Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1
Vložit
- čas přidán 7. 01. 2021
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
CZcams Link bit.ly/CZcamsSalamaNa
Muda si mrefu iliopita nilirudi nyuma kidogo kwenye kumbukumbu ya mawasiliano ya kwanza kabisa kati yangu na moja wa wasaidizi wake Mheshimiwa Jakaya Mrisho wa Kikwete na hiyo ilinirudisha nyuma mpaka mwezi wa tatu mwaka 2020. Kama mtu mwengine yoyote hii ilikua ndoto tu ambayo kwa Rehema na Baraka za Allah ilibidi itimie. Kwa Baraka zake hizo mimi na wenzangu tunashkuru sana sana kwa kuweza kulikamilisha hili.
Shukran za dhati ziende kwa Doris Mollel ambaye kwa msaada wa Sadam ‘Almando’ Sanare alinimbia Doris anaweza akatu unganisha na mmoja wa wasaidizi wake ili tuweze kuona kama tunaweza pata hii nafasi, na kama ujuavyo, mengine yote yamebaki kuwa historia tu tena, maana yametimia.
Mimi kama wewe tu, shabiki nambari moja wa Jakaya Mrisho Kikwete na kukutana naye, kukaa naye chini na kuweza kumuuliza maswali tuliyokua tumeyaandaa (kwa muongozo wao) ilikua raha isiyoelezeka. Mzee charming, mwenye roho nzuri na muelewa kabisa. Mengine yalofuata baada ya hapo ndo ambayo utayaona au kuyaskiliza katika maongezi yetu haya. Mengi yalikua ni juu ya yeye alivyokua na uelewa wake kwenye mambo mengi. I wish tungeweza kuongea nae kuhusu masuala meeengi zaidi kuhusu kiila kitu ila ki ukweli hii inatosha kwa sasa na Mungu atajaalia tutakutana naye tena siku nyengine In Shaa Allah.
Mheshimiwa JK aliongea nasi kuhusu Wazazi wake, elimu, uelewa wake wa mambo, yeye kuwa mwanajeshi. Jinsi alivyokutana na Mama Salma. Historia ya nyuma kidogo kuhusu mapenzi na jinsi Marehemu Mzee wake alivyomtaftia mke na kuzaliwa kwa mtoto wake wa kwanza ambaye ni Ridhwan. Kuhusu kitabu chake, mapenzi yake na basketball na muziki. Pia Kobe Bryant na mapenzi kwa wajukuu zake.
Kama ilivyo kawaida yetu, yangu matumaini utapata kadhaa humu ya kukufunza jambo. Na napenda kuchukua nafasi hii kumshkuru kila mtu ambaye alisaidia hilo kutimia na zaidi team yangu yote ya ‘YahStoneTown’ ambayo ilifanya kazi iliyotukuka kukamilisha hili.
Nikutakie Kheri ya mwaka mpya na kila lenye Kheri nawe.
Enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - Zábava
Best interview in 2021 Kama umependa like apa tufurai pamoja
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
Safiii namkubali Sana kikwete hyu mzee anajua kujieleza tumpe heshima yake nafatilia sana mengi kuhusu legend hyu🔥
The best president ever jk wa msoga tunakupenda Sana mh rais mstaafu uishi Sana mzee wetu tukikuona tunapata faraja watanzania
Kila ninapomuona mzee Jakaya najivunia utu, unyenyekevu, heshima, upole, usikivu, wa sisi Wakwere.
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
Tunaompenda baba JK gonga like
Salama is very talented, the way anavyoongea na muheshimiwa ni kama binti anaongea na babaake, her facial expression and the way she is enjoying the moment with mr. President! It is lovely! She is my star
Amejikaza kucheka
Heshima kubwa sana kwa my favorite pressident ww ni raisi wa dunia hizo interview wanafanya wakina obama
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra czcams.com/video/PY8aLdvh0CQ/video.html
Mbunge wangu wa muda wote wa Chalinze, Rais wangu Mstaafu na the best of the best, Mzee wangu na ninaye jifunza mambo mengi kwake. Mungu akujaalie ukamiishe kitabu chako ili tupate mambo yote ulopitia. Itakuwa bonge la kitabu
raisi wangu bora kabisa kuwahi kumuona very humble, mtu mwenye moyo safi na roho kunjufu mwenyezi mungu akuhifadhi raisi wa watu.
