Komentáře •

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 Před 6 lety +196

    Ndugu zangu PhD ya MEDICAL SCIENCE sio ya kipole pole, Kama kusoma inabidi uwe Kichwa Sana Yaan, Ifike Time Tumpe HESHIMA huyu Mzee Amesoma Sana. He's very Innocent, Obedient, Smart kichwani.. RESPECT ndio kitu cha kumpa huyu Mzee Msifanye TOYI

  • @godotaru7088
    @godotaru7088 Před 6 lety +22

    Asee mzee nakuombea mungu akufanikishe uweze kulipa.iliwatu wanao jua kuhukumu waaibike

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 Před 6 lety

      god otaru Mambo vipi?
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @gadsonogega3774
    @gadsonogega3774 Před 6 lety +4

    He is vry educated , clever and hardworking man . Nice inspirational speech to learn what life holds .

  • @chobaray
    @chobaray Před 6 lety +4

    Mzee kasoma Elimu ya Juu Sana,Kuliko Watu wengi sana Tanzania,#Salute OG
    GOD BLESS YOU

  • @zahabujoseph6584
    @zahabujoseph6584 Před 6 lety +1

    Mzee nimekuelewa vilivyo uko smart sana, hapo ndo tofauti ilipo kati ya kusoma na kuelimika na kusoma kuongeza miaka shuleni.

  • @irenelyimo3215
    @irenelyimo3215 Před 6 lety +4

    Pole sana mzee wetu nimejifunza kitu kupitia ww kwamba usimzarau mtu kwa muonekano wake

  • @tumsifujoachim5877
    @tumsifujoachim5877 Před 6 lety +30

    hujafa hujaumbika, kweli mzee kateseka sana

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 Před 6 lety

      TUMSIFU JOACHIM Mambo vipi?
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @bettyowiti397
      @bettyowiti397 Před 3 lety

      Rip..

  • @deusmadel3283
    @deusmadel3283 Před 6 lety +10

    Wanaokudharau, sku moja watakusalimia kwa heshima. Ukweli utajulikana tu... but huyu baba yuko vizuri sana. Big_up kwake Atainuliwa. Mungu kaamua kumfungulia milango kwa njia hiyo.

  • @mariamoman7593
    @mariamoman7593 Před 6 lety +22

    sbuhanna allh pole babu kwa yaliyo kukuta nmekupenda bure babu ang
    😘😘😘😘

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 Před 6 lety

      Mariam Oman Assalamualaikum!
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @elastomsigala5153
      @elastomsigala5153 Před 6 lety

      Mariam Oman

    • @mariamoman7593
      @mariamoman7593 Před 6 lety

      +Elasto Msigala hi

  • @veronicasarvatory9516
    @veronicasarvatory9516 Před 6 lety +3

    Mungu wangu. Umenitoa machozi Dr. Shika roho inaniuma Sana. Pole Sana. Mungu akusaidie upate pesa zako zote utimize Marengo yako .mungu anakupenda Sana. Kwa hiyo atakusaidia sana

  • @denisrwebangira136
    @denisrwebangira136 Před 6 lety +2

    Aaaaahhh safi sana doctor.

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 Před 3 lety +6

    R.I.P our Dad !!Nenda salama tuko nyuma yako🙏🙏

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před 6 lety +2

    Sasa nimemuelewa mzee jmn, heshima kwako Dr, Pole sanaaaa umekutana na mambo mengi kimaisha katika nchi za watu mpaka inaonekana hauko sawa kiakili. Mungu akupe nguvu

  • @foryourglory3041
    @foryourglory3041 Před 6 lety +3

    Asante Millard kwa hii habari. We are very quick to judge before hearing someone out. Sasa reputation imechafuka and He has already been through so much. A book is never to be judged by its cover. Hope his story has a better ending now that his story is out.

  • @mathayomatondo4024
    @mathayomatondo4024 Před 6 lety +35

    Millard MPE hela huyu mzee umetengeneza pesa nyingi sana mungu anakuona ujue

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 Před 6 lety

      Mathayo Matondo Mambo vipi?
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 Před 6 lety +107

    Nimemuelewa sana huyu mzee. Kiukweli anachosema kina ukweli ndani yake. Mtu muongo anaonekana tu hata kwa macho. Mi naamini haya maneno yake yote ni ya kweli.

