MBANGA: MAISHA YANACHOSHA/ ULAYA LAZIMA/ NIMEAMUA HIVYO/ UJAMBAZI, MAPENZI/ NILIPAGAWA/ NINAPAMBANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #safari #baharia #dupamdupange

Komentáře • 74

  • @dar24media
    @dar24media  Před rokem +5

    kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na jumatano, saa nne kamili asubuhi kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa namba..#0653127761

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 Před rokem

      Can send me his number please,am from 🇰🇪 kenya,,,dude is fuckin OG homeboy

  • @benjaminorondo8494
    @benjaminorondo8494 Před rokem +5

    Bro nimekuwa nikifatilia sana kuanzia episode ya kwanza mpaka hii ya leo its really inspiration experience. Watching from Bahrain.

  • @user-jq6tu4cf9t
    @user-jq6tu4cf9t Před rokem +3

    Aka Bachuchu Mombasa 001
    🇰🇪🔥🇰🇪🔥🇰🇪🔥

  • @wapesahdavydoh2415
    @wapesahdavydoh2415 Před rokem +1

    Amekubalika sana balozi big up from +254🇰🇪

  • @vasmotz
    @vasmotz Před rokem +1

    Niko France namfatilia sana toka kipindi cha kwanza. Nikija bongo nataka nionane nae nitakuwa na zawadi zake. Huyu mwamba nam kubali sana mzee wa jogoo🙌🏾🙌🏾

  • @damaslusinde9786
    @damaslusinde9786 Před 11 měsíci +1

    Nina umri WA miaka 63 Ila Kijana nimempenda anajieleza vizuri sana na ni mkweli ana kipaji cha kujieleza nahisi ana kitu Ila hajajijua bado, sijawahi comment hata siku moja kwenye mtandao

  • @gabrielTz5
    @gabrielTz5 Před rokem +2

    Daah Balozi, Amani Temba, Frank Kachema Jimmy doddy zamani sanaaaa Kila la heri nikija lazima nikuone balozi

  • @allykackoyi9195
    @allykackoyi9195 Před rokem +1

    Mbanga balozi nimempenda leo mara ya kwanza kumsikia nipo USA Virginia ❤

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před rokem +3

    Kwahiyo amepata demu mwenzenu nilikua namumendea hatari ila ndio ivyo sio bahati yangu 😔😔😔

  • @mahamedcadey7695
    @mahamedcadey7695 Před rokem +4

    Msomali wa kwanza kufuatilia kipindi yenye mafunzo heshima kwenu wazee

  • @mtafutajiog1939
    @mtafutajiog1939 Před rokem +1

    KAMANDA ANAONGEA FAKTI SANA NAMKUBALI MNO BIG UP KWAKE

  • @mazruyonlinetv2423
    @mazruyonlinetv2423 Před rokem +1

    Nipo UK naangalia sn story zako.

  • @rahimajuma4633
    @rahimajuma4633 Před rokem +1

    Mzee baba Mzee wakudonyoa respect kwako direct from 🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @magulupaul-us8uv
    @magulupaul-us8uv Před rokem +3

    Aaaah! Baharia banaa😂😂, mwalimu wa physics, Chemia na english😅😅😅

  • @keitatv9219
    @keitatv9219 Před rokem +2

    😂😂 kama nilivyo kuwa ulaya kufumba macho kufumbua Niko kipawa mzee Yuko real sanaaa

  • @yahyamwadini8546
    @yahyamwadini8546 Před rokem +1

    mwambie balozi nakuja mwenzi 8 kutoka uk brighton naomba namba zake

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg4390 Před rokem

    Balozi Malima 💪💪💪 anaonekana ni mtu wa watu sana kwasababu kila mtu anaepita anamsalimia, yuko poa sana.

  • @alhajitawakal6063
    @alhajitawakal6063 Před rokem

    Appreciate maniga kabinyau inspiration reality you talk straight 💯 since day one will meet you deserve salute

  • @user-qc8rc5co6q
    @user-qc8rc5co6q Před rokem +2

    Huyo jamaa anafaa sana kuekt movie hiv ajafikilia hilo

  • @user-vr6hz5jd5x
    @user-vr6hz5jd5x Před 9 měsíci

    Dah!big namkubali sanaaaa..
    .

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před rokem +1

    Mkenya amezikubali cutting za muhuni

  • @hateemmerj6020
    @hateemmerj6020 Před rokem +1

    Straight from qatar malima.babu yangu huyo

  • @ETIGALILIGWILE
    @ETIGALILIGWILE Před 11 měsíci

    Balozi upo vizuri nafatiria sana kipindi mm nipo cape town ,south africa ,Etgali

  • @TryphonT.vinanda
    @TryphonT.vinanda Před rokem

    Respect Sana kakaaaa balozi weninouma nakubali Sana duva

  • @abdulazizbrek4980
    @abdulazizbrek4980 Před rokem

    Mzee wa kabanyau...inspiration

  • @magulupaul-us8uv
    @magulupaul-us8uv Před rokem +1

    Dupamdupanga ishi na wana wa soba watupe mbanga zao piaa

  • @mwaka43
    @mwaka43 Před rokem

    Safi sana!!

