MSWAHILI:MKASA WA AJABU MAGOMENI MWEMBECHAI,JINI LAMUUA BINADAMU CHANZO KIKIWA SHILINGI 6000/=

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 8. 09. 2024
  • WATCH WASAFI TVđŸ“ș
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM đŸ“»
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI đŸ“» | 104.1 DODOMA đŸ“» | 94.5 ARUSHA đŸ“» | 97.3 MBEYA đŸ“» | 94.9 MWANZA đŸ“» | SHINYANGA 106.3 đŸ“» | KIGOMA 101.7 đŸ“»
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáƙe • 201

  • @allyseif5115
    @allyseif5115 Pƙed 2 lety +8

    Namjua mm huyo dogo alikuwa dereva wangu wa bodaboda kijana mmoja muaminifu sana mungu amlaze mahali pema

  • @thabitiykitwana1271
    @thabitiykitwana1271 Pƙed 2 lety +12

    Jmni msidharau inaweze ikawa kweli. Majini yanauwezo kubadilika katika maumbo tofauti.

  • @ireneassey753
    @ireneassey753 Pƙed 2 lety +6

    Mungu akiwa upande wetu naamini hata shetan atakaa mbali nas

  • @Kokafamil
    @Kokafamil Pƙed 2 lety +5

    Hello from turkey đŸ‡čđŸ‡· Dah hapo kwa mpemba nime miss hizo chips na kuku hapo karibu na zimbabwe bar 😋😋😋😋mtaan kwangu

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 Pƙed 2 lety +14

    Huyo kiumbe jamaa alikutana naye huko baharini,na akatamani kumfuatilia kutokea huko baharini,ukweli ni kwamba huyo jini alkuwa ana mission na huyo jamaa hiyo mission ndo hatuijui sasa!..

  • @Official83640
    @Official83640 Pƙed 2 lety +8

    Nimeshare hii kwa wakaka wengi ili waache kuwa na tamaa wakiona vyaelea tu maana ni mkasa mzito na unahuzunisha hd machozi yamenitoka Subhannallah Mungu amrehem marehem 😱😱

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Pƙed 2 lety +20

    Stori nzuri Ila mnakulaje wakati sisitunasikiliza story mngekula kwanza Mimi sijapenda

  • @abumoyo5341
    @abumoyo5341 Pƙed 2 lety +7

    Daaah inaumaa sana Mungu amstiri marehemuu

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 Pƙed 2 lety +6

    Wanangu ee hii story inafundisha sana yani Dr Jana mwenyew nimekutana na dem Kam ivo. Nikaanz pilik kumbe sio poa ee dr nimefundishika

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Pƙed 2 lety +3

    Duuu Allah atuepushe na madhira ya dunia

  • @mcdanta6919
    @mcdanta6919 Pƙed 2 lety +8

    Mshikaji Nina wasi wasi jini ndio kamchukua ila hajafa bado

  • @mohahassan5687
    @mohahassan5687 Pƙed 2 lety +16

    Zembwela pole pole na msosi, maana mada hii ya Leo moto sana.

  • @ghanimaali4507
    @ghanimaali4507 Pƙed 2 lety +4

    innalilahi wainna ilahii rajiuna

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 Pƙed 2 lety +14

    Kuku mtamu unasahau sana Mike đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

    • @azizaaziza9113
      @azizaaziza9113 Pƙed 2 lety +1

      Zembwela acha ubishi mtu akifa maji kawaida huwa anaelewa but km kuchukuliwa na chunusi huwa ananyonwa damu kisha hutelekezwa kati kati ya miamba

  • @maulidirajabu5331
    @maulidirajabu5331 Pƙed 2 lety +7

    Hii move kali mno ukipatĂ  mtu akakuhadisia kwa nukta unaweza lia

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 Pƙed 2 lety +4

    Innalilah waina lillah rajiuon

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Pƙed 2 lety +5

    Daa' inatisha sana' poleni familia

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Pƙed 2 lety +5

    Tatizo zembwela huwezi kula hiki unaongea siku nyingine kula kwanza baadae uongee hapo story haiendi mtapaliwa vyakula

  • @marykarebeti9410
    @marykarebeti9410 Pƙed 2 lety +6

    Kweli mnaboa zembwela maneno yanakutoka huku unatafuna tafuna! Sio ustaarabu..