Hii customer service is extraordinarrrrry yani tumeletewa JK mezani...guys, let's send more tip!
czcams.com/video/XUVR261lcZY/video.html
Alafu kuna washenzi wamepress 👎. Watz tuna mdudu kichwani
@@lazaromtui1355 hawajielewi hao wanaopress
Kama unamkubali JK weka likes zako hapa tuone...
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
Daahh huyu mzee ALLAH amuhifadhi ampe afya njema ampe mwisho mwema na amsaameh makosa yake...JK mtu mwenye moyo wa kustahimili
Jk pole kwamlipoko
Jk pole kwamlipoko
czcams.com/video/XUVR261lcZY/video.html
Hakika mwamba
Nampenda huyu baba jamanii Allah amlinde
Raisi asiye ogopa kuhojiwa raisi mwenye kujitambua mcheshi daaah mic u our father
Mmmh hapa unamaana yake siyo!
Kwani huyo ni rais?? Au unataka kujenga hoja... nishajua unachotaka kumaanisha ni kwamba hata MAGUFULI akiachia kiti ruksa kufanyiwa intervew.
@@captendunga1392 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nionyeshe interview aliofanyiwa Kikwete akiwa Madarakani...!
Acheni mbwembwe..!
@@chiefmahucha6847 Zipo sana! Fanya usearch CZcams utaona.
Nimefurahia sana historia nzuri ya kiongozi wetu Mungu azidi kumpa maisha marefu na afya njema,hongera zake dada Salama kwa kipindi kizuri
One of the best presidents ever in our country's history. His humbleness, decency, dignity and character are unbelievable!
Trueeee
Leo hii kwavile hayupo tena madarakani dah! Watanzania sisi sijui mchawi wetu nani, maana karika maraisi ambae ameshambuliwa na wanasiasa dah! Mh! Kikwete anaongoza maisikini alipewa majima kibao mpaka wengine wakafikia kumuita raisi wa wanawake maana ndio waliomkubali nahapa nanukuu maneno ya zito kagwe bungeni aliwahi kusema raisi gani kazi kucheka cheka tu na kula bata raisi kila kukicha ulaya hana muda na mambo ya ndani ya nchi, ni ubaridhifu wa fedha za watanzania, na akatoa mpaka kiasi cha fedha zinazotumika raisi anaposafiri na group lake na akasema tunahitaji raisi mkali asiecheka na mtu na hatutaki raisi kila kukicha ulaya hata akiumwa na mafua ulaya, sasa amekuja kinyozi ananyoa kwa msumeno, na anafuata walichotaka wanasiasa ila leo hao hao wanamsifia Kikwete, wakati kinyozi kipicha kwanza amemaliza miaka 5 hatapanda ndege kwenda ulaya na ameumwa ametibiwa hapa na hata mke wake amelazwa bongo sio ulaya mpaka amepona.
@@davidcurtis8556 jiulize kwanini wasisifiwe hao wengine?.kubali tuu kikwete is the best,kwangu Mimi namwita baba kumpa heshima stahiki
@@jorampaulo7008 huo ndio mtazamo wako kwa namna nilivyolelewa nilifundishwa niheshimu mtazamo wa mtu, pili soma japo mistari mitatu tu utanielewa nini namaanisha, hata huyu aliopo madarakani akitoka atasifiwa na kuambiwa hakuna mzalendo kama yeye.
