BAHARIA: WALITOSWA BAHARINI/ SAMAKI MTU/ ALINIOKOA/ NILIKATAZWA KUSEMA/MAISHA/UMALAYA!... | PART 06

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #safari #baharia #mbanga

Komentáře • 32

  • @jigesospeter1005
    @jigesospeter1005 Před rokem +8

    Huu muda ni mfupi sana Dupa dakika 22 tu kweli rafiki yangu. Nilichogundua wewe uli record siku moja kwa hiyo unakata vipande vipande maana mavazi muliyovaa ni yaleyale siku zote. 🤣🤣🤣🤣 weka full story ndipo utapata viewer wengi na utapiga maokoto kama yote.

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před rokem +1

    Safi sana brother Mzee wetu uyu hapa

  • @jacksonmatitu3918
    @jacksonmatitu3918 Před rokem +3

    Baada ya mzee wa kabinyau hii kali sana

  • @dedemishi3848
    @dedemishi3848 Před rokem

    I love your vibes off describing 😊😊

  • @user-to5gi5xj5f
    @user-to5gi5xj5f Před rokem +1

    dupa unazichelewesh sana mzazy tupe back to back

  • @user-dl6bq5ty2l
    @user-dl6bq5ty2l Před rokem +2

    Afrika borwa Mamelodi East extension 5 baharia wape habari mkulu😊😊

  • @rmssydina1157
    @rmssydina1157 Před rokem +4

    Muda mdgo

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 Před rokem +3

    Hii story itanifanya nizamie. Ila kinachoniogopesha mbona mabaharia wanarudi mambo si safi. Hakuna waliotoboa

    • @rasjamal9854
      @rasjamal9854 Před rokem

      Zamia Tu kila mtu ana bahati yake,Hila wengi wapo vzr awaji hapo kujielezea

    • @fidodido9578
      @fidodido9578 Před rokem

      Wengi wao wanaohojiwa ni wale walio Lost ila wapo kibao mambo ya maana sema wengi wao hawapendi kuojiwa waonekane kama hivi sawa sawa na Mtu maskini na tajiri yupi lahisi kumpata

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 Před rokem

      Wapo waliotoboa wachache wanao kamatwa kama storowei huwawanarudishwa hawanakitu unapokamatwa huruhusiwi kwenda unapoishi huenda ulikua unameki pesa ndozimebaki niivo

    • @user-dl6bq5ty2l
      @user-dl6bq5ty2l Před rokem

      Usi nakili babu

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 Před rokem

      @@user-dl6bq5ty2l mpigie cm mtopanga amuulize uyu mzee usikie atajije ayonimeokwambia nauhakika asilimia 100

  • @mutijimacedrick1622
    @mutijimacedrick1622 Před 3 měsíci

    mbanga fanya mpango uwaite mabahaliya kama KALIOPE,,,MWEGA,,NAUYU MZE na rafkiyake na Shady boo..Itakuwanoma kbs itapendezasana

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary1245 Před rokem +1

    Namkunali mzee wa mrrrrrŕrrrh safi sana

  • @hammy7664
    @hammy7664 Před rokem

    Namkubali Bro

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary1245 Před rokem

    Nakubali story inamafunzo mazur

  • @salehemahonyo5508
    @salehemahonyo5508 Před rokem +2

    Story nzur 🔥🔥👊👊

  • @yohanakashinje1548
    @yohanakashinje1548 Před rokem +1

    Twende twende mzee

  • @makame3524
    @makame3524 Před rokem +1

    Ni kwanini mabaharia wote wanakua na tabia zinazofanana had kuongea kwao

  • @jfourhumbhumb1754
    @jfourhumbhumb1754 Před rokem +1

    Unanikumbusha mbari wanangu wengi walisafili sana mpaka reo sijui kama wapo hai

  • @abdulazizbrek4980
    @abdulazizbrek4980 Před rokem +1

    Nzokubulaaana wee😂

  • @andrewdankanidankanichilal8944

    Niko Jorbeg kitambo wazulu tunaishi nao

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 Před rokem

    Anzubukulala