    • @361NEWS
      @361NEWS Pƙed 2 lety

      đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Łtulia uko

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman6478 Pƙed 2 lety +4

    Babu unafanya kazi nzr sana big up

  • @arngemer
    @arngemer Pƙed 2 lety +7

    Hiyo inaitwa rip current, ni hatari sana. Unaogelea kwenda mbele ila inazidi kukupeleka mbali zaidi ya ufukwe.

    • @bilalbaker9238
      @bilalbaker9238 Pƙed 2 lety +1

      Ilekuwa rahisi kuelekea kule mkondo (current) inapoelekea ingukuwa rahisi, na wasinge choka ila wangekuwa wanakwenda mbali na fukwe. Ajali Imepangwa Na M, Mungu ishatokea.

  • @josephmanyama9012
    @josephmanyama9012 Pƙed 2 lety +4

    Napajua hapo nishakaaaa hapo sana pembeni yake ku bar inaitwa Zimbabwe bar

  • @lulually5209
    @lulually5209 Pƙed 2 lety +1

    Marehemu alikuwa anasali nn kamuendea kinyume na maumbile hapo hapo kanogewa akataka tena ikashindikana mwisho wa mchezo anaambiwa atoe ankara kabisha kutoa na maneno ya kashfa unategemea jini km jini atachukua maamuzi gani zaidi ya kukudedisha akiangalia tayari keshadhalilika kwa mwanaadamu yalotokea ndio hayo kikubwa ni kumuombea dua marehemu m,mungu amsameh alipoteleza basi hakuna chengine

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Pƙed rokem

      Inamaana huyo jini alikua na tako zuri,marehemu alifinyiwa kwa ndani😂😂

  • @abdirahmansheikh1089
    @abdirahmansheikh1089 Pƙed 2 lety +7

    Story nzuri lkn kwa ufupi kuwa mstaarabu maana nikama hauna. Shukran

  • @jumaselemani2720
    @jumaselemani2720 Pƙed 2 lety +5

    Daah jamaa anasimulia vizuri sana

  • @kubulizuberikubulizuberihu5896

    Chakula kina heshima yake kwanini usimalize kula ndio uendelee na chakula

    • @marykarebeti9410
      @marykarebeti9410 Pƙed 2 lety +1

      Story nzuri ila kutafuna tafuna huku mnaongea ndio imekuwa bonge la kasoro.

  • @achufela9414
    @achufela9414 Pƙed 2 lety +1

    Co mchezo...safi sana mkuu kipindi kizuriii

  • @lastbornsaadah7632
    @lastbornsaadah7632 Pƙed rokem

    Jamani nimekaa magomeni kweli kuanzia kagera adi mwembe chai jini tena wakike kitambo luti yake maeneo hayo...jifunzeni vijana sio kila king'aacho ni dhahabu...pia unaweza kumpeleka geto baada ya kumla mzigo badala yk ukaliwa ww

  • @mussamlewa2178
    @mussamlewa2178 Pƙed 2 lety +5

    I miss my street

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 Pƙed 2 lety +7

    Vijana tuache tamaa za ajabu ajabu jamani dah😱😱😱😱

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 Pƙed 2 lety +11

    watu wana mlaumu marehemu kuwa alikuwa malaya,, lakini kama umesikiliza kwa makini utagundua kuwa yule jini,, ndo alikuwa wakwanza kusema twende huko unako kwenda ww,, yaani baada ya kumkosa dada yake basi akaona bora tu akaliwe mzigo na jamaa,, hivyo yule jini ndo alimtega jamaa kwa kusudi kabisaa na huenda hata hakuwa na ndugu wala nn apo,, alikuwa tu ana mawindo yake apo,, maana hao viumbe vyakula vyao ni mifupa na damu,, akaamua kupita na ndugu yetu,, na huko baharini ni yy ndo alimvutia huko ili amalize kazi yake kirahisi

