MILLARDAYO: IMENITOA MACHOZI, BOSS RUGE AMENIIBUA NAJIULIZA NANI ATATUSHIKA MKONO
Vložit
- čas přidán 4. 03. 2019
- #RIPRugeMutahaba #JasiriMuongozaNjia
Millardayo anasema Watanzania watumia shuhuda zilizosemwa na Watu kama mfano kwa kuwa Boss Ruge alikuwa ni mtu anae amini kwenye vipaji bila elimu kubwa na kuna mengi anatamani yaendelee kuishi ikiwemo nyumba ya vipaji THT.
Huyu kijana wa milad ayo,yuko makini sana ni mtangazaji mzuri kweli anatuwakilisha fresh mkoani
RIP Ruge!! Pole sana Millard, ila nina Imani wewe unaweza kua Ruge angalau kwa 80%. U can
Hata mimi nina imani hio... RIP Boss Ruge
Of course! Ndiyo Ayo anaweza kufanya vizuri kweli, jamaa huyo Ayo anamoyo wa kipekee pia
kama unaamin milad ayo anauwezo wa kufikia asilimia 80 ya ruge gonga like
Antony Mchina hata Mimi naunga mkono
Kabisa
Kweli kabisa
Milard unaweza sana sana unaweza kua hata zaidi lkini kwa namna yko .kwa sabb kila mtu ana namna yke ya utendaji wa jambo lolote lile.Milard keep on your an excelent profesional journalist .
Ayo be ruge and try it you can unaweza zaidi believe your self and we believe you,but R.I.p ruge god be with you
Kaka nakuombea kwa Mungu uwe na moyo kama wa Bo's wako,pole millady
KAMA UNAAMINI MILARD ANA HESHIMA NA HURUMA NA NIDHAMU NA ATAJAZA KWA ASILIMIA KUBWA YA PENGO LA BOSS RUGE EBU GONGA LIKE WATU WAONE ATA KAMA MILARD ALIPATA ZERO DARASAN
Tunashukuru mungu kumpata mmeru mwenye busara na hekima zake @milardayo
Hakika
Millard katika clouds nakuona utafika asilimia angalau 90% you are so talented, alafu upo real
Kweli kabisa alikuwa boss was aina take r.i.p ruge
Mwenyez Mungu akuzidishie hekima ukawe Ruge wa II, Milad u can!!!
Miradi nakukubali sana unaweza kuendeleza ya Marehemu mkafanikiwa wote
Kufa kufaana wakati wako Ayo kuwa bos Ayo naamini ww ndio utakae ziba pengo la ruge asilimia 90 gonga like kama unakubali kama milladardayo mdawake wakupiga pesa umefika.
puji montana pachino hahaa aya bana
Namkubali ayo
Ata kipindi kanumba anakufa tulisema ray atazima pengo lakin haijawa ivo me naamin nafasi ya mtu ni ya mtu tu akiondoka hakuna anaeweza kufiti hakuna wa kuziba pengo la ruge millado atabak kuwa millado na ruge ni ruge
Omeongea vizuri sana Millard.. Very matured.
You are the next Ruge wewe na Barnaba mmoja hapo awe kiongozi
kama unamkubali millard ayo bure kama mimi weka like tujuane
Millady Ayo Mungu akusimamie ukawe Ruge Clouds
Huyu milard anaeza kua kama ruge au zaidi kabsaaa'wanasemaga nyota njema huonekana asubuhi'yani uyu ni ruge namba mbili
#Millard nilitamani kusikia sana unasema nini kuhusu na msiba huu wa kitaifa. Asante na pole sana Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu. Pole sana #clouds#THT na watanzania wote.
Miongoni mwa Binadamu wachache waliobaki nchini ni pamoja na Millard Ayo... Tuwaoneshe upendo angali wako hai kwa kazi zao na juhudi zao.
Kama unamkubali milad ayo gonga like apooo
Millard ayo anahojiwa na Millard ayo... R.IP Boss RUGE
hakuna bossy anayependa maendeleo ya mfanyakaz wake luge naona alikuwa tofauti
Kama nawe umeguswa kwa ruge kutoweka gonga like hapaaaa
From Texas, nawapata vizuri sana, r. I.p ruge the boss.
pengo la boss luge ni kama la #kanumba..#shalo milionare ..#sajuki n.k..
haliwez kuzbika..mungu humuumba kla mtu na baraka za kipekee
Ruge alipendwa na wengi kama yeye alivyowapenda na kujitolea kwa hali na mali kuona wengine wanafanikiwa. Lakini ukweli ni kwamba maandiko lazima yatimie na yametimia. Ruge tushamzika na amekwenda hatupo nae tena. Ni ngumu kuamini nakukubali matokeo. Tusikate tamaa kuona itakuaje bila Ruge, tukikata tamaa hata yeye huko aliko tangulia hatokua na furaha kwani lengo lake lilikua kuwainua vijana ili wajitegemee, moja ya mfano ni Millard ayo kufungua media yake binafsi bila bosi wake kujua na alipojua alimpongeza na kumsaidia, hii inadhihirisha ni nini hasa lilikua lengo la Ruge kwa vijana na jamii kwa ujumla. Tujipange upya kwa maisha bila Ruge. Maisha lazima yaendelee. RIP Ruge.
