BAHARIA ALIYEJITOSA PAKISTAN!/ AFICHUA MASHAMBA YA UNGA/NIMECHEZEA MAISHA/ MILION 200/ WATU WANAUAWA
Vložit
- čas přidán 1. 02. 2024
- MAISHA NI SAFARI ISIYO NA MWISHO, UNAWEZA UKALALA MASIKINI NA UKAAMKA UKIWA TAJIRI. KAMA HUIJUI KESHO YAKO UNAPASWA KUMUOMBA SANA MUNGU ANAYEFAHAMU NINI UTAKACHOKIPATA KWA NAMNA ALIVYOKUPANGIA.
DAR24 MEDIA TUMEPIGA STORI NA BAHARIA CHAD AMBAYE AMETUMIA MKASA WAKE KAMA FUNDISHO KWA VIJANA WANAOTAMANI KUPITIA NJIA FUPI ILI KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAO YA KILA SIKU.
INAFURAHISHA KWA UPANDE MMOJA LAKINI KWA UPANDE MWINGINE INAHUZUNISHA SANA KWA SABABU HUENDA LEO ANGEKUWA ANA KAMPUNI KUBWA AMBAYO INGEWEZA KUWAAJIRI VIJANA WENGI, LAKINI HUENDA NJIA HARAMU ALIZOTUMIA NI KAMA MUNGU AMEMUADHIBU NA KUAMUA KUMRUDISHA KATIKA HATUA YA SAHIHI ILI APATE RIZKI YAKE KIHALALI.
KARIBU UFUATILIE KISA HIKI CHA KUSISIMUA.
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#mbanga #dupamdupange #dar24
Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante
Kazi nzuri sana mzee baba ila jaribu kuweka Playlist kwenye Chanel yenu yan iwe rahisi mtu akiingia tu anaziona story zote
dar24 mpo vzur san nawakubali sana
Unakosea Sana kuwatia hao stoloway mabaharia,
Hao ni stowaway na ni watu hatari Sana Kwa Mabaharia hao.
Hao kukutana nao kwenye Meli mnaweka sehemu na mnawafungia Kwa usalama wenu na usalama Wa meli.
Hao SIO MABAHARIA HAO NI STOW AWAY watu hatari Sana kwetu sie mabaharia wenye document tunaofanya kazi kwenye meli
Mapambano forever
Oya kazi nzuri mnafanya ila huo mziki unazingua
Muendelezo lini mnaweka dakika cha he sana
Sound track iko juu
Saut haisikiki
Pamoja
Sound travk ina bore
hyu jamaa anaonekana atakua na story nzuri sna
Mchongo mchongoma na kazi iendelee
Hio gari nimeicheck kwa google ni kali ata saa hii ukiwa nayo bado watamba
👊👍✌.
Tanga finest 💪
Datsun 1200
Safi
Unataka waeke yote afu maokoto youtube yawapite ?😅
Balaa kabisa uyu mwamba
Hii nayo siyo yakukosa
Muendelezo lini mzee❤❤
Muendelezo ni Jumatano na Jumamos kaka
@@emanueljohn9601 thank you bro
Dupaaa
Hii yamoto sana
Nda mfup aana
mtangazi kwan ww ndo unatoa story maana ww na mhojiwa wote 50/50
Msenge huyo siri ya jando Haitolewi