Video není dostupné.
Omlouváme se.
BAHARIA BALOZI:NILIAGA KIAINA MTAANI/ NINGETOSWA BAHARINI/SOKA LIKANIOKOA/KOMBE LA DUNIA!/BASTOLA.06
Vložit
- čas přidán 28. 04. 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#baharia #safari #dupamdupange
kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi..kama una mkasa/tukio lolote wasiliana nasi kwa namba...#0653127761
Ii inafaa kuruka daily...kuna mafunzo katika stori zenu nyingi
Dah I like this story za kusisimua ubongo
Bro anajua kusimulia vizuri
Baharia barozi bongo hushafanya kazi za scoring 😄🇹🇿🇬🇷⚓⚓⚓⚓🛳🛳🛳⛴⛴⛴
Swadakta Mzee wa kazi
Naisubiri hii part
Number 1
Nipo Gugulethu hapa
Nipe like kwa kabunyau😊
Salute baharia wangu
Dah- Simulizi nzuri mwamba nika stering vile au Mwalim nimemkubaali sana 👍 Veema sana kwa Dar24 kwa simulizi nzuri 👍
Mwana yupo sahihi kabisa, hapa Canada nishawak kununua limao nikashangaa kuona limetoka South Africa
Next boss
Story ya mwamba kali sana
🔥🔥🔥
🔥
Mambo ya Durban hayo Unarushwa leta kuni leta maji Kachukue Nyara
Ukifika Durban lazma uchukuliwe maelezo
Much Love from Helsinki Finland 🇫🇮💌🤝
NAONA,EPSODE YA LEO,MWANETU KABADILISHA NGUO,,ENIWEI STOR KALI
Msimuliaji woheeeeeee mtangazaji hoeeeee
Prince Malima nasubiria kipande cha Newcastle Upon Tyne
Joanezibagi 😂😂😂
Mwaka gani ulitoka bongo na mpk ulipoingia kap staad mwaka gani?
zaidi ya muvi
Km ukiwa mtu wa kwenda bandalini kuna meli zina line zina zunguka kila Baada ya miezi hile meli inarudi tena labda unaenda Canada south,Nakuona meli zingine zinaingia bandalini kumchukua banka km chakula maji au oil sasa hiyo unaingia nakutoka stand by ukiotea ndiyo Una bahatisha hila ulaya au africa
Mbona vipande vifupi alafu leo kipo kesho hakuna mwendelezo ndio nini sasa ongeza mda japo dakik 35 bs😮
Mzeewajongoo wapemavitu havihavi
Mbona vipande vifupi alafu leo kipo kesho hakuna mwendelezo ndio nini sasa ongeza mda japo dakik 35 bs
Mabaharia stori haziishagi
Maskani kubwa base ya ma home
Tunasubiri muendelezo
Marume katisha
Mwamba katisha
Aliesikia Phidelefia weka like😂
Nimesikia kwani kuna tatizo tujuzane wasomi
lugha za kibaria tofaut naunavyoelewa
Acha ujinga ww pata ujuzi, jifunze na uwaambie wengine ulicho jifunza .
Hahaha balozi call zinakuja Yuko philedefia
😂noumaa sana
Story nzuri lakini hilo jiti la mdomo ungelitoa
Nawew assnte kwa kucoment .ila hacha kufatilia life za watu
@@sophsoph4740 sorry sijajua kama nikaka yako,ukisema hivo nawewe itakua umeifatilia comment yangu 😄
@@fahadfahmy sio kak ni babaangu🤣🤣🤣🤣🤣
😂@@sophsoph4740
@@sophsoph4740 unaonekana nimtu poa tu