  • @bakarimakida1145
    @bakarimakida1145 Před 6 lety +36

    Dah... kama hii ni kweli... basi mjomba kapitia misukosuko ya kutosha... pole sana jomba.... Lkn pia tusisahau kauli mbiu yake "Suala la kukaa peke yako halikubaliki"😅😅

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 Před 6 lety

      Bakari M Akida Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @emanuelmaando4753
      @emanuelmaando4753 Před 4 lety

      Bakari M Akida nimeelewwa

  • @a.j9964
    @a.j9964 Před 6 lety +6

    Nimegundua mzee amesoma sana ndo maana anavaa simple sana...daaah pole sana mzee tusamehe watanzania wote

    • @abdallasabour5034
      @abdallasabour5034 Před 6 lety

      athman luanda , you are really true
      Wasomi wako simple, pia hata Dada msomi nywele simple, njoo umuangalie mwny cheti cha kuzaliwa tu utajua balaa nywele mavazi km taahra wa Ufilipino

  • @adaash6591
    @adaash6591 Před 6 lety +2

    Men Of The Year Dr Lewis I salute you

  • @cosmaspaul8452
    @cosmaspaul8452 Před 6 lety +2

    Pole mzee wangu kwa yaliyokukuta, na mwenyez Mungu aendelee kukulnda.... I love you.

  • @paulmshabaha6356
    @paulmshabaha6356 Před 6 lety +4

    He is smart and has a family great thing!!that is real genius🔥🔥

  • @yaledimlawa9108
    @yaledimlawa9108 Před 6 lety +2

    Sawa mzee mungu akusimamie sana!!!! Daaaaaa!!! aya bana duuuu!!!!!

  • @chichijuma1466
    @chichijuma1466 Před 3 lety +1

    Mungu akulaze mahalo pema lnshaallah

  • @josephvictor6871
    @josephvictor6871 Před 6 lety +1

    Millard ayo nakukubali mnooo kwa habari mzuri na zaukweli sio kama wengine wanatafuta watazamaji kwa habari za uwongo mungu akulinde na akusimamie kazi zako vyema

  • @zainabbakari3603
    @zainabbakari3603 Před 6 lety +59

    Tusizarau watu tusio wajua kwa muonekano wao tuu sio vzr jaman dah mzee yuko tmamu tuu pole babu wng

    • @kyaro5945
      @kyaro5945 Před 6 lety +1

      Zainab Bakari polis walimdharau

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 Před 6 lety

      Assalamualaikum!
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @janethlilja9975
    @janethlilja9975 Před 6 lety +1

    Pole sana baba! Nimejifunza kitu maisha mwangu, samahani sana kwani nami nilikua miongoni wa wasiokuamini. Sasa na najuta ila nimejifunza, usimdharau umsiemjua wala usimcheke!
    Sasa nimegundua kwanini unaishi maisha yale, sasa kumbe bado umgonjwa wa mbavu kutokana na mateso makali. Hata meno na vidole walikutoa. Hakika Mungu ni mwema. Natamani ningekuona tu ningefurahia moyoni. Wewe ni sawa na umri wa baba ngu ingawa alishatangulia mbele za haki. Naomba Mwenyezi Mungu awaseheme wote waliokukebehi. Kumbe usilolijua kama usiku wa Giza. I promise nikifika Tz nitafanya juu chini nikitafute.

  • @samkabaysa6487
    @samkabaysa6487 Před 6 lety +1

    Dr. Shika yaonyesha ni mtu makini sana, na msomi mzuri. Pongezi kwako mheshimiwa.

  • @cammyris2168
    @cammyris2168 Před 6 lety +3

    Heshima kwako Baba We do respect you so much na Mungu anakupenda sana Na ndio maana mpaka Leo upo

  • @omarymasoudykisondo389
    @omarymasoudykisondo389 Před 6 lety +2

    Usimdhalau mtu kwa kumuona tu ujui yupoje. Big up mzee baba upo vizuli

  • @comedykitaa
    @comedykitaa Před 6 lety +2

    Kinachotokea mtandaoni ndio lilikuwa lengo lake na alisubili sana nafasi hii na imejitokeza. Haikuwa rahisi kupata Masaada bila ya kufanya hivi. Kwa hili Kama nizo pesa zipo serikal itamsaidia. Salute kwako dr shika

