Salum Said ovyo ana ukubwa gani kwenye nchi hii acha mihemko kubwa Mungu tu ndani ya taifa wapili Rais watatu makamu wa Rais wanne Waziri mkuu watano jeshi wasita polisi wasaba wananchi who is diamond by the way ukubwa my foot
@@janesuma2193 acha majungu wew mond ananafas yake et mihemuko tatzo wivu ndo umewajaa watz mwenzio akiwa juu na wew muombe mungu akujalie baraka na wew uwe juu
Mama Diamond. Hongera sana. Mungu amekupa Diamond iangalie. Binaadam wengi wamejaa Husda. Watu wanakimbia watoto zao, wewe umempa Mwanao. Leo tunakula matunda. Mdomo ya watu inatereza kama vibogoyo.
God blesss u 4rever kama ulivyo we ni mpole waache waongeee maana huwa hulipiz baya kwa baya ungekuwa mkristo ningekuita mlokole maana unayatenda ya kimungu
Diamond ni miongoni mwa watanzania wachache kwenye sanaa ambao wamekataa kuumizwa kimaslahi. Hana ugomvi wa tofauti na maslahi na marehemu ruge. Alihojiwa Mara kadhaa na media tofauti tofauti hapa nchini alirudia maneno yaleyale kuwa aliumizwa na media ya clouds na hata wafanyakazi wake wote kwa kushinikizwa na Ruge,lakini kufika kumzika ni jambo jema kwani kila nafsii itaonja mauti. Hongera diamond kwa utu huo na nakuoongeza kwakutokuwa mnafiki juu ya kuumizwa kwako. Mafanikio yako yametokana na wewe kuongeza juhudi kupinga kunyanyaswa. Ipo siku wengi watatambua kuwa hukuwa na ugomvi tofauti na kutafuta maisha. Mungu azidi kukupa moyo na utafanikiwa zaidi. Naamini kuna mema alikufanyia ruge lakini kuna mabaya pia yalikuumiza na ndiyo maana uliamini kuwa ruge ni binadam mwenzio na alikuwa mshindani wako ktk maisha na ukamsindikiza ktk Makazi yake.
KIUKWELI tunaomiliki pesa kama mimi tunakuaga na kiburi but dimond umenifunza kuishi kibinadamu zaidi kuliko kipesa rasmi nakutoa team dudu -napenda unavyompenda mama ..maisha yako yangekuwa njia tungelipishwa wapitaji R.I.P Mr Ruge and 4give Mr dudu oil chafu hata akija ulipo mpe mkono msamehe kwani uhai siyo bando
Si uliacha kupost Sasa leo unamanixha nn kupost kwenye hichi kpindi bnadamu bhna hkuna mngu kwenye hii dunia wote tunapita umeonyesha uzaifu mkubwa usio. Na faida na tulixhakusamehe mda mlefu ila jua kila bnadamu ana liziki zake na hkna anaeweza ziba mkubwa Ni mungu 2 tuendelee na maisha ndgu
Sidhani kama kaenda kwa sababu kaitwa au kaambiwa na mtu fulani nafikiri nafsi yake mwenyewe imeamua na alijua atakwenda lkn muda gani alipanga mwenyewe jamani kila jambo na wakati wake.
Dunia bwana inavituko kwenye misiba ya watu watu wanatupia. Masudi jameni upendo wetu si wa ndani Bali wa inje ndani tumeja majivuno tu mwenyezi Mungu atusaidie kwa kweli.
Yan kiki ad mxban!??mxhiiiiuuu................,sut ya blue km umekuja kwenye part?🙄🙄🙄,nan kakudesign?cz hyo n zamb alokufanyia,km n ww mwnyw!😁😁😁,rud kwa zari tu😆😆😆
Yani misiba ya siku hizi mmmm mhhh kujipepea tu nakujifuta viatu utafikili kaburini Kuna leso ama kiwi mnakera bora mngekaa majumbani hovyo kabisa mwenzenu hawezi hata kujikuna badili mtafakali ukuu wa Mungu mnaleta usafi msibani
Hakuna siku niliyofurahi Kama Leo, my brother Millard ayo Huo Ndo ukubwa! endelea hivohivo, ya kale tuyazike tuanze upya safari! usichoke kupost anything related to WCB Au Diamond! tunajenga taifa moja!
