DIAMOND AIBUKA KUMUAGA RUGE MUTAHABA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 03. 2019

Komentáře • 353

  • @charlskpc1103
    @charlskpc1103 Před 5 lety +5

    Diamond platinumz is back on millardayo ayo channel. Congratulations

  • @viootanzania9080
    @viootanzania9080 Před 5 lety +78

    hongera millard ayo maana imepita kitandambo ujampost DIAMOND atimae leo umempost uwo ndo ukubwa

  • @alexanderson1805
    @alexanderson1805 Před 5 lety +17

    Umefnya Jambo jema diamond kwan sisi tunakubali kile chenye kuamini upendo na mshikamoo ni kitu kizuri,🤨

  • @masstv4582
    @masstv4582 Před 5 lety +7

    That's good !!maana wabongo mngechonga sana But also kawafanya had Ayo tv kupost Nimefurahi sana

  • @taraagire6176
    @taraagire6176 Před 5 lety +6

    U did very good Mashallah 2 come Diamond!

  • @allyfarajikimbilimbi6773
    @allyfarajikimbilimbi6773 Před 5 lety +2

    Naseeb Abdul Diamondplatnumz wewe ni zaidi ya Mwanamuziki bora hakika wewe ni#Good Leader.

  • @wizshine1904
    @wizshine1904 Před 5 lety +22

    Respect platnumz... we ni mkubwa Kwenye nchi hii.... tulichotarajia ndo umekifanya

    • @janesuma2193
      @janesuma2193 Před 5 lety

      Salum Said ovyo ana ukubwa gani kwenye nchi hii acha mihemko kubwa Mungu tu ndani ya taifa wapili Rais watatu makamu wa Rais wanne Waziri mkuu watano jeshi wasita polisi wasaba wananchi who is diamond by the way ukubwa my foot

    • @dastanbufe2436
      @dastanbufe2436 Před 5 lety +1

      @@janesuma2193 acha majungu wew mond ananafas yake et mihemuko tatzo wivu ndo umewajaa watz mwenzio akiwa juu na wew muombe mungu akujalie baraka na wew uwe juu

    • @wizshine1904
      @wizshine1904 Před 5 lety

      No beef...... platnumz anajulikana ni nani? Kwenye nchi... ata rais wa nchi hii anamjua...

    • @byaombealoys5967
      @byaombealoys5967 Před 5 lety

      Pumbavu kabisa kashindwa kumsamee baba yakemzazi kifula uyo mzoga kaenda kutowa miali tu.

  • @averinamarco5808
    @averinamarco5808 Před 5 lety +17

    Hamisa na Mond, msiba wa Ruge umeunganisha😂😂😂😂😂😂

  • @hkikajama6680
    @hkikajama6680 Před 5 lety +49

    nimefulahi sana kuona simba amemsikiliza mjomba uwo ndo utanzania unavyo takiwa sikwa Rugetu na kwababayako msameetu mungu atazidi kukupa nulu na balakatele

  • @blacksonismael2501
    @blacksonismael2501 Před 5 lety +109

    Kama umemuona Dada anamuangalia sana simba gonga like

  • @mohammedsuleiman1135
    @mohammedsuleiman1135 Před 5 lety +15

    Baada ya longtime leo umempost good Ayo tv

  • @atuganileswedy4830
    @atuganileswedy4830 Před 5 lety +63

    Yaani binadamu hamna jema ameenda kushiriki msiba mnamnanga asingeenda mngemnanga pia, kuzika mtu ni majaaliwa nyie ndg zenu,marafiki,majirani wanaowazunguka walipofariki mlishiriki misiba yoote inayotokea? Acheni uchawi wa maneno

  • @juniorvictor3658
    @juniorvictor3658 Před 5 lety +2

    Kama umemona hamisa akimpiga chabo mondi gonga like hapa

  • @jacksonalex7870
    @jacksonalex7870 Před 5 lety +32

    Wangap tunamuona Hamisa mobetto aka Mama daylaan kwa mbali

    • @rutashobyanovath1116
      @rutashobyanovath1116 Před 5 lety

      Jackson Alex acha ujinga

    • @mariamabdallah806
      @mariamabdallah806 Před 5 lety

      @@rutashobyanovath1116 Sasa Jackson kafanya ujinga upi jmn

    • @mwashkenya8589
      @mwashkenya8589 Před 5 lety

      Namuona ameshikwa na msisimko wa damu, restless, camera sizimchukue akimwangalia Simba waanze udaku Kwa mitandao