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra czcams.com/video/PY8aLdvh0CQ/video.html
Jk ni mcheshi Sana...m2 wa kufurahi, naenjoy sana kila nikitazama mahojiano yake, mungu azidi kumbariki na kheri juu yake
Jmn kusem kwel mpenzi wa Mungu huyu mzee napenda sana anavyoongea natamani asiache kuongea......but Salama hongera sana🙏🙏
Baba yetu kipenzi 🇹🇿❤️✅
Ukiskia wahenga ndio hao watu wa pwani wana maneno yenye busara kubwa ndani yake...like kwa rais wetu mstaafu
Jamani like zenu mimi ndo mara yangu ya kwanza kukoment kwa sababu hii ndio interview bora sio tu ya mwaka 2021 bari ya miaka 20 iliyopita na ijayo
Dada usiwasahau Mzee Mwinyi, Mama Maria Nyerere, mama Fatma Karume na mama Ana Mkapa nk kuwapa kipindi kama hiki. Ni raha kuwasikiliza hawa wazee wetu. Tuwaenzi. Hongera sana.
Baba yetu kipenzi m.mumgu akumpe umri mrefu na swalih na akusameh madhambi yako ameen.
Hii niliisubiri kwa hamu kubwa sasa acha niangalie kwa amani ❤
Salama unahitaji heshima kubwa sana ktk tasnia ya utangazaji,mungu akuongoze...hii ni kubwa kuliko
#JakayaKikwete💪
Hii nimeipenda salama your the best ww ni mwisho kwa kweli hakuna kama wewe
🥰much LOVE to our old president❤
Wewe kama unatak upepo kwenye nyumba ya makuti kajenge yako uishi... Hahaa we miss you hon JK
Kanichekesha
He’s humble and charming 🇹🇿❤️
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
Sijawahi ku comment kwa chanel hii..
It may take a lot to Express how I feel, but for few words (Thank you so much Guys, Mungu awabarikie team yote kwa kazi nzuri)..
Si kwamba kutoku comment huko kwingine haina maana kwamba sijapenda kazi zenu, uwa nazipenda, Leo nilipoona hii nimezidiwa mahaba...hongereni salama na Team nzima..
And another good thing about my favorite president he is a good narrator
LIVE LONG MR PRESIDENT
czcams.com/video/BAGyXHcRN-k/video.html
Hakika hii ndo interview ya kufungulia mwaka2021
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra czcams.com/video/PY8aLdvh0CQ/video.html
Salama hii interview umetutendea haki KABISA!
Mwenyezi MUNGU akutunze baba yetu tunakupenda ,tunakukumbuka sana kwenye uongozi wako thabiti na wenye huruma kwetu
A symbol for Democracy....In Tanzania and Africa....
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra czcams.com/video/PY8aLdvh0CQ/video.html
Hawa wazee wamefanya kazi kubwa sana nchi hii,tunapaswa kuwapenda ,kuwathamini ,kuwaheshimu, na tuwaombee mwisho mwema .
Daah...dadaangu Salama hongera sana kwa kutuletea Mh. JK.
Hatareeee
Uko sahihi MH. JK SIO ZAMANI WALA SASA TATIZO NI COMPATIBILITY . Your very right !
JK kama JK. Tunakutakia maisha marefu uendelee kutulea kama mmojawapo wa wazazi wa taifa letu. Feeling blessed
Respect to Our lovely President, respect to Salama jebir!
Watu wanaomshangilia Meko kuwa anafanya kazi kuliko Marais wote hao hao ndo naona wanakoment kummiss JK.Na kumuombea maisha Marefu kwa busara zake na uongozi wake uliotukuka, Watanzania tunapenda nini??!! Asante Sana Salama, Binafsi Viongozi Bora wa nchi hii Baada Ya Nyerere Ni Kikwete.
Hatari Sanaa's
Dada yanagu #salama nakubali unacho kifanya hadi #mrjakaya duh! hii #kubwa kuliko🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kazi nzuri salama unajua kuhoji haumkatishi mgeni big up
Nampenda sana JK wallah... My all time favorite person 😍 JK
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
😁😁😁😁😁😁
Jk a very good definition of a leader,so friendly,if I were to select again I will still choose you.
Jk tuna kukumbuka sana tupata raha ya maisha
👏👏👏
Miss you JK wallah Allah akupe afya bora na maisha marefu yenye baraka ndani yake
yoooooo.....
salaaaamaaaaa
you brought us J.K....