    • @bilalbaker9238
      @bilalbaker9238 Pƙed 2 lety +1

      Na Jambo la Kushangaza (au la kuzingatia) ingawa linaonekana dogo, ni Kwamba kwanini Bwana harusi tu pekee, (wa harusi ya kule beach) ndie alieona kwanza, je ni dalili gani ? ni kitendawili hicho. bwana harusi na bibi harusi hapo wana yatenda yapendwayo na dini zote, tafauti na yalio letea kifo hicho ( Tunavyoamini ). Inawezekana ni ajali tu hata hivyo. Tupo kwenye kipindi cha MSWAHILI tusisahau. Nategemea Nimeeleweka. Kama hukunielewa niulize tena,, kama umenifaham hamna MBUNGI.

    • @michaeljohn9070
      @michaeljohn9070 Pƙed 2 lety

      @@bilalbaker9238 sija kuelewa bado

    • @kasiniapotatoes9804
      @kasiniapotatoes9804 Pƙed 2 lety

      Rama ali shindwa mtihani kivyovyote vile kosa ni la Rama wajina wangu

    • @lulually5209
      @lulually5209 Pƙed 2 lety +1

      Marehemu angekubali matakwa ya jini damu angenyonywa mwengine lkn alivyomkatalia ndio akaamua kumsulubu all in all kikubwa dua

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Pƙed 2 lety +3

    đŸ€”uyo dada wamoto ukiangalia sana hapo kuna namna ipo

  • @code_rapper6317
    @code_rapper6317 Pƙed 2 lety +4

    NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA UKASIKILIZE WIMBO WANGU UITWAO WEKA KAMA HAUTOJALI NAOMBA MUDA WAKO🙏🙏🙏🙏🙏 NAOMBA

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 Pƙed 2 lety +3

    Jamani ni story ya kusikitisha saana bt kile najuwa kuna mtu behind this story angejuwa angetoka tu hapo akaenda msikitini wakamuombea dua vijana tujihadhari jamani.

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 Pƙed 2 lety +2

    Nice babu zebwela kisa chaajabu kweli

  • @spaice995
    @spaice995 Pƙed 2 lety +5

    Nazani hofu ndo imemuua jamani tuache kusikiliza waganga hawa tutakufa na presha maskini nazani aliwaza kuhusu jini 😞poleni sana

    • @japhetadelard9465
      @japhetadelard9465 Pƙed 2 lety

      Kabisa hiyo ni hofu hakuna jini hapo

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 Pƙed 2 lety +4

      Kwakwel nyie halijawakuta ni lazma mseme hivyo! Msicheze na majini

    • @spaice995
      @spaice995 Pƙed 2 lety

      @@welcometoeat165 we imekukuta? Washasema hakuwa mjuzi wa kuogelea so kama haujawahi kupata panic ndan ya maji usijafanye mjuaji pia.

    • @mariamramadhani3860
      @mariamramadhani3860 Pƙed 2 lety

      Na barua je

    • @spaice995
      @spaice995 Pƙed 2 lety

      @@mariamramadhani3860 wanawake unatujua kwa vitisho đŸ€Łtunaweza andika chochote kile

  • @wasalimie11
    @wasalimie11 Pƙed 2 lety +3

    hivyo unavyokula unachafua roho kua ns heshima

  • @salmaabdulabdul5200
    @salmaabdulabdul5200 Pƙed 2 lety +3

    Tumejifunza kitu tusipende jamani mbuzi kufia kwa muuza supu

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Pƙed rokem

      😂😂😂😂😂

  • @hannanommy302
    @hannanommy302 Pƙed 2 lety +3

    Kaa jamani sasa mnaongelea makaburini?kwanini msiheshimu hao watu walolala?Innalillah lillah wainna illah Rajiun Baki Allah, Allah ampe kaul thabity