  • @sindyvibe7149
    @sindyvibe7149 Před 5 lety

    😘😘😘😘😘Kweliii msamaha umepita...Lets live peacefully tumoveeee on ...Pale alipopaachilia boss bhas tukapate kupaendeleza....😍😍😍

  • @hassanabuu6
    @hassanabuu6 Před 5 lety

    Milardayo leo Diamond plutnumz uwendele tu tena Boss ndo hayupo tena! Congratulation

  • @fatumamukete6839
    @fatumamukete6839 Před 5 lety

    Mama Diamond. Hongera sana. Mungu amekupa Diamond iangalie. Binaadam wengi wamejaa Husda. Watu wanakimbia watoto zao, wewe umempa Mwanao. Leo tunakula matunda. Mdomo ya watu inatereza kama vibogoyo.

  • @iungwadeogratius7893
    @iungwadeogratius7893 Před 5 lety

    God blesss u 4rever kama ulivyo we ni mpole waache waongeee maana huwa hulipiz baya kwa baya ungekuwa mkristo ningekuita mlokole maana unayatenda ya kimungu

  • @stevenhinjo9664
    @stevenhinjo9664 Před 5 lety +6

    watu bwana yaani hatuna jema wakati hajaenda mnamsema amekwenda bado yaani sijui afanyeje na wakati mnasema yeye yuko kimya wala hakusema haendi.

  • @MemsapSaum
    @MemsapSaum Před 5 lety

    Jamani siageniajiri niwe na mbebea mamake kipochi nipate riziki 👌👌👌

  • @chicharitoronaldo5950
    @chicharitoronaldo5950 Před 5 lety

    Umefanya vizuri kuhudhuria SIMBA🙏🏻UTABAKI JUU MPAKA ILE SIKU Utatangulia mbele za haki🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @madamcolethaa641
    @madamcolethaa641 Před 5 lety +3

    Jamani mumemuona mond namiheleni kama anaenda kupiga show Amisa anamuangalia kwakuibia ibia mmeona

  • @salmamasuod1472
    @salmamasuod1472 Před 5 lety +21

    hakuna kitu kama mama hongera diamond kwa kumpenda mama yako

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 Před 5 lety +1

    Diamond ni miongoni mwa watanzania wachache kwenye sanaa ambao wamekataa kuumizwa kimaslahi. Hana ugomvi wa tofauti na maslahi na marehemu ruge. Alihojiwa Mara kadhaa na media tofauti tofauti hapa nchini alirudia maneno yaleyale kuwa aliumizwa na media ya clouds na hata wafanyakazi wake wote kwa kushinikizwa na Ruge,lakini kufika kumzika ni jambo jema kwani kila nafsii itaonja mauti.
    Hongera diamond kwa utu huo na nakuoongeza kwakutokuwa mnafiki juu ya kuumizwa kwako.
    Mafanikio yako yametokana na wewe kuongeza juhudi kupinga kunyanyaswa. Ipo siku wengi watatambua kuwa hukuwa na ugomvi tofauti na kutafuta maisha.
    Mungu azidi kukupa moyo na utafanikiwa zaidi. Naamini kuna mema alikufanyia ruge lakini kuna mabaya pia yalikuumiza na ndiyo maana uliamini kuwa ruge ni binadam mwenzio na alikuwa mshindani wako ktk maisha na ukamsindikiza ktk Makazi yake.

  • @amosdaudi9793
    @amosdaudi9793 Před 5 lety

    KIUKWELI tunaomiliki pesa kama mimi tunakuaga na kiburi but dimond umenifunza kuishi kibinadamu zaidi kuliko kipesa rasmi nakutoa team dudu -napenda unavyompenda mama ..maisha yako yangekuwa njia tungelipishwa wapitaji R.I.P Mr Ruge and 4give Mr dudu oil chafu hata akija ulipo mpe mkono msamehe kwani uhai siyo bando

  • @abnizplatnumz5520
    @abnizplatnumz5520 Před 5 lety

    Daaaah diamond anapitia mengi sanaa japo bado ni mdogo

  • @nadhirijay9902
    @nadhirijay9902 Před 5 lety

    Daaa bifu la boss hata mfanyakaz n lako hata kam hupendi ,,,,iishee tuu achen uchawi sanaa moja af utoto kam wote

