Mkasi | S13E10 with Ruge Extended Version

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 09. 2015
  • Mkasi | S13E10 with Ruge Extended Version
  • Zábava

Komentáře • 468

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad3182 Před 5 lety +546

    Wangapi walioguswa na msuba wa ruge hadi wakaitafuta hii intaview yake baada ya kifo chake leo ndio mara kwanza kuiangalia tujuaneni hapa kwa like zenu bc natuzidi kumuombea boss wa clouds apumzike salama

  • @charleswilliam7354
    @charleswilliam7354 Před 5 lety +44

    Duh! Kumbe ndio maana Clouds imesimama imara kwa muda mrefu. Huyu jamaa alikuwa genius.

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 Před 5 lety +10

    Nlimjua RUGE wakati wa mgogoro wake na baadhi ya wasanii wa bongo flava kama Commando lkni kifo chake kimenihuzunisha sana alafu nlipoona ona hii interview nmeona RUGE alikua kichwa,maneno anayoyaongea yamejaa hekima na busara.Lala salama RUGE.Poleni ndugu ze2 watanzania kwa msiba huu,sisi KENYA tupo pamoja nanyi

  • @kaulimbiu181
    @kaulimbiu181 Před 5 lety +30

    Huyu ndio boss Ruge anayemulikwa leo hii November 2018. Kwa kweli jamaa ni stadi, mweledi na mwenye maono kwechekweche. Alichokiongoza Mungu hakipotoshwi na mwanadamu. Big up boss Ruge, Mola akutangulie kila khatua. Kweli mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe. 👏👏👏👍👍💯💯💯👊👊👊👍👍

  • @aishasaid6700
    @aishasaid6700 Před 5 lety +44

    Sichoki kuitazama, Ruge ulikua the best...we're the dust and to the dust we shall return..R.I.P legend😭😭😭

  • @chibudangote5446
    @chibudangote5446 Před 5 lety +124

    Watanzania poleni sana kweli mumpoteza mtu wa hekma Sana love from Kenya

  • @wayfoward2066
    @wayfoward2066 Před 5 lety +8

    Mkasi ni show kubwa...Trust me itaishi milele, Asante Owners, producers, Directors, wahojiwa wote...

  • @jovinmutakumwa9611
    @jovinmutakumwa9611 Před 2 lety +4

    Kama umeangalia maojino haya Ya Ruge na Salama baada ya Manara kuibukia Yanga gonga like Twende! So Sad 😭 Pumzika kwa Amani Brother Ruge.

  • @egattamkaima676
    @egattamkaima676 Před 5 lety +43

    R.I.p Ruge unaonyesha kias gan akili yko imekomaa nenda baba

  • @hanifakimaro2179
    @hanifakimaro2179 Před 5 lety +11

    Nasikitika kwa sababu na mimi nipo ktk wale waliokuwa wakimpenda ila sikuwahi kusema hilo. Lala salama Ruge, daima utabaki shujaa wa kupigiwa mfano 😭😭🙏🏾

  • @SED_78TV
    @SED_78TV Před 5 lety +7

    Dah Ruge umetutoka! Lakini namna pekee ya kukuenzi mchango wako kwa Watanzania hasa kwetu sisi kama vijana ni katika kuendeleza matamanio ya kufanyia kazi fursa zinazokuwa mbele yetu kwa manufaa ya kupiga hatua ya kimaendeleo katika ngazi ya kitaifa, kwasababu hakuna mbadala wa maisha ya mtu isipokuwa yeye mtu mwenyewe ndo mbadala wa maisha yake. Mwenyezi Mungu aipumzishe Roho ya Marehemu mahali pema peponi Amina.

