BAHARIA ALIYEZAMIA MELI "DAR":NILIKOSA PUMZI/NAKATA ROHO/NILIINGIA MELI YA WAUAJI/WAGIRIKI..02
Vložit
- čas přidán 5. 04. 2024
- Yahaya Mohamed, Akiwa mwenyekiti wa zone namba 08, katika soko la samaki la kimataifa la
feri, jijini Dar es salaam, anatuhadithia mkasa wa maisha yake katika kipindi cha MBANGA, akiwa ni mmoja wa wasafiri wachache waliyowahi kuzamia meli katika bandari ya Dare es salaam,
Mkasa wake unasisimua, kufundisha na kuelimisha, karibu katika mahojiano haya uweze kujifunza na kuburudika hii ni...MBANGAAA.....
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#mbanga #baharia #dupamdupange
Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante
Daaaah dupaa huyuu mzee katemaa madini hadii nime taka kulia maana yupo sawa na tuendelezee muendelezoo babaaa big up kutoka 🇩🇪🇩🇪🇹🇿🇹🇿
Hiki kipindi nakipenda sana kinagusa hisia sana kwa cc mabaharia
Beat hatuitak
Tumengoja sana🔥🔥
Huyo mzee kuna swali analikwepa sijui nipo sahihi
Dupa endelea kutupa furaha Kwa simulizi nzr za hao mabaharia mana Kila anayekuja anafanya vzr
Dupa hv Kwanini Huwa huwaulizi kwamba je kwa kipindi Hiki Cha technologia hv watu Bado wanao uwezo wa kuzamia meli Kama ilivyo zamani?
hahaaaa hii kali wame jirudisha wenyewe
Sio malikweni ummu al guwein
Dupa Hivi unajua Wewe na Huyu Baharia mnafanana sana Sauti hadi Pozi za Kuongea???Au ni mimi tu Bange zangu????
Kwelii wanafanana sana
Ni kweli
Kinoma sauti ile ile na poz
Naaaam
Um kuwen. sio malikweni
Leo ndo utaenda kujua kuwa panadol ni dawa au siyo dawa
Dupa uyu baria kama babayako kwajimsi mlivo fanana Sula mpaka kuongea
Mwambie mwana hilo jahazi alilolipandani linaitwa kota Maha sio kota naga
Karachi Amjaonana na wabongo?? Mgeonana na wabongo miaka hiyo mpaka sasa wazungu wa Unga 😂 kweli walndi kama Umezariwa njee Utakufia njee masikini Utakufia masikini 😂bino nilikua nae bombey muongeaji sana 😂😂😂😂
kaka nafikajeee hkooo