BAHARIA ALIYEZAMIA MELI "DAR":NILIKOSA PUMZI/NAKATA ROHO/NILIINGIA MELI YA WAUAJI/WAGIRIKI..
Vložit
- čas přidán 2. 04. 2024
- Yahaya Mohamed, Akiwa mwenyekiti wa zone namba 08, katika soko la samaki la kimataifa la
feri, jijini Dar es salaam, anatuhadithia mkasa wa maisha yake katika kipindi cha MBANGA, akiwa ni mmoja wa wasafiri wachache waliyowahi kuzamia meli katika bandari ya Dare es salaam,
Mkasa wake unasisimua, kufundisha na kuelimisha, karibu katika mahojiano haya uweze kujifunza na kuburudika hii ni...MBANGAAA.....
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#mbanga #baharia #dupamdupange
Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante
Muendelezo wake hii story ni lini..?
Umetisha Sana baharia
Safi mbanga kwa hewa🔥🔥🔥🔥
Nakuerewa sana kaka
DAR24 mnafanya Kazii nzuri sana..hongereni sana...ila ushauri wangu kwa lengo la kuboresha mngefanya setting nzuri ya Camera angle..[kuwe na angle moja itakayo waonyesha wote wawili]
Story mzuri sana baharia Og sema Apa mulipo Andika wagiriki wauaji 😂 waAfrica wote mabaharia meli za kigiriki ndio meli zetu sio wala watesaji nipo mpaka leo melini pereaus Apa 🇹🇿🇬🇷
Noma sama
Woza baharia
Iaseeee ile Soundtrack yetu ndio inahitajika maana ndio imeifanya hiii iitwe mbanga na inacatch fillings flani hivi, kuendana na flow za wasimuliaji, so ile soundtrack irudi haraka iwezekekanavyo
Unajua kupiga moyo konde wew
Yan mnaboa hizi beat hazituvutii sisi tunaitaka ile ilokuepo kitambo mnatukwaza sana
leo umepatikana
Dupa rudisheni Ile sound ya kitambo ilikua poa Sana
Mzee sauti km mwakinyo kidoog
I got story to tell...mimi msafiri niliesafiri mwaka 1995..kwa sasa nipo ughaibuni..nitakutafuta
Big up captain 1995
Dupange sauti ipo chini san kaka
Wewe ndo utakwenda kujua mara ya kwanza kuwa panadol ni dawa ama sio dawa...ii sauti sato na juma5 inaring kwa akili
Yule jamaa bala atupe stori anaaza kuzungumzia mapenzi.. yaa nimeangalia part one tu , zingine sijaangalia tena.. naanza upya na huyu baaria mwingine
Mtafute baharia kaliope yuko kinondoni yeye aliondokea dar es salaam
tayari
Sku saba unakunya wapi na kojo 28:29
Ukiwa makina hata haja kubwa hupati..
Muda wa kula hakuna hapo wewe unafikiria usikamatwe.. pia unajikaza ukatize mikondo ya bahari..mimi meli yangu ilikuwa winterstar limasol ya kigiriki
Mzee umedata nini , tafadhali tupe story yako wewe kama wewe