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 Před 6 lety

      comedy kitaa Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @lucylavender2584
    @lucylavender2584 Před 6 lety +1

    Ooh my God ,mungu akusaidie buda

  • @veronicasarvatory9516
    @veronicasarvatory9516 Před 6 lety +3

    Pole Sana mungu akupe maisha marefu zaidi hapa duniani Amina

  • @kato_tz
    @kato_tz Před 6 lety +3

    Asante Milard Ayo, Jana nilisema jamani mwacheni mzee afunguke ana mengi ya kushare. Maskini mpaka chozi limenitoka kwa kweli utajiri wafaa nini kama maisha yako yko hatarini. Baadhi tulisema kuna vitu behind the scene sio bure. Mnaona sasa. So Mzee ameona maisha ya kukaa amejificha hayatamsaidia na angeweza pengine hata kufa bila hata kujulikana. Nakumbuka kamanda wa Police Dar es salaam Mambosasa alimkebehi huyu Mzee kwamba mtu mwenye kavaa ndala hela atatoa wapi, Hii Kauli ilitupa shida tulio wengi.
    Cha kumshukuru Mungu ni kwamba Mzee yuko hai na Afya yake itarejea tu. Amefanya jambo la maana sana kusema ukweli. Mi nahisi bado anayo mengi mpeni tu Kipindi afunguke na kadiri anavofunguka ndivyo chances za kusurvive zinaongezeka.

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před 4 měsíci

    Du pole Sana Baba yetu, Mungu Azidi kukupigania na Akubariki zaidi, akupe furaha na Amani kwa Maisha yako

  • @blasskameta944
    @blasskameta944 Před 3 lety +5

    Daaah R.I.P Dr shika pumzika kwa Amani

  • @basharahamtzhalisi6871

    Pole sana Dr Shika nimekuelewa sana mzee. Wewe ni mtu mwenye busara na hekima tofauti na wanavyokuelewa kimtazamo.

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 Před 6 lety +1

    nimemuelewa sana Dr Millard Ayo msaidiye huyuu mzee

  • @gracekihampa3350
    @gracekihampa3350 Před 6 lety +1

    mbinu za watekaji na namna ya kusepa! asante docta.." shikilia kengele mbwa hatabweta"

  • @immaruzige1845
    @immaruzige1845 Před 6 lety +91

    Huyu mzee kiukweli nimetokea kumuelewa sanaaaa

    • @mansheshe8258
      @mansheshe8258 Před 6 lety +1

      Wewe Kama Mimi vile

    • @winniechoyo4072
      @winniechoyo4072 Před 6 lety +1

      IMANI ELIAZARY mi pia

    • @danielpatrickrobert125
      @danielpatrickrobert125 Před 6 lety

      Huyu mzee inaonekana alikuwa na pes , ila sasa mambo sio baada ya mambo fulani aliyopitia

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 Před 6 lety

      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @abuuyahya8864
      @abuuyahya8864 Před 5 lety

      Imma Ruzige huyu Mzee muongo

  • @balozibalozi5257
    @balozibalozi5257 Před 6 lety +2

    Pole sana MZEE nimesikitika tujifunze Kitu vijana

  • @josephfather2890
    @josephfather2890 Před 6 lety +1

    Mungu akutie nguvu katika mambo ako

  • @charlesabednego9424
    @charlesabednego9424 Před 6 lety +23

    mzee yuko vizuri sana anajua kujieleza tusimdharau tusie mjua

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 Před 6 lety

      charles abednego Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @gugutachief2950
    @gugutachief2950 Před 6 lety +1

    Pole mzee yote maisha...mungu ndo muweza wa kila jambo

  • @boscomuyinga2164
    @boscomuyinga2164 Před 6 lety +3

    😢 😢 😢 😢 😢 😢 😢 kwenyekipigo pole sana mzee

  • @timothwaitara4458
    @timothwaitara4458 Před 6 lety +89

    mzeee huyo anakili sana hata kujielezea anajua kweli huyu ni doctor of philosophy

  • @masakakambesha4521
    @masakakambesha4521 Před 6 lety +6

    So smart kichwani

  • @karimhemed9261
    @karimhemed9261 Před 6 lety

    Dah!! Maisha Haya!! Cha Msingi Ni Kumuomba Mungu Tu Akufanyie Wepesi Kwenye Kutafuta Rizki Yako!! Maana Hakuna Anayejua Kesho Yake! Pole sana Doctor Historia Ya Maisha Yako Inasikitisha Sana!! Mungu Akusimamie Inshaallah