  • @oscarmakumbuli1592
    @oscarmakumbuli1592 Před 4 lety +4

    Duuuuuuh genious ruge umemuweza salama mpk anaishiwa maswali

  • @magymagy2156
    @magymagy2156 Před 5 lety +19

    Mungu wetu akuweke mahali pema pepono kaka Rg. Ulikuwa mistaharabu, mwenye busara naekima. Akusamehe makosa yako. Pumuzika kwahamani. Amem

  • @bensonfikirini4112
    @bensonfikirini4112 Před 5 lety +34

    Chaajabu sikuwahi ifatilia haya mahojiano ya ruge na salama, ila sidhan kama kunamtu atatokea na kuja kufanya mema aliyoya fanya huyu ruge, alikuwa mstaarabu na hana kukurupuka hata mala moja maana kila swali aliloulizwa amejibu utazani amekwenda anafaham ataulizwa nini daaaaaah hili ni pengo la karne limetokea. Pumzika kwa aman kaka RUGE mola amekupenda zaindi na alihitaji ufanye uliyoyafanya kaka daaaaaaaaaaaaah nenda bro

  • @fredrickmathias6478
    @fredrickmathias6478 Před 5 lety +14

    Eti leo haongei hya tena jmn loh!!inauma aisee
    Mungu tusaidie na tupe maono mazuri pia

  • @banshbansh2329
    @banshbansh2329 Před 5 lety +7

    Tatizo la wasanii wa Tanzania hawataki kuambia ukweli ila Ruge alikuwa mkweli sio mnafiki
    Innalillah wainalillah rajiun Ruge

  • @hameedmbogo3633
    @hameedmbogo3633 Před 5 lety +33

    R.i.p wat a humble guy polen tz love fro Kenya

  • @charlesngallaba9868
    @charlesngallaba9868 Před 5 lety +7

    Ruge kila la kheri Mungu akupumzishe baada ya shida na tabu za hapa Duniani...we'll always remember you..

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif9384 Před 5 lety +8

    ktk uhai wake nilisikia mengi kuhusu ruge mazuri na mabaya nikawa na mitazamo tofauti juu yake km mwanadam hakua amekamilka hvo kasoro zake wanafaham walio dili nae kwa namna moja au nyingine ila nimetazama maongez yake tofauti kiwemo na hili hapa huyu mtu alikua kichwa si mchezo R.I.P ruge

  • @stellaloves9879
    @stellaloves9879 Před 5 lety +13

    Pumzika kwa Amani Ruge kumbe ulikuwa mwenye hekima Sana..kesho tunasherekea kama ulivyo Sema siku ukitoweka tusherekee.. Rip

  • @ahmedalwy
    @ahmedalwy Před 5 lety +10

    Ruge is talking facts ! mungu amlaze pahali pema peponi.

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 Před 4 lety +6

    This Guy Ruge is very good in answering questions in a better and composed manner....RIP Bro.

  • @vivianoforo4760
    @vivianoforo4760 Před 5 lety +7

    Ruge umelala .lala baba tutaonana Mbinguni.kazi uloifanya duniani inaonekana

  • @mashakimaro3890
    @mashakimaro3890 Před 5 lety +3

    Nitakuenzi daima ruge your my hero Mungu akulaze mahala pema peponi sitaogopa chochote Mungu akusamehe makosa yako yote utaishi milele

  • @abdulmshana7708
    @abdulmshana7708 Před 8 lety +105

    Ruge ni mstaraab sana na ana hekima kweli....namkubali sana huyu jamaa .....good job mkasi

    • @mdachiog5211
      @mdachiog5211 Před 5 lety

      czcams.com/video/QFxqqJOO9lA/video.html

    • @idrathrubagumisa1485
      @idrathrubagumisa1485 Před 5 lety +2

      abdul mshana rip ruge mutahaba mbele yetu nyuma yako pumzika Kwa amani

    • @najma3268
      @najma3268 Před 5 lety

      Kweli kabisa , apunzike kwa aman

    • @gloriousn6425
      @gloriousn6425 Před 5 lety +1

      I am impressed hukusubiri mtu afe ndo umsifie,you are one in a millions brothers

  • @witnessmallya5114
    @witnessmallya5114 Před 5 lety +4

    Pumzika kwa amani Boss Ruge... Tanzania tumepoteza kiungo!

