BAHARIA ALIYEJITOSA PAKISTAN!/ AFICHUA MASHAMBA YA UNGA/ MAISHA/ MILION 200/ WATU WANAUAWA..PART 03

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 02. 2024
  • MAISHA NI SAFARI ISIYO NA MWISHO, UNAWEZA UKALALA MASIKINI NA UKAAMKA UKIWA TAJIRI. KAMA HUIJUI KESHO YAKO UNAPASWA KUMUOMBA SANA MUNGU ANAYEFAHAMU NINI UTAKACHOKIPATA KWA NAMNA ALIVYOKUPANGIA.
    DAR24 MEDIA TUMEPIGA STORI NA BAHARIA CHAD AMBAYE AMETUMIA MKASA WAKE KAMA FUNDISHO KWA VIJANA WANAOTAMANI KUPITIA NJIA FUPI ILI KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAO YA KILA SIKU.
    INAFURAHISHA KWA UPANDE MMOJA LAKINI KWA UPANDE MWINGINE INAHUZUNISHA SANA KWA SABABU HUENDA LEO ANGEKUWA ANA KAMPUNI KUBWA AMBAYO INGEWEZA KUWAAJIRI VIJANA WENGI, LAKINI HUENDA NJIA HARAMU ALIZOTUMIA NI KAMA MUNGU AMEMUADHIBU NA KUAMUA KUMRUDISHA KATIKA HATUA YA SAHIHI ILI APATE RIZKI YAKE KIHALALI.
    KARIBU UFUATILIE KISA HIKI CHA KUSISIMUA.
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #baharia #mbanga #dupamdupange

Komentáře • 20

  • @dar24media
    @dar24media  Před 5 měsíci +3

    Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
    kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante

  • @theoriginals3240
    @theoriginals3240 Před 5 měsíci +1

    Watanzania wapo dunia nzima, zamani kaka zetu na babazetu walisafiri sana. Dah ila ndo ivo wakirudi bongo wanalongwa sijui , wanabaki hawana hata mia😢

  • @shahiduzuberi-vm3hy
    @shahiduzuberi-vm3hy Před 5 měsíci +1

    I wish cku moja niende nje but kitu inanikata moto ni hawa jamaa wakirudi hali tete😀

  • @eddywayne1755
    @eddywayne1755 Před 5 měsíci +3

    Dah mbanga umeimprove unang’amua unauliza vitu via ndani kinagaubaga unachimba nakubali mzee mwezangu 😂

  • @AbdulazizMohammed-wi8qz
    @AbdulazizMohammed-wi8qz Před 4 měsíci +1

    mtangazaji unazingua hio mic baada ya kupokezana umeikamatia ww huyo jamaa hatumsikii

  • @rosemaryfrancis9577
    @rosemaryfrancis9577 Před 4 měsíci +1

    😀😀😀ukawa mweupe

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 5 měsíci

    Spirit hiyo ninayo mpka leo lakin nashukuru sikupanda meli, Watoto wa mjini ndio wanamizuka hiyo , Kino Nyumbani

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před 5 měsíci +1

    Bonge moja la story🔥🔥🔥

  • @josephgamba8389
    @josephgamba8389 Před 5 měsíci

    Big up sana kaka Mbanga Kwa kutuletea watu wenye stori za kuvutia 😂😂😂

  • @ismailRamadhan-nh6cs
    @ismailRamadhan-nh6cs Před 5 měsíci

    Nzurii

  • @user-qf2mg1bu4u
    @user-qf2mg1bu4u Před 5 měsíci

    Tunataka ile sound track ya sikuzote

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 Před 5 měsíci

    Respect baharia

  • @mohamedkisenga6654
    @mohamedkisenga6654 Před 5 měsíci

    Sasa kwann utoi namba Kila unavyotoa

  • @user-rd7ey9qw3q
    @user-rd7ey9qw3q Před 5 měsíci

    Point South beach durban👊🏽

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 5 měsíci

    👊✌️👍.

  • @eddywayne1755
    @eddywayne1755 Před 5 měsíci

    Leo mbona km radio 😢 mzee wa mbanga

  • @SaadSaad-iw2yu
    @SaadSaad-iw2yu Před 5 měsíci

    Sauti zipo chini sana

  • @josephmay4260
    @josephmay4260 Před 5 měsíci

    hii story nazotaka

  • @tumainizacharia4984
    @tumainizacharia4984 Před 5 měsíci

    Rudisheni kile kinanda Cha siku zote bwana

  • @yohanakashinje1548
    @yohanakashinje1548 Před 5 měsíci

    Ngoma itambae