MILLARDAYO: IMENITOA MACHOZI, BOSS RUGE AMENIIBUA NAJIULIZA NANI ATATUSHIKA MKONO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 03. 2019
  • #RIPRugeMutahaba #JasiriMuongozaNjia
    Millardayo anasema Watanzania watumia shuhuda zilizosemwa na Watu kama mfano kwa kuwa Boss Ruge alikuwa ni mtu anae amini kwenye vipaji bila elimu kubwa na kuna mengi anatamani yaendelee kuishi ikiwemo nyumba ya vipaji THT.

Komentáře • 253

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 Před 5 lety +61

    Huyu kijana wa milad ayo,yuko makini sana ni mtangazaji mzuri kweli anatuwakilisha fresh mkoani

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Před 5 lety +149

    RIP Ruge!! Pole sana Millard, ila nina Imani wewe unaweza kua Ruge angalau kwa 80%. U can

    • @nAVIDtz
      @nAVIDtz Před 5 lety +2

      Hata mimi nina imani hio... RIP Boss Ruge

    • @antoinekatembo8124
      @antoinekatembo8124 Před 5 lety +2

      Of course! Ndiyo Ayo anaweza kufanya vizuri kweli, jamaa huyo Ayo anamoyo wa kipekee pia

  • @antonymchina3254
    @antonymchina3254 Před 5 lety +464

    kama unaamin milad ayo anauwezo wa kufikia asilimia 80 ya ruge gonga like

    • @evaevance5932
      @evaevance5932 Před 5 lety +2

      Antony Mchina hata Mimi naunga mkono

    • @berithaandersonn2234
      @berithaandersonn2234 Před 5 lety

      Kabisa

    • @mariyaal5366
      @mariyaal5366 Před 5 lety

      Kweli kabisa

    • @felixmsale9244
      @felixmsale9244 Před 5 lety

      Milard unaweza sana sana unaweza kua hata zaidi lkini kwa namna yko .kwa sabb kila mtu ana namna yke ya utendaji wa jambo lolote lile.Milard keep on your an excelent profesional journalist .

    • @maunoutamu4370
      @maunoutamu4370 Před 5 lety

      Ayo be ruge and try it you can unaweza zaidi believe your self and we believe you,but R.I.p ruge god be with you

  • @ngoshamchele9664
    @ngoshamchele9664 Před 5 lety +45

    Kaka nakuombea kwa Mungu uwe na moyo kama wa Bo's wako,pole millady

  • @wazarendotv7966
    @wazarendotv7966 Před 5 lety +41

    KAMA UNAAMINI MILARD ANA HESHIMA NA HURUMA NA NIDHAMU NA ATAJAZA KWA ASILIMIA KUBWA YA PENGO LA BOSS RUGE EBU GONGA LIKE WATU WAONE ATA KAMA MILARD ALIPATA ZERO DARASAN

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před 5 lety +32

    Millard katika clouds nakuona utafika asilimia angalau 90% you are so talented, alafu upo real

    • @lucymboje3487
      @lucymboje3487 Před 5 lety

      Kweli kabisa alikuwa boss was aina take r.i.p ruge

  • @marygabagambi3342
    @marygabagambi3342 Před 5 lety +51

    Mwenyez Mungu akuzidishie hekima ukawe Ruge wa II, Milad u can!!!

    • @kechegwakechegwa6088
      @kechegwakechegwa6088 Před 5 lety

      Miradi nakukubali sana unaweza kuendeleza ya Marehemu mkafanikiwa wote

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino4958 Před 5 lety +154

    Kufa kufaana wakati wako Ayo kuwa bos Ayo naamini ww ndio utakae ziba pengo la ruge asilimia 90 gonga like kama unakubali kama milladardayo mdawake wakupiga pesa umefika.

