MBANGA: MAISHA YANACHOSHA/ ULAYA LAZIMA/ NIMEAMUA HIVYO/ UJAMBAZI, MAPENZI/ NILIPAGAWA/ NINAPAMBANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 06. 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #mbanga #maisha #ulaya

Komentáře • 68

  • @dar24media
    @dar24media  Před rokem +14

    muendelezo wa kipindi hiki utaruka siku ya jumatano 5/07/2023, saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa simu namba #0653127761

  • @Jicholahabari
    @Jicholahabari Před rokem +9

    Jamaa yuko real sana...Best interview ni huyu na babaria Mwega tuletee Mwega tena

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg4390 Před rokem +11

    Watu weweeeeeeeee 💃💃💃💃💃❤❤❤❤ tunaompenda mzee wa binyau tujuane, Asante mtangazaji kutuletea tena balozi MALIMA 💪💪💪💪💪💪

    • @salimgharib9888
      @salimgharib9888 Před rokem +1

      😅 nimerudi chap tu huyu kabinyau na Yule baharia Haji hawadanganyi

  • @mallowmduhu4933
    @mallowmduhu4933 Před rokem +8

    Nakukubala sana Brother katika kazi zako, hujawahi kufeli! Jamaa yuko fresh mno ni pamoja na baharia Mwega

  • @bakariabdallah8702
    @bakariabdallah8702 Před rokem +4

    toka seson ya kabunyau imeisha sijafatilia tena

  • @KipazaExtraordinary
    @KipazaExtraordinary Před rokem +1

    Nimefuatilia hizi conversation tangu mwanzo na it's both entertaining and informative. I appreciate both of you and the team for putting it together for us. Love n respect. 🇰🇪🇰🇪

  • @TECHTZTV
    @TECHTZTV Před rokem +4

    Pamoja na yote jamaa ni every intelligent Yani kila swal anajibu kwa weredi

  • @nirerehadidja8266
    @nirerehadidja8266 Před rokem +6

    Mtuu kama baharia balozi 😅 mzee wa mchele kokoriko 🇷🇼🇷🇼

  • @omarkhelaifi5888
    @omarkhelaifi5888 Před rokem +4

    Mzee wa mchelee na kokoriko😃🔥🇧🇮🇨🇭

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 Před rokem +3

    mjomba mimi nipo south africa apa wengi wetu tumetoka katika maisha yakimasikini sasa unakua unaunga unga unachopata unatuma nyumbani sasa famiria wanakura

    • @babuloliondo74
      @babuloliondo74 Před rokem +2

      Ukirudi unategemea kiwanja akuna umetupa vitendea kazi akuna wewe mwenyewe unategemea mari utazikuta nyumbani akunakitu kwanini usiwe chizi

  • @shabanhaji3812
    @shabanhaji3812 Před rokem +1

    Kabinyauuu the StoryTeller mzee wa Newcastle Salute sana Nmezirudiaaa episodes zote kuna mafunzooo makubwa…. Em Dondoshaaa namba tudumbukizeee chochote kitu mzee

  • @rahimajuma4633
    @rahimajuma4633 Před rokem +3

    All the way from 🇸🇦 nakubali mamen dupa na Mzee wa kudonyoa

  • @allymorata9452
    @allymorata9452 Před rokem +3

    Mwamba anajua kusimulia story hachoshi kumsikiliza👊

  • @ibnmoses979
    @ibnmoses979 Před rokem +2

    Back to the game, I real like him huyu ndo msimuliaje asiechosha

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před rokem +4

    Daah afadhali umemleta kabinyau tena,wale wengine hawana shangwe, anaitwa jamaa wa kokoliko

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 Před rokem +1

    Hawa SIO MABAHARIA HAWA NI STOLO WAY UNAPOWAITA MABAHARIA UNAISHALILISHA FANI YA UBAHARIA DUNIANI @dar24 hawa watu ni hatari melini ndomana tahdhari kubwa inachukuliwa kuwazuia wasizamie meli