#AYO SAFI SANA UJUE ULIKUWA UMEPOTEZA MASHABIKI WENGI SANA KWA KUTOPOST INSU ZA #MOND ambao wanaamini kuwa sasa #miladayo atarudi moto kama zamani gonga like
jamani chekini vizuri hapo hamisa anatamani kuama siti usiombe kudate na mwanaume asiyekupenda wanawake mupo hapo ni unatamani umwagie mavi jitu ataukilizalia alioni girls wake up.
Diamond platinumz is back on millardayo ayo channel. Congratulations
hongera millard ayo maana imepita kitandambo ujampost DIAMOND atimae leo umempost uwo ndo ukubwa
Hadii nimeshangaaa ayoo kumpost diamond
Vzr
Imenifurahisha pia
kila kitu huwakinaisha nae mtu ametambua nini anapaswa kufanya big up ayo boy ayo tv
hamisi sheby nA Leo ayo kwa kumpost mondi kafkisha viewer million moja ndan ya masaa machache
Umefnya Jambo jema diamond kwan sisi tunakubali kile chenye kuamini upendo na mshikamoo ni kitu kizuri,🤨
That's good !!maana wabongo mngechonga sana But also kawafanya had Ayo tv kupost Nimefurahi sana
U did very good Mashallah 2 come Diamond!
Naseeb Abdul Diamondplatnumz wewe ni zaidi ya Mwanamuziki bora hakika wewe ni#Good Leader.
Ally Faraji Kimbilimbi for u
Respect platnumz... we ni mkubwa Kwenye nchi hii.... tulichotarajia ndo umekifanya
Salum Said ovyo ana ukubwa gani kwenye nchi hii acha mihemko kubwa Mungu tu ndani ya taifa wapili Rais watatu makamu wa Rais wanne Waziri mkuu watano jeshi wasita polisi wasaba wananchi who is diamond by the way ukubwa my foot
@@janesuma2193 acha majungu wew mond ananafas yake et mihemuko tatzo wivu ndo umewajaa watz mwenzio akiwa juu na wew muombe mungu akujalie baraka na wew uwe juu
No beef...... platnumz anajulikana ni nani? Kwenye nchi... ata rais wa nchi hii anamjua...
Pumbavu kabisa kashindwa kumsamee baba yakemzazi kifula uyo mzoga kaenda kutowa miali tu.
Hamisa na Mond, msiba wa Ruge umeunganisha😂😂😂😂😂😂
Averina Marco 😂😂😂😂😂
nimefulahi sana kuona simba amemsikiliza mjomba uwo ndo utanzania unavyo takiwa sikwa Rugetu na kwababayako msameetu mungu atazidi kukupa nulu na balakatele
Kweli kabisa
uko poa sana
Hkika Jama 4
Kama umemuona Dada anamuangalia sana simba gonga like
😁😁
Yani loh wanaume ndo tena yuko na bby tanash ningekuwa mm hamisa ningehama hapo
@@janejohn7211 waacha wivuu weeeee Jane
yaaan ad dhambi jaman
Black Son Ismael yaani macho yake kwa diamond tu😂😂
Baada ya longtime leo umempost good Ayo tv
wamejifunza kitu
Yaani binadamu hamna jema ameenda kushiriki msiba mnamnanga asingeenda mngemnanga pia, kuzika mtu ni majaaliwa nyie ndg zenu,marafiki,majirani wanaowazunguka walipofariki mlishiriki misiba yoote inayotokea? Acheni uchawi wa maneno
True kabsaaaa
Wambie
Sasa mbona unaesema hivo ww
Atuganile Swedy pumbav watu
Alivokua ajaja maneno kibao
Kaja bado wanasema
@@ebbyramadhani binadamu hatubebeki
Kama umemona hamisa akimpiga chabo mondi gonga like hapa
Wangap tunamuona Hamisa mobetto aka Mama daylaan kwa mbali
Jackson Alex acha ujinga
@@rutashobyanovath1116 Sasa Jackson kafanya ujinga upi jmn
Namuona ameshikwa na msisimko wa damu, restless, camera sizimchukue akimwangalia Simba waanze udaku Kwa mitandao
😘😘😘😘😘Kweliii msamaha umepita...Lets live peacefully tumoveeee on ...Pale alipopaachilia boss bhas tukapate kupaendeleza....😍😍😍
Milardayo leo Diamond plutnumz uwendele tu tena Boss ndo hayupo tena! Congratulation
Mama Diamond. Hongera sana. Mungu amekupa Diamond iangalie. Binaadam wengi wamejaa Husda. Watu wanakimbia watoto zao, wewe umempa Mwanao. Leo tunakula matunda. Mdomo ya watu inatereza kama vibogoyo.