  • @hamzamoshi8275
    @hamzamoshi8275 Pƙed 2 lety +3

    Alivyokufa tu namaelezo yauyo jamaa aliyejalibu kumuokoa,, uyo kafa kwakuzidiwa na maji tu sio jini

  • @felixtvtz4600
    @felixtvtz4600 Pƙed 2 lety

    Inasikitisha sana

  • @urueuudududu5760
    @urueuudududu5760 Pƙed 2 lety +3

    Hakuna jini hapo kafa Kwa Ajali ya maji tu , demu alikuwa kazini, maana majini hayana shida na pesa jamani, kama demu alikuwa mchawi hapo kidgo naweza amini

    • @duniayakijani7868
      @duniayakijani7868 Pƙed 2 lety +1

      Endelea hivyo hivyo kubisha

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 Pƙed 2 lety

      Majin utafta xababu ... Unawezaa ataa ukamwaga maji ovyo na ukamkela na kukudhul maana tunaish nao wengine atuwaonii ..

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Pƙed 2 lety +1

    Jaman😭😭😭😭😭😭poleni

  • @godloveemanuel7785
    @godloveemanuel7785 Pƙed 2 lety

    Duh noma sana

  • @meddyzambetakis
    @meddyzambetakis Pƙed 2 lety +2

    Hili paja la kuku kweli?! Mbona dogo!đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @esterderiki6505
    @esterderiki6505 Pƙed 2 lety +1

    Kwani angempa iyo elfu 6 angepungukiwa nini mjifunze

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Pƙed rokem

      Utelezi noma huenda alikua na mauno akamfinyia kwa ndani

  • @361NEWS
    @361NEWS Pƙed 2 lety

    Dah

  • @IbrahimMohamed-yy2il
    @IbrahimMohamed-yy2il Pƙed 2 lety +2

    Long story short ubahili umemponza.

  • @hamiibreezy2000
    @hamiibreezy2000 Pƙed 2 lety +4

    Ni noma Sana....đŸ„șđŸ„ș

  • @GozbethUrassa-lh7wc
    @GozbethUrassa-lh7wc Pƙed rokem

    Ayo Mambo yapo

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Pƙed 2 lety +2

    Tumejifunza kitu
hasa sisi wanaume .. hiyo mbuzi kufia kwa muuza supu

  • @mwantumkombo172
    @mwantumkombo172 Pƙed 2 lety +1

    Funzo Ilo ...Umalaya mwengine ata haufai

    • @walaaabdallah3236
      @walaaabdallah3236 Pƙed 2 lety +1

      Akunacha umala wala nini jini akikutaka atakupata tu uwe malaya usiwe malaya

    • @slimmuhabesh2400
      @slimmuhabesh2400 Pƙed 2 lety

      Kweli kabisa

    • @urueuudududu5760
      @urueuudududu5760 Pƙed 2 lety

      Mm Niko tofauti na nyinyi , mm nahsi hyo demu ni mchawi, alafu twende mbele turudi nyuma , hyo ni uhuni ndio ila Kila jambo Lina makusudi

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 Pƙed 2 lety +1

    Pga vitu zembwela mwili haujengwi Kwa tofal

  • @fahadykajugus
    @fahadykajugus Pƙed 2 lety

    Sembwela njoo kwa aziziali Kuna story moja noma

  • @yahyasaloummvyongo3536
    @yahyasaloummvyongo3536 Pƙed 2 lety

    Mmmmmh kifo ni Cha mungu Allah ampefanyie wepesi natukumbukee MAJINN pia WAPO na hakuna haja ya kuendelea kumfuatili MAADAMUU yalishapitaa

