Video není dostupné.
Omlouváme se.
🔴
Vložit
- čas přidán 14. 05. 2022
- 🔴#LIVE: BAHARIA ASIMULIA - ''BABA ANATAKA KUNIUA, BORA NINGEKUFA BAHARINI'' | MAPITO
KARIBU kutazama kipindi cha MAPITO kinacholetwa kwako na GLOBAL TV kila wiki, Leo ni muendelezo wa Kijana Bashir Bashir, mkazi wa Mabibo jijini Dar es Salaam, ni miongoni mwa vijana waliowahi kuzamia meli na hapa anasimulia mikasa mbalimbali aliyokutana nayo katika harakati zake za kuzamia meli.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Huyo Bro hana Shida ukimsikiliza vizuri !!
Akienda Soba yatakiwa na huyo Dada aende Soba
Nimemuhurumia kwakweli wazazi wanachangia sana
Huyu Jamaa hana shida Kabisa ya Akili huyu Dada mtangazaji na Huyo Baba ake Ndio wenye matatizo
Halafu huyo Bro anawafundisha watu Malezi Bora kwani keshapitia mengi..
MSITAZAME UPANDE MMOJA NA SISI WAZAZI WA BAADAE TUWE MAKINI KWA WENETU !!
Dada haujawahi kutana na wazazi kama hao wapo wengi sanaa na mwisho wao unakua mbaya sanaa ila mchiz mungu atamsaidia tu ila kuhusu maisha uyo mzee kamuhalibia mwanae
Maashallah itakuwa Vizuri kabisa kama mtampeleka soba house mungu amjalile kila lakheli yaarabi
Huyo bwana siyo wa kumshauri kwani yeye ndie anaweza kuwashauri watu wasiwe kama yeye au WAZAZI WASIWE KAMA BABA YAKE !!
Huyo bwana ana akili tena Salama kwa wanye masikio yenye kusikiliza
Pole sana bro Allah atakupigania utakuwa sawa inshallah
Kumbe unavuta. !!!!! Halafu umuri huo unakaa Kwa wazeee. !!! Kula kulaaa Kwa bb !!! Cc watu wa bars maisha hayo ya Raha hatujapitiya kesi hizi Bora zikaamuliwe huko Z"nji
Huyu kaka anawafundisha wazazi vp waishi nawatt watt wengi wanaathirika kwaajili ya wazazi kutokuwasikiliza watt kz yao kan tumia mabavu
Hiyo kauli ya kifala sana eti mzazi hakosei
Fact sijui wazushi gani wamekuja na kauli hio
Yani tunatakiwa tuwavumilie wzazi hatuna jins
Pole sana mdgo wangu kaa mbali na huyo baba yako.kayamalize polisi hama mji
Jamaa yuk sawa uyu jaman anaitaj msaada wa kisaikolojia tu lakn sio kusema kadata. Pia anahitaj matumain zaid kwny jamii sbb yap mengi ya mitaan anayajua na anaweza kuwaelekeza vijana wasije kupitia alikokuwa
Pengine huyo mzee aligundua huyo c mwanawe
Mzazi ana nguvu anaweza akawageuza wanae wengine akili na akaaminika ila inatakiwa nyie ndugu muwe na akili.
Yoo baharia mwezangu 👋👋nakusoma nikiwa Mbagala Kiburugwa 🤣
Pole kka ila wazazi Kuna mda wnakosea jmani daa
Wapo wazee wa aina hivyo mm simbishii huyo
jamaaa kapitia mengi sana
Dada ake nisaidie namb za bashir nimemlispkt kweli alfu mbon anakili 2 hao wengine wazushi 2
Huyo baba MCHAWI
Ukweli anaujua mungu, baba na huyu jmaa
NI KWELI UNAWEZA KUACHA MADAWA BILA METHADON KWANI WAKO WENGI WAMEACHA BILA METHADON SO NA WAKO WALOTUMIA METHADON NA WAKARUDIA NA WAKO WALOACHA BILA METHADON NA WAKARUDIA... WOTE WAKO...