God blesss u 4rever kama ulivyo we ni mpole waache waongeee maana huwa hulipiz baya kwa baya ungekuwa mkristo ningekuita mlokole maana unayatenda ya kimungu
watu bwana yaani hatuna jema wakati hajaenda mnamsema amekwenda bado yaani sijui afanyeje na wakati mnasema yeye yuko kimya wala hakusema haendi.
Jamani siageniajiri niwe na mbebea mamake kipochi nipate riziki 👌👌👌
Umefanya vizuri kuhudhuria SIMBA🙏🏻UTABAKI JUU MPAKA ILE SIKU Utatangulia mbele za haki🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Jamani mumemuona mond namiheleni kama anaenda kupiga show Amisa anamuangalia kwakuibia ibia mmeona
hakuna kitu kama mama hongera diamond kwa kumpenda mama yako
Nakwambia MTU ni mamake Salma
Salma Masuod : baba Hana maana???????
RIP Ruge
Diamond ni miongoni mwa watanzania wachache kwenye sanaa ambao wamekataa kuumizwa kimaslahi. Hana ugomvi wa tofauti na maslahi na marehemu ruge. Alihojiwa Mara kadhaa na media tofauti tofauti hapa nchini alirudia maneno yaleyale kuwa aliumizwa na media ya clouds na hata wafanyakazi wake wote kwa kushinikizwa na Ruge,lakini kufika kumzika ni jambo jema kwani kila nafsii itaonja mauti.
Hongera diamond kwa utu huo na nakuoongeza kwakutokuwa mnafiki juu ya kuumizwa kwako.
Mafanikio yako yametokana na wewe kuongeza juhudi kupinga kunyanyaswa. Ipo siku wengi watatambua kuwa hukuwa na ugomvi tofauti na kutafuta maisha.
Mungu azidi kukupa moyo na utafanikiwa zaidi. Naamini kuna mema alikufanyia ruge lakini kuna mabaya pia yalikuumiza na ndiyo maana uliamini kuwa ruge ni binadam mwenzio na alikuwa mshindani wako ktk maisha na ukamsindikiza ktk Makazi yake.
