Asee mzee nakuombea mungu akufanikishe uweze kulipa.iliwatu wanao jua kuhukumu waaibike
god otaru Mambo vipi?
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
He is vry educated , clever and hardworking man . Nice inspirational speech to learn what life holds .
Mzee kasoma Elimu ya Juu Sana,Kuliko Watu wengi sana Tanzania,#Salute OG
GOD BLESS YOU
Mzee nimekuelewa vilivyo uko smart sana, hapo ndo tofauti ilipo kati ya kusoma na kuelimika na kusoma kuongeza miaka shuleni.
Pole sana mzee wetu nimejifunza kitu kupitia ww kwamba usimzarau mtu kwa muonekano wake
hujafa hujaumbika, kweli mzee kateseka sana
TUMSIFU JOACHIM Mambo vipi?
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Wanaokudharau, sku moja watakusalimia kwa heshima. Ukweli utajulikana tu... but huyu baba yuko vizuri sana. Big_up kwake Atainuliwa. Mungu kaamua kumfungulia milango kwa njia hiyo.
sbuhanna allh pole babu kwa yaliyo kukuta nmekupenda bure babu ang
😘😘😘😘
Mariam Oman Assalamualaikum!
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Mungu wangu. Umenitoa machozi Dr. Shika roho inaniuma Sana. Pole Sana. Mungu akusaidie upate pesa zako zote utimize Marengo yako .mungu anakupenda Sana. Kwa hiyo atakusaidia sana
Aaaaahhh safi sana doctor.
R.I.P our Dad !!Nenda salama tuko nyuma yako🙏🙏
Sasa nimemuelewa mzee jmn, heshima kwako Dr, Pole sanaaaa umekutana na mambo mengi kimaisha katika nchi za watu mpaka inaonekana hauko sawa kiakili. Mungu akupe nguvu
Asante Millard kwa hii habari. We are very quick to judge before hearing someone out. Sasa reputation imechafuka and He has already been through so much. A book is never to be judged by its cover. Hope his story has a better ending now that his story is out.
Millard MPE hela huyu mzee umetengeneza pesa nyingi sana mungu anakuona ujue
Mathayo Matondo Mambo vipi?
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Nimemuelewa sana huyu mzee. Kiukweli anachosema kina ukweli ndani yake. Mtu muongo anaonekana tu hata kwa macho. Mi naamini haya maneno yake yote ni ya kweli.
Alafu mtu muongo hawezi rudia kitu hicho hicho kila enterview angekuwa anasahau maneno mengine
Dah... kama hii ni kweli... basi mjomba kapitia misukosuko ya kutosha... pole sana jomba.... Lkn pia tusisahau kauli mbiu yake "Suala la kukaa peke yako halikubaliki"😅😅
Bakari M Akida Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Nimegundua mzee amesoma sana ndo maana anavaa simple sana...daaah pole sana mzee tusamehe watanzania wote
athman luanda , you are really true
Wasomi wako simple, pia hata Dada msomi nywele simple, njoo umuangalie mwny cheti cha kuzaliwa tu utajua balaa nywele mavazi km taahra wa Ufilipino
Men Of The Year Dr Lewis I salute you
Pole mzee wangu kwa yaliyokukuta, na mwenyez Mungu aendelee kukulnda.... I love you.
He is smart and has a family great thing!!that is real genius🔥🔥
Sawa mzee mungu akusimamie sana!!!! Daaaaaa!!! aya bana duuuu!!!!!
Mungu akulaze mahalo pema lnshaallah
Millard ayo nakukubali mnooo kwa habari mzuri na zaukweli sio kama wengine wanatafuta watazamaji kwa habari za uwongo mungu akulinde na akusimamie kazi zako vyema
Tusizarau watu tusio wajua kwa muonekano wao tuu sio vzr jaman dah mzee yuko tmamu tuu pole babu wng
Assalamualaikum!
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Pole sana baba! Nimejifunza kitu maisha mwangu, samahani sana kwani nami nilikua miongoni wa wasiokuamini. Sasa na najuta ila nimejifunza, usimdharau umsiemjua wala usimcheke!
