MBANGA: MAISHA YANACHOSHA/ ULAYA LAZIMA/ NIMEAMUA HIVYO/ UJAMBAZI, MAPENZI/ NILIPAGAWA/ NINAPAMBANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #safari #baharia #mbanga

Komentáře • 44

  • @Moviesclip6action
    @Moviesclip6action Před rokem +10

    Wa kwanza comment naomba like zangu jaman

  • @dar24media
    @dar24media  Před rokem +7

    kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na jumatano, saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa namba..#0653127761

  • @bakariabdallah8702
    @bakariabdallah8702 Před rokem +5

    mchizi achoshi kusikiliza

  • @ROBOTBOY-pv7fb
    @ROBOTBOY-pv7fb Před 8 měsíci +1

    From kenya connected by madam ❤❤Aisha🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @xaverymachumu
    @xaverymachumu Před rokem +6

    Mzee wa kabinyau...naenjoy sana kumsikiliza mwamba. Mpee gwara sana mzee wa mbanga

  • @HashilElhamdan
    @HashilElhamdan Před rokem +3

    safi sana hii programme na mpo very creative mlivyofanya kwenye mazingira kama hayo na yapo reality

  • @mudathirhussein9557
    @mudathirhussein9557 Před 11 měsíci +1

    Ametisha sana balozi ni mtu Kweli Kweli Tupo uk 🇬🇧 big love

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Mama Samia huyo mtu mchukue mpachike katika pozisheni yoyote Ata katika kualimisha vijana🇹🇿🇬🇷✊👊

  • @DanielJames-of7yr
    @DanielJames-of7yr Před rokem +3

    Msosi mzuri du!

  • @alhadkatundu2142
    @alhadkatundu2142 Před rokem +2

    Mzee wa wali sondo

  • @jaybrownpendohpendoh5676

    Experience yko bro imenifunza mengi✌️

  • @kassimsalum1479
    @kassimsalum1479 Před rokem +2

    Tupo pamoja dupa 🇧🇷🇧🇷✌️

  • @KipazaExtraordinary
    @KipazaExtraordinary Před rokem +1

    Appreciate the lessons coming out of this. 🇰🇪

  • @12322879
    @12322879 Před rokem +1

    Naked truth 👏

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před rokem +2

    Ulaya ulaya tu

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary1245 Před 10 měsíci +1

    Nakubali Mwanetu wa mchele jogoo

  • @mswahilipeople2579
    @mswahilipeople2579 Před 10 měsíci +1

    Oy napenda San stail yak mwan nakukubali San pamoj sn ❤

  • @peacemakerdxb6012
    @peacemakerdxb6012 Před rokem +2

    Kabu nyau, Mzee wa Wali jogoo😂

  • @shabanhaji3812
    @shabanhaji3812 Před rokem +1

    Kabinyauuu mnyamweziii sana

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před rokem +2

    Kabinyau jamaa wa kokoliko,leo anapiga chapati tatu na nyama,umetisha sana

  • @user-bc2mx1pb9f
    @user-bc2mx1pb9f Před 11 měsíci +1

    Namskia princ Balozi 🇨🇦

  • @ramermohamedy4344
    @ramermohamedy4344 Před rokem +2

    Uswazi raha sana hata buku 5 haijaisha

  • @mrishoidd8920
    @mrishoidd8920 Před rokem +2

    😂😂😂 sina mengi ya kusema ila na enjoy sana kumsikiliza huyu mwamba

  • @deodatusfussi3145
    @deodatusfussi3145 Před rokem +2

    Huyu jamaa hata kuingiza anaweza mpelekeni kwenye jua Kali huyo Yuko vzur

    • @mwaka43
      @mwaka43 Před rokem +2

      Kweli kabisa Mkuu!! una uwezo mkubwa sana wa kubaini Vipaji .....

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před rokem +3

    Ndio lkn jua kwamba wanawake ulaya wanapangwa na serikali kuhusu ndoa na mahusiano na mgeni na mwenyeji ni tofauti treatment ukija kwenye mgawanyo naona malima kuna vitu vingi hajui...mimi nipo ulaya nyundo kumi na kitu najua maisha ya watu weupe mno maana nina wanangu kibao wameoa na pia utofauti..Na kingine kwenye maisha ya ukimbizi pesa zinazotelewa kwa wakimbizi sio za serikali husika watu wengi hawajui..Bara la Africa linatoa pesa nyingi kuliko mabara yote hivyo hizo pesa wanazotoa zinatoka UN na nchi zetu ndio zimetoa uli kusaidia wageni mfano ndio kama wakimbizi wakienda kwenye nchi nyingine...Hata Africa kuna kambi za wakimbizi lkn pesa inayotelewa ni ndogo kuliko wanachukuwa nchi za ulaya kwa sababu ya unyonyaji lkn huwezi kujua mpaka ufuatilie Hivyo Malima inatikwa ujue hivyo wazungu hawawezi kukupa kitu bure ni propaganda zao lkn pesa nyingi zinatoka Africa...

  • @khaledchadhouli6363
    @khaledchadhouli6363 Před rokem +1

    Naimpenda sana

  • @saidissa6763
    @saidissa6763 Před rokem +2

    Kabunyau

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před rokem +2

    Kipindi kizuli sanaa

  • @mswahilipeople2579
    @mswahilipeople2579 Před 10 měsíci +1

    Oy mmb vp samhn San ningeomba sku moja uyo mzee niongee nae man namkubali San tn San mzee wa kokoriko

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Před rokem +1

    Akah huyo muuza supu anavyojiamin mikono kushika nyama😂

  • @kingssports157
    @kingssports157 Před rokem +2

    Woyoooo

  • @lilmg6242
    @lilmg6242 Před rokem +1

    Aloo kama movie mtupe ktk kuigiza filamu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Kweli bingwa hivyo vitu vipo watu wanaolewa bongo uletewa mtu mzima kumpisha mototo kwenye kiti cha usafili kitu chakawaida barozi unawapa vitu pafect 😂

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem +2

    Balozi mastori hayaishi

  • @nirerehadidja8266
    @nirerehadidja8266 Před rokem +2

    Zee la mchele jogo 😂

  • @abdulahmanmahalufu9524
    @abdulahmanmahalufu9524 Před rokem +2

    Mzee wakokoliko

  • @rahimajuma4633
    @rahimajuma4633 Před rokem +1

    Mzee mwakudonyoa

  • @rashidyrashidy3923
    @rashidyrashidy3923 Před rokem +2

    Magira ....

  • @HarunaShabani-hy8mx
    @HarunaShabani-hy8mx Před rokem +1

    jaama khb2

  • @mathiasmsumeno8516
    @mathiasmsumeno8516 Před rokem +1

    Mzee wa kabinyau😂😂😂👊🏽👊🏽