MSWAHILI:MKASA WA AJABU MAGOMENI MWEMBECHAI,JINI LAMUUA BINADAMU CHANZO KIKIWA SHILINGI 6000/=
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 8. 09. 2024
- WATCH WASAFI TVđș
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM đ»
88.9 DAR/ZNZ/PWANI đ» | 104.1 DODOMA đ» | 94.5 ARUSHA đ» | 97.3 MBEYA đ» | 94.9 MWANZA đ» | SHINYANGA 106.3 đ» | KIGOMA 101.7 đ»
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
đȘđđđđđđđđ ©2021 đŸđđđđđ đŽđđ đđ. đšđđ đđđđđđ đđđđđđđđ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Namjua mm huyo dogo alikuwa dereva wangu wa bodaboda kijana mmoja muaminifu sana mungu amlaze mahali pema
Jmni msidharau inaweze ikawa kweli. Majini yanauwezo kubadilika katika maumbo tofauti.
Aswaaaaa
We acha tu my love baby!
We umejuaje au unaskia story tu...?
@@liciouscharles3370 ata din zet zimekil kwamba majin yapo na tunaish nayo apa dunian
Mungu akiwa upande wetu naamini hata shetan atakaa mbali nas
Hello from turkey đčđ· Dah hapo kwa mpemba nime miss hizo chips na kuku hapo karibu na zimbabwe bar đđđđmtaan kwangu
Nikaribishe jirani
Huyo kiumbe jamaa alikutana naye huko baharini,na akatamani kumfuatilia kutokea huko baharini,ukweli ni kwamba huyo jini alkuwa ana mission na huyo jamaa hiyo mission ndo hatuijui sasa!..
Nimeshare hii kwa wakaka wengi ili waache kuwa na tamaa wakiona vyaelea tu maana ni mkasa mzito na unahuzunisha hd machozi yamenitoka Subhannallah Mungu amrehem marehem đąđą
Stori nzuri Ila mnakulaje wakati sisitunasikiliza story mngekula kwanza Mimi sijapenda
Mtangazaji hana utulivu. Anaharibu kabisa maana ya kipindi
Nashangaa.. sio tabia nzuri. Wangekula alafu waendelee na story.
Zembwela anazingua đđ
Hii kipindi kinaitwa uswahili na huo ndo uswahili wenyewe big up zembwela
Daaah inaumaa sana Mungu amstiri marehemuu
hajafa jini kasepa nae
Wanangu ee hii story inafundisha sana yani Dr Jana mwenyew nimekutana na dem Kam ivo. Nikaanz pilik kumbe sio poa ee dr nimefundishika
Duuu Allah atuepushe na madhira ya dunia
Mshikaji Nina wasi wasi jini ndio kamchukua ila hajafa bado
Zembwela pole pole na msosi, maana mada hii ya Leo moto sana.
innalilahi wainna ilahii rajiuna
Kuku mtamu unasahau sana Mike đ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł
Zembwela acha ubishi mtu akifa maji kawaida huwa anaelewa but km kuchukuliwa na chunusi huwa ananyonwa damu kisha hutelekezwa kati kati ya miamba
Hii move kali mno ukipatĂ mtu akakuhadisia kwa nukta unaweza lia
Innalilah waina lillah rajiuon
Daa' inatisha sana' poleni familia
Tatizo zembwela huwezi kula hiki unaongea siku nyingine kula kwanza baadae uongee hapo story haiendi mtapaliwa vyakula
Kweli mnaboa zembwela maneno yanakutoka huku unatafuna tafuna! Sio ustaarabu..
đ€Łđ€Łđ€Łtulia uko
Babu unafanya kazi nzr sana big up
Hiyo inaitwa rip current, ni hatari sana. Unaogelea kwenda mbele ila inazidi kukupeleka mbali zaidi ya ufukwe.
Ilekuwa rahisi kuelekea kule mkondo (current) inapoelekea ingukuwa rahisi, na wasinge choka ila wangekuwa wanakwenda mbali na fukwe. Ajali Imepangwa Na M, Mungu ishatokea.
Napajua hapo nishakaaaa hapo sana pembeni yake ku bar inaitwa Zimbabwe bar
Marehemu alikuwa anasali nn kamuendea kinyume na maumbile hapo hapo kanogewa akataka tena ikashindikana mwisho wa mchezo anaambiwa atoe ankara kabisha kutoa na maneno ya kashfa unategemea jini km jini atachukua maamuzi gani zaidi ya kukudedisha akiangalia tayari keshadhalilika kwa mwanaadamu yalotokea ndio hayo kikubwa ni kumuombea dua marehemu m,mungu amsameh alipoteleza basi hakuna chengine
Inamaana huyo jini alikua na tako zuri,marehemu alifinyiwa kwa ndaniđđ
Story nzuri lkn kwa ufupi kuwa mstaarabu maana nikama hauna. Shukran
Daah jamaa anasimulia vizuri sana
Chakula kina heshima yake kwanini usimalize kula ndio uendelee na chakula
Story nzuri ila kutafuna tafuna huku mnaongea ndio imekuwa bonge la kasoro.