  • @BurudaniOfficialTz
    @BurudaniOfficialTz Před 5 lety +7

    Wa kwanza leo....#R.I.P RUGE MUTAHABA

  • @kuryaboytv3426
    @kuryaboytv3426 Před 5 lety +2

    Hakuna kitu kizuri kama Mama kumpenda wanae Mama Dee Hongera kwa upendo huo huo kwa mwanao.......!! Tunaomba Tumuone Baba Dee na Mondi Pamoja

  • @shafiidumba9353
    @shafiidumba9353 Před 5 lety

    Si uliacha kupost Sasa leo unamanixha nn kupost kwenye hichi kpindi bnadamu bhna hkuna mngu kwenye hii dunia wote tunapita umeonyesha uzaifu mkubwa usio. Na faida na tulixhakusamehe mda mlefu ila jua kila bnadamu ana liziki zake na hkna anaeweza ziba mkubwa Ni mungu 2 tuendelee na maisha ndgu

  • @shahilmmasai2989
    @shahilmmasai2989 Před 5 lety +25

    Leo nimeview kwa millard baada muda mrefu simbaaaa

  • @dronemiguel2230
    @dronemiguel2230 Před 5 lety

    Mmmhh nyie xi mlkuwa hampoxt k2 chcht cha mond nini tena we Mallard Ayo

  • @mariamhaidari7170
    @mariamhaidari7170 Před 5 lety +1

    Hamisa stil needs Diamond huhuhu mwanamke akomi uyu aya wangapi wanaamini Diamond atarudiana n Hamisa

  • @rehemawasafi8050
    @rehemawasafi8050 Před 5 lety +7

    Nimefulai sana

  • @yohanamapunda2654
    @yohanamapunda2654 Před 5 lety

    Nilichofurahi mimi nikuona ayo tv kumposti diamond.... kweli tunafungua dunia kwa mambo mapyaaa... gonga like kama umeipenda hii😁😁

  • @bagamundaamina1350
    @bagamundaamina1350 Před 5 lety +7

    Safi sana Diamond 👏🏾

  • @leahjoram7693
    @leahjoram7693 Před 5 lety +4

    Mm na angalia vile wana angalia a na Hamisa eti. Huyu anajifanya anaongea na yule na jicho lipo huku. Hamisa usiogope kumwangalia

  • @kambachaku8390
    @kambachaku8390 Před 5 lety

    duuhh leo millard umempost diamond aiseee

  • @rodsemziry4142
    @rodsemziry4142 Před 5 lety

    Hamisa anaangaika anataka kujinyea,hahaa hatuliiii!aibu zimemjaaa!

  • @astaqueen3979
    @astaqueen3979 Před 5 lety

    poleni sana .watu muhimu siku zote hawadumu

  • @sarahhamisi2070
    @sarahhamisi2070 Před 5 lety

    ayo nakupenda unajielewa mungu akuzidishie

  • @princesalumu981
    @princesalumu981 Před 5 lety +1

    Wakwanza kukoment. R.I.P RUGE

  • @Gigizlife
    @Gigizlife Před 5 lety

    Diamond and hamisa still love each other look at the body language 😎

  • @adventureguidertanzania2331

    Kilichokufanya upost nawewe nikipi akati hupostigi mambo yake kabisa.

  • @missfa4650
    @missfa4650 Před 5 lety

    Chibuu,safii.kama umemuona mobeto gonga like hapa...

  • @najimahrupiahgomo2109
    @najimahrupiahgomo2109 Před 5 lety

    D bwana jishusha.usipende kua abudiwa kk

  • @michaeingesso3602
    @michaeingesso3602 Před 5 lety +8

    Ayo Leo umempost mond

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba2862 Před 5 lety

    Sidhani kama kaenda kwa sababu kaitwa au kaambiwa na mtu fulani nafikiri nafsi yake mwenyewe imeamua na alijua atakwenda lkn muda gani alipanga mwenyewe jamani kila jambo na wakati wake.

  • @davidmpungu8502
    @davidmpungu8502 Před 5 lety +2

    Millard leo umetisha.

  • @bryanzeconfesor5476
    @bryanzeconfesor5476 Před 5 lety

    kweli diamond ni maji aisee media ambayo haimpost lazima ife na ikitaka kukua lazima impost

  • @raysalove9178
    @raysalove9178 Před 5 lety

    Dunia bwana inavituko kwenye misiba ya watu watu wanatupia. Masudi jameni upendo wetu si wa ndani Bali wa inje ndani tumeja majivuno tu mwenyezi Mungu atusaidie kwa kweli.