    • @witnessaloycemafuru9152
      @witnessaloycemafuru9152 Před 5 lety

      puji montana pachino hahaa aya bana

    • @mohamudosman9505
      @mohamudosman9505 Před 5 lety

      Namkubali ayo

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 Před 5 lety +3

      Ata kipindi kanumba anakufa tulisema ray atazima pengo lakin haijawa ivo me naamin nafasi ya mtu ni ya mtu tu akiondoka hakuna anaeweza kufiti hakuna wa kuziba pengo la ruge millado atabak kuwa millado na ruge ni ruge

  • @abuuanwar0076
    @abuuanwar0076 Před 5 lety +16

    Omeongea vizuri sana Millard.. Very matured.

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 Před 5 lety +54

    You are the next Ruge wewe na Barnaba mmoja hapo awe kiongozi

  • @superiorsucces5388
    @superiorsucces5388 Před 5 lety +52

    kama unamkubali millard ayo bure kama mimi weka like tujuane

  • @dicksonulotu9717
    @dicksonulotu9717 Před 5 lety +87

    Millady Ayo Mungu akusimamie ukawe Ruge Clouds

  • @emanuelmushi6878
    @emanuelmushi6878 Před 5 lety +18

    Huyu milard anaeza kua kama ruge au zaidi kabsaaa'wanasemaga nyota njema huonekana asubuhi'yani uyu ni ruge namba mbili

  • @BidayoTV
    @BidayoTV Před 5 lety +27

    #Millard nilitamani kusikia sana unasema nini kuhusu na msiba huu wa kitaifa. Asante na pole sana Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu. Pole sana #clouds#THT na watanzania wote.

  • @tempolo9964
    @tempolo9964 Před 5 lety +45

    Miongoni mwa Binadamu wachache waliobaki nchini ni pamoja na Millard Ayo... Tuwaoneshe upendo angali wako hai kwa kazi zao na juhudi zao.

  • @leemassawe8968
    @leemassawe8968 Před 5 lety +10

    Kama unamkubali milad ayo gonga like apooo

  • @patrickpaschalhape1431
    @patrickpaschalhape1431 Před 5 lety +21

    Millard ayo anahojiwa na Millard ayo... R.IP Boss RUGE

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 Před 5 lety +43

    hakuna bossy anayependa maendeleo ya mfanyakaz wake luge naona alikuwa tofauti

  • @K25795
    @K25795 Před 5 lety +10

    Kama nawe umeguswa kwa ruge kutoweka gonga like hapaaaa

  • @alexchungu8823
    @alexchungu8823 Před 5 lety +2

    From Texas, nawapata vizuri sana, r. I.p ruge the boss.

  • @mukhsmaujanja6416
    @mukhsmaujanja6416 Před 5 lety +1

    pengo la boss luge ni kama la #kanumba..#shalo milionare ..#sajuki n.k..
    haliwez kuzbika..mungu humuumba kla mtu na baraka za kipekee

  • @crollinpatrick4964
    @crollinpatrick4964 Před 5 lety +6

    Ruge alipendwa na wengi kama yeye alivyowapenda na kujitolea kwa hali na mali kuona wengine wanafanikiwa. Lakini ukweli ni kwamba maandiko lazima yatimie na yametimia. Ruge tushamzika na amekwenda hatupo nae tena. Ni ngumu kuamini nakukubali matokeo. Tusikate tamaa kuona itakuaje bila Ruge, tukikata tamaa hata yeye huko aliko tangulia hatokua na furaha kwani lengo lake lilikua kuwainua vijana ili wajitegemee, moja ya mfano ni Millard ayo kufungua media yake binafsi bila bosi wake kujua na alipojua alimpongeza na kumsaidia, hii inadhihirisha ni nini hasa lilikua lengo la Ruge kwa vijana na jamii kwa ujumla. Tujipange upya kwa maisha bila Ruge. Maisha lazima yaendelee. RIP Ruge.

