BAHARIA BALOZI:NILIAGA KIAINA MTAANI/ NINGETOSWA BAHARINI/SOKA LIKANIOKOA/KOMBE LA DUNIA!/BASTOLA.05
Vložit
- čas přidán 25. 04. 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#baharia #mbanga #dupamdupange
kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi..kama una mkasa/tukio lolote wasiliana nasi kwa namba...#0653127761
Ii inafaa kuruka kila siku bonge la stori bwana balozi
Huyuuuu jama mtambo sana Kwa South Africa Protolia sany saidi
Nasigala hizo jina ilikuwa stavistent leo ni R 3 ile ya 5bobo ni VIP
Capetown fresh sana ukijielewa vizuri nakufanya kazi sana , kunamaisha sema ni mhimu kujielewa vizuri.
Iyoo life unayoo iongeleya 24:14 sisi waburundii ndioo tunayoo ichii hadileo ukuu durbun saudh africa big up broo salut 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nawafatilia since day one..Safi sana kuna mengi tunajifunza
Dah sema jamaaa huyu anastori sana😊
Hii story nzuri sana
Uyu mwana mtangazaji anajua sana kumsapoti mtoa story 😂
🤣🤣🤣🤣 ety nae anaongea kisela, yaaan nacheka kama zuzu
Daah unatupa fundisho kubwa Sana kwenye maisha
👏👏Simulizi hii ninzuri sana na inafundsha pia tukopamoja sana dar24 media 👍👍
Yan hatar maisha ya maskini kwa matajiri ni kitabu cha simulizi noma sana
Huyu mwamba ametufundisha sana, nimemfwatilia tangu mwanzo
Huyu mwamba anaswaga sana
Jamaaa na mtangazaji mmenogesha interview
Mayfair mgundini miaka hiyo 1994 na kina Marehem Gooda (Lutazamba)
Sema mtangazaji hanaaamshaamsha yan msimuliaji hanafunguka had raha
Ma beach boy wanastori sana
Oyooooo mzee wa old zonga
😅😅😅😅😅😅 bongo ukipigwa inakuja deffender 😅😅😅😅
🔥🔥
Hii story haichoshi 😂💪🔥
Next boss
Yaaani hapo Tax Renky Amenikumbusha Mbali Sana Lazma nipite hapo kwenda maghetoni Tableview
Mwana anavunja mbavu sana
Sema story inaambatana na anayehoj saport inampa emotional msimuliaji sema mwamba kapambana aseee..
Betrams ndo mitaa yangu mda huu namchek baharia nikiwa betrams hapa
😂😂😂Huyu jamaa comedy sana duh
Et watu wanaenda uku na sisi tunaenda uku
Tuliokulia kulia kinondoni miaka 89,90 tunakuelewa sn baharia
Kenneth Benjamin kino maenro gani?
@@rasjamal9854 nlikuliaga kino mitaa kea Boyz,nlishatokaga hko
Mi mbu inakugombania 🤣
Jiwe konzi😂😂😂
Mwamba nimemkubali sana 😂😂😂
Nyieee mtanganzaji kaoa? Nimepen nmb hahahha
hahahahahahahahaahhhhahhaha kinyumenyme
ambulence inakuja londo
😆😆😆
Safi
Issa paka 😁
Dizonga ndio sauzi sio
Yeah mon
😂😂😂😂😂tushasahau Kufunga mlango tunalala nje kama Magar
Badala ya Ambulance inakuja gari ya 50 😅😅😅😅😅 kweli tunaishi kinyume sanaa.
Mwana kaishi kaburu
👁️👁️🇫🇮🇫🇮🤝💪
Hiyo sehemu ya Kula Cape town mwaka 94 tulikuwa tuna Kula Kwa cent 5 Rand Nyuma ya pared
Mtangazaji punguza mdomo,unaharibu stori
🤣🤣🤣
Uhakika bro 😂😂😂
Anatumia nafaasi yake vzzur hili sio jungu kuu tbc
Betrams ndo mitaa yangu mda huu namchek baharia nikiwa betrams hapa
Yan hatar maisha ya maskini kwa matajiri ni kitabu cha simulizi noma sana