  • @abdulmasoud6161
    @abdulmasoud6161 Před 5 lety

    Kama umegundua mirad ayo kapost kwamapenz yake gonga like twende sawa!!!!

  • @blessedmoses4243
    @blessedmoses4243 Před 5 lety

    Safi hadi millard leo kampost diamond nzuri hii

  • @kapishoyasini2220
    @kapishoyasini2220 Před 5 lety

    Safi sana milad leo umenifurahisha

  • @okelotv8316
    @okelotv8316 Před 5 lety

    Naombeni maana ya miwani mieusi msibani tafadhali maana ata wasioumwa macho huvaa sana siku ya msiba

  • @ephraimkachewa6569
    @ephraimkachewa6569 Před 5 lety

    hongera chibu kwa kuja

  • @alfabugat2196
    @alfabugat2196 Před 5 lety

    daaaah wabongo nanyi,tupungeze mdomo jaman mtu kaja bado mnaongea ya nn ss

  • @worldrapamako3960
    @worldrapamako3960 Před 5 lety +1

    kama umemuona madee tupia like

  • @ashaabdallah1718
    @ashaabdallah1718 Před 5 lety

    Aya Leo ndo umekua mwanaume... sio mambo ya kununiana... nashukuru umetoka habr ya simba

  • @mfaumeshaban8421
    @mfaumeshaban8421 Před 5 lety +6

    Ticha sana simbaaaa

  • @liliansento9410
    @liliansento9410 Před 5 lety +3

    Nani ameona hamisa mobeto akichomeka na jua Ila diamond ako na umbrella

  • @manmacho6529
    @manmacho6529 Před 5 lety +1

    tatizo waandishi wetu wanashindwa kutofutisha msiba na sherehe sasa makamera kwafujo ya nn kwan huyo diamond ni nan hasa ku m babaikia hivyo?

  • @jumamshana6473
    @jumamshana6473 Před 5 lety

    waandishi wabongo ni wasenge sana diamond ni nan katika msiba fanyeni kazi Moja na si ujinga

  • @rushobokaerick4475
    @rushobokaerick4475 Před 5 lety +1

    Yani kweli wabongo sisi mungu atusamahe sana kwenye msiba tunatafutia kiki shikamoo sana walinzi

  • @gabinusaristidius2717
    @gabinusaristidius2717 Před 5 lety

    mond vip mze bb mbon wenge jingi

  • @KingKong-yf2oj
    @KingKong-yf2oj Před 5 lety

    Huu ndo utu uzima Diamond anaonyesha. Sio Dudu Baya ambaye hajielewi kutukana marehemu.

  • @rozzymedisc898
    @rozzymedisc898 Před 5 lety +7

    Diamond salamia hamisa mobetto

  • @bathshebamchuza2648
    @bathshebamchuza2648 Před 5 lety

    Yan kiki ad mxban!??mxhiiiiuuu................,sut ya blue km umekuja kwenye part?🙄🙄🙄,nan kakudesign?cz hyo n zamb alokufanyia,km n ww mwnyw!😁😁😁,rud kwa zari tu😆😆😆

  • @scoviarobert235
    @scoviarobert235 Před 5 lety

    😁😁😁 watu wnapepea atareee

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 5 lety

    Yani misiba ya siku hizi mmmm mhhh kujipepea tu nakujifuta viatu utafikili kaburini Kuna leso ama kiwi mnakera bora mngekaa majumbani hovyo kabisa mwenzenu hawezi hata kujikuna badili mtafakali ukuu wa Mungu mnaleta usafi msibani

  • @hansbertmkonji8677
    @hansbertmkonji8677 Před 5 lety

    Hakuna siku niliyofurahi Kama Leo, my brother Millard ayo Huo Ndo ukubwa! endelea hivohivo, ya kale tuyazike tuanze upya safari! usichoke kupost anything related to WCB Au Diamond! tunajenga taifa moja!

  • @astaqueen3979
    @astaqueen3979 Před 5 lety

    kila umoja ataki kumtizama mwenzake😅😅😅😅😅

  • @khatimmahsen3753
    @khatimmahsen3753 Před 5 lety

    Namuona tu hamisa akitiza kwa mondi hata hajaelekea kwenye jeneza

  • @mropeclassic166
    @mropeclassic166 Před 5 lety

    Hatimae nyege za clouds zimeisha, na Leo hii wanampost simba platinum, pumbavu nyinyi hamjui mondi ni kama maji 😎😎😎

  • @herifredrickson2040
    @herifredrickson2040 Před 5 lety

    Nimefurahi Sana my boss daimond plutnum 🙏 🙏🙏 🙏.