  • @perfecthilarymbewa5968
    @perfecthilarymbewa5968 Před 6 lety +62

    mpen kipindi clauds jamaa ana ongea vitu vya kweli kabisa story yake ina sisimua sana naamini walisikiliza watanzania wata jifunza mengi sana

    • @issamakoba1608
      @issamakoba1608 Před 6 lety

      hilary mbewa

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 Před 6 lety

      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 Před 6 lety +11

    Degree Nne.... Mzee Daktari haswaa...
    Si mchezo

  • @masharamadhanmashaka6571
    @masharamadhanmashaka6571 Před 6 lety +1

    kweli usimzarau usie najuwa, pole sana babu kwayote yalokukuta Mungu atakulipia yote hayo

  • @faridmobji
    @faridmobji Před 6 lety +2

    Mzee yuko poa sana sana 👏👏👏👏

  • @ckukuu8404
    @ckukuu8404 Před 6 lety

    Woooi jamani duniani kuna watu wabaya mi mpka mwili umekauka...pole sana Mzee Allah atakusimamia kila kitu utokea kwa sababu...+254 Mombasa

  • @omarisaid1315
    @omarisaid1315 Před 6 lety

    Dr shika kaeleweka sana.... kwel ucmzarau ucye mjua.... katupa elimu (Ukishindika kengele zako mbwa javelin) na (ucmtazame alye lala ataamua) Hatariiii.

  • @emmanuelyandu1608
    @emmanuelyandu1608 Před 6 lety +2

    OMG, I'm moved!

  • @youngdady7901
    @youngdady7901 Před 6 lety +1

    big up sana unahitaji kujiriwa serikalin

  • @luispeter3736
    @luispeter3736 Před 3 lety

    Nimemkumbuka wajinaaaa ,Kama unamkumbuka Dr wa falsafa like twenzetu tukanunue nyumba

  • @elymollel
    @elymollel Před 6 lety

    This man is smart we shouldn't underate him. Kama mtu nk mwongo maelezo yake huwa hujulikana tu.

  • @abdallahhemed3527
    @abdallahhemed3527 Před 6 lety +43

    pole Mzee tumekuelewa.Allah atakulipa kwa hizi zulma walizo kufanyia.Sasa nyinyi muliomzalau mumeona MTU alivyokuwa yuko lakini,je MTU ambae ana akili a naweza kuwa na kumbukumbu kiasi hiki?kutokan na hii mitihani aliyopita ndio imuathiri kisakolojia lakini bado anajitambua

    • @yohanamartin9012
      @yohanamartin9012 Před 6 lety

      Abdallah Hemed

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 Před 6 lety

      Abdallah Hemed Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @mussakipete6371
    @mussakipete6371 Před 6 lety +1

    Dua yangu na iwe mbele yako daima mzee wangu

  • @khamiskombo1149
    @khamiskombo1149 Před 6 lety

    Tuna shukuru xna mzee wetu ww ni mtanzania mwenzetu tunaomba serikali imsaidie huyu mzee nimtu mzuri mwenye nia yakuleta maendeleo

  • @remedymoody
    @remedymoody Před 6 lety

    Pole sana Dr.

  • @breymbasa8647
    @breymbasa8647 Před 6 lety +1

    mungu anakuongoza

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996

    pole sana baba angu duu umepitia mitihani mingi ila mungu yupo nawe baba imeniuma sana wallah.

  • @sebamabee5228
    @sebamabee5228 Před 6 lety +5

    Ingekuwa mbele tayari watayarishaji wa kubwa na makampuni makubwa ya Filamu yangekuwa tayari yapo location januari tunasubiria movie mupya ya Dr Louis S Kid. Ila kwa hapa kwetu Bongo lala ni balaa watayarishaji wa filamu wanataka watutengenezee filamu zao za mtu katoka bush huko kakutana na demu wa kishua alaf anafanikiwa kimaisha (hizo ni bangi). Stori ya huyu mzee ni Bonge la filamu la kupiga hela na kujitofautisha kimtazamo na utayarishaji wa filamu.