  • @irenenguta2893
    @irenenguta2893 Před 5 lety +7

    I can listen to him 1000 times.cool,calm and collected RIP Ruge

  • @HenriHSP
    @HenriHSP Před 5 lety +17

    This guy is a genius. RIP Ambwene na Salama Rudi kwenye mkasi please. We need it . Is very good contents

  • @zaynsalma3466
    @zaynsalma3466 Před 5 lety +23

    Ukipanda Muhogo Utavuna Muhogo Ila Ukizika Mtu Harudi Tena 😭😭😭😭Udogo Ulokula Wewe Baba 😭Pumzika Salam #Ruge Mbele Yako nyuma yetu #Baba 🙏🙏🙏🙏

  • @happypaul8803
    @happypaul8803 Před 5 lety +5

    Mungu akupe maisha mema huko ulikuko enda kaka njia ya wengi

  • @mabroukabeid148
    @mabroukabeid148 Před 5 lety +5

    Dah hii show Kali sana Rais atakae kuja kama hata tambua mchango wa wasanii atakua ameingia chaka.

  • @kingkevynshaphyck3963
    @kingkevynshaphyck3963 Před 5 lety +25

    You know what bro u was a hero R I P legend

    • @elizabethmbena8174
      @elizabethmbena8174 Před 5 lety

      pole sana rungu.mungu haiweke roho yako peponi kaka.mbele yako nyuma yetu

  • @philipmchina6919
    @philipmchina6919 Před 5 lety +16

    We missing you Ruge world 🌎...never happen again RIP_ruge

  • @idrathrubagumisa1485
    @idrathrubagumisa1485 Před 5 lety +9

    Bwana ametoa na ametwaa jina lake lihimidiwe amen pumzika Kwa amani Ruge mutahaba

  • @sophieaden5367
    @sophieaden5367 Před 5 lety +10

    Mstaarabu sana, mungu ailaze roho yake pema peponi

  • @kimjisena45
    @kimjisena45 Před 4 lety +5

    2:30 - 2:36 "...wale wanaofanya vizuri wafanikiwe, na ambao hawafanyi vizuri wasifanikiwe. Kwa sababu, that's how business is..."
    The Entrepreneurial Mindset.

  • @ewhite2806
    @ewhite2806 Před 5 lety +84

    Dah clouds imepoteza jambo, ooh hapana Tz tumepoteza mtu jamaniii no no no Dunia imepoteza kichwa yah yah that's right Dunia imepoteza kichwa.

  • @jacklinevosevwa9859
    @jacklinevosevwa9859 Před 5 lety +14

    Ruge alikuwa mpole sana Rip ruge poleni sana watanzania am from kenya

  • @fatmaalmas4782
    @fatmaalmas4782 Před 5 lety +5

    Daaaah!, M'mungu akujaalie kauli thabiti.🙏

  • @slayingtee6044
    @slayingtee6044 Před 5 lety +21

    Deep explanation or documentation is needed on ugonjwa wa ruge mpk kupelekea kifo,,pumzeka kwa amani genius,ur legacy will continue !

  • @sadasaid4408
    @sadasaid4408 Před 5 lety +5

    Yani marehemu angekuwa Raisi nchi ingekuwa hakuna wazururaji Rip Ruge tunaangalia intevew zako tunakupenda kaka

  • @davidbedda5007
    @davidbedda5007 Před 5 lety +3

    wanaokupenda hawasemi na wanaokuchukia hawakujui

  • @kamtumganga7170
    @kamtumganga7170 Před 4 lety +3

    Hii dunia inaondoka na watu muhm

  • @pinelaitayok1187
    @pinelaitayok1187 Před 5 lety +4

    Pumzika kwa amani Baba forever in our heart....

  • @georgedaniel4962
    @georgedaniel4962 Před 5 lety +54

    Mwanadamu kukubalika ni kazi sana hasa akiwa bado hai ila akifa utasikia sifa zake.ukweri luge ni greet thinker

    • @HamiduChamboko
      @HamiduChamboko Před 5 lety

      safi Sana unaconvert negative Kuwa positive ..R. I. P ruge Leo ndio nimekusoma

    • @kamchapelukas3223
      @kamchapelukas3223 Před 5 lety

      Kama umejuwa leo hii ruge hatupo nae

    • @travelahmbowe437
      @travelahmbowe437 Před 5 lety

      Dah na kwel ametangulia

    • @joelmlavi400
      @joelmlavi400 Před 5 lety

      Hakuna alojua miaka minne kasoro iliyokuja mbele huyu mwamba tutampteza..
      R.i.p Ruge😢😢

