BAHARIA AFUNGUKA UKWELI KUWEPO KWA MAUZAUZA BAHARINI KAWE | MSWAHILI
Vložit
- čas přidán 20. 03. 2022
- BAHARIA AFUNGUKA UKWELI KUWEPO KWA MAUZAUZA BAHARINI KAWE | MSWAHILI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Elimu nzuri sana.Bigup Zembwela
Am loving it
Sound track sio nzuri weka ile ile ya lavalava wanga
Congratulations 👏👏
I like this man zembwela
Camera man zoom vizuri hatuoni Apo kwenye samaki wanaouzwa
Wana kawe ndio sisi
DADA UMENIKOSHA
SANA NG'O NDE -MBAWALA
MBUTUKA
**eti mzima lakini keshakufa**. Bongo Uhuru wa kujieleza umezid!!!!.
kwa hiyo 19:27 kasema ni mzima lakini keshakufwa🤣
Broh Nkbr sanakazi zako pamoja
33:35😅😅😅
Confidence kubwa Dada yangu, safi sana
Jamani mswele mtamu Uwo nimekumbuka tanga... 👌
Dada Hali vingine kwa sababu kachilimua nchilamu😇😇
🤣🤣🤣🤣
Safi sana zembwela
Kazi kazi anko Zembwela chuma cha pua
He is very funny man
Sasa hapo nani presenter jameni
Nyinyi mnazingua......
mswahili umekutana na mkwere
Eti kasolo jiwe
Maisha halisi🇹🇿
Upo vizuri babu
😂😂😂😂 kwaiyo ivi adi zanziba
Zembwela chizi kweli kuvua una vua sio nguo wewe😂😂😂😂😂😂
Hatal
Mr presenter, wewe ndo ushikilie hiyo microphone kuu ambayo ina logo ya kampuni yako.unajikia je kumkabizi mgeni wako ahikilie kabisa mic ya ofisi. Hapo yeye ndo anaonekana kama presenter.
Nlmuona mama amewapikA hao konokono na ugali wa muhogo nmetamn lkn nitayarshiwe ndo ntakula😂
Eti kwako ww hii imetulia🤣🤣
Alichokosea daimondi kwenye video ya mtasubiri
Picha na story haviendani
🇹🇿🇹🇿🇹🇿😂😂😂👌👍
Hao wote ni wachuuzi sio wavuvi. Watega madema tu
Kutoka mwaka 82 mpaka saii bado hujajenga umepangisha🙄🙄🙄🙄
Uvuvi ni kazi ya laana hiyo
J
AT 11:50-11:59
MADE ME LAUGH,
Mi mjanja wa mjini,Mjinga wa kutumia😂😂😂 huyo mzee mwenye Orange aliupiga mwingi sana😂🙌
Zembwela: wewe umewah kuvua
Muvi sio kuvua tuu hata kuongela
Mvuvi: hata wewe unaweza kuvua
Zembwela: sio ngua acha uchizi
😂😂😂😂😂
Hawa Wasafi wanae Mpka zembwela du....!!!!
😀 We ulikuwa hujui kwani??
Mtu poa sana kwenye media namkubali
Angalia baharia wazawa wakiokoa watu baada ya meli ya kigeni kuzama
Gusa link hii apa chini kuangalia.
👇🏾. 👇🏾. 👇🏾.
czcams.com/video/m8X5qFrmA9g/video.html
Apo vibwengo vimekutana😂😂😂
miaka 30
Babu soundtrack miyeyusho acha Ile Ile ya mwanzo
I like this sister
Fake camera man, aonyese kile unaguza tujue unaongea kuhusu nini.
mdada kachangamsha wa lindi
Huyu jamaa hana kitu cha kisisimua
Zembwela🤣🤣 mtu mmoja mjanja sana Hana shobo pia Hana ma pepe kuuliza mtu maswali halafu mcheshi kisomi na kiakili San
Zembwela hata wewe vua
Huyo konde😂😂😂
Unatisha zimbwela
Dah kwel mwanangu nimewah kuskia wamakonde wanakula ata binaadam kaa mbali na mmakonde
Zembwera. Muoga wa maji.
Usitizame filamu iyi ukiwa na watoto wadogo 🤭🤭czcams.com/video/ZG7Z0naQf2Q/video.html