🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2022
  • 🔴#LIVE: BAHARIA ALIYETOSWA BAHARINI AKIWA HAI, Asimulia MATESO ALIYOPITIA NUSU AFE | MAPITO PART 2..
    KARIBU kutazama kipindi cha MAPITO kinacholetwa kwako na GLOBAL TV kila wiki, Leo tumetembelewa na Kijana Bashir Bashir, mkazi wa Mabibo jijini Dar es Salaam, ni miongoni mwa vijana waliowahi kuzamia meli na hapa anasimulia mikasa mbalimbali aliyokutana nayo katika harakati zake za kuzamia meli.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 91

  • @sadamissa5687
    @sadamissa5687 Před 2 lety +9

    Huyu jamaaa anatakiwa ahojiwe na media kama millardayo ana vitu sana , huyu maza anafeli kumuuliza maswali

    • @barakatabdul3212
      @barakatabdul3212 Před rokem

      Kabisa bro

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 4 měsíci

      Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekuambia na kukudanganya kuwa muhuni ni lazima avute bange au madawa , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na kukutawala akili mwako pamoja na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni ? , au mwenzetu umekulia vijijini ? loooooh na ndio unashanga neno uhuni , ebu nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na wengine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa sifahamu jinsi yalivyo na yanavutwaje .kwasababu wewe zoba na punguani hasidi hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na lakini wala si wahuni na wala hawana hayo matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni wenyewe

  • @deepconcept2020
    @deepconcept2020 Před 2 lety +1

    Mtangazaji unahoji vizuri, keep it up, comments zisikushushe moyo

  • @hashmseif2184
    @hashmseif2184 Před 2 lety +4

    Hujui kumuhoji mtu kabisa

  • @kelvinevarist8801
    @kelvinevarist8801 Před 2 lety +3

    Hujui kuhoji sister samahani lakini.

  • @boblatino3899
    @boblatino3899 Před 2 lety +5

    Jamaa anamadini sana ila mtangazaji anakosea kumuoji ajafanya utafiti kabisa

  • @adolphyamin1245
    @adolphyamin1245 Před 2 lety +3

    Simulizi kama hiz huwa napenda sana kuskiliza zina mafunzo

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Před 2 lety +3

    Huyu angeachwa ajielezee mwenyewe...mtangazaji maswali hayakuwa na umuhimu

  • @africano98.
    @africano98. Před 2 lety +2

    Mtangazaji waki anaharib story damn shubakengemti

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 Před rokem +1

    Bashiru ana vitu vingi vingi vimejificha sema dada ana moto haendi nae kihekima.

  • @sulleyally5040
    @sulleyally5040 Před 2 lety +1

    Ayo tv na dar24 dupa mdupange mtafuteni Huyu jamaa ana madini sanaaa

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Před 2 lety +4

    Ungemuacha aelezee mwenyewe siyo kumuhoji

  • @hamisaabdalah6232
    @hamisaabdalah6232 Před 3 měsíci

    Napendaga saaaaana hz stor sarut kwako Bashir

  • @dsuzerbweko4148
    @dsuzerbweko4148 Před rokem

    Dah noma aisee hiyo yakutiwa kwenye kiroba alafu mzima alafu unatupwa kwenye maji...umekwishaa...

  • @chudomzungu7482
    @chudomzungu7482 Před 2 lety +2

    Bab kubwa twahitaji part3

  • @markmwaghogho9226
    @markmwaghogho9226 Před 2 měsíci

    Dada hujui kuhoji kabisaaaaa

  • @amirclassic8326
    @amirclassic8326 Před rokem

    Safi Sana lakini baharia asikiki vizuri asogelee mic

  • @nabrycedawood6860
    @nabrycedawood6860 Před rokem

    Unamuingilia sana ssa unamfundisha maisha yake hauna lolote

  • @hashmseif2184
    @hashmseif2184 Před 2 lety +3

    Unamuhoji mtu unaenda mbele una ludi nyuma hatukuelew

  • @fadhilially7357
    @fadhilially7357 Před 5 měsíci

    NDANDA LUBEBELA BASHIRI KUTOKA MABIBO BEACH ❤

  • @africano98.
    @africano98. Před 2 lety

    Bashir yuko real G

  • @lucyfred2649
    @lucyfred2649 Před rokem +1

    Anaemuhoji anazingua

  • @sulaimanhemed4045
    @sulaimanhemed4045 Před 2 lety +1

    Huyu mdada anazingua kweli yaani unajua hasomeki..!