  • @isayamayogu8229
    @isayamayogu8229 Před rokem +2

    Asante kwa kumleta mwamba tena

  • @modricnoma3686
    @modricnoma3686 Před rokem +3

    Me chapati tatu na mambo yetu hayo #salutesailor 😂😂😂😂

  • @pendojohn9994
    @pendojohn9994 Před rokem +1

    Noma Sana

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 Před rokem +1

    🎉🎉🎉🎉 baharia Balozi ni mtaalamu sana wa simulizi

  • @zenanassor7118
    @zenanassor7118 Před rokem +1

    Aa very good

  • @Bombom-ze1sj
    @Bombom-ze1sj Před rokem +1

    Uyu mwamba namkubali sana 😅😅 Yani achoshi kwa kweli

  • @kassimsalum1479
    @kassimsalum1479 Před rokem +1

    Nawapata from 🇧🇷🇧🇷

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg4390 Před rokem +1

    Nawapata vizuri kutoka hapa UNITED STATES OF AMERICA 🇱🇷

  • @mrishoidd8920
    @mrishoidd8920 Před rokem +1

    Salute balozi malima

  • @saidchombo5952
    @saidchombo5952 Před rokem +1

    Jamaa anajua sana

  • @FahadAli-ni5eu
    @FahadAli-ni5eu Před rokem +2

    Muacheni mnyamwezi akaendeleze bata lake alipoliacha t.z kunachosha njaaaa

  • @luganolukali2638
    @luganolukali2638 Před rokem +1

    Vipi mbonamikausho story ifuatayo

  • @user-jq6tu4cf9t
    @user-jq6tu4cf9t Před rokem +4

    Aka Bachuchu Mombasa 001 bro kabinyaaauu One love 😂😂😂 munakula jogoo bro ananimaliza kwa misemo yake 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @xaverymachumu
    @xaverymachumu Před rokem +1

    Ktk interview ambazo zilikua zinavutia ni ya jamaa apa mzee wa kokoriko jamaa anajielezea vzur kabisa unaenjoy. Mzee wa kabinyau. Mchele kokoriko

  • @stevenbukindu5759
    @stevenbukindu5759 Před rokem +1

    Nice dupa

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Před rokem +1

    Mkali keshasahau Manchester sasaivi yuko kwa Nyerere nashavu limetoka 🤣🤣👍

  • @alhadkatundu2142
    @alhadkatundu2142 Před rokem +1

    Kabu nyau mzee wa walk sondo

  • @user-bd4kh2gw6h
    @user-bd4kh2gw6h Před rokem +1

    Namuombea baharia arudi ulaya

  • @lilmg6242
    @lilmg6242 Před rokem +1

    Da balozi ana madini sana🚀🦃🐓

  • @azizamohd5728
    @azizamohd5728 Před rokem +1

    Ana maneno huyuuu eti mshati😅

  • @user-xt6lm7wz9u
    @user-xt6lm7wz9u Před 6 měsíci +1

    Umarekani mwingi kesho mnavuta unga😂

  • @axmedcumar6196
    @axmedcumar6196 Před rokem +2

    Mwambie Baharia Achonge number Special iwe ya kumtumia maokoto
    Kisha utupostie humu tumuunge Mwana

    • @mwanaishasaleh8327
      @mwanaishasaleh8327 Před rokem +1

      Big saaana sie madans tunachanga Hela ya gari lake na pia dupa.la.kwake yaani hii big brother temeke wahalla

  • @user-eb5zo1ht4o
    @user-eb5zo1ht4o Před rokem +2

    Mzeee wa kokoriko is back

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg4390 Před rokem +1

    • @bosslilyg4390
      @bosslilyg4390 Před rokem

      Salaam za upendo kutoka hapa Chicago USA, mpe Hi mzee wa kabinyau. 😂

  • @InnocentWillbald-du9en
    @InnocentWillbald-du9en Před rokem +4

    Dupa uishi saaana ..

  • @johnkalubea8555
    @johnkalubea8555 Před rokem +1

    Kabinyau mzee wa kokoriko

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před rokem +1

    Ooi baharia balozi mwenyewe mzee wa mi cutting 😂😂

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Před rokem

    Ulivyo sema tu ngoma za harmonize huzipendi. Namimi Siwa pendi

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před rokem +1

    BADO MNAE TU 😃

  • @abdulazizbrek4980
    @abdulazizbrek4980 Před rokem

    Mzee kabanyau....ii ni kali na balozi

  • @rashidyrashidy3923
    @rashidyrashidy3923 Před rokem +1

    Dupa mdupange huko na mzee wa wali kokoriko. ...sasa leo ndio tutajuwa panado dawa aua ....😀😀😀

  • @tynoclassictv325
    @tynoclassictv325 Před rokem +1

    Kuna mtu ana story typo bongo

  • @kondoramadhan7840
    @kondoramadhan7840 Před rokem

    Mzee wa misalala 🇹🇿

  • @gnaivasha
    @gnaivasha Před rokem +1

    Mchele jogooo😂😂😂😂😂

  • @khamisbk8569
    @khamisbk8569 Před rokem

    Mwani sio mzuri😂😂😂w😂😂kkabu

  • @azizamohd5728
    @azizamohd5728 Před rokem

    Mzee wa kokoriko

  • @biglizer
    @biglizer Před rokem

    Bora umemrudisha mzee wa ikwiriri kwa manjengu 😂😂😂,m

  • @abdulahmanmahalufu9524

    Kabunyau mwamba kweli kweli

  • @jafarimussa3694
    @jafarimussa3694 Před rokem +3

    Dah mzee wa kokoliko karud Safi sana

  • @francistadayo1569
    @francistadayo1569 Před rokem

    Mzee wa KABINYAU...

  • @emmanuelsanga4836
    @emmanuelsanga4836 Před rokem

    Dupa mchukue huyu jamaa mchukue kwenye kipindi

  • @khamisbk8569
    @khamisbk8569 Před rokem

    Hahahahahahaaaaa kama leso

  • @josephmay4260
    @josephmay4260 Před rokem

    mule mule