Kati ya watangazaji ninao wakubali ni miradiayo ni kijana mwenye sauti nzuri ya utangazaji sauti yake naifananisha na sauti ya Barwani muuza ,R.IP kaka ruge
siku zote nakuamini sana kamanda wangu big up sana na umeumia sana but kazi ya mungu haina makosa tumwombee tuu boss ruge najua nawe ipo sk kwa haya unayoyafanya kwa watanzania leo utakimbukwa tu bro
pole sana aki niliumia poleni sana tz from 254
Wallah Ally Kiba ulinifurahisha sana na kuongeza heshima yako kwa jamii kwa hiki kitendo cha ww kufika hadi Bukoba kumzika boss,,,,,,,,siyo mijitu ya Tandale haina shukrani
Kiukweli RUGE alikuwa mtu muhimu sana yaaan amekuajili kwenye media yako na ww unafungua media yako ila still unafanya kazi kwake na mshahara unakupa kiukwel maboss wachache sana wanaoweza kufanya hivyo...!!
My role modo Millard ayoo
Sema Nini Millard Umefanana na Sauti yako bigUpsana
pole mtu wangu wa nguvu, one day yes tutaona nawe heshima zako pole pole R. i. p ruge mwamba, jembe,kiongoz,daaa sijui nieseme nn
Siku zote wema nawatu wenye roho nzuri huwa hawaishi miaka mingi hapa duniani.
J JOSE CBGB. i thbvvvuugffffgggggggggggggggggggg
Ni kweli!
True na Mungu huwapenda hao
Milady anasauti nzuri mashaallh
Mungu aipumzishe Roho ya Boss ruge Mahalia pema peponi Amina
Msiba hauzoeleki, maombolezo hayaishi, uhai ni gharama isiyolipika.. kwa aliyefiwa na mtu wa karibu najua anaelewa sana, kinachouma zaidi wanakufa wale ambao wana mchango chanya kwa jamii.. pumzikeni kwa amani tunaamini njia ni moja 🙏
Unamuhoji boss wako
Namm ndonaona anamuoji my..
hahh afu humwiti boss,wakati yy anamwita mkubwa wake boss
Grace Kaniki dogo yupo kazini ndo ujue wanafanya kazi vizur na kwa ushirikiano boss mwenyewe haijarishi kahojiwa na nani amejielezea vizuri ametoa ushirikiano mzur kiufupi wako vizuri
Aaah inauma,ila mungu muache aitwe mungu.Amini Millard ayo 100% ndie ruge ...give m like kama unaamini kweli nayoongea
Mungu ampumzishe pahala pema. Pole sana bro! Kazi yetu tulobaki ni kumuombea.
Be strong millard Mungu yupo pamoja nanyi
Kazi ya mungu haina makosa.... Kampenda zaidi.... Pole my brother
Kwel watu weng wameumia lakn binadamu tuelewe maisha yanapangwa na mungu ndo maana maisha yanamwisho
pole sana Millard Ayo, M/MUNGU awape faraja ndg jamaa na marafiki wote walooguswa na msiba huu! inauma kiukwel...
Pole millad your lovely with open hearts unaweza uwa kama ruge Mara 90 achana na mambo ya degree baba akiili uko nayo
Yani katika mtu/ mtangazaji ambaye namuelewa hapa nchini Millard nakuelewa sana na kama nikipata mtoto wakiume aisee ntamuita MILLARD...narudia tena Millard nakuelewa mno braza napenda sana kazi yako aisee iwsh ndo ningekuwa mimi ndo wewe
Good Interview na Pole Millard Ayo
Pole Sana Millard Ayo!!
Nataman sana kuongea na mtu wa Clouds hushuhuda wangu jins ruge alivyo nisaidia bila kukutana nae Nataman 😢😢😢
Innalillahi Wainna Illayhi Rajiuon..pumzika kwa Amani Ruge InShaAllah mola atawaleta Ruge wangine kwa uwezo wake Allah...
Mnyama milard nakukubali sana Mwanangu
Nakupendaga Sana😍😍😍
pole sana Millard Ayo mungu mwenyewe hawafariji
Kama ingelikua binadamu anakata rufa ya kifo mbele ya mungu na sisi tukngekata rufa turudishiwe ruge tuliye mpenda hapa duniani lakini tumeshindwa si juu tufanyeje . Ni wimbo wa marehemu marijani rajab mungu awalaze mahali mwema peponi amin
Binafsi sina ninaloweza kusema kwamba Ruge amelifanya kwangu, ila kwa shuhuda sa mamia ya watu enzi za uhai wake na baada ya umauti kumkuta zinanipa kufahamu Ruge alikuwa mtu wa tofauti sana. Niwapongeze sana ambao mmepata nafasi ya kusaidika nae ila niwasihi msiache kushare na wengine ambavyo mmevipata na zaidi ya yote niwapongeze mliothubutu kumzungumzia tangu akiwa hai.......