  • @hashmseif2184
    @hashmseif2184 Před 2 lety +1

    Story nzuli anaye muhoj hayupo

  • @athumanimtajih
    @athumanimtajih Před 2 lety

    Part 1 jaman,mbona sijaiona

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir5127 Před rokem

    Stori za uongo

  • @kanyika14kanyika16
    @kanyika14kanyika16 Před 2 lety +5

    Vijana tunapitia changamoto nyingi. Mimi Nina mkasa mzito kuhusu safari yangu ya Mbagala Kiburugwa 🤣🤣

  • @muhitiraamissy7198
    @muhitiraamissy7198 Před 2 lety +1

    waburundii badoo tupoo kwa mzee dizoongaa uyoo ni jeshii kashapitiya life ngumuu

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 Před 2 lety +1

    Hii kazi ya kuhoji mabaharia mwachie yule jamaa wa Ughaibuni wewe dada hujui kuhoji unaboa

  • @hashmseif2184
    @hashmseif2184 Před 2 lety

    Dada hujui kutangaza

  • @tonyytelala3096
    @tonyytelala3096 Před 2 lety

    Mbona tunaishi vizuri south Africa 🇿🇦🇿🇦

  • @mwananchipicha3212
    @mwananchipicha3212 Před rokem

    Jamaa anastory mzuri ila anayemuhoji alitakiwa afahamu mazingira ya Mabaharia na wazamiaji ndo ingekuwa bomba

  • @albethoildefonce9117
    @albethoildefonce9117 Před 2 lety

    Mtangazaji anaonesha kuwa na huruma sana,ndio maana hata anapoteza confidence hivi

  • @hawaaabdallah6586
    @hawaaabdallah6586 Před 2 lety

    Maswali unayoyauliza yakijinga sana hata huendani na kazi yenyewe

  • @kalangwapaschal7718
    @kalangwapaschal7718 Před rokem

    Kijana huyo,ana kitu hidden behind

  • @evancemayala1576
    @evancemayala1576 Před 2 lety

    Mwandishi hujui kumfanyia mtu interview

  • @alimjahidsuo6524
    @alimjahidsuo6524 Před 2 lety +2

    Mkuu siyo pekee mpanda mitenga ujue kunao waboti boti wanaskikiza msg zako lkn jaribu ujielewe kwa za na kama ulikua unatafuta Kiki fresh.. Kwa maneno yako unavyoengea unaonekana umeyapata kwa stowaway original lkn sio wewe.. =na kwa wanaoishi South Africa Kuna wastaarabu na washenzi pengine wewe uliangukia ushenzini samahani kwa kutumia lugha kali kidogo

  • @MohamedAli-ho5fq
    @MohamedAli-ho5fq Před rokem

    Mimi ninayo stori yangu nilizamia meli.mwaka 1987 December katika bandari ya Kenya mombasa.inaitwa port kilindini .maisha ya Mombasa yalikuwa magumu Sana . nchini kanya nilifungwa mara mbili mara ya Kwanza nilifungwa miezi 6 kwa kosa lakuishi nchini Kenya bila kibala.baada ya kutoka jela sikurudi nyumbani nakaendelea kukaa Kenya ni kashikwa tena na nikafungwa miezi mitatu katika jela baridi inaitwa majengo Preson.baada ya kumaliza kifungo changu sikurudi nyumbani.nikaona apa nitakufa kwa maisha Aya nikaamua nipande meli yoyote intakayoi jua kama inaondoka
    Nilipata habari kwamba kuna meli ya wachina inaondoka kesho yake .nikaenda pale get no 9 usiku kama saa Saba nikapanda ngazi

