BAHARIA: WALITOSWA BAHARINI/ SAMAKI MTU/ ALINIOKOA/ NILIKATAZWA KUSEMA/MAISHA/UMALAYA!... | PART 06
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#safari #baharia #mbanga
Huu muda ni mfupi sana Dupa dakika 22 tu kweli rafiki yangu. Nilichogundua wewe uli record siku moja kwa hiyo unakata vipande vipande maana mavazi muliyovaa ni yaleyale siku zote. 🤣🤣🤣🤣 weka full story ndipo utapata viewer wengi na utapiga maokoto kama yote.
Safi sana brother Mzee wetu uyu hapa
Baada ya mzee wa kabinyau hii kali sana
Yah kabisa
Huyu ndio nomaaa halaf ndio kabinyau
I love your vibes off describing 😊😊
dupa unazichelewesh sana mzazy tupe back to back
Afrika borwa Mamelodi East extension 5 baharia wape habari mkulu😊😊
Muda mdgo
Hii story itanifanya nizamie. Ila kinachoniogopesha mbona mabaharia wanarudi mambo si safi. Hakuna waliotoboa
Zamia Tu kila mtu ana bahati yake,Hila wengi wapo vzr awaji hapo kujielezea
Wengi wao wanaohojiwa ni wale walio Lost ila wapo kibao mambo ya maana sema wengi wao hawapendi kuojiwa waonekane kama hivi sawa sawa na Mtu maskini na tajiri yupi lahisi kumpata
Wapo waliotoboa wachache wanao kamatwa kama storowei huwawanarudishwa hawanakitu unapokamatwa huruhusiwi kwenda unapoishi huenda ulikua unameki pesa ndozimebaki niivo
Usi nakili babu
@@user-dl6bq5ty2l mpigie cm mtopanga amuulize uyu mzee usikie atajije ayonimeokwambia nauhakika asilimia 100
mbanga fanya mpango uwaite mabahaliya kama KALIOPE,,,MWEGA,,NAUYU MZE na rafkiyake na Shady boo..Itakuwanoma kbs itapendezasana
Namkunali mzee wa mrrrrrŕrrrh safi sana
😂😂😂😂
😂😂😂
Namkubali Bro
Nakubali story inamafunzo mazur
Story nzur 🔥🔥👊👊
Twende twende mzee
Ni kwanini mabaharia wote wanakua na tabia zinazofanana had kuongea kwao
Unanikumbusha mbari wanangu wengi walisafili sana mpaka reo sijui kama wapo hai
Nzokubulaaana wee😂
Nope wenyewe wanasema nzokubulala ..ntakuuwa
@@fidodido9578 ndio nimeskia poa sai
Niko Jorbeg kitambo wazulu tunaishi nao
Ola ola mjita👊👊
Anzubukulala