BAHARIA ALIYEZAMIA MELI "DAR":NILIKOSA PUMZI/NAKATA ROHO/NILIINGIA MELI YA WAUAJI/WAGIRIKI..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 04. 2024
  • Yahaya Mohamed, Akiwa mwenyekiti wa zone namba 08, katika soko la samaki la kimataifa la
    feri, jijini Dar es salaam, anatuhadithia mkasa wa maisha yake katika kipindi cha MBANGA, akiwa ni mmoja wa wasafiri wachache waliyowahi kuzamia meli katika bandari ya Dare es salaam,
    Mkasa wake unasisimua, kufundisha na kuelimisha, karibu katika mahojiano haya uweze kujifunza na kuburudika hii ni...MBANGAAA.....
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #mbanga #baharia #dupamdupange

Komentáře • 25

  • @dar24media
    @dar24media  Před 3 měsíci +4

    Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
    kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante

  • @user-dh1co2mp2i
    @user-dh1co2mp2i Před 3 měsíci +2

    Umetisha Sana baharia

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před 3 měsíci +1

    Safi mbanga kwa hewa🔥🔥🔥🔥

  • @SalumSleyoum-bi5is
    @SalumSleyoum-bi5is Před 3 měsíci +1

    Nakuerewa sana kaka

  • @Ayyub_Semtawa
    @Ayyub_Semtawa Před 2 měsíci +1

    DAR24 mnafanya Kazii nzuri sana..hongereni sana...ila ushauri wangu kwa lengo la kuboresha mngefanya setting nzuri ya Camera angle..[kuwe na angle moja itakayo waonyesha wote wawili]

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 3 měsíci +1

    Story mzuri sana baharia Og sema Apa mulipo Andika wagiriki wauaji 😂 waAfrica wote mabaharia meli za kigiriki ndio meli zetu sio wala watesaji nipo mpaka leo melini pereaus Apa 🇹🇿🇬🇷

  • @yohanakashinje1548
    @yohanakashinje1548 Před 3 měsíci +1

    Noma sama

  • @themanofgod7562
    @themanofgod7562 Před 3 měsíci +2

    Woza baharia

  • @GIVEN994
    @GIVEN994 Před 3 měsíci +2

    Iaseeee ile Soundtrack yetu ndio inahitajika maana ndio imeifanya hiii iitwe mbanga na inacatch fillings flani hivi, kuendana na flow za wasimuliaji, so ile soundtrack irudi haraka iwezekekanavyo

  • @user-df5mj2ft4w
    @user-df5mj2ft4w Před 3 měsíci +1

    Unajua kupiga moyo konde wew

  • @user-qf2mg1bu4u
    @user-qf2mg1bu4u Před 3 měsíci +1

    Yan mnaboa hizi beat hazituvutii sisi tunaitaka ile ilokuepo kitambo mnatukwaza sana

  • @Officalnaph
    @Officalnaph Před 3 měsíci +1

    leo umepatikana

  • @allymajaliwa362
    @allymajaliwa362 Před měsícem +1

    Dupa rudisheni Ile sound ya kitambo ilikua poa Sana

  • @hashimrashid6380
    @hashimrashid6380 Před 3 měsíci +2

    Mzee sauti km mwakinyo kidoog

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 Před 3 měsíci +2

    I got story to tell...mimi msafiri niliesafiri mwaka 1995..kwa sasa nipo ughaibuni..nitakutafuta

  • @AshrafJuma-lx1kc
    @AshrafJuma-lx1kc Před měsícem +1

    Dupange sauti ipo chini san kaka

  • @abdulazizbrek4980
    @abdulazizbrek4980 Před 3 měsíci +3

    Wewe ndo utakwenda kujua mara ya kwanza kuwa panadol ni dawa ama sio dawa...ii sauti sato na juma5 inaring kwa akili

  • @theoriginals3240
    @theoriginals3240 Před 3 měsíci +1

    Yule jamaa bala atupe stori anaaza kuzungumzia mapenzi.. yaa nimeangalia part one tu , zingine sijaangalia tena.. naanza upya na huyu baaria mwingine

  • @AssumaniNahishakiye-vq9ft
    @AssumaniNahishakiye-vq9ft Před 3 měsíci +1

    Mtafute baharia kaliope yuko kinondoni yeye aliondokea dar es salaam

  • @SaeedKhalfan-ih6wk
    @SaeedKhalfan-ih6wk Před 3 měsíci +1

    Sku saba unakunya wapi na kojo 28:29

    • @alvinsafi2733
      @alvinsafi2733 Před 3 měsíci +1

      Ukiwa makina hata haja kubwa hupati..
      Muda wa kula hakuna hapo wewe unafikiria usikamatwe.. pia unajikaza ukatize mikondo ya bahari..mimi meli yangu ilikuwa winterstar limasol ya kigiriki

  • @Officalnaph
    @Officalnaph Před 3 měsíci

    Mzee umedata nini , tafadhali tupe story yako wewe kama wewe