Mungu atakusaidia miladayo utapata mtu kama ruge
Mmeru mwenzangu pole na wengine woteee polen sana jamn R.I.P RUGE the BOSS
Hivyi miladi Ni mmeru😲😲
Huyu Ruge alikuwa mtanzania wa ajabu kweli. Mtanzania anayependa wengine wafanikiwe hata Kama yeye hafaidiki na mafanikio Yao? Asiyemchoyo hata wa maarifa tu? Aliyeamua kusaidia wengine hata asiowajua na bila ya kujitangaza kwamba anasaidia huyu na yule? Kweli alikuwa tajiri wa roho.
Poleni Sana ......msikate tamaa nanyinyi pia mfate mfano wa Ruge....msichague wala kuduarau watu
Mwenyezi Mungu awape nguvu wakati huu mgumu .....rip boss Ruge .dearly missed .
Hongera Sana Milard
Pole Sana
Napenda Millardayo ushike nyendo zake
milard unaweza big up kwako kaka
Pole sana milad bwana alitoa na bwana ametwaa jinalabwana libarikiwe AMINA 🙏
Mi uwa na amini matukio yakitolewa na Millard na clouds poleni mungu awape subra alale pema ruge mutahaba amen
Pole sana millard ayo
Pole sana sana
poleni sana millard ayo
Miladi you are Ruge walk on his dream
Pole Millard
Pole sana mzee baba
duuuuhhh jamani mungu alimpa roho nzuri mungu amuweke mahala pema peponi amiina
Dar kweli millard ayo wewe ni mtu wa watu nakuelewa
Pole sana broo milard
Pole aisee
Pole sana mila
Millady-ayo Pole Kaka tumeumia wote-ruge jembe-umeongea pw-hakika jipangeufikie kuwa-kipenzi chawananchi na mazuri aloyafanya ruge-inawezekana2 kikubwa-binafsi ruge-nimejifunza mengi(1)ukalim alokuwanao,kumheshimu kila-mtu,nakusikiliza shida/pia Mtoa ushauri mzuri wakujiamini naweza pambana-alitueleza ccm-kirumba ktk-fulsa ya ujasilia mali/mengi Sana aliongea alitushauri usibague Kazi,hakikisha unapata ridhiki halali-ukweli meng-mengi namkumbuka-leo tunapambana nipo-nitafika(apumzike Kwa amani-amina)
Pole bro Allah awape subra
Your next millard nakutabilia mbali sana
Poleni sana ayo
Mungu atalipa Ruge,anaswadakat jaaria kubwa sana.
@millardayo.....I can feel your pain....machozi yanakulenga. Pole sana bro.....its hard kufunguka ki ukweli. 😭😭😭poleni
Poleni Sana Ruge pumzika kwa Amani
hizo dislike mnafikiria nini ama ninyi ndo mafreemason pateni kushindwa
hahahahhaa ndio hao hao
Wengine hawajui maana ya ilo dole lililoangalia chini kama mim mwanzo nilikuwa sijui
kwakwel labda freemason
@@bethadickson5242 ni mahaters unashindwa hadi kwenye msiba
Dah ni mtu wa mfano alikuwa brother aisee,Ruge Mutahaba ...kuhusu boss kupenda mafanikio ya mfanyakazi wake mmmh ni wachache mno RIP BOSS MUNGU NI MWEMA MNO KUKUJALIA KUWEPO KWA UMRI ALIOKUJALIA ,NA KUFANYIKA DARAJA LA WENGI....RIP BOSS TANZANIA,THT WANA CLOUDS TUTAKUKUMBUKA MNO
R. I. P ruge Millard ayo ww unatakiwa ushike nafac ya boc naamin ww unaweza 100% nakukubal sn
Don’t worry Millard God ako na wewe....mungu muweza wa yote am akenyan bt nimeumia tu,anyway kazi ya mungu kwakweli haina makosa
Mungu atawashika mkono
Pole sn
Ruge was something special
Naamini atatokea km Ruge. Tumuamini mungu. LET TRUST GOD. watu wengi wameguswa. R. I . P Boss Ruge.
Mtangazaji yuko maakin na kazi yake sie m babaikaji thumbs kwake RIP RUGE
pole mchaga wetu
pole sana na pole kwa sisi wote wana wa bukoba
Ayo unaweza
Hongera kwa kumuhoji boss wako
Nakupenda Sana Millard bcoz ww ni Muazi Sana wa Maisha
Poleni mwaya
Fuata nyayo za boss kk nakuona ukiwa mbal. Mungu akutangulie
Pole millady
Pole 😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
R I P ruge tutakukumbuka daima mungu akupe mwanga wamilele