  • @zainabshabani2669
    @zainabshabani2669 Před 2 lety +1

    Bashir ndava Lubebera Skupingii kaka Msafiri KAFILI

    • @SHEIKHMWAIPOPOTV
      @SHEIKHMWAIPOPOTV Před 2 lety

      Hapana huyo kijana anamatatizo hakuna mzazi asie penda mtoto huyu kijana sio mtu mzuri anashida Sana kwanza bange anaonekana anavuta

  • @Chemba67
    @Chemba67 Před 2 lety

    Global Tv .....kuna mshkaji kama mtapata muda mtafuteni ana simulizi nyingi mno za kibaharia ...........waweza nicheki

  • @dsuzerbweko4148
    @dsuzerbweko4148 Před rokem

    Ila mwamba nimemkubali muuni flani hv...

  • @venancjoseph1498
    @venancjoseph1498 Před 2 lety

    Kweli kaka inshope nimefika Mimi naishi huku msumbiji

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před 2 lety +1

    Mtangazaji kazingua maswali yake yanenda mbele na kurudi nyuma ila huyu kaka ana mambo mengi yakuelezea jamii tukajifunza ingefaa km milard akamuhoji tupate kujifunza

  • @hamisaabdalah6232
    @hamisaabdalah6232 Před 3 měsíci

    Hivi huwa wanalipwa kidogo baada ya kuhojiwa

  • @emmanuelbukuku1
    @emmanuelbukuku1 Před 2 lety +1

    we reporter embu mind your interviewing ethics unataka aseme nn sasa zaidi ya hayo a expose kila kitu kuhusu familia yake....kasha ongea kuhusu ubaharia....mambo ya familia ataongea akipenda na kwa limit yake....Eish

  • @Zaikadena
    @Zaikadena Před 2 lety

    Dada unafanana na brenda fasi

  • @shaulitangaugulumo1597

    Basi bb yako labda pesa zake za masharti na alikuwa anataka ufe lkn mizimu inakulinda

  • @esherjumaa4982
    @esherjumaa4982 Před 2 lety

    Ndava ckupingi kaka unaongeaga vitu quality kabisa

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza9113 Před rokem

    Siyo bahari sema mzamiaji

  • @julianusjameskimodoi4186

    Taja kampuni ya Meli ndugu zake wafungue kesi ubaficha ninii sasa

  • @hassanibanzi9322
    @hassanibanzi9322 Před 2 lety

    Dada hajui kuhoji kabisa mpaka anaboa

  • @magrethmanintveld5477
    @magrethmanintveld5477 Před 2 lety

    Baalia, baharia

  • @sulleyally5040
    @sulleyally5040 Před 2 lety +1

    Dupa mdupange wa dar 24 tv unamuachaje huyu jamaa ?

  • @faithreed861
    @faithreed861 Před rokem

    Jee huyo baba yake bado yu hai ??

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 2 lety

    Wahuni tunauchungu sana na familia zetu sema rahia hawatujui tu, mimi before nilikua naonekana mvuta bange tu lakini leo Mungu kanijalia nipo kiwanjani na nawapiga tag ndugu zangu

    • @husseingabo5497
      @husseingabo5497 Před rokem

      Sasa kama we ni muhuni SI unatakiwa ubadilike we unaona kula bangi ni ujanja ndio mnavyodanganyana jinga kabisa wewe

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 4 měsíci

      Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekumbia muhuni ni lazima avute bange au madawa ? , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni , au mwenzetu umekulia vijijini na ndio unashanga neno uhuni , ebe nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na engine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa yanavutwaje .kwasababu wewe zoba hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na si wahuni na wala hawana hao matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni,

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 4 měsíci

      ​@husseingabo5497 Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekubia muhuni ni lazima avute bange au madawa , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni , au mwenzetu umekulia vijijini na ndio unashanga neno uhuni , ebe nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na wengine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa yanavutwaje .kwasababu wewe zoba hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na si wahuni na wala hawana hao matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni,