  • @aminakazogolo9914
    @aminakazogolo9914 Před 5 lety +7

    Rest in paradise Ruge🙏You were the hero 100%

  • @laurenciaenos1522
    @laurenciaenos1522 Před 5 lety +48

    Ni haki barnaba alie kumbe alikuwa kipenzi chako

  • @tuntufyemwakalukwa1704
    @tuntufyemwakalukwa1704 Před 5 lety +21

    Huyu jamaa levo nyingine tumjue tumtambue tumuenz

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 Před 5 lety +4

    Oh Ruge tutakukumbuka sana lala salama Gunious amen

  • @merisangoda7273
    @merisangoda7273 Před 5 lety +16

    Dah jamn anavo sikiliza swar kwanza alaf anatzama juu alaf anajib ddah hakika kila mtu ana asiri yake yu were genious bro r.i.p

  • @eliassiki6758
    @eliassiki6758 Před 5 lety +8

    Kma umesikia mpanga rizk n mwenyez MUNGU pia siwez kumshusha wala kumpandisha mtu #27:7. R.i.p master mind

  • @clararaphael6142
    @clararaphael6142 Před 4 lety +2

    Yule mtu kati ya watu mia ndo alikuwa huyu,mwenye HEKIMA ,asokurupuka mtulivu na mwenye heshima ,, dah we will miss u bro,RIP Ruge

  • @marycelineevergreen9257
    @marycelineevergreen9257 Před 8 lety +16

    yaah tusijaji sana watu bila kuwafahamu au vtu bila kuvijua yes maelezo mazuri Ruge.

  • @stephanojohn5317
    @stephanojohn5317 Před 5 lety +7

    Kweli brother nilikuwa sikujui ila baada ya umauti wako kukufikia ndio nikajua wewe ni Nani naulikuwa unafanya nini kuelimisha jamiii na kuwatoa watu kimaisha nakuwaonesha mwanga ulikuwa uko sahihi kwakila unacho kifanya nimeamini kweli mti wenye matunda haukosi kupigwa mawe kweli wewe ni mti wenye matunda pumzika kwaaamani brother mungu akulaze Mahala pema peponi Amen. Imeniumiza sana moyo wangu ila tumuachie mungu ndie muweza wa yote.

  • @vivianoforo4760
    @vivianoforo4760 Před 5 lety +10

    You are a great leader
    This is how leaders should do
    Viongozi wengi wanarushiwa mawe kwa sababu ya kusimamia kile wanachokiamini
    Sijawahi kukuona hata kwa macho lakini nakutetea kwa kila hali ,in fact you were the best.

  • @secylovenessadaa4245
    @secylovenessadaa4245 Před 5 lety +2

    Rip brother, Mungu akulaze pema peponi Amen and Amen

  • @watotowamungubyfreconicide1505

    Watching again today 15th Nov 2018,learning a lot from this Mastermind.

  • @saidangel8958
    @saidangel8958 Před 5 lety +5

    Eti leo baba umelala usingizi wa milele bosi ww haya bwana tumepoteza jembe aisee inauma sana

  • @Majengojr
    @Majengojr Před 5 lety +18

    Huyu alikuwa MTU mwenye hekima sana na hana haraka wala temper.

  • @annethmwasamwene5110
    @annethmwasamwene5110 Před 5 lety +2

    Nashukuru Mungu kanipa nafasi ya kutoa heshima ya mwisho kwa mwili wako kwani uliutendesha kazi kwa umakini na ushujaa mkubwa,nilipokuoana umelala sikuamini sana ila sasa inabidi nikubali japo maumivu yatadumu....Pumzika kwa amani mentor wangu wa fursa #Ruge rest in paradise boss🙏

  • @aksamnyamazi7650
    @aksamnyamazi7650 Před 5 lety +3

    Duuuuu kifo hichi bwana Mungu tusaidie sana...R.I.P RUGE

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton8911 Před 6 lety +36

    yani huyu jamaa sichokagi kumsikilza anajua sana kujibu maswali

  • @doctorsixbert3510
    @doctorsixbert3510 Před 5 lety +5

    daaaah kwel ruge ni shujaa.....

