Video není dostupné.
Omlouváme se.

🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 05. 2022
  • 🔴#LIVE: BAHARIA ASIMULIA - ''BABA ANATAKA KUNIUA, BORA NINGEKUFA BAHARINI'' | MAPITO
    KARIBU kutazama kipindi cha MAPITO kinacholetwa kwako na GLOBAL TV kila wiki, Leo ni muendelezo wa Kijana Bashir Bashir, mkazi wa Mabibo jijini Dar es Salaam, ni miongoni mwa vijana waliowahi kuzamia meli na hapa anasimulia mikasa mbalimbali aliyokutana nayo katika harakati zake za kuzamia meli.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 53

  • @ayububakari9942
    @ayububakari9942 Před 2 lety +9

    Huyo Bro hana Shida ukimsikiliza vizuri !!
    Akienda Soba yatakiwa na huyo Dada aende Soba

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 Před 2 lety +6

    Nimemuhurumia kwakweli wazazi wanachangia sana

  • @sirenky4824
    @sirenky4824 Před 2 lety +5

    Huyu Jamaa hana shida Kabisa ya Akili huyu Dada mtangazaji na Huyo Baba ake Ndio wenye matatizo

  • @ayububakari9942
    @ayububakari9942 Před 2 lety +7

    Halafu huyo Bro anawafundisha watu Malezi Bora kwani keshapitia mengi..
    MSITAZAME UPANDE MMOJA NA SISI WAZAZI WA BAADAE TUWE MAKINI KWA WENETU !!

  • @user-gz4fb6if7u
    @user-gz4fb6if7u Před 5 měsíci

    Dada haujawahi kutana na wazazi kama hao wapo wengi sanaa na mwisho wao unakua mbaya sanaa ila mchiz mungu atamsaidia tu ila kuhusu maisha uyo mzee kamuhalibia mwanae

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před 2 lety +2

    Maashallah itakuwa Vizuri kabisa kama mtampeleka soba house mungu amjalile kila lakheli yaarabi

  • @ayububakari9942
    @ayububakari9942 Před 2 lety +4

    Huyo bwana siyo wa kumshauri kwani yeye ndie anaweza kuwashauri watu wasiwe kama yeye au WAZAZI WASIWE KAMA BABA YAKE !!

  • @ayububakari9942
    @ayububakari9942 Před 2 lety +8

    Huyo bwana ana akili tena Salama kwa wanye masikio yenye kusikiliza

  • @agnesnandutu3877
    @agnesnandutu3877 Před rokem

    Pole sana bro Allah atakupigania utakuwa sawa inshallah

  • @shaulitangaugulumo1597

    Kumbe unavuta. !!!!! Halafu umuri huo unakaa Kwa wazeee. !!! Kula kulaaa Kwa bb !!! Cc watu wa bars maisha hayo ya Raha hatujapitiya kesi hizi Bora zikaamuliwe huko Z"nji

  • @mwanaishamande8880
    @mwanaishamande8880 Před 2 lety +2

    Huyu kaka anawafundisha wazazi vp waishi nawatt watt wengi wanaathirika kwaajili ya wazazi kutokuwasikiliza watt kz yao kan tumia mabavu

  • @treyvissy9854
    @treyvissy9854 Před 2 lety +7

    Hiyo kauli ya kifala sana eti mzazi hakosei

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před rokem

      Fact sijui wazushi gani wamekuja na kauli hio

    • @AsdDsa-fi5qk
      @AsdDsa-fi5qk Před rokem

      Yani tunatakiwa tuwavumilie wzazi hatuna jins

  • @faithreed861
    @faithreed861 Před rokem

    Pole sana mdgo wangu kaa mbali na huyo baba yako.kayamalize polisi hama mji

  • @superhemed7590
    @superhemed7590 Před 2 lety +1

    Jamaa yuk sawa uyu jaman anaitaj msaada wa kisaikolojia tu lakn sio kusema kadata. Pia anahitaj matumain zaid kwny jamii sbb yap mengi ya mitaan anayajua na anaweza kuwaelekeza vijana wasije kupitia alikokuwa

  • @swimmermoddy3263
    @swimmermoddy3263 Před 2 lety +2

    Pengine huyo mzee aligundua huyo c mwanawe

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Před 2 lety +2

    Mzazi ana nguvu anaweza akawageuza wanae wengine akili na akaaminika ila inatakiwa nyie ndugu muwe na akili.

  • @kanyika14kanyika16
    @kanyika14kanyika16 Před 2 lety +1

    Yoo baharia mwezangu 👋👋nakusoma nikiwa Mbagala Kiburugwa 🤣

  • @ashajumamwarabu9144
    @ashajumamwarabu9144 Před rokem

    Pole kka ila wazazi Kuna mda wnakosea jmani daa

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Před 2 lety +3

    Wapo wazee wa aina hivyo mm simbishii huyo

  • @Entertainmen_tv2024
    @Entertainmen_tv2024 Před 2 lety +1

    jamaaa kapitia mengi sana

  • @thabithaji7182
    @thabithaji7182 Před 2 lety +1

    Dada ake nisaidie namb za bashir nimemlispkt kweli alfu mbon anakili 2 hao wengine wazushi 2

  • @fatmahemed7142
    @fatmahemed7142 Před rokem +1

    Huyo baba MCHAWI

  • @user-lz3yl4yb5v
    @user-lz3yl4yb5v Před 6 měsíci

    Ukweli anaujua mungu, baba na huyu jmaa

  • @ayububakari9942
    @ayububakari9942 Před 2 lety +2

    NI KWELI UNAWEZA KUACHA MADAWA BILA METHADON KWANI WAKO WENGI WAMEACHA BILA METHADON SO NA WAKO WALOTUMIA METHADON NA WAKARUDIA NA WAKO WALOACHA BILA METHADON NA WAKARUDIA... WOTE WAKO...