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 Před 5 lety

    naona AyoTV unaanza kujileta taratibu uvumilivu umekushinda 😁😁😁

  • @mr_yassinofficial
    @mr_yassinofficial Před 5 lety

    😀😀😀madame hiro kashindwa kuji zuwia

  • @emmanuelmghase7692
    @emmanuelmghase7692 Před 5 lety +1

    Nachofurah ni kuona hii story kwenye account ya millard ayo

  • @gggjjahhhh9419
    @gggjjahhhh9419 Před 5 lety

    Safi sana simba umefanya vzr

  • @RichFeelingsForex
    @RichFeelingsForex Před 5 lety

    Hongera huo ndio uungwana

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 Před 5 lety +4

    nimefurahi sana leo asante sana #diamond R.I.P ruge

  • @majotv3405
    @majotv3405 Před 5 lety

    #AYO SAFI SANA UJUE ULIKUWA UMEPOTEZA MASHABIKI WENGI SANA KWA KUTOPOST INSU ZA #MOND ambao wanaamini kuwa sasa #miladayo atarudi moto kama zamani gonga like

  • @patricklugarata2381
    @patricklugarata2381 Před 5 lety

    Na anavyopenda masifa itamjua tu

  • @EN_Junior
    @EN_Junior Před 5 lety

    So at long last you have posted diamond platinumz

  • @sembojwamaterial8409
    @sembojwamaterial8409 Před 5 lety

    duh"na mmi nmekua limbea sipitwiii 😎

  • @khalidahjuma8173
    @khalidahjuma8173 Před 5 lety

    Kuna joto Dar. Suti ya nini mnateseka bure wakuu. Dress simple uwecomfortable

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe6788 Před 5 lety

    Naimani sasa mtakuwa sawa kwani msiba ndio unaopatanisha walio gombana

  • @aisharamazani1681
    @aisharamazani1681 Před 5 lety

    hahaha Dada ana jipepea Atari ana tamani ata aitwe na simba

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před 5 lety

    Njia yetu sote mda tu kilamtu na wake , vizuri kuweka tofauti kando.Nitafurahi zaidi kuona anamsaidia baba ake ipasavyo.

  • @astaqueen3979
    @astaqueen3979 Před 5 lety

    mapenzi sijuwi kwanini hayana adabu kabisa .watu waliweza kuwa wapenzi mpaka kuza watoto ila utasema hawajuwaniii yani .mapenzi hayana adabuuu

  • @mariamjumaswalehe635
    @mariamjumaswalehe635 Před 5 lety

    nimefurah Sana kukuona

  • @mwanahalimamwachili9679

    Vizuri sana Nasib kwa Kuhudhuria .

  • @raphaelukani2637
    @raphaelukani2637 Před 5 lety

    Daaah!! Hiz post za diamond kwenye ayo tv nilisha sahau

  • @ninaclaudia1990
    @ninaclaudia1990 Před 5 lety

    Safi sana Chibu

  • @deborahkhan4868
    @deborahkhan4868 Před 5 lety

    Kwani asingeenda yeye Ruge asingeagwa hovyooo

  • @Riis_media
    @Riis_media Před 5 lety

    *WANACHUO WAMLILIA RUGE MUTAHABA WATOA NENO TATA KWA DUDU BAYA CHEKI HAPA LIVE*
    czcams.com/video/RRMwnqXIDec/video.html

  • @rabisonmbena5483
    @rabisonmbena5483 Před 5 lety

    Uyu anaga kinyongo na mtu ila baazi ya watu wanataka aonekane anakinyongo na watu

  • @frankmgendi8751
    @frankmgendi8751 Před 5 lety

    kamaa umemuona hamissa anamkodo simba tupia like akoo apa

  • @nickymeel986
    @nickymeel986 Před 5 lety

    Wabongo mna ujinga . si mmeona simba kahudhuria... nilijua atahudhuria last mnts

  • @cindymacho5282
    @cindymacho5282 Před 5 lety

    jamani chekini vizuri hapo hamisa anatamani kuama siti usiombe kudate na mwanaume asiyekupenda wanawake mupo hapo ni unatamani umwagie mavi jitu ataukilizalia alioni girls wake up.