BAHARIA ALIYEZAMIA MELI "DAR":NILIKOSA PUMZI/NAKATA ROHO/NILIINGIA MELI YA WAUAJI/WAGIRIKI..02

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 04. 2024
  • Yahaya Mohamed, Akiwa mwenyekiti wa zone namba 08, katika soko la samaki la kimataifa la
    feri, jijini Dar es salaam, anatuhadithia mkasa wa maisha yake katika kipindi cha MBANGA, akiwa ni mmoja wa wasafiri wachache waliyowahi kuzamia meli katika bandari ya Dare es salaam,
    Mkasa wake unasisimua, kufundisha na kuelimisha, karibu katika mahojiano haya uweze kujifunza na kuburudika hii ni...MBANGAAA.....
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #mbanga #baharia #dupamdupange

Komentáře • 21

  • @dar24media
    @dar24media  Před 4 měsíci +3

    Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
    kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante

  • @mohamedallyrajabu8301
    @mohamedallyrajabu8301 Před 4 měsíci +2

    Daaaah dupaa huyuu mzee katemaa madini hadii nime taka kulia maana yupo sawa na tuendelezee muendelezoo babaaa big up kutoka 🇩🇪🇩🇪🇹🇿🇹🇿

  • @sulleyally5040
    @sulleyally5040 Před 4 měsíci +1

    Hiki kipindi nakipenda sana kinagusa hisia sana kwa cc mabaharia

  • @user-qf2mg1bu4u
    @user-qf2mg1bu4u Před 3 měsíci +1

    Beat hatuitak

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před 4 měsíci

    Tumengoja sana🔥🔥

  • @yunussera4146
    @yunussera4146 Před 3 měsíci

    Huyo mzee kuna swali analikwepa sijui nipo sahihi

  • @josephgamba8389
    @josephgamba8389 Před 4 měsíci +1

    Dupa endelea kutupa furaha Kwa simulizi nzr za hao mabaharia mana Kila anayekuja anafanya vzr

  • @wazirisalum8227
    @wazirisalum8227 Před 3 měsíci +1

    Dupa hv Kwanini Huwa huwaulizi kwamba je kwa kipindi Hiki Cha technologia hv watu Bado wanao uwezo wa kuzamia meli Kama ilivyo zamani?

  • @rab792
    @rab792 Před 4 měsíci

    hahaaaa hii kali wame jirudisha wenyewe

  • @saleemadhiyabalkhatri7800
    @saleemadhiyabalkhatri7800 Před 3 měsíci

    Sio malikweni ummu al guwein

  • @mwaka43
    @mwaka43 Před 4 měsíci +4

    Dupa Hivi unajua Wewe na Huyu Baharia mnafanana sana Sauti hadi Pozi za Kuongea???Au ni mimi tu Bange zangu????

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 Před 4 měsíci

    Naaaam

  • @AlawiSaidi-yn9gc
    @AlawiSaidi-yn9gc Před 4 měsíci

    Um kuwen. sio malikweni

  • @mohrecaps
    @mohrecaps Před 4 měsíci +1

    Leo ndo utaenda kujua kuwa panadol ni dawa au siyo dawa

  • @user-gw6zg5yx9e
    @user-gw6zg5yx9e Před 4 měsíci +1

    Dupa uyu baria kama babayako kwajimsi mlivo fanana Sula mpaka kuongea

  • @ekrammay8471
    @ekrammay8471 Před 3 měsíci

    Mwambie mwana hilo jahazi alilolipandani linaitwa kota Maha sio kota naga

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Karachi Amjaonana na wabongo?? Mgeonana na wabongo miaka hiyo mpaka sasa wazungu wa Unga 😂 kweli walndi kama Umezariwa njee Utakufia njee masikini Utakufia masikini 😂bino nilikua nae bombey muongeaji sana 😂😂😂😂