Joseph Kusaga: Ruge aliniambia siku nikiwatoka, tafadhali msilie
Vložit
- čas přidán 1. 03. 2019
- Mkurugenzi wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga ameelezea historia yake na marehemu Ruge Mutahaba akisema siku alipokwenda kumtembelea Ruge hospitalini India, alimwambia siku atakayokufa watu wasilie juu yake.
#AzamTVApp #AzamTVUpdates #RugeMutahaba
Poleni sana familia, Clouds Media Group na Tanzania kwa ujumla. Rest in peace Ruge.
Rest in Peace Ruge from 254 i never knew you personally but i sincerely loved your deeds rest with the Angels
Jamani kumbe uyu RUGE amefanya mambo mengi ivi, Adi kwa kweli, kweli Brother kazi ulio itiwa umeimaliza, Unawasifu mzuri sana umefanya vingi sana, Rest in paradise BROTHER
RIP Ruge. Tumuombe ALLAH atupatie wakina Ruge wengine
Pole sana kusaga
Pumzika kwa amani boss ruge
Bwana alitoa na Bwana Ametwaa Jina lake libarikiwe "Amina
tena amen
Pumzika kwa amani RUGE tumeumia sana lakini kazi ya Mungu haina makosa
kifo kifo kifo hakina mwenzake... kifo niuchungu kwa walio bakia.. Bt kwa mwenda zake ni furaha tuu.. Rip ndugu salimia huko home kwetu.... sisi sote tuko nyuma...
Very attractive story
Ruge mutahaba may your soul rest in peace but majibu tutayaona hapa hapa duniani kama nasi tungaliwazima kama kunakitu behide the scene god knows about everything bado manenoyako hayana mashiko boss unanichanganya bit njia yakila mja hakuna kitakochobakia masalama
Kusaga kusaga kusaga.... Mtu alieingia na mitutu ya bunduki kwenye biashara yko una mpa special recognition aiseee emb acha hizo bhana.
Ni kutokana a kukomaa kitaasisisi but its paining
Samehe saba mala sabin
Rest in peace Ruge Mutahaba
Mmmh!!!
So sad !!!!
RIP Ruge RIP Kibonde
Mboni yavijana wenye vipaji imetoweka, rest in peace Boss Ruge.
Ni kweli kabisa
J JOSE ,kabaki diamond
Rest in paradise ruge
So Sad Rest In Peace Ruge Mtahaba tutaonana badae.
Matonange habari
r.i.p RUGE no one like u
rip jemedali
Hakika huu ni msiba wa Taifa
akiwa mzima
Mtu akiwa mzima watu wansmuongea mabaya wanatupia matusi lakini mtu akifa unaanza kusikia ooo alikuwa mzury ooo alikuwa rafiki wangu ooo alikuwa mwenye heshima aaah jamani wsnadamu badilisheni tabia ruge rest in peace bro pele zetu kwa watanzania wakenya🇰🇪🇰🇪 mpo leteni pole zenyu kwa watanzania wetu
Kifo jamani mbona hushibi innalilahi waina illahi rajiuon
جميلة جميلة
Huyu Makonda ndo yule aliovamia Clouds na Mitutu au mwingine ?
hahaa ndie
Leo hii diamond hajui samani ya ruge? duuh kweli
R.I.P ruge
R.I.P Ruge
mgeeleza akiwa kimya
🙏
Pumzika salama ruge
Na mkubali marehemu ruge ila mradi wa malaria ulikua wa suku,r.ip.ruge jemedari
pumzk kwa amn baba
Du! Inauma jamn
aiseee
nawaza naumia nalia nashindwa kujizua uwwh kifo hiki kifo Mungu wangu mimi daah
Bahaya barikuwa zamani ni warundi wakabila ya wa tutsi. Njomana Ruge MUTAHABA alikuwa na hakiri. Wa tutsi niwatu wa hakiri sana tena hawapende kusemasema. Buha ilikuwa burundi
jules Sebintu ndo maana mnauana na hakuna amani huko kwenu sababu hamjui thamani ya utu, ukishajiweka wewe mbele na kujiona una akili nyingi wakati wapo wenye akili na wenye mioyo misafi na mizuri kuliko wewe mwisho wake ndo mnaishia kuwa wakatili na wauwaji !! pumbavu zako wewe unayejifanya una akili wakati hata kufagia uwanja wako au kutandika kitanda chako kiwe safi unashindwa !! Ng'ombe we
Nyie mna BAHATI, tungewaoa tukapata, wa Pemba,waNgoni,na wazaramo ndio mgepata AKILI. MHAYA anaweza kuwa Dr, Professor na PHD Kibao, lakini hujiona MTANZANIA kwanza.
Duh
May the legend rest in peace
Rip ruge
Kusagaaaaa, hata kupretend sauti mzee??? Au ndo kwasabab uliambiwa msherehekee akichomoka??
Presentation skills F
Bonyeza picha hii yangu kushoto kwako kisha bonyeza neno subscribe uone mwanzo mwisho aslay akizimia msibani
Rip
Acha zako ww wala hakuzimia
Kiki kwa misiba ya wenzio nyoooooo
Akuana kama uyo na atotokea
Waliopo ni tamaa tu rushwaa mbelee
R. I. P ruge