BAHARIA BALOZI:NILIAGA KIAINA MTAANI/ NINGETOSWA BAHARINI/SOKA LIKANIOKOA/KOMBE LA DUNIA!/BASTOLA.05

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 04. 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #baharia #mbanga #dupamdupange

Komentáře • 55

  • @dar24media
    @dar24media  Před rokem +12

    kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi..kama una mkasa/tukio lolote wasiliana nasi kwa namba...#0653127761

    • @abdulazizmohammed2420
      @abdulazizmohammed2420 Před rokem +1

      Ii inafaa kuruka kila siku bonge la stori bwana balozi

    • @pastoraile7195
      @pastoraile7195 Před rokem

      Huyuuuu jama mtambo sana Kwa South Africa Protolia sany saidi

    • @pastoraile7195
      @pastoraile7195 Před rokem

      Nasigala hizo jina ilikuwa stavistent leo ni R 3 ile ya 5bobo ni VIP

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza Před rokem +5

    Capetown fresh sana ukijielewa vizuri nakufanya kazi sana , kunamaisha sema ni mhimu kujielewa vizuri.

  • @user-kj2xh6bt5y
    @user-kj2xh6bt5y Před 3 měsíci +2

    Iyoo life unayoo iongeleya 24:14 sisi waburundii ndioo tunayoo ichii hadileo ukuu durbun saudh africa big up broo salut 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary1245 Před rokem +3

    Nawafatilia since day one..Safi sana kuna mengi tunajifunza

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před rokem +4

    Dah sema jamaaa huyu anastori sana😊

  • @rajabupetermoses7338
    @rajabupetermoses7338 Před rokem +6

    Hii story nzuri sana

  • @Kukuvillagepoultrysolutions

    Uyu mwana mtangazaji anajua sana kumsapoti mtoa story 😂

    • @nemricesoka8189
      @nemricesoka8189 Před rokem +1

      🤣🤣🤣🤣 ety nae anaongea kisela, yaaan nacheka kama zuzu

  • @josephgamba8389
    @josephgamba8389 Před rokem +4

    Daah unatupa fundisho kubwa Sana kwenye maisha

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Před rokem +4

    👏👏Simulizi hii ninzuri sana na inafundsha pia tukopamoja sana dar24 media 👍👍

  • @amiryndomondo9156
    @amiryndomondo9156 Před rokem +3

    Yan hatar maisha ya maskini kwa matajiri ni kitabu cha simulizi noma sana

  • @georgerichard9534
    @georgerichard9534 Před rokem +5

    Huyu mwamba ametufundisha sana, nimemfwatilia tangu mwanzo

  • @josemitimingi8048
    @josemitimingi8048 Před rokem +4

    Huyu mwamba anaswaga sana

  • @ochualfa5145
    @ochualfa5145 Před rokem +2

    Jamaaa na mtangazaji mmenogesha interview

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 Před rokem +3

    Mayfair mgundini miaka hiyo 1994 na kina Marehem Gooda (Lutazamba)

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Před 11 měsíci +2

    Sema mtangazaji hanaaamshaamsha yan msimuliaji hanafunguka had raha

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem +4

    Ma beach boy wanastori sana

  • @nancolower_8032
    @nancolower_8032 Před rokem +3

    Oyooooo mzee wa old zonga

  • @jafarimohamedi7900
    @jafarimohamedi7900 Před rokem +3

    😅😅😅😅😅😅 bongo ukipigwa inakuja deffender 😅😅😅😅

  • @DianaSalim-jo2xs
    @DianaSalim-jo2xs Před 2 měsíci

    🔥🔥

  • @shahiduzuberi-vm3hy
    @shahiduzuberi-vm3hy Před rokem +2

    Hii story haichoshi 😂💪🔥

  • @bewizzynegro4174
    @bewizzynegro4174 Před rokem

    Next boss

  • @Byme6434
    @Byme6434 Před rokem +1

    Yaaani hapo Tax Renky Amenikumbusha Mbali Sana Lazma nipite hapo kwenda maghetoni Tableview

  • @omarnicesang5507
    @omarnicesang5507 Před rokem +2

    Mwana anavunja mbavu sana

  • @quwwangaemanuel7360
    @quwwangaemanuel7360 Před rokem +1

    Sema story inaambatana na anayehoj saport inampa emotional msimuliaji sema mwamba kapambana aseee..

  • @samirnasri6991
    @samirnasri6991 Před 8 měsíci

    Betrams ndo mitaa yangu mda huu namchek baharia nikiwa betrams hapa

  • @mwafrikaissa491
    @mwafrikaissa491 Před rokem +2

    😂😂😂Huyu jamaa comedy sana duh

  • @kwilasajunior5367
    @kwilasajunior5367 Před rokem +3

    Et watu wanaenda uku na sisi tunaenda uku

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem +4

    Tuliokulia kulia kinondoni miaka 89,90 tunakuelewa sn baharia

    • @rasjamal9854
      @rasjamal9854 Před rokem +1

      Kenneth Benjamin kino maenro gani?

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 Před rokem +1

      @@rasjamal9854 nlikuliaga kino mitaa kea Boyz,nlishatokaga hko

  • @isayamayogu8229
    @isayamayogu8229 Před rokem +3

    Mi mbu inakugombania 🤣

  • @johnrambo9642
    @johnrambo9642 Před rokem +1

    Jiwe konzi😂😂😂

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Před rokem +2

    Mwamba nimemkubali sana 😂😂😂

  • @RamlaJuma-rz3rl
    @RamlaJuma-rz3rl Před rokem +2

    Nyieee mtanganzaji kaoa? Nimepen nmb hahahha

  • @user-hx1gz2ns8q
    @user-hx1gz2ns8q Před rokem +3

    hahahahahahahahaahhhhahhaha kinyumenyme
    ambulence inakuja londo

  • @HappyChannelUk
    @HappyChannelUk Před rokem

    Safi

  • @nancolower_8032
    @nancolower_8032 Před rokem +1

    Issa paka 😁

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před rokem +2

    Dizonga ndio sauzi sio

  • @swadatimmbaga7435
    @swadatimmbaga7435 Před 4 měsíci

    😂😂😂😂😂tushasahau Kufunga mlango tunalala nje kama Magar

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid5393 Před rokem

    Badala ya Ambulance inakuja gari ya 50 😅😅😅😅😅 kweli tunaishi kinyume sanaa.

  • @kassimmustapha456
    @kassimmustapha456 Před rokem

    Mwana kaishi kaburu

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před rokem

    👁️👁️🇫🇮🇫🇮🤝💪

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 Před rokem

    Hiyo sehemu ya Kula Cape town mwaka 94 tulikuwa tuna Kula Kwa cent 5 Rand Nyuma ya pared

  • @petrojacob6070
    @petrojacob6070 Před rokem

    Mtangazaji punguza mdomo,unaharibu stori

  • @samirnasri6991
    @samirnasri6991 Před 8 měsíci

    Betrams ndo mitaa yangu mda huu namchek baharia nikiwa betrams hapa

  • @amiryndomondo9156
    @amiryndomondo9156 Před rokem

    Yan hatar maisha ya maskini kwa matajiri ni kitabu cha simulizi noma sana