  • @upendoluv7197
    @upendoluv7197 Pƙed 2 lety +1

    Ni hatariiii

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 Pƙed 2 lety +6

    zembwela hiki kipindi usifanyie mjini njoo huku vijijini uje uone mambo yanavyofanywa hapa duniani nitakutafuta kwenye isngram yako nikupe mambo wee acha tu

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 Pƙed 2 lety +2

    Mtqongeaje huku mnakula sasa

  • @fhfbfcvcgfggf6844
    @fhfbfcvcgfggf6844 Pƙed 2 lety +2

    Oya babu unakula Sana browđŸ€Ł

  • @faridyshaame4705
    @faridyshaame4705 Pƙed 2 lety

    Mm nna rafiki yangu kabsa alikutana nae ila zake za kuishi bado zipo

  • @sebastianherman607
    @sebastianherman607 Pƙed 2 lety +1

    Wait for it

  • @josephmuchiri3180
    @josephmuchiri3180 Pƙed 2 lety +2

    Daaa?sura ya zembwela nzuliâ˜șâ˜șâ˜șâ˜ș

  • @napster2558
    @napster2558 Pƙed 2 lety

    Sth to learn

  • @salmaoman9160
    @salmaoman9160 Pƙed 2 lety

    Daaah adinimeogopa

  • @wasalimie11
    @wasalimie11 Pƙed 2 lety +5

    people dont talk while eating kueni na displin

    • @liciouscharles3370
      @liciouscharles3370 Pƙed 2 lety

      Acha mtu ale

    • @wasalimie11
      @wasalimie11 Pƙed 2 lety

      @@liciouscharles3370 sikatai lakini kuongea na domo limejaa is de
      discusting yaani inachafua roho

  • @hadijahaji9712
    @hadijahaji9712 Pƙed 2 lety

    Due!ilikuwa mwakajuI kamasikosea 2019 du!

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Pƙed 2 lety +1

    Mtu Kafa Maji Polisi Tena Waje Kuchunguza

  • @lulually5209
    @lulually5209 Pƙed 2 lety

    Mmmh zembwela anatia ndani sahani ya pili sio poa halafu huku anaongea amesahau km yupo kwenye kipindi

  • @atuonukyemhema5653
    @atuonukyemhema5653 Pƙed 2 lety +3

    Wanaume na nyinyi mmezidi kuokota okota

  • @fahadykajugus
    @fahadykajugus Pƙed 2 lety

    Daah Dogo Rama namjua hiyo story nikweli daah

  • @shamimucollectiondubai9727

    nenda mbagala kizuiani mitaa ya kwanyoka street

  • @habimanayasin4223
    @habimanayasin4223 Pƙed 2 lety

    Unaonaaaa bwanaaa ...

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Pƙed 2 lety +5

    Vijana punguzeni kuokota okota mnaichosha miili yenu na mnajitia matatizoni uzinzi unamadhara mengi msipende kuchezea wasichana mkiwa hamna malengo nao

    • @josephsilem7239
      @josephsilem7239 Pƙed 2 lety

      Kuchezea au kuchezeana jamani mbona ss tu?

    • @ashachitemo7816
      @ashachitemo7816 Pƙed 2 lety

      @@josephsilem7239 sababu WANAUME wamepewa MAMLAKA ya kuwa VIONGOZI wa wanawake

    • @urueuudududu5760
      @urueuudududu5760 Pƙed 2 lety +1

      Point sana tubadilike ,jamani

  • @swalehesalim9630
    @swalehesalim9630 Pƙed 2 lety

    Unasahau kula kakaa😀😀😀

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 Pƙed 2 lety

    duu 😱😱inauma sana

  • @kikumbivunge7976
    @kikumbivunge7976 Pƙed 2 lety

    Uyoo jamaa ajafa anaishi ujinini mpaka mda huu na uyoo Dada a namjua uyo mchizi na alichokifanya uyo jini kazamilia na uyo jini alimpenda Ramadhani

  • @thureyaalkindy9373
    @thureyaalkindy9373 Pƙed 2 lety

    Story siiskii vzr kwakutamn hao kuku

  • @zuhurakassu1427
    @zuhurakassu1427 Pƙed 2 lety +2

    Uku unakula zembwele mnaboa bwana

  • @jacksonkendavis8689
    @jacksonkendavis8689 Pƙed 2 lety

    ...ITAENDELEA LINI WAKUU...
    MIEZI 9 SASA!!