Co mchezo...safi sana mkuu kipindi kizuriii
Jamani nimekaa magomeni kweli kuanzia kagera adi mwembe chai jini tena wakike kitambo luti yake maeneo hayo...jifunzeni vijana sio kila king'aacho ni dhahabu...pia unaweza kumpeleka geto baada ya kumla mzigo badala yk ukaliwa ww
I miss my street
Vijana tuache tamaa za ajabu ajabu jamani dahđąđąđąđą
watu wana mlaumu marehemu kuwa alikuwa malaya,, lakini kama umesikiliza kwa makini utagundua kuwa yule jini,, ndo alikuwa wakwanza kusema twende huko unako kwenda ww,, yaani baada ya kumkosa dada yake basi akaona bora tu akaliwe mzigo na jamaa,, hivyo yule jini ndo alimtega jamaa kwa kusudi kabisaa na huenda hata hakuwa na ndugu wala nn apo,, alikuwa tu ana mawindo yake apo,, maana hao viumbe vyakula vyao ni mifupa na damu,, akaamua kupita na ndugu yetu,, na huko baharini ni yy ndo alimvutia huko ili amalize kazi yake kirahisi
Na Jambo la Kushangaza (au la kuzingatia) ingawa linaonekana dogo, ni Kwamba kwanini Bwana harusi tu pekee, (wa harusi ya kule beach) ndie alieona kwanza, je ni dalili gani ? ni kitendawili hicho. bwana harusi na bibi harusi hapo wana yatenda yapendwayo na dini zote, tafauti na yalio letea kifo hicho ( Tunavyoamini ). Inawezekana ni ajali tu hata hivyo. Tupo kwenye kipindi cha MSWAHILI tusisahau. Nategemea Nimeeleweka. Kama hukunielewa niulize tena,, kama umenifaham hamna MBUNGI.
@@bilalbaker9238 sija kuelewa bado
Rama ali shindwa mtihani kivyovyote vile kosa ni la Rama wajina wangu
Marehemu angekubali matakwa ya jini damu angenyonywa mwengine lkn alivyomkatalia ndio akaamua kumsulubu all in all kikubwa dua
đ€uyo dada wamoto ukiangalia sana hapo kuna namna ipo
NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA UKASIKILIZE WIMBO WANGU UITWAO WEKA KAMA HAUTOJALI NAOMBA MUDA WAKOđđđđđ NAOMBA
Jamani ni story ya kusikitisha saana bt kile najuwa kuna mtu behind this story angejuwa angetoka tu hapo akaenda msikitini wakamuombea dua vijana tujihadhari jamani.
Nice babu zebwela kisa chaajabu kweli
Nazani hofu ndo imemuua jamani tuache kusikiliza waganga hawa tutakufa na presha maskini nazani aliwaza kuhusu jini đpoleni sana
Kabisa hiyo ni hofu hakuna jini hapo
Kwakwel nyie halijawakuta ni lazma mseme hivyo! Msicheze na majini
@@welcometoeat165 we imekukuta? Washasema hakuwa mjuzi wa kuogelea so kama haujawahi kupata panic ndan ya maji usijafanye mjuaji pia.
Na barua je
@@mariamramadhani3860 wanawake unatujua kwa vitisho đ€Łtunaweza andika chochote kile
hivyo unavyokula unachafua roho kua ns heshima
Hiii ndiyo maana ya mswahili
Tumejifunza kitu tusipende jamani mbuzi kufia kwa muuza supu
đđđđđ
Kaa jamani sasa mnaongelea makaburini?kwanini msiheshimu hao watu walolala?Innalillah lillah wainna illah Rajiun Baki Allah, Allah ampe kaul thabity
Kwan ni dhambii ?
Alivyokufa tu namaelezo yauyo jamaa aliyejalibu kumuokoa,, uyo kafa kwakuzidiwa na maji tu sio jini
May be.
Inasikitisha sana
Hakuna jini hapo kafa Kwa Ajali ya maji tu , demu alikuwa kazini, maana majini hayana shida na pesa jamani, kama demu alikuwa mchawi hapo kidgo naweza amini
Endelea hivyo hivyo kubisha
Majin utafta xababu ... Unawezaa ataa ukamwaga maji ovyo na ukamkela na kukudhul maana tunaish nao wengine atuwaonii ..
Jamanđđđđđđpoleni
Duh noma sana
Hili paja la kuku kweli?! Mbona dogo!đ€Łđ€Łđ€Ł
Kwani angempa iyo elfu 6 angepungukiwa nini mjifunze
Utelezi noma huenda alikua na mauno akamfinyia kwa ndani
Dah
Long story short ubahili umemponza.
