BAHARIA ALIYEJITOSA PAKISTAN!/ AFICHUA MASHAMBA YA UNGA/ MAISHA/ MILION 200/ WATU WANAUAWA..PART 03
Vložit
- čas přidán 8. 02. 2024
- MAISHA NI SAFARI ISIYO NA MWISHO, UNAWEZA UKALALA MASIKINI NA UKAAMKA UKIWA TAJIRI. KAMA HUIJUI KESHO YAKO UNAPASWA KUMUOMBA SANA MUNGU ANAYEFAHAMU NINI UTAKACHOKIPATA KWA NAMNA ALIVYOKUPANGIA.
DAR24 MEDIA TUMEPIGA STORI NA BAHARIA CHAD AMBAYE AMETUMIA MKASA WAKE KAMA FUNDISHO KWA VIJANA WANAOTAMANI KUPITIA NJIA FUPI ILI KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAO YA KILA SIKU.
INAFURAHISHA KWA UPANDE MMOJA LAKINI KWA UPANDE MWINGINE INAHUZUNISHA SANA KWA SABABU HUENDA LEO ANGEKUWA ANA KAMPUNI KUBWA AMBAYO INGEWEZA KUWAAJIRI VIJANA WENGI, LAKINI HUENDA NJIA HARAMU ALIZOTUMIA NI KAMA MUNGU AMEMUADHIBU NA KUAMUA KUMRUDISHA KATIKA HATUA YA SAHIHI ILI APATE RIZKI YAKE KIHALALI.
KARIBU UFUATILIE KISA HIKI CHA KUSISIMUA.
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#baharia #mbanga #dupamdupange
Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante
Watanzania wapo dunia nzima, zamani kaka zetu na babazetu walisafiri sana. Dah ila ndo ivo wakirudi bongo wanalongwa sijui , wanabaki hawana hata mia😢
I wish cku moja niende nje but kitu inanikata moto ni hawa jamaa wakirudi hali tete😀
Dah mbanga umeimprove unang’amua unauliza vitu via ndani kinagaubaga unachimba nakubali mzee mwezangu 😂
mtangazaji unazingua hio mic baada ya kupokezana umeikamatia ww huyo jamaa hatumsikii
😀😀😀ukawa mweupe
Spirit hiyo ninayo mpka leo lakin nashukuru sikupanda meli, Watoto wa mjini ndio wanamizuka hiyo , Kino Nyumbani
Bonge moja la story🔥🔥🔥
Big up sana kaka Mbanga Kwa kutuletea watu wenye stori za kuvutia 😂😂😂
Nzurii
Tunataka ile sound track ya sikuzote
Respect baharia
Sasa kwann utoi namba Kila unavyotoa
Point South beach durban👊🏽
👊✌️👍.
Leo mbona km radio 😢 mzee wa mbanga
Sauti zipo chini sana
hii story nazotaka
Rudisheni kile kinanda Cha siku zote bwana
Ngoma itambae