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 4 měsíci

      ​@husseingabo5497 Wewe mpuuzi na masikini wa akili hivi ni nani aliyekuambia na kukudanganya kuwa muhuni ni lazima avute bange au madawa , Je kwaanza unafahamu maana ya uhuni ni nini ? Wewe ushamba ndio unaokusumbua na kukutawala akili mwako pamoja na maisha ya mtindo wa kokoloni haujui kama wapo viongozi wahuni huko mabungeni ? na haujui kama wapo Marais wahuni ulimwenguni na ata katika nchi yako waliopititia katika huo uhuni ? , au mwenzetu umekulia vijijini ? loooooh na ndio unashanga neno uhuni , ebu nenda kwa wazee wa kariakoo magomeni na sinza wakakuambie history ya rais wako mstafu jakaya kikwete ambaye aliyekuwa muhuni na wengine wengi, Mshamba umekariri vibaya sana eti muhuni mpka uvute bange wewe mshamba kweli kweli, mimi nilikulia katika wauhuni na ata leo hiyo bange sijui jinsi inavyosokotwa , ata madawa sifahamu jinsi yalivyo na yanavutwaje .kwasababu wewe zoba na punguani hasidi hamfahamu kama kuna watu wanavuta bange na lakini wala si wahuni na wala hawana hayo matendo ya kihuni na wengine wapo huko mabungeni pamoja na hao wahuni wenyewe

  • @alimjahidsuo6524
    @alimjahidsuo6524 Před 2 lety

    Mshkaji unajitahid ktk maongezi lkn unakosoro. Ya wazazi alafu kama mbeach bichi acha kuwaponda wazazi iwe bimkubwa au mdigi.. Ukumbuke msela uko kwenye social media huyo ni ushamba... Umeongea fresh mdigi kakupa ujasiri lkn sio kumuongelea utumbo.. Oyaa za wapi hizo

  • @beckooh
    @beckooh Před 6 měsíci

    Mdada mtangazaji mpuuzi kwel😂

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před rokem

    Huyu dada atakuwa beki Tatu, siyo mwandishi

  • @bonita329
    @bonita329 Před rokem

    mtoto wa kiume ni wa mama sio baba.
    na mtoto kike ni wa baba

  • @djnangaxtwo2975
    @djnangaxtwo2975 Před 2 lety

    Mtangazaji chenga😁😁😂😂

    • @leahlucas479
      @leahlucas479 Před 2 lety

      Yaani badala aulize ilikuwajekuwaje mkatekwa, ulikuwa ukaweza kutoroka , ulipata mikasa gani huko njiani ulikuwa pekeyako ? Je ulifikampaka nchigani? Au ulifanikiwa kufika South Afrika moja kwa moja.
      Yaani jmn huyu mama

    • @sadamissa5687
      @sadamissa5687 Před 2 lety

      @@leahlucas479 interview moja mbovu sana , i never seen before

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Před 2 lety

    vipindi kama hivi muache mtu ajielezee mwenyewe

  • @adamngulube8296
    @adamngulube8296 Před rokem

    Bashir katoa taarifa za uongo huyo dah!

  • @diolindanativo7268
    @diolindanativo7268 Před 2 lety

    Jamaa alikuwa kwenye kundi la chakama ni kama kundi au chama pizani kama ccm na cuf

  • @robertoantonio5682
    @robertoantonio5682 Před rokem

    Huyu mtazaji chenga

  • @hawaaabdallah6586
    @hawaaabdallah6586 Před 2 lety

    Yaani watangazaji saivi bora msisomee huo utangazaji hamjui kuuliza maswali kabisaaa mnaboa mnauliza maswali nje ya mada mwangalien millard ayo anavyohoji maswali mkoje nyie

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 2 lety

    Dupa mdupange

    • @justineibrahim9567
      @justineibrahim9567 Před rokem

      Dada hajafanya utafit kujua historia ya mabaharia na jinsi ya kuwahoji maswaliii jamaaa anaokana na story nyingi sana

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Před 2 lety

    Unaoji Kama unadeka...unaoji Kama unaongea..sauti sio ya kuoji maswali ya kijinga