  • @boazsebastian358
    @boazsebastian358 Před 5 lety +25

    Kati ya watangazaji ninao wakubali ni miradiayo ni kijana mwenye sauti nzuri ya utangazaji sauti yake naifananisha na sauti ya Barwani muuza ,R.IP kaka ruge

  • @condradedwin1088
    @condradedwin1088 Před 5 lety +9

    siku zote nakuamini sana kamanda wangu big up sana na umeumia sana but kazi ya mungu haina makosa tumwombee tuu boss ruge najua nawe ipo sk kwa haya unayoyafanya kwa watanzania leo utakimbukwa tu bro

  • @amshlynebaby8495
    @amshlynebaby8495 Před 5 lety +10

    pole sana aki niliumia poleni sana tz from 254

  • @pettyjongera1295
    @pettyjongera1295 Před 4 lety

    Wallah Ally Kiba ulinifurahisha sana na kuongeza heshima yako kwa jamii kwa hiki kitendo cha ww kufika hadi Bukoba kumzika boss,,,,,,,,siyo mijitu ya Tandale haina shukrani

  • @innocentkimata7274
    @innocentkimata7274 Před 5 lety +5

    Kiukweli RUGE alikuwa mtu muhimu sana yaaan amekuajili kwenye media yako na ww unafungua media yako ila still unafanya kazi kwake na mshahara unakupa kiukwel maboss wachache sana wanaoweza kufanya hivyo...!!

  • @habarikaonlinetv
    @habarikaonlinetv Před 5 lety +22

    My role modo Millard ayoo

  • @rashidbakarisaid6985
    @rashidbakarisaid6985 Před 5 lety +12

    Sema Nini Millard Umefanana na Sauti yako bigUpsana

  • @condradedwin1088
    @condradedwin1088 Před 5 lety +6

    pole mtu wangu wa nguvu, one day yes tutaona nawe heshima zako pole pole R. i. p ruge mwamba, jembe,kiongoz,daaa sijui nieseme nn

  • @josej9888
    @josej9888 Před 5 lety +38

    Siku zote wema nawatu wenye roho nzuri huwa hawaishi miaka mingi hapa duniani.

  • @bimaisarankamia4153
    @bimaisarankamia4153 Před 5 lety +1

    Milady anasauti nzuri mashaallh

  • @celinamgundoi5601
    @celinamgundoi5601 Před 5 lety

    Mungu aipumzishe Roho ya Boss ruge Mahalia pema peponi Amina

  • @carolinejackson1959
    @carolinejackson1959 Před 5 lety

    Msiba hauzoeleki, maombolezo hayaishi, uhai ni gharama isiyolipika.. kwa aliyefiwa na mtu wa karibu najua anaelewa sana, kinachouma zaidi wanakufa wale ambao wana mchango chanya kwa jamii.. pumzikeni kwa amani tunaamini njia ni moja 🙏

  • @gracekaniki789
    @gracekaniki789 Před 5 lety +28

    Unamuhoji boss wako

    • @tatuyussuf7574
      @tatuyussuf7574 Před 5 lety +1

      Namm ndonaona anamuoji my..

    • @jicholafursa7058
      @jicholafursa7058 Před 5 lety +1

      hahh afu humwiti boss,wakati yy anamwita mkubwa wake boss

    • @shaffihsiraji3141
      @shaffihsiraji3141 Před 5 lety +2

      Grace Kaniki dogo yupo kazini ndo ujue wanafanya kazi vizur na kwa ushirikiano boss mwenyewe haijarishi kahojiwa na nani amejielezea vizuri ametoa ushirikiano mzur kiufupi wako vizuri

  • @chefamos4422
    @chefamos4422 Před 5 lety +4

    Aaah inauma,ila mungu muache aitwe mungu.Amini Millard ayo 100% ndie ruge ...give m like kama unaamini kweli nayoongea

  • @johanithatiba9616
    @johanithatiba9616 Před 5 lety

    Mungu ampumzishe pahala pema. Pole sana bro! Kazi yetu tulobaki ni kumuombea.