Ni noma Sana....đ„șđ„ș
Ayo Mambo yapo
Tumejifunza kituâŠhasa sisi wanaume .. hiyo mbuzi kufia kwa muuza supu
Funzo Ilo ...Umalaya mwengine ata haufai
Akunacha umala wala nini jini akikutaka atakupata tu uwe malaya usiwe malaya
Kweli kabisa
Mm Niko tofauti na nyinyi , mm nahsi hyo demu ni mchawi, alafu twende mbele turudi nyuma , hyo ni uhuni ndio ila Kila jambo Lina makusudi
Pga vitu zembwela mwili haujengwi Kwa tofal
Sembwela njoo kwa aziziali Kuna story moja noma
Mmmmmh kifo ni Cha mungu Allah ampefanyie wepesi natukumbukee MAJINN pia WAPO na hakuna haja ya kuendelea kumfuatili MAADAMUU yalishapitaa
Ni hatariiii
zembwela hiki kipindi usifanyie mjini njoo huku vijijini uje uone mambo yanavyofanywa hapa duniani nitakutafuta kwenye isngram yako nikupe mambo wee acha tu
Mtafute
Ebu mtafuta tupate kujua Ya Dunia
Mtqongeaje huku mnakula sasa
Oya babu unakula Sana browđ€Ł
Mm nna rafiki yangu kabsa alikutana nae ila zake za kuishi bado zipo
Wait for it
Daaa?sura ya zembwela nzuliâșâșâșâș
Mtafute umpe kinyeo
@@likimaro6 kuma la mama yako goli ta uwanja wa Mkapa
đ€Łđ€Ł
@@eboumg7061 đđđ
Sth to learn
Daaah adinimeogopa
people dont talk while eating kueni na displin
Acha mtu ale
@@liciouscharles3370 sikatai lakini kuongea na domo limejaa is de
discusting yaani inachafua roho
Due!ilikuwa mwakajuI kamasikosea 2019 du!
Mtu Kafa Maji Polisi Tena Waje Kuchunguza
Mmmh zembwela anatia ndani sahani ya pili sio poa halafu huku anaongea amesahau km yupo kwenye kipindi
Wanaume na nyinyi mmezidi kuokota okota
Daah Dogo Rama namjua hiyo story nikweli daah
nenda mbagala kizuiani mitaa ya kwanyoka street
Unaonaaaa bwanaaa ...
Vijana punguzeni kuokota okota mnaichosha miili yenu na mnajitia matatizoni uzinzi unamadhara mengi msipende kuchezea wasichana mkiwa hamna malengo nao
Kuchezea au kuchezeana jamani mbona ss tu?
@@josephsilem7239 sababu WANAUME wamepewa MAMLAKA ya kuwa VIONGOZI wa wanawake
Point sana tubadilike ,jamani
Unasahau kula kakaađđđ
duu đąđąinauma sana
Dotto nakutafuta sana
Uyoo jamaa ajafa anaishi ujinini mpaka mda huu na uyoo Dada a namjua uyo mchizi na alichokifanya uyo jini kazamilia na uyo jini alimpenda Ramadhani
Story siiskii vzr kwakutamn hao kuku
đđ
Uku unakula zembwele mnaboa bwana
...ITAENDELEA LINI WAKUU...
MIEZI 9 SASA!!
Duh
Kuku mtam unasahau sana maik
Htry wallah ndo muache kutongoza ovyo Allah atustir wallah
Wamezidi
Na nyie mliobaki muwe makini maana uyo jini na sister wake naye anataka boy friend
So ule kwanza halafu ndiyo usimuliye kiss.mbona ai u ndogo ndogo.
Babu zembwela hizo chips umekula mwenyew uyo anaongea
Cjapenda mlivyofika makaburin mngahadisia tu
Daaa mambo ya Dunia hy jmn
Kiuswazi tunasema rama kafia vitani ila kiuhalisia uchunguzi hakuna ni kusadikika tu,ila nimesikia huyo jini alikua pisi nzuri tako tako,Rama alifinyiwa kwa ndaniđđ
đđđđđđđpole na ni funzo kwetu.
KATIKA MIKASA YOTE ULIYOTOA.HII NDIO ILIYONSISIMUA NA KUNFUNZA ZAIDI..GONGA LIKE KWA ULIYENIELEWA.
Sauti jamani mbona ndogo
Kitaani kwetu hapo
Eti alikuwa ana swali swali
Huyujamaa kaniboesha Anakulakula wakati wakazi bwana siovzuri tabia mbaya
Mbungi lipigwetena đ€Łđ€Łđ€Ł
Zembwele mbona wala Kam mwizii nahilo bichwa lako kubwa đ„Žđđ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł
Kwa Nini umemuomba wewe mbona kochwa yake kama kawaida Ya Mtu
Zembela ujanawa mikono
Barua yenyewe ikowapi
Vjana acheni tamaa si mtu umuonae nimwema
Naam nkwel kabsa maneno yako sahihi inshaallah kher
Mh
Huu ni uongo bwana hakuna
Jmn kabri LA bibi angu lipo apo apo chin ya mmuarobaini