BAHARIA: WALITOSWA BAHARINI/ SAMAKI MTU/ ALINIOKOA/ NILIKATAZWA KUSEMA/ MAISHA/UMALAYA! | PART 03
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#baharia #safari #mbanga
Kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa namba #0653127761, muendelezo wa kipindi hiki utaruka siku ya jumatano ya tarehe 9/08/2023, saa nne kamili asubuhi
Indhaba maana yake habari salute kwa baharia nipo huku Johanesburg
Darton ni hostel watu wanaishi na wa bongo Ndiyo ilikuwa maskan yao kupiga mitungi hila ni sehemu hstari sana Darton
Good job bro!! Baharia ana mambo mengi ya kutufunza !! Thanks a lot Baharia Gamba.
Pamoja sana kaka nimekubali
Mzazi umetisha story nzuri big up madala
Dupa pamoja saana
Pamoja saaana mkuu
@@dupamdupange5918 Hongera sana Mzee Kazi unaiweza
Dah mzee wetu noma sana 😂😂
Jamaa ana mbwembwe za kuongea , anaoneoana story yke inaweza mfikia mzee kabunyau ..mzee wa wali kokoliko
naaam
Yule kabinyau ni class ya pekee kwa maana off class ana aina yake tu.
🤣😂🤣🤣🤣
Nikweli hiistori itakua nzuli sana
Leo wakwnz👉 j 👦from zanzibr ilkua tunaisubiria san storry ya mzee magamb ep 3
karibu saana
Nafatilia nikiwa hapa nikiwa migodini copa bert
Dahhh sijui niseme nini ila ukienda nje unapaswa kuekeza kwenu na usiishi kufata mkumbo maana mda huenda na miaka inaenda mbele natamani kujua baada ya maisha yote huko nje huku tz anajishuhulisha na nini ?? Yote kwa yote vijana tujifunzeni kupitia waliotangulia
Upeo katika sisi binadamu tunatofautia , kwani kuna watu wapo na familia zao na wanaziudumia huko nyumbani lakini hawana ufahamu mkubwa wa maisha so jambo ilo nizito sana na ndio maana watu wengi masikini ata na walioajiriwa na wana elimu lakin mwisho wanarudi katika umasikini
Tupo sana african borwa Mamelodi East
Msafiri pwani macho ngalawani
Pamoja sana
South africa si nchi nzuri na zaidi katika wakati huu , na madogo bado wanakimbilia arafu huku hawana sababu wala mipango wengi hawajitambui kwani zipo nchi zakwenda katika Africa na ukafanikiwa nasi lazima kuingia South africa bila mipango kichwani wala ujuzi . nimeona South africa madogo wengi asilimia kubwa hawajitambui na wanaulimbukeni na ushamba kama wa wasouth africa wenyewe wanaotoka nje ya miji
Duh!! Mzee kakumbushia Kiboko Msheli....ilikuwa ni kama Panya road wa sasa hivi!! Kiboko msheli waliibuka ile Miaka ya 1993 nadhani baada ya Komandoo Yoso
You anabalala Ana juwa
Ngngo engalus squash boy pahari ramadhani kisogoro mika hon sarira
Jamaa anakaa wakupiga konyagi sana
Qatar pia Kuna Darsalam
Kabinyau anajua dupa uyo babu story yake inachanya shua bro dupa
Tag me next
uyu anakuja vzr story tamu kama baaria balozi
Wamepgwa Sana mshipa awa kwenye Meli Za watu Oya co poaaaa lkn hawasemi
😳😳😳😳😳
Aah story za waongo wachache, usiwaskilize, ilikuwa story ya kuwa discourage vijana wa enzi hizo wasichomoke kama wenzao. Kama sasa hivi tu kuna taarifa kibao za kumsaidia mtu ajikwamue zimebanwa.
Bundara vipii nyong'o kitambo darton roard
Mmmmmmgh
Mwambie aongee kiswahil too