Video není dostupné.
Omlouváme se.

BAHARIA: KUTOSWA BAHARINI/ SAMAKI MTU/ ALINIOKOA/ NILIKATAZWA KUSEMA/ MAISHA SIO RAFIKI/ UMALAYA!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 07. 2023
  • Inasikitisha sana, lakini ndivyo ilivyokuwa katika utafutaji wa maisha wa Bahari Mlachake, kutoka safari ya Treni hadi Melini na kujikuta yupo nchi za ughaibuni, ameishi Maisha ya kustaajabisha sana, lakini alikubaliana na hali halisi, ni sehemu ya bindaamu waliowahi kumuiona SAMAKI MTU Baharini!
    --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #china #canada #mbanga

Komentáře • 53

  • @dar24media
    @dar24media  Před rokem +8

    Kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa namba #0653127761

    • @nasibujuwe3038
      @nasibujuwe3038 Před 11 měsíci

      Ebna my brother mbanga mimi natokea Tandika naishi Canada 🇨🇦 uyo ni mdogo wangu muhulize l
      wa kitaa chetu hapa ila MImi ndio kaka yake mkubwa kwenye maisha Aya Bundala wa kitaa...mimi ni A.K.A nyei ...nipo hapa Canada nanyuwa matambala yake yote...na Akina Binanasi jamadini wote tunajuwa...Bundala

  • @timothybanda3219
    @timothybanda3219 Před rokem +12

    Huyo Michael Aloyce Kilango alikua anakaa kiluvya gogoni,alikua Canada akarudishwa na sasa yuko Belgium huko. Anachosema jamaa ni sahihi kbs

  • @ramadhanikioza9913
    @ramadhanikioza9913 Před 11 měsíci +3

    Daaah huyo namsifu alisoma primary miburani alikuwa anakaa maghorofani tandika na Alex pia alisoma miburani primary na alikuwa anakaa tandika Mtaa wa kitunda wote nilsoma nao Miburani

  • @MichaelStewart-cl3fo
    @MichaelStewart-cl3fo Před rokem +5

    Saf sanaa kipindi kipi vizuri sana. Tunapata darasani kubwa sana ambalo hata huko mavyuonii hupatiii

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 Před 4 měsíci

    Pole sana classmate (forest hill) wangu ila maisha ya kiuni ulianza hata ulivyo form one.maisha ni kuchagua

  • @andrewdankanidankanichilal8944

    Sema kaka siku izi una improve ata kuongea safi Sana

  • @andrewdankanidankanichilal8944

    Noma na mm nna story yangu ya safari South Africa

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja2411 Před rokem +2

    Napenda sana mixer ya kiswaz na Blair

  • @abdulazizbrek4980
    @abdulazizbrek4980 Před rokem +2

    Ii kali na budaa yuko vizuri kimombo

  • @InnocentWillbald-du9en
    @InnocentWillbald-du9en Před rokem +3

    Dah hii simulizi kali saana.tusiache kujifunza ..

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před rokem +6

    Ya know wat a mean,I feel ya Gee....unyama sana....

  • @johnkalubea8555
    @johnkalubea8555 Před rokem +2

    Ongea tu Kiswahili mkubwa utaeleweka vizuri

  • @themanofgod7562
    @themanofgod7562 Před rokem +2

    I like this scenario the THUG life and OUTLAW.

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před rokem +1

    Ok poa . kusoma sio skuli tu hata mitaani kunaelimisha na ndio kwenye elimu ya kweli na kwa vitenndo wacha tusikilize tujifunze

  • @liltanz2267
    @liltanz2267 Před rokem +2

    Noma na kukubali DUPA
    Profesamichoro hapa kutoka lstanbul Turkey Baharia mbishi

  • @pascalmgina
    @pascalmgina Před rokem

    I can behave to do it myself....noma sana

  • @gilbertmunga5351
    @gilbertmunga5351 Před rokem

    Suspense well created

  • @user-ce2kq5xr9u
    @user-ce2kq5xr9u Před rokem +1

    Nilikuwa Naye kitambo nyong'o engalus

  • @ibrahimngayonga7210
    @ibrahimngayonga7210 Před rokem

    Se man ✊

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před rokem +3

    Ongea kiswahili tuu kaka, tutakuelewa😂😂😂😂

    • @moneythemes
      @moneythemes Před rokem

      Kuongea ni sanaa, na ni mazoea ya mtu baada ya muda flani.Hata wewe kuna mambo watu labda hawakwambii unaweza kuta kuna msamiati huwa unautumia vibaya au mara nyingi, na wengine labda unawakera, lakini wanaishi tu na wewe😆😆

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 Před rokem

    Naona Mzee hata matamshi ya lugha ya kiswahili ni ya kizungu😂.

