BAHARIA BALOZI:NILIAGA KIAINA MTAANI/ NINGETOSWA BAHARINI/SOKA LIKANIOKOA/KOMBE LA DUNIA!/BASTOLA.07
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#baharia #balozi #dupamdupange
kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi..kama una mkasa/tukio lolote wasiliana nasi kwa namba...#0653127761
Ok
Mbona fupi sana bro
Kaka ehhh Babu Haji tuekeee yake
Baharia tupo kila kona hakuna kukata tamaa!!nilipambana nikatoka leo naishi maisha ya ndoto zangu America. Salute kwa baharia na travellers wote wa kibongo popote mlipo. Tupo pamoja.
Duh kweli nikujikaza sana kabisa sema kati ka maisha usikubali kushindwa
Poa Baharia, Hendry Ngozy Sweden 🇸🇪 1 hiyo
Salute Baharia..Aluta continue
huyo malita namjua nilikuwa nae Newcastle
Pande za kwa chaz
Abed Omary kama hupo Newcastle kuna mwana wa Momak huyo hapo kitambo alitokea cape town unajua?
Si kakupokea na Isaq Popaaa
😂😂😂pamoja na yote huyu jamaa anachekesha sana
Daa huyu mwamba banaaa
Mabaharia wao hawazeeki. Misikiti na makanisa kwao noma. Maongezi yao .....laah. Hatari
Ah big up mtangzaj mbele hapo umeitaafsr dox good
Wallah siku ya rizki ifika imefika 😄😄.
Twende kazi dupa wa mdupange na mwanetu baharia
Respect
Bro dupa fanya ili dude uliachie lote hata kama masaa 5 unatuka stimu mshikaj anajua kujieleza san
Mwamba anachekesha sana eti kuku ubavu hhh
Uk border force hao noma, Freezer boat linaenda speed simchezo,kuliko contener noat jino moja moja
Ile bendera ni kuonyesha ship NATIONALITY au REGISTRATION......
Korea Japan ilikuwa 2002
Hapa tulipigwa ila hadi uwe makini
Baharia anausudu sana uzungu😅😅
Boss mwendelezo
🙏🙏
Nilikua ninaisuburia sana hii jaman
Kipindi kizuri sana tunajifunza
Ila Dover ni south of England na sio north kaka 🙌🏻😊
Story nzuri sanaa ila fupi sanaaa
Mwamba balozi
Ebwana ndonga dox misemo hio nasisi tujue mana yake
Nalifatilia Sana hiki kipindi aiseee
Story nzuli sem tia vipande vilef
Story kali lakini fupi
Oyoooo wapi chizi bot