GAMBA AMUIBUA BALOZI KABUNYAU/ ASHANGAA ALIVYORUDI BONGO!/ MAISHA SIO LELE MAMA/ “AMEZINGUA”
Vložit
- čas přidán 14. 11. 2023
- UNAMKUMBUKA BALOZI KABUNYAU?
Mwamba amerudi tena kupiga stori ya Dar24 Media, amefunguka mengi sana kuhusu maisha aliyoyapitia baada ya kumaliza kufanya naye mahojiano miezi kadhaa iliyopita.
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#kabunyau #Dar24mbanga #meli
Kwa mahitaji ya nguo zenye chapa ya "Kabunyau" wasiliana nasi popote ulipo kupitia namba zetu,...0764368113...na ..0717 066207...&..0653127761
Kabinyau ndio halisi sio kabunyau,
Wengi wamepitia haya maisha magumu kwa sababu huko nyuma maisha yalikua tofauti ni magumu sana, maisha ya sasa ni afadhali sana ukitafuta unafanikiwa
sauti ya baloz haiskiki
Mwamba Dupa umefanya kitu fresh kwa huyo jombii samahani ila hilo neno/ jina mbona kama jamaa analisema "kabinyau" wewe unalisema " kabunyau" hapo unakuaje? Ila big up sana tunafuatilia movement 🙏
Kabinyau Ina sound good kabunyau hai sound vizuri Ina onekana walivyo print hawakumshirikisha
Sema balozi anaongea ukweli sana sometimes 1 mamlaka zinazingua sana kuanzia NIDA mpaka UHAMIAJI maswali kibao kama upo ubalozini
mimi nipo kiwanjani bongo kufanikiwa ni lahisi sana fulsa zipo nyingi shida bongo ni uduma za afya usafiri na miundombinu mibovu , so bongo ukiwa na kichwa kizuri lahisi kufanikiwa kiwanjani mazingira mazuri lakini maisha silahisi
Umeongea ukweli kabisa tatizo sisi watanzania autuambani ukweli kabisa huyu ole wake amsikilize mwenzake aende atajuta Ulaya hii ya sasa hivi ni tofauti kabisa na zamani hao wazungu wenyewe wanatami sana kuja Afrika! huyu jamaa Baharia alienda zamani ole wake aende sasa hv
Rudi basi bongo kama rahisi kama unavyodai
NAWEWE BASI NENDA EUROPE KAMA NI RAHISI KAMA UNAVYOFIKIRI
@@ramadhanikioza9913
Maisha sio rahisi kama unavyodhani brooo.. kama yangekuwa rahisi hivyo hata wewe ungekuwa umesharudi broo
Point san bro
Bora kaka umemrudisha Mzee wa kokoliko t shirt bei gani
Dupa hv Yule mwana wa kigoma wa Netherland yupo wapi Ujue nae mkali sana mfanyie nae kitu Yule
Ukisikia mtu anasema ivyo jua kwamba anamatatizo sana au mshamba
👍
Kabunyau amekua dingi tayari daah
Kabinyau sio kabunyau
@@brevooscar1679 sawa
Dar 24 t shirt bei gani
Mm nataka Prova hiyo naipataje
tuwasiliane katika namba yetu 0653127761
@@dar24media11:12 mbona mme print kabunyau badalaya kabinyau
😳😳😳
npo zanzabar vp nazipata vp nguo
1
2