  • @hudsonhenry1849
    @hudsonhenry1849 Před rokem +1

    Nilimsikia mwana kwny gangana

  • @cchimodzi3858
    @cchimodzi3858 Před rokem

    Nakubali Forest Hill Secondary school aliyosema ni kweli ilikuwa wahindi tupu

    • @peterrulagora7403
      @peterrulagora7403 Před 4 měsíci

      Lo!nimemkumbuka Forest nilisoma form one tu 91,alikuwa muhuni toka kipindi hicho

  • @zahirallyzorro3940
    @zahirallyzorro3940 Před rokem

    Part 3 yake lini

  • @zahirallyzorro3940
    @zahirallyzorro3940 Před rokem

    Haijatoka Part 2

  • @DomsonMendez
    @DomsonMendez Před rokem +1

    Huyo mwamba anavyoongea ananiua ananikosha kinyama

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 Před rokem +1

    Baharia anavunja yai

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před rokem

    😂😂 Stori nzuli hasaunavyo ongea na sleing unaniongezea hop

  • @mariayoeni4211
    @mariayoeni4211 Před rokem

    Hedaru home ❤❤😂

  • @lazaroleonard3630
    @lazaroleonard3630 Před rokem

    Kk atuoni muendelezo unapost lini kk

  • @user-ce2kq5xr9u
    @user-ce2kq5xr9u Před rokem

    Nyong'o lends ramadhani kitambo

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před rokem

    😅😅

  • @saidimaulidi-be9ds
    @saidimaulidi-be9ds Před rokem +1

    Tuma nyengine

  • @hamzahabits7912
    @hamzahabits7912 Před 8 měsíci

    smart English oooh kill me

  • @ruwaidamabrouk1797
    @ruwaidamabrouk1797 Před rokem +1

    Nimeona tatoo ya mtangazaji😂😂😂😂

    • @muhammadkassim6291
      @muhammadkassim6291 Před 11 měsíci

      Tatoo ni haramu kwenye uislam na hata mkiristo moja alithibitishia kwenye Imani Yao haijaruhusiwa kuchora tatoo

  • @KhadijaMiteya-hh8xl
    @KhadijaMiteya-hh8xl Před rokem

    Kweli wewe bahari unachanganya vyeo vya wakuu wa jeshi. Bora usitaje 😅😅😅😅

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 Před rokem

    "bandala stole kachori" 😂😂😂

  • @aloycelucas1823
    @aloycelucas1823 Před rokem +1

    Pale BBC ukiwa kwenye interview ukiweka English kidogo tu mtangazaji anaifasiri ili kuonyesha kuwa neno lile k enye kiswahili lipo na haina haja ya kuliongea kwa kiingereza Sasa ndg yang mswahil unajitoa ufahamu kujifanya hujui kuongea kiswahili vzr mpk utie kizungu halaf mwandishi anasapot mi nasema haiko sawa. Mzungu akiweza kuongea kiswahili anapenda aongee bila kutia neno la kwao lakn mswahili akiweza kizungu kidg tu mmekwisha na pengine hata akiongea kiswahili hawezi kutofautisha matumizi ya R na L, hebu tuacheni Mambo ya kudharau ya kwetu!!!!!!

    • @DomsonMendez
      @DomsonMendez Před rokem +2

      Huyo ni swaga zake alafu ukisema tufate vyetu hata hiyo smartphone ni uzungu

  • @user-ho1th5ce6n
    @user-ho1th5ce6n Před rokem

    Tunajifunza vingi kwenye hizi stor

  • @user-bt3sw7dv7k
    @user-bt3sw7dv7k Před 9 měsíci

    Nlubali

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 Před rokem

    Kuna Ajagani transient wote ni wabongo???😄🇹🇿🇬🇷

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před rokem +1

    Tunajifunza ila mbaba anaupiga kingereza hahahahaaa interview ya leo kali ila mtangazaji mwambie baharia azungumze kiswahili tu ili wote tumuelewe