Atoswa kwenye BAHARI ya Somalia, Wapelekwa na UPEPO mpaka INDIA, Mmoja afariki, Wakaa JELA miaka 5

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024

Komentáře • 97

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 Před rokem +24

    Mimi nimezamia miaka ya 80 hadi leo nipo UK , Allah awape wepesi mabaharia wotr

    • @rasjamal9854
      @rasjamal9854 Před rokem +4

      Adventure umezamia 80 kupitia wapi?ume cross au umetoka na boti? sorry km ntakuwa Nime kukwaxa?

    • @Josh_1194
      @Josh_1194 Před rokem +2

      @@rasjamal9854 nilitoka na meli Ras

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 Před rokem +2

      Nakukubali baharia uliepasi mitihani ya usafiri lakini naomba connection ya namba yako ya what's up broh

    • @rasjamal9854
      @rasjamal9854 Před rokem +2

      @@Josh_1194 ok beach gani?Miimi mwenyewe michezo yangu hiyo ilikuwa hila nipo beach ulikuwa

    • @MohamedAli-ho5fq
      @MohamedAli-ho5fq Před rokem +1

      Ulikwenda UK kwa meli?

  • @Benjathekingofficialtv
    @Benjathekingofficialtv Před 8 měsíci +2

    Huyu jamaa hajui kuoji wasimuliaji , mtu anaachiwa nafasi kwanza ajieleze

  • @sueblake379
    @sueblake379 Před rokem +8

    Wafriaka sisi huona majuu au Ulaya kama heaven lakini kusema kweli Afrika Kuna mazuri ambayo tunakuja kuyaona ukiwa inje ya inchi. Africa can be the best place to be if government make it fir the people.

    • @eyabdimaha3698
      @eyabdimaha3698 Před rokem +1

      Hayo mazuri labda baada ya miaka 1000 maisha magumu kama jiwe unasema kuna mazuri rudi basi tuishi wote tule mazuri pamoja huku

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 Před rokem

      @@eyabdimaha3698 hah

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 Před rokem +1

      😂😂😂

    • @shamsaalrahbi5573
      @shamsaalrahbi5573 Před rokem

      @@eyabdimaha3698 swa swa 😂😂😂😂

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před rokem

      Hipo hivyo ata Mimi natamani kurudi nyumbani lakini naogopa nikiwaza waya nilioupitia

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Před rokem +5

    Napenda hizi stori sana

  • @sheikhanasser4714
    @sheikhanasser4714 Před rokem +4

    Lakini hakuna hasara saana amepata faida ya kujuwa Lugha mbili si mbaya

  • @davidshebughe3422
    @davidshebughe3422 Před rokem +2

    Huyu hajui kusimulia vizuri kama Kinyogoli.

  • @saidsongoro9097
    @saidsongoro9097 Před rokem +3

    Wanapaita Richard bye bye au Beach kidosho. Mwandishi na kuja kukupa story ngoja winter ipite nikija huko tupige story maana bahari wengi wapo huku juu.

  • @daudmtange8005
    @daudmtange8005 Před rokem +2

    Daah jamaa sio mtam sana kwenye story big up sana mabaharia wenzangu

  • @nahishakiyeassuman5541
    @nahishakiyeassuman5541 Před rokem +2

    Esco tunajifuza vitu vingi Sana kutoka kwa mahabaria kwakweli

  • @fallykhan2383
    @fallykhan2383 Před rokem +3

    Sns hizi video za mabaharia nazipenda sana
    Bila shaka siko pekeangu, tuko wengi tunaopenda hivi video za mahojiano na mabaharia.
    Ombi langu naomba muwe munatuletea video za aina hii nyingi zaidi @ sns

  • @alexchungu6263
    @alexchungu6263 Před rokem +1

    Mzee anazungusha kamba

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 Před rokem +1

    Maskin pole sn kaka Allah akufanyie wepes ufanikiwe ktk maisha yako👏🤲

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 Před rokem +1

    sasa huyu jamaa mbona anachezea kikambaa au ndo kumiss utotoni

  • @mudiluiz7081
    @mudiluiz7081 Před rokem +1

    Naenjoy sana kuwasiklza mabaharia...

  • @saleemadhiyabalkhatri7800

    Jamani uongo mbali shule muhimu sana tujitahidi sana kufahamisha watoto wetu nduguzetu hatakama mtoto siwako jaribu kumsemesha sasa hivi tunajuta tusiosoma unaambiwa nenda shule tunaona kama tunaonewa kumbe nikwafaida yetu leo unabaki kujilaumu yaret ningesoma wapi tumeshachelewa

  • @jobmaclean5382
    @jobmaclean5382 Před rokem +1

    Big thanks for the best story in your life

  • @stellajohn5647
    @stellajohn5647 Před rokem +4

    Duh! Inasikitisha sana, maisha haya🥲

  • @cristinasofla5090
    @cristinasofla5090 Před rokem +1

    Esko mm napenda sana story hizi na unajua kutangaza

  • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG

    Story izi za mabaharia zinavutia sana

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před rokem

    Uliza maswali ya msingi mzeeee unazunguka sana....muulize swali jamaa aflow mwenyewe

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před rokem

    Yeah new chata 🔥🔥🔥🔥

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Před rokem +1

    Capeti pekee ya dunia NI bahari ndiyo kitu pekee Kiko level...