Sasa nimegundua kwanini unaishi maisha yale, sasa kumbe bado umgonjwa wa mbavu kutokana na mateso makali. Hata meno na vidole walikutoa. Hakika Mungu ni mwema. Natamani ningekuona tu ningefurahia moyoni. Wewe ni sawa na umri wa baba ngu ingawa alishatangulia mbele za haki. Naomba Mwenyezi Mungu awaseheme wote waliokukebehi. Kumbe usilolijua kama usiku wa Giza. I promise nikifika Tz nitafanya juu chini nikitafute.
Dr. Shika yaonyesha ni mtu makini sana, na msomi mzuri. Pongezi kwako mheshimiwa.
Heshima kwako Baba We do respect you so much na Mungu anakupenda sana Na ndio maana mpaka Leo upo
Usimdhalau mtu kwa kumuona tu ujui yupoje. Big up mzee baba upo vizuli
Kinachotokea mtandaoni ndio lilikuwa lengo lake na alisubili sana nafasi hii na imejitokeza. Haikuwa rahisi kupata Masaada bila ya kufanya hivi. Kwa hili Kama nizo pesa zipo serikal itamsaidia. Salute kwako dr shika
comedy kitaa Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Ooh my God ,mungu akusaidie buda
Pole Sana mungu akupe maisha marefu zaidi hapa duniani Amina
Asante Milard Ayo, Jana nilisema jamani mwacheni mzee afunguke ana mengi ya kushare. Maskini mpaka chozi limenitoka kwa kweli utajiri wafaa nini kama maisha yako yko hatarini. Baadhi tulisema kuna vitu behind the scene sio bure. Mnaona sasa. So Mzee ameona maisha ya kukaa amejificha hayatamsaidia na angeweza pengine hata kufa bila hata kujulikana. Nakumbuka kamanda wa Police Dar es salaam Mambosasa alimkebehi huyu Mzee kwamba mtu mwenye kavaa ndala hela atatoa wapi, Hii Kauli ilitupa shida tulio wengi.
Cha kumshukuru Mungu ni kwamba Mzee yuko hai na Afya yake itarejea tu. Amefanya jambo la maana sana kusema ukweli. Mi nahisi bado anayo mengi mpeni tu Kipindi afunguke na kadiri anavofunguka ndivyo chances za kusurvive zinaongezeka.
Du pole Sana Baba yetu, Mungu Azidi kukupigania na Akubariki zaidi, akupe furaha na Amani kwa Maisha yako
Daaah R.I.P Dr shika pumzika kwa Amani
Pole sana Dr Shika nimekuelewa sana mzee. Wewe ni mtu mwenye busara na hekima tofauti na wanavyokuelewa kimtazamo.
nimemuelewa sana Dr Millard Ayo msaidiye huyuu mzee
mbinu za watekaji na namna ya kusepa! asante docta.." shikilia kengele mbwa hatabweta"
Huyu mzee kiukweli nimetokea kumuelewa sanaaaa
Huyu mzee inaonekana alikuwa na pes , ila sasa mambo sio baada ya mambo fulani aliyopitia
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Pole sana MZEE nimesikitika tujifunze Kitu vijana
Mungu akutie nguvu katika mambo ako
mzee yuko vizuri sana anajua kujieleza tusimdharau tusie mjua
charles abednego Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Pole mzee yote maisha...mungu ndo muweza wa kila jambo
😢 😢 😢 😢 😢 😢 😢 kwenyekipigo pole sana mzee
mzeee huyo anakili sana hata kujielezea anajua kweli huyu ni doctor of philosophy
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
So smart kichwani
Dah!! Maisha Haya!! Cha Msingi Ni Kumuomba Mungu Tu Akufanyie Wepesi Kwenye Kutafuta Rizki Yako!! Maana Hakuna Anayejua Kesho Yake! Pole sana Doctor Historia Ya Maisha Yako Inasikitisha Sana!! Mungu Akusimamie Inshaallah
mpen kipindi clauds jamaa ana ongea vitu vya kweli kabisa story yake ina sisimua sana naamini walisikiliza watanzania wata jifunza mengi sana
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Degree Nne.... Mzee Daktari haswaa...