KIUKWELI tunaomiliki pesa kama mimi tunakuaga na kiburi but dimond umenifunza kuishi kibinadamu zaidi kuliko kipesa rasmi nakutoa team dudu -napenda unavyompenda mama ..maisha yako yangekuwa njia tungelipishwa wapitaji R.I.P Mr Ruge and 4give Mr dudu oil chafu hata akija ulipo mpe mkono msamehe kwani uhai siyo bando
Daaaah diamond anapitia mengi sanaa japo bado ni mdogo
Daaa bifu la boss hata mfanyakaz n lako hata kam hupendi ,,,,iishee tuu achen uchawi sanaa moja af utoto kam wote
Wa kwanza leo....#R.I.P RUGE MUTAHABA
ss sote n njia ye2
Hakuna kitu kizuri kama Mama kumpenda wanae Mama Dee Hongera kwa upendo huo huo kwa mwanao.......!! Tunaomba Tumuone Baba Dee na Mondi Pamoja
Si uliacha kupost Sasa leo unamanixha nn kupost kwenye hichi kpindi bnadamu bhna hkuna mngu kwenye hii dunia wote tunapita umeonyesha uzaifu mkubwa usio. Na faida na tulixhakusamehe mda mlefu ila jua kila bnadamu ana liziki zake na hkna anaeweza ziba mkubwa Ni mungu 2 tuendelee na maisha ndgu
Leo nimeview kwa millard baada muda mrefu simbaaaa
Kama mm yaan
Mmmhh nyie xi mlkuwa hampoxt k2 chcht cha mond nini tena we Mallard Ayo
Hamisa stil needs Diamond huhuhu mwanamke akomi uyu aya wangapi wanaamini Diamond atarudiana n Hamisa
Nimefulai sana
Nilichofurahi mimi nikuona ayo tv kumposti diamond.... kweli tunafungua dunia kwa mambo mapyaaa... gonga like kama umeipenda hii😁😁
Hata mm yaan
Safi sana Diamond 👏🏾
Sanaaaa
Mm na angalia vile wana angalia a na Hamisa eti. Huyu anajifanya anaongea na yule na jicho lipo huku. Hamisa usiogope kumwangalia
😂😂😂😂😂
Ni kweli
Kumbe hata we umeona hahahaaa
duuhh leo millard umempost diamond aiseee
Hamisa anaangaika anataka kujinyea,hahaa hatuliiii!aibu zimemjaaa!
poleni sana .watu muhimu siku zote hawadumu
ayo nakupenda unajielewa mungu akuzidishie
Wakwanza kukoment. R.I.P RUGE
Diamond and hamisa still love each other look at the body language 😎
Kilichokufanya upost nawewe nikipi akati hupostigi mambo yake kabisa.
Inawezekana ruge alikuwa anamkataza
Hataki kuleta utifauti Wa media, of coz millardayo anafanya kazi clouds.
Waliambiwa mond ni Kama maji usipoyanywa utayaoga
Chibuu,safii.kama umemuona mobeto gonga like hapa...
D bwana jishusha.usipende kua abudiwa kk
Ayo Leo umempost mond
Sidhani kama kaenda kwa sababu kaitwa au kaambiwa na mtu fulani nafikiri nafsi yake mwenyewe imeamua na alijua atakwenda lkn muda gani alipanga mwenyewe jamani kila jambo na wakati wake.
Millard leo umetisha.
kweli diamond ni maji aisee media ambayo haimpost lazima ife na ikitaka kukua lazima impost
Dunia bwana inavituko kwenye misiba ya watu watu wanatupia. Masudi jameni upendo wetu si wa ndani Bali wa inje ndani tumeja majivuno tu mwenyezi Mungu atusaidie kwa kweli.
Kama umegundua mirad ayo kapost kwamapenz yake gonga like twende sawa!!!!
Safi hadi millard leo kampost diamond nzuri hii
Safi sana milad leo umenifurahisha
Naombeni maana ya miwani mieusi msibani tafadhali maana ata wasioumwa macho huvaa sana siku ya msiba
hongera chibu kwa kuja
daaaah wabongo nanyi,tupungeze mdomo jaman mtu kaja bado mnaongea ya nn ss
kama umemuona madee tupia like
Aya Leo ndo umekua mwanaume... sio mambo ya kununiana... nashukuru umetoka habr ya simba
Ticha sana simbaaaa
Nani ameona hamisa mobeto akichomeka na jua Ila diamond ako na umbrella
Hahahaha
tatizo waandishi wetu wanashindwa kutofutisha msiba na sherehe sasa makamera kwafujo ya nn kwan huyo diamond ni nan hasa ku m babaikia hivyo?
waandishi wabongo ni wasenge sana diamond ni nan katika msiba fanyeni kazi Moja na si ujinga
juma mshana huma malimda wewe
juma mshana huna malimda wewe
Yani kweli wabongo sisi mungu atusamahe sana kwenye msiba tunatafutia kiki shikamoo sana walinzi
mond vip mze bb mbon wenge jingi
Huu ndo utu uzima Diamond anaonyesha. Sio Dudu Baya ambaye hajielewi kutukana marehemu.