Huyo mpeleke Sobar Moja Kwa Moja usimpeleke Kwa Baba Ake sababu baba Anaweza kuja juu na huyo akashondwa kuvumilia akajibizana nae Kisha mzazi akakuthibitishiya kuwa SI nilikwambia kama huyu mtoto hafai na we ukaambukizwa fikra za mzazi muache akae Sobar Akirudi atakwenda Kwa mzee
Kama watu wazima hawakosei jela zingejaa watoto wadogo tu . Wazazi wanakosea pia nao ni binadam.
Asante kaka
Hakili yuko nazo maisha yamemchanganya
Mtangazaji unakosea sana, hayaja kukuta, mtoto huyo si mjinga, wazazi wanaweza kukufanya sugu, kama upendwi unaweza kuaribikiwa kabisa.
Ndio hayajamkuta
Uyu dda nae anazngua kunamda ukitoa kauli kwamtot wko Ina kua nlaana
Tunasubiri Mrejesho
Sobar laki nne kwa mwezi fanya mara miezi sita
Msimpe methadon kama anaweza kuacha kwa uwezo wake hiyo iko powerful zaidi methadone ni uteja kama uteja wa unga kwa mfumo wa maji (syrup)methadone ni madawa kama yalivyo madawa mengine,apewe afya ya akili kwa kupewa counseling na chakula kwa wakati na aelimishwe madhara ya mihadarati kwa mifano hai na jinsi gani yeye pia anaweza kuwa mwalimu kwawengine.
Mwanangu sana huyo daha hizo mambo alisha niambia tukiwa kondoa
Wazaz wa aina hii wapo jmn kuna rfk ang hata akose pesa ya ada mama ake hampi .....mpk baba tu ko baba kiwa hana pesa anamkopa yule mama ndo amtumie mtoto ada na ni mtot wake wa kuzaa kbx yn
Mzazi anakosea maana yy ni binaadam isipokua akikosea ukiona kakukwaza unasbr wote muwe watulivu na uongee nae kwa sauti ya utulivu bhana mama au baba sijapenda hichi kiustaarab na sauti ya chini sio kwa kuchamban au kutukann maana wote mnakua hamzikilizan
Vita vya mtoto na mzazi kwenye media kwa kusikiliza upande mmoja haina wisdom. Mtangazaji pse google case ya Marvin Gaye.
Mm naona piya mzazi wake ajalibu kupakauli zuli yy piya ana mtatizo uwezi kupeleka polisi kilamala
Hivi aliyekuja na Falsafa ya MZAZI HAKOSEI ni nani??? Mtu yeyote anakosea koz ndio utu wenyewe. Kua mzazi haimaanishi unaacha kukosea..... kuna wazazi kibao wamefungwa jela kama hawakosei wanafungiwa nini?
Sister ACHANA NA ZANA HIZO…. So unamaanisha Baba yake anachomfanyia ni sawa…!!!!!?🙁🙁🙁 JAMAA YUKO VIZURI TUU….Huyo mzee sio. Kusema hakosei sio sawa….
WAZAZI WANAKOSEA WANA BAGUA SANA, ACHA NA UMRI WANGU MIAKA HII
Apelekwe SOBA Lakini ukimsikiliza Vizuri huyo Bwana anafundisha kwa mapito alopitia...LAKINI KABLA YA SOBA PIA KAATHIRIKA MALEZI ALOYAPITIA..!!
.
Huyu ana akili nzuri jamani, anaeleza vizuri na Lugha yake ni nzuri tu, wavuta bangi utawasikia.......
Unaona bwana, unaona bwana kila wakiongea.
Mtafute pili huyo mkaka ni bwanaako
Kwani wewe mtangazaji afya ya akili unayo? Kifupi uyo jamaaa asili yake ni kunung’unika na watu wa hivyo wako wengi na ndowalivyo zaliwa mara nyingi hawataki kujua wamekuwa niivyo tu
Kijana acha kulaumu mzazi sidhani kama unayosema yatakusaidia rudisha roho mzazi anatumia akikuona hivyo anatumia sasna