Video není dostupné.
Omlouváme se.

BAHARIA BALOZI:NILIAGA KIAINA MTAANI/ NINGETOSWA BAHARINI/SOKA LIKANIOKOA/KOMBE LA DUNIA!/BASTOLA.06

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 04. 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #baharia #safari #dupamdupange

Komentáře • 47

  • @dar24media
    @dar24media  Před rokem +10

    kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi..kama una mkasa/tukio lolote wasiliana nasi kwa namba...#0653127761

    • @abdulazizbrek4980
      @abdulazizbrek4980 Před rokem

      Ii inafaa kuruka daily...kuna mafunzo katika stori zenu nyingi

  • @user-ib3yx7qk5r
    @user-ib3yx7qk5r Před rokem +3

    Dah I like this story za kusisimua ubongo

  • @cchimodzi3858
    @cchimodzi3858 Před rokem +6

    Bro anajua kusimulia vizuri

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 Před rokem +4

    Baharia barozi bongo hushafanya kazi za scoring 😄🇹🇿🇬🇷⚓⚓⚓⚓🛳🛳🛳⛴⛴⛴

  • @abdullhamidnanga1267
    @abdullhamidnanga1267 Před rokem +4

    Swadakta Mzee wa kazi

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před rokem +4

    Naisubiri hii part

  • @mnyamweznyaulosso4576
    @mnyamweznyaulosso4576 Před rokem +3

    Number 1

  • @swadatimmbaga7435
    @swadatimmbaga7435 Před 4 měsíci +1

    Nipo Gugulethu hapa

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před rokem +3

    Nipe like kwa kabunyau😊

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem +3

    Salute baharia wangu

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Před rokem +3

    Dah- Simulizi nzuri mwamba nika stering vile au Mwalim nimemkubaali sana 👍 Veema sana kwa Dar24 kwa simulizi nzuri 👍

  • @gily5931
    @gily5931 Před rokem +1

    Mwana yupo sahihi kabisa, hapa Canada nishawak kununua limao nikashangaa kuona limetoka South Africa

  • @bewizzynegro4174
    @bewizzynegro4174 Před rokem +1

    Next boss

  • @ikungasyamwakitalu6540
    @ikungasyamwakitalu6540 Před rokem +3

    Story ya mwamba kali sana

  • @djjopaahbeats7292
    @djjopaahbeats7292 Před rokem +2

    🔥🔥🔥

  • @romaemily
    @romaemily Před rokem +2

    🔥

  • @user-ib3yx7qk5r
    @user-ib3yx7qk5r Před rokem +1

    Mambo ya Durban hayo Unarushwa leta kuni leta maji Kachukue Nyara
    Ukifika Durban lazma uchukuliwe maelezo

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před rokem +1

    Much Love from Helsinki Finland 🇫🇮💌🤝

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před rokem +2

    NAONA,EPSODE YA LEO,MWANETU KABADILISHA NGUO,,ENIWEI STOR KALI

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Před 11 měsíci +1

    Msimuliaji woheeeeeee mtangazaji hoeeeee

  • @eddieeddie3196
    @eddieeddie3196 Před rokem +1

    Prince Malima nasubiria kipande cha Newcastle Upon Tyne

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před rokem +2

    Joanezibagi 😂😂😂

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 Před rokem +1

    Mwaka gani ulitoka bongo na mpk ulipoingia kap staad mwaka gani?

  • @bakariabdallah8702
    @bakariabdallah8702 Před rokem

    zaidi ya muvi

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 Před rokem

    Km ukiwa mtu wa kwenda bandalini kuna meli zina line zina zunguka kila Baada ya miezi hile meli inarudi tena labda unaenda Canada south,Nakuona meli zingine zinaingia bandalini kumchukua banka km chakula maji au oil sasa hiyo unaingia nakutoka stand by ukiotea ndiyo Una bahatisha hila ulaya au africa

  • @sumasingu9913
    @sumasingu9913 Před rokem

    Mbona vipande vifupi alafu leo kipo kesho hakuna mwendelezo ndio nini sasa ongeza mda japo dakik 35 bs😮

  • @user-lb3qu4su4s
    @user-lb3qu4su4s Před 7 měsíci

    Mzeewajongoo wapemavitu havihavi

  • @sumasingu9913
    @sumasingu9913 Před rokem

    Mbona vipande vifupi alafu leo kipo kesho hakuna mwendelezo ndio nini sasa ongeza mda japo dakik 35 bs

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem

    Mabaharia stori haziishagi

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 Před rokem

    Maskani kubwa base ya ma home

  • @abdullatifhassan9399
    @abdullatifhassan9399 Před rokem

    Tunasubiri muendelezo

  • @user-kn6mz8li9v
    @user-kn6mz8li9v Před rokem

    Marume katisha

  • @mwantondo
    @mwantondo Před rokem

    Mwamba katisha

  • @raphaelonyango5690
    @raphaelonyango5690 Před rokem +4

    Aliesikia Phidelefia weka like😂

  • @herbertygeofrey2724
    @herbertygeofrey2724 Před rokem

    Hahaha balozi call zinakuja Yuko philedefia

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Před rokem

    Story nzuri lakini hilo jiti la mdomo ungelitoa

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 Před 11 měsíci

      Nawew assnte kwa kucoment .ila hacha kufatilia life za watu

    • @fahadfahmy
      @fahadfahmy Před 11 měsíci

      @@sophsoph4740 sorry sijajua kama nikaka yako,ukisema hivo nawewe itakua umeifatilia comment yangu 😄

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 Před 11 měsíci +1

      @@fahadfahmy sio kak ni babaangu🤣🤣🤣🤣🤣

    • @fahadfahmy
      @fahadfahmy Před 11 měsíci

      😂@@sophsoph4740

    • @fahadfahmy
      @fahadfahmy Před 11 měsíci

      @@sophsoph4740 unaonekana nimtu poa tu