BAHARIA ALIYEJITOSA PAKISTAN!/ AFICHUA MASHAMBA YA UNGA/ MAISHA/ MILION 200/ WATU WANAUAWA..PART 10
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- MAISHA NI SAFARI ISIYO NA MWISHO, UNAWEZA UKALALA MASIKINI NA UKAAMKA UKIWA TAJIRI. KAMA HUIJUI KESHO YAKO UNAPASWA KUMUOMBA SANA MUNGU ANAYEFAHAMU NINI UTAKACHOKIPATA KWA NAMNA ALIVYOKUPANGIA.
DAR24 MEDIA TUMEPIGA STORI NA BAHARIA CHAD AMBAYE AMETUMIA MKASA WAKE KAMA FUNDISHO KWA VIJANA WANAOTAMANI KUPITIA NJIA FUPI ILI KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAO YA KILA SIKU.
INAFURAHISHA KWA UPANDE MMOJA LAKINI KWA UPANDE MWINGINE INAHUZUNISHA SANA KWA SABABU HUENDA LEO ANGEKUWA ANA KAMPUNI KUBWA AMBAYO INGEWEZA KUWAAJIRI VIJANA WENGI, LAKINI HUENDA NJIA HARAMU ALIZOTUMIA NI KAMA MUNGU AMEMUADHIBU NA KUAMUA KUMRUDISHA KATIKA HATUA YA SAHIHI ILI APATE RIZKI YAKE KIHALALI.
KARIBU UFUATILIE KISA HIKI CHA KUSISIMUA.
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#mbanga #dupamdupange #baharia
Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante
Stori ya huyu baharia ilianza vizuri sana episode za mwanzo lkn Dupa umekuja kuiharibu sana hapa katikati imekuwa ni mahijiano sasa imepoteza mtililiko mzuri aisee inaenda mbele inarudi nyuma tena daaaah
Dupa kaka muache bro aongee
Mwanetu MAN CHAD nakubali sana hili shoo
On on dupa....big man chad
😅😅😅😅 fundi wa michezo,dupa kwa kuongezea 😂😂😂😂😂
chad man;;! jah akubless bro
Dupa😂😂😂fund wa michezo😅😅😅
Yeah mbanga kwa hewa 🔥🔥🔥🔥 p
Dupa😂😂😂Ety fundi wa michezoooo😂😂😂
hatari sanaa
Mbagaaaa hatare sna
Fundi wa michezoo 😂😂😂@dupa
Ongera baba tupo pamoja mapenzi hamna kizazi iki
Dupa unakicheko frani cha kinafik
Bro ww muislam unajua Quran unasema kiama hamna na kila kitu kimeandikwa sema hatujui ni lini lkn dalili zote zipo na ushahidi kwenye kitabu kitukufu Quran upo ...
Man Chadi !!
Sir Chad.
Jipange umalizie uzee wako bongo kaka
Uweuna weka Kila siku
Michezo ya bediii 😂
MAMBO YASHAKUWA MENGI,,USHAURI WANGU ANGALAU ZILRUSHWE EPSODE 2 KWA WIKI,,,,,MI MPAKA HUWA NASAHAU ILIKUWAJE
Kweli kabisa halafu dupa anarudia story yaani haieleweki kabisa yaani anaaza mbele mara anarudi nyuma yaani katika story dupa amechemka kwa Chad boy
Panoja xana