zote

  • @user-cw7xw9cu6m
    @user-cw7xw9cu6m Před 4 měsíci

    dar24 mpo vzur san nawakubali sana

  • @user-ib3yx7qk5r
    @user-ib3yx7qk5r Před 5 měsíci +3

    Unakosea Sana kuwatia hao stoloway mabaharia,
    Hao ni stowaway na ni watu hatari Sana Kwa Mabaharia hao.
    Hao kukutana nao kwenye Meli mnaweka sehemu na mnawafungia Kwa usalama wenu na usalama Wa meli.
    Hao SIO MABAHARIA HAO NI STOW AWAY watu hatari Sana kwetu sie mabaharia wenye document tunaofanya kazi kwenye meli

  • @InnocentRichard-qs8ux
    @InnocentRichard-qs8ux Před 4 měsíci +1

    Mapambano forever

  • @ZubeidaRashid-tq1yd
    @ZubeidaRashid-tq1yd Před 5 měsíci +1

    Oya kazi nzuri mnafanya ila huo mziki unazingua

  • @bminawandu
    @bminawandu Před 5 měsíci +2

    Muendelezo lini mnaweka dakika cha he sana

  • @adamsichinga7173
    @adamsichinga7173 Před 4 měsíci

    Sound track iko juu

  • @vkmalove1307
    @vkmalove1307 Před 5 měsíci +1

    Saut haisikiki

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před 5 měsíci

    Pamoja

  • @mustakimibrahimsemindu6807
    @mustakimibrahimsemindu6807 Před 3 měsíci

    Sound travk ina bore

  • @habibseif8989
    @habibseif8989 Před 5 měsíci +1

    hyu jamaa anaonekana atakua na story nzuri sna

  • @ellynkyalu6423
    @ellynkyalu6423 Před 5 měsíci +1

    Mchongo mchongoma na kazi iendelee

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 Před 5 měsíci +1

    Hio gari nimeicheck kwa google ni kali ata saa hii ukiwa nayo bado watamba

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 4 měsíci

    👊👍✌.

  • @NassorTwahiru-kf8fo
    @NassorTwahiru-kf8fo Před 4 měsíci +1

    Tanga finest 💪

  • @josephomba3340
    @josephomba3340 Před 5 měsíci +1

    Datsun 1200

  • @ismailRamadhan-nh6cs
    @ismailRamadhan-nh6cs Před 5 měsíci +1

    Safi

    • @JOHNJOHN-pu7wb
      @JOHNJOHN-pu7wb Před 5 měsíci

      Unataka waeke yote afu maokoto youtube yawapite ?😅

  • @boblatino3899
    @boblatino3899 Před 5 měsíci +1

    Balaa kabisa uyu mwamba

  • @yohanakashinje1548
    @yohanakashinje1548 Před 5 měsíci +1

    Hii nayo siyo yakukosa

  • @PetiteMartson
    @PetiteMartson Před 5 měsíci +1

    Muendelezo lini mzee❤❤

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před 5 měsíci +1

    Dupaaa

  • @francistadayo1569
    @francistadayo1569 Před 4 měsíci

    Hii yamoto sana

  • @Entertainmen_tv2024
    @Entertainmen_tv2024 Před 5 měsíci +1

    Nda mfup aana

  • @autoroyaledubai
    @autoroyaledubai Před 4 měsíci

    mtangazi kwan ww ndo unatoa story maana ww na mhojiwa wote 50/50

  • @putotamu7044
    @putotamu7044 Před 5 měsíci

    Msenge huyo siri ya jando Haitolewi