  • @DrNyamwiMSMD
    @DrNyamwiMSMD Před 6 lety +3

    he is very smart and technical.......bt some shit happens..

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 Před 5 lety

    Pole sana dunian kuna viumbe vinaroho ngumu sana sana,binadamu anakuwa zaid ya wanyama wenye miguu minne,nimeumiumia sana kwa dhulma.eee mungu zitie roho zetu Iman.

  • @sulejiTv
    @sulejiTv Před 6 lety

    Pole Sana Mnzee wangu Mungu you po.

  • @amoseliud6515
    @amoseliud6515 Před 6 lety +2

    We mzee noma nimekuelewa sana

  • @samuelmuhindosivamwanza4988

    Pole sana baba. Mungu aendelee kukulinda

  • @khalfansimba9610
    @khalfansimba9610 Před 6 lety +15

    *Touch story. Then usimdharau usiemjua kwakweli. Binafsi nimemuelewa. Mbali na changamoto alizopitia lkn ki saikolojia yuko okay, imagine wewe unakutana na vitu kama hivyo. Pole mzee ndio dunia. Nashauri serikali wamuangalie kwa jicho la tatu, hapo aliposema anataka kuhamishia kampuny nchini kwani akifanikiwa means atatoa ajira kwa vijana wa kitanzania wasio na ajira.*

    • @bbakzuvciIii
      @bbakzuvciIii Před 3 lety

      HAYA NI MAISHA NDIYO UMUHIMU WA KUMJUA BWANA YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU HALLELUIYAH.. KUWA VIZURI SANA KATIKA MAISHA YA KIROHO.. THAT'S ALL WHAT MATTERS

  • @winniechoyo4072
    @winniechoyo4072 Před 6 lety +7

    Pole kwa matatizo mzee Wang

  • @emmanuelkanje7585
    @emmanuelkanje7585 Před 6 lety

    Naomba kuuliza
    Huyu Dr L.S Kid, kwa wale mmefuatilia maelezo yake kwenye You tube. Inaonekana ni kichwa sana ila kuna misukosuko alopitia kulingana na maelezo yake. Je hamna jinsi yoyote serikali Inaweza kufanya kufuatilia ukweli na endapo wakagundua kasema ukweli hamna jinsi ya kumsaidia akarudi kwenye form yake, Dr Shika ni rasilimani adimu sana, tukiacha ikapotea hivi hivi kwa kweli ni dhambi hata mbele za Mungu. Naomba kuwasilisha

  • @mustafamaulidi869
    @mustafamaulidi869 Před 6 lety +1

    Kaza mzee wangu usijali tupo pamoja sema nini mzee wangu kiki yako nzuli sana

  • @youngmau923
    @youngmau923 Před 6 lety

    mzee yuko makini kwanza anajua kujieleza pili anajua kunyoosha maelezo so good mzee

  • @benedictmsami4966
    @benedictmsami4966 Před 6 lety +2

    ingekuwa movie ingependeza

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca Před 6 lety

    Wow, what an amazing story...

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996

    toa na kitabu mzee iwe historia ya watanzania maana walio wengi hawaelewi kuwa umepitia mitihani mingi sana duu pole sana.

  • @kingzed7763
    @kingzed7763 Před 6 lety +41

    naamini huyu mzee ni billionaire kweli, he knows how to explain his self dah nlikerwa na yule afande aloongea pumba kwa kumjaj mtu kimuonekano ata kabla ya kucheki hii

  • @edithakaaya7551
    @edithakaaya7551 Před 6 lety

    nimemuelewa sanaaa..Anahitaji msaada...wap mr presdent

  • @upendomunisi9482
    @upendomunisi9482 Před 6 lety

    pole sana Dr Luis. binafsi nimekuelewa.

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Před 6 lety +28

    Dah maskini, mzee anastori ya kusikitisha sana nimestruggle sana kumaliza dakika zake19:38 inasikitisha japo mwisho kuna kautani kidogo. Ila nimejifunza vitu vipya 3 leo toka kwa huyu mzee. Moja ni Shikiria kengele aka "mbupu" mbwa mkali habwaki( hii ni kwa sie boys tu)
    2. Shika kitovu nyoka mkali hakusogelei kabisa
    3. Usimtazame usoni mtu aliyelala utamwamsha

    • @amimubecha3241
      @amimubecha3241 Před 6 lety

      joji georige pamoja kaka, pamoja sana.