  • @evemurugi3399
    @evemurugi3399 Před 5 lety +21

    The more I listen and see how people are about his death the more I understand then when I see his interview God always take good things 😢😢 you did well sir Ruge

  • @kelvinmichae728
    @kelvinmichae728 Před 5 lety +5

    Yaani sichoki kuangalia hii video RIP RUGE.

  • @merryn4891
    @merryn4891 Před 5 lety +8

    R,I,P Ruge mwenyezi mungu akupokee

  • @rahmasalum6420
    @rahmasalum6420 Před 8 lety +48

    The first guest in Mkasi that talks sense ,he really is very intelligent .
    Salama I don't think the other 2fit in the interview,I wish it could be just you coz there's no point of keeping people who don't even know what they are asking the guest ,secondly they don't look intelligent enough to be holding the talk show

    • @joelmlavi400
      @joelmlavi400 Před 5 lety

      I thnk salama want those guys to learn how to.. but the good point to crash is for them not to grow up kujua kuswalika hayo maswali.. kuishi maisha ya aina moja miaka yote ni uzembe wa akili. Nazam wamekuwa saiv

  • @mwakahassan8742
    @mwakahassan8742 Před 5 lety +2

    Mungu akusameh makosa yako yaan hy mkka kapole sanaa na ana hekma sanaa

  • @abroadconnectededucationlt5435

    ''mti wenye matunda hupigwa mawe''
    ruge

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Před 17 dny +1

    2024 nipo namuangalia ruge wakat yupo hai nilikua simpendiii nilikua sina akili sasa nimekua na akili ruge hayupo ila maneno yake yapo, akili gan hizi jmn

  • @aboubakarkisuju6002
    @aboubakarkisuju6002 Před 5 lety +5

    My god tumempoteza mtu muhim sana.kudadeki

  • @roselaurence1093
    @roselaurence1093 Před 5 lety +30

    Hivi huyu jamaa aliumwa nini hicho kisichotibika?! Oooh Lord😭😭😭😭

    • @yousupjabri7304
      @yousupjabri7304 Před 5 lety +1

      Hahaaa wew nae unakufulu mungu tena mwenyewe kesha sema hakuna k2 cha bahat mbaya...

    • @gracerosi6179
      @gracerosi6179 Před 5 lety +1

      Eti Kama nifigo ua inawekwa nyingine na Kama niukimwi unadozi aktaka kufa anakatka lkn huyu kaugua miezi 8 duu wabaya watu

    • @alidamgeni7051
      @alidamgeni7051 Před 5 lety +1

      Rose Laurence hujui kwamba mwanadam umeumbwa kwa udongo na mavumbini utarudi basi wakati wake umefika

  • @FRODOLLASSEAN
    @FRODOLLASSEAN Před 5 lety +6

    Ruge mungu kulaze maali unapostahili kwa matendo yako

  • @kaulimbiu181
    @kaulimbiu181 Před 5 lety +17

    Rest in peace Boss Ruge 😭😭😭

  • @queengee988
    @queengee988 Před 5 lety +16

    Daaahh kwel nikitazama interview za ruge sichoki kulia r.i.p ruge😢😢😢😢😢

  • @halimaramadhanimwevi2472
    @halimaramadhanimwevi2472 Před 5 lety +42

    Yaani baada ya kuiskiliza hii intervew, inaeezekana kabisa huyu kaka kifo chake kuna mkono wa MTU au mikono ya WATU . Hiyo kidney failure inawezekana kabisa SUMU imehusika . Rest in peace RUGE

    • @beatriceconsolataachiengan5979
      @beatriceconsolataachiengan5979 Před 5 lety +2

      Nimedhani hivyo pia, huenda kuna mtu au watu wamemwendea pabaya. Wenye nyimbo yao hazikupigwa, kati ya hao watu, amemuua Ruge. Am a Kenyan , watanzania poleni.