  • @rosemaryismaily001
    @rosemaryismaily001 Před rokem

    Nimeskia kulia uchungu ulivosema mwenzako amefarik it's hurting 😢 ,yan kam ndo hivo maji yamekula wengi aiseee daaah sasa mwenzio nyumban kwao hajui mtu alipotelewa wapi kumbe alizikwa Somalia, au alimpa habari kabla ya kufa uwii

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před rokem +1

      yaan ndio nyumban wanakua wanasemaga tu alisha potea daaa😢😭😭

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu Před rokem

      Weeeeh Rosemary achana na huyo Muha pale dukani!!!! Ana ukimwi yule!!!

  • @saidnasibu5803
    @saidnasibu5803 Před rokem

    Amezamia taree 9 amekaa siku tano ndio akatoka taree 11😂😂😂😂😂 hapa ame tupamba😂😂😂

  • @Y0u_tube
    @Y0u_tube Před rokem +1

    Nakubali wakwanza kucomment

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před rokem

    Baharia haagi kwao na unapondoka kichwani pako unasema wana nitawakuta huko huko juu kwa juu hivyo ndivyo ilivyo home boy mtangazaji

  • @hermanfrank6727
    @hermanfrank6727 Před rokem

    Ktk maisha watu 2napitia changamoto mbalimbali,duh.

  • @hamzayusuf1894
    @hamzayusuf1894 Před rokem

    Hamuna akkili wengi niwawona .mayiti karibu 30 bahari ya somaliya

  • @emmanueldeogratius3969

    Napenda sana hii

  • @newindiatelecom6829
    @newindiatelecom6829 Před rokem

    Daaahh huruma sana

  • @alexchungu6263
    @alexchungu6263 Před rokem

    mzee nae, atulii

  • @axmedcumar6196
    @axmedcumar6196 Před rokem +1

    Daaah Darasa la tatu miaka kumi na tano …! Baharia tuache kidogo

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před rokem

      Zamani walikua wanaanza shule wazee

    • @vincentakhwale1428
      @vincentakhwale1428 Před rokem

      Miaka ya zamani mbona kawaida sana

    • @jobmaclean5382
      @jobmaclean5382 Před rokem

      Way back umri wakuanza Shule ulikuwa mkubwa

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 Před rokem

      Hiyo enzi izo bro we mwenyewe saivi unaona watoto walivyo wadogo mashuleni

    • @rosemaryismaily001
      @rosemaryismaily001 Před rokem

      Yan la 3 ilikuwa kama upo fom five au six hahah 😆 sio kam sisi tunasoma mbk kusomboloka

  • @rosemaryismaily001
    @rosemaryismaily001 Před rokem

    So katoka nyumban anamiak mingap na amerud anamiaka mingap vipi changamoto za rugha nchi za watu ubaguzi huko gelezana ya life inakuwaj

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před rokem

    Jamaa ako standi sio

  • @abdullaalwikabil3371
    @abdullaalwikabil3371 Před rokem

    Iko wapi serikali

  • @salimmohamed3603
    @salimmohamed3603 Před rokem

    Balozi alichelewa sana kuwajibika

  • @janeongala6684
    @janeongala6684 Před rokem

    Waindi wanashida sana

  • @mwaserarashid5451
    @mwaserarashid5451 Před rokem +1

    Hawa watu mabahatia wana ni chekesha sana heti ameishia darasa la tatu

    • @yonicdontah6392
      @yonicdontah6392 Před rokem +3

      We hata kuandika hujui, uliishia la ngap?

    • @farikkaqueen2367
      @farikkaqueen2367 Před rokem

      @@yonicdontah6392 la kwanza 😂😂😂😂

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před rokem

      @@yonicdontah6392 Noma labda ana form six kichwani 🤣

  • @mwaserarashid5451
    @mwaserarashid5451 Před rokem

    Sasa wakati huo walikuwa wadogo walielewaje kwa haraka izo nchi ama walikuwa wana tumia map

    • @Chemba67
      @Chemba67 Před rokem

      WALIKUA WANAJIENDEA TU BORA LIENDE KAMA ULIVYOSIKIA NCHI WANAZONASA, MARA SOMALI, THAILAND, VIETNAM, PAKISTAN,MOZAMBIQUE, SOUTH AFRIKA,ANGOLA INDIA NCHI AMBAZO KIUKWELI KAMA WANGEKUA WANAJUA WASINGEKUBALI MAANA NCHI ZOTE HIZO WENYEJI WAO WAMECHOKA SASA WEWE MGENI UTAYATOA VIPI. WACHACHE SANA WALIONASA NCHI ZENYE MAISHA.