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 Před 5 lety +2

    Be strong millard Mungu yupo pamoja nanyi

  • @daviyona6797
    @daviyona6797 Před 5 lety

    Kazi ya mungu haina makosa.... Kampenda zaidi.... Pole my brother

  • @iddiking6963
    @iddiking6963 Před 5 lety +15

    Kwel watu weng wameumia lakn binadamu tuelewe maisha yanapangwa na mungu ndo maana maisha yanamwisho

  • @bestchapman2527
    @bestchapman2527 Před 5 lety

    pole sana Millard Ayo, M/MUNGU awape faraja ndg jamaa na marafiki wote walooguswa na msiba huu! inauma kiukwel...

  • @dorisndossi4734
    @dorisndossi4734 Před 5 lety

    Pole millad your lovely with open hearts unaweza uwa kama ruge Mara 90 achana na mambo ya degree baba akiili uko nayo

  • @mohammedihamisimoblack8878

    Yani katika mtu/ mtangazaji ambaye namuelewa hapa nchini Millard nakuelewa sana na kama nikipata mtoto wakiume aisee ntamuita MILLARD...narudia tena Millard nakuelewa mno braza napenda sana kazi yako aisee iwsh ndo ningekuwa mimi ndo wewe

  • @allymsuya5753
    @allymsuya5753 Před 5 lety

    Good Interview na Pole Millard Ayo

  • @bahatimsingwa9123
    @bahatimsingwa9123 Před 5 lety +1

    Pole Sana Millard Ayo!!

  • @zulfazame6871
    @zulfazame6871 Před 5 lety +2

    Nataman sana kuongea na mtu wa Clouds hushuhuda wangu jins ruge alivyo nisaidia bila kukutana nae Nataman 😢😢😢

  • @shamsaismail7707
    @shamsaismail7707 Před 5 lety

    Innalillahi Wainna Illayhi Rajiuon..pumzika kwa Amani Ruge InShaAllah mola atawaleta Ruge wangine kwa uwezo wake Allah...

  • @amiriramadhan7753
    @amiriramadhan7753 Před 5 lety

    Mnyama milard nakukubali sana Mwanangu

  • @emmypaul7455
    @emmypaul7455 Před 5 lety +1

    Nakupendaga Sana😍😍😍

  • @nzisakasau8234
    @nzisakasau8234 Před 5 lety

    pole sana Millard Ayo mungu mwenyewe hawafariji

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před 5 lety

    Kama ingelikua binadamu anakata rufa ya kifo mbele ya mungu na sisi tukngekata rufa turudishiwe ruge tuliye mpenda hapa duniani lakini tumeshindwa si juu tufanyeje . Ni wimbo wa marehemu marijani rajab mungu awalaze mahali mwema peponi amin

  • @minemediaonline4467
    @minemediaonline4467 Před 5 lety

    Binafsi sina ninaloweza kusema kwamba Ruge amelifanya kwangu, ila kwa shuhuda sa mamia ya watu enzi za uhai wake na baada ya umauti kumkuta zinanipa kufahamu Ruge alikuwa mtu wa tofauti sana. Niwapongeze sana ambao mmepata nafasi ya kusaidika nae ila niwasihi msiache kushare na wengine ambavyo mmevipata na zaidi ya yote niwapongeze mliothubutu kumzungumzia tangu akiwa hai.......

  • @faithflaviana7806
    @faithflaviana7806 Před 5 lety

    Mungu atakusaidia miladayo utapata mtu kama ruge

  • @julianarichard574
    @julianarichard574 Před 5 lety +5

    Mmeru mwenzangu pole na wengine woteee polen sana jamn R.I.P RUGE the BOSS

  • @mamahustru
    @mamahustru Před 5 lety +2

    Huyu Ruge alikuwa mtanzania wa ajabu kweli. Mtanzania anayependa wengine wafanikiwe hata Kama yeye hafaidiki na mafanikio Yao? Asiyemchoyo hata wa maarifa tu? Aliyeamua kusaidia wengine hata asiowajua na bila ya kujitangaza kwamba anasaidia huyu na yule? Kweli alikuwa tajiri wa roho.