  • @user-ex6ij5qf3f
    @user-ex6ij5qf3f Před rokem

    Nimekuelewa vizuri

  • @mrboma4343
    @mrboma4343 Před rokem +1

    Oyaaa Baria tunakukubali mwenetu mzee wa kokoriko

  • @user-oo6zi5rl8v
    @user-oo6zi5rl8v Před rokem +1

    Madam aisha 😅😅😅😅😅😅

  • @mwaka43
    @mwaka43 Před rokem

    Safi sana

  • @Abbasbakarsth
    @Abbasbakarsth Před rokem

    Respect bro

  • @user-vj2tu3dm4b
    @user-vj2tu3dm4b Před rokem

    Big up baharia

  • @khamishamadi8461
    @khamishamadi8461 Před rokem

    Balozi big up ❤

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před rokem

    Salute mzee baba Balozi

  • @mrishoidd8920
    @mrishoidd8920 Před rokem

    Nakupata dupa mdupange kutoka ugahibuni 😂😂😂 na enjoy sana nasikilia hadi usinginzi unaisha

  • @edrickdominick7774
    @edrickdominick7774 Před rokem

    Nai enjoy sana nikimsikiliza barozi

  • @mazruyonlinetv2423
    @mazruyonlinetv2423 Před rokem

    Safi sn balozi.

  • @orym4447
    @orym4447 Před rokem +2

    Balozi kama vipi naomba namba yako au e _mail yako. Please take this serious

  • @issakitundu617
    @issakitundu617 Před rokem +1

    ubwabwa mixer mbuni😃😃😃😃😃

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před rokem

    Saf sana ikopoa

  • @royalmbwana
    @royalmbwana Před rokem

    Nimemuona balozi nikafurahi hana baya 💯

  • @khamishamadi8461
    @khamishamadi8461 Před rokem

    🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝

  • @kiungokuntu7452
    @kiungokuntu7452 Před rokem +2

    Ubwabwa mixer mbuni😀😀😀😀

  • @ngwegwenurdin4318
    @ngwegwenurdin4318 Před rokem

    Sure Dupa kamaDingo babu SA. Na Balozi ni Old Skull n' Hip Hop. +way of life. Yeah. Shutout to ma hommiez

    • @mwanaishasaleh8327
      @mwanaishasaleh8327 Před rokem

      Big up madam Aysha for showing love 255 and 254 all d way from Kenya ..

  • @zenanassor7118
    @zenanassor7118 Před rokem

    Huyu atunge kitabu huku kweti huyu Dili saaana

  • @azizamohd5728
    @azizamohd5728 Před rokem

    Punguza introduction😅

  • @bakariabdallah8702
    @bakariabdallah8702 Před rokem

    baaria balozi kapenya

  • @user-nd9eo2he9f
    @user-nd9eo2he9f Před rokem

    Mzee wa koko liko😁

  • @Mdau23
    @Mdau23 Před rokem

    Kabinyau😂😂😂

  • @abdulazizbrek4980
    @abdulazizbrek4980 Před rokem

    Mbona leo haikuruka dupa

  • @josemwana
    @josemwana Před rokem

    Simpingi broo akwepeshi Mzee wa ruraaa

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem

    Baharia si msela yuko reql

  • @oscarmatapila6937
    @oscarmatapila6937 Před rokem

    punguza introduction

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Před rokem

    😁😁😁Mwalimu Aisha Wifi Yetu

  • @amsolkembo4160
    @amsolkembo4160 Před rokem +1

    Kabunyauuu

  • @josephmay4260
    @josephmay4260 Před rokem

    Mchele jogoo

  • @japanisyakuza8198
    @japanisyakuza8198 Před rokem

    Mzee wa Kokorikoo 😂😂😂🐔🍗

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před rokem

    BASI KIPINDI CHOTE CHA MBANGA,,,AWE ANAHOJIWA YEYE

  • @abdallahsaid5446
    @abdallahsaid5446 Před rokem

    Mwamba balozi

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o Před 3 měsíci

    Mwambieee arudiii kaburuuu ukoooo bongooo anajichoreshaaa tuuu atakua komedii tuuu bongooo uchawii jauuu rakeee rimekwishaaa bariaa woteee wakooo mbereee mapambanoo yanaendeeaaa bongooo uchawiii atagewaa kssss bureee ataporea

  • @RamlaJuma-rz3rl
    @RamlaJuma-rz3rl Před rokem

    Hahahaha

  • @user-ex6ij5qf3f
    @user-ex6ij5qf3f Před rokem

    mzee wa kokoriko unsatisfactory baba

  • @AllyRashid-um5in
    @AllyRashid-um5in Před rokem

    Ebana mshkaj ana instagram account????

  • @AllyRashid-um5in
    @AllyRashid-um5in Před rokem

    Ebana mwna hana instagram account????

  • @mussamayawa817
    @mussamayawa817 Před rokem +1

    Nakubali bahalia mikoroshin moja home boy chaupepo mast