GAMBA AMUIBUA BALOZI KABUNYAU/ ASHANGAA ALIVYORUDI BONGO!/ MAISHA SIO LELE MAMA/ “AMEZINGUA”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 11. 2023
  • UNAMKUMBUKA BALOZI KABUNYAU?
    Mwamba amerudi tena kupiga stori ya Dar24 Media, amefunguka mengi sana kuhusu maisha aliyoyapitia baada ya kumaliza kufanya naye mahojiano miezi kadhaa iliyopita.
    --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #kabunyau #Dar24mbanga #meli

Komentáře • 29

  • @dar24media
    @dar24media  Před 7 měsíci +3

    Kwa mahitaji ya nguo zenye chapa ya "Kabunyau" wasiliana nasi popote ulipo kupitia namba zetu,...0764368113...na ..0717 066207...&..0653127761

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 Před 7 měsíci +3

    Kabinyau ndio halisi sio kabunyau,

  • @user-fy6pm1oi3h
    @user-fy6pm1oi3h Před 7 měsíci +1

    Wengi wamepitia haya maisha magumu kwa sababu huko nyuma maisha yalikua tofauti ni magumu sana, maisha ya sasa ni afadhali sana ukitafuta unafanikiwa

  • @YusuphMusa-yl1qw
    @YusuphMusa-yl1qw Před 7 měsíci +3

    sauti ya baloz haiskiki

  • @richardsaikong1138
    @richardsaikong1138 Před 7 měsíci +2

    Mwamba Dupa umefanya kitu fresh kwa huyo jombii samahani ila hilo neno/ jina mbona kama jamaa analisema "kabinyau" wewe unalisema " kabunyau" hapo unakuaje? Ila big up sana tunafuatilia movement 🙏

    • @brevooscar1679
      @brevooscar1679 Před 6 měsíci

      Kabinyau Ina sound good kabunyau hai sound vizuri Ina onekana walivyo print hawakumshirikisha

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 Před 7 měsíci +1

    Sema balozi anaongea ukweli sana sometimes 1 mamlaka zinazingua sana kuanzia NIDA mpaka UHAMIAJI maswali kibao kama upo ubalozini

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 7 měsíci +5

    mimi nipo kiwanjani bongo kufanikiwa ni lahisi sana fulsa zipo nyingi shida bongo ni uduma za afya usafiri na miundombinu mibovu , so bongo ukiwa na kichwa kizuri lahisi kufanikiwa kiwanjani mazingira mazuri lakini maisha silahisi

    • @lujuomjanja2866
      @lujuomjanja2866 Před 7 měsíci +3

      Umeongea ukweli kabisa tatizo sisi watanzania autuambani ukweli kabisa huyu ole wake amsikilize mwenzake aende atajuta Ulaya hii ya sasa hivi ni tofauti kabisa na zamani hao wazungu wenyewe wanatami sana kuja Afrika! huyu jamaa Baharia alienda zamani ole wake aende sasa hv

    • @ramadhanikioza9913
      @ramadhanikioza9913 Před 7 měsíci +3

      Rudi basi bongo kama rahisi kama unavyodai

    • @lujuomjanja2866
      @lujuomjanja2866 Před 7 měsíci

      NAWEWE BASI NENDA EUROPE KAMA NI RAHISI KAMA UNAVYOFIKIRI
      @@ramadhanikioza9913

    • @hamadwaziri121
      @hamadwaziri121 Před 7 měsíci +3

      Maisha sio rahisi kama unavyodhani brooo.. kama yangekuwa rahisi hivyo hata wewe ungekuwa umesharudi broo

    • @idybwoytz8485
      @idybwoytz8485 Před 7 měsíci +1

      Point san bro

  • @MrishoMohamed-ey5zf
    @MrishoMohamed-ey5zf Před 7 měsíci +2

    Bora kaka umemrudisha Mzee wa kokoliko t shirt bei gani

  • @mushimalik7354
    @mushimalik7354 Před 7 měsíci +1

    Dupa hv Yule mwana wa kigoma wa Netherland yupo wapi Ujue nae mkali sana mfanyie nae kitu Yule

  • @alexharriskajjubi1914
    @alexharriskajjubi1914 Před 7 měsíci +1

    Ukisikia mtu anasema ivyo jua kwamba anamatatizo sana au mshamba

  • @mswahilipeople2579
    @mswahilipeople2579 Před 7 měsíci +2

    👍

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před 7 měsíci +2

    Kabunyau amekua dingi tayari daah

  • @MrishoMohamed-ey5zf
    @MrishoMohamed-ey5zf Před 7 měsíci +1

    Dar 24 t shirt bei gani

  • @mohamedkisenga6654
    @mohamedkisenga6654 Před 7 měsíci +3

    Mm nataka Prova hiyo naipataje

    • @dar24media
      @dar24media  Před 7 měsíci +2

      tuwasiliane katika namba yetu 0653127761

    • @brevooscar1679
      @brevooscar1679 Před 6 měsíci +1

      ​@@dar24media11:12 mbona mme print kabunyau badalaya kabinyau

  • @swadatimmbaga7435
    @swadatimmbaga7435 Před 3 měsíci +1

    😳😳😳

  • @Liverpool-uv4fc
    @Liverpool-uv4fc Před 7 měsíci +1

    npo zanzabar vp nazipata vp nguo

  • @yohanakashinje1548
    @yohanakashinje1548 Před 7 měsíci +3

    1