    • @zulfamohamed4549
      @zulfamohamed4549 Před 5 lety +2

      nikwel ata mie naisi ivy ivy wala s wewe t ila inasikitisha ila akun njia ten

    • @velmaagwona1945
      @velmaagwona1945 Před 5 lety +1

      Kwa kweli haikosi kaekewa sumu inauma jamani

    • @jamilamasoud1216
      @jamilamasoud1216 Před 4 lety

      Kumbe nawewe umeona ndugu yangu kakika utafutaji kazi sana

  • @benedictrkorosso153
    @benedictrkorosso153 Před 5 lety +7

    I didn't know this guy before R.I.P but he was a man of vision, actually we as a country have lost an asset.

  • @maryngotho3614
    @maryngotho3614 Před 5 lety +21

    He seems he was a very humble guy,may he rest in peace

  • @halemamohammed2381
    @halemamohammed2381 Před 5 lety +11

    Ulikua kichwa sana unaona mbali kweli tumepoteza MTU muhimu
    Na halafu mti wenye matunda ndio hupigwa mawe redio yako inafanya vizur

  • @heriswidalyaunga5491
    @heriswidalyaunga5491 Před 8 lety +30

    namkubali huyu kaka hana roho mbaya ila watu wanamtafsir vibaya

  • @rumibarton2359
    @rumibarton2359 Před 4 lety +1

    Genius na nusu rest in paradise

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 Před 5 lety +11

    Magu hebu njoo uangalie hii video upate shule ya uchumi.This man was more than geneous

  • @michaelkigaraba5784
    @michaelkigaraba5784 Před 5 lety +3

    Aisee sjawahi kuona ruge u had something special I wish in ur lifetime ningeonana na wewe keep rip ila I will learn u through ur documentaries and interview u had in ur time keep rip again brother ruge

  • @shekhekhandereizer559
    @shekhekhandereizer559 Před 5 lety +24

    daaaaaa jamaa kama yupo hai ndio anaongea live kumbe daaaaaaa

  • @kituyekituye1101
    @kituyekituye1101 Před 5 lety +5

    R.I.P RUGEMANZIRA@Jasiri muongoza njia

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 Před 5 lety +26

    Msiba umenirudisha hapa RIP RUGE

  • @bayudacamp7217
    @bayudacamp7217 Před 5 lety +5

    Jamani mpaka mtu afe ndio tumsifie ahiisee noma sana

  • @athumanikaroyo5999
    @athumanikaroyo5999 Před 5 lety +5

    Jamaa anaakili sanaàaaa duuu

  • @ghazalatiki3558
    @ghazalatiki3558 Před 5 lety +4

    nimeelewa kwanini clouds imesimama miaka yote hii tungu tukiwa wadogo. he is a fucking masterpiece. hahahaha

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel3883 Před 5 lety +4

    Ulikuwa mkweli boss Ruge

  • @victoriadenis1694
    @victoriadenis1694 Před 5 lety +3

    Yan sauti yake nzuri ya hakima Na busara...RIP boss ruge

  • @jenivavedasto636
    @jenivavedasto636 Před 5 lety +21

    He was a true genius, R.I.P @Rugemutahaba

  • @vicentpalingo5808
    @vicentpalingo5808 Před 8 lety +12

    "Kumshusha mtu yeyote alioko juu thats true" huo ni utamaduni wetu asee.....!

  • @geoffreymlowe7190
    @geoffreymlowe7190 Před 7 lety +7

    majibu ya jamaa poa sana uwazi ktk kila jambo kwa kadri mtu ajisikiavyo ni safi sana.

  • @benoitniyukuri4959
    @benoitniyukuri4959 Před 5 lety +11

    RIP legend Ruge

  • @uncleflavour5831
    @uncleflavour5831 Před rokem +1

    NICE PIA MSIACHE KUVIEW NYIMBO MPYA YA UNCLE FLAVOUR INAITWA I'M READY KWENYE CZcams CHANNEL YANGU

  • @latifasilaji7484
    @latifasilaji7484 Před 5 lety +2

    Dah i don beleive kwamba kuna kitu cha bahat mbaya in life...RIP

  • @christianmakiro5820
    @christianmakiro5820 Před 3 lety +1

    Ukweli unaishi 2021 gonga like

  • @elimuathuman4424
    @elimuathuman4424 Před 5 lety +3

    GENEOUS

  • @michaelkigaraba5784
    @michaelkigaraba5784 Před 5 lety +4

    Rip ruge wewe kweli ni genius aisee