Diamond salamia hamisa mobetto
Angekua wema angemsalimia
Yan kiki ad mxban!??mxhiiiiuuu................,sut ya blue km umekuja kwenye part?🙄🙄🙄,nan kakudesign?cz hyo n zamb alokufanyia,km n ww mwnyw!😁😁😁,rud kwa zari tu😆😆😆
😁😁😁 watu wnapepea atareee
Yani misiba ya siku hizi mmmm mhhh kujipepea tu nakujifuta viatu utafikili kaburini Kuna leso ama kiwi mnakera bora mngekaa majumbani hovyo kabisa mwenzenu hawezi hata kujikuna badili mtafakali ukuu wa Mungu mnaleta usafi msibani
Hakuna siku niliyofurahi Kama Leo, my brother Millard ayo Huo Ndo ukubwa! endelea hivohivo, ya kale tuyazike tuanze upya safari! usichoke kupost anything related to WCB Au Diamond! tunajenga taifa moja!
kila umoja ataki kumtizama mwenzake😅😅😅😅😅
Namuona tu hamisa akitiza kwa mondi hata hajaelekea kwenye jeneza
Hatimae nyege za clouds zimeisha, na Leo hii wanampost simba platinum, pumbavu nyinyi hamjui mondi ni kama maji 😎😎😎
Nimefurahi Sana my boss daimond plutnum 🙏 🙏🙏 🙏.
naona AyoTV unaanza kujileta taratibu uvumilivu umekushinda 😁😁😁
😀😀😀madame hiro kashindwa kuji zuwia
Nachofurah ni kuona hii story kwenye account ya millard ayo
Safi sana simba umefanya vzr
Hongera huo ndio uungwana
nimefurahi sana leo asante sana #diamond R.I.P ruge
#AYO SAFI SANA UJUE ULIKUWA UMEPOTEZA MASHABIKI WENGI SANA KWA KUTOPOST INSU ZA #MOND ambao wanaamini kuwa sasa #miladayo atarudi moto kama zamani gonga like
Na anavyopenda masifa itamjua tu
So at long last you have posted diamond platinumz
duh"na mmi nmekua limbea sipitwiii 😎
Kuna joto Dar. Suti ya nini mnateseka bure wakuu. Dress simple uwecomfortable
Naimani sasa mtakuwa sawa kwani msiba ndio unaopatanisha walio gombana
hahaha Dada ana jipepea Atari ana tamani ata aitwe na simba
Njia yetu sote mda tu kilamtu na wake , vizuri kuweka tofauti kando.Nitafurahi zaidi kuona anamsaidia baba ake ipasavyo.
mapenzi sijuwi kwanini hayana adabu kabisa .watu waliweza kuwa wapenzi mpaka kuza watoto ila utasema hawajuwaniii yani .mapenzi hayana adabuuu
nimefurah Sana kukuona
Vizuri sana Nasib kwa Kuhudhuria .
Daaah!! Hiz post za diamond kwenye ayo tv nilisha sahau
Safi sana Chibu
Kwani asingeenda yeye Ruge asingeagwa hovyooo
*WANACHUO WAMLILIA RUGE MUTAHABA WATOA NENO TATA KWA DUDU BAYA CHEKI HAPA LIVE*
czcams.com/video/RRMwnqXIDec/video.html
Uyu anaga kinyongo na mtu ila baazi ya watu wanataka aonekane anakinyongo na watu
kamaa umemuona hamissa anamkodo simba tupia like akoo apa
Wabongo mna ujinga . si mmeona simba kahudhuria... nilijua atahudhuria last mnts
jamani chekini vizuri hapo hamisa anatamani kuama siti usiombe kudate na mwanaume asiyekupenda wanawake mupo hapo ni unatamani umwagie mavi jitu ataukilizalia alioni girls wake up.