MBANGA: MAISHA YANACHOSHA/ ULAYA LAZIMA/ NIMEAMUA HIVYO/ UJAMBAZI, MAPENZI/ NILIPAGAWA/ NINAPAMBANA
Vložit
- čas přidán 30. 06. 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#mbanga #maisha #ulaya
muendelezo wa kipindi hiki utaruka siku ya jumatano 5/07/2023, saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa simu namba #0653127761
Mshauri aandike kitabu kama inawezekana
Jamaa yuko real sana...Best interview ni huyu na babaria Mwega tuletee Mwega tena
Watu weweeeeeeeee 💃💃💃💃💃❤❤❤❤ tunaompenda mzee wa binyau tujuane, Asante mtangazaji kutuletea tena balozi MALIMA 💪💪💪💪💪💪
😅 nimerudi chap tu huyu kabinyau na Yule baharia Haji hawadanganyi
Nakukubala sana Brother katika kazi zako, hujawahi kufeli! Jamaa yuko fresh mno ni pamoja na baharia Mwega
toka seson ya kabunyau imeisha sijafatilia tena
Nimefuatilia hizi conversation tangu mwanzo na it's both entertaining and informative. I appreciate both of you and the team for putting it together for us. Love n respect. 🇰🇪🇰🇪
Pamoja na yote jamaa ni every intelligent Yani kila swal anajibu kwa weredi
Mtuu kama baharia balozi 😅 mzee wa mchele kokoriko 🇷🇼🇷🇼
Mzee wa mchelee na kokoriko😃🔥🇧🇮🇨🇭
mjomba mimi nipo south africa apa wengi wetu tumetoka katika maisha yakimasikini sasa unakua unaunga unga unachopata unatuma nyumbani sasa famiria wanakura
Ukirudi unategemea kiwanja akuna umetupa vitendea kazi akuna wewe mwenyewe unategemea mari utazikuta nyumbani akunakitu kwanini usiwe chizi
Kabinyauuu the StoryTeller mzee wa Newcastle Salute sana Nmezirudiaaa episodes zote kuna mafunzooo makubwa…. Em Dondoshaaa namba tudumbukizeee chochote kitu mzee
All the way from 🇸🇦 nakubali mamen dupa na Mzee wa kudonyoa
Mwamba anajua kusimulia story hachoshi kumsikiliza👊
Back to the game, I real like him huyu ndo msimuliaje asiechosha
Daah afadhali umemleta kabinyau tena,wale wengine hawana shangwe, anaitwa jamaa wa kokoliko
Hawa SIO MABAHARIA HAWA NI STOLO WAY UNAPOWAITA MABAHARIA UNAISHALILISHA FANI YA UBAHARIA DUNIANI @dar24 hawa watu ni hatari melini ndomana tahdhari kubwa inachukuliwa kuwazuia wasizamie meli
Asante kwa kumleta mwamba tena
Me chapati tatu na mambo yetu hayo #salutesailor 😂😂😂😂
Noma Sana
🎉🎉🎉🎉 baharia Balozi ni mtaalamu sana wa simulizi
Aa very good
Uyu mwamba namkubali sana 😅😅 Yani achoshi kwa kweli
Nawapata from 🇧🇷🇧🇷
Nawapata vizuri kutoka hapa UNITED STATES OF AMERICA 🇱🇷
Salute balozi malima
Jamaa anajua sana
Muacheni mnyamwezi akaendeleze bata lake alipoliacha t.z kunachosha njaaaa
Vipi mbonamikausho story ifuatayo
Aka Bachuchu Mombasa 001 bro kabinyaaauu One love 😂😂😂 munakula jogoo bro ananimaliza kwa misemo yake 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Niko live now'
Ktk interview ambazo zilikua zinavutia ni ya jamaa apa mzee wa kokoriko jamaa anajielezea vzur kabisa unaenjoy. Mzee wa kabinyau. Mchele kokoriko
Nice dupa
Mkali keshasahau Manchester sasaivi yuko kwa Nyerere nashavu limetoka 🤣🤣👍
Kabu nyau mzee wa walk sondo
Namuombea baharia arudi ulaya
Da balozi ana madini sana🚀🦃🐓
Ana maneno huyuuu eti mshati😅
Umarekani mwingi kesho mnavuta unga😂
Mwambie Baharia Achonge number Special iwe ya kumtumia maokoto
Kisha utupostie humu tumuunge Mwana
Big saaana sie madans tunachanga Hela ya gari lake na pia dupa.la.kwake yaani hii big brother temeke wahalla
Mzeee wa kokoriko is back
❤
Salaam za upendo kutoka hapa Chicago USA, mpe Hi mzee wa kabinyau. 😂
Dupa uishi saaana ..
Ameeeen
Kabinyau mzee wa kokoriko
Ooi baharia balozi mwenyewe mzee wa mi cutting 😂😂
Ulivyo sema tu ngoma za harmonize huzipendi. Namimi Siwa pendi
BADO MNAE TU 😃
Mzee kabanyau....ii ni kali na balozi
Dupa mdupange huko na mzee wa wali kokoriko. ...sasa leo ndio tutajuwa panado dawa aua ....😀😀😀
Kuna mtu ana story typo bongo
Weka namba tuwasiliane
Mzee wa misalala 🇹🇿
Mchele jogooo😂😂😂😂😂
Mwani sio mzuri😂😂😂w😂😂kkabu
Mzee wa kokoriko
Bora umemrudisha mzee wa ikwiriri kwa manjengu 😂😂😂,m
Kabunyau mwamba kweli kweli
Dah mzee wa kokoliko karud Safi sana
Mzee wa KABINYAU...
Dupa mchukue huyu jamaa mchukue kwenye kipindi
Hahahahahahaaaaa kama leso
mule mule