MBANGA PART1: Aliyezamia meli asimulia "wote walikufa/ tulikaa kwenye injini' | Dar24 Media

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #baharia #mbanga #comoro
    Ni jamaa alojaribu kuzamia meli kwenda visiwani Mayotte akipitia njia za magendo huko visiwa vya Comoro.
    Alipitia mengi hapa katikati kama kuuza dawa na mengine lakini alikamatwa mwisho wa siku akarudishwa Tanzania na sasa anauza mihogo koko beach hebu

Komentáře • 74

  • @stn4873
    @stn4873 Před 2 lety +2

    Daaaaah KINONDONI moja Hiyoooo, watoto wa TOWN bata kibao mamae, unaweza ukatamani maisha ya mtu hela nyingi kumbe ma deal ya maghendo.

  • @jemamhagama4978
    @jemamhagama4978 Před 3 lety +2

    Kuna mabaharia na wazamiaji hao ni wazamiaji! Baharia ni profession

  • @stn4873
    @stn4873 Před 2 lety +2

    Huyu Mwamba akikutana na mjinga mjinga mjini anampiga hela kizembe sana, maana anaongea kishenzi.

  • @aqssaomarynizwa9738
    @aqssaomarynizwa9738 Před 3 lety +7

    Usha kua ongea kama mtu mzima Bana

  • @solomonsesso393
    @solomonsesso393 Před 2 lety +1

    Jamaa muongo sana huyo,Visiwa vya Mayotte haviko karibu na Ufaransa ila ni koloni la Ufaransa, Mayotte mbaka Ufaransa ni mbali sana

    • @mickdadyronaldo4113
      @mickdadyronaldo4113 Před 2 lety

      Kabla ujajibu sikiliza vizuri ndo ucomment 🤣amekuambia kua kisiwa kina milikiwa na wafaransa

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Před 3 lety +3

    Mwinuka wakwanza baharia😂😂😂😂

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma5046 Před 3 lety +2

    I'm really storwway Africa to marekani

    • @dupamdupange5918
      @dupamdupange5918 Před 3 lety +1

      nitafute kwenye namba hii 0653127761...ili tuongee vizuri kuhusu kipindi

  • @hawarama5533
    @hawarama5533 Před 3 lety +3

    Kwakweli Maisha magum saana Mimi mwenyewe Niko na mikasa mingi sana lakini sijuwi utanipata vipi kutokana Niko mbali kidogo na Tanzania nipo south African Cape town

  • @charlz4617
    @charlz4617 Před 3 lety

    Safi Sana home iyo makambako to iringa southern highland zone

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 Před 3 lety +1

    Duuh hongeran napoleni pia

  • @Abrahamtherealife
    @Abrahamtherealife Před 3 lety +1

    Kwenye maisha kitu cha kwanza unatakiwa kuondosha tamaa za maisha haraka halfu tafuta maisha bila ya kulazimisha vitu

  • @rubnagadafi8367
    @rubnagadafi8367 Před 3 lety +2

    🤣🤣🤣hii lugha jmn kumbambanya

  • @edrickniwamanya9968
    @edrickniwamanya9968 Před 4 lety

    Nakubali aiseee mbele mbele yao kujiamini

  • @quindotto2931
    @quindotto2931 Před 3 lety

    Nakubali

  • @nahishakieathumani5041
    @nahishakieathumani5041 Před 3 lety +2

    Nalibu Mayotte brother

  • @danielgudaga2183
    @danielgudaga2183 Před 3 lety

    Daaah wanging'ombe

  • @stn4873
    @stn4873 Před 2 lety

    Kwa Zulu Natal🔥🔥🔥🔥

  • @clayssondotto5938
    @clayssondotto5938 Před 3 lety

    💥

  • @shabaniguma8696
    @shabaniguma8696 Před 3 lety

    Huyu travellers mfuko kishenzi nikija bongo lazima niende coco beach kwenye mihongo nipenge story nae story za ng'ombe

  • @anawa4326
    @anawa4326 Před 3 lety

    Loooo ⚓️⚓️⚓️🙌🏼👍🏼👊🏼👊🏼👊🏼👊🏼

  • @KULKID
    @KULKID Před 3 lety

    💣

  • @hafidhdrogba3392
    @hafidhdrogba3392 Před 3 lety

    We bonge mchawi kweli.yan unataja sehem nyonge nyonge alafu kiumen tmk kwa washishi umesahau vo wew

    • @mkumbuyasaidi2118
      @mkumbuyasaidi2118 Před 3 lety +1

      We ndio mchawi huwezi kulazimisha mtu ataje sehemu ambayo hana ishu nayo

  • @erickmoses6395
    @erickmoses6395 Před 3 lety

    Hivi huyu mtangazaji wa mbanga na Chalamila mkuu wa mkoa wa Mbeya ni ndugu au?

