BAHARIA: KUTOSWA BAHARINI/ SAMAKI MTU/ ALINIOKOA/ NILIKATAZWA KUSEMA/ MAISHA SIO RAFIKI/ UMALAYA!
Vložit
- čas přidán 1. 08. 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#baharia #safari #mbanga
Kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa namba #0653127761
Story tamu sana mzee atisha..part 3 ikuje chap
Baharia wa kitambo safiii Vijana wa zama hizi Tujifunze kitu Force to ✈️
Yeah Mbanga kwe hewa
Sea never dry to all masela and never give up,hope kali kwa sana tu.
Nilishauli mzee aletwe kwa dupa mbanga nashukuru kaletwa mzee anatambala uyu amekaa mpk na brother angu mashaka show Canada
Duh Mashaka aliyekuwa anaitwa Babu?
Baitbridge ni mpaka upande wa South Africa ni Mesina dah mjombo kanimbusha kitambo
I love the show Gee 🇰🇪, big up,.
The best interview
Mzee yuko vzr❤
MOJA YA VIPINDI VYANGU BORA SANA AMBAVYO HUWA NAFATILIA HASA CZcams
Mingurumo au mapombe makali yamekausha koo.mjomba nguruma au tisha tisha simba au ngiri
Nakubali sana ❤❤❤❤❤❤
Together
Msitucheleweshe jamani kupost respect sana
Mzee yupo makini..acha tujifunze
Mkuu tupia nyingine stori tam sana
Wewe washikaji hongea luga ya taifa kila mbongo Akuelewe direct Au ndio .M.Canada Umekisahau kiswahili 🤣🇹🇿🇬🇷⛴⚓
Uliogopa umande sasa unaona umuhimu wa shule?
Anaongea kwa kufurahia , mwacge ainjoy
@husseinhussein9971 Sasa kuongea kingereza mpaka uende shule? Nawe kama ni kweli ulipita shule lakini wazi hauna ya maarifa juu ya kumbambanua mambo kifupi wala haukuelimika .. lugha yeyote kufahamu si kazima upite shule, kuna mabeach boy unguja wanazungumza lugha zaidi ya tano na wala hawakupita madarasani na kuna watu wafika form 6 huko bongo na kingereza wala hawafahamu vyema
Oya dupa lete muendelezo tunaelewa mzigo
sema anabana pua sana baharia😢
Ndy sauti yake
Pengine ni sauti yake ya asili, sometimes unatakiwa utumie akili yako zaidi husiwe namajibu ya pupa, achana na fikra mbovu
Story tamu sana elim kubwa sana
Kanali Fussi alikua Jirani yangu. Mtu safi sana.
May he Rest in Peace
Jamaa ana stori nzuri ila hajui namna nzuri ya kusimulia
Jah Kimbute ni mjomba angu na alisha fariki.
Ni watu wa wapi Tanga ama sehem gan. Mana me namfahm mzee kimbute Yuko Tanga
@@fahmyatrash7877 Niwapare. Mzee kimbute yupo Tanga mikanjuni lakini Kwa asili yake ni Mpare wa Pinji.
Mnandi Yan Tamu Yan sweety
Ngrrrrrrruuuuu😅
Hhh
😂😂😂
Mzee katisha San
mnooo...
Yaani mzee ana English moja hatari sana naenjoy show mamen🎉❤
Hi Part 2 au?
Yah
Zamani ndio kulikua na fursa jamani
Daaa kweli Yan sahv south inanuka njaa nataka kugeuka Leo lesho
@@andrewdankanidankanichilal8944 usigeuke komaaa mzebaba
ww mzee kizunguzu cha nini wengine hatuelewi
hapa kingereza is the problem. the story could have been better with Swahili
wakat tunaosikiliza humu n walimu wa kiingereza, kifaransa kijeruman kiarabu.
Kwa hiyo n bora azyngumxe kiswhili maana he's talking totally grammarless
@@twaibumikidadi7377daaah
Fungueni group la WhatsApp ambalo litawakutanisha mabaharia ote.
Hii itasaidia kuwapata mabaharia ambao wako mbali na pia kupata umoja yaani ikitoka show iangaliwe kwa umoja❤