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Před 2 lety +1

    Huyo mpeleke Sobar Moja Kwa Moja usimpeleke Kwa Baba Ake sababu baba Anaweza kuja juu na huyo akashondwa kuvumilia akajibizana nae Kisha mzazi akakuthibitishiya kuwa SI nilikwambia kama huyu mtoto hafai na we ukaambukizwa fikra za mzazi muache akae Sobar Akirudi atakwenda Kwa mzee

  • @kanyika14kanyika16
    @kanyika14kanyika16 Před 2 lety +3

    Kama watu wazima hawakosei jela zingejaa watoto wadogo tu . Wazazi wanakosea pia nao ni binadam.

  • @malonemalone1067
    @malonemalone1067 Před 2 lety +1

    Hakili yuko nazo maisha yamemchanganya

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Před 2 lety +2

    Mtangazaji unakosea sana, hayaja kukuta, mtoto huyo si mjinga, wazazi wanaweza kukufanya sugu, kama upendwi unaweza kuaribikiwa kabisa.

  • @ashajumamwarabu9144
    @ashajumamwarabu9144 Před rokem

    Uyu dda nae anazngua kunamda ukitoa kauli kwamtot wko Ina kua nlaana

  • @adolphyamin1245
    @adolphyamin1245 Před 2 lety

    Tunasubiri Mrejesho

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Před 2 lety +1

    Sobar laki nne kwa mwezi fanya mara miezi sita

  • @lenoxbuhanza4926
    @lenoxbuhanza4926 Před 2 lety +1

    Msimpe methadon kama anaweza kuacha kwa uwezo wake hiyo iko powerful zaidi methadone ni uteja kama uteja wa unga kwa mfumo wa maji (syrup)methadone ni madawa kama yalivyo madawa mengine,apewe afya ya akili kwa kupewa counseling na chakula kwa wakati na aelimishwe madhara ya mihadarati kwa mifano hai na jinsi gani yeye pia anaweza kuwa mwalimu kwawengine.

  • @halilumumba7914
    @halilumumba7914 Před 2 lety

    Mwanangu sana huyo daha hizo mambo alisha niambia tukiwa kondoa

  • @sarafinabutashilaga6990

    Wazaz wa aina hii wapo jmn kuna rfk ang hata akose pesa ya ada mama ake hampi .....mpk baba tu ko baba kiwa hana pesa anamkopa yule mama ndo amtumie mtoto ada na ni mtot wake wa kuzaa kbx yn

  • @hawaaabdallah6586
    @hawaaabdallah6586 Před 2 lety

    Mzazi anakosea maana yy ni binaadam isipokua akikosea ukiona kakukwaza unasbr wote muwe watulivu na uongee nae kwa sauti ya utulivu bhana mama au baba sijapenda hichi kiustaarab na sauti ya chini sio kwa kuchamban au kutukann maana wote mnakua hamzikilizan

  • @alfredmarti3131
    @alfredmarti3131 Před 2 lety +1

    Vita vya mtoto na mzazi kwenye media kwa kusikiliza upande mmoja haina wisdom. Mtangazaji pse google case ya Marvin Gaye.

  • @sadikiadamu1095
    @sadikiadamu1095 Před rokem

    Mm naona piya mzazi wake ajalibu kupakauli zuli yy piya ana mtatizo uwezi kupeleka polisi kilamala

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před rokem

    Hivi aliyekuja na Falsafa ya MZAZI HAKOSEI ni nani??? Mtu yeyote anakosea koz ndio utu wenyewe. Kua mzazi haimaanishi unaacha kukosea..... kuna wazazi kibao wamefungwa jela kama hawakosei wanafungiwa nini?

  • @debbiethomas9825
    @debbiethomas9825 Před 2 lety +2

    Sister ACHANA NA ZANA HIZO…. So unamaanisha Baba yake anachomfanyia ni sawa…!!!!!?🙁🙁🙁 JAMAA YUKO VIZURI TUU….Huyo mzee sio. Kusema hakosei sio sawa….

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Před 2 lety

    WAZAZI WANAKOSEA WANA BAGUA SANA, ACHA NA UMRI WANGU MIAKA HII

  • @ayububakari9942
    @ayububakari9942 Před 2 lety

    Apelekwe SOBA Lakini ukimsikiliza Vizuri huyo Bwana anafundisha kwa mapito alopitia...LAKINI KABLA YA SOBA PIA KAATHIRIKA MALEZI ALOYAPITIA..!!

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 Před 2 lety

    .

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Před 2 lety

    Huyu ana akili nzuri jamani, anaeleza vizuri na Lugha yake ni nzuri tu, wavuta bangi utawasikia.......
    Unaona bwana, unaona bwana kila wakiongea.

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk Před rokem

    Mtafute pili huyo mkaka ni bwanaako

  • @abuumwichumu5520
    @abuumwichumu5520 Před 2 lety

    Kwani wewe mtangazaji afya ya akili unayo? Kifupi uyo jamaaa asili yake ni kunung’unika na watu wa hivyo wako wengi na ndowalivyo zaliwa mara nyingi hawataki kujua wamekuwa niivyo tu

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před 2 lety

    Kijana acha kulaumu mzazi sidhani kama unayosema yatakusaidia rudisha roho mzazi anatumia akikuona hivyo anatumia sasna