  • @maryamhassan7148
    @maryamhassan7148 Pƙed 2 lety

    Duh

  • @mbwanakonk453
    @mbwanakonk453 Pƙed 2 lety

    Kuku mtam unasahau sana maik

  • @Salhiya-hr7dy
    @Salhiya-hr7dy Pƙed 2 lety +4

    Htry wallah ndo muache kutongoza ovyo Allah atustir wallah

    • @slimmuhabesh2400
      @slimmuhabesh2400 Pƙed 2 lety +1

      Wamezidi

    • @swdaalii6892
      @swdaalii6892 Pƙed 2 lety

      Na nyie mliobaki muwe makini maana uyo jini na sister wake naye anataka boy friend

  • @saiyydashapi5994
    @saiyydashapi5994 Pƙed 2 lety

    So ule kwanza halafu ndiyo usimuliye kiss.mbona ai u ndogo ndogo.

  • @himoda7647
    @himoda7647 Pƙed rokem

    Babu zembwela hizo chips umekula mwenyew uyo anaongea

  • @arafamhina6041
    @arafamhina6041 Pƙed 2 lety

    Cjapenda mlivyofika makaburin mngahadisia tu

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Pƙed 2 lety +3

    Daaa mambo ya Dunia hy jmn

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Pƙed rokem

      Kiuswazi tunasema rama kafia vitani ila kiuhalisia uchunguzi hakuna ni kusadikika tu,ila nimesikia huyo jini alikua pisi nzuri tako tako,Rama alifinyiwa kwa ndani😂😂

  • @edwardongori7734
    @edwardongori7734 Pƙed 2 lety

    😭😭😭😭😭😭😭pole na ni funzo kwetu.

  • @paulokiwango21
    @paulokiwango21 Pƙed 2 lety

    KATIKA MIKASA YOTE ULIYOTOA.HII NDIO ILIYONSISIMUA NA KUNFUNZA ZAIDI..GONGA LIKE KWA ULIYENIELEWA.

  • @irenewile
    @irenewile Pƙed 2 lety

    Sauti jamani mbona ndogo

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 Pƙed 2 lety +1

    Kitaani kwetu hapo

  • @salminwamu2297
    @salminwamu2297 Pƙed 2 lety

    Eti alikuwa ana swali swali

  • @swalhaahmed1041
    @swalhaahmed1041 Pƙed 2 lety

    Huyujamaa kaniboesha Anakulakula wakati wakazi bwana siovzuri tabia mbaya

  • @jasonhatjuggling1858
    @jasonhatjuggling1858 Pƙed 2 lety +4

    Mbungi lipigwetena đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @lovvy854
    @lovvy854 Pƙed 2 lety +3

    Zembwele mbona wala Kam mwizii nahilo bichwa lako kubwa đŸ„ŽđŸ‘ˆđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

    • @TeamKRX
      @TeamKRX Pƙed 2 lety

      Kwa Nini umemuomba wewe mbona kochwa yake kama kawaida Ya Mtu

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 Pƙed 2 lety

    Zembela ujanawa mikono

  • @hassankarama3412
    @hassankarama3412 Pƙed 2 lety

    Barua yenyewe ikowapi

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Pƙed 2 lety +1

    Vjana acheni tamaa si mtu umuonae nimwema

  • @361NEWS
    @361NEWS Pƙed 2 lety

    Mh

  • @chiefgodlove4402
    @chiefgodlove4402 Pƙed 2 lety

    Huu ni uongo bwana hakuna

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 Pƙed 2 lety

    Jmn kabri LA bibi angu lipo apo apo chin ya mmuarobaini