Si mchezo
kweli usimzarau usie najuwa, pole sana babu kwayote yalokukuta Mungu atakulipia yote hayo
Mzee yuko poa sana sana 👏👏👏👏
Woooi jamani duniani kuna watu wabaya mi mpka mwili umekauka...pole sana Mzee Allah atakusimamia kila kitu utokea kwa sababu...+254 Mombasa
Dr shika kaeleweka sana.... kwel ucmzarau ucye mjua.... katupa elimu (Ukishindika kengele zako mbwa javelin) na (ucmtazame alye lala ataamua) Hatariiii.
OMG, I'm moved!
big up sana unahitaji kujiriwa serikalin
Nimemkumbuka wajinaaaa ,Kama unamkumbuka Dr wa falsafa like twenzetu tukanunue nyumba
This man is smart we shouldn't underate him. Kama mtu nk mwongo maelezo yake huwa hujulikana tu.
pole Mzee tumekuelewa.Allah atakulipa kwa hizi zulma walizo kufanyia.Sasa nyinyi muliomzalau mumeona MTU alivyokuwa yuko lakini,je MTU ambae ana akili a naweza kuwa na kumbukumbu kiasi hiki?kutokan na hii mitihani aliyopita ndio imuathiri kisakolojia lakini bado anajitambua
Abdallah Hemed Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Dua yangu na iwe mbele yako daima mzee wangu
Tuna shukuru xna mzee wetu ww ni mtanzania mwenzetu tunaomba serikali imsaidie huyu mzee nimtu mzuri mwenye nia yakuleta maendeleo
Pole sana Dr.
mungu anakuongoza
pole sana baba angu duu umepitia mitihani mingi ila mungu yupo nawe baba imeniuma sana wallah.
Ingekuwa mbele tayari watayarishaji wa kubwa na makampuni makubwa ya Filamu yangekuwa tayari yapo location januari tunasubiria movie mupya ya Dr Louis S Kid. Ila kwa hapa kwetu Bongo lala ni balaa watayarishaji wa filamu wanataka watutengenezee filamu zao za mtu katoka bush huko kakutana na demu wa kishua alaf anafanikiwa kimaisha (hizo ni bangi). Stori ya huyu mzee ni Bonge la filamu la kupiga hela na kujitofautisha kimtazamo na utayarishaji wa filamu.
he is very smart and technical.......bt some shit happens..
Pole sana dunian kuna viumbe vinaroho ngumu sana sana,binadamu anakuwa zaid ya wanyama wenye miguu minne,nimeumiumia sana kwa dhulma.eee mungu zitie roho zetu Iman.
Pole Sana Mnzee wangu Mungu you po.
We mzee noma nimekuelewa sana
Pole sana baba. Mungu aendelee kukulinda
*Touch story. Then usimdharau usiemjua kwakweli. Binafsi nimemuelewa. Mbali na changamoto alizopitia lkn ki saikolojia yuko okay, imagine wewe unakutana na vitu kama hivyo. Pole mzee ndio dunia. Nashauri serikali wamuangalie kwa jicho la tatu, hapo aliposema anataka kuhamishia kampuny nchini kwani akifanikiwa means atatoa ajira kwa vijana wa kitanzania wasio na ajira.*
HAYA NI MAISHA NDIYO UMUHIMU WA KUMJUA BWANA YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU HALLELUIYAH.. KUWA VIZURI SANA KATIKA MAISHA YA KIROHO.. THAT'S ALL WHAT MATTERS
Naomba kuuliza
Huyu Dr L.S Kid, kwa wale mmefuatilia maelezo yake kwenye You tube. Inaonekana ni kichwa sana ila kuna misukosuko alopitia kulingana na maelezo yake. Je hamna jinsi yoyote serikali Inaweza kufanya kufuatilia ukweli na endapo wakagundua kasema ukweli hamna jinsi ya kumsaidia akarudi kwenye form yake, Dr Shika ni rasilimani adimu sana, tukiacha ikapotea hivi hivi kwa kweli ni dhambi hata mbele za Mungu. Naomba kuwasilisha
Kaza mzee wangu usijali tupo pamoja sema nini mzee wangu kiki yako nzuli sana
mzee yuko makini kwanza anajua kujieleza pili anajua kunyoosha maelezo so good mzee
ingekuwa movie ingependeza
Wow, what an amazing story...