  • @danielbarickmunishi3785
    @danielbarickmunishi3785 Před 3 lety +2

    Kingereza cha plaster chaku unga unga

  • @bignic18
    @bignic18 Před 4 lety +1

    Schoolmate Mwongozo 1996

  • @hatibuathuman1178
    @hatibuathuman1178 Před 4 lety

    Hahaha wanyumbani haya mwinuka

  • @mouhamadiibrahim9021
    @mouhamadiibrahim9021 Před 3 lety

    kaka tuambie comores kisiwa gani ulikuwa maana kuna visiwa vitatu cha nne mayotte

  • @suleymanially974
    @suleymanially974 Před 3 lety

    Brother unapotea sana tuletee kila cku hizo stori za mabaharia

    • @dupamdupange5918
      @dupamdupange5918 Před 3 lety +1

      kila siku za jumamosi usikose kutazama dar24media utakutana na story kali

  • @shabbyofficial_
    @shabbyofficial_ Před 3 lety +2

    Mjomba anaongea sana 😂😂😂

  • @mamumakamba4963
    @mamumakamba4963 Před 3 lety

    Jamani kumbe nimesoma nae ila cmkumbuki

  • @davydmlay3264
    @davydmlay3264 Před rokem

    Na uwakika huyu jamaa ana story nyingi

  • @kareemalamoody6345
    @kareemalamoody6345 Před 3 lety

    Comorians ni wangazija kwa kiswahili

  • @hamadimwinyi2146
    @hamadimwinyi2146 Před 3 lety

    Wee jamaa kuhoj story ujui .......ww fany umuache aadisie full story unamkatisha san

  • @jemamhagama4978
    @jemamhagama4978 Před 3 lety

    Mbena huyo kama mwinuka!

  • @binmbarouk7246
    @binmbarouk7246 Před 3 lety

    Mwataka tudanganya tu maana sjuwi nani amkuja kutowa hiyo stry

  • @vincentmokenye4465
    @vincentmokenye4465 Před 3 lety +1

    Mbona hawa wasamiaji wajanjawajanja 🤣🤣🤣

  • @edrickniwamanya9968
    @edrickniwamanya9968 Před 4 lety +1

    Kombolo nani kasikia

  • @mwinukafundibombanjombe

    Ndugu yangu unaushawishi wa kuendelea kukusikiliza

    • @dupamdupange5918
      @dupamdupange5918 Před 3 lety +1

      usikose kutazama kila siku za jumamosi kipindi kitakuwa hewani

  • @tanzaniaboxing1051
    @tanzaniaboxing1051 Před 4 lety +1

    Mbn part 2 amjatoa wazee vip

  • @maxmiliantv1159
    @maxmiliantv1159 Před 3 lety +1

    Onga kama mtu mzima

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 Před 3 lety

    we bonge ni ng'ombe tu acha kupakazia mabaharia fala we

  • @eliasbihemo2425
    @eliasbihemo2425 Před 3 lety

    Hahahaa combolo

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Před 3 lety

    Mbona hakuna part 2

    • @dupamdupange5918
      @dupamdupange5918 Před 3 lety

      ipo tazama vizuri na usikose kutazama kila siku za jumamosi kipindi huwa kinapanda

  • @nahishakiyeassuman5541

    Wewe usingesema kama wewe Comoros ungesema ata mtanzania

  • @alikingzofficial9007
    @alikingzofficial9007 Před 4 lety +1

    Hii nayo kali usikose kuitizimaczcams.com/video/pGPGG2Dr9hY/video.html

  • @ahmedchuchu389
    @ahmedchuchu389 Před 3 lety

    una store mwaka 1996 hakuna lakuchumpa siyo baharis hiyo

    • @skulfees5453
      @skulfees5453 Před rokem

      Reboq timberland mbona midundo long time

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 Před 3 lety

    Simchezo

  • @ramadhanjumanne8882
    @ramadhanjumanne8882 Před 4 lety +3

    Nikiwa mkubwa nataka kuwa blaza

  • @ringoaskali7625
    @ringoaskali7625 Před 3 lety

    Huyu mwinuka yupi sio yule wa mjombe

    • @stn4873
      @stn4873 Před 2 lety

      Ndio huyo huyo itakua.

  • @frollynyenza7220
    @frollynyenza7220 Před 3 lety +1

    Ocean road ni Kinondoni? Hahahaaaaaa.

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Před 3 lety

      Amesema amezaliwa ocean road hospital, lakini yeye ni wa kinondoni,,,sasa hujaelewa nini?

    • @mastaplan
      @mastaplan Před 3 lety

      Ocean road ipo wilaya gani?

    • @BUFFALO-A
      @BUFFALO-A Před 3 lety

      @@NR-ll4sr Si ndo hapo

  • @ruthkimaro6137
    @ruthkimaro6137 Před 3 lety

    Kombolo

    • @solomonsesso393
      @solomonsesso393 Před 2 lety

      Jamaa muongo sana huyo hivyo visiwa vya Mayotte wala haviko karibu na ufaransa, ni mbali sana toka Mayotte mbaka Ufaransa, ila ni koloni la mfaransa