  • @hawaaziz8710
    @hawaaziz8710 Před 5 lety

    Poleni Sana ......msikate tamaa nanyinyi pia mfate mfano wa Ruge....msichague wala kuduarau watu

  • @mwariworld6547
    @mwariworld6547 Před 5 lety

    Mwenyezi Mungu awape nguvu wakati huu mgumu .....rip boss Ruge .dearly missed .

  • @estermwambuzi8728
    @estermwambuzi8728 Před 5 lety

    Hongera Sana Milard

  • @tabbymwalukumbi8865
    @tabbymwalukumbi8865 Před 5 lety

    Pole Sana

  • @danyrobertz2078
    @danyrobertz2078 Před 5 lety

    Napenda Millardayo ushike nyendo zake

  • @azizacleny8677
    @azizacleny8677 Před 5 lety

    milard unaweza big up kwako kaka

  • @johnbernad1529
    @johnbernad1529 Před 5 lety

    Pole sana milad bwana alitoa na bwana ametwaa jinalabwana libarikiwe AMINA 🙏

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 Před 5 lety

    Mi uwa na amini matukio yakitolewa na Millard na clouds poleni mungu awape subra alale pema ruge mutahaba amen

  • @HabilyTech
    @HabilyTech Před 5 lety

    Pole sana millard ayo

  • @roidatadey8656
    @roidatadey8656 Před 5 lety

    Pole sana sana

  • @maureenmwimano1973
    @maureenmwimano1973 Před 5 lety

    poleni sana millard ayo

  • @emmanuelshayo7023
    @emmanuelshayo7023 Před 5 lety +2

    Miladi you are Ruge walk on his dream

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo1131 Před 5 lety +1

    Pole Millard

  • @HajiShikali
    @HajiShikali Před 5 lety

    Pole sana mzee baba

  • @ashashabani4210
    @ashashabani4210 Před 5 lety

    duuuuhhh jamani mungu alimpa roho nzuri mungu amuweke mahala pema peponi amiina

  • @mcjayz8686
    @mcjayz8686 Před 5 lety +2

    Dar kweli millard ayo wewe ni mtu wa watu nakuelewa

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 Před 5 lety

    Pole sana broo milard

  • @eutychusmotanyatv
    @eutychusmotanyatv Před 5 lety

    Pole aisee

  • @madolovetanzani248
    @madolovetanzani248 Před 5 lety

    Pole sana mila

  • @raphaelluyela5666
    @raphaelluyela5666 Před 5 lety

    Millady-ayo Pole Kaka tumeumia wote-ruge jembe-umeongea pw-hakika jipangeufikie kuwa-kipenzi chawananchi na mazuri aloyafanya ruge-inawezekana2 kikubwa-binafsi ruge-nimejifunza mengi(1)ukalim alokuwanao,kumheshimu kila-mtu,nakusikiliza shida/pia Mtoa ushauri mzuri wakujiamini naweza pambana-alitueleza ccm-kirumba ktk-fulsa ya ujasilia mali/mengi Sana aliongea alitushauri usibague Kazi,hakikisha unapata ridhiki halali-ukweli meng-mengi namkumbuka-leo tunapambana nipo-nitafika(apumzike Kwa amani-amina)

  • @bijumakassim3697
    @bijumakassim3697 Před 5 lety

    Pole bro Allah awape subra

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Před 5 lety

    Your next millard nakutabilia mbali sana

  • @bakariluhala7332
    @bakariluhala7332 Před 5 lety

    Poleni sana ayo

  • @ziadaalute6836
    @ziadaalute6836 Před 5 lety

    Mungu atalipa Ruge,anaswadakat jaaria kubwa sana.

