BAHARIA: WALITOSWA BAHARINI/ SAMAKI MTU/ ALINIOKOA/ NILIKATAZWA KUSEMA/ MAISHA/UMALAYA! | PART 03

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #baharia #safari #mbanga

Komentáře • 39

  • @dar24media
    @dar24media  Před rokem +8

    Kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa namba #0653127761, muendelezo wa kipindi hiki utaruka siku ya jumatano ya tarehe 9/08/2023, saa nne kamili asubuhi

  • @andrewdankanidankanichilal8944

    Indhaba maana yake habari salute kwa baharia nipo huku Johanesburg

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 Před rokem +4

    Darton ni hostel watu wanaishi na wa bongo Ndiyo ilikuwa maskan yao kupiga mitungi hila ni sehemu hstari sana Darton

  • @mikeraphael957
    @mikeraphael957 Před rokem +1

    Good job bro!! Baharia ana mambo mengi ya kutufunza !! Thanks a lot Baharia Gamba.

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před rokem +1

    Pamoja sana kaka nimekubali

  • @dottowache5149
    @dottowache5149 Před rokem +1

    Mzazi umetisha story nzuri big up madala

  • @InnocentWillbald-du9en
    @InnocentWillbald-du9en Před rokem +4

    Dupa pamoja saana

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před rokem +1

    Dah mzee wetu noma sana 😂😂

  • @habibseif8989
    @habibseif8989 Před rokem +6

    Jamaa ana mbwembwe za kuongea , anaoneoana story yke inaweza mfikia mzee kabunyau ..mzee wa wali kokoliko

  • @JumaHaji-kk8pw
    @JumaHaji-kk8pw Před rokem +3

    Leo wakwnz👉 j 👦from zanzibr ilkua tunaisubiria san storry ya mzee magamb ep 3

  • @jfourhumbhumb1754
    @jfourhumbhumb1754 Před rokem +1

    Nafatilia nikiwa hapa nikiwa migodini copa bert

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před rokem +1

    Dahhh sijui niseme nini ila ukienda nje unapaswa kuekeza kwenu na usiishi kufata mkumbo maana mda huenda na miaka inaenda mbele natamani kujua baada ya maisha yote huko nje huku tz anajishuhulisha na nini ?? Yote kwa yote vijana tujifunzeni kupitia waliotangulia

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před rokem

      Upeo katika sisi binadamu tunatofautia , kwani kuna watu wapo na familia zao na wanaziudumia huko nyumbani lakini hawana ufahamu mkubwa wa maisha so jambo ilo nizito sana na ndio maana watu wengi masikini ata na walioajiriwa na wana elimu lakin mwisho wanarudi katika umasikini

  • @user-dl6bq5ty2l
    @user-dl6bq5ty2l Před rokem

    Tupo sana african borwa Mamelodi East

  • @islamicreligiontv2718
    @islamicreligiontv2718 Před 11 měsíci

    Msafiri pwani macho ngalawani

  • @jfourhumbhumb1754
    @jfourhumbhumb1754 Před rokem

    Pamoja sana

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před rokem

    South africa si nchi nzuri na zaidi katika wakati huu , na madogo bado wanakimbilia arafu huku hawana sababu wala mipango wengi hawajitambui kwani zipo nchi zakwenda katika Africa na ukafanikiwa nasi lazima kuingia South africa bila mipango kichwani wala ujuzi . nimeona South africa madogo wengi asilimia kubwa hawajitambui na wanaulimbukeni na ushamba kama wa wasouth africa wenyewe wanaotoka nje ya miji

  • @mwaka43
    @mwaka43 Před rokem

    Duh!! Mzee kakumbushia Kiboko Msheli....ilikuwa ni kama Panya road wa sasa hivi!! Kiboko msheli waliibuka ile Miaka ya 1993 nadhani baada ya Komandoo Yoso

  • @user-bq5uf4dy5v
    @user-bq5uf4dy5v Před rokem

    You anabalala Ana juwa

  • @user-ce2kq5xr9u
    @user-ce2kq5xr9u Před rokem

    Ngngo engalus squash boy pahari ramadhani kisogoro mika hon sarira

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před rokem

    Jamaa anakaa wakupiga konyagi sana

  • @dedemishi3848
    @dedemishi3848 Před rokem

    Qatar pia Kuna Darsalam

  • @RichardCossan-rk1ub
    @RichardCossan-rk1ub Před rokem

    Kabinyau anajua dupa uyo babu story yake inachanya shua bro dupa

  • @ibnmoses979
    @ibnmoses979 Před rokem

    Tag me next

  • @bakariabdallah8702
    @bakariabdallah8702 Před rokem

    uyu anakuja vzr story tamu kama baaria balozi

  • @user-vt4zc7by8j
    @user-vt4zc7by8j Před rokem

    Wamepgwa Sana mshipa awa kwenye Meli Za watu Oya co poaaaa lkn hawasemi

    • @Byme6434
      @Byme6434 Před rokem

      😳😳😳😳😳

    • @moneythemes
      @moneythemes Před rokem

      Aah story za waongo wachache, usiwaskilize, ilikuwa story ya kuwa discourage vijana wa enzi hizo wasichomoke kama wenzao. Kama sasa hivi tu kuna taarifa kibao za kumsaidia mtu ajikwamue zimebanwa.

  • @user-ce2kq5xr9u
    @user-ce2kq5xr9u Před rokem

    Bundara vipii nyong'o kitambo darton roard

  • @elishaobadia8829
    @elishaobadia8829 Před rokem

    Mmmmmmgh