Nimeshangilia kama naangalia mechi ya simba na Yanga...
Love him😍
czcams.com/video/XUVR261lcZY/video.html
This is Major
Wat a Big Move On podcast Ohh I can't believe ni yeyeee Mr President. I love this game congratulations salama kubwaaa sana hii
0k
Good interview
Daah kumb hata president alikuwa hataki shule duuh chama la utoro tumepata mwenyekiti 🤣🤣
Hahahahà hahahahaha 😂😂😂😂😂
Mjumbe apa no 3
Hahaha Duh imebidi nicheke
Hahaha
Safi sana, heshima kwako Mzee JK, nimefurahi kumuona hapa 👏🙏
Kumbe zile doji za xkonga tumepita na mapresd
Aliyemaliza adi Mwisho Kama mm 👍
Wisely man, politely man & strong politician
Nice
Hii video inaenda kua trending mapema sanaa, Hongera sana salamaaa🔥🔥🔥
Duu yni kikwete mungu aendelee kumlinda jmani na mtangazaj salama jabir
czcams.com/video/XUVR261lcZY/video.html
Baba yetu Mungu akutunze saana was Tanzania tubakupenda saana
Salama wewe ni mkali sana, nimependa sana jinsi unavouliza maswali, Nakupenda sana.
JK THE SECOND ALLAH AMPE UMRI MREFU HUYU MZEE....
Nimekuja apa sababu ya kikwete Allah akupe umri mrefuuuu🤲🤲
Nakupenda sana JK
Very humble man 🙏🏾
Asante Salama kwa interview tumejifunza mengi
Niaje brooo
Aisee hongera mno Salama. This is huge. Nakupea zawadi ya subscription mamangu
Nakukumbuka sana baba yetu JK
We miss you JK..
Thank you Salama
Baba CJ. Mjomba anakunyoosha nini? Hahahah
czcams.com/video/BAGyXHcRN-k/video.html
Mungu wa hajabu sana Jk , Umenikumbusha mbali sana . uliyoyapitia mengi Mzee nimeyapitia Dah !!!
Wemzee umepitia mengi ndyomana mjanja sana unaelewa sana mtaa our former President Dr jakaya mrisho kikwete
Salama nilikuona jana ivi ulikua unashabikia azam ama mlandege? Alaf hongera kwa kumpata huyo mzee jk
Lol! Nice hair style keep up
Nampenda Sana huyu babajamani.I wish nikutane naye sikumoja.ntafurahi Sana. Nimcheshi,halingi,mzuri,tabasamu tamu.Mungu akulinde baba.
Jk Mungu azidi kukujalia afya njema ili uzidi kutufundisha mambo mengi ya mazuri katika huu ulimwengu nimependa Sana mahojiano haya. 🙏🙏
Waoooooooooooh leo coment ya 7 asante sana dada Salama kwa kutuletea mtu mashuhuli na kipenzi cha watu kama huyu
The legendary himself! JK
Mh yupo huru sana . i like it
Safi sana
Salama wewe ni mkali sana, nimependa sana jinsi unavouliza maswali, Nakuoenda sana.
Jamani muheshimiwa anazungumza vizuri 😍😍 we still missing you 😙😙
Najaribu kumtafsiri JK. Mtu ambae hajioni, hajisikii, anajua utu. Nashangaa hawa wasiopenda kujadiliana na jamii
Hao wengine usiwaulize acha kabisa
Akikusikia dr ulimboka atakudharau sana
😂😂😂😂😂😂 kina nani hao hawataki kujadiliana na jamii? Sema upole wake ndo ulifanya akafeli kwenye utawala wake.
@@danielalphonce1653 usichokijua ni kwamba kila rais anatekeleza ilani ya chama alipoishia kikwete ilikuwa lazima aishie hapo vitu vinafanywa kwa utaratibu maalumu acha kuropoka au mpaka afe ndio mtamsifia?