    • @minharhocuma5264
      @minharhocuma5264 Před 6 lety

      na ya nne "kukaa mwenyewe haikubaliki"

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 Před 6 lety

      joji georige Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @mwaijatvonline895
      @mwaijatvonline895 Před 5 lety

      Nimepata somo pia je kwa wanawake unashikilia Nini? Unapopita kwenye mbwa wakali?

    • @sabinamagesse2013
      @sabinamagesse2013 Před 3 lety

      Dah

  • @ngussa7513
    @ngussa7513 Před 6 lety +1

    Dr Luiz Shika...👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👍

  • @jayproducts5871
    @jayproducts5871 Před 6 lety +3

    Tajiri Dr luis

  • @agnesmoriss7463
    @agnesmoriss7463 Před 6 lety

    mungu akuongezee umri baba

  • @danielsiasa459
    @danielsiasa459 Před 6 lety +1

    Huyu mzee afuatiliwe vizuri inaonekana kuna mambo mengi ndani yake..ni kama msema kweli hiviii
    900 Itapendezaaa 😊😊

  • @cammyris2168
    @cammyris2168 Před 6 lety

    Nimekupenda to the extent Na Mwenyezi Mungu Anisamehe Kwa pale nilipolopoka kuhuxu mia TSA inapendeza

  • @emanueljuma1139
    @emanueljuma1139 Před 6 lety

    pole sana aise, inavyoonekana maisha uliyo ptia ndo yamekufanya uwe hvo. ila ukwl inaonyesha kuwa ww ni mtu msomi na umeelimika, wanachotakiwa kukufanyia ni kukupatia msaada ili upate stahiki zako..!!

  • @mukeshaemmerance3358
    @mukeshaemmerance3358 Před 6 lety

    Poleni mzee wangu

  • @leonardqamunga2141
    @leonardqamunga2141 Před 6 lety

    Millard uko vzr na utafika mbali sanaaaaaaaa kwa kazi nzur unayoifanya

  • @shadrackmnjelu5285
    @shadrackmnjelu5285 Před 6 lety

    Mzeeeeee ukooo vzriiiii kbsaaa yaan

  • @emanuelkvannyii8268
    @emanuelkvannyii8268 Před 6 lety

    Jaman tujifunze kukaa na jambo kabla ya kuropoka bila kufanya uchunguz ona xaxa jaman mzee wa watu, watu wameongea meng mwixho ukwel umeanza kujitenga na uongo!! daaa! pole xana Dr Luis mung yuko pamoja na ww.

  • @dorahmoya4854
    @dorahmoya4854 Před 6 lety +3

    kidole kimeniumaaa mimi hikooo!! hapana jamani.. mateso ya mwenye haki ni mengi lakini Bwana humponya nayo yooote!! Unakwenda kupokea muujiza wako Dr Louis!!

  • @brownschmidt4532
    @brownschmidt4532 Před 4 měsíci

    Pole sana, mungu ameshawalipa tuzo yao

  • @officialkissmiva9778
    @officialkissmiva9778 Před 6 lety +48

    To be honest nimekoma kufuata mkumbo na kuchukulia watu poapoa wallah tunajudge vitu kwa impression za physical appearance ndio maana si maisha,mapenzi na mengineyo "impression" inatesa watu na kuwa soooo judgemental...forgive my manners Dr louis

    • @thomasbikemo8252
      @thomasbikemo8252 Před 6 lety

      Wavanilla tz same as me mkuu mzee nimemuelewa

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 Před 6 lety

      Wavanilla tz Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @niaanthony9588
    @niaanthony9588 Před 6 lety

    Pole sana mzee hapo nimekuelewa

  • @saighilunyangusi4986
    @saighilunyangusi4986 Před 5 lety

    Pole sana mzee wangu,

  • @hancy_boy255
    @hancy_boy255 Před 3 lety

    #makini umetisha Sana mzee baba good for life

  • @moodymo2213
    @moodymo2213 Před 6 lety

    heshima yako dr Shika naomba serikali imsaidie

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson4174 Před 6 lety

    lugha yako mzee nimeipenda Sana kama kunauwezekano serekali yetu impe ajira mzee nakupongeza umesoma

  • @dativarutta4346
    @dativarutta4346 Před 6 lety

    pole sana mzee wangu