BAHARIA ALIYEJITOSA PAKISTAN!/ AFICHUA MASHAMBA YA UNGA/ MAISHA/ MILION 200/ WATU WANAUAWA..PART 09

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 02. 2024
  • MAISHA NI SAFARI ISIYO NA MWISHO, UNAWEZA UKALALA MASIKINI NA UKAAMKA UKIWA TAJIRI. KAMA HUIJUI KESHO YAKO UNAPASWA KUMUOMBA SANA MUNGU ANAYEFAHAMU NINI UTAKACHOKIPATA KWA NAMNA ALIVYOKUPANGIA.
    DAR24 MEDIA TUMEPIGA STORI NA BAHARIA CHAD AMBAYE AMETUMIA MKASA WAKE KAMA FUNDISHO KWA VIJANA WANAOTAMANI KUPITIA NJIA FUPI ILI KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAO YA KILA SIKU.
    INAFURAHISHA KWA UPANDE MMOJA LAKINI KWA UPANDE MWINGINE INAHUZUNISHA SANA KWA SABABU HUENDA LEO ANGEKUWA ANA KAMPUNI KUBWA AMBAYO INGEWEZA KUWAAJIRI VIJANA WENGI, LAKINI HUENDA NJIA HARAMU ALIZOTUMIA NI KAMA MUNGU AMEMUADHIBU NA KUAMUA KUMRUDISHA KATIKA HATUA YA SAHIHI ILI APATE RIZKI YAKE KIHALALI.
    KARIBU UFUATILIE KISA HIKI CHA KUSISIMUA.
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #mbanga #dupamdupange #dar24

Komentáře • 14

  • @dar24media
    @dar24media  Před 5 měsíci +1

    Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
    kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante

  • @jacktonmakau3397
    @jacktonmakau3397 Před 5 měsíci +2

    Big up bro.Good job.

  • @jumaramadhan1600
    @jumaramadhan1600 Před 5 měsíci +2

    Simulizi nzuri kaka, nakusikiliza kutoka Qatar na Mombasa ndio nyumbani,

  • @jumaramadhan1600
    @jumaramadhan1600 Před 5 měsíci +1

    Niko na wazo kaka, hii simulizi ni nzuri Sana ila ni fupi fupi. Ningeomba uunganishe sehemu 3 au 4 tusikilize vizuri

  • @samzigwajuma7820
    @samzigwajuma7820 Před 5 měsíci +1

    Oyah dupa keep it up,sema nini huyo dada anaetokea kava pullover ananikosha sana mpe salam

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 Před 5 měsíci +1

    Respect 🇹🇿

  • @emanueljohn9601
    @emanueljohn9601 Před 5 měsíci +1

    Wa kwanza nipeni like zangu 🎉

  • @mohrecaps
    @mohrecaps Před 5 měsíci +1

    Huyo dada niliyemuona apo mbona ni Consious sana

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před 5 měsíci +1

    Sana mkubwa upo sahihi

  • @astroworld2021
    @astroworld2021 Před 5 měsíci +1

    Saut ip chin sana

  • @michaeldalali7470
    @michaeldalali7470 Před 5 měsíci

    P😊

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před 5 měsíci

    Dupa unakichwa kizito sana kuelewa

  • @samzigwajuma7820
    @samzigwajuma7820 Před 5 měsíci

    Oyah dupa keep it up,sema nini huyo dada anaetokea kava pullover ananikosha sana mpe salam