@@hammylove1268 we unaelewa nini? Kikwete kafeli na ukweli lazima aambiwe, mwenzie sa'iv anapata shida na lawama kwa sababu yake. Mambo mengi angechukua hatua kama mkuu wa nchi wala Magufuli asingepata tabu ya kuliongoza Taifa...we yaelekea umesahau zama za JK...
- waziri akiboronga anaombwa kujiuzulu tena kwa lugha ya kubembeleza. Any way tumuache apumzike, hata tukiongea sana haitasaidia lakini bora aelewe yeye ni Rais KIVURUGE aliivuruga nchi..
Mash Allah big up mstaafu wetu mungu akupe Maisha marefu hizi ndio ndoa alizotuusia mtumie wetu s aw hongera baba mungu amekupa mafanikio ya dunia na akhera inshalla
Ikulu Kam ikulu sasa. Msooooooogggaaaaaa. Mojaaaa JK Master
Interview nzuri sana. I like the courage
Nampenda Sana Rais Jakaya, my best role model
Nice interview
Nyumba zamn ndo 120 duh
Hongera sana Salama! Umeweza!💪
Hii Nimeipenda! Haya mambo ya kijamii tu tunahitaji kuyasikia wakati mwingine! Na leo Nimejua kuwa Mimi na JK wote tumesoma Tanga School😅
Jk the adorable political figure.
Salama your taking it next level, proud of you,big up sis
ingekua wanaruhusiwa kujirudie tena..huyu mzee tungempa tu tena
100%
nampenda sana huyu mzee
Angekua harmonize apa tungekoma na kingeleza mzee anajua kingeleza lakin atumii
Best president TZ ever had...
czcams.com/video/XUVR261lcZY/video.html
Jk the man of the people ❤️
Nilikuwa naisubir Alhamdullilah imewadia love C* salama 😍😍
Kikwete rais pendwa sna tz alafu mfasaha sna mashallah
Mbona hujawah msifia akiwa Rais,,,,wabongo wanafiki sana,,,,wacha tuisome,,,,mzee Magu kaza baba watu walizoea kupigakupiga hahahahah
@@augustinoshigela6329 wanafiki sana walishawai kusema alikua anacheka cheka, ndoo maana mafisadi wengi,acha Magufuri apige kazi.
Mwenyezi mungu akulinde Baba kwa hekima zako
Rais mu handsome africa nzima ❤️😁🇹🇿
Akifuatiwa na Barack Obama...
@@official_python.oglife2154 obama alikuwa raisi wa africa? 😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬
@@timothmwakakusyu4563 ila ukizungumzia waafrica waliowahi kuwa maraisi,yeye pia yumo..... ama hukuliona hilo
@@official_python.oglife2154 hapo sawa
Sure
Rais wetu uyo yupo simpo sana,, Mungu akusimamie kwakila jambo JK
Kama unaona utapata upepoo kwenye Nyumba ya makuti nenda kajenge ya kwako 😹😹 Daah I love my Mh JK
One of my favorite president
Our father jk we love you
Mzee wangu Mwenyez Mungu akupe kla la kher na miaka mingi. Iwesh urudie urais
Tuta kukumbuka Sana baba yetu mwenye busara
Great Salama...kumkaribisha huyu Mkuu wetu.... I've learned a lot!!!!
Ahsante sana kwa kushare nasi.
Dah jaman mrx prezda penda sana wew jaman we missed u jaman
Watanzania wengi wamegubikwa na unafiki apa kwa kuwa mko kwenye media mnaanza mungu akuweke mungu akunze mkitoka apo mnakaa mitaani mara rimonti ipo msoga akuna naye msadiki kukoment Kutoka moyoni mh shimiwa raisi mstafu raia wako tumekosa misimamo Kutokana na Hari zetu kiuchumi😢😢
Nampenda Sanaa mh kikwete mungu aendelee kukutunzia wew
Yaaani nampenda huyu Baba jamani mungu akuweke mzee wetu
Nimecherewa lkn ngoja nitizame japo muda umeenda nakupenda sn salama 🤗😍