  • @AFRICANBRO
    @AFRICANBRO Před 5 lety

    @millardayo.....I can feel your pain....machozi yanakulenga. Pole sana bro.....its hard kufunguka ki ukweli. 😭😭😭poleni

  • @stellaloves9879
    @stellaloves9879 Před 5 lety

    Poleni Sana Ruge pumzika kwa Amani

  • @lucymwega784
    @lucymwega784 Před 5 lety +32

    hizo dislike mnafikiria nini ama ninyi ndo mafreemason pateni kushindwa

    • @dorcaschris4097
      @dorcaschris4097 Před 5 lety +2

      hahahahhaa ndio hao hao

    • @jackiejackie1272
      @jackiejackie1272 Před 5 lety +1

      Wengine hawajui maana ya ilo dole lililoangalia chini kama mim mwanzo nilikuwa sijui

    • @bethadickson5242
      @bethadickson5242 Před 5 lety

      kwakwel labda freemason

    • @lucymwega784
      @lucymwega784 Před 5 lety

      @@bethadickson5242 ni mahaters unashindwa hadi kwenye msiba

  • @machasofficialsite6221

    Dah ni mtu wa mfano alikuwa brother aisee,Ruge Mutahaba ...kuhusu boss kupenda mafanikio ya mfanyakazi wake mmmh ni wachache mno RIP BOSS MUNGU NI MWEMA MNO KUKUJALIA KUWEPO KWA UMRI ALIOKUJALIA ,NA KUFANYIKA DARAJA LA WENGI....RIP BOSS TANZANIA,THT WANA CLOUDS TUTAKUKUMBUKA MNO

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 Před 5 lety +2

    R. I. P ruge Millard ayo ww unatakiwa ushike nafac ya boc naamin ww unaweza 100% nakukubal sn

  • @AnitaAnita-zz9xz
    @AnitaAnita-zz9xz Před 5 lety

    Don’t worry Millard God ako na wewe....mungu muweza wa yote am akenyan bt nimeumia tu,anyway kazi ya mungu kwakweli haina makosa

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 Před 5 lety

    Mungu atawashika mkono

  • @janethmaginga8160
    @janethmaginga8160 Před 5 lety

    Pole sn

  • @godfreyndyanabo2462
    @godfreyndyanabo2462 Před 5 lety

    Ruge was something special

  • @ashabakke4733
    @ashabakke4733 Před 5 lety

    Naamini atatokea km Ruge. Tumuamini mungu. LET TRUST GOD. watu wengi wameguswa. R. I . P Boss Ruge.

  • @mwanamisp0fu760
    @mwanamisp0fu760 Před 5 lety

    Mtangazaji yuko maakin na kazi yake sie m babaikaji thumbs kwake RIP RUGE

  • @anastaziadakho1161
    @anastaziadakho1161 Před 5 lety

    pole mchaga wetu

  • @ratwifamajid3383
    @ratwifamajid3383 Před 5 lety +2

    pole sana na pole kwa sisi wote wana wa bukoba

  • @tazamaelimbise8467
    @tazamaelimbise8467 Před 5 lety

    Ayo unaweza

  • @mussaabdiel9797
    @mussaabdiel9797 Před 5 lety

    Hongera kwa kumuhoji boss wako

  • @manofgodbabazero9237
    @manofgodbabazero9237 Před 5 lety

    Nakupenda Sana Millard bcoz ww ni Muazi Sana wa Maisha

  • @mwanajumaomahundumla6504

    Poleni mwaya

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 Před 5 lety

    Fuata nyayo za boss kk nakuona ukiwa mbal. Mungu akutangulie

  • @husnauthman7609
    @husnauthman7609 Před 5 lety

    Pole millady

  • @sophiamose1328
    @sophiamose1328 Před 5 lety

    Pole 😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏

  • @aishamohamed4412
    @aishamohamed4412 Před 5 lety

    R I P ruge tutakukumbuka daima mungu akupe mwanga wamilele