  • @saadiaahmed7624
    @saadiaahmed7624 Před rokem

    Yemen alikua kijiji au mji gani atupe history kidogo ya hizo nchi somalia na yemen

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 Před rokem +1

    Unapata watu sahihi na story zao ila hujui kuuliza maswali ya msingi na hauendi na flow ya story

    • @Sheisparis
      @Sheisparis Před rokem +1

      Wee mjinga kweli ivi unadhani hii KAZI ni rahisi kama unavodhani😏😏😏😏😏 waulize wewe kama unaona simple nyooooo😏😏😏

    • @salehkhamis3000
      @salehkhamis3000 Před rokem +1

      Nenda kaulize wewe watz sijui mna shida gan yan kila kitu kukosoa tu

    • @yusufally5168
      @yusufally5168 Před rokem +1

      Wewe acha chuki zakijinga tafuta pesa acha makasiriko fara wewe. Jamaa anahoji vizur Sana wewe ukitaka ahoji swali kama lipi?? Isco yuko poa na hiki kipindi wewe ndokwanza ucheki Leo sisi kila cku tunaangalia mahojiano yake acha kuwa na roho mbaya wewe pasipo hitajika.

    • @husseinibnuhassan1272
      @husseinibnuhassan1272 Před rokem

      @@yusufally5168 media ni kazi yangu inanipa kula nauwezo wakulisha familia yako nikawa hata baba yako

    • @yusufally5168
      @yusufally5168 Před rokem

      @@husseinibnuhassan1272 Sawa sio tatizo kuwa baba lakini je unajitambua? Kama wewe mtu WA media huwezi andika comment mbovu ambayo haina uweredi. Unakosoa kitu hukijui brother usiwe na roho kama hiyo. Isco anafanya vizur Sana na ndokazi yake kumbuka ameajiliwa so usiandike comment ambayo inaweza kumtia rawama officen kwake.

  • @gharbbllato7703
    @gharbbllato7703 Před rokem

    Mbona hulizi miaka ilikua mwaka gn

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 Před rokem

    One love Eeeesco

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Před rokem

    Mzeee jmbee sanaaa

  • @kassimsalum1479
    @kassimsalum1479 Před rokem +1

    Nawapata kutoka 🇧🇷🇧🇷🇧🇷 🙏

  • @cchimodzi3858
    @cchimodzi3858 Před rokem

    Kipindi kizuri sana

  • @onesmochuwa2996
    @onesmochuwa2996 Před 3 měsíci

    Vp

  • @muhogomchungu1265
    @muhogomchungu1265 Před rokem

    🇹🇿👍

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg Před rokem

    6

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před rokem

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️

  • @gurishaahadi1786
    @gurishaahadi1786 Před rokem

    Qz

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 Před rokem +1

    czcams.com/video/pJaEMzAh9gs/video.html
    KISOMO KIKUBWA CHA AYA ZA RUQYAH HUANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI NA MIKOSI NA VIFUNGO ..,.*#*#*#
    czcams.com/video/pJaEMzAh9gs/video.html

  • @farikkaqueen2367
    @farikkaqueen2367 Před rokem

    Somalians we're not racist like y'all tanzanian ppl.

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 Před rokem +1

      Tanzanian we're not racist too yr welcome my friend

    • @farikkaqueen2367
      @farikkaqueen2367 Před rokem

      @@amiriramadhan7753 remember what happened to hamza?

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 Před rokem

      @@farikkaqueen2367 it's about him and police bro and all of us when that issue happens we feeling so bad & sad ,and we're with hamza side an till now bro Tanzanian police are fucking bullshit as hell!!

    • @fredybundala2336
      @fredybundala2336 Před rokem +1

      Hamza was shooting police without any clear reasons

    • @farikkaqueen2367
      @farikkaqueen2367 Před rokem

      @@fredybundala2336 you called those 4 polices?? lmfaooo more likely waizi wakubwa took his stuff that’s why. what kind of police officers getting killed it by they’re own weapons❓⁉️❔😂😂😂

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 Před rokem +1

    czcams.com/video/pJaEMzAh9gs/video.html
    KISOMO KIKUBWA CHA AYA ZA RUQYAH HUANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI NA MIKOSI NA VIFUNGO ..,.*#*#*#
    czcams.com/video/pJaEMzAh9gs/video.html