BAHARIA ALIYEJITOSA PAKISTAN!/ AFICHUA MASHAMBA YA UNGA/ MAISHA/ MILION 200/ WATU WANAUAWA..PART 02

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 02. 2024
  • MAISHA NI SAFARI ISIYO NA MWISHO, UNAWEZA UKALALA MASIKINI NA UKAAMKA UKIWA TAJIRI. KAMA HUIJUI KESHO YAKO UNAPASWA KUMUOMBA SANA MUNGU ANAYEFAHAMU NINI UTAKACHOKIPATA KWA NAMNA ALIVYOKUPANGIA.
    DAR24 MEDIA TUMEPIGA STORI NA BAHARIA CHAD AMBAYE AMETUMIA MKASA WAKE KAMA FUNDISHO KWA VIJANA WANAOTAMANI KUPITIA NJIA FUPI ILI KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAO YA KILA SIKU.
    INAFURAHISHA KWA UPANDE MMOJA LAKINI KWA UPANDE MWINGINE INAHUZUNISHA SANA KWA SABABU HUENDA LEO ANGEKUWA ANA KAMPUNI KUBWA AMBAYO INGEWEZA KUWAAJIRI VIJANA WENGI, LAKINI HUENDA NJIA HARAMU ALIZOTUMIA NI KAMA MUNGU AMEMUADHIBU NA KUAMUA KUMRUDISHA KATIKA HATUA YA SAHIHI ILI APATE RIZKI YAKE KIHALALI.
    KARIBU UFUATILIE KISA HIKI CHA KUSISIMUA.
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #mbanga #baharia #dar24

Komentáře • 19

  • @dar24media
    @dar24media  Před 5 měsíci +3

    Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
    kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante

  • @adamkipenga6512
    @adamkipenga6512 Před 5 měsíci +3

    Sema watanzania makuma sana maisha ya mbele

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před 5 měsíci +2

    Mbanga kwa hewa🔥🔥🔥🔥

  • @BarakaJames-nu2be
    @BarakaJames-nu2be Před 5 měsíci +2

    Hope

  • @user-ux9cc5uw8l
    @user-ux9cc5uw8l Před 4 měsíci +1

    Sasa ndugu kutoka qerimane mpaka nampula alafu unaenda Maputo mbona hiyonili broo 😂😂😂 yaani ulienda Miele ukaludi nyuma alafu shimoyo du! Mbona unazidi kutu choma broo.😮😮😮

  • @mutijimacedrick1622
    @mutijimacedrick1622 Před měsícem

    Mafalala mpaka Leo wabongo wengi kbs..shadibo bodo ipo hapa Maputo ni boss kbs

  • @FredChaki-jb8zj
    @FredChaki-jb8zj Před 4 měsíci

    Sea boy

  • @ibnmoses979
    @ibnmoses979 Před 4 měsíci

    GOD is ONE

  • @JustinSteven-be4cs
    @JustinSteven-be4cs Před 5 měsíci +1

    Katka story zote za Mabaharia .. kikifika kipengele cha Mozambique.. daah kinasisimua mno... jins wanavyopitia misukosuko.. ila wakifanikiwa kuvuka Mozambique zinapoa...

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary1245 Před 5 měsíci

    Big time

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 Před 5 měsíci

    Twende baharia😊

  • @jumasumailassomane2439
    @jumasumailassomane2439 Před 4 měsíci

    Kama unaenda Maputo,
    Kwakutokea njia ya Quelimane ufiki chimoio
    Chimoio ipo mpakani na Zimbábue

  • @user-cz2co3bc3g
    @user-cz2co3bc3g Před 5 měsíci +1

    Kl

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 4 měsíci

    👊✌👍.

  • @schingatanzania6051
    @schingatanzania6051 Před 5 měsíci

    Msimbati ni Tanzania bana

  • @jumasumailassomane2439
    @jumasumailassomane2439 Před 4 měsíci

    Kabla ujafika Quelimane unahanza Nampula

  • @ellynkyalu6423
    @ellynkyalu6423 Před 5 měsíci

    Nakubari mzee wa mbanga twende hapo

  • @alhajitawakal6063
    @alhajitawakal6063 Před 5 měsíci +1

    Seaman Chad

  • @mohammedmussa6740
    @mohammedmussa6740 Před 5 měsíci +1

    Hope