toa na kitabu mzee iwe historia ya watanzania maana walio wengi hawaelewi kuwa umepitia mitihani mingi sana duu pole sana.
naamini huyu mzee ni billionaire kweli, he knows how to explain his self dah nlikerwa na yule afande aloongea pumba kwa kumjaj mtu kimuonekano ata kabla ya kucheki hii
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
nimemuelewa sanaaa..Anahitaji msaada...wap mr presdent
pole sana Dr Luis. binafsi nimekuelewa.
Dah maskini, mzee anastori ya kusikitisha sana nimestruggle sana kumaliza dakika zake19:38 inasikitisha japo mwisho kuna kautani kidogo. Ila nimejifunza vitu vipya 3 leo toka kwa huyu mzee. Moja ni Shikiria kengele aka "mbupu" mbwa mkali habwaki( hii ni kwa sie boys tu)
2. Shika kitovu nyoka mkali hakusogelei kabisa
3. Usimtazame usoni mtu aliyelala utamwamsha
joji georige Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Nimepata somo pia je kwa wanawake unashikilia Nini? Unapopita kwenye mbwa wakali?
Dr Luiz Shika...👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👍
Tajiri Dr luis
mungu akuongezee umri baba
Huyu mzee afuatiliwe vizuri inaonekana kuna mambo mengi ndani yake..ni kama msema kweli hiviii
900 Itapendezaaa 😊😊
Nimekupenda to the extent Na Mwenyezi Mungu Anisamehe Kwa pale nilipolopoka kuhuxu mia TSA inapendeza
pole sana aise, inavyoonekana maisha uliyo ptia ndo yamekufanya uwe hvo. ila ukwl inaonyesha kuwa ww ni mtu msomi na umeelimika, wanachotakiwa kukufanyia ni kukupatia msaada ili upate stahiki zako..!!
Poleni mzee wangu
Millard uko vzr na utafika mbali sanaaaaaaaa kwa kazi nzur unayoifanya
Mzeeeeee ukooo vzriiiii kbsaaa yaan
Jaman tujifunze kukaa na jambo kabla ya kuropoka bila kufanya uchunguz ona xaxa jaman mzee wa watu, watu wameongea meng mwixho ukwel umeanza kujitenga na uongo!! daaa! pole xana Dr Luis mung yuko pamoja na ww.
kidole kimeniumaaa mimi hikooo!! hapana jamani.. mateso ya mwenye haki ni mengi lakini Bwana humponya nayo yooote!! Unakwenda kupokea muujiza wako Dr Louis!!
Pole sana, mungu ameshawalipa tuzo yao
To be honest nimekoma kufuata mkumbo na kuchukulia watu poapoa wallah tunajudge vitu kwa impression za physical appearance ndio maana si maisha,mapenzi na mengineyo "impression" inatesa watu na kuwa soooo judgemental...forgive my manners Dr louis
Wavanilla tz Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Pole sana mzee hapo nimekuelewa
Pole sana mzee wangu,
#makini umetisha Sana mzee baba good for life
heshima yako dr Shika naomba serikali imsaidie
lugha yako mzee nimeipenda Sana kama kunauwezekano serekali yetu impe ajira mzee nakupongeza umesoma
pole sana mzee wangu
Ndugu zangu PhD ya MEDICAL SCIENCE sio ya kipole pole, Kama kusoma inabidi uwe Kichwa Sana Yaan, Ifike Time Tumpe HESHIMA huyu Mzee Amesoma Sana. He's very Innocent, Obedient, Smart kichwani.. RESPECT ndio kitu cha kumpa huyu Mzee Msifanye TOYI
Benson Frank kweeeliiii kaka uyuuuu mzeeee kiboko
Benson Frank kwer
Dahhh nimemkubali huyu Mzee iinauma sana na itabid aangaliwwe jaman PhD sio mchezo mmchezo
good broo kwakumuelew mzee
Benson Frank Tell Them,,