BAHARIA ALIYEJITOSA PAKISTAN!/ AFICHUA MASHAMBA YA UNGA/ MAISHA/ MILION 200/ WATU WANAUAWA..PART 10

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • MAISHA NI SAFARI ISIYO NA MWISHO, UNAWEZA UKALALA MASIKINI NA UKAAMKA UKIWA TAJIRI. KAMA HUIJUI KESHO YAKO UNAPASWA KUMUOMBA SANA MUNGU ANAYEFAHAMU NINI UTAKACHOKIPATA KWA NAMNA ALIVYOKUPANGIA.
    DAR24 MEDIA TUMEPIGA STORI NA BAHARIA CHAD AMBAYE AMETUMIA MKASA WAKE KAMA FUNDISHO KWA VIJANA WANAOTAMANI KUPITIA NJIA FUPI ILI KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAO YA KILA SIKU.
    INAFURAHISHA KWA UPANDE MMOJA LAKINI KWA UPANDE MWINGINE INAHUZUNISHA SANA KWA SABABU HUENDA LEO ANGEKUWA ANA KAMPUNI KUBWA AMBAYO INGEWEZA KUWAAJIRI VIJANA WENGI, LAKINI HUENDA NJIA HARAMU ALIZOTUMIA NI KAMA MUNGU AMEMUADHIBU NA KUAMUA KUMRUDISHA KATIKA HATUA YA SAHIHI ILI APATE RIZKI YAKE KIHALALI.
    KARIBU UFUATILIE KISA HIKI CHA KUSISIMUA.
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #mbanga #dupamdupange #baharia

Komentáře • 23

  • @dar24media
    @dar24media  Před 6 měsíci +3

    Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
    kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante

  • @user-rw9hx3nh3q
    @user-rw9hx3nh3q Před 6 měsíci

    Stori ya huyu baharia ilianza vizuri sana episode za mwanzo lkn Dupa umekuja kuiharibu sana hapa katikati imekuwa ni mahijiano sasa imepoteza mtililiko mzuri aisee inaenda mbele inarudi nyuma tena daaaah

  • @nickbrown8350
    @nickbrown8350 Před 6 měsíci

    Dupa kaka muache bro aongee

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary1245 Před 6 měsíci

    Mwanetu MAN CHAD nakubali sana hili shoo

  • @abdulazizbrek4980
    @abdulazizbrek4980 Před 6 měsíci +1

    On on dupa....big man chad

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 Před 6 měsíci +1

    😅😅😅😅 fundi wa michezo,dupa kwa kuongezea 😂😂😂😂😂

  • @user-cw7xw9cu6m
    @user-cw7xw9cu6m Před 6 měsíci

    chad man;;! jah akubless bro

  • @user-qf2mg1bu4u
    @user-qf2mg1bu4u Před 5 měsíci

    Dupa😂😂😂fund wa michezo😅😅😅

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před 6 měsíci

    Yeah mbanga kwa hewa 🔥🔥🔥🔥 p

  • @mohrecaps
    @mohrecaps Před 6 měsíci +1

    Dupa😂😂😂Ety fundi wa michezoooo😂😂😂

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 Před 6 měsíci +1

    hatari sanaa

  • @roviykamage5423
    @roviykamage5423 Před 6 měsíci +1

    Mbagaaaa hatare sna

  • @sadamhassan4047
    @sadamhassan4047 Před 6 měsíci +2

    Fundi wa michezoo 😂😂😂@dupa

  • @hamisamadimpozi5923
    @hamisamadimpozi5923 Před 6 měsíci

    Ongera baba tupo pamoja mapenzi hamna kizazi iki

  • @user-qf2mg1bu4u
    @user-qf2mg1bu4u Před 5 měsíci

    Dupa unakicheko frani cha kinafik

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před 6 měsíci

    Bro ww muislam unajua Quran unasema kiama hamna na kila kitu kimeandikwa sema hatujui ni lini lkn dalili zote zipo na ushahidi kwenye kitabu kitukufu Quran upo ...

  • @kennedymwagambo7197
    @kennedymwagambo7197 Před 6 měsíci +1

    Man Chadi !!

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Před 6 měsíci

    Sir Chad.
    Jipange umalizie uzee wako bongo kaka

  • @nobamsigala2951
    @nobamsigala2951 Před 6 měsíci

    Uweuna weka Kila siku

  • @3malis
    @3malis Před 6 měsíci

    Michezo ya bediii 😂

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 6 měsíci

    MAMBO YASHAKUWA MENGI,,USHAURI WANGU ANGALAU ZILRUSHWE EPSODE 2 KWA WIKI,,,,,MI MPAKA HUWA NASAHAU ILIKUWAJE

    • @MrishoMohamed-ey5zf
      @MrishoMohamed-ey5zf Před 6 měsíci

      Kweli kabisa halafu dupa anarudia story yaani haieleweki kabisa yaani anaaza mbele mara anarudi nyuma yaani katika story dupa amechemka kwa Chad boy

  • @FazoPhone
    @